

Spotlight
Tanzania Development Vision 2050

AI
AI
Dondoo Muhimu Za Makala Hii Umoja wa Ulaya umeiamuru Meta kufungua WhatsApp kwa AI za washindani wake ikiwemo OpenAI. Meta inatuhumiwa kutumia nguvu ya WhatsApp kuipa faida Meta AI huku ikiwazuia washindani. AI chatbots zitarejeshewa ufikiaji wa WhatsApp Business API bila malipo wakati uchunguzi ukiendelea. Meta imepi…
.jpeg)
246 Areas Identified for Urgent Reform in Tanzania's Blueprint II · 246 Suspected Ebola Cases and 80 Reported Deaths in DRC
Ebola
Na Mwandishi Wetu.SERIKALI imeimarisha kwa kiwango kikubwa ufuatiliaji katika mipaka, vituo vya kuingilia nchini na mfumo mzima wa huduma za afya ili kuzuia ugonjwa wa Ebola kuingia nchini kutoka mataifa jirani.Akizungumza katika semina ya wanahabari jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Msaidizi wa Ukuzaji wa Afya kutoka …
Afya na Huduma za Jamii
Hanta virus
Taarifa hiyo ya WHO ilithibitisha watu sita kutoka katika meli hiyo kuambukizwa ugonjwa huo huku watatu tayari wakiripotiwa kupoteza maisha.

Biashara
Fuel Prices
Ni maumivu juu ya maumivu kwa watumiaji wa vyombo vya moto vinavyotumia dizeli baada ya bei ya nishati hiyo kupaa kwa Sh85 mwezi Juni.

The Guardian
Iran Conflict
THE International Monetary Fund (IMF) has approved the immediate disbursement of approximately $443.9 million to Tanzania after completing reviews under the Extended Credit Facility (ECF) and Resilience and Sustainability Facility (RSF) programmes The funds include about $158.75 …

Africa
Palestine Conflict
History shows that overthrowing governments rarely plants democracy—it usually sows chaos.

Africa
Ukraine Conflict
Far from being a diplomatic shift, the visit signals a continuation of Tanzania’s long-standing tradition of non-alignment and strategic engagement with global powers.

Sports & Entertainment
FIFA World Cup 2026
WHEN the final whistle blows at the AFCON 2027 final, football fans will remember the goals, the drama and the champions. But for Tanzania, the real victory will be what we do with the months before, during and after that whistle. For the first time, East Africa will co-host the Africa Cup of Nations. Kenya, …

Shughuli za Fedha na Bima
Tanzania unveils Sh1.72trn tax shak…
NATIONAL Assembly Speaker Mussa Azzan Zungu has appealed to the government to rein in unnecessary expenditure, particularly on luxury vehicles. In remarks during debate on the Finance Bill 2026i yesterday, he asked the parliamentary standing committee on the Budget to closely mon…

Siasa
Bajeti ya Serikali Tanzania yapaa h…
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu, ameipongeza Serikali inayoongozwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kukubali kufanya marekebisho ya baadhi ya tozo na kodi zilizopendekezwa katika Muswada wa Sheria ya Fedha wa mwaka 2026, hatua aliyosema ime…

Featured
Mexico yaianza kombe la dunia kwa u…
MEXICO CITY, Mexico KATIKA hatua ya 32 Bora ya msimu huu wa Kombe la Dunia, timu ya soka ya Taifa ya Uholanzi itakuwa na kibarua kigumu mbele ya vigogo wa soka la Afrika, Morocco. Uholanzi imetinga 32 Bora ikiwa imemaliza kileleni mwa Kundi F baada ya ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Tunisia. Kwa upande […]

Uchumi
Tanzania budget 2026/27: Taxes, job…
Tanzania's total national debt stock reached 135.33trn/- ($ 51.07billion) at the end of April 2026, marking a modest 0.5 percent increase from the previous month, Bank of Tanzania (BoT) monthly economic review for May has shown. External debt continued to dominate the debt portfo…

Mchanganyiko
Tanesco yazindua kituo cha kuchajia…
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetambulisha rasmi mfumo mpya wa kufunga nyaya za umeme majumbani utakaowezesha wateja kufuatilia matumizi ya umeme kupitia simu ya…

SPORT
Canada Kuwa na Kibarua Kigumu Dhidi…
Tunisia vs Netherlands FIFA Kombe la Dunia 2026 unayakutanisha mataifa yenye historia tofauti, Juni 26, 2026 saa 8:00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki. Mchezo huu utachezwa Uwanja wa Kansas City huku Tunisia wakiwa na kibarua kusaka ushindi kwa mara ya kwanza.Tunisia hawajashinda mechi yoyote katika michezo mitano il…

SPORT
Vikosi vya Kombe la Dunia 2026: HAI…
Utabiri wa New Zealand vs Egypt: Kombe la Dunia – Kundi G Utabiri wetu: Egypt kushinda. New Zealand vs Egypt, mechi ya pili ya Kombe la Dunia 2026 kwenye Kundi G. Mpaka sasa kwenye msimamo timu zote mbili zina pointi moja baada ya sare, katika Mechi zao za Ufunguzi. Mechi hii itapigwa Uwanja wa BC […]

