


Afisa Maendeleo ya Biashara wa Nukta Africa, amesema ushirikiano huo utasaidia kampuni kuendeleza bidhaa zake.

RUVUMA IPO TAYARI KUKABILIANA NA EBOLA

MOROGORO: CHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA),kupitia Ndaki ya Tiba ya Wanyama na Sayansi za Afya kimeendelea kutoa watafiti bora na bobezi wanaofanya mambo makubwa katika kulisaidia taifa na nchi nyingine barani Afrika kwenye kudhibiti magonjwa ya wanyama na yale yatokayo kwa wanyama kwenda kwa binadamu. Rasi wa …

Naibu Waziri wa Nishati, Mhe.Salome Makamba,akipata maelezo mara baada ya kutembelea banda la Mamlaka ya Udhibiti Huduma za Nishati na Maji (EWURA) katika Maonesho ya Kizimkazi yanayoendelea katika Viwanja vya Dimbani, Kizimkazi, Zanzibar. Na Mwandishi Wetu Naibu Waziri wa Nishati, Mheshimiwa Salome Makamba, amehimiza…

Iran imezitahadharisha nchi za Ghuba kuwa shambulio lolote jipya la Marekani dhidi ya ardhi yake litajibiwa kwa mashambulizi yatakayolenga miundombinu…

JERUSALEM, Israel WAZIRI Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amesema wamkataa ombi la Rais wa Marekani, Donald Trump, kuhusu mgogoro wa Gaza. Kwa mujibu wa Netanyahu, hawakubaliani na ombi la Trump kutaka Israel iondoshe wanajeshi wake katika Ukanda huo. Katika maelezo yake, Netanyahu amesisitiza kuwa wanajeshi wa Isr…

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky amesema amekuwa na mazungumzo yenye mafanikio na Rais wa Marekani, Donald Trump, ambapo Marekani imekubali…

DAR ES SALAAM: WHEN the Confederation of African Football awarded the hosting rights of AFCON 2027 to Kenya, Tanzania and Uganda, it did more than give us 90 minutes of football. It gave Tanzania a deadline to build, to upgrade and to leave a legacy that will outlive the final whistle. As a host nation, …

NATIONAL Assembly Speaker Mussa Azzan Zungu has appealed to the government to rein in unnecessary expenditure, particularly on luxury vehicles. In remarks during debate on the Finance Bill 2026i yesterday, he asked the parliamentary standing committee on the Budget to closely mon…

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu, ameipongeza Serikali inayoongozwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kukubali kufanya marekebisho ya baadhi ya tozo na kodi zilizopendekezwa katika Muswada wa Sheria ya Fedha wa mwaka 2026, hatua aliyosema ime…

MEXICO CITY, Mexico FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zinaendelea kuchanja mbuga, huku baadhi ya timu zikiwa zimeshatinga hatua ya 16 Bora. Baadhi ya mechi kali za hatua hiyo ni ile itakayozikutanisha England ‘Three Lions’ na Mexico ‘El Tri’, ambao ni wenyeji wa michuano kwa kushirikiana na Marekani na Can…

Tanzania’s 2026/27 Budget is more than the Government’s annual plan for collecting and spending public money. It sets out how national resources will be allocated across development, public services, infrastructure and the economy as a whole, with decisions that reach into almost every part of the country. At TZS 62.3…

Wakazi wa maneo hayo sasa wanaweza kuongeza uzalishaji na kuboresha huduma zinazotegemea nishati ya umeme.

Tunisia vs Netherlands FIFA Kombe la Dunia 2026 unayakutanisha mataifa yenye historia tofauti, Juni 26, 2026 saa 8:00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki. Mchezo huu utachezwa Uwanja wa Kansas City huku Tunisia wakiwa na kibarua kusaka ushindi kwa mara ya kwanza.Tunisia hawajashinda mechi yoyote katika michezo mitano il…

Utabiri wa New Zealand vs Egypt: Kombe la Dunia – Kundi G Utabiri wetu: Egypt kushinda. New Zealand vs Egypt, mechi ya pili ya Kombe la Dunia 2026 kwenye Kundi G. Mpaka sasa kwenye msimamo timu zote mbili zina pointi moja baada ya sare, katika Mechi zao za Ufunguzi. Mechi hii itapigwa Uwanja wa BC […]

Na Farida Saidi MorogoroWanafunzi 6,800 kutoka nchi tano za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wamewasili mkoani Morogoro kushiriki Mashindano ya Michezo ya Wanafunzi wa Shule za Msingi na Sekondari ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (FEASSA) 2026, yanayotarajiwa kuanza rasmi kesho, Agosti 12, hadi Agosti 23, mwaka huu.Mas…

Na Mwandishi WetuMAMLAKA ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) na Vodacom Tanzania PLC zimesaini makubaliano ya ushirikiano yenye lengo la kuharakisha mageuzi ya kidijitali katika mfumo wa uwekezaji nchini na kuboresha huduma kwa wawekezaji wa ndani na nje ya Tanzania.Ushirikiano huo wa miaka miw…

KUNA mengi yanaendelea katika fainali za Kombe la Dunia 2026 ambako kuna rekodi kibao zinavunjwa na zingine hazijavunja hadi sasa. Lakini, wakati nchi zilizofuzu mtoano wa hatua ya 32 bora zikijifua kwa ajili ya michuano hiyo, kuna jambo jingine limeibuka. Nalo ni namna mpira unavyochezwa sasa licha ya maendeleo makub…

Meneja wa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) Kanda ya Ziwa, Mhandisi Juma Mkobya, amesema halmashauri za Mkoa wa Mara zimetoa zabuni…

IRINGA: KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi amewataka Watanzania kutowasikiliza wanasiasa wanaotumia majukwaa ya siasa kubeza na kupunguza thamani ya maendeleo yaliyofanya ya serikali. Kihongosi amesema hayo Juni 20,2026 alipokuwa akizungumza na wananchi katik…

Soma hapa...

Na Victor Masangu,KibitiMwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi Taifa Ndg. Fadhili Maganya ameridhishwa na utekelezaji wa mradi wa maji ambao unatakelezwa na Wakala wa maji na usafi wa mazingira vijijini (RUWASA) Wilaya ya Kibiti ambapo amesema kwamba mradi huo ni mkombozi mkubwa katika kuwahudumia kwa kiasi kikubwa wananchi …

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema miradi ya maendeleo inayotekelezwa kote nchini ni mali ya wananchi na hivyo wana wajibu wa kuitunza kwa faida…

Uswisi vs Algeria FIFA Kombe la Dunia 2026 wanakutana katika hatua ya 32 bora ya Kombe la Dunia 2026. Mchezo huu utachezwa kwenye Uwanja wa BC Place, Vancouver. Timu zote mbili zinatafuta tiketi ya kufuzu hatua ya 16 boraJulai 3, 2026. Shinda mamilioni na Twenzetu Duniani ya SportPesa kwenye mechi Kombe la Dunia 2026 …

MERIDIANBET imeongeza ladha mpya kwenye burudani za kasino kwa kuleta Expanse Epic Spins, Epic Rewards, mashindano maalum yanayowapa wachezaji nafasi ya kupanda kwenye leaderboard huku wakifukuzia sehemu ya zawadi nono yenye thamani ya jumla ya TSh milioni 6. Mashindano haya yanaendelea hadi Agosti 21, 2026, kupitia m…

DODOMA: THE Ministry of Natural Resources and Tourism has called on tourism stakeholders to strengthen collaboration with the government to achieve the target of attracting eight million international tourists by 2030. The ministry said achieving the target is critical to increasing national income and accelerating ec…

ZAIDI ya watumishi wapya 100 wa afya na ustawi wa jamii kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi na Halmashauri ya Mji wa Mafinga, wamepatiwa mafunzo maalumu kuhusu maadili ya taaluma, viwango vya utoaji huduma na huduma jumuishi, kwa watu wenye ulemavu Mpango huo, ni sehemu ya ju…
.jpeg)
Na Karama Kenyunko Michuzi TvSERIKALI imesema itaendelea kuimarisha huduma za afya ya uzazi nchini ili kupunguza vifo vya kina mama vinavyotokana na utoaji mimba usio salama.Naibu Waziri wa Afya, Dk Florence Samizi alisema bungeni kuwa asilimia 10 ya vifo vya wajawazito nchini vinahusishwa na utoaji mimba usio salama,…

DAR ES SALAAM: AS Tanzania begins turning Vision 2050 from a long-term aspiration into a national development agenda, industry and trade are increasingly taking centre stage in the country’s economic transformation plans. The vision is ambitious. By 2050, Tanzania aims to become an industrialised, knowledge-based uppe…
Na MUKSINI NAKUVAMBA – Mahakama, Mbeya Uongozi na Watumishi wa Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Mbeya wameendeleza dhamira yao ya dhati ya kujenga afya bora ya mwili na akili kupitia programu ya mazoezi ya pamoja inayofanyika kila Jumanne na Ijumaa ya kila wiki katika viunga vya Mahakama Kuu Masjala hiyo. Mazoezi hayo y…

Colombia vs Ghana ni karata nyingine ya wawakilishi wa Afrika na Amerika Kusini, katika jukwaa kubwa zaidi la soka Duniani. Mchezo huu unatarajiwa kupigwa kwenye Uwanja wa Kansas City nchini USA, saa kumi na nusu kwa saa za Afrika Mashariki. Mshindi wa jumla wa mchezo huu atakuwa amefuzu moja kwa moja hatua ya 16, bor…

Kocha wa Ufaransa, Didier Deschamps, amejibu vikali ukosoaji uliomkumba kutokana na maamuzi aliyofanya katika nusu fainali ya Taji la Dunia dhidi ya Hispania, akisisitiza kuwa kiungo wa AC Milan, Adrien …

DAR ES SALAAM: THE government’s decision to abolish or reduce 374 fees and levies is expected to stimulate business growth, attract investment, create jobs and widen Tanzania’s tax base, economists and analysts have said. They said the reforms will encourage business formalisation, expand trade and investment, improve…

Na Mwandishi Wetu – Dodoma Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma ya mwaka 2026 yameonesha kwa vitendo namna taasisi za umma zinavyoendelea kusogeza huduma karibu na wananchi kwa kutumia majukwaa mbalimbali ya utoaji huduma, elimu na utatuzi wa changamoto. Kupitia maonesho hayo, maelfu ya wananchi walipata huduma mba…

Tanzania imepiga hatua nyingine kimataifa baada ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IFC) kuorodhesha hatifungani yake ya kwanza ya kimataifa kwa Shilingi ya Tanzania katika Soko la Hisa la London (LSE). Hatifungani hiyo, yenye thamani ya Dola za Marekani milioni 100 (Shilingi bilioni 262.5), itaipatia Benki ya NMB ikiwa…

DAR ES SALAAM: TANZANIA is strengthening its position as one of East Africa’s influential countries, supported by political stability, improving governance performance, strategic geography and growing economic opportunities that continue to attract regional and global investors. The latest Ibrahim Index of African Gov…

TUNDURU: THE Minister for Energy, Deogratius Ndejembi, has directed the Permanent Secretary of the Ministry of Energy not to grant any further extension to the contractor responsible for constructing the 220-kilovolt power transmission line from Songea to Tunduru via Masasi. The project includes the construction of a …

Hapa tumekuletea taarifa za usajili Ligi Kuu Uingereza 2026 mara baada ya kufunguliwa. Diirisha la usajili majira ya joto lilifunguliwa Juni 15,2026 litafungwa Septemba Mosi saa 5 usiku. Kuna orodha ya wachezaji ambao wamehama na timu ambazo watakuwa katika Ligi Kuu ya Uingereza, (Premier League). Arsenal ambao ni mab…

Spain vs Saudi Arabia: Kombe la Dunia 2026 — Kundi E Spain vs Saudi Arabia ni mechi ya kufa na kupona ndani ya Kundi E la Kombe la Dunia 2026, timu hizi zitavaana uso kwa uso katika Uwanja wa Atlanta, 21 June 2026. Mchezo huo utapigwa saa 3 usiku muda wa afrika mashariki (EAT). Katika […]

TEHRAN: Iran imesema haitafungua tena Mlango wa Hormuz, njia muhimu ya usafirishaji wa mafuta na biashara duniani, hadi Marekani itakapotekeleza…
.png)
Na DOTTO NKAJA, Mahakama - Geita Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Geita, Mhe. Projestus Kahyoza, Julai 28, 2026, amekutana na kufanya mazungumzo na Mawakili wa Serikali na wa kujitegemea mkoani Geita katika kikao kilichofanyika kwenye Ukumbi wa Mafunzo wa Mahakama Kuu Geita kwa lengo la kujengeana uwezo…
SINGIDA YAANZA SAFARI YA SINGLE DIGITS, RC DENDEGO ATAKA KASI YA DIRA YA 2050 IONGEZWE
VIONGOZI WATAKIWA KUWA MSTARI WA MBELE KUIKANILI RUSHWA

Na Janeth Raphael MichuziTv Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Namibia zimejipanga kuimarisha zaidi ushirikiano wa kiuchumi kwa lengo la kuongeza kiwango cha biashara na uwekezaji kati ya mataifa hayo mawili. Amesema hatua hiyo inalenga kufungua fursa mpya za ma…

Na Victor Masangu, Bagamoyo Mwenyekiti wa Jumuiya ya ya Wazazi Taifa Ndg. Fadhili Maganya amekemea vikali baadhi viongozi wa CCM wakiwemo madiwani na wabunge…

Soma hapa...

Na Janeth Raphael MichuziTv RAIS wa Namibia, Netumbo Nandi-Ndaitwah, ametembelea Kituo cha Kumbukumbu cha Wapigania Uhuru wa Afrika pamoja na Makaburi ya Mashujaa wa Namibia yaliyopo wilayani Kongwa mkoani Dodoma, katika ziara maalum ya kuenzi mchango wa Tanzania katika harakati za ukombozi wa bara la Afrika.Katika zi…

The Commissioner General of the Tanzania Revenue Authority (TRA), Mr. Yusuph Juma Mwenda, has reaffirmed the Authority’s commitment to implementing the directives of the…
Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. George Masaju, leo tarehe 15 Julai, 2026 amepokea ugeni wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Dkt. Seif Abdallah Shekalaghe, aliyefika ofisini kwake Makao Makuu ya Mahakama jijini Dodoma kwa ajili ya kujitambulisha.Dkt. Shekalaghe amesema kuwa lengo la kukutan…

Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Mipango wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Needpeace Wambuya, amepongeza kasi ya utekelezaji wa majukumu ya Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB), hususan hatua ya kuanzisha mpango wa kuuza mifugo kupitia Mfumo wa Stakabadhi za Ghala. Akizungumza alipotembelea banda la WRRB kati…

Tanzania’s Finance Bill 2026, presented to Parliament on 24 June 2026 by Finance Minister Ambassador Khamis Mussa Omar, takes effect on 1 July 2026 and amends 26 laws to implement the 2026/27 budget tax measures. The Parliamentary Budget Committee dropped the proposed 1% withholding tax on agricultural produce, the pr…

Na.Mwandishi wetu - Dar es SalaamKamati ya Kitaifa ya Wataalamu ya Usimamizi wa Maafa imeidhinisha Mpango wa Taifa wa Dharura wa Kukabiliana na Madhara ya El Niño na kuzielekeza Wizara, Idara, Taasisi, Mikoa na Halmashauri kuongeza kasi ya maandalizi ili kupunguza madhara yanayoweza kujitokeza kutokana na mvua za El N…

DODOMA: The Office of the Chief Parliamentary Draftsman (OCPD) has pledged to simplify laws by translating them into easy-to-understand Kiswahili and providing legal education accessible to ordinary citizens, including farmers, pastoralists, and fishermen. OCPD’s Parliamentary Draftsman Joseph Shoo made the remarks at…

Jina langu ni Joshua, na mimi ni mjasiriamali. Kwa muda mrefu, nilikuwa nikikabiliana na changamoto kubwa katika biashara yangu. Ilikuwa ni biashara ndogo ya…

Na Benny Mwaipaja, DURBANNchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zimeazimia kuharakisha mageuzi ya kiviwanda katika kanda, baada ya kuhitimisha Wiki ya Tisa ya Viwanda ya SADC (SIW 2026) iliyofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Durban, jimbo la KwaZulu-Natal, Afrika Kusini.Zimes…

Benki ya NMB imewahakikishia wafanyabiashara kuendelea kuwapatia masuluhisho ya kifedha yanayolenga mahitaji ya sekta mbalimbali za uchumi. Kauli hiyo ilitolewa…

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala,Ridhiwani Kikwete amesema Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) kina nafasi ya kipekee katika kujenga na kuendeleza uwezo wa kiutendaji wa watumishi wa umma ambao ndio watekelezaji wa majukumu ya serikali kila siku. Kikwete al…

Ni pamoja na Cristiano Ronaldo, Messi, Mbappe, Haaland na Vinicius Jr ambao wameendelea kuwa vinara ndani na nje ya uwanja.
Na ARAPHA RUSHEKE -Mahakama, Dodoma Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Dkt. Mustapher Mohamed Siyani, jana tarehe 10 Agosti, 2026, alifanya ziara katika jengo la zamani la Mahakama Kuu Dodoma, linalotarajiwa kutumika kwa ajili ya Mahakama inayoshughulikia masuala ya familia. Akiwa ameambatana na Viongozi …

Na Mwandishi WetuTEKNOLOJIA na matumizi jumuishi ya mtandao vinaweza kuwa nyenzo muhimu katika kuondoa vikwazo vinavyowakabili watu wenye mahitaji maalum katika elimu, ajira na kujiajiri, wadau wa Internet Governance wamesema.Akizungumza katika mafunzo ya Tanzania School of Internet Governance, mtaalamu wa masuala ya …

Wakiwa na pointi 1 tu, katika michezo yao miwili ya kwanza, kikosi cha South Africa kinajiandaa kucheza mechi ya kufa na kupona dhidi ya South Korea. Ni mechi ya South Africa vs South Korea Kombe la Dunia 2026 itakayopigwa 25 June 2026 saa 10 alfajiri, kwa saa za Afrika Mashariki. Mechi hii itapigwa kwenye Uwanja […]

Dodoma Waziri Ofisi ya Rais, Maendeleo ya Vijana, Mhe. Joel Nanauka ameipongeza Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa utekelezaji wa Mpango wa Matengenezo ya Barabara kwa Kutumia Vikundi vya Kijamii (CBRM) akieleza kuwa ni fursa muhimu ya kuwawezesha wananchi hususan vijana kushiriki katika shughul…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Dkt, Netumbo Nandi-Ndaitwah baada ya Rais huyo wa Namibia kuhitimisha Ziara yake ya Kitaifa ya siku 4 katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 22 Juni, 2026.Rais wa Jamhur…

DAR ES SALAAM: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan yesterday bid farewell to Namibian President Dr Netumbo Nandi-Ndaitwah following her historic three day State Visit to Tanzania. The colourful farewell ceremony, held at the State House in Dar es Salaam, featured a guard of honour and the playing of the national anthems of …

Kamanda wa Polisi Mkoa wa kipolisi Temeke Kamishna Msaidizi mwandamizi wa Polisi SACP Kungu John Malulu Julai 28,2026 katika Kata ya Kilungule iliyopo Mbagala Dar es Salaam amemtembelea Ndugu Mustafa aliepoteza watoto watatu kwenye ajali ya Moto iliyotokea Aprili 7,2026 Kabla ya hapo Kamanda Malulu alimshika mkono Mwa…

Je unajua kuwa leo huenda ikawa ni siku yako ya bahati?. Kama hujajua basi mimi ndio nakujuza, ingia kwenye akaunti yako na uweke dau lako dogo tuu kisha ubashiri mechi za leo. Tukianza na Uholanzi Ligi kuu (Eredivisie) inaanza kwa mechi ambayo inawapa mabingwa watetezi PSV Eindhoven nafasi za kuanza kutetea taji lao …

CITIZENS all over the country need to take ownership of public infrastructure by protecting facilities from damage and misuse, as substantial public funds are invested in development projects. President Samia Suluhu Hassan issued this appeal when addressing residents of Kizimkazi…

HALMASHAURI ya Wilaya Mkuranga ni kati ya Halmashauri tisa za mkoa wa Pwani ambayo inajivunia kujiimarisha kwenye kuwekeza kwenye ujenzi wa vituo vya huduma za afya kusogeza karibu na wananchi. Mkuranga kwasasa ina vituo vya Serikali vya kutolea huduma za afya 71 kati ya hivyo Ho…

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe, amesema huduma zinazotolewa na Wizara ya Katiba na Sheria zimekuwa na mchango mkubwa katika kuwawezesha wananchi kupata haki, ushauri wa kisheria na utatuzi wa changamoto mbalimbali kwa urahisi na kwa wakati. Prof. S…

Soma zaidi...

