Waziri wa Ujenzi, Mhe. Abdallah Ulega (Mb.) amefurahishwa na Huduma zinazotolewa na Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) hususan matumizi ya Moduli ya kupokea na kushughulukia malalamiko na rufaa katika mfumo wa NeST.
Waziri wa Ujenzi, Mhe. Abdallah Ulega (Mb.) amefurahishwa na Huduma zinazotolewa na Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) hususan matumizi ya Moduli ya kupokea na kushughulukia malalamiko na rufaa katika mfumo wa NeST.