Michezo na Burudani
Waziri wa tamisemi profesa riziki s…
MWANZA: MKOA wa Mwanza umeandika historia mpya baada ya kutwaa ubingwa wa jumla wa Mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa Shule za Sekondari Tanzania (UMISETA) 2026, yaliyoshirikisha wanafunzi kutoka mikoa yote 26 ya Tanzania Bara pamoja na Zanzibar. Katika mashindano hayo yaliyohitimishwa leo mjini Iringa, Mwa…

Spotlight
Nchimbi mgeni rasmi siku ya mazingi…
Dar es Salaam, Julai 2026Mkuu wa Chuo na Mtendaji Mkuu wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC), Dkt. Ernest Mabonesho, ametangaza kuwa kilele cha maadhimisho ya miaka 25 tangu kuanzishwa kwa Chuo kitafanyika tarehe 3 Julai 2026 katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC), Dar es Salaam, kuanz…

SPORT
Nani Kuibuka Mfungaji Bora Kombe la…
Mchezo unaofuata Kundi B ni Canada vs Qatar FIFA Kombe la Dunia 2026, Juni 19. Katika mataifa matatu yaliyoandaa Kombe la Dunia ipo Canada, Marekani na Mexico. Wenyeji Canada walianza kwa sare ya 1-1 Bosnia na Herzegovina. Unakuwa mchezo wa pili utakaochezwa Vancouver. Isome ratiba ya FIFA Kombe la Dunia 2026: Ratiba …

Spotlight
Waziri mkuu: fedha za maji, barabar…
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itakamilisha mchakato wa kuunda Halmashauri ya Mwibara ili kusogeza huduma za Serikali karibu na wananchi na kuongeza ufanisi wa utoaji wa huduma za kijamii na maendeleo.Ametoa kauli hiyo leo Julai 4, 2026, alipohutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika Halmashaur…

Siasa
Ccm yadai kuna mipango ya maandaman…
IRINGA: KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi amewataka Watanzania kutowasikiliza wanasiasa wanaotumia majukwaa ya siasa kubeza na kupunguza thamani ya maendeleo yaliyofanya ya serikali. Kihongosi amesema hayo Juni 20,2026 alipokuwa akizungumza na wananchi katik…

Spotlight
Watuhumiwa mauaji ya Mchina wadakwa
Soma hapa...
Spotlight
Waziri mchengerwa afungua mafunzo k…
TAKUKURU SIMIYU YAWANOA WADAU WA USIMAMIZI NA UTEKELEZAJI WA PROGRAMU NA MIRADI YA MAENDELEO, RC MACHA AFUNGUA WARSHA,ASISITIZA TAASISI ZA UMMA KUSOMANA

Tanzania
Wajasiriamali iringa watakiwa kuong…
PAWAGA, iliyokuwa ikitajwa zaidi kama eneo la uzalishaji wa mpunga pekee, sasa imeanza kujijengea sifa mpya ya kuwa kitovu cha uchumi wa kilimo nchini baada ya uwekezaji mkubwa wa Serikali katika umwagiliaji, umeme, maghala ya kuhifadhi mazao na barabara kuchochea kuanzishwa kwa viwanda 17 vya kuchakata mpunga, kuonge…

SPORT
Saudi Arabia vs Uruguay Kombe la Du…
Uswisi vs Algeria FIFA Kombe la Dunia 2026 wanakutana katika hatua ya 32 bora ya Kombe la Dunia 2026. Mchezo huu utachezwa kwenye Uwanja wa BC Place, Vancouver. Timu zote mbili zinatafuta tiketi ya kufuzu hatua ya 16 boraJulai 3, 2026. Shinda mamilioni na Twenzetu Duniani ya SportPesa kwenye mechi Kombe la Dunia 2026 …

Burudani
Meridianbet Yaleta Zawadi za Zaidi …
Je unajua kuwa ukiwa na Meridianbet una nafasi ya kutengeneza pesa zaidi ya Mamilioni?. Tumia Bet Builder leo ambapo unaweza…

Tourism
Tanzania calls for stronger regiona…
DAR ES SALAAM: TOURISM service providers have been urged to maintain high standards of professionalism, efficiency and customer care as Tanzania prepares to host a series of major international events expected to attract thousands of visitors over the next two years. The call was made over the weekend by the Deputy Mi…

Mchanganyiko
Suala jumuishi kwa watu wenye ulema…
Na Mwandishi Wetu – Dar es Salaam SERIKALI imeendelea kusisitiza dhamira yake ya kuhakikisha Watu Wenye Ulemavu wanapata nafasi sawa katika nyanja zote za…

Mchanganyiko
Benki ya Exim Tanzania yaendesha zo…
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Mbinga Mkoani Ruvuma Joseph Kashushura,akizungumza na baadhi ya watumishi wa kituo kipya cha afya Langiro baada ya kukagua…

In-Depth
Private sector takes driver’s seat:…
DAR ES SALAAM: FOR decades, Tanzania has been known as one of Africa’s top mineral-rich countries. Its exports and government revenues have benefited greatly from resources like gold, diamonds, tanzanite, graphite, nickel, rare earth elements, coal and iron ore. Despite this, a key question remains: why does Tanzania …
Spotlight
Jaji mfawidhi songwe azindua mahaka…
Na. MUKSINI NAKUVAMBA –Mahakama, Mbeya Watumishi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Mbeya wamekutana katika ukumbi wa mikutano wa Mahakama Kuu kwa ajili ya hafla ya kuwakaribisha na kuwatambulisha viongozi wapya waliohamia kuhudumu katika kanda hiyo. Viongozi waliokaribishwa katika hafla hiyo ni Naibu Msaji…

SPORT
Ghana vs Panama FIFA Kombe la Dunia…
Colombia vs Ghana ni karata nyingine ya wawakilishi wa Afrika na Amerika Kusini, katika jukwaa kubwa zaidi la soka Duniani. Mchezo huu unatarajiwa kupigwa kwenye Uwanja wa Kansas City nchini USA, saa kumi na nusu kwa saa za Afrika Mashariki. Mshindi wa jumla wa mchezo huu atakuwa amefuzu moja kwa moja hatua ya 16, bor…

Featured
Takwimu zinaongea: Brazil v Morocco
MEXICO CITY, Mexico KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Brazil, Carlo Ancelotti, amethibitisha kuwa mshambuliaji wake, Neymar, anaweza kuwa fiti kuivaa Scotland katika mchezo wa Jumatano ya wiki ijayo. Neymar anayekipiga Santos ya Ligi Kuu ya Brazil, alikosekana katika mechi zote mbili za awali msimu huu wa Kombe la Dun…

Tax
Tax reforms to boost local investme…
DAR ES SALAAM: THE government’s decision to abolish or reduce 374 fees and levies is expected to stimulate business growth, attract investment, create jobs and widen Tanzania’s tax base, economists and analysts have said. They said the reforms will encourage business formalisation, expand trade and investment, improve…

Featured
Jeshi la magereza lashiriki maadhim…
Na Mwandishi Wetu – Dodoma Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma ya mwaka 2026 yameonesha kwa vitendo namna taasisi za umma zinavyoendelea kusogeza huduma karibu na wananchi kwa kutumia majukwaa mbalimbali ya utoaji huduma, elimu na utatuzi wa changamoto. Kupitia maonesho hayo, maelfu ya wananchi walipata huduma mba…

Mchanganyiko
NMB yaingia katika awamu mpya ya uk…
Na Jackline Minja, WMJWM- Dodoma Serikali imeendelea kuimarisha mfumo wa usimamizi wa mikopo yenye masharti nafuu inayotolewa kwa wafanyabiashara ndogondogo ili kuhakikisha fedha hizo…

Analysis
Singapore sees Tanzania as a major …
DAR ES SALAAM: TANZANIA is strengthening its position as one of East Africa’s influential countries, supported by political stability, improving governance performance, strategic geography and growing economic opportunities that continue to attract regional and global investors. The latest Ibrahim Index of African Gov…

Tanzania
TANESCO yakamilisha miradi ya kuima…
DODOMA: THE construction of the 400-kilovolt (kV) power transmission line from Chalinze to Dodoma, spanning 345 kilometers, has reached 89 percent completion and is expected to be finalized by August 21, 2026. Once completed, the project will strengthen electricity transmission capacity, enhance the stability of the N…

Featured
Kombe la Dunia 2026: Hawa hapa viun…
LONDON, Uingereza WAKATI huu fainali za Kombe la Dunia zikiendelea, klabu za soka, zikiwamo za Ligi Kuu ya England (EPL) zimeanza kujipanga kwa ajili ya msimu ujao, 2026-27. Kujipanga huko ni pamoja na kutumia usajili wa dirisha kubwa majira haya ya kiangazi ili kuimarisha vikosi vyao. ELLIOT ANDERSON (MAN UNITED) Kla…

SPORT
Brazil vs Haiti FIFA Kombe la Dunia…
Spain vs Saudi Arabia: Kombe la Dunia 2026 — Kundi E Spain vs Saudi Arabia ni mechi ya kufa na kupona ndani ya Kundi E la Kombe la Dunia 2026, timu hizi zitavaana uso kwa uso katika Uwanja wa Atlanta, 21 June 2026. Mchezo huo utapigwa saa 3 usiku muda wa afrika mashariki (EAT). Katika […]

Habari
Trump: Makubaliano ya Amani Iran na…
Marekani imefanya mashambulizi mapya dhidi ya Iran baada ya meli ya mizigo kushambuliwa katika Mlango wa Hormuz na kushika moto,…

Nipashe
TAKUKURU Yawafikisha Mahakamani Wat…
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Geita imewafikisha mahakamani watumishi saba wa umma kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha za umma zinazokadiriwa kufikia zaidi ya Sh. milioni 89. Kati ya hao watatu wa Halmashauri ya Manispaa ya Geita wanadaiwa kufanya ubadh…
Utawala wa Umma na Ulinzi
Kunenge Aitaka Halmashauri Chalinze…
SINGIDA YAANZA SAFARI YA SINGLE DIGITS, RC DENDEGO ATAKA KASI YA DIRA YA 2050 IONGEZWE
Siasa
Mshikamano kitaifa wapewa kipaumbel…
VIONGOZI WATAKIWA KUWA MSTARI WA MBELE KUIKANILI RUSHWA

Spotlight
Samia: Tanzania ni kituo muhimu cha…
Na Janeth Raphael MichuziTv Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Namibia zimejipanga kuimarisha zaidi ushirikiano wa kiuchumi kwa lengo la kuongeza kiwango cha biashara na uwekezaji kati ya mataifa hayo mawili. Amesema hatua hiyo inalenga kufungua fursa mpya za ma…

Nipashe
Mikopo ya Asilimia 10 Yaendelea Kug…
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Lulanzi, Dk. Abdulkadri Sultan, amesema uwepo wa hospitali hiyo katika Manispaa ya Kibaha umepunguza kwa kiasi kikubwa msongamano wa wagonjwa katika Kituo cha Afya Mkoani na Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Pwani, Tumbi. Akizungumza na Nipashe Digital…

Spotlight
Mawakili walivyochuana kesi ya ubun…
Soma hapa...

Spotlight
Rais wa Namibia kuwasili Tanzania z…
Na Janeth Raphael MichuziTv RAIS wa Namibia, Netumbo Nandi-Ndaitwah, ametembelea Kituo cha Kumbukumbu cha Wapigania Uhuru wa Afrika pamoja na Makaburi ya Mashujaa wa Namibia yaliyopo wilayani Kongwa mkoani Dodoma, katika ziara maalum ya kuenzi mchango wa Tanzania katika harakati za ukombozi wa bara la Afrika.Katika zi…

Featured
Samia to grace top taxpayers at TRA…
DAR ES SALAAM: THE Tanzania Revenue Authority (TRA) has adopted new strategies aimed at achieving the government’s revenue collection target of 41.830tri/- for the 2026/2027 financial year. The strategies were developed during a five-day performance review meeting for the 2025/2026 financial year, where TRA evaluated …

Spotlight
Rais samia amuapisha jingu,asisitiz…
Na Janeth Raphael MichuziTv Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameitaka Mahakama ya Tanzania kuendelea kuimarisha misingi ya haki, nidhamu, uwajibikaji na maadili katika utoaji wa huduma za haki ili kuhakikisha mfumo imara na wa kuaminika wa utoaji haki nchini.Rais Samia amet…

Spotlight
Wrrb yafungua ukurasa mpya kwa wafu…
Na Mwandishi Wetu Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imesema matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za Ghala katika sekta ya mifugo yataimarisha masoko na kuongeza ushindani wa bei ya bidhaa hiyo nchini. Akizungumza Juni 19, 2026 katika Maonesho ya Mifugo na Mnada wa Kimataifa yanayofanyika katika Shamba la Mbog…

Economy
Tanzania 2026/27 Budget of TZS 62.3…
Tanzania’s Finance Bill 2026, presented to Parliament on 24 June 2026 by Finance Minister Ambassador Khamis Mussa Omar, takes effect on 1 July 2026 and amends 26 laws to implement the 2026/27 budget tax measures. The Parliamentary Budget Committee dropped the proposed 1% withholding tax on agricultural produce, the pr…

Mchanganyiko
Ofisi ya waziri mkuu yathibitisha n…
Na, Mwandishi Wetu – Dodoma SERIKALI imesema itaendelea kuimarisha mifumo ya usimamizi wa maafa nchini ili kupunguza madhara yanayosababishwa na majanga mbalimbali ambayo yamekuwa…

Tanzania
Mama Samia Legal Aid Campaign retur…
ZANZIBAR: ZANZIBAR government has strengthened access to justice by providing 14 electric tricycles and a Land Cruiser vehicle to legal aid providers serving communities across Unguja and Pemba. The transport support is aimed at improving the delivery of legal aid services, particularly in remote areas, as part of eff…

Mchanganyiko
Nilivyorejesha bahati yangu baada y…
Jina langu ni Joshua, na mimi ni mjasiriamali. Kwa muda mrefu, nilikuwa nikikabiliana na changamoto kubwa katika biashara yangu. Ilikuwa ni biashara ndogo ya…

Featured
Benki ya Absa Tanzania na WWF wapan…
Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA Prof. Siasa Mzenzi, akiwa katika Banda la Wizara ya Fedha, wakati wa Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) yanayofanyika katika Viwanja vya Mwl. J.K Nyerere, jijini Dar es Salaam. Watumishi wa Wizara ya …
Chakula na Mapishi
Mikopo ya mifugo NMB yavuka Sh180 b…
Benki ya NMB imeongeza nguvu katika sekta ya kilimo kwa kutoa suluhisho za kifedha zinazowawezesha wakulima na wafanyabiashara wa mazao kupata mitaji, kununua mazao, kuyachakata na kuyapeleka katika masoko ya ndani na nje ya nchi.Akizungumza katika Banda la NMB kwenye Maonesho ya SabaSaba, Mkuu wa Idara ya Kilimo kwa …

Tanzania
Serikali kuwainua vijana kupitia ut…
DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala,Ridhiwani Kikwete amesema Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) kina nafasi ya kipekee katika kujenga na kuendeleza uwezo wa kiutendaji wa watumishi wa umma ambao ndio watekelezaji wa majukumu ya serikali kila siku. Kikwete al…

Michezo
Nyuma ya Cristiano Ronaldo kuna mre…
Nahodha wa timu ya taifa ya Ureno, Cristiano Ronaldo, amethibitisha kuwa Kombe la Dunia la FIFA 2026 litakuwa mashindano yake…
Spotlight
Jaji mfawidhi mpya dodoma atambulis…
Awataka Watumishi kuendelea kufanya kazi kwa uadilifu, kuwajibika na kwa weledi Na FAUSTINE KAPAMA na Noel Daud-Mahakama, Songea Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Dkt. Mustapher Mohamed Siyani, amewataka Watumishi wa Mahakama ya Tanzania kutoa huduma zinazoendana na ubora wa miundombinu ambayo imejengwa …

Spotlight
Jamii iwe makini na ushauri kisaiko…
Wananchi nchini wametakiwa kuwa waangalifu na taarifa pamoja na ushauri wanaoupata kupitia mitandao ya kijamii, kwani si kila elimu inayotolewa mtandaoni ni sahihi au inatolewa na wataalamu wenye sifa stahiki.Wito huo umetolewa na Mkuu wa Chuo cha Ustawi wa Jamii, Dkt. Joyce Nyoni, alipokuwa akizungumza na waandishi w…

SPORT
Scotland vs Brazil FIFA Kombe la Du…
Wakiwa na pointi 1 tu, katika michezo yao miwili ya kwanza, kikosi cha South Africa kinajiandaa kucheza mechi ya kufa na kupona dhidi ya South Korea. Ni mechi ya South Africa vs South Korea Kombe la Dunia 2026 itakayopigwa 25 June 2026 saa 10 alfajiri, kwa saa za Afrika Mashariki. Mechi hii itapigwa kwenye Uwanja […]

Jamii
Wahandisi tanroads, tarura watakiwa…
DAR ES SALAAM: WAKALA wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imeendelea kuimarisha usimamizi wa ubora wa miradi ya ujenzi wa miundombinu nchini kupitia maabara zake za kisasa zinazofanya uchunguzi na uhakiki wa vifaa vya ujenzi pamoja na kazi zinazotekelezwa, hatua inayolenga kuhakikisha miundombinu inakuwa imara,…

Spotlight
Rais wa namibia atembelea kiwanja c…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Dkt, Netumbo Nandi-Ndaitwah baada ya Rais huyo wa Namibia kuhitimisha Ziara yake ya Kitaifa ya siku 4 katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 22 Juni, 2026.Rais wa Jamhur…

Tanzania
Tanzania, Namibia Seal New Economic…
DAR ES SALAAM: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan yesterday bid farewell to Namibian President Dr Netumbo Nandi-Ndaitwah following her historic three day State Visit to Tanzania. The colourful farewell ceremony, held at the State House in Dar es Salaam, featured a guard of honour and the playing of the national anthems of …

Global TV Online
Kamanda wa Polisi Tabora SACP Richa…
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Camillus Wambura, amemhamisha Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Twaha Juma Lulengelule na kumteua…

Michezo
Mechi ya Moto: Argentina Kukutana n…
Imefika ile hatua ambayo hakuna kitakachokusaidia zaidi ya ushindi kwenye michuano hii ya Taji Kubwa Duniani. Leo hii ni Hispania…

Maji, Usafi na Udhibiti wa Taka
Tanzania, Ujerumani wasaini mkataba…
A €20m, (60.7bn/-) grant agreement with Germany was signed at the Treasury yesterday, for improving water supply and sanitation services in Tunduma and Vwawa-Mlowo towns. Dr Natu Mwamba, the permanent secretary, said the agreement reaffirms long-standing development cooperation i…

Afya na Huduma za Jamii
Wagonjwa 823 kufanyiwa upasuaji mac…
HALMASHAURI ya Wilaya Mkuranga ni kati ya Halmashauri tisa za mkoa wa Pwani ambayo inajivunia kujiimarisha kwenye kuwekeza kwenye ujenzi wa vituo vya huduma za afya kusogeza karibu na wananchi. Mkuranga kwasasa ina vituo vya Serikali vya kutolea huduma za afya 71 kati ya hivyo Ho…

Sheria na Mahakama
Wizara ya maliasili na utalii yaibu…
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe, amesema huduma zinazotolewa na Wizara ya Katiba na Sheria zimekuwa na mchango mkubwa katika kuwawezesha wananchi kupata haki, ushauri wa kisheria na utatuzi wa changamoto mbalimbali kwa urahisi na kwa wakati. Prof. S…

Spotlight
Msikiti uliojengwa na Gaddafi, Nyer…
Soma zaidi hapa...

Spotlight
Play’n GO na Meridianbet Waungana K…
MERIDIANBET inafungua ukurasa mpya wa burudani ya kasino mtandaoni kwa kuwakaribisha wachezaji wote kwenye ulimwengu wa kipekee wa Play’n GO, mmoja wa waandaa michezo wakubwa na wanaoaminika zaidi katika tasnia ya michezo ya kasino ya kidijitali. Hii ni hatua inayolenga kuongeza ladha mpya ya michezo ya kisasa kwa wap…

Mchanganyiko
Tra yakusanya trilioni 32.3 baada y…
Na Victor Masangu, Pwani Serikali mkoani Pwani imeipongeza Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Pwani kwa kuweza kuwa na mipango madhubuti katika kuweka…

Tanzania
225 institutions brighten the Publi…
DAR ES SALAAM: PRIME Minister Dr Mwigulu Nchemba has reaffirmed the government’s commitment to strengthening the private sector, saying sustained reforms will improve Tanzania’s business and investment climate and accelerate the implementation of Vision 2050. Speaking at the 2026 Annual Business and Investment Confere…

Featured
Rais samia azindua kituo cha tiba y…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendeleza dhamira yake ya kuwekeza zaidi katika huduma za matibabu ya Saratani katika Mfumo wa Fahamu (neuro-oncology) na kuimarisha mfumo wa afya kwa ujumla. Makamu wa Rais amesema…

Tanzania
CBE equips councils to manage speci…
SHINYANGA: SHINYANGA Regional Commissioner, Ms Mboni Mhita, has requested the Office of the Controller and Auditor General (CAG) to conduct a special audit at Msalala District Council to uncover the root causes of financial management flaws that triggered an unprecedented qualified audit opinion for the 2024/25 financ…
.jpeg)
Spotlight
Mkurugenzi Mkuu TASAC: MV Liemba Ku…
Vijana wa Tanzania wametakiwa kuchangamkia fursa zilizopo katika sekta ya bahari, huku Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kikieleza kuwa wahitimu wake wanaendelea kupata ajira ndani na nje ya nchi, hususan katika mataifa ya Mashariki ya Kati kutokana na mahitaji makubwa ya wataalamu wa ubaharia.Akizungumza na waandis…

Business
Algerian firms seek partners for tr…
DAR ES SALAAM: DAR ES SALAAM International Trade Fair (DITF) has generated business and investment opportunities worth 129.31tri/- over the past five decades, reinforcing its role as a key engine for Tanzania’s trade expansion, investment promotion and market connectivity. The annual exhibition, popularly known as Sab…

Spotlight
WRRB yatekelezaji maagizo ya Waziri…
Bodi ya Usimamizi wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imeanza rasmi utekelezaji wa maagizo yaliyotolewa na Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, ya kuimarisha usimamizi wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala na kuhakikisha changamoto zinazojitokeza katika utekelezaji wake zinatatuliwa bila kurudi kwenye biashara holela ya ma…

SPORT
New Zealand vs Belgium FIFA Kombe l…
Colombia wakiwa tayari wamefuzu hatua ya 32 bora watavaana na Portugal, ambayo situ kwamba wanaisaka tiketi Ya Robo hatua ya 32 bora, bali wanataka kuongoza Kundi. Staa wa Ureno, Cristiano Ronaldo alituma ujumbe wa “I’m back” akimaanisha amerudi baada ya kufunga mabao 2 katika ushindi wa kishindo wa mabao 5-0 dhidi ya…

Michezo
Ureno na Uingereza Kuvuta Hisia za …
Mpaka sasa ni timu 8 ambazo zimebaki kwenye michuano mikubwa Duniani ambapo kila timu inawania nafasi ya kufika Fainali ya…

AFYA
Bmh yaandika historia kwa upandikiz…
Na Ramadhan Hassan, Dodoma HOSPITALI ya Benjamin Mkapa (BMH), kwa kushirikiana na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), imeandika historia kwa kufanikisha kwa mara ya kwanza kambi maalumu ya upasuaji wa moyo kwa watoto kutoka Burundi, hatua inayoimarisha nafasi ya Tanzania kama kitovu cha huduma za kibingwa na ubingw…
Spotlight
Zanzibar strengthens Ebola prepared…
[Daily News] Dar es Salaam -- THE World Health Organization (WHO) Regional Director for Africa, Prof Mohamed Janabi, has stressed the importance of rapid patient monitoring and investment in health systems as key pillars of controlling Ebola in Africa.

Tanzania
Zambia Rea Team Visits Chamwino to …
LONDON: THE government is aggressively courting international investors to fund electricity transmission infrastructure, utilising a reformed legal framework to mobilise over 4 billion US dollars (approx. 10.4 tri/- ) by 2030 to meet soaring national power demand. The investment drive marks the operationalisation of l…

Featured
Ufaransa vs Iraq Kombe la Dunia 202…
LONDON, Uingereza NANI kutinga fainali ya msimu huu wa Kombe la Dunia katika mchezo huo wa Julai 15, 2026? Ni Argentina ya Lionel Messi au England ya Harry Kane? Achana na Messi dhidi ya Kane au mshambuliaji huyo wa Argentina kuivaa England kwa mara ya kwanza katika historia ya maisha yake ya soka. Upande wa […]

Spotlight
Jaji mkuu amuapisha dkt. jingu kuwa…
Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. George Masaju leo tarehe 26 Juni, 2026 amemuapisha Dkt. John Antony Jingu, Mtendaji Mkuu wa Mahakama kuwa Katibu wa Tume ya Utumishi wa Mahakama. Dkt. Jingu anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Mtangulizi wake Mtendaji Mkuu Mstaafu wa Mahakama, Prof. Elisante Ole Gabri…

Spotlight
Bei ya sukari yapaa, wananchi walal…
Soma hapa...
Spotlight
Jaji mtulya ateta na wadau wa mahak…
Na. MUKSINI NAKUVAMBA – Mahakama, Mbeya Mahakama ya Rufani ya Tanzania imefanya kikao cha tathmini ya utekelezaji wa shughuli za usikilizaji wa mashauri ya Rufaa za madai katika Masjala Ndogo ya Mbeya, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kuhitimisha rasmi kikao cha Mahakama hiyo kilichoanza Juni 18, 2026 na kinachotaraji…

Spotlight
Ujenzi wa Barabara Kuelekea AFCON 2…
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amemwagiza mkandarasi anayetekeleza ujenzi wa barabara za kuelekea uwanja utakaotumika kwa michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) mwaka 2027 kuhakikisha kazi hiyo inafanyika usiku na mchana ili ikamilike kwa wakati.

Spotlight
Mbio za miaka 30 ya tra: eliona asi…
Serikali ya Mkoa wa Dodoma imewataka wafanyabiashara, wawekezaji, washauri wa kodi na wananchi kuendelea kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kuzingatia sheria za kodi ili kuongeza mapato ya Serikali na kuchochea maendeleo ya Taifa.Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Chamwino, Mhe. Janeth Mayanja, …

Siasa
Rais samia afanya uteuzi wa viongoz…
RAIS DANIEL CHAPO WA MSUMBIJI KUWASILI KESHO NCHINI TANZANIA KWA ZIARA YA KIKAZI

Featured
Yanga yazima jeuri ya Azam, Simba y…
Na Hassan Mwasha DAKIKA 90 tu za mchezo kati ya Fountain Gate na Singida Black Stars ndizo zilizopeperusha ndoto ya Feisal Salum ‘Fei Toto’ kuwa mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2025-26. Kabla ya mechi za mwisho wa msimu kuchezwa jana Juni 30, 2026, Fei Toto wa Azam ndiye aliyekuwa kinara kwa mabao […]

Mazingira na Hali ya Hewa
Serikali yafafanua upotoshaji kuhus…
Serikali imesema haijauza wala haijakabidhi rasilimali za misitu au maliasili za Tanzania kwa mataifa ya nje kupitia makubaliano ya biashara ya kaboni, ikisisitiza kuwa hatua zinazoendelea zinalenga kuongeza manufaa ya kiuchumi kwa taifa huku zikilinda maslahi ya wananchi. Akizu…

Featured
Matukio ya kusisimua Kombe la Dunia…
MEXICO CITY, Mexico KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Argentina, Lionel Scaloni, amethibitisha kuwa atampumzisha nahodha wake, Lionel Messi, katika mchezo wao dhidi ya Jordan. Timu hizo zitakutana kesho Juni 28, 2026, ukiwa ni mchezo wa mwisho wa kundi lao lenye timu zingine mbili, Algeria na Austria. Argentina ikiwa …

Spotlight
Prediction Afrika Kusini vs Canada …
AFRIKA Kusini wamefuzu kwa mara ya kwanza katika historia yao kufikia hatua ya mtoano wa mashindano ya Dunia, wakimaliza washindi wa pili wa Kundi A nyuma ya Mexico. Hii ni mara yao ya kwanza kuvuka hatua ya makundi katika michuano hii, baada ya kushindwa kufanya hivyo mwaka 1998, 2002 na kama wenyeji 2010.Kwa upande …

Utawala wa Umma na Ulinzi
Mwenge wa uhuru waridhishwa na mira…
OFISI MPYA YA KIJIJI CHA SANGO YAZINDULIWA NA MWENGE MOSHI VIJIJINI, IMEGHARIMU SH MILIONI 50.8

Habari
Vijana Uchumi Challenge kupewa fursa
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali inaandaa maboresho ya kisera na kisheria yatakayowaondolea vijana wajasiriamali kikwazo cha muda mrefu…

Spotlight
Sio Mizunguko ya Bure Tu, Meridianb…
KATIKA dunia ya leo ya kasi, kijana hahitaji kusubiri miaka mingi kuona mabadiliko. Kila kitu kinataka kuwa cha haraka, cha maana, na cha kuleta matokeo halisi. Ndiyo maana Meridianbet imeleta fursa ambayo inazungumzwa na kila mbashiri, Diamond Jackpot. Hili ni dirisha la ndoto kubwa linaloweza kukubadilisha maisha nd…

Featured
TRA, JKT wana vita yao wenyewe Ligi…
Na Hassan Mwasha, Gazetini ACHANA na ishu ya ubingwa. Ni wazi si Yanga wala Simba inayoweza kufikia idadi ya pointi ilizokusanya msimu uliopita (2024-25) wa Ligi Kuu Bara. Kwa sasa, Yanga iko kileleni mwa msimamo lakini imekusanya pointi 72, wakati Simba wao wana pointi 70, huku kila timu ikiwa imebakiza mechi moja ba…

Spotlight
Rc makalla aipongeza halmashauri ya…
RC DENDEGO: DIRA YA 2050 IWE AJENDA YA KUDUMU KWENYE SHUGHULI ZA MAENDELEO SINGIDA

Spotlight
Wizara ya fedha yawakaribisha wanan…
Na Mwandishi WetuWANANCHI wanaotembelea Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba 2026) wanaendelea kunufaika na huduma mbalimbali za mawasiliano na ofa maalum zinazotolewa na Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), kupitia banda lake lililopo katika Viwanja vya Mwalimu Julius K. Nyerere.Katik…

Habari
Marekani, Iran sasa kujifungia Doha…
Rais wa Marekani Donald Trump amepongeza maendeleo ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Marekani na Iran yaliyofanyika…

Kilimo, Misitu na Uvuvi
Wafugaji wakoshwa na mpango wa stak…
Kampuni ya CRDB Insurance Company imezindua huduma ya Smart Mifugo, bima ya mifugo inayotumia teknolojia ya akili mnemba (AI) kuwakinga wafugaji dhidi ya hasara zinazotokana na vifo vya mifugo, magonjwa na athari za ukame. Huduma hiyo imezinduliwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifu…

Spotlight
Kamati ya bunge ya nishati na madin…
*Yawahamasisha Wananchi Kutumia Umeme kwa Ufanisi na gharama nafuuNa Mwandishi Wetu, Dar es SalaamSHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limewahimiza Watanzania kutembelea banda lake katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) ili kujionea teknolojia mbalimbali za kisasa zinazolenga kubores…

The Guardian
Xi calls for solid measures to mode…
The enduring vitality of the Communist Party of China (CPC) lies in its unwavering commitment to putting the people first, a principle that has helped turn China from a poor country into the world's second-largest economy, an Iraqi political scholar has said. In an interview with…

Shughuli za Fedha na Bima
Wabunge Waipongeza NSSF na PSSSF kw…
Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) unashiriki Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere kuanzia Juni 28 hadi Julai 13, 2026, ukiwahakikishia wanachama na wananchi huduma mbalimb…

Spotlight
Norway yaiondosha ivory coast kombe…
LEO Julai 5, 2026, saa 23:00, Uwanja wa MetLife, New Jersey, utashuhudia pambano kali la michuano ya Dunia kati ya Brazil na Norway. Hii ni mechi ya Raundi ya 16 ambayo inaahidi burudani na mivutano mikubwa. Brazil, yenye mataji matano ya duniani, inatafuta kuvunja rekodi isiyofurahisha ya kutokuwahi kuishinda Norway …

Spotlight
Meridianbet Yageuza Msaada wa Taulo…
MERIDIANBET, kupitia programu yake ya Uwajibikaji kwa Jamii (CSR), imeendelea kuthibitisha kuwa mafanikio ya biashara yana maana zaidi yanapoweza kugusa maisha ya watu moja kwa moja. Safari hii, kampuni hiyo imefika katika kata ya Kasekese, Manispaa ya Wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi na kutoa msaada wa taulo za kik…

Spotlight
Waziri kapinga atembelea kiwanda ch…
Serikali imeahidi kuendelea kuwaunga mkono wazalishaji wa ndani ili kuongeza uwezo wa uzalishaji na kukuza mauzo ya bidhaa nje ya nchi hatua inayolenga kuimarisha uchumi wa viwanda na kuongeza ushindani wa bidhaa za Tanzania katika masoko ya kimataifa. Hayo yamesemwa na Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Judith Kaping…

Spotlight
Latra yatoa ahueni daladala za Mbag…
Soma hapa...

Spotlight
Makamu wa rais amwakilisha rais sam…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi Mteule wa Tanzania nchini Uganda, Mhe. Balozi Meja. Jen. Marco Elisha Gaguti, mazungumzo yaliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 01 Julai 2026.Mazungumzo hayo ni kufuatia, Mhe. Bal…

Mchanganyiko
Serikali yaendelea kuchukua hatua k…
Na Jackline Minja, WMJJWM Mafinga – Iringa Serikali itaendelea kuimarisha utoaji wa mafunzo ya ujuzi wa vitendo ili kuwawezesha wananchi, hususan vijana na wanawake,…

Utawala wa Umma na Ulinzi
Mkalama yapunguza hoja za CAG kutok…
Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama mkoani Singida imepunguza kwa kiwango kikubwa hoja za ukaguzi za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kutoka hoja 61 mwaka wa fedha 2022/2023 hadi hoja tisa pekee katika mwaka wa fedha 2024/2025, hatua inayotajwa kuwa ni matokeo y…

Mchanganyiko
Dkt. munisi: watumishi wa umma dumi…
Na. Mwandishi Wetu – Dar es Salaam Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Afya katika Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI, Prof. Tumaini Nagu, ametembelea Banda…

Business
Tanzania, Indonesia agree to increa…
DAR ES SALAAM: FOR half a century, the Dar es Salaam International Trade Fair (DITF), popularly known as Saba Saba, has been far more than an annual business exhibition. It has evolved into one of Tanzