Burudani
Habari za punde, matukio ya wasanii, na updates kutoka mitandao ya kijamii. 22 influencers
What's Happening
Enzi ya Mafarao Yafufuka, Ingia Katika Ufalme wa Dhahabu wa Throne of Ra
ULIMWENGU wa mafumbo, hazina zilizofichwa na nguvu za kifalme umefunguka kupitia Throne of Ra, mchezo mpya wa kusisimua wa sloti kutoka Meridianbet kwa ushirikiano na Expanse. Safari hii inakupeleka moja kwa moja kwenye ustaarabu wa kale wa Misri, mahali ambapo hadithi za miungu, wafalme na utajiri usio na mwisho zimeacha alama kubwa katika historia. Jiandae kuzungusha magurudumu na kuingia kwenye
FuTopia 2026: Where Fumba’s streets become stage
DAR ES SALAAM: I DID not make it to Zanzibar this time, but I was not going to let the distance silence my pen. Through videos, live coverage and streamed performances, I watched FuTopia come alive in Fumba, a burst of colour, rhythm, culture and energy unfolding before my eyes. I may have been miles …
Vifaa vya P Diddy kuendelea kushikiliwa
VIFAA vya elektroniki vinavyomilikiwa na rapa maarufu nchini Marekani, Sean “Diddy” Combs, vilivyokamatwa wakati nyumba yake ikipekuliwa na polisi havitarudishwa hadi uchunguzi unaondelea utakapokamilika. Vifaa mbalimbali vya kielektroniki vyenye thamani ya takribani dola 9,000 z…
Kardinali Rugambwa aongoza shukrani ya miaka 25 ya Minde
Mwadhama Kardinali Protase Rugambwa amewasili mkoani Kilimanjaro kwa ajili ya kushiriki Misa Takatifu ya Shukrani ya Jubilee ya Miaka 25 ya Uaskofu wa Mhashamu Ludovick Minde, Askofu wa Jimbo Katoliki la Moshi. Misa hiyo inafanyika leo katika Kanisa Kuu la Kristu Mfalme, Jimbo Ka…
Maaskofu 20 washiriki Jubilee ya Miaka 25 ya Askofu Minde
Zaidi ya maaskofu 20 kutoka majimbo mbalimbali ndani na nje ya Tanzania wamekusanyika katika Kanisa Kuu la Kristo Mfalme, Jimbo Katoliki la Moshi, kushiriki Masifu ya Jioni kuelekea maadhimisho ya Jubilee ya miaka 25 ya Uaskofu wa Mhashamu Askofu Ludovick Joseph Minde. Masifu hay…
Viongozi, mastaa wamiminika kumsabahi mtoto wa Zuchu
MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Zuchu amevunja rekodi kwa kutembelewa hospitali na idadi kubwa ya watu mashuhuri nchini baada ya kujifungua mtoto wake na Nasib Abdul baarufu kama Diamond Platnumz. Zuchu alijifungua mtoto wa kike Agosti 2, Jumapili ya wiki iliyopita na kusababisha wat…
UTAMADUNI WA TANZANIA KUVUKA MIPAKA: RUVUMA YAPELEKA WAJUMBE 45 KWENYE TAMASHA LA KIMATAIFA MALAWI
LIULI: MJI ULIOWAHI KUITWA “LULU YA ZIWA NYASA” NA KUSHEHENI HISTORIA INAYOENDELEA KUISHI
P Diddy apunguziwa kifungo tena
RAPA maarufu wa Marekani P diddy ambaye kwa sasa anatumikia kifungo, amepunguziwa muda wa kukaa gerezani hadi Februari 23, 2028 badala ya Juni 04, 2028. Hata hivyo, kupunguzwa kwa muda wa kutumikia hadhabu hiyo, haijaathiriwa na tukio la kupigana ndani ya gereza ikimuhusisha P Di…
HIRU Is More Than a Game. It Is Proof That Africa’s Stories Are Ready for the Global Stage
For decades, Africa has been one of gaming’s largest audiences but one of its smallest…