Mashabiki wa kasino wana sababu mpya ya kutabasamu baada ya Meridian Scatter Whale kuwasili ikiwa na nguvu mpya ya burudani na msisimko. Mchezo huu unafungua milango ya safari ya kipekee ambapo kila mzunguko unaleta matarajio mapya na kila hatua inaweza kuwa sehemu ya tukio kubwa. Ndani ya kina cha bahari, nyangumi mk…

Na Victor Masangu, Pwani Serikali mkoani Pwani imeipongeza Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Pwani kwa kuweza kuwa na mipango madhubuti katika kuweka…

DAR ES SALAAM: PRIME Minister Dr Mwigulu Nchemba has reaffirmed the government’s commitment to strengthening the private sector, saying sustained reforms will improve Tanzania’s business and investment climate and accelerate the implementation of Vision 2050. Speaking at the 2026 Annual Business and Investment Confere…

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na…

ARUSHA: TANZANIANS have been urged to make full use of the National e-Procurement System (NeST) in public procurement processes to enhance transparency, accountability and efficiency in the management of public resources while supporting the country’s economic growth. The call was made by Arusha Regional Administrativ…

Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kimewahimiza vijana, hususan mabinti, kuchangamkia fursa za masomo katika sekta ya bahari, kikieleza kuwa wahitimu wa chuo hicho wana nafasi kubwa ya kupata ajira ndani na nje ya nchi kutokana na mahitaji makubwa ya wataalamu wa sekta hiyo.Akizungumza na waandishi wa habari katika b…

DAR ES SALAAM: THE success of the 50th Dar es Salaam International Trade Fair (DITF) is strengthening Tanzania’s ambition to become East Africa’s leading trade and investment hub. Rising exports, stronger business activity and investor confidence are reinforcing that momentum. The week-long exhibition, Tanzania’s flag…

Bodi ya Usimamizi wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imeanza rasmi utekelezaji wa maagizo yaliyotolewa na Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, ya kuimarisha usimamizi wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala na kuhakikisha changamoto zinazojitokeza katika utekelezaji wake zinatatuliwa bila kurudi kwenye biashara holela ya ma…

Colombia wakiwa tayari wamefuzu hatua ya 32 bora watavaana na Portugal, ambayo situ kwamba wanaisaka tiketi Ya Robo hatua ya 32 bora, bali wanataka kuongoza Kundi. Staa wa Ureno, Cristiano Ronaldo alituma ujumbe wa “I’m back” akimaanisha amerudi baada ya kufunga mabao 2 katika ushindi wa kishindo wa mabao 5-0 dhidi ya…

Kocha wa Ufaransa, Didier Deschamps, anatabiri kuwa nusu fainali ya Taji la Dunia dhidi ya Hispania itakuwa mechi ya “kusisimua sana” wakati mataifa hayo mawili makubwa yatakapokutana jijini Dallas siku …
.jpeg)
Na Janeth Raphael - MichuziTv Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) inaendelea kuthibitisha ubora wake kama moja ya vituo vinavyoongoza kutoa huduma za kibingwa barani Afrika, baada ya kufanikiwa kuwapatia matibabu ya upasuaji wa moyo watoto kutoka Nchini Burundi, ambao kwa sasa wanaendelea vizuri na wanatarajiwa kurejea …

DODOMA: THE Benjamin Mkapa Hospital (BMH) is set to become a Medical Tourism Village within the next decade as the government intensifies efforts to position Tanzania as a leading destination for specialised healthcare in Africa. The ambitious vision is expected to attract patients from across Africa and beyond, gener…

DAR ES SALAAM: TANZANIA is increasingly looking to energy as the engine that will power its next phase of development. As the country begins implementing Vision 2050, the government is accelerating investment in electricity generation, natural gas infrastructure, transmission networks and renewable energy. The objecti…

Kombe la Dunia la FIFA 2026, litaendelea kukumbukwa kwa muda mrefu kutokana na kuvunja rekodi nyingi na kushuhudia matukio ya kipekee ambayo hayajawahi kutokea katika historia ya mashindano hayo. Mashindano hayo yalishuhudia timu ya Taifa ya Hispania ikiibuka bingwa wa dunia, kwa mara ya pili katika historia yake. Hii…

Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. George Masaju leo tarehe 26 Juni, 2026 amemuapisha Dkt. John Antony Jingu, Mtendaji Mkuu wa Mahakama kuwa Katibu wa Tume ya Utumishi wa Mahakama. Dkt. Jingu anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Mtangulizi wake Mtendaji Mkuu Mstaafu wa Mahakama, Prof. Elisante Ole Gabri…

Soma hapa...
Na MUKSINI NAKUVAMBA – Mahakama, Mbeya Majaji, Naibu Wasajili na Mahakimu wa Mahakama Masjala Ndogo ya Mbeya wametakiwa kutambua, kudhibiti na kukabiliana na msongo wa mawazo kwa wakati, wakizingatia kuwa afya njema ya akili ni msingi muhimu wa kufanya maamuzi yenye umakini, weledi na ya haki katika utekelezaji wa maj…

WAZIRI CHONGOLO APONGEZA UWEKEZAJI UWANJA WA AFCON ARUSHA, AHIMIZA WANANCHI KUTUMIA FURSA ZA AFCON 2027

Serikali ya Mkoa wa Dodoma imewataka wafanyabiashara, wawekezaji, washauri wa kodi na wananchi kuendelea kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kuzingatia sheria za kodi ili kuongeza mapato ya Serikali na kuchochea maendeleo ya Taifa.Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Chamwino, Mhe. Janeth Mayanja, …

Na Mwandishi wetuRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewaapisha Naibu Makatibu Wakuu wawili na kushuhudia viongozi wanne wakila Kiapo cha Uadilifu kwa Viongozi wa Umma, huku akiwataka kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu, ushirikiano, uwajibikaji na kuzingatia maslahi ya wananchi.A…

Na Hassan Mwasha DAKIKA 90 tu za mchezo kati ya Fountain Gate na Singida Black Stars ndizo zilizopeperusha ndoto ya Feisal Salum ‘Fei Toto’ kuwa mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2025-26. Kabla ya mechi za mwisho wa msimu kuchezwa jana Juni 30, 2026, Fei Toto wa Azam ndiye aliyekuwa kinara kwa mabao […]

Na Mwandishi WetuTANZANIA imeidhinisha miradi minne ya biashara ya kaboni yenye thamani ya zaidi ya Shilingi bilioni 135.5, ikifungua njia ya mauzo ya kaboni katika soko la kimataifa.Miradi hiyo imeidhinishwa chini ya Kifungu cha 6 cha Mkataba wa Paris kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi, kinachoruhusu nchi kushiriki biash…

MEXICO CITY, Mexico KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Argentina, Lionel Scaloni, amethibitisha kuwa atampumzisha nahodha wake, Lionel Messi, katika mchezo wao dhidi ya Jordan. Timu hizo zitakutana kesho Juni 28, 2026, ukiwa ni mchezo wa mwisho wa kundi lao lenye timu zingine mbili, Algeria na Austria. Argentina ikiwa …

ATLANTA, MAREKANI: KATIKA matukio yaliyotikisa mashabiki wa soka duniani, timu tatu za Afrika zimeondolewa kwa maumivu makubwa katika hatua ya 32 bora ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuruhusu mabao ya ushindi katika dakika ya 86. Timu hizo ni Ivory Coast, DR Congo na Senegal, ambazo zote ziliondolewa katika mechi tofa…

MWANG’ONDA AWAPONGEZA WANANCHI WA NTAGACHA, TARIME

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali inaandaa maboresho ya kisera na kisheria yatakayowaondolea vijana wajasiriamali kikwazo cha muda mrefu…

USHINDI mzuri unaanzia Meridianbet siku ya leo kwa kusuka jamvi lako na Meridianbet na kubashiri kwa kutumia Early Payout leo. Ingia kwenye akaunti yako sasa na uanze safari yako ya ushindi.Promosheni hii kubwa kabisa ambayo ipo Meridianbet ina lengo la kuhakikisha kuwa unapiga pesa nyingi kwani endapo ukitumia chaguo…

Na Hassan Mwasha, Gazetini ACHANA na ishu ya ubingwa. Ni wazi si Yanga wala Simba inayoweza kufikia idadi ya pointi ilizokusanya msimu uliopita (2024-25) wa Ligi Kuu Bara. Kwa sasa, Yanga iko kileleni mwa msimamo lakini imekusanya pointi 72, wakati Simba wao wana pointi 70, huku kila timu ikiwa imebakiza mechi moja ba…

RC DENDEGO: DIRA YA 2050 IWE AJENDA YA KUDUMU KWENYE SHUGHULI ZA MAENDELEO SINGIDA

Na Mwandishi WetuWANANCHI wanaotembelea Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba 2026) wanaendelea kunufaika na huduma mbalimbali za mawasiliano na ofa maalum zinazotolewa na Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), kupitia banda lake lililopo katika Viwanja vya Mwalimu Julius K. Nyerere.Katik…

Rais wa Marekani Donald Trump amepongeza maendeleo ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Marekani na Iran yaliyofanyika…

Kampuni ya CRDB Insurance Company imezindua huduma ya Smart Mifugo, bima ya mifugo inayotumia teknolojia ya akili mnemba (AI) kuwakinga wafugaji dhidi ya hasara zinazotokana na vifo vya mifugo, magonjwa na athari za ukame. Huduma hiyo imezinduliwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifu…

Na Mwandishi Wetu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw. Lazaro Twange, amesema shirika hilo linaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya kimkakati itakayoongeza…

Chinese President Xi Jinping has urged pooling the strength of overseas Chinese and those who have returned to China to contribute to building China into a strong country and advancing national rejuvenation. Xi, also general secretary of the Communist Party of China (CPC) Central…

Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) unashiriki Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere kuanzia Juni 28 hadi Julai 13, 2026, ukiwahakikishia wanachama na wananchi huduma mbalimb…

Brazil imeaga fainali za Kombe la Dunia 2026 baada ya kufungwa mabao 2-1 na Norway katika mchezo wa hatua ya 16 bora uliochezwa kwenye Uwanja wa New York/New Jersey, Marekani. Baada ya kipindi cha kwanza kumalizika bila kufungana, straika wa Norway, Erling Haaland aliibuka shujaa wa mchezo kwa kufunga mabao mawili kat…

Katika mtaa wa Mivinjeni kata ya Buguruni, Meridianbet imeendesha kampeni maalum ya kusaidia familia zenye uhitaji. Tukio hili lilikuwa ni ushuhuda wa namna kampuni binafsi zinavyoweza kushiriki kikamilifu katika kuboresha maisha ya wananchi kwa vitendo. Wananchi walijionea kwa macho yao kwamba msaada si maneno matupu…
.jpeg)
Na Janeth Raphael - MichuziTv.Serikali imesisitiza umuhimu wa kuimarisha ushirikiano kati ya sekta za kilimo, mifugo, uvuvi, viwanda, biashara na taasisi za kifedha ili kuongeza uzalishaji, kuimarisha uchakataji wa mazao na kuchochea ukuaji wa uchumi wa Taifa.Msisitizo huo umetolewa leo Agosti 2, 2026 jijini Dodoma na…

Soma hapa...

Na Mwandishi Wetu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa miongoni mwa viongozi wa Afrika walioamini kuwa uhuru wa Tanzania usingekuwa na maana ikiwa mataifa mengine…

NAIBU Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhandisi Maryprisca Mahundi, amewataka wazazi na walezi kuimarisha malezi ya watoto na kushiriki kikamilifu kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia vinavyoathiri wanawake na watoto.

NA DENIS MLOWE, IRINGA WANANCHI wa vijiji vya Mwambao, Welu, Lupalama na Kibebe katika Kata ya Ulanda, Jimbo la Kalenga, wamemweleza Mbunge wao, Jackson…

Na. Mwandishi Wetu – Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mhe. Balozi Dkt. Batilda Burian ametoa wito kwa wananchi kuendelea kujitokeza kupata…

DAR ES SALAAM: RUSSIA has expressed its commitment to expanding investment and trade with Tanzania, as both countries deepen cooperation in strategic sectors including healthcare, science, industrial development and technology. Russia’s Ambassador to Tanzania, Mr Andrey Avetisyan, said Russian investors are increasing…

Ratiba ya FIFA Kombe la Dunia 2026 hatua ya 16 bora itaanza kutimua vumbi rasmi siku ya Jumamosi 4 July 2026. Ikumbukwe haya ni mashindano makubwa zaidi ya soka duniani, ambayo hufanyika kila baada ya miaka 4, mwaka huu Kombe la Dunia litafanyika kwa ushirikiano wa maandalizi ya nchi 3, ambazo ni; Marekani (USA), Cana…

• Aitaka kamati iliyoshiriki majadiliano ya awali kujadiliana tena Na OWM – TAMISEMI, Kibaigwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa…

Nanasi ni tunda lenye ladha tamu na maji mengi ambalo linapendwa na wengi duniani. Zaidi ya kuwa tamu, nanasi lina…
Na MUKSINI NAKUVAMBA – Mahakama, Mbeya Mahakama ya Rufani ya Tanzania inayoketi Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Mbeya imeanza kuendesha Kikao chake cha kusikiliza mashauri 38 ya rufaa za madai na jinai ambacho kimeanza jana tarehe 03 Agosti, 2026 na kinatarajiwa kuhitimishwa mnamo tarehe 29 Agosti, 2026. Kikao hicho kin…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mheshimiwa Daniel Francisco Chapo baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa Ziara ya Kikazi, tarehe 03 Julai, 2026. Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mheshimiwa Daniel Francisco Chapo akisain…

ASISITIZA DHAMIRA YA SERIKALI YA KUJENGA UCHUMI SHINDANI WA VIWANDA ILI KUFIKISHA NCHI UCHUMI WA KIPATO CHA KATI CHA JUU Makamu wa Rais wa…

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) yameendelea kuwa daraja…

Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limetangaza fursa 12 zitakazotokana na Tanzania kuwa mwenyeji mwenza wa Mashindano ya Mataifa ya Afrika AFCON 2027 ambazo zitafungua zaidi milango ya maendeleo ya uchumi, ajira, biashara, utalii na uwekezaji nchini.Akizungumza kuhusu fursa hizo, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusi…

Na mwandishi wetu, Gazetini Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Heche, amewataka wanachama wa chama hicho kuongeza kiwango cha kujitolea katika harakati za kisiasa, akisema kufanya hivyo kutawapa nguvu viongozi na wanachama wanaobeba gharama kubwa za kupigania mabadiliko nchini. Akiz…

PRETORIA, SA: As Kiswahili’s popularity grows, connecting more than 200 million people, Tanzania’s High Commissioner to South Africa, James Bwana, says its significance extends far beyond the number of speakers, reaffirming that an African language can also serve as a powerful vehicle for diplomacy, regional integrati…

Banda la Vodacom lilipata heshima ya kutembelewa na Rais wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, pamoja na Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Daniel Chapo.

Hatimaye ratiba ya Ligi Kuu ya NBC 2026/27 imetangazwa rasmi na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB). Ratiba hiyo inaonyesha vigogo yaani bingwa mtetezi Yanga SC na mshindi wa pili Simba SC kwa msimu uliopita zitaanzia ugenini. Kama ulikuwa unajiuliza kuhusu Mchezo mkubwa wa Dabi ya Kariakoo kati ya Simba SC vs Yanga SC, …

MUNICH, Ujerumani WIKI chache zilizopita, alikuwa kwenye meza ya uchambuzi wa mechi za Kombe la Dunia akiishuhudia timu yake ya Taifa ya Ujerumani ikiondoshwa na Paraguay katika hatua ya 32 Bora. Safari hii, Jurgen Klopp amepewa jukumu la kuliongoza benchi la ufundi, akichukua nafasi ya Julian Nagelsmann aliyetimuliwa…

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Leonard Akwilapo amekabidhi jumla ya hati za kimila 1,195 katika vijiji vya Solwe Kata ya Nyambiti wilayani Kwimba na Lubuga, Kata ya Mabuki wilayani Misungwi mkoani Mwanza, akiwataka wananchi kumiliki ardhi kisheria ili kuondokana na migogoro pamoja na kuzuia kunyany…

Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umetangaza msamaha wa tozo zinazotokana na ucheleweshaji wa michango kwa waajiri wenye malimbikizo ya madeni, ukiwataka kutumia fursa hiyo kupunguza mzigo wa madeni, kuzingatia sheria na kulinda haki za wafanyakazi. Akizungumza na waandis…

Na. Mwandishi Wetu - Dar es SalaamSERIKALI imewataka Watanzania kuendelea kulinda na kudumisha amani ya nchi kwa kutambua kuwa ndiyo msingi wa maendeleo ya taifa, huku ikisisitiza kuwa jukumu hilo linamhusu kila mwananchi bila kujali dini, kabila au itikadi za kisiasa.Wito huo umetolewa na Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nc…

Soma hapa...

📌Ulega atoa hakikisho la Utekelezaji wa mradi huo Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ametangaza kuanza kwa utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa barabara na…

Na Mwandishi WetuSERIKALI imeiagiza Wizara ya Uchukuzi kuharakisha taratibu za kuwasilisha Waraka wa Baraza la Mawaziri ili kuwezesha kuanzishwa kwa Bodi ya Usajili wa Wataalamu wa Lojistiki na Usafirishaji, hatua inayolenga kuimarisha ubora, weledi na uwajibikaji wa wataalamu wa sekta hiyo nchini.Akifungua Kongamano …

WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Dk. Rhimo Nyansaho, amesema Shirika la Uzalishaji Mali la JKT (SUMAJKT), linaendelea kutoa mchango kwa nchi, hasa kupunguza tatizo la ajira kwa vijana kupitia kampuni zake tanzu. Amesema hayo alipotembelea banda la JKT katika Maon…

Shirika la Fedha Duniani (IMF) limeridhishwa na utendaji kazi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kuahidi kuendeleza ushirikiano katika kuwezesha biashara, uwekezaji na utawala wa kodi. Vilevile, IMF imeipongeza TRA kwa kuendelea kufanya usimamizi mzuri wa kodi na kuwezesha bi…

Ni baada ya Jeshi la Polisi kufanya ufuatiliaji wa karibu katika mitandao ya kijamii na majukwaa mengine.

Benki ya NMB imesema huduma ya NMB Kikundi Mini App, iliyopo ndani ya NMB Mkononi Super App, imebuniwa kurahisisha usimamizi wa vikundi kwa kuwawezesha wanachama na viongozi kupata huduma za kifedha kidigitali kwa usalama, uwazi na ufanisi zaidi. Akizungumza katika Banda la NMB kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Biashara…

MEXICO CITY, Mexico UWANJA wa Azteca unaopatikana Kusini mwa Mji Mkuu wa Mexico, Mexico City. Ni moja ya viwanja vya soka vyenye historia ya aina yake. Baada ya Mexico kushinda zabuni ya kuandaa Kombe la Dunia mwaka 1970, muhandisi Pedro Ramirez Vazquez alipewa jukumu la kujenga uwanja wenye uwezo wa kupokea mashabiki…

Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imeanza mazungumzo na wazalishaji wa parachichi katika wilaya za Mufindi na Njombe kwa lengo la kuanzisha mfumo wa ubunifu utakaoruhusu shamba kutumika kama ghala la bidhaa hai ili kuongeza ufanisi wa biashara ya zao hilo. Mkurugenz…

A rare reformist appeal from within the ruling party has turned the spotlight on CCM itself, as loyalists move to check Nchimbi

Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Mheshimiwa Salma Rashid Kikwete, tarehe 7 Julai 2026 aliongoza Maadhimisho ya Siku ya Kiswahili yaliyofanyika katika Bunge la Uingereza (House of Lords), jijini London.Maadhimisho hayo yalifanyika kwa mwaliko maalum wa Mheshimiwa Lord Pa…

In the World Cup 2026 top scorers, Kylian Mbappe, the France captain, took the lead with 10 goals. Having emerged as the top scorer, Mbappe made history as the only player to get the Golden Boot twice. Lionel Messi, from Argentina, finished the tournament as the second top scorer with 8 goals. Other World Cup […]

Marekani imeanzisha duru nyingine ya mashambulizi ya anga dhidi ya Iran usiku wa kuamkia leo, ikilenga vituo vya ufuatiliaji eneo la pwani ya Iran na mifumo ya ulinzi wa anga huku wanajeshi wawili wa nchi hiyo wakiuawa. Kituo kikuu cha kuendesha oparesheni za kijeshi cha Marekani…

Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) imejiwekea lengo la kukusanya Sh2 trilioni kama mapato yasiyo ya kodi katika mwaka huu wa fedha 2026/27, ikiwa ni zaidi ya lengo la Sh1.79 trilioni ambalo Serikali imeipa taasisi hiyo. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) imejiwekea lengo la kukusanya…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameipatia Tanzania Breweries Public Limited Company (TBL)Tuzo ya Rais ya Walipakodi Bora katika Sekta ya Uzalishaji (Manufacturing), ikiwa ni kutambua mchango wa kampuni hiyo katika kukuza uchumi wa Taifa kupitia ulipaji sahihi wa kodi, uzal…

Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imesema ushiriki wake katika Maonesho ya Nanenane 2026 unalenga kutoa elimu kwa wananchi kuhusu matumizi sahihi ya…

MKURUGENZI wa Sayansi wa Taasisi ya Afya Ifakara (IHI), Dk Ally Olotu, amesema taasisi hiyo imeendelea kushiriki katika tafiti na ubunifu mbalimbali unaolenga kufikia lengo la kutokomeza malaria nchini Tanzania kupitia uzalishaji wa ushahidi wa kisayansi na maendeleo ya teknolojia za afya.

Hii ni ratiba ya nusu fainali FIFA Kombe la Dunia 2026 zikisalia timu 4 pekee.Ufaransa, Hispania, England na Argentina hizi zimefuzu kucheza hatua ya nusu fainali. Ni kutoka kwenye mfumo wa hatua ya makundi na ratiba ya safari hii umefanya timu hizi nne zinazoongoza kwa viwango vya ubora duniani kukutana kileleni kati…

CHAMA cha ACT Wazalendo kimesisitiza umuhimu wa kulinda na kuendeleza amani ya Tanzania kwa kutumia mazungumzo na maridhiano, kikieleza kuwa tofauti za kisiasa hazipaswi kuwa chanzo cha migogoro bali fursa ya kutafuta mwafaka kwa maslahi ya taifa. Katibu wa Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma wa ACT Wazalendo Taifa, S…

Soma zaidi...

Mkurugenzi wa Veta Kanda ya Nyanda za Juu Suzan Magani kushoto, akimsikiliza Mwanafunzi wa Chuo cha Ufundi Stadi Veta Songea fani ya umeme wa…

DAR ES SALAAM: FOR many people, trade fairs are synonymous with colourful exhibition booths, product launches and commercial transactions. They are often viewed as platforms where private companies market their products, negotiate deals and expand their customer base. That perception, while valid, tells only part of t…

DODOMA: JESHI la Kujenga Taifa (JKT) limesema litaendelea kuwa shamba darasa la kilimo, mifugo na uvuvi hata baada ya kufungwa kwa Maonesho ya Nanenane 2026, kwa lengo la kuwajengea wananchi uwezo wa kuongeza tija katika uzalishaji. Mkuu wa JKT, Meja Jenerali Rajab Mabele alisema hayo alipotembelea banda la jeshi hilo…

DODOMA: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan yesterday outlined key priorities to transform the agriculture and livestock sectors as Tanzania embarks on implementing the National Development Vision 2050. Speaking at the climax of the 2026 Nane Nane celebrations at the Dr John Samuel Malecela grounds in Dodoma, she said the r…

BOSTON, Marekani FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zilizochezwa kwa siku 39, kwenye viwanja 16, zikishirikisha wachezaji 1,039 kutoka timu 48, zilishuhudia mabao 308 yakifungwa katika mechi 104. Je, ni nani aliyeongoza kwa mabao, asisti? Ni timu zipo zilizofunga na kuruhusu mabao mengi? Makala fupi haya ya…

DODOMA: NEWLY appointed Chama Cha Mapinduzi (CCM) leaders have pledged to strengthen party discipline, uphold clean politics and ensure the ruling party remains close to the people. They unveiled their priorities on Thursday during a reception for newly appointed members of the CCM National Executive Committee (NEC) S…

Serikali imeahidi kuhakikisha washiriki wa mafunzo ya ujasiriamali yanayotolewa na Jukwaa Huru la Wahariri Tanzania (JUWATA) wanayafanyia kazi kwa vitendo kwa kuwawezesha katika mikopo inayotolewa na Halmashauri kupitia utengenezaji wa bidhaa mbalimbali zitakazochangia ukuaji wa uchumi.Kauli hiyo imetolewa mkoani Moro…

Na. Veronica Mwafisi-Tabora Tarehe 11 Julai, 2026 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete…

MJIOLOJIA kutoka Ofisi ya Afisa Madini Mkazi Mkoa wa Njombe, Abbas Mruma, amesema Tanzania inaendelea kujijengea nafasi muhimu duniani kutokana na kuwa na hifadhi kubwa ya madini ya kimkakati, yakiwemo graphite, lithium na rare earth elements, yanayotumika katika teknolojia za kisasa na nishati safi.

Waandishi wa Habari wa redio ya vijana Bongo FM wameishukuru Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) kwa kuwajengea uwezo na kuwakumbusha masuala…

DAR ES SALAAM: THE newly completed Kilongawima–Mbezi Beach Road is set to ease traffic congestion along the busy Bagamoyo Road corridor and improve connectivity for thousands of residents in Kinondoni District and surrounding areas. The 1.7-kilometre road, constructed by the Rural and Urban Roads Agency (TARURA) at a …

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Idara ya Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Ndg Rabia Abdalla Hamid katika muendelezo wa Kusikiliza makundi mbalimbali ya kijamii, leo tarehe 11/07/2026 amesikiliza makundi ya kijamii 52 ndani ya Mkoa wa Songwe.Aidha, Ndg Rabia Abdalla Hamid amesema kuwa ameridhishwa na ute…

TEHRAN, Iran Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) limetangaza kuwa Mlango Bahari wa Hormuz hautafunguliwa kikamilifu ikiwa vitisho vya kijeshi na kauli za uchokozi kutoka Marekani vitaendelea, likionya kuwa hali ya usalama katika eneo hilo bado ni tete. Kwa mujibu wa shirika la habari la serikali y…

Jane Mwakyoma,Rukwa.MAADHIMISHO ya nane nane mwaka 2026 yamefunguliwa leo Aug 1, katika mamlaka ya mji mdogo wa Laela Halmashauri ya wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa na yatafikia kilele chake Aug 8 mwaka huu,huku maadhimisho hayo yakibeba kauli mbiu ya mwaka huu "Tambua soko,ongeza tija kutekeleza Dira 20250".Halmash…

Na Mwandishi WetuCHUO cha Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi na Huduma VETA Chang’ombe, Dar es Salaam, kimesema mafunzo ya ubunifu wa mavazi na mitindo yanaendelea kuwa chachu ya kuwawezesha vijana kujiajiri, kuajiri wengine na kuchangia katika kupunguza tatizo la ukosefu wa ajira nchini.Hayo yamesemwa na Mkuu wa Chuo c…

Ni Ufaransa vs Uingereza FIFA Kombe la Dunia 2026 mchezo wa kutafuta mshindi wa 3 kwa timu hizi bora. Ufaransa mabingwa mara mbili wa Kombe la Dunia watakuwa uwanjani tena mbele ya timu pinzani ya muda mrefu kutoka Ulaya. Mechi hii kali itachezwa usiku wa kuamkia Jumapili saa 6:00, Uwanja wa Miami. Fainali imethibitis…

Dar es Salaam, Julai 12, 2026Mbunge wa Jimbo la Ilemela na Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii, Mhe. William Kafiti, amesema Hifadhi Skimu ya Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) imeendelea kuwa mkombozi kwa wananchi waliojiajiri kwa kuwapa fursa ya kujiwekea akiba kwa ajili ya mai…

Kuna ushindi ambao huanza kwa uamuzi mmoja tu wa kucheza mchezo fulani. Meridianbet imeamua kuufanya uamuzi huo uwe na thamani zaidi kupitia mashindano ya Spin for Glory, yanayowapa mashabiki wa Endorphina na Games Global nafasi ya kushindania kitita cha TSh 3,000,000. Katika mashindano haya, kila raundi inayokidhi ma…

Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Prof. Said Ally Mohamed, ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kwa kuendelea kuhamasisha ushiriki wa wazawa katika miradi ya utafutaji na uendelezaji wa gesi asilia nchini. Akizungumza alipotembe…

Soma hapa...

WAKULIMA NA WAFUGAJI WAHIMIZWA KUTAMBUA SOKO NA KUONGEZA TIJA YA MAZAO

DAR ES SALAAM: FEW bilateral relationships in Africa are as deeply rooted in history as that between Tanzania and Mozambique, where a shared struggle for liberation has evolved into a lasting partnership that continues to shape the future of both nations. While history often explains how nations forge enduring friends…

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), Bi. Khadija Ngasongwa, ameanza ziara ya kikazi mkoani Mwanza kwa lengo la kuimarisha udhibiti wa bidhaa…

ZANZIBAR: THE ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) said maintaining peace through dialogue and reconciliation is a key pillar in strengthening national unity among Tanzanians and accelerating the country’s development. Speaking to Daily News Digital, CCM Zanzibar Special Committee of the National Executive Council (NEC) S…

Klabu ya Simba SC imejipanga kikamilifu kwa msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2026/27, ikifanya usajili wa nguvu na kuweka malengo makubwa ya kurejesha mataji na kutamba kimataifa. Uchambuzi huu unachunguza wachezaji wapya, mikakati ya benchi la ufundi, na matarajio ya mashabiki.

Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) imewahimiza wafugaji nchini kupeleka sampuli za mifugo katika vituo vyake vya kanda kwa ajili ya uchunguzi wa magonjwa kabla ya kutumia dawa, ili kubaini chanzo halisi cha ugonjwa na kuhakikisha mifugo inapatiwa tiba sahihi. Rai hiy…

THE last clash of the Super Six stage in the 18th Petrofuel TCA Caravans Anniversary Tournament 2026 (CAT) produced high drama as Aurobindo AKSC defeated Mapito Upanga SC by 43 runs to secure their place in the grand final. With Alliance Caravans already unbeaten and through, the…

Waswahili husema Chanda chema huvikwa pete msemo ambao umedhihirika siku ya mnyama “Simba Day “ baada ya klabu hiyo kumtunuku tuzo Kamishna wa Uhifadhi…

KUTOKA VUNJOMBUNGE wa Jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro, Enock amewahimiza vijana kuendelea kumcha Mungu, kuzingatia maadili mema na kujiepusha na vitendo vinavyoweza kuhatarisha maisha na mustakabali wao.Koola alitoa kauli hiyo leo wakati wa ufunguzi wa bonanza la michezo la vijana wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri …

FOR decades, East Africa has captivated global travellers with an iconic promise: the Big Five, the Great Migration, and some of the world’s most spectacular wildlife landscapes. Now, a Tanzanian entrepreneur believes the region’s next tourism frontier lies beyond traditional safaris. The Serengeti Safari Marathon, al…

Kampuni ya huduma za fedha kidijitali Mixx imewataka Watanzania kuendelea kutumia huduma zake huku ikitangaza kuwa droo ya mwisho ya kampeni ya "Ikiingia Tu Goli" itafanyika wiki ijayo, ambapo mshindi mmoja atajishindia Shilingi milioni 50.Akizungumza wakati wa kukabidhi zawadi kwa washindi wa droo ya tisa ya kampeni …

Na Benny Mwaipaja, LondonWaziri wa Fedha, Mheshimiwa Balozi Khamis Mussa Omar (MB), amefanya mkutano wa kimkakati jijini London nchini Uingereza na maafisa wakuu wa Citibank chini ya uongozi wa Bwana Akin Dawodu, Afisa Mkuu Mtendaji anayesimamia eneo la Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara, katika ziara yake rasmi ya ku…

Happy Lazaro, Arusha. Arusha .Serikali imeweka bayana kuwa mafanikio ya utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 yatategemea kwa kiwango kikubwa mchango wa…
[Daily News] Dodoma -- BENJAMIN Mkapa Hospital's (BMH) Royal, International Patients and Master Health Checkup Clinic has treated more than 28,000 patients, including over 200 international clients, within its first year of operation.

NEW DELHI, INDIA, 19 JULAI 2026 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameishukuru Serikali ya India…

Na OWM- TAMISEMI, New York, Marekani Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itaendelea kusimamia ukuaji wa miji nchini sambamba na kutenga fedha ili kuimarisha utoaji wa huduma za jamii, Hayo yamebainishwa hivi karibuni na Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI…

DAR ES SALAAM: TANZANIA may attract fewer international tourists than Kenya, but it is generating substantially more tourism revenue, underlining the success of its strategy to attract higher-spending visitors and position itself as one of Africa’s highest-yield destinations. Official tourism data show Kenya welcomed …

SUSTAINED development of the energy sector requires greater focus on innovation, technology and investment to expand access to reliable energy services and support economic growth, a consultant has declared. Sayuni Mbwilo, an energy specialist with the United Nations Development …

Tanzania recorded 2,294,495 international tourist arrivals in 2025, up 7.1% from 2,141,895, generating tourism earnings of USD 4,410.6 million, up 13% from USD 3,903.1 million, as average expenditure climbed 19.1% to USD 289 per person per night. Zanzibar took 654,880 of those arrivals, up 9%, and USD 1,190.8 million …

SIMBA SC head coach Steve Barker has reiterated that the club’s main goal at the 2026 CECAFA Kagame Cup is to develop a strong and competitive squad for the new season, even after a second straight 0-0 draw in the competition. The Tanzanian side were again held without a goal, th…

Chinese President Xi Jinping has urged pooling the strength of overseas Chinese and those who have returned to China to contribute to building China into a strong country and advancing national rejuvenation. Xi, also general secretary of the Communist Party of China (CPC) Central…

DAR ES SALAAM: TANZANIA is in the move to develop a new generation of artificial intelligence (AI) experts through strategic programmes designed to strengthen digital skills and position the country and Africa to take a greater role in the global digital revolution. The initiatives, including the National Digital Econ…

Chinese President Xi Jinping said on Monday that China stands ready to further strengthen bilateral and multilateral strategic coordination with Brazil. Xi made the remarks during a phone call with Brazilian President Luiz Inacio Lula da Silva.Xi said in recent years, the buildin…

Kocha wa Spain, Luis de la Fuente, ametoa kauli kali dhidi ya wachezaji wa Argentina kufuatia vurugu zilizotokea baada ya fainali ya Kombe la Dunia 2026. Hispania walitwaa ubingwa kwa …

PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO JULAI 15, 2026

A gradual recovery in global oil supplies is offering Tanzania hope of easing fuel import costs after months of energy market turmoil, but renewed fighting in the Gulf means the country is not yet out of danger. The International Energy Agency (IEA) says global crude production r…

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb), akiielekeza Bodi ya Wakurugenzi na Menejimenti ya Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma…

Vijana wa Tanzania wamehimizwa kujifunza na kutumia teknolojia ya akili unde (AI) ili kujenga ubunifu, kuanzisha biashara na kuongeza ushindani wa nchi katika uchumi wa kidijitali unaokua kwa kasi duniani.

Na Mwandishi wetu, Mirerani MWENGE wa uhuru umetembelea na kukagua mradi wa maji wa thamani ya shilingi bilioni 4.3 utakaonufaisha watu 57000 wa Tarafa…

Aahidi kudumisha ushirikiano na Mahakama mkoani humoNa AIDAN ROBERT, Mahakama-Kigoma Mwanasheria wa Serikali Mfawidhi wa Mkoa wa Kigoma, Bw. Said Seni amefanya ziara ya heshima ya kumtembelea Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo Kigoma, Mhe. Augustine Karichuba Rwizile lengo likiwa ni kujitambulisha…

Balozi wa Tanzania nchini China, Dkt. Suleiman Haji, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Julai 14, 2026.Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA), Gilead Teri akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Julai 14, 2026.Na Mwandishi…

Na ABDALLAH SALUM, Mahakama-Njombe Watumishi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Njombe wameanza kufanya mazoezi ya pamoja ikiwa ni programu maalum ya kuimarisha afya ya mwili, kuimarisha mahusiano na kuongeza ufanisi katika utendaji kazi kwa watumishi wa kada zote.Programu hiyo ilianza tarehe 11 Agosti, 2026…

Rais wa Marekani, Donald Trump, ametia saini amri mbili mpya zinazolenga kubadili utekelezaji wa haki ya uraia wa kuzaliwa nchini…

(Opens in new window) a space cooperation agreement with Seychelles in late June 2026, it barely registered outside diplomatic circles. Announced during a meeting between Prime Minister Narendra Modi and President Patrick Herminie in the Seychellois capital Victoria, the pact cov…

Na Mwandishi wa OTR Pwani. Serikali imezitaka Taasisi za Umma kuhakikisha zinakuwa chachu ya ukuaji wa uchumi kwa kutengeneza mazingira rafiki ya biashara na…

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema Marekani itaendelea na mashambulizi dhidi ya Iran na kutangaza kuwa moja ya maeneo yanayolengwa…
.jpeg)
Na Mwandishi WetuKATIKA kuunga mkono juhudi za Serikali za kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, Oryx Gas Tanzania imetoa mafunzo ya matumizi salama na sahihi ya gesi ya kupikia kwa makundi ya wajasiriamali mbalimbali yakiwemo mama na baba lishe.Mafunzo hayo yametolewa leo Julai 23,2026 katika Tamasha la Sa…

China’s Zijin Mining launches four ships on Lake Tanganyika to route DR Congo minerals through Tanzania, intensifying the contest with the US-EU-backed Lobito Corridor.

Tanzania and global financial institution Citibank are set to deepen strategic cooperation in capital markets, infrastructure financing and private sector investment mobilisation as the country seeks to accelerate its development ambitions under Tanzania Development Vision 2050. …

Watu milioni 15.6 nchini Tanzania wamehama kutoka katika matumizi ya nishati isiyo salama na kuanza kutumia nishati safi ya kupikia ndani ya kipindi cha…

Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) (kushoto), akiwa katika picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Mbeya,…

KISARAWE: ASAS Team wheeler, Manvir Birdi, has strongly revived his National Rally Championship (NRC) title campaign after winning the Kisarawe Rally in Pwani region over the weekend. Navigated by Zubair Piredina in Skoda Fabia, Birdi won the rally after beating his closest challenger by more than four minutes. Offici…

DAR ES SALAAM: THE Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI) has received international recognition after winning a prestigious Global Leadership and Excellence Award, strengthening Tanzania’s position as an emerging destination for specialised healthcare and boosting efforts to promote medical tourism. The award, which…

THE July FIDE rating list offered something unusual in the world of competitive chess - stability. With no FIDE-rated tournaments held in Tanzania during June, the country's rankings remained virtually frozen, denying players the opportunity to gain or lose rating points. Yet beh…

For Canadians surveyed in a poll three years ago, the favorability rate gap between the United States and China was exceptionally wide. By this spring, China's favorability rating in Canada had surpassed that of the United States, reaching 44 percent compared to 33 percent. The s…

Dar es Salaam Regional Commissioner Albert Chalamila has given bar and nightclub owners in Kinondoni District one week to comply with government regulations on noise control, safety, licensing and environmental standards or face closure.

Criminalised for their street trades, young entrepreneurs from Tanzania’s tourism hub are forging their own economy from scratch.

DAR ES SALAAM: IMAGINE a classroom where a student in Kigoma has access to the same quality learning resources as another student in Dar es Salaam. Imagine a teacher in Mtwara using Artificial Intelligence (AI) to prepare engaging lessons, while a university student in Zanzibar accesses millions of research materials …

At Mexico's ancient Maya archaeological site of Chichen Itza, the stone pyramids and temples still tell stories of a remarkable civilization that flourished centuries ago. The historic site, which dates back to the 5th century AD, witnessed a dialogue between civilizations when C…

Na Mwandishi WetuMWENYEKI wa Bodi ya Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST), Yokbeth Festo Myumbilwa, amesema tafiti za jiosayansi zinazofanywa na taasisi hiyo zina mchango mkubwa katika kuibua maeneo yenye rasilimali za madini, kuvutia uwekezaji na kuchochea ukuaji wa uchumi wa Taifa unaolengwa katik…

NEW YORK: TANZANIA has earned international recognition for its progress in implementing the Sustainable Development Goals (SDGs) after presenting its Third Voluntary National Review (VNR) at the United Nations High-Level Political Forum (HLPF) on Sustainable Development in New York. Minister of State in the President…

AFRICAN countries have been urged to increase domestic investment in healthcare systems as part of efforts to build resilient, sustainable and self-reliant medical services across the continent. President Samia Suluhu Hassan issues this advice in addressing an extraordinary Afric…

DAR ES SALAAM: TANZANIANS yesterday marked the sixth anniversary of the passing of Third Phase President Benjamin William Mkapa, as national leaders reflected on his enduring legacy of institutional reform, infrastructure expansion, and human capital development. Leaders and development stakeholders highlighted how th…

SALIMA: THE 28th Ministerial Committee Meeting of the Southern African Development Community (SADC) Organ on Politics, Defence and Security Cooperation concluded today, July 18, 2026, with member states urged to implement the resolutions adopted to strengthen peace, security and stability across the SADC region. The m…

Mkurugenzi wa Biashara na Masoko wa Vodacom Tanzania Plc Brigita Shirima (katikati), Mkurugenzi wa Vodacom Business wa kampuni hiyo Nguvu Kamando (kulia), pamoja na…

NA: DK. REUBENI LUMBAGALA Maji safi na salama ni hitaji muhimu la wananchi waishio mijini na vijijini. Serikali inalo jukumu la kuhakikisha wananchi wake…

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Matukio tofauti ya picha alipoongoza Kikao Maalumu cha Halmashauri Kuu (CCM) kilichofanyika Visiwani Zanzibar Leo Julai 29, 2026. Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungan…

Na Mwandishi WetuKAMPUNI ya Yas Tanzania imesema itaendelea kuenzi urithi wa Hayati Rais wa Awamu ya Tatu, Benjamin William Mkapa, kwa kuwekeza katika teknolojia za kidijitali na kuimarisha ushirikiano unaolenga kuboresha upatikanaji wa huduma za afya kwa Watanzania.Akizungumza katika hafla ya kuadhimisha urithi wa Ha…
[Daily News] Mwanza -- ACCESS to clean and safe water in rural areas has increased from 64 per cent to 85.2 per cent under the first phase of the Sustainable Rural Water Supply and Sanitation Programme (SRWSSP), benefiting more than 10.2 million Tanzanians, the government has said.

NEW YORK – Nyota wa muziki duniani Justin Bieber ataungana na Shakira, Madonna na kundi la BTS kutumbuiza kwenye onyesho…

Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Kigoma, imetupilia mbali shauri la kupinga matokeo ya uchaguzi lililokuwa likimkabili Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini, Clayton Chipando, maarufu 'Baba Levo', aliyeshinda kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM). Uamuzi huo uliotolewa na Jaji V…

NA DENIS MLOWE IRINGA TAASISI ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) Kituo cha Kifulilo kimesema ushiriki wake katika Maonesho ya Nanenane yanayofanyika mkoani Iringa kwa mara ya kwanza unalenga kuwafikishia wakulima teknolojia mbalimbali za kisasa zitakazowawezesha kuongeza uzalishaji, thamani ya mazao na kipato.Hayo y…

MWENGE WA UHURU WATEMBELEA MRADI WA MAJI TARIME/ RORYA

DODOMA: The Geological Survey of Tanzania (GST) has continued to serve as a key centre for the provision of mineral research information in the country after hosting a delegation from Uganda that visited to learn from the institution’s experience and gain insights into the overall development of the mining sector. The…

MWENGE KUTEMBELEA MIRADI YA BILIONI 174 MARA

DAR ES SALAAM: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has called for faster expansion and modernisation of Tanzania’s transport and logistics infrastructure, saying an efficient network will be critical to achieving the economic ambitions of the National Development Vision 2050. Officiating at the Tanzania Logistics and Trans…

■ Utekelezaji wake mbioni kukamilika ■ Wafanyabiashara wausubiri kwa hamu Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO Ule msemo wa Kiswahili unaosema “Mgeni njoo, mwenyeji apone”…

IRINGA: MKOA wa Iringa umeingia katika hatua nyingine ya mapambano dhidi ya utapiamlo na lishe duni baada ya Mkuu wa Mkoa, Kheri James, kutangaza sera ya uwajibikaji mkali kwa watendaji wote wanaosimamia masuala ya lishe. Aidha, ameonya halmashauri itakayoshindwa kufikia asilimia 95 ya viashiria vya utekelezaji italaz…

Airtel Tanzania inaendelea kutekeleza dhamira yake ya kuwawezesha vijana kupitia ujuzi wa kidijitali unaozingatia utunzaji wa mazingira. Hii imefanyika kupitia mafunzo ya urejeshaji na ukarabati wa vifaa vya kielektroniki yaliyotolewa wakati wa warsha ya ReFab Dar 2, iliyofanyika jijini Dar es Salaam kuadhimisha Siku …
.jpeg)
Na Mwandishi Wetu, Dar es SalaamWAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) umesema usimamizi endelevu wa misitu na rasilimali za nyuki ni nguzo muhimu katika kuimarisha usalama wa mazingira, kukuza uchumi na kujenga jamii zenye ustahimilivu dhidi ya athari za mabadiliko ya tabianchi barani Afrika.Kauli hiyo imetolewa J…

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesisitiza umuhimu wa kuendeleza ushirikiano na mawasiliano baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, ili kuimarisha na kuendeleza maslahi ya wananchi. Rais Dkt. Mwinyi ameyasema hayo …

DAR ES SALAAM: THE growing burden of noncommunicable diseases (NCDs) has become one of Tanzania’s most pressing public health challenges, with obesity emerging as a major risk factor behind the rising number of people diagnosed with diabetes, hypertension, heart disease and certain types of cancer. Health experts say …

Na Mwandishi Wetu, MbeyaJESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 67 wanaotuhumiwa kujihusisha na makosa mbalimbali ya jinai katika kipindi cha mwezi Julai 2026, ikiwa ni sehemu ya jitihada zinazoendelea za kuimarisha ulinzi na usalama wa wananchi na mali zao.Akizungumza na waandishi wa habari, …

Zinedine Zidane has been named as the new head coach of France for the next four years, the French Football Federation (FFF) announced on Tuesday. The 54-year-old will take over from longtime head coach Didier Deschamps, who stepped down after the 2026 World Cup, which ended in disappointment for Les Bleus. Zidane wil…
[Daily News] Dar es Salaam -- THE government plans to review more than 1,000 laws to create a regulatory framework capable of supporting artificial intelligence, digital commerce and technologydriven investment as it seeks to make Tanzania's economy more competitive.

The announcement comes a day after a fundraising event aimed at improving treatment services for heart diseases and organ transplant procedures raised more than Sh2.2 billion.

Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa Benki ya NMB, Filbert Mponzi (kulia), Mkuu wa Idara ya Biashara NMB, Deogratias Shirima (kushoto) wakifurahia…

Visa vya Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) vimefikia 4,200, huku vifo vikifikia zaidi ya 1,900, wakati mlipuko huo ukiendelea kuenea kwa kasi na kuongeza changamoto kwa juhudi za kukabiliana nao. Mkurugenzi wa Kanda wa Shirika la Afya Duniani (WHO) barani Afrika…

SUBIRA IMEKWISHA! 😱⚽Fainali ya FIFA WORLD CUP 2026 inakuja na Oryx Energies tuko tayari kuitazama pamoja nawe! Tukutane Mbagala ZakhemJumapili | 19 July 2026 Tunayo kwa ajili yako: 🎉 Screen kubwa 🎧 Live DJ & Burudani 🍔 Vyakula na vinywaji 💯 Hakuna kiingilio Wacha mpira unoge! Tujaze uwanja tucheke, tupige kelele na t…

Mbunge wa Arusha ambaye pia ni Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Mhe. Paul Makonda akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha leo…

DAR ES SALAAM: OVER 2,000 participants and representatives from 50 international firms are expected to attend the seventh Tanzania Mining and Investment Conference (TMIC 2026), as the government steps up efforts to attract new investment and promote value addition in the mining sector. The conference is scheduled for …

TANZANIA is set to strengthen cassava production through the introduction of two new improved cassava varieties developed by agricultural researchers to increase yields, enhance food security, and improve the livelihoods of smallholder farmers. The initiative is part of ongoing e…

SERIKALI ya Tanzania na Misri zimekubaliana kuimarisha ushirikiano katika sekta ya kilimo, hususan kilimo cha umwagiliaji, kwa lengo la kuongeza uzalishaji wa chakula na kuimarisha usalama wa chakula nchini.

UONGOZI wa Yanga umeendelea kuwapa hamasa kubwa mashabiki wake kuelekea msimu mpya wa mashindano wa 2026/27, huku ukiweka wazi mpango wa kuendelea kukisuka kikosi hicho kwa kufanya usajili wa wachezaji wenye ubora wa hali ya juu. Akizungumza kuelekea msimu mpya, Ofisa Habari wa Yanga, Ali Kamwe, amesema kuwa usajili w…

Chinese President Xi Jinping on Friday urged China and Cambodia to carry forward the ironclad friendship forged by the older generations of leaders of the two countries. Xi made the remarks in his meeting with Cambodian Prime Minister Hun Manet, who is here to attend the 2026 Wor…

RAS ARUSHA: TAMBUA MAHITAJI YA SOKO KUTEKELEZA DIRA 2050

Miili ya Hamza Juma Omary na mdogo wake Ally Juma Omary, wanaodaiwa kuuawa na mtoto wa Hamza, Hosam Hamza, imezikwa…

Ni Wiki ya Mwananchi SportPesa Yanga Day 2026 imepamba moto kutokana na matukio ambayo yanaendelea kabla ya kilele cha tamasha lenyewe. Agost 9,2026 itakuwa kilele cha tamasha huku Yanga SC vs Aigles du Congo kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo watashuka uwanjani. Mbali na mchezo huo wa kimataifa kutakuwa na utamb…

Uongozi wa Simba SC umeamua kugeuza machungu ya kukosa saini ya mshambuliaji Selemani Mwalimu kuwa fursa ya kusajili mashine mpya ya mabao, kufuatia mchezaji huyo kujiunga na watani wao wa jadi, Yanga SC. Mwalimu, ambaye alikuwa kwenye rada za Wekundu wa Msimbazi kwa muda mrefu, ameibukia Yanga kwa mkataba wa mwaka mm…
.jpeg)
Na Mwandishi WetuWAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, ambaye pia ni Mbunge wa Arusha, Paul Makonda, ameridhishwa na maboresho yanayoendelea katika Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Center inayotoa huduma kwa ushirikiano na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete, ALMC–JKCI Arusha.Maboresho hayo yanafanyika kwa uwe…

DAR ES SALAAM: Ubunifu wa Saratani AI na Dawa Mkononi ni miongoni mwa miradi iliyoanzia katika tukio la Winning Line Academic Event la Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), ambayo sasa imeendelea kutoa suluhisho kwa wananchi ndani na nje ya Tanzania. Ubunifu huo umetajwa kuwa sehemu ya mafanikio…

Fainali ya leo kati ya Argentina na Spain itakuwa mtihani mkubwa wa mifumo miwili tofauti ya kimbinu inayofanya vizuri zaidi…

Kylian Mbappe ameandika historia mpya katika Kombe la Dunia baada ya kumpita Lionel Messi na kuwa mfungaji bora wa muda…

OSLO, Norway SHIRIKISHO la Soka la Norway (NFF) limetangaza nia yake ya kumshitaki Rais Donald Trump kwa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA). Norway wanapeleka barua yao kwa FIFA wakilalamikia Rais Trump kuingilia adhabu ya kadi nyekundu ya mshambuliaji wa timu ya soka ya Taifa ya Marekani, Folarin Balogun, wakati …

Ni suala la muda tu kabla ya Belgrade Arena kufurika shamrashamra za UFC Fight Night Belgrade, moja ya matukio yanayotarajiwa zaidi mwaka huu katika ulimwengu wa michezo ya mapigano. Siku imewadia, na kila saa inayopita inaongeza hamu ya mashabiki kushuhudia mapambano yatakayovuta hisia za dunia nzima. Kwa wapenda uba…
WAZIRI CHONGOLO AWAPONGEZA WANANCHI WA SEPEKU KWA UJENZI WA KITUO CHA AFYA

Mpaka sasa, vipande viwili vya Dar es Salaam–Morogoro na Morogoro–Makutupora tayari vinatoa huduma, huku vingine vikiendelea na ujenzi

KOCHA wa timu ya taifa ya Marekani, Mauricio Pochettino, amesema atafanya uamuzi kuhusu mustakabali wake wiki ijayo huku akifanya mazungumzo na Shirikisho la Soka la Marekani kwa uwezekano wa kuongeza mkataba wake hadi Kombe la Dunia 2030. Akizungumza na redio ya Cadena Cope nchi…

Pazia la Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2026/27, linatarajiwa kufunguliwa rasmi Agosti 14 mwaka huu na timu mbalimbali zinaendelea kujiimarisha kwa kufanya usajili mkubwa. Mabingwa watetezi Yanga SC nao wameendelea kutangaza nyota wao wapya ambapo mpaka sasa tayari wamekamilisha usajili na kutambulisha wachezaji 10. Miong…

DAR ES SALAAM: Simba SC wametanga kumnasa mshambuliaji, Ibrahim Doumbia kutoka QS Korofina ya Mali kwa mkataba wa miaka miwili. Simba SC wanaendelea kutambulisha wachezaji wapya kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu. Hadi sasa wamewatambulisha wachezaji wanne. Wachezaji hao ni Bakari Msimu, Kelvin Nashon, Nathaniel Chilambo…

Klabu ya Simba SC imeendelea kufanya maboresho ya kikosi chake kuelekea msimu wa 2026/27 baada ya kuachana na winga wa kimataifa wa Kenya, Mohammed Bajabeer, ambaye hatakuwa sehemu ya mipango …

USHIRIKIANO NA UADILIFU NI SILAHA YA KULINDA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO: RC SENYAMULE

RIO, Brazil KWA mujibu wa Shirika la Umoja wa Mataifa kupitia Programu yake ya Ukimwi (UNAIDS), watu zaidi ya milioni tatu watakuwa na maambukizi ya ugonjwa huo kufikia mwaka 2030. Katika ripoti yake ya hivi karibuni, watu milioni 1.2 walipata maambukizi mwaka 2025, huku wengine 570, 000 wakipoteza maisha. UNAIDS imee…

Fainali ya leo kati ya Argentina na Spain si mchezo wa kawaida wa soka ni mkutano wa vizazi viwili tofauti vya mpira wa miguu. Upande mmoja kuna Lionel Messi, mwenye umri wa miaka 38, akicheza huenda michuano ya Dunia yake ya mwisho, akitafuta kuweka muhuri wa mwisho kwenye urithi wake kwa kuwa nahodha wa kwanza […]

Mabingwa wapya wa Kombe la Dunia 2026, Hispania, wamerudi kileleni mwa viwango vya ubora vya FIFA kwa upande wa timu…

Serikali kupitia Wizara ya Afya imeendelea kuimarisha utayari wa kukabiliana na ugonjwa wa Ebola kwa kuendesha mafunzo kwa vitendo kwa wataalamu wa afya, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuendelea kuimarisha uwezo wa mfumo wa afya katika kuzuia, kugundua na kutoa mwitikio wa haraka dhidi ya magonjwa ya mlipuko.Hayo yamese…

Ratiba ya Yanga SC mechi 5 zijazo NBC Premier League 2026/27. Mabingwa hawa watetezi watakuwa na mechi 3 mfululizo nyumbani kabla ya kukwea pipa kuelekea Arusha ugenini. Wananchi chini ya Kocha Mkuu, Manqoba Mngqithi wanaendelea na mazoezi kambini Avic kwa mchezo ujao dhidi ya Coastal Union. Usajili mpya Yanga SC: Usa…

Kiungo mshambuliaji na nyota wa kimataifa wa Yanga SC, Stephane Aziz Ki, ameanza rasmi mazoezi na kikosi hicho katika Uwanja wa Avic Town, Kigamboni, tayari kwa maandalizi ya msimu mpya wa mashindano wa 2026/27. Aziz Ki, ambaye alitambulishwa rasmi Jumamosi ya Agosti 15, 2026, alionekana leo akifanya mazoezi ya pamoja…

DAR ES SALAAM: EGYPT President Abdel Fattah El-Sisi’s recent state visit to Tanzania is more than just another diplomatic event between two allied African countries. It signals a strategic shift that could reshape economic collaboration between North and East Africa, especially as the continent speeds up the rollout o…

Mashabiki wa michezo ya kasino, huu ndio wakati wa kupeleka burudani yako katika kiwango kipya kabisa. Meridianbet imeileta Mystery Multiplier Drop, kampeni ambayo imekuja kubadilisha namna unavyocheza na kushinda. Kama wewe ni mpenzi wa sloti za kisasa na unapenda kusaka ushindi mkubwa kwa kila mzunguko wa mchezo, ba…

Hatimaye ratiba ya Ligi Kuu ya NBC kwa msimu wa 2026/27, ambapo tayari kikosi cha Simba SC kimechapisha taarifa kuhusu mechi zao 10 za kwanza. Ratiba hiyo inaonyesha kuwa Simba SC wanatarajia kuwa na mechi 10 za moto, ikiwemo mchezo wa Kariakoo Dabi vs Yanga SC unaotarajiwa kupigwa Oktoba 10, 2026. Simba wataanza na m…

Na Mwandishi Wetu, Busan, Korea KusiniKIONGOZI wa jadi wa Kimasai, Isack Lekisongo Meijo, ametoa wito wa kuwepo kwa uwiano endelevu kati ya binadamu, mifugo na wanyamapori katika Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro ili kulinda urithi huo wa dunia na kuhakikisha maendeleo endelevu ya jamii za wafugaji.Meijo alitoa kauli hiyo…

Zanzibar imezindua rasmi huduma ya usafiri wa umma kwa kutumia mabasi ya umeme, ikiwa ni hatua inayolenga kuimarisha mfumo wa usafiri wa kisasa, kupunguza uchafuzi wa mazingira na kuongeza ufanisi wa huduma za usafiri kwa wananchi.

Ligi mbalimbali zimerejea na huu ni msimu wa kutengeneza pesa tuu. Anza safari ya ushindi hapa kwani wengi wametajirika sana….

A reading seminar on the fifth volume of "Xi Jinping: The Governance of China" was held Wednesday here in the capital of Tajikistan. Participants from various sectors of China and Tajikistan shared their reflections on the book and exchanged views on Chinese modernization and Chi…

“WALINIAMBIA sitafika mbali. Wengine walisema bora nipewe mtaji niuze machungwa kuliko kuendelea kuota ndoto za kurudi shule.”

Kipa wa Arsenal na timu ya taifa ya Hispania, David Raya (30), anaendelea kufurahia maisha ya ndoa na mwanamitindo Tatiana Trouboul (27). Ndoa yao, iliyofungwa mwaka uliopita, imebeba kumbukumbu za kipekee zaidi kwao, hususan kutokana na ziara yao ya fungate nchini Tanzania. Tatiana, aliyetoka kuwa mpenzi aliyekuwa ak…

Chelsea imethibitisha kumsajili kiungo mkongwe wa England, Jordan Henderson, baada ya mchezaji huyo kuvunja mkataba wake na Brentford kwa makubaliano ya pande zote. Henderson mwenye umri wa miaka 36 amesaini …

Arsenal wamepiga hatua kubwa kwa kufikia makubaliano ya awali kumsajili kiungo wa Brazil, Bruno Guimaraes, kutoka Newcastle United. Kwa mujibu wa Daily Mail, dili hili linakadiriwa kufikia pauni milioni 77 …

Bianca Andreescu alipokelewa kwa shangwe kwenye Canadian Open, lakini safari yake jijini Toronto haikudumu kwa muda mrefu. Akipewa wildcard ya kushiriki mashindano ya nyumbani, bingwa wa US Open 2019 alifungwa …

ARSENAL inaonekana kuwa katika nafasi nzuri ya kumsajili kiungo wa Brazil, Bruno Guimarães, kutoka Newcastle United kufuatia taarifa za kuondoka kwa kocha Eddie Howe, kwa mujibu wa ESPN. Guimarães ameibuka kuwa mmoja wa malengo makuu ya kocha Mikel Arteta katika dirisha hili la u…

DAR ES SALAAM: LAST week, at the Julius Nyerere International Convention Centre (JNICC) in Dar es Salaam, we officially launched two new investment products into the Tanzanian market: The Timiza Plus Fund and the Zan Timiza ETF. Both opened for public subscription on the same day, addressing a question we have asked s…

Juventus tayari wamesajili wachezaji wawili wapya katika safu ya ushambuliaji msimu huu wa kiangazi, lakini bado wanatarajia kumpatia kocha mkuu Luciano Spalletti chaguo lingine katika eneo la mbele la uwanja. …

Mwanamke mwenye umri wa miaka 47, Helena Matiku, mhudumu wa baa na mkazi wa Musoma, amefariki dunia baada ya kudaiwa kupigwa kwa ngumi na mateke na mpenzi wake, ambaye baadaye alijinyonga hadi kufa. Tukio hilo limetokea Agosti 5, 2026 katika nyumba ya kulala wageni ya Siti, iliyo…

Dar es SalaamWaziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Prof. Palamagamba Kabudi amesisitiza umuhimu wa kuhakikisha miradi inayotekelezwa kupitia mradi wa Uboreshaji Jiji la Dar es Salaam (DMDP) inazingatia ubora, kasi ya utekelezaji na matumizi sahihi ya fedha za umma.Prof. Kabud…

DUSAN: TANZANIA has joined global conservation stakeholders in advancing discussions on protecting World Heritage sites as the 48th Session of the UNESCO World Heritage Committee concluded in Busan, Republic of Korea. The meeting, which ended on July 29, 2026, brought together representatives from countries that are p…

LONDON, Uingereza SHIRIKISHO la Soka la Italia (FIGC) limeanza mazungumzo na kocha aliyeondoka Manchester City, Pep Guardiola, likijaribu kumshawishi kuchukua nafasi ya Gennaro Gattuso aliyeondoka kwenye benchi la ufundi la timu ya taifa. Gattuso aliachia ngazi Aprili, 2026, baada ya Italia kufungwa na Bosnia katika m…

Tanzania is seeking to attract fresh investment from the Dangote Group in the fertiliser and energy sectors as the country moves to boost agricultural production, reduce dependence on imported inputs and strengthen its position as a regional industrial hub. The push follows a hig…

Nahodha wa Argentina, Lionel Messi, amerejea mazoezini na klabu yake ya Inter Miami siku ya Jumatano, ikiwa ni siku 10 tangu Argentina ipoteze fainali za michuano ya Dunia kwa kufungwa …

Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akizungumza wakati wa Kikao chake na wajumbe wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Mbeya (hawapo pichani), wakati alipotembelea Ofisi za Mkoa za Chama cha Mapinduzi (CCM), jijini Mbeya, wakati wa ziara yake Mkoani humo. Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) (…

Sambamba na agizo hilo, Kanali Mtambi amemtaka Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma kutoa usafiri wa kuihamisha familia hiyo kutoka eneo la machimbo kwenda makazi mapya yaliyotengwa kwa ajili yao.
DAR ES SALAAM: TWIGA Stars may have bowed out of the Women’s Africa Cup of Nations (WAFCON) in Morocco, but Tanzania should not view the campaign as a failure. Their elimination from the group stage is undoubtedly disappointing. After making a strong start by defeating the 2022 champions, South Africa, expectations na…

Kwa mujibu wa Daily Mail, Chelsea wamewajulisha klabu zinazomwania Pedro Neto kwamba wanataka karibu pauni milioni 100 (£100m) ikiwa wataamua kumuuza mshambuliaji huyo wakati huu wa kiangazi. Mchezaji huyo mwenye …

Mkuu wa Gereza la Ukonga, ACP Andrew Shaban, amesema hafahamu kama Tundu Lissu aliwahi kuwa Rais wa Chama cha Wanasheria…

Lissu accused police of decades-long political persecution and exposed procedural gaps in the treason case against him during cross-examination on August 11, 2026.

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amewaapisha viongozi wapya aliowateua katika nafasi mbalimbali za Serikali na kuwataka kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia uadilifu, uwajibikaji, ushirikiano na utoaji wa matokeo yanayogusa maisha ya wananchi. Rais Samia ameeleza hayo leo Jumatatu Julai 27, 2026, Ikulu ya Tun…
ARUSHA DC YAHIMIZA WAKULIMA KUANZIA SOKONI, YAJIPANGA KUNG'ARA MAONESHO YA NANENANE 2026

WANANCHI WAASWA KUJENGA IMANI KWA JESHI LA POLISI

* Lengo ni kurahisisha huduma kwa wateja * Kamati ya Bunge yaishauri Serikali kupunguza tozo zinazowaumiza wachimbaji wadogo * Dhahabu tani 67.8 zenye thamani…

ZANZIBAR: PRESIDENT of Zanzibar and Chairman of the Revolutionary Council, Dr Hussein Ali Mwinyi, has sworn in Dr Maryam Seif Hemed as the new Director General of the Ministry of Health following her appointment to the position. The swearing-in ceremony was held today, August 11, 2026, at the State House in Zanzibar, …

IRELAND EMBASSY, PARTNERS COMMENDED FOR IMPLEMENTING DEVELOPMENT PROJECTS IN DODOM

JESHI la Polisi Mkoa wa Ruvuma, kupitia Kitengo cha Usalama Barabarani na Kitengo cha Polisi Jamii, limetembela Hospitali Mkoa wa Ruvuma na kukabidhi mahitaji mbalimbali kwa wazazi waliolazwa. Hatua hiyo ni sehemu ya kuendeleza kutoa matendo ya huruma na kuimarisha mshikamano kat…

Roberto Mancini amerejea kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa ya Italia, miaka minne baada ya kuondoka kwenye nafasi hiyo. Rais wa Shirikisho la Soka la Italia (FIGC), Giovanni Malagò, alitangaza rasmi uteuzi huo jana, akisema Mancini ndiye chaguo bora zaidi kwa wakati huu."Muda ulik…
[Daily News] Zanzibar -- Zanzibar is moving towards a cashless public transport system after digital financial services provider Mixx was selected to manage fare payments for the newly launched ZanBus electric bus project, combining digital payments with the island's push for cleaner and more efficient mobility.

ZANZIBAR: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has directed senior government officials to ensure effective, timely and well-coordinated communication to strengthen public confidence in the government and safeguard national interests. The Head of State issued the directive yesterday while opening a two-day seminar for Minist…

MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Zuchu amevunja rekodi kwa kutembelewa hospitali na idadi kubwa ya watu mashuhuri nchini baada ya kujifungua mtoto wake na Nasib Abdul baarufu kama Diamond Platnumz. Zuchu alijifungua mtoto wa kike Agosti 2, Jumapili ya wiki iliyopita na kusababisha wat…

Mbunge wa Jimbo la Bagamoyo, Subira Mgalu, amesema matumizi ya nishati safi ua kupikia inapunguza athari za kiafya zinazotokana na matumizi ya nishati chafu kama kuni na mkaa. Mgalu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge na Nishati na Madini ameyasema hayo leo ka…

Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Ndugu Aggrey Mwanri (MCC), leo Agosti 15, 2026, amekuwa Mgeni Rasmi katika Mkutano wa Hadhara wa Jimbo la Ubungo, ulioandaliwa na Mbunge wa Jimbo hilo, Prof. Kitila Mkumbo, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji. Kabla ya kushirik…

By The Respondents ReporterTanzania has made progress in reducing maternal deaths, with increased investment in healthcare infrastructure, medical personnel and access to essential services contributing to improvements in maternal and child health, Deputy Minister for Health Dr Florence Samizi has said.Dr Samizi said …
[Daily News] Dar es Salaam -- TANZANIA'S Ambassador to Oman, Ms Maulidah Hassan, has urged Omani traders and investors to learn Kiswahili, saying the language has become a strategic tool for trade, investment and economic diplomacy in East Africa.

By Victoria GodfreyTanzanians have been urged to position themselves early to benefit from the economic and business opportunities expected to accompany the 2027 Africa Cup of Nations (AFCON), with the National Sports Council (NSC) identifying 12 key sectors likely to gain from the tournament.The championship, which T…

MUNICH, Ujerumani BAYERN Munich itakuwa nyumbani kuikaribisha VfB Stuttgart katika mechi ya ufunguzi wa Bundesliga msimu mpya wa 2026-27. Hiyo itakuwa Ijumaa ya Agosti 28, 2026. Je, nani kumfunika Harry Kane, ambaye msimu uliopita aliibeba kiatu cha ufungaji bora akiwa ameingia kambani mara 36? Bayern chini ya kocha V…

Kwa mujibu wa mwandishi wa habari za usajili, Fabrizio Romano, Tottenham wako katika mazungumzo ya moja kwa moja na wawakilishi wa winga wa Liverpool, Cody Gakpo. Spurs kwa sasa wanaendelea …

President Samia Suluhu Hassan’s announcement of plans to establish a Reconciliation Commission has triggered wide debate among political and governance stakeholders, with many saying the move could mark the beginning of efforts to build consensus towards a new constitution and strengthen national unity. However, stake…

📍Nzuguni : DodomaWaziri wa Kilimo, Mh.Daniel Chongolo, ameipongeza Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) na kuitaka kuhakikisha pampu za Umwagiliaji zilizotengwa kwa ajili ya wakulima zinagaiwa kuanzia Agosti 30 kwa wanufaika katika mikoa husika ili ziweze kutumika kuongeza uzalishaji wa mazao.Chongolo ametoa maelekezo …

MERSEYSIDE, Uingereza NYOTA huyo wa eneo la ulinzi ameondoka Barcelona na kujiunga na Liverpool majira haya ya kiangazi. Alikuwa nahodha wakati Wacatalunya hao wakitwaa ubingwa wa La Liga msimu uliopita (2025-26). Kwa mujibu wa mkataba wake wa mkopo, Liverpool itaweza kumsajili moja kwa moja mwishoni mwa msimu wa 2026…

MANCHESTER, Uingereza BAADA ya filimbi ya mwisho katika mchezo wao wa Ngao ya Jamii dhidi ya Arsenal jana Agosti 16, 2026, kocha Enzo Maresca alisema bado mapema, hivyo mashabiki wa Manchester City hawapaswi kuwa na wasiwasi. Walifungwa mabao 3-0. Ni kweli ilikuwa mechi ya kwanza ya ushindani kwa Maresca akiwa kocha w…

KIGOMA: ECONOMIC empowerment project has been launched in four villages surrounding the Makere South Forest Reserve (Kagera Nkanda) in Kasulu District, Kigoma Region, to provide alternative sources of income for local communities and reduce conflicts over forest resources. The initiative seeks to improve livelihoods w…

DODOMA: THE Tanzanian government has prepared a special operation to inspect the implementation of technical assistance agreements in mining activities, as part of efforts to ensure that the agreements comply with the law and protect the interests of licence holders. The operation will also seek to determine whether t…

Na Janeth Raphael - MichuziTv .WAKATI Tanzania ikiendelea kupanua sekta ya usafiri wa anga kupitia ongezeko la ndege mpya, Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kimesema kinaandaa mazungumzo na Serikali ili kuwezesha wanafunzi wanaosomea urubani pamoja na kozi nyingine za anga kupata mikopo ya elimu, hatua inayolenga …

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewaapisha viongozi wanne aliowateua hivikaribuni, wakiwemo majaji wawili wa Mahakama Kuu ya Zanzibar.Rais Dkt. Mwinyi amewaapisha viongozi hao leo, tarehe 24 Julai 2026, katika hafla iliyofanyika IkuluZanzibar.Viongozi waliokula kia…

Kundi la Hezbollah linaloungwa mkono na Iran limemkosoa Rais wa Lebanon, Joseph Aoun, likisema ziara yake nchini Marekani haikufanikisha malengo…

Real Madrid wanaandaa mazungumzo ya mkataba wakati wa majira ya kiangazi ili kuboresha mkataba wa Jude Bellingham na kumlipa mshahara unaolingana na ule wa Vinicius Junior. Wakati huo huo, …

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa…

CARACAS, Venezuela SIKU chache zilizopita, Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela, Felix Plasencia, alitangaza uamuzi wa nchi hiyo kuondosha uanachama wake katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC). Kwa mujibu wa Plasencia kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa X, zamani ukifahamika kwa jina la Twitter, hatua …

DAR ES SALAAM: WHEN a young teacher steps off a bus into an unfamiliar district in rural Geita or Katavi, their primary challenge often isn’t the lesson plan. It is finding a decent place to live, securing reliable meals and earning the respect of a community that too often views teaching as a career of …

DODOMA: Minister for Finance Khamis Mussa Omar has directed the Tanzania Agricultural Development Bank (TADB) to strategically invest in key government priority areas in agriculture to enable the country to achieve its long-term plans for the sector, which employs a large number of Tanzanians. Ambassador Omar issued t…

He was a sociologist, Pan-Africanist, public intellectual and writer whose influence extended well beyond the boundaries of the university.

WAZIRI Mkuu Mwigulu Nchemba amezitaka wizara na taasisi zinazonufaika na fedha za NBC Dodoma Marathon kuhakikisha zinatumika kwa uwazi na kwa kuzingatia thamani ya fedha, ili malengo yaliyokusudiwa yaweze kuleta matokeo yanayopimika. Aidha, amesisitiza kuwa kila shilingi inayowek…

Pambano la ubingwa wa dunia la uzani wa welter la WBA kati ya Rolando Romero vs Teofimo Lopez litafanyika siku ya Jumamosi, Agosti 22, 2026 usiku wa kuamkia Jumapili kwa Tanzania, Agosti 23,2026. Mabondia hawa watapambana katika ukumbi wa T-Mobile Arena jijini Las Vegas, Nevada. Ni Romero maarufu kwa jina la Rolly na …

LONDON, Uingereza MABINGWA wa Ligi Kuu ya England (EPL) msimu wa 2025-26, Arsenal, wameimarisha safu yao ya kiungo kwa kumsajili Bruno Guimaraes kutoka Newcastle United, usajili uliogharimu Pauni milioni 75. Mbrazil huyo amesaini mkataba wa miaka minne, akiungana na Declan Rice, Mikel Merino, Martin Zubimendi na Marti…

Kikosi cha Simba SC, leo Agosti 5, 2026, kimerejea nchini kikitokea Kigali, Rwanda, kilikoshiriki michuano ya CECAFA Kagame Cup pamoja…

DAR ES SALAAM: AS African economies deepen regional integration and expand intra-African trade, Tanzania is emerging as an increasingly attractive investment destination for Mozambican businesses seeking access to wider regional markets. In the seventh part of the Daily News Diplomatic Bench Interview series, High Com…
Na ARAPHA RUSHEKE – Mahakama, Dodoma Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo Doodoma, Mhe. Joachim Tiganga, hivi karibuni aliwaongoza watumishi kufanya ziara ya mafunzo katika Hifadhi ya Ngorongoro. Lengo la ziara hiyo lilikuwa kujifunza kuhusu uhifadhi wa mazingira na wanyamapori, historia, utamaduni…

DAR ES SALAAM: HEALTH ministers from 14 African countries are meeting in Dar es Salaam to strengthen regional cooperation on disease outbreak preparedness and improve reproductive, maternal, child and adolescent health. Tanzania’s Minister for Health, Mohamed Mchengerwa, who is hosting and serving as Vice-Chairperson …

Washindi kwa mwaka huu wametangazwa katika vipengele vitatu vya uandishi, huku waandishi kutoka Tanzania na Kenya wakitwaa tuzo hizo.

MUSCAT: TANZANIA and Oman are set to significantly boost trade, tourism and cross-border investment following the launch of direct Air Tanzania Company Limited (ATCL) flights between Dar es Salaam and Muscat. The new route, inaugurated over the weekend at Muscat International Airport, is expected to enhance air connec…

Meridian Icy Fruits ni mfano wa maendeleo ya michezo ya sloti ya mtandaoni inayochanganya sanaa ya muundo wa picha na teknolojia ya kisasa ya burudani ya kidijitali. Mchezo huu unaangazia mandhari ya barafu yenye mvuto wa kipekee, ambapo matunda ya rangi tofauti na alama za jadi za sloti huunganishwa katika mazingira …

Mkurugenzi wa Ufundi kutoka Chama cha kuogelea Tanzania, Amina Mfaume (kushoto); Mwanzilishi na Mkurugenzi wa Shule ya Kimataifa ya Monti, Fatma Fernandes (wa tatu kutoka kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na Kocha mashuhuri wa kimataifa wa uogeleaji, Ben Lee (wa pili kushoto) ambaye aliwasili jijini Dar es Salaam…

SAFARI ya mapenzi kati ya watu wawili wanaopendana, huanza kwa mmoja kati yao, hasa mwanaume kumtamkia nia yake yule anayempenda…

AFRICA: THE women had gathered under the shade of an old mango tree, their voices blending with the laughter of children playing nearby. While waiting for a community health outreach session to begin, the conversation drifted from household chores to something far more consequential. One woman spoke proudly of how fam…

DODOMA: POLICE have arrested the driver of Isamilo Express bus for alleged reckless driving following a head-on collision that killed nine people and injured several others at Ibihwa Village in Bahi District, Dodoma Region, on Sunday morning. According to a statement issued by police late Sunday, the Mwanza-bound bus …

PARIS, Ufaransa MLINDA mlango wa zamani wa timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa, Fabien Barthez, ameajiriwa kuwa sehemu ya wasaidizi wa kocha mkuu wa kikosi hicho, Zinedine Zidane. Kwa mujibu wa taarifa, Barthez anakwenda kwenye benchi kumsaidia ‘Zizou’ katika majukumu ya kuwanoa makipa wa timu hiyo. Zidane aliajiriwa wi…

Dirisha kubwa la usajili kwa Ligi zilizo chini ya Shirikisho la soka Tanzania (TFF), umefungwa rasmi jana Jumamosi Agosti 15, 2026. Hii ni baada ya kuwa wazi kwa kipindi cha zaidi ya mwezi mmoja, tangu Julai 6, 2026. Uongozi wa Yanga SC umefanya maboresho makubwa ya kikosi chao, kwa kusajili Nyota wapya 13 ambao watat…

Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akimkabidhi Tuzo pamoja na Cheti, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo TIB,…

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limewatangazia wananchi kuwa kuanzia Agosti 11 hadi 17, 2026, kutakuwa na ratiba maalumu ya upatikanaji wa umeme katika baadhi ya mikoa kutokana na kuendelea kwa zoezi la uvutaji wa nyaya katika Mradi wa Kusafirisha Umeme wa Msongo wa Kilovolti…

MKUU wa Kampasi ya Dodoma wa Chuo cha Uhasibu Arusha,Prof. Epaphra Manamba,akizungumza na waandishi wa habari leo Agosti 2,2026 kwenye banda la chuo hicho akimwakilisha Mkuu wa Chuo, Profesa Eliamani Sedoyeka,wakati wa Maonesho ya 49 ya Kilimo ya Nane Nane yanayoendelea katika viwanja vya Dkt. John Samuel Malecela Nzu…

Rais wa Marekani, Donald Trump, ameahidi kutoa majibu makali baada ya wanajeshi wa Marekani kuzuia shambulio la makombora ya balistiki…

Na Mwandishi Maalum, Namtumbo WAZIRI wa Katiba na Sheria na Mbunge wa Jimbo la Namtumbo Mkoani Ruvuma Dkt Juma Homera,ameiagiza Halmashauri ya Wilaya Namtumbo…

FORMER Athletics Tanzania (AT) secretary general Suleiman Nyambui has called on all sports stakeholders to unite and develop a long-term strategy to restore Tanzania's status as a medal-winning nation at major international competitions. Nyambui, who is also a veteran athletics c…

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata watuhumiwa 83 kwa tuhuma za kuhusika na makosa mbalimbali ya…

LOS ANGELES, Marekani MAHAKAMA mjini Nevada, Marekani, imetaka mahojiano ya mtuhumiwa wa mauaji ya rapa Tupac Shakur, Duane Davis ‘Keffe D’ yawasilishwe kama ushahidi wakati kesi hiyo itakaposikilizwa tena. ‘Keffe D’ (63), anashitakiwa kwa kumuua Tupac katika tukio la kummiminia risasi jijini Las Vegas mwaka 1996 na e…

Preview ya Kiswahili ya WAFCON 2026 robo fainali kwa Tanzania: ratiba, mechi kubwa, mambo ya kutazama na tahadhari za mhariri kabla ya kuchapisha.

DAR ES SALAAM: TANZANIA Football Federation (TFF) President, Wallace Karia, has assured Mainland Premier League clubs that they will not bear the cost of introducing the Football Video Support (FVS) system, as the League Board (TPLB) and competition sponsors are set to finance the technology ahead of the 2026/27 seaso…

Kiongozi mkongwe wa upinzani nchini Uganda, Dk. Kizza Besigye, amerudishwa katika Gereza la Luzira kutoka Hospitali ya Taifa ya Rufaa…

Barcelona imefikia makubaliano na Manchester City kwa ajili ya kumsajili kiungo wa Hispania, Rodri, huku tangazo rasmi la uhamisho huo likitarajiwa kutolewa ndani ya siku chache zijazo. Kwa mujibu wa …

DAR ES SALAAM: TANZANIA National teams spokesperson Haji Manara has appealed to Taifa Stars captain Mbwana Samatta to continue representing the country until the 2027 Africa Cup of Nations (AFCON), saying his international football experience remains valuable to the development of the national team. The appeal comes a…

MANCHESTER, Uingereza KOCHA wa Manchester City, Enzo Maresca, yuko mbioni kutangaza nahodha mpya wa kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao wa 2026-27. Man City inahitaji nahodha wa kuvaa kitambaa cha Bernardo Silva ambaye ameondoka klabuni hapo majira haya ya kiangazi na kutua Real Madrid. Wakati huo huo, Man City wanaw…

Kauli hiyo inakuja wiki moja tangu Makamu wa Rais, Dk Emmanuel Nchimbi alipozungumza kuhusu kupata Katiba mpya.

Rais Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali itaendeleza maridhiano ya kisiasa nchini kuelekea hatua za maboresho ya Katiba kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za nchi. Katika kuyatimiza hayo, ameahidi kuendeleza majadiliano na vyama vya siasa ili kujenga mwafaka kuhusu masua…

YOUNG Africans SC (Yanga) have confirmed that Ivorian attacking midfielder Pacome Zouzoua will not be part of the club’s registered squad for the 2026/27 season as he continues his recovery from a serious leg injury. The decision, announced by Young Africans’ head of information …

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limeonyesha mshikamano mkubwa kwa Rais wa Shirikisho la Kimataifa la Soka (FIFA), Gianni Infantino, baada ya Kamati yake ya Utendaji (EXCO) kutangaza kwa kauli moja …

DAR ES SALAAM: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has directed security agencies to strengthen coordination in protecting Tanzania’s waters, ordering them to deploy officers to the National Joint Operations Centre (NJOC) within two weeks. The directive is aimed at ensuring newly acquired high-speed patrol boats are used f…

State House convenes a meeting to address months of strained government-Church relations over the latter’s demands for accountability for the October 2025 election killings.
.jpeg)
Na Janeth Raphael – Michuzi TVWatu wanane wamefariki dunia na wengine 66 kujeruhiwa kufuatia ajali mbaya iliyohusisha mabasi mawili ya abiria yaliyogongana uso kwa uso katika eneo la Ibihwa, Halmashauri ya Wilaya ya Bahi, mkoani Dodoma.Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Rehema Jeremia, amethibitisha kutoke…

Mahakama ya Rufani imekataa ombi la Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, la kuitaka serikali imlipe fidia kwa madai kuwa maombi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) yalichelewesha kwa makusudi mwenendo wa kesi ya uhaini inayomkabili na kumfanya aendelee kushikiliwa mahabusu kwa muda mr…

Dar es Salaam: Airtel Money kwa kushirikiana na Buni, Dar Teknohama Business Incubator (DTBI), Vocalize IoT Project na Techstar Innovation…

DAR ES SALAAM: THE government says it is expanding the use of open-source technology across public institutions to strengthen digital sovereignty, improve service delivery and reduce software costs. Minister for Communication and Information Technology Angellah Kairuki said the move enables the government to own and c…
.jpeg)
Azindua boti mbili za kisasa kufanya doria baharini, maziwa makuuNa Mwandishi Wetu WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa siku 14 kwa wizara na taasisi zinazohusika na Kituo cha Kitaifa cha pamoja cha Oparesheni zipeleke wawakilishi ili kianze kufanya kazi mara moja."Wizara na taasisi zote zinazohusika na utekelezaji…

Na Mwandishi wetu, Mirerani MKUU wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, mwalimu Fakii Raphael Lulandala ameongoza mamia ya wakazi wa eneo hilo kwenye mazoezi…

By The Respondents ReporterTanzania’s founding father, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, has received further recognition for his contribution to Africa’s liberation struggle after Tanzania President Samia Suluhu Hassan and Angola President João Manuel Gonçalves Lourenço inaugurated a specialised referral hospital nam…

Soma hapa...

Benki ya NMB imeendelea kuifanya Nanenane 2026 kuwa zaidi ya maonesho ya kilimo kwa kuendesha kampeni ya utoaji wa elimu ya kifedha, ujasiriamali na usimamizi wa biashara kwa wananchi waliotembelea mabanda yake katika kanda mbalimbali nchini.Katika Banda la Vijana lililopo viwanja vya DK John Mwakangale jijini Dodoma,…

DAR ES SALAAM: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan’s call for African nations to invest in specialised healthcare is timely and a policy recommendation. It is a compelling vision for the continent’s next phase of liberation, one defined not by political sovereignty alone, but by the ability to care for its own people. Speak…

NA DENIS MLOWE, IRINGA MKURUGENZI wa Manispaa ya Iringa, Zaina Mlawa, amezionya kampuni zinazofanya shughuli za usafi katika Manispaa za Bejom na Suma JKT,…

DAR ES SALAAM: FOR millions of Tanzanians, access to a mobile network is no longer just about making calls or browsing the internet. It is increasingly becoming a gateway to education, financial inclusion, business growth and economic opportunities. This was the central message as Vodacom unveiled its new “More Than a…

Standard Chartered Foundation, kupitia Standard Chartered Tanzania, imetoa mchango wa TZS 21,456,431.52 kwa ajili ya kuunga mkono Programu ya Mabinti ya CCBRT, ikiwa ni sehemu ya dhamira ya Benki ya kuendelea kukuza ujumuishaji wa kiuchumi na kuongeza fursa kwa makundi yaliyo kat…

Mwekezaji yeyote asiye mkazi anaweza kushiriki katika dhamana za Serikali za muda mfupi na muda mrefu zinazotolewa na Serikali ya Tanzania.

ZANZIBAR: ZANZIBAR has called on families, employers and communities to support mothers to exclusively breastfeed their babies for the first six months of life, saying the practice is essential for raising a healthy and productive population. Speaking during World Breastfeeding Week commemorations, Director of Nursing…

DAR ES SALAAM: The Evangelical Lutheran Church in Tanzania (KKKT) has launched a digital learning website offering Christian and entrepreneurship teachings, alongside the unveiling of a new book by Rev. Dr Allen Mbiso which will be available through the KKKT Digital platform. The website, KKKT Digital, is designed to …

Na Malima Lubasha, Gazetini MKUU wa Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, Angelina Lubela, amezindua Jukwaa la Vijana (Youth Platform) ikiwa ni hatua ya kuimarisha ushiriki wa vijana katika maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Lubela alitoa wito huo wakati akizindua jukwaa hilo jana katika Ukumbi wa Chuo cha Ukunga na Uuguzi …

KIUNGO mkabaji wa Brazil, Casemiro, amesema alichagua kujiunga na Inter Miami kwa lengo la kumsaidia nyota wa Argentina, Lionel Messi, kuendelea kutwaa mataji zaidi katika kipindi cha mwisho cha maisha yake ya soka. Casemiro, mwenye umri wa miaka 34, alisaini mkataba na Inter Mia…

▪️Awataka watumishi kutimiza wajibu waoWAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewahimiza watendaji wa Serikali kuwahudumia kikamilifu Watanzania ili miradi inayojengwa na Serikali itoe matokeo chanya.“Tunachokijenga hapa, si jengo pekee, bali tunajenga mazingira bora ya utendaji wa mfuko. Kupitia uwekezaji huu tunachochea …

Ukiwa na Meridianbet ni raha kupitiliza kwani unaweza ukarejesha pesa yako kwa 100% endapo timu moja ikichana leo. Ingia kwenye…

FARIDA SAID, MOROGORO Ng'ombe 56 waliokuwa mali ya mfugaji Clement Bernad sasa wamebaki kuwa sehemu ya historia yake ya ufugaji, ukame unaochochewa na mabadiliko ya tabianchi na kupungua kwa malisho vimemlazimisha kubadili mfumo wa ufugaji, akipunguza idadi ya mifugo na kuanza kuangalia zaidi uwezo wa kuzalisha malish…

WAKULIMA KANDA YA KASKAZINI WATAKIWA KUJIANDAA NA FURSA ZA UJIO WA IPU NA AFCON 2027

By Our Reporter, ArushaThe Tanzania Agricultural Development Bank (TADB) has disbursed loans worth Sh1.55 trillion to 862 projects, highlighting the growing role of development finance in Tanzania’s efforts to transform agriculture from subsistence production into a commercially oriented sector.TADB Managing Director …

DAR ES SALAAM: THE Executive Director of the Public-Private Partnership Centre (PPPC), David Kafulila, has begun implementing President Samia Suluhu Hassan’s directive by engaging social media journalists to promote a shared understanding of the implementation of Tanzania’s National Vision 2050. Kafulila made the rema…

DAR ES SALAAM: WE have reason to view our agricultural sector with confidence. Rising food production, expanding irrigation and improved access to inputs, finance, technology and markets are laying foundations for a transformation that could reshape the country’s future. However, the challenge is to turn these gains i…

Tanzania’s President Samia Suluhu Hassan has launched the implementation framework for Development Vision 2050, with the government and private sector signing a Joint Declaration to accelerate investment, industrialisation and economic transformation. The private sector is expected to lead about 70% of implementation …

DODOMA: THE government has directed business officers nationwide to regularly update databases on industries, businesses, markets and investment opportunities to provide accurate information for planning and attracting investors. Deputy Minister for Industry and Trade Denis Londo issued the directive on Monday in Dodo…

WAKULIMA NA WAFUGAJI WAKIRI KUPATA ELIMU YA UFUGAJI NA KILIMO BORA MAONESHO YA NANENANE KANDA YA KASKAZINI
.jpeg)
Na Janeth Raphael - MichuziTv Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ameielekeza Tume ya Maendeleo ya Ushirika kuimarisha ukaguzi wa mara kwa mara katika vyama vya ushirika nchini ili kudhibiti ubadhirifu wa mali, kuongeza uwajibikaji na kuhakikisha vyama hivyo vinatoa huduma bora kw…

Afisa Masoko wa Chama Kikuu cha Ushirika cha Wilaya ya Mbinga (MBIFACU), Osmund Mbunda, amesema chama hicho kinaendelea kuongeza thamani ya zao la kahawa kwa kusindika na kuuza kahawa iliyotayari kwa matumizi badala ya kutegemea uuzaji wa kahawa ghafi pekee. Mbunda ameyasema hayo Agosti 3, 2026, alipokuwa akizungumza …

Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imeandaa mtaala maalum wa kozi fupi za recycling kwa lengo la kuwawezesha vijana kupata ujuzi wa kukabiliana na changamoto zinazojitokeza katika sekta ya taka na kuongeza thamani ya taka zinazoweza kurejelewa. Hayo yameelezwa Agosti 15, 2026 jijini Dodoma na Naibu Kat…

Na Mwandishi WetuMARAIS sita wa Afrika wakiongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, wanatarajiwa kushiriki Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa Africa50 na Jukwaa la Miundombinu Afrika utakaofanyika Agosti 5 na 6, 2026 katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC), jiji…

CAIRO, Misri RAIS wa Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF), Patrice Motsepe, amesema hakuna namna ya kumng’oa Gianni Infantino ndani ya FIFA zaidi ya kusubiri Uchaguzi. Motsepe amekuja na kauli hiyo wakati huu Rais huyo wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) akikabiliwa na shinikizo la kujiuzulu baada ya jaribio l…

Siku zinazidi kusonga kuelekea Ligi Kuu Tanzania Bara 2026/27 kabla ya pazia kufunguliwa rasmi.Agosti 12,2026 mchezo wa Ngao ya Jamii utawakutanisha Yanga SC vs Simba SC, Uwanja wa New Amaan Complex. Mwanzo wa Kariakoo Dabi ni ishara kwamba ligi imefunguliwa rasmi. Agosti 14,2026 msimu mpya utaanza kwa mechi kali kuch…

Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania imezindua rasmi kampeni mpya ya "Zaidi ya Mtandao", ikisisitiza dhamira yake ya kutumia teknolojia kuleta fursa zaidi za kiuchumi na kijamii kwa Watanzania, badala ya kutoa huduma za mawasiliano pekee. Uzinduzi wa kampeni hiyo ulifanyika…

Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kimeanza utafiti na majaribio ya kutumia panya buku kubaini nyara za serikali katika juhudi za kukabiliana na ujangili nchini. Makamu Mkuu wa SUA, Prof. Raphael Chibunda, amesema hayo leo wakati Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba, alipotembelea b…

Mkurugenzi wa Kurugenzi ya Tafiti na Uchumi Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dk. Suleiman Misango, ameshangazwa na jinsi Mfumo wa PSSSF Portal, ulivyoweza kutoa taarifa za wanachama wa PSSSF kwa haraka tangu alipoanza ajira hadi hivi sasa. Ameyasema hayo, Agosti 4, 2026 wakati akito…

Cristian Romero amethibitisha kuwa anaondoka Tottenham kabla ya kuhamia Atlético Madrid katika uhamisho wenye thamani ya takribani £34.2 milioni, akihitimisha kipindi chake cha miaka mitano Spurs baada ya kusaidia klabu …

Na WMA- Dodoma Wakala wa Vipimo (WMA) umetakiwa kupanua mpango wa kuanzisha klabu za vipimo shuleni hadi katika shule za sekondari, ili kuongeza wigo wa elimu ya vipimo na kuhakikisha uelewa wa matumizi sahihi ya vipimo unafika hadi ngazi ya kaya. Wito huo umetolewa na Mhadhiri wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), Pat…

Chelsea wamefikia makubaliano ya ada ya euro milioni 21 (takribani pauni milioni 18) kumsajili beki wa kushoto wa Rayo Vallecano, Pep Chavarría, huku nyaraka za uhamisho zikibadilishana na vipimo vya …

Na Mwandishi Wetu, DodomaTUME ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) imejipanga kutoa fursa za ajira kwa maelfu ya vijana kupitia utekelezaji wa miradi ya uchimbaji wa visima na ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji nchini.Mpango huo unalenga kuongeza ajira kwa vijana wenye ujuzi wa uhandisi na ufundi, sambamba na kuongeza upa…

Winga wa kimataifa wa Brazil, Vinicius Jr, amekubaliana na klabu ya Real Madrid kuongeza mkataba mpya wa miaka sita utakaomuweka…

Serikali kupitia Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC) imewahakikishia wakulima nchini upatikanaji wa mbolea ya kutosha kwa msimu wa kilimo wa mwaka huu, ikitangaza kuanza kwa usambazaji wa tani 33,000 za mbolea ya kupandia aina ya DAP zilizowasili nchini kupitia Bandari ya Dar es Salaam. Akizungumza leo Agosti 4,2026 kati…

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) limesema kuongeza thamani ya mazao ya kilimo kupitia usindikaji kunaweza kupunguza…

MBEYA: FINANCE Minister Ambassador Khamis Mussa Omar has said the Southern Highlands Zone has achieved 219 per cent of the national food production target, describing the performance as a major boost to the country’s food security efforts. Speaking at the climax of the 2026 Southern Highlands Nanenane exhibitions at t…

CRICKET stakeholders in Tanzania, last weekend, witnessed a memorable occasion, as the Tanzania Cricket Association (TCA) officially opened the new cricket facility, Tanzania Cricket Arena, in Dar es Salaam. The Chairman of ICC Associate Members, Gurumurthy Palani, ICC Global Pat…

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), imeendelea kushirikiana na Wizara ya Kilimo katika kuimarisha matumizi ya mifumo ya kidijitali inayorahisisha utoaji wa huduma, kuongeza uwazi na kuboresha usimamizi wa shughuli mbalimbali za kilimo nchini.Akizungumza katika Maonesho ya kitaifa…
[Daily News] Dar es Salaam -- TANZANIA'S infrastructure ambitions are entering a new phase as the country seeks to convert development plans into bankable projects, with the Africa50 General Shareholders' Meeting and Infra for Africa Forum in Dar es Salaam providing a platform to connect national priorities with globa…

By The Respondents Reporter, Dar es SalaamAfrican countries need to deepen domestic capital markets, strengthen regional cooperation and adopt innovative financing models to close the continent’s infrastructure financing gap, Stanbic Bank Tanzania has said.The call was made during the two-day Africa50 Annual General S…

DAR ES SALAAM: UGANDAN President, Yoweri Kaguta Museveni, is expected to arrive in Tanzania today for an official visit at the invitation of President Samia Suluhu Hassan, with the two leaders set to hold talks aimed at strengthening bilateral relations and regional cooperation. A statement issued by the Directorate o…

RUKWA: FISHERS and processors along Lake Tanganyika in western Tanzania are improving product quality, cutting post-harvest losses and strengthening their businesses through new technologies and financial-management training under an international fisheries programme. The changes are taking place in Kasanga, Kilewani …

DodomaTAASISI ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) imeeleza kuwa inaendelea kuimarisha huduma zake za maabara kwa kutoa uchunguzi wa sampuli mbalimbali za madini, tafiti za uchenjuaji pamoja na ushauri wa kitaalamu unaolenga kuongeza tija katika shughuli za uchimbaji na uwekezaji katika sekta ya madini.Akiz…

MOROGORO: PRIME Minister Dr Mwigulu Nchemba has said Tanzania cannot achieve meaningful transformation in the agriculture, livestock and fisheries sectors without sustained investment in research. He said President Samia Suluhu Hassan has allocated substantial funding to research to boost productivity, expand market a…

ARUSHA: CONSERVATIONISTS have launched a campaign to protect Lake Natron, warning that the globally important flamingo breeding site is vital for tourism, biodiversity and local livelihoods. The campaign was launched during a two-day workshop organised by Nature Tanzania, a non-governmental organisation involved in bi…

DODOMA: THE Tanzanian Ambassador to Italy and Permanent Representative to the UN’s Food and Agriculture Organization (FAO), International Fund for Agricultural Development (IFAD) and World Food Programme (WFP, Mbaruku Nassoro Mbaruku said Italy has significant potential to become a major source of tourists to Tanzania…

Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akizungumza katika Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa Taasisi ya Africa50 (Africa50 General Shareholders’ Meeting-GSM) uliofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC), jijini Dar es Salaam, ambapo pia alikuwa Mwenyekiti Mwenza wa mkutano huo.…

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kushuka kwa bei kikomo za bidhaa za mafuta nchini…

MWANZA: SOME maize farmers in Mwanza have raised concerns over poor germination in certain seed varieties, saying they suffered losses during the last farming season. The complaints were raised during the climax of the Nane Nane exhibition in Mwanza yesterday, where officials from the Tanzania Official Seed Certificat…
.jpeg)
Na Mwandishi WetuWALEZI wa watoto katika vituo vya kulelea watoto nchini wanatarajiwa kunufaika na mafunzo ya kitaalamu yatakayotolewa na Chuo cha Future World, hatua inayolenga kupunguza uhaba wa wataalamu wa malezi na makuzi ya awali ya watoto nchini.Mwito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Chuo cha Future World Institu…

Wanafunzi 573 kutoka shule za msingi na sekondari katika maeneo mbalimbali mkoani Pwani wamebainika kutoripoti shuleni baada ya kufunguliwa kwa shule kutokana na sababu mbalimbali, ikiwemo ujauzito wa utotoni, hali duni ya kiuchumi katika familia na kukosa mahitaji ya msingi. Kam…

MOTORISTS, businesses and households across the country are set to benefit from lower fuel costs following a reduction in monthly retail prices for petrol, diesel and kerosene announced yesterday by the Energy and Water Utilities Regulatory Authority (EWURA). The revised price ca…

DODOMA: The Permanent Secretary in the President’s Office–Youth Development, Ms Jenifa Omolo, has encouraged young people to use artificial intelligence (AI) deliberately to seek knowledge, improve ideas and increase productivity. The PS made the call in Dodoma yesterday during a youth conference organised ahead of In…

INSTANBUL, Uturuki KAMA hujawahi kufuatilia Ligi Kuu ya Uturuki, basi hebu jaribu kufanya hivyo msimu ujao (2026-27) kwani kuna uhondo wa ‘kufa mtu’ kutokana na usajili uliofanyika majira haya ya kiangazi. Galatasaray wanasaka taji lao la tano mfululizo lakini safari hii wana kazi kubwa ya kufanya ili kufanikisha male…

RUVUMA YAFUNGA NANENANE KIMKOA, YAZALISHA TANI MILIONI 2.3 ZA MAZAO 2025/26

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amezitaka nchi za Afrika kuongeza uwekezaji katika elimu na maendeleo…

DODOMA: Wakala wa Uagizaji wa Mafuta kwa Pamoja (PBPA) umesema umejizatiti kuhakikisha Tanzania inaendelea kuwa na upatikanaji wa uhakika wa mafuta wakati wote kupitia…

Na Mwandishi Wetu, DodomaMSULUHISHI wa Migogoro ya Bima (TIO) amewataka wakulima waliokata bima za kilimo kupitia benki au mawakala wa bima, kutumia Ofisi ya Msuluhishi wa Migogoro ya Bima pale wanapokumbana na migogoro ya fidia ili kupata haki zao badala ya kukimbilia mahakamani.Akizungumza katika Maonesho ya Kilimo …

Kuna wakati katika uongozi wa nchi ambapo nguvu ya kiongozi haipimwi kwa wingi wa maneno anayoyasema, bali kwa ukubwa wa maono anayoyaacha yakitekelezwa. Hivi…

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Hamad Chande, ametembelea banda la Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Ummy Nderiananga, amewataka wananchi kutumia Maonesho ya Kimataifa ya Wakulima Nanenane 2026 kama fursa ya kujifunza huduma na mipango mbalimbali ya Serikali inayolenga kuboresha maisha yao.Nderiananga ame…

Rais wa Benki ya Maendeleo ya AfriKa (AfDB), Dkt. Sidi Ould Tah, akiagana na Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Laurent Luswetula (Mb) (kushoto), katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, baada ya kuhitimishwa kwa Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa taasisi ya Africa50 na Jukwaa la Miundombinu Afrika (Africa50 Gen…
.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu (kushoto), akizungumza na watendaji kutoka Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) na Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) jijini Dar …

Na Mwandishi Wetu, DodomaWaziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo Pinda, ameshangazwa na kiwango cha ubunifu wa teknolojia zinazobuniwa na kuzalishwa na kampuni ya Mati Technologies baada ya kutembelea banda la kampuni hiyo katika Maonesho ya 33 ya Kitaifa ya Kilimo (Nane Nane 2026) yanayoe…

Pamoja na maboresho hayo, ni muhimu kwa taasisi za kifedha kuwa na mifumo mbadala ya utoaji huduma ili kuhakikisha huduma zinaendelea kutolewa hata pale mfumo mkuu unapokuwa katika matengenezo au unapokumbwa na changamoto za kiufundi.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi wawili katika sekta ya uvuvi…
.jpeg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Profesa Gidius Kyaharara akipokea zawadi mfuko kutoka kwa Afisa Uhusiano wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) Nicholas Kinyariri wakati wakati Katibu Mkuu huyo alipotembelea Banda la TASAC Maonesho ya Kilimo Kimataifa yanayoendelea viwanja vya Dkt.John Samwel Malecela Nzugun…

Na Edward Winchislaus-DODOMA WAKATI Serikali ikiendelea kuhimiza ongezeko la uzalishaji katika sekta za kilimo, mifugo na uvuvi, Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) imesema mafanikio ya sekta hizo yanategemea pia uwepo wa nguvu kazi yenye afya, hivyo imeendelea kusisitiza umuhimu wa kinga dhidi ya maambukizi y…

Na John Walter -Babati Imeelezwa kuwa maziwa ya mama ni chakula cha kwanza, salama na chenye virutubisho vyote muhimu anavyohitaji mtoto katika miezi sita…

NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Dennis Londo,akizungumza wakati wa Mkutano wa Kati ya Wizara na Wakuu wa Sehemu na Idara za Viwanda,Biashara na Uwekezaji katika Sekretariet za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kinachofanyika kuanzia leo Agosti 17 hadi 18 jijini Dodoma. NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Den…

NA DENIS MLOWE, DAR ES SALAAM VICTORIA Group (VG) imetangaza kuwa mbio za VG Fun Run zitafanyika kila mwaka tarehe 8 Agosti, huku kamati…

Mambo yameiva ndani ya Simba SC, kuelekea tukio kubwa la Simba day 2026. Tamasha hilo kubwa na kongwe zaidi la soka nchini Tanzania linatarajiwa kufanyika kesho Jumamosi ya Agosti 8, 2026. Ikumbukwe huu unakuwa msimu wa 18 wa tamasha hili tangu kuanzishwa kwake, ambapo kwa mwaka huu limebeba dhima ya kuadhimisha miaka…

Na mwandishi wetu, Gazetini VICHOCHEO vya maendeleo ni nyenzo muhimu katika kuongeza kasi ya kufikia malengo ya Dira 2050. Kwa kutambua hilo, Dira hii imebainisha vichocheo vitano vya maendeleo, ambavyo ni usafirishaji fungamanishi, nishati, sayansi na teknolojia, utafiti na maendeleo mageuzi ya kidigitali. Je, nini m…

Na Scolastica Sambi – MAELEZO Tanzania imeendelea kuthibitisha mafanikio yake katika tasnia ya mbegu baada ya kushika nafasi ya tatu kati ya nchi 55…
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Regina Qwaray, amemtaka Mkandarasi wa mradi wa Mikocheni Apartments kuongeza kasi ya ujenzi ili kuhakikisha mradi huo unakamilika ifikapo Oktoba mwaka huu.Mhe. Qwaray ametoa maelekezo hayo leo, Agosti 7, 2026 alipotembelea na kukagua m…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Benki ya Ushirika Tanzania (COOP BANK) imeweka mkakati wa kuongeza tija katika sekta ya kilimo ndani ya kipindi cha miaka mitano ijayo kwa kuwawezesha wakulima kupata teknolojia za kisasa, zana bora za kilimo pamoja na pembejeo zitakazosaidia kuongeza uzalishaji na kukuza kilimo biashara …

By Victoria GodfreyFormer Taifa Stars goalkeeper Steven Nemes believes Simba Day and Yanga Day will offer the clearest early indication of how the two giants have shaped their squads ahead of the Community Shield clash in Zanzibar on August 12.The annual fan events come at a crucial stage of preparations for the 2026/…

By Our Reporter The Archery expatriate coach Hewa Perera who was in the country conducting one week local archery coaches level A course is expected to depart on Saturday, Local Archery Federation (TAF) announced. TAF president Kelvin Fredinand Tresphory said all is ready for Perera to depart the country and thanked t…

Halmashauri ya Wilaya ya Mafia imetangaza nafasi mbili (2) za ajira kwa kada ya Nahodha Daraja la II (Skipper) na…

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amesema maonyesho ya Nanenane yanapaswa kutumia ubunifu kutoka kilimo cha mazoea na kuwa cha biashara.

Dodoma Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) anayeshughulikia Afya, Prof. Tumaini Nagu ameitaka Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kuongeza kasi ya kutoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa kutunza miundombinu ya barabara hususan kuepuka kutupa ta…

Na Mwandishi Wetu, DodomaSERIKALI imesema inaendelea kuimarisha sekta za kilimo, ufugaji pamoja na uvuvi kwa kuongeza thamani ya bidhaa ili ziweze kushindana katika masoko ya ndani na nje ya nchi.Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Denis Londo, wakati akizungumza katika mjadala kuhusu Kilimo, Ufugaj…

Ubao wa Uwanja wa Uhuru umesoma Simba SC 0-1 Police Kenya kilele cha tamasha la Simba Day. Matokeo haya ni mchezo wa kwanza kwa mnyama kupoteza 2026. Kabla ya mechi ya leo ya kirafiki, mnyama alicheza mechi tatu Kagame Cup, Rwanda alishinda moja na sare mbili. Bao la ushindi limefungwa na Elvis Rupia dakika ya […]

Madiwani Manispaa ya Kibaha wamepata fursa ya kujifunza shughuli na mbinu mbalimbali za kilimo hususan teknolojia na njia za kisasa zinazolenga kuongeza tija katika kilimo. Wamepata elimu hiyo walipotembelea Banda la Manispaa ya Kibaha lililopo katika Viwanja vya Mwalimu Julius K…

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Vyama vya Ushirika (TCDC), Dkt. Benson Ndiege (aliyevaa suti nyeusi), akikabidhi funguo za pikipiki ya…

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Serikali itaendelea kutenga rasilimali za kutosha ili kuhakikisha skuli zote zinakuwa na miundombinu ya kisasa, walimu wenye sifa, na vifaa stahiki vya kufundishia na kujifunzia.Makamu wa Rais amesema hayo, wakati wa hafla ya U…
Na Munir Shemweta, ItilimaWAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo, amepongeza hatua iliyofikiwa katika ujenzi wa Shule mpya ya Awali na Msingi Mwankola iliyopo Kijiji cha Lagangabilili, Wilaya ya Itilima mkoani Simiyu, huku akisisitiza kuwa elimu ni msingi muhimu wa maisha na maendel…

Lindi. Wakulima wa mikoa ya Lindi na Mtwara waliotumia huduma za Mixx kupokea malipo ya mazao yao wamekabidhiwa zawadi mbalimbali, zikiwemo guta, pikipiki, simu janja na baiskeli kupitia kampeni ya Vuna na Mixx.Zawadi hizo zilikabidhiwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Ayoub Mohammed Mohammed, wakati wa Maonesho ya …

DODOMA: Farmers have been urged to embrace digital services to access market information, weather updates and business opportunities as technology becomes increasingly important in agricultural production and marketing. Yas Acting Head for the Central Zone, Mr Richard Mmari, said the expansion of mobile connectivity, …

Na Vero Ignatus, Michuzi TV ArushaMaonesho ya siku kuu ya Wakulima Nanenane Kanda ya Kaskazini yamehitimishwa mkoani Arusha, yakihudhuriwa na zaidi ya wananchi 100,000 na kushirikisha waonyeshaji 446 kutoka sekta mbalimbali. Maonesho hayo yaliyojikita katika kuonesha fursa, teknolojia na ubunifu katika kilimo, ufugaji…

KAGERA: Waziri wa Maliasili na Utalii na Mlezi wa Mkoa wa Kagera, Dk Ashatu Kijaji, amehitimisha ziara ya siku tano mkoani humo, ambapo ametembelea na kukagua miradi 17 ya maendeleo yenye thamani ya Sh bilioni 110.4 katika halmashauri zote nane za mkoa huo. Katika ziara hiyo, Kijaji ametembelea, kukagua na kuweka mawe…

KIBAHA: THE government is strengthening support for local manufacturers to enhance their competitiveness by increasing production of high-quality goods and reducing dependence on imports. Deputy Minister for Industry and Trade, Mr Dennis Londo, made the remarks during a visit to GF Vehicle Assemblers in Kibaha Municip…

Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amesema umeme siyo anasa kwa Watanzania, bali ni hitaji la msingi linalohitajika katika shughuli mbalimbali za maendeleo, ikiwamo kuongeza thamani ya mazao ya kilimo. Amebainisha hayo leo Agosti 10, 2026, wakati wa hafla ya kuwasha umeme ka…
- Yaendelea kukabidhi Malori kwa Vyama vya UshirikaKufuatia hatua ya Serikali kukabidhi Shilingi bilioni 300 kwa taasisi saba za kifedha, ikiwemo Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), kwa ajili ya kuwawezesha wanawake na vijana katika mnyororo wa thamani wa kilimo, benki hiyo imesisitiza utayari wake wa kutekeleza mpango …

SINGIDA: THE Tanzanian government has stepped up implementation of the National Clean Cooking Energy Strategy through various initiatives aimed at expanding access to clean cooking energy for households and institutions as part of efforts to improve public health, protect the environment and promote economic developme…

Na Munir Shemweta, Bariadi, Simiyu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo, amesema Wizara yake iko tayari kushirikiana na…

DAR ES SALAAM: WHEN Physics teacher Frank Asubisye begins explaining the refraction of light at Kilakala Secondary School in Morogoro, he no longer fills the blackboard with sketches of light rays passing through glass and water. Instead, a digital animation appears on a smart screen, showing the light beam bending as…

Leo Alhamisi, Agosti 13, saa 21:30, uwanja wa Lotto Park, Brussels, utakuwa jukwaa la mchezo wa pili wa raundi ya tatu ya kufuzu Europa League baina ya RSC Anderlecht na PAOK FC. Mshindi wa mzunguko huu atapata tiketi ya kuelekea raundi ya “playoff” kabla ya awamu kuu ya makundi ya ligi. Mchezo wa kwanza […]

DAR ES SALAAM: GOOD morning, dear reader, and welcome to another Sunday, which, as tradition now demands in this beloved country of ours, must begin with either a hangover or a WhatsApp forward you have already seen four times. Or, in this particular week, both at once. Kindly pour your tea, sit comfortably and let …

Nchi za Afrika zimetakiwa kuongeza matumizi ya mitaji ya ndani, kuimarisha ushirikiano wa kikanda na kukuza masoko ya fedha ili kuziba pengo la ufadhili wa miundombinu na kuchochea ukuaji wa uchumi wa muda mrefu.

DAR ES SALAAM, Tanzania — KILELE cha tamasha kubwa la Yanga Day 2026 kinatarajiwa kutimua vumbi leo Jumapili kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam, kikihitimishwa kwa mechi kabambe ya kirafiki ya kimataifa kati ya mabingwa hao wa nchi, Yanga SC, dhidi ya Les Aigles Du Congo. Tamasha la mwaka huu linawandikisha h…

TANZANIA: TANZANIA wants to become one of Africa’s leading digital economies and it is putting technology at the heart of its journey to Dira 2050. Backed by massive investments in broadband infrastructure, cybersecurity, innovation and digital skills, the government is positioning the technology sector as a key engin…

Na Mwandishi Wetu.GLOBAL Education Link (GEL) imewakabidhi nyaraka rasmi za safari wanafunzi 387 wa Kitanzania wanaotarajia kwenda kuendelea na masomo ya elimu ya juu nchini China na India, huku wakihimizwa kutumia fursa hiyo kujenga maarifa, ujuzi, teknolojia, mitandao ya kimataifa na uwezo wa kujitengenezea fursa za…

Na Mwandishi Wetu, Gazetini SERIKALI ya Tanzania na Benki ya Dunia zimefanya kikao cha pamoja cha kuhitimisha maandalizi ya kitaalamu ya Programu ya Uendelezaji wa Ushoroba wa Kati wa Maendeleo ya Kiuchumi Utakaoongeza Ajira kwa Vijana (KAZI MPA), inayolenga kuchochea ukuaji wa uchumi na kuongeza fursa za ajira nchini…

Na WMA – NYAKABINDI, SIMIYU Wakala wa Vipimo (WMA) umefanikiwa kupata nafasi ya Mshindi wa Pili katika kundi la Taasisi za Umma kwenye Kilele cha Maonesho ya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi (Nane Nane) Kanda ya Ziwa Mashariki. Maonesho hayo yaliyohusisha mikoa ya Mara, Simiyu na Shinyanga yalifanyika katika Viwanja vya N…

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Tamasha la Kizimkazi limeendelea kuwa jukwaa muhimu la kutangaza utamaduni, utalii, biashara na fursa za uwekezaji zilizopo Zanzibar, sambamba na kuchochea maendeleo ya wananchi.Rais Dkt. Mwinyi ameyasema hayo leo, tarehe 12 A…

Madaktari bingwa wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) leo, Agosti 6, 2026, wamefanikiwa kufanya upasuaji wa kwanza wa kutenganisha mapacha walioungana aina ya parasitic conjoined twins, ambapo mmoja wa mapacha hakukua kikamilifu na alikuwa akimtegemea mwenzake kwa ukuaji na uhai.Akizungumza mara baada ya upasuaji huo…
%20%20Bwana%20Onorious%20John%20Njole.jpg)
Na: Calvin Gwabara – Dodoma. Ofisi ya Mwandishi Mkuu wa Sheria (OCPD) imeendelea kuwekeza katika kuwaendeleza watumishi wake kitaaluma kwa kuwapatia fursa za mafunzo ndani na nje ya nchi, hatua inayolenga kuongeza idadi ya wataalamu wenye weledi, utaalamu wa kisekta na uwezo wa kuandaa sheria bora zinazowezesha utekel…

Rais wa Marekani Donald Trump amesema alilazimika kubadilisha ndege kwa siri nchini Uturuki mwezi uliopita kufuatia maelekezo kutoka kwa Secret…

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amemuapisha Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Maryam Seif…

Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wanaohudhuria mafunzo maalum ya diplomasia nchini India wametembelea Ofisi za Ubalozi wa…

Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imeanza kuchukua hatua kuhakikisha mabasi ya mikoani yanarejea katika stendi rasmi zilizopangwa na Serikali, kufuatia agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila. Kaimu wa Udhibiti wa Magari ya Abiria na Ofisa wa LATRA Mkoa…

USIMAMISHWAJI WA MUDA WA UAGIZAJI NA UUZWAJI WA BIDHAA ZA POMBE NCHINI RWANDA

Na Mwamvua Mwinyi, Chalinze Agosti 13, 2026 Shule ya Chalinze Modern Islamic ,Mkoani Pwani, inawajengea wanafunzi ujuzi wa vitendo katika fani mbalimbali ikiwemo udaktari,…

Muda mchache umebaki kabla ya kushuhudia mechi kubwa ya Kariakoo Dabi ya Ngao ya Jamii Yanga SC vs Simba SC. Huu ni Mchezo wa ufunguzi wa msimu wa Ligi Kuu Bara 2026/27, ambayo inatarajiwa kuanza saa 2:30 kesho Agosti 12, 2026. Mchezo huu unatarajiwa kupigwa kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar ambapo tayari S…

Yanga SC vs Simba SC ni leo Uwanja wa New Amaan Complex saa 2:30 usiku mchezo huu mkali unatarajiwa kuchezwa. Ni mabingwa wa NBC Premier League 2025/26 Yanga SC vs Simba SC, mabingwa wa CRDB Federation Cup 2025/26.Mwanzo wa mchezo huu ni ishara ya ufunguzi pazia la ligi kwa msimu wa 2026/27. Taarifa muhimu kuhusu […]

Lazio wanaripotiwa kuomba kumsajili Davide Frattesi kwa mkopo, lakini Inter bado wana matumaini kwamba Nottingham Forest watamnunua moja kwa moja kiungo huyo, ili waweze kutumia fedha hizo kuwekeza katika kumsajili …

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Rhimo Nyansaho (Mb), amefanya ziara ya kikazi ya siku moja katika Shirika la Tanzania Automotive Technology Centre (TATC), maarufu kama NYUMBU, lililopo Kibaha, Mkoa wa Pwani, kwa lengo la kujionea utendaji na utekelezaji wa majukumu yake.Katika ziara hiyo, alitembelea …
.jpeg)
Na Victor Masangu, KibahaJumuiya ya umoja wa wanawake (UWT) Wilaya ya Kibaha mjini kwa kushirikiana na wadau wengine wa maendeleo wakiwemo Azania bank wameamua kuungana kwa pamoja na kuitoa darasa la mafunzo kwa wajasiriamali kutoka kata zote 14 kwa lengo la kuweza kuwapa ujuzi wa kutengeneza bidhaa mbali mbali ambazo…

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imesisitiza dhamira yake ya kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali na wadau mbalimbali katika kukuza matumizi ya nishati safi ya kupikia, kuhifadhi mazingira, kukuza utalii na kuendeleza ubunifu wa vijana, ikieleza kuwa maeneo hayo ni sehemu muhimu ya kujenga uchumi endelevu na weny…

Ni stori ya kusisimua iliyotikisa anga za soka la Tanzania wiki hii. Selemani Mwalimu, mshambuliaji aliyekuwa akihusishwa moja kwa moja na Simba SC, hatimaye akatambulishwa rasmi kama mchezaji mpya wa …

Kocha Mkuu wa Simba SC, Steve Barker, amekiri kuwa kuna mambo yaliyohitaji kufanyiwa kazi baada ya kikosi chake kupoteza kwa…

ZANZIBAR: ZANZIBAR President, Hussein Ali Mwinyi has urged Zanzibaris to increase seaweed production and invest in value addition to enable farmers to secure better prices and earn more from the crop. The Isles president officially opened the Festival today, August 12, 2026 with a public walk from Mchangamle to Kizimk…

Kocha mkuu Jorge Vilda ametangaza kwamba timu ya taifa ya wanawake ya Morocco sasa imeweka nguvu zote kwenye nusu fainali ya WAFCON 2026 dhidi ya Cameroon, itakayochezwa leo Jumatano, Agosti …

TANZANIA: DIPLOMACY has changed significantly over the past decade, with diplomatic missions increasingly expected to deliver more than traditional political representation. While political engagement remains central to relations between states, missions are also playing a growing role in promoting investment and tour…

Nchi inasimama! Itakapotimia saa 2:30 usiku wa leo, macho na masikio ya wapenda soka wote yatakuwa katika Uwanja wa Amaan, Zanzibar, ambapo miamba ya soka la Bongo, Yanga SC na Simba SC, itazipiga katika Mchezo wa Dabi ya Kariakoo kuwania taji la Ngao ya Jamii 2026. Mchezo huu wa ufunguzi wa pazia la msimu mpya […]

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akisikiliza maelezo kutoka kwa Mwakilishi wa Idara ya Biashara za Serikali wa Benki…

Mahakama ya jinai nchini Syria imemhukumu aliyekuwa Rais wa nchi hiyo, Bashar al-Assad, kifo akiwa hayupo mahakamani, baada ya kupatikana na hatia ya uhalifu dhidi ya ubinadamu, mauaji ya kukusudia na mateso.

Petro de Luanda imetangaza rasmi kumsajili tena mshambuliaji wa Kimataifa wa Angola, Laurindo Dilson Maria Aurélio ‘Depú’, kutoka Yanga, kuelekea…

WAPENZI wa michezo ya Kasino mtandaoni, muda wa kujaribu kitu kipya umefika. Meridianbet inakuletea Bass Cash 1000 kwa nafasi ya kipekee ya kuicheza kabla haijatolewa rasmi kwa wote. Hii ni fursa maalum kwa wachezaji wanaotaka kuwa miongoni mwa watu wa kwanza kuingia kwenye safari hii mpya na ya kipekee kwelikweli ili…

LISBON, Ureno BAADA ya miaka 10 ya uchumba, hatimaye staa wa soka, Cristiano Ronaldo amefunga ndoa na mpenzi wake, Georgina Rodriguez. Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram, Ronaldo ndiye aliyeposti picha ya harusi yao iliyofungwa nchini Ureno. Katika picha hiyo, ameposti mkono wake ukiwa juu ya wa b…

ZANZIBAR: GROWING demand for cleaner cooking solutions is opening new financing opportunities in Tanzania, with National Bank of Commerce (NBC) stepping up support for businesses and innovators across the sector as the country seeks to reduce reliance on traditional fuels. NBC Managing Director Mr Theobald Sabi said t…

ZANZIBAR: ZANZIBAR President Hussein Ali Mwinyi has positioned the Kizimkazi Festival as more than a celebration of culture, saying the annual event can open up tourism, business and investment opportunities, particularly in the Blue Economy. Mwinyi made the remarks while officially launching the 2026 Kizimkazi Festiv…

Wanunuzi wa sarafu hizo wataendelea kununua sarafu hiyo kwa bei nafuu huku wauzaji wakinufaika kwa kupata kiasi kikubwa cha shilingi.

The East African Community (EAC) has secured €39.8 million (about Sh121.4 billion) in new grant funding from Germany to boost regional trade, expand access to finance for small businesses and accelerate economic integration across the region.

AS prolonged drought threatens pastoralists owing to declining pasture availability and rising conflicts over land use, researchers are turning to science to identify improved forage species capable of surviving increasingly harsh environmental conditions. Sokoine University of A…

Ni Yanga SC 1-0 Simba SC Ngao ya Jamii 2026 mchezo wa ufunguzi pazia la NBC Premier League 2026/27. Wababe hawa walikuwa na dakika 90 bora zilizovuta hisia za wengi. Bao la ushindi lilifungwa na nyota Albert Kangwanda dakika ya 32 kipindi cha kwanza. Taarifa kuhusu Seleman Mwalimu: Ngao ya Jamii Yanga SC vs Simba […]

ZANZIBAR: THE Ministry of Energy and its affiliated institutions have received a special award in recognition of their contribution to the successful convening of the Clean Cooking Energy Dialogue held in Kizimkazi, South Unguja Region, Zanzibar. The award was presented by President of the United Republic of Tanzania,…

Azam FC imeweka wazi kuwa msimu wa 2026/27 hautakuwa wa kushiriki mashindano pekee, bali klabu hiyo inalenga kupigania mataji makubwa ndani na nje ya Tanzania. Mwenyekiti wa klabu hiyo, Nassor …

Leo saa 2:00 usiku, macho na masikio ya wapenda soka barani Afrika yatakuwa katika Dimba la Moulay El Hassan mjini Rabat, Morocco. Ni hitimisho la siku 21 za msisimko wa Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON), ambapo Cameroon (‘Indomitable Lionesses’) itachuana vikali dhidi ya miamba wapya, Malawi. Huu si mc…

BAADA ya kuitumikia Mlandege kwa misimu mitano mfululizo, beki wa kushoto mwenye uwezo mkubwa, Said Mussa Said maarufu kama ‘Mbeki’, amekamilisha usajili wake wa kujiunga na KVZ, mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Zanzibar msimu wa 2025-2026. Mbeki, ambaye anasifika kwa krosi zake za hatari, uwezo wa kupiga faulo pamoja na…

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa…

DODOMA: TANZANIA has stepped up efforts to tackle vitamin and mineral deficiencies after the government handed over 100 litres of Vitamin A premix to the Tanzania Sunflower Processors Association (TASUPA) for use by small-scale edible oil processors. The move is part of the government’s broader strategy to ensure loca…

MADRID, Hispania — Mamilioni ya watu katika maeneo mbalimbali ya Dunia walielekeza macho yao angani Jumatano, Agosti 12, 2026, kushuhudia…

SHIRIKA la uvuvi Tanzania (TAFICO) limeelezea dhamira ya kuwa injini na nyenzo ya kimkakati katika utekelezaji wa Dira 2050, hususani kujenga uchumi wa buluu, kujenga ajira, kuleta mapato ya fedha za kigeni, kukuza viwanda vinavyotegemea rasilimali za maji na kuchochea kasi ya miundombinu ya uvuvi.Kauli hiyo imetolewa…

WANANCHI wa Kata ya Msangamkuu, Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara mkoani Mtwara, wameishukuru Serikali kwa kuwajengea Kituo cha Afya cha Msangamkuu, kilichogharimu zaidi ya Sh milioni 25, wakisema kimewaondolea changamoto ya kusafiri umbali mrefu kufuata huduma za afya. Wakizungumza wakati Waziri wa Viwanda na Biashara,…

ZANZIBAR; Rais wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan, Agosti 14, 2026, amemkabidhi Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Masha Mshomba, Cheti cha shukrani kwa kutambua ushiriki na mchango wa NSSF katika Tamasha la Kizimkazi 2026. Cheti hicho ni ishara ya kutambua mchango wa NSSF katika kuunga mko…

Morogoro, Tanzania – 16th August 2026 – The 23rd edition of the Federation of East Africa Secondary Schools Sports Association […]

Na mwandishi wetu, Gazetini MAGEUZI ya Kidijitali ni kichocheo kingine muhimu cha maendeleo katika karne hii ya 21. Kwa maana nyingine, mageuzi ya kidijitali ni fursa nyingine ya kuharakisha maendeleo katika jamii na taifa kwa ujumla. Kwa kutumia teknolojia hizi kwa ufanisi, Tanzania itaongeza ushindani wake, itapanua…

Tanzania telecom subscriptions reached 117.0 million in Q2 2026, up 4.51% from 111.9 million, as 5G population coverage rose to 34.18% and internet data traffic climbed 11.65% to 1,041 petabytes. Internet subscriptions reached 62.79 million, with average download speeds of 14.26 Mbps on mobile and 31.77 Mbps on fixed …

Klabu ya Napoli inadaiwa kuongeza dau ili kufanikisha usajili wa beki wa kati wa Chelsea, Benoit Badiashile. Mazungumzo kati ya pande zote mbili pamoja na wawakilishi wa mchezaji huyo yameripotiwa kufikia hatua za mwisho. Chelsea ipo kwenye mpango wa kufanya mabadiliko makubwa katika safu yake ya ulinzi. Beki Trevoh C…

By Victoria GodfreyDefending NBC Premier League champions Young Africans (Yanga) will begin their title defence on the road tomorrow when they face Namungo at Majaliwa Stadium in Lindi.Yanga head into the opening fixture with confidence after lifting the Community Shield following their victory over arch-rivals Simba …

The awards recognise COPRA’s participation in the eight-day exhibitions, where it engaged farmers, traders and other stakeholders on issues including production, quality, standards, trade and markets for cereals and other produce.

Soma zaidi...

Na Meleka Kulwa — Fullshangwe Blog, Dodoma Mkurugenzi Mtendaji wa TAWLA na Mwenyekiti wa Jukwaa la Wanawake la Stand for Her Land, Wakili Tike…

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imeishauri Serikali kuiongezea wataalam Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) ili Taasisi hiyo iweze kuimarisha afya, usalama na ustawi wa wafanyakazi nchini. Ushauri huo umetolewa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Hawa Chakoma…

ZANZIBAR: THE Zanzibar Health Ministry said it will work with the Comoros Islands to strengthen efforts against malaria through experience-sharing, research, and enhanced public education on prevention and treatment. The move follows significant progress made by Zanzibar in controlling the disease. Director of Prevent…

ZANZIBAR: MAMLAKA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imeahidi kuendeleza ushirikiano na Mamlaka ya Mafunzo ya Amali Zanzibar katika kutoa elimu na mafunzo ya ufundi stadi yenye ubora kwa kwa wananchi wa pande zote mbili za Tanzania bara na Zanzibar. Mkurugenzi Mkuu wa VETA CPA Anthony Kasore amesema hayo Agost…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Serikali imefanikiwa kupata nafasi nyingine 10 za ufadhili wa masomo kwa wanafunzi wa Kitanzania kupitia mpango wa Samia Scholarship Extended, zitakazowawezesha kwenda nchini Urusi kujiandaa na masomo ya shahada katika Chuo Kikuu cha RUDN, Moscow.Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Pr…

DODOMA: THE government has secured 10 additional overseas scholarships for high-performing Form Six science students, raising to 60 the number of Tanzanian students set to pursue undergraduate studies abroad under the Samia Scholarship Extended Programme. The opportunities were secured through Russia’s Peoples’ Friend…

ZANZIBAR: THE Tanzania Revenue Authority (TRA) has expressed its confidence of surpassing its 42tr/- revenue collection target for the 2026/27 financial year after collecting 3.245tr/- in July, exceeding its monthly target by nine per cent. This was revealed during the laying of the foundation stone for the constructi…

DODOMA: THE Tanzanian government has continued to strengthen healthcare services for people living with rare diseases by improving disease diagnosis, access to medicines and treatment, as well as enhancing the capacity of health professionals to ensure timely services in line with the principles of Universal Health Co…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewataka Watanzania kulinda amani, usalama na utulivu wa nchi,…
.jpeg)
Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) inashiriki katika Maadhimisho ya Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu 2026, yanayofanyika katika viwanja vya Shule ya Sekondari Usagara, mkoani Tanga.Maadhimisho hayo yameanza leo, Agosti 15, 2026, na yanatarajiwa kuhitimishwa Agosti 24, 2026, yakibeba kaulimbiu isemayo: “Elimu, U…

LIGI Kuu Tanzania Bara msimu wa mwaka 2026/2027 imefunguliwa rasmi leo huku ikianza kwa sare. Mchezo wa ufunguzi wa Ligi hiyo umezikutanisha timu za Pamba Jiji dhidi ya Dodoma Jiji, mchezo ambao umepigwa kuanzia saa 8:00 mchana katika uwanja wa CCM Kirumba mkoani Mwanza.Mta…

Na Mwandishi Wetu - ZanzibarShirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limeendelea kuunga mkono juhudi za Serikali za kujenga mazingira wezeshi kwa uchumi wa kidijitali Zanzibar kwa kuwezesha huduma ya intaneti katika mradi wa makazi wa Amani Residency, uliopo Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, kupitia huduma yake ya Faiba…

DAR ES SALAAM: Traffic congestion in the City of Dar es Salaam continues to occupy the minds of policy makers and administrators, as well as those of the general public. At least two issues cropped up for intense discussion last week. One was the increasing numbers of ICDs (Inland Container Depots) in Dar es Salaam …

ZANZIBAR: ZANZIBAR President, Dr Hussein Mwinyi has commended the Kizimkazi Festival for its key role in promoting and advancing culture, tourism and other economic activities in Tanzania. Dr Mwinyi made the remarks today, August 14, 2026, during the closing ceremony of the Kizimkazi Festival 2026, held in Makunduchi,…

Mashabiki wa Yanga SC wanatarajiwa kupata burudani ya kipekee kesho, Agosti 15, baada ya uongozi wa klabu hiyo kuandaa hafla…

Na mwandishi wetu, Gazetini NI moja ya sekta muhimu yenye fursa kubwa ya kuchangia maendeleo ya nchi. Hii inatokana na utajiri wa rasilimali za madini, zikiwemo dhahabu, almasi, tanzanite, na madini ya kimkakati kama grafiti, lithium, urani, na madini adimu. Madini haya yanazidi kupata umuhimu na thamani kubwa, wakati…

Hatimaye Yanga SC imemtambulisha rasmi kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Burkina Faso, Stephane Aziz Ki, ambaye amerejea Jangwani baada ya…

Na mwandishi wetu, Gazetini SUPASTAA wa muziki wa R&B nchini Marekani, Trey Songz, alikuwa katika Viwanja vya Posta, Kijitonyama jijini Dar es Salaam jana Agosti 14, 2026. Alialikwa katika Tamasha la IMBEJU Sauti Moja na hii inakuwa mara ya kwanza kwa mwanamuziki huyo kutua katika ardhi ya Tanzania. Kwa wasiomfahamu, …

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imeishauri Serikali kuongeza wataalamu katika Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) ili kuimarisha usalama, afya na ustawi wa wafanyakazi nchini. Ushauri huo umetolewa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Hawa Chakoma, …

Na Mwandishi WetuUMOJA wa Wahitimu wa Shule ya Sekondari Tosa Maganga (TAO) umeanzisha kampeni ya kuchangisha Sh milioni 250 kwa ajili ya ununuzi wa basi jipya la shule hiyo, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya maadhimisho ya miaka 100 tangu kuanzishwa kwake.Aidha, imewataka wahitimu wote wa Tosa Maganga na wadau mbalimb…

SEVILLA watawakaribisha Rayo Vallecano nyumbani kwao katika uwanja wa Ramón Sánchez-Pizjuán, katika mechi itakayofungua rasmi msimu mpya wa ligi kuu ya Uhispania (LaLiga) 2026/27.Mechi hii inatarajiwa kuanza saa 21:30 usiku na itakuwa fursa ya kwanza kwa mashabiki kuona mabadiliko ambayo timu hizi mbili zimeyafanya wa…

By Our ReporterNMB Bank has used the Kizimkazi Festival 2026 to bring financial services, business information and financial education closer to citizens, particularly entrepreneurs and small business owners in Zanzibar.The bank was among the sponsors of the festival, which concluded on August 14 in South Unguja, usin…

Na mwandishi wetu, Gazetini SEKTA ya Madini nchini Tanzania imevutia uwekezaji wenye thamani ya Sh trilioni 9 ndani ya kipindi cha miaka minne, hatua ambayo Serikali inasema imeendelea kuiimarisha Tanzania kama miongoni mwa vivutio muhimu vya uwekezaji wa madini barani Afrika. Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, amesem…

Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa…

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Mhandisi Maryprisca Mahundi amewataka amewataka vijana kutumia michezo kama fursa ya kujipatia ajira…

MZUKA wa Mabingwa ndani ya Meridianbet unaendelea kwa kasi, lakini muda wa kusaka zawadi kubwa unazidi kupungua. Zikiwa zimebaki siku 24 pekee kabla ya ofa hii maalum kwa watumiaji wa Airtel Money kufungwa, sasa ni wakati wa kuchangamkia nafasi ya kushinda zawadi zinazovutia, ikiwemo Bajaj, PlayStation 5, Hisense TV, …

CARDIFF, Wales WASHIKA Bunduki wa London, Arsenal, wametwaa ubingwa wa Ngao ya Jamii baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Manchester City. Mechi hiyo ya leo Agosti 16, 2026 ilichezwa katika Uwanja wa Millenium, Wales, na Arsenal kupata mabao yake kupitia kwa beki Riccardo Calafiori (Sek. 24), Kai Havertz (Dk. 28) na…

SIKU ya kutengeneza mkwanja na wakali wa ubashiri umefika, mechi mbalimbali zingine zikiwa za ligi zimeanza. Ukiwa na pesa yoyote hata shilingi mia mbili unaweza ukbashiri hapa.Tukianza na kule Uingereza itapigwa mechi ya ufunguzi wa ligi yaani Community Shield kati ya Arsenal dhidi ya Manchester City ambao walimaliza…

By Victoria GodfreyYanga SC have officially unveiled Burkina Faso international Stephane Aziz Ki, marking the return of one of the club’s most familiar and influential attacking players ahead of the new season.The unveiling was held on Saturday, August 15, 2026, at KMC Stadium in Dar es Salaam, where thousands of Yang…

By The Respondents ReporterThe government has renewed its call for Tanzanians to make regular exercise, healthy diets and disease prevention part of their daily lives as the country steps up efforts to tackle non-communicable diseases.Deputy Minister for Health Dr Florence Samizi and the ministry’s Permanent Secretary…

Na Hassan Mwasha, Gazetini ZIPO sababu nyingi za kukufanya uchukue hatua sasa ya kuachana kabisa na mkaa au kuni na kuhamia nishati safi ya kupikia katika matumizi yako ya kila siku hapo nyumbani. Ukiachana na gharama kubwa, uchafuzi wa mazingira na ugumu wa upatikaji wake, matumizi ya mkaa au kuni yamekuwa yakisababi…

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, amesema karakana zinazojengwa kwenye shule kutekeleza mtaala ulioboreshwa, zinatakiwa kutumika muda wote kuibua ubunifu wa wanafunzi. Amesema karakana hizo zisifunguliwe kipindi cha z…

KOCHA Mkuu wa Yanga, Manqoba Mngqithi, amefunguka na kuweka wazi kuwa hana wasiwasi wowote na kiwango cha mshambuliaji wake, Peter Shalulile, huku akisisitiza kuwa uwepo wa nyota huyo utazidi kuwa tishio kubwa kwa mabeki wa timu pinzani msimu huu. Mngqithi ameeza kuwa Shalulile ni aina ya mshambuliaji wa kipekee anaye…

TANZANIA: TANZANIA and Mozambique are set to deepen health cooperation through a proposed medical outreach programme in Cabo Delgado, with both countries describing the initiative as an opportunity to translate longstanding diplomatic relations into tangible benefits for their people. The proposed Tanzania Mozambique …

Na Mwandishi WetuWAZIRI Wa Elimu Sayansi Na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda anatarajiwa kuzindua wiki ya elimu,ujuzi na ubunifu inayoendelea katika viwanja vya shule ya sekondari jijini Tanga kesho Agosti 18,2026.Mkuu wa mkoa huo, Batilda Buriani amesema hayo alipotembelea maonesho hayo na kuongeza kuwa washiriki zaid…
.jpeg)
Na Karama Kenyunko, Michuzi TvCHUO Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kinaandaa mpango wa kuanzisha mafunzo ya wahudumu wa huduma za dharura watakaotoa huduma ya kwanza, ikiwemo usimamizi wa ajali, kuhakikisha njia ya hewa inabaki wazi na kumstabilisha mgonjwa kabla ya kufikishwa hospitalini.Makamu…

Guglielmo Vicario anatarajiwa kujiunga na Juventus kwa mkopo kutoka Tottenham, huku kukiwa na chaguo la kumnunua moja kwa moja, baada ya Bianconeri kuamua kusitisha mazungumzo na Aston Villa kuhusu Emiliano …

Na Mwandishi Wetu, TangaMAWAZO ya ubunifu na teknolojia yanayobuniwa na wanafunzi na wahitimu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) yameelezwa kuwa ni fursa muhimu kwa vijana kujiajiri, huku yakitoa suluhisho la changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi.Miongoni mwa wabunifu hao ni Calven Mwakampya, mhitimu wa TIA …

Napoli wameelezwa kuwa wameanza kumvizia Dani Ceballos huku wakitaka kuimarisha safu ya kiungo ya Massimiliano Allegri, na kiungo huyo mwenye uzoefu pia akivutia Juventus. Kwa mujibu wa Sportal, Partenopei tayari …

By Our Reporter, Dar es SalaamThe Bank of Tanzania (BoT) has announced the reopening of a 15-year Treasury bond with a fixed annual coupon rate of 12.25 percent, offering investors a long-term avenue to earn returns from government securities.The bond, identified as Treasury Bond No. 696, Auction No. 2, will be auctio…

By Our Reporter, DodomaThe government has called on business officers across the country to work more closely with institutions under the Ministry of Industry and Trade, including the Business Registrations and Licensing Agency (BRELA), to improve the business environment and support Tanzania’s development ambitions u…

By Victoria GodfreyZanzibar’s growing strength in judo was on display at the Judo Ambassador Cup after its athletes secured seven medals, including two gold, in a tournament that brought together clubs and competitors from across the country.Mohammed Hamis Juma, Secretary-General of the Zanzibar Judo Association and c…

Jinja SS remain the only unbeaten side, having picked up two wins and a draw so far. SMACK have recorded one win, while Namilyango College are still searching for their first victory.

Tanzania’s burgeoning blockchain community is setting its sights on Nairobi as the region prepares to host the Africa Blockchain Festival (ABF) 2026, a move expected to bridge the gap between Dar es Salaam and the broader continental tech ecosystem.

Na mwandishi wetu, Gazetini SEKTA hii itachukua nafasi muhimu katika kuendesha maendeleo ya Tanzania, hususan katika maeneo ya biashara, huduma za ukarimu, na huduma zingine za kijamii na kiuchumi. Kuongezeka kwa watu wenye kipato cha kati kutaongeza mahitaji ya biashara na huduma, hivyo kuchochea ajira, kupanua fursa…

MWANZA: THE Tanzanian government, through the Rural Water Supply and Sanitation Agency (RUWASA), is implementing a water project in three villages of Mwankuba, Manawa and Mwanging’hi located in Kwimba district at Mwanza region with a total population of 6888, with the first phase being implemented in Mwankuba village …
.jpeg)
Na Mwandishi WetuMAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeteketeza hekari 3,117.9 za mashamba ya bangi na kukamata watuhumiwa 12 katika operesheni maalum ya siku 16 iliyofanyika katika vijiji vinne vya Kata ya Kandawale na Kipatimo, Wilaya ya Kilwa, mkoani Lindi.Akizungumza kuhusu operesheni hiyo…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Upande wa Jamhuri umefunga ushahidi wake baada ya kuwasilisha ushahidi wa mashahidi 17 katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu.Hatua hiyo imefikiwa leo Jumatatu, Agosti 17, 2026, katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndo…

Soma hapa...

The government has stated that it will collaborate with private colleges to prioritize science studies, aiming to produce a large number of local engineers. This was announced over the weekend in Dar es Salaam by the Minister of State in the President's Office (Planning and Inves…

Rais Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), Felix Tshisekedi na kukubaliana kuimarisha ushirikiano katika maeneo makuu saba.

DAR ES SALAAM: The League of United Kingdom of Africa (LUKA) has welcomed Tanzania’s decision to involve legal experts and judges from other African countries in the Criminal Inquiry Commission investigating violence and criminal incidents reported during and after the October 29, 2025 General Election. According to a…

ZANZIBAR: Tanzania and the Democratic Republic of Congo (DRC) have agreed to deepen cooperation in mining, trade, investment, infrastructure, peace and security as the two countries seek to strengthen their strategic partnership. President Samia Suluhu Hassan announced the agreement on Tuesday, after holding talks wit…

Dondoo Muhimu Watafiti wa Japan wamefanikiwa kusafirisha data kwa kasi ya 112Gbps kupitia wireless link inayotumia mawimbi ya 560GHz. Kwa kasi hiyo, 10GB za data zinaweza kusafirishwa kwa takriban sekunde 0.7 kinadharia. Jaribio hili linaelekea kwenye matumizi ya 6G, hasa kuunganisha vituo vya mawasiliano na mtandao m…

Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kimeonyesha bunifu zalishi nane katika Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu, zinazolenga kutatua changamoto katika afya, kilimo na ustawi wa jamii. Miongoni mwa bunifu hizo ni ROBOSPINE, inayosaidia watoto wenye sp…

By Victoria GodfreyFountain Gate FC opened their account in the NBC Tanzania Premier League with a hard-fought 1-0 victory over Mashujaa FC at Sheikh Amri Abeid Stadium in Arusha on Tuesday.Kassim Haruna scored the only goal of the match in the 10th minute, capitalising on Fountain Gate's bright start to put his side …

By Victoria GodfreySimba SC head coach has challenged his players to maintain their winning momentum when they face Pamba Jiji tomorrow, warning that the NBC Premier League encounter will require maximum concentration and commitment.Simba will be looking to secure a second consecutive victory after opening their campa…

Na Munir Shemweta, TangaWaziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo, amesema Wizara yake iko tayari kutoa hati miliki za ardhi kwa maeneo yatakayotumika katika shughuli za utafiti, elimu ya ujuzi na ubunifu nchini.Dkt. Akwilapo ameyasema hayo leo, Agosti 18, 2026, wakati wa uzinduzi wa W…

MWANZA: THE Regional Commissioner of Mwanza, Mr Said Mtanda, has handed over the Uhuru Torch to Shinyanga region after completing its relay to all 8 councils from August 10, 2026 in Ukerewe district to yesterday August 17, 2026 in Kwimba district. Speaking at the handover ceremony held today, August 18, 2026 at the Mw…

Ligi Kuu ya NBC msimu 2025/26 inaendelea leo Juni 27, kwa michezo nane itakayochezwa kwa wakati mmoja kuanzia saa 10:00 jioni. Timu mbalimbali zinashuka dimbani zikiwa na malengo tofauti, ikiwemo kusaka ubingwa, nafasi za juu, pamoja na kupambana kujinasua kwenye hatari ya kushuka daraja. Ratiba ya mechi za leo ni kam…

Dar es Salaam Stock Exchange equity turnover fell -59.88% week-on-week to TZS 25.89 billion across 8,274,143 shares and 13,537 deals during the five sessions from August 3rd to August 7th, 2026. MCB (+51.61%) and TOL (+11.94%) led the gainers while TCCL (-14.52%) and USL (-14.29%) headed the losers. Total market capit…

Tanzania’s startup scene isn’t lagging behind—it’s building its own unique foundation, and judging it by mature-market standards is comparing apples to saplings.

Dola ya Marekani (USD) imeendelea kununuliwa kwa Sh2,570 na kuuzwa kwa Sh2,650 ikiwa ni sawa na kiwango kilichorekodiwa wiki iliyopita.

MWANZA: GHANA has outlined the key strategies behind its successful implementation of local content policies in the mining sector, urging African countries to strengthen legislation, promote value addition and deepen stakeholder collaboration to maximise benefits from mineral resources. Speaking at the Fifth Local Con…

THE government has unveiled an ambitious 86.3trn/- national development plan for the next year, marking the start of the implementation of Vision 2050, with the private sector expected to contribute nearly 70 percent of the required funding. Prof. Kitila Mkumbo, the Planning and …

DODOMA: THE National Agricultural Extension Services Agency (NAESA) is set to strengthen the delivery of agricultural extension services across the country through a strategic partnership with the Tanzania Fertilizer Regulatory Authority (TFRA), a move expected to boost agricultural productivity and crop yields among …
The construction of the 400-kilovolt Chalinze-Dodoma power transmission line is set to complete by August 21, 2026.

Sweden phases out its bilateral development cooperation with Tanzania, marking a transition to a trade-focused partnership.

Maonesho ya Kitaifa ya Sayansi na Teknolojia ya Taasisi ya Wanasayansi Chipukizi yatakayofanyika katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

A special event will be held on September 23, 2026, to kick off the GPE fundraising campaign during the UNGA.

Kikao cha Menejimenti cha Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Geita kinajadili maboresho ya utoaji huduma za haki, kikiweka malengo ya kumaliza taratibu za umiliki wa viwanja.

Maadhiimisho ya jubilee ya miaka 100 ya Shule ya Sekondari Tosamaganga yanatarajiwa kuanza tarehe 8 Oktoba 2026 na kumalizika tarehe 10 Oktoba 2026.

The FISH4CAP programme, aimed at reducing post-harvest losses and improving incomes for fishers, is set to conclude on December 31, 2026.

AFCON 2027, co-hosted by Tanzania, Kenya, and Uganda, kicks off on June 19, 2027, marking a historic football tournament in East Africa.

Dar es Salaam to implement new traffic measures and inspections on August 17, with firearms compliance due by August 30.

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba laid the foundation stone for the Tanzania Institute of Accountancy building in Singida.

Ndejembi directs immediate removal of project manager and special audit on $20 million payments for the Malagarasi MW 49.5 project in Kigoma.

Tanzanian exporters gain duty-free access to China on all tariff lines, enhancing trade and competitiveness.
Habari nyingine
Utakuja AFCON 2027?
Viwanja Kenya · Tanzania · Uganda

Fumba set for modern urban transformation

Zanzibar calls for stronger road safety

TBS destroys 39 tonnes of substandard food products

KEDDY MGUMIA NA SABRINA HAJI WAFUNGA NDOA JIJINI DAR ES SALAAM
Bwana Keddy Abubakari Mgumia na Bi. Sabrina Haji Mmanga wamefunga ndoa katika hafla iliyofanyika tarehe 16 Agosti 2026 jijini Dar es Salaam. Sherehe hiyo…

Kwimba youths turn council loans into jobs

TIA YAWAWEZESHA WAHITIMU KUGEUZA UBUNIFU KUWA FURSA ZA AJIRA

IFM YAZAA UBUNIFU WA KIDIJITALI WA KUSAIDIA WAFANYABIASHARA

Matukio katika Picha Banda la NACTVET Maonesho ya Wiki ya Elimu Tanga

Profesa Gurumo:Hakuna Maendeleo ya Taifa yasio na Uhusiano wa Bahari

BRELA YAWAHAMASISHA WABUNIFU KUSAJILI BUNIFU ZAO HATAZA.

MWONGOZO WA URATIBU MAHUSIANO, NI DARAJA KATI SERIKALI NA MAKUNDI YA KIJAMII: MAFTAH
Na: OWM-KAM, Dar es Salaam.Mkurugenzi wa Idara ya Mahusiano kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Bw. Rasheed Maftah, amesema Mwongozo wa Urat

Meta Mahakamani Marekani Kwa Kesi Ya Watoto. Faini Yaweza Kufikia Dola Trilioni 1.4

TARI YABUNI APP YA KUTAMBUA MAGONJWA YA MAZAO SHAMBANI.

TANZANIA’S 2026/27 BUDGET AND THE MAKING OF A NEW ECONOMY.

Coastal Union ready for tough Yanga test in Tanga

Serikali yatoa siku nane kwa wazalishaji saruji kushusha bei

FEASSA Games: Tuesday’s Results and Wednesday’s Fixtures

Tanzania fintech sector poised for growth
Dar es Salaam: TANZANIA has tremendous potential in fintech and digital finance, with the country’s evolving regulatory environment creating new opportunities f

Fountain Gate claim first League win against Mashujaa

PSSSF yawaandaa waandishi wa habari kuijenga jamii
Tanzania Fuel Prices Surge Over 30% Due to Middle East Conflict
In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.
The Tanzania Revenue Authority (TRA) has introduced a new billing number system for the loading and offloading of fuel at storage depots, aimed at enhancing transparency, boosting government revenue collection and ensuring compliance without disrupting supply.
Nchi kama Saudi Arabia, UAE, Kuwait, Qatar na Iraq zinapoteza njia yao kuu ya kuuza mafuta.
wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864. Kwa upande wa dizeli, lita moja sasa watanunua kwa Sh3,806 kutoka Sh2,858 ikiwa ni ongezeko la Sh948. Kwa upande wa mafuta ya taa, sasa yatanunuliwa kwa Sh3,684 kutoka Sh2,932 iliyokuwa ikitumika Machi mwaka huu ikiwa ni ongezeko la Sh752.
Ongezeko la bei ya mafuta halipo Tanzania pekee, bali hata katika soko la dunia ambapo bei kikomo kwa Aprili 2026, zimeongezeka kwa asilimia 69.98 kwa mafuta ya petroli, asilimia 114.46 kwa mafuta ya dizeli na asilimia 120.81 kwa mafuta ya taa.
wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864.
Kwa mujibu wa Ewura, ongezeko hilo la bei za mafuta ni janga la kidunia na Tanzania kama sehemu hiyo inachukua hatua mbalimbali kuhakikisha usalama wa upatikanaji wa mafuta nchini na katika bei himilivu ili kupunguza madhara ya kiuchumi na kijamii.
Kufungwa kwa mlango huu muhimu wa bahari kunasababisha athari kubwa kimataifa, hasa kiuchumi na kiusalama: 1️⃣ Kupanda kwa bei ya mafuta duniani
Kufungwa kwake kunasababisha uhaba wa mafuta sokoni. Bei ya mafuta na gesi inapanda haraka, na kuathiri gharama za usafiri, umeme na bidhaa nyingine.
Kufungwa kunaweza kusababisha mvutano au mapambano kati ya mataifa yenye maslahi ya kiuchumi na kiusalama katika eneo hilo.
Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.
Dk Mwigulu amesema: “Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.”
Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa ghala la kupokea na kuhifadhi mafuta lenye uwezo wa kupokea tani 308,110 katika Bandari ya Dar es Salaam ambao umefikia asilimia 30.
The authority attributed the rise to the ongoing geopolitical tensions in the Middle East, particularly involving the United States, Israel and Iran, which began on February 28, 2026, and have significantly disrupted global oil supply.
Wakati huohuo, athari za vita hivyo zimeanza kuhisiwa na wananchi wa Marekani, ambapo bei ya mafuta imeendelea kupanda na kufikia zaidi ya dola 4 kwa galoni, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 2022.
Hali hiyo inachangiwa na usumbufu katika eneo la Strait of Hormuz, ambalo ni njia muhimu inayopitisha takriban robo ya mafuta yanayotumika duniani.
TANZANIA INA MAFUTA YA KUTOSHA,LICHA YA BEI KUPANDA KUTOKANA NA VITA YA MASHARIKI YA KATI
Kwa mwezi Aprili 2026, gharama za kuagiza mafuta (premiums) katika Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kwa wastani wa asilimia 15.3 kwa mafuta ya petroli na asilimia 10.8 kwa mafuta ya dizeli na hakuna mabadiliko ya gharama kwa mafuta ya taa.
Mabadiliko ya bei za mafuta nchini kwa mwezi Aprili 2026 yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na vita inayoendelea Mashariki ya kati tarehe 28 Februari 2026.
CAG Reports Highlighting Government Financial Mismanagement
Rais Samia Suluhu Hassan, ametaka ripori zijazo, wahusika watajwe ili waone soni.
Ripoti ya mwaka wa fedha 2016-2017, ilibaini Sh1.5 trilioni ilipotea na haikuwa na maelezo.
Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Zungu, anayo nafasi ya kuhakikisha ripoti ya CAG inafanyiwa kazi ipasavyo bungeni.
Ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), mwaka wa fedha 2024/2025. Kama ilivyozoeleka katika miaka iliyotangulia, madudu yameendelea kuwemo.
Hivyo, CAG amewekwa kikatiba na kisheria ili kulisaidia Bunge kuisimamia Serikali kimahesabu.
Mwaka 2012, mawaziri Mustafa Mkulo (Fedha), Cyril Chami (Viwanda na Biashara), Haji Mponda (Afya), Omar Nundu (Uchukuzi), William Ngeleja (Nishati na Madini), waling'oka kufuatia ripoti ya CAG kutokana na msimamo wa Bunge.
Miongoni mwa mashirika yaliyotajwa kupata hasara kwa mujibu wa ripoti hiyo ni Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), lililopata hasara ya Sh191.19 bilioni, ikiongezeka kwa asilimia 108 kutoka hasara ya mwaka wa fedha 2023/24. Pia, Shirika la Reli Tanzania (TRC) lilipata hasara ya Sh3.06 bilioni, iliyotokana na ajali zilizosababisha uharibifu wa miundombinu ya reli ya zamani ya MGR.
Accountability is not optional. It is the responsibility of every public leader and citizen. Where negligence or misconduct is found, the government will take decisive action.
In his final political move, Bungara announced his resignation from ACT Wazalendo on February 18, 2026. He formally joined CHADEMA, the nation’s largest opposition party, aligning himself with their boycott of elections they deemed fundamentally unfair.
The Court of Appeal here began hearing a critical revision application from the main opposition party, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) on Tuesday, which seeks to overturn a High Court injunction that has barred it from conducting any political activities since June 2025.
Hatima ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuendelea kuzuiwa kufanya shughuli za kisiasa au kurejea ulingoni sasa ipo mikononi mwa Mahakama ya Rufaa, baada ya zaidi ya siku 283 tangu kilipowekewa zuio hilo.
Most remarkably, just one week before his death, Bungara launched an operation to strengthen CHADEMA in the southern regions.
Most remarkably, just one week before his death, Bungara launched an operation to strengthen CHADEMA in the southern regions. He donated his personal vehicle and fuel to party organisers and handed over resources to young CHADEMA activists, resulting in thousands of people switching from other parties to join CHADEMA within that single week.
Mgawanyiko huo umejidhihirisha kupitia makundi mawili yenye mitazamo tofauti kuhusu mustakabali wa chama.
Sifuna alisisitiza kuwa yuko tayari kusimama imara kulinda misingi ya chama, akipinga kile alichodai ni juhudi za kukisogeza karibu na mamlaka ya serikali.
Gachagua ameanza kujijenga kama sauti mbadala ya kisiasa, hasa kwa vijana, akishambulia sera za serikali kwa madai ya kushindwa kuboresha maisha ya wananchi wa kawaida.
Kutokuwepo kwake katika mstari wa mbele wa siasa za uchaguzi wa 2027 kumeacha pengo ambalo sasa linajazwa na makundi yenye mitazamo tofauti.
All Parliamentary Standing Committee meetings have been suspended today, March 25, 2026, following the death of Isimani MP and Minister of State in the Prime Minister’s Office, William Lukuvi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri na mzalendo kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi.
William Lukuvi afariki dunia kwa mshituko wa moyo
PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has announced the death of the former Minister of State in the Prime Minister’s Office, (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) William Lukuvi, who passed away this morning, March 25, 2026.
Mbunge wa Isiman, William Lukuvi amefariki dunia, huku aliyekuwa mshindani wake katika mchakato wa ndani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa ubunge wa Isimani, Festo Kiswaga, akifunguka mambo atakayoyakumbuka.
Kiswaga, amesema anamkumbuka kiongozi huyo kwa utendaji wake Isimani, kwani aliingia likiwa jipya na halikuwa na hata shule moja ya sekondari, lakini sasa zimefika zaidi ya 10.
Taarifa ya kifo chake imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kisuluka, akimnukuu Rais Samia Suluhu Hassan, aliyesema amesikitishwa na anatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki.
Ambassador Kusiluka conveyed condolences from President Samia Suluhu Hassan, who announced the death and sent her sympathies to the people of Isimani and to the Speaker of the National Assembly.
Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.
Additionally, the Head of State extended her condolences to the Speaker of Parliament, the bereaved family, residents of Isimani Constituency, and all Tanzanians mourning the loss.
Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani William Vangimembe Lukuvi amefariki duinia akiwa na umri wa miaka 70.
Lema ametumia kurasa zake za mitandao ya kijamii kuzungumzia kifo cha Lukuvi akisema: “Tunazaliwa bila kitu, na tunaondoka bila kitu, kifo hutukumbusha unyenyekevu wa maisha.
According to a statement issued by the Parliament’s Communications and Public Relations Unit, Mr Zungu invoked Rule 176 of the Standing Orders of the National Assembly (August 2025 edition) to suspend the sittings.
Reports of the death of the Isimani Constituency MP in Iringa Region, who had served in Parliament since 1995, began circulating earlier in the day before being confirmed by the Chief Secretary, Ambassador Dr Moses Kusiluka.
Mr Lukuvi’s death brings to three the number of MPs who have died during the 13th Parliament since its inauguration by President Hassan.
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Azzan Zungu leo Machi 25, 2026, ameongoza kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uongozi kilichofanyika katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma, kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Ismani, William Vangimembe Lukuvi.
Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi kilichotokea leo Machi 25, 2026.
Rais Mwinyi amesema taifa limepoteza kiongozi muhimu ambaye amelitumikia kwa uadilifu na kujitolea katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa muda mrefu.
WAZIRI LUKUVI AFARIKI DUNIA
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa.
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa. Ametumikia nafasi mbalimbali za uongozi serikalini na kujijengea sifa ya uongozi thabiti kupitia utumishi wa muda mrefu serikalini na uwakilishi wake bungeni.
Mpina ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi akizungumza na Mwananchi amesimulia sababu iliyotaka kumfanya kuikataa bajeti hiyo, kwamba Mpango wa Maendeleo ulikuwa unaeleza Serikali itatenga asilimia 35 ya bajeti kutelekezwa kwenye maendeleo lakini yenyewe ikatenga asilimia 22.
Mdee amesema Lukuvi alikuwa akichukua ushauri na mapendekezo ya hotuba za kambi ya upinzani bungeni na kwenda kuvifanyia kazi kwa vitendo.
William Lukuvi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) akiagwa bungeni Dodoma.
Speaker of the National Assembly, Mussa Zungu, has described the death of Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) and Isimani MP William Lukuvi as a major blow not only to his family, but also to the Parliament, government, and Tanzanians at large.
PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.
President Samia Suluhu Hassan is expected to join thousands of mourners in Iringa next Tuesday to honour the late Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities), who passed away on Wednesday at Benjamin Mkapa Hospital in Dodoma Region.
DODOMA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.
Utakachokuta kwenye Gundua
- Takriban habari 31474 zilizoaindeksi za Tanzania zinaonekana kwenye Gundua.
- Chuja kwa kategoria, chanzo, Indexed topics, redio & podcast, au mitandao ya kijamii.
- Fungua kadi za mada kuu kwa chanjo inayoendelea. Mada kuu zinajumuisha Tanzania Development Vision 2050, AI, Ebola.
Watu pia huuliza kuhusu Gundua na habari Tanzania
- Gundua (Discover) ni nini kwenye Nukta AI?
- Gundua ni kituo cha habari Tanzania: vichwa vilivyoaindeksi kutoka vyombo vya ndani na kikanda, machapisho ya Nukta Publish, mada kuu tunazofuatilia, matukio yajayo, redio & podcast, na vichujio vya kategoria kwa michezo, uchumi, siasa na zaidi.
- Kuna habari ngapi za Tanzania kwenye Gundua sasa?
- Kwa sasa Gundua inaonyesha takriban habari 31474, ikiwa ni pamoja na vichwa kama Fumba set for modern urban transformation, Zanzibar calls for stronger road safety, TBS destroys 39 tonnes of substandard food products. Mlisho unasasishwa vyombo vinapochapisha.
- Nawezaje kuchuja habari kwa mada au chanzo?
- Tumia chipsi za kategoria (kilimo, biashara, teknolojia, afya, utalii n.k.), Indexed topics, Radio & podcasts, Social media, au vichujio vya vyanzo/vyombo ili kupunguza mlisho.
- “Mada kuu tunazofuatilia” ni nini kwenye Gundua?
- Ni mada kuu zinazoendelea — kwa sasa ikiwa ni pamoja na Tanzania Development Vision 2050, AI, Ebola — kila kadi inaongoza kwenye makala zilizoaindeksi zinazohusiana.
- Je, Gundua inapatikana kwa Kiswahili na Kiingereza?
- Ndiyo. Badilisha lugha kwa SW/EN. Uzoefu wa kawaida wa Gundua ni Kiswahili (`/sw/discover`); Kiingereza kipo katika `/en/discover`.
- Nawezaje kusoma zaidi kuhusu “Fumba set for modern urban transformation”?
- Fungua hadithi hiyo kutoka gridi ya Gundua hapa chini. Kadi zinafungua tovuti ya mchapishaji au ukurasa wa Nukta wakati hadithi imewekwa kwenye jukwaa.