Burudani
Habari za punde, matukio ya wasanii, na updates kutoka mitandao ya kijamii. 22 influencers
What's Happening
Filamu za Kiswahili kung'ara Kimataifa
Zaidi ya watu milioni 200 duniani, wakiwamo wanaozungumza na wasiozungumza Kiswahili, wanatarajiwa kufikiwa na matumizi ya lugha hiyo kupitia mpango wa kurusha filamu za Kiswahili katika jukwaa la kimataifa la TV5MONDE lenye makao makuu nchini Ufaransa. Akizungumza na waandishi w…
AFCON, Tamasha kuchochea utalii Arusha
Maandalizi ya Mashindano ya Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027 yameanza kulichangamsha Jiji la Arusha, huku Tamasha la Kimataifa la Arusha Artisan Festival likitarajiwa kuongeza kasi ya utalii, ajira na biashara kupitia sekta ya sanaa na utamaduni. Akizungumza na waandishi wa habari …
China Focus: Shanghai breathes new life into early CPC heritage sites
A small light bulb glows in the hand of a teacher dressed in a traditional Chinese scholar's gown, drawing curious students closer for a better look. Behind them, a screen displays a life-size recreation of an early-20th-century room, immersing everyone in the scene. The teacher …
SASASABA IMENIKUTANISHA NA WATU WA MATAIFA MENGINE🇹🇿
Korean Embassy expands cultural outreach in Tanzania
THE South Korean Embassy in Tanzania has stepped up efforts to promote Korean culture through a range of activities aimed at strengthening friendship and cultural ties between the two countries. South Korean Ambassador to Tanzania, Eunju Ahn, made the remarks on Saturday during a…
MICHAEL JACKSON; Mkali wa ‘pop’ asiyeng’oka jukwaa la muziki duniani
LEO inatimia miaka 17 tangu ‘Mfalme wa Pop’ duniani, Michael Jackson, afariki dunia, Juni 25, 2009. Siku hiyo wapenzi wa muziki na dunia kwa ujumla, ilisimama kwa muda baada yua habari ya kifo chake.Kwa miongo kadha takribani nusu karne, ama umri wake alioishi duniani alitikisa m…
Meya Manispaa ya Kigoma Ujiji akemea juu ya vitendo vya ushoga
Meya wa manispaa ya Kigoma Ujiji Mussa Maulid, ameionya jamii juu tabia ya 'kukumbatia' vitendo vya ushoga akieleza vitendo hivyo vinachangia kujiweka mbali na baraka za Mungu. Onyo hilo alilitoa katika tamasha la Kihistoria na Mambo ya kale la mji mkongwe wa Ujiji, lililofanyika…
Rais Samia afadhili vijana 180 darasa la Zuchu
Rais Samia Suluhu Hassan, ametoa ufadhili kwa vijana 180 kati ya zaidi ya 300 walioshiriki darasa maalumu la muziki lijulikanalo kama Zuchu Imbeju Masterclass, linalolenga kukuza vipaji vya sanaa nchini. Darasa hilo la mafunzo ya siku tano limeandaliwa na msanii Zuchu kwa kushiri…
Why Xi advocates mutual learning with cultural heritage
Over the years, Chinese President Xi Jinping has consistently advocated cultural diversity and mutual learning among civilizations. In his eyes, cultural heritage can play a unique role. During U.S. President Donald Trump's first China visit in 2017, Xi invited him to visit the F…
Four Tanzanian artists make history at the 61st Venice Biennale
Four Tanzanian artists - Turakella Editha Gyindo, Amani Abeid, Lazaro Samuel, and Valerie Asiimwe Amani - have taken the world stage at the 61st International Art Exhibition of La Biennale di Venezia, one of the most respected cultural events on the planet. Representing the Unite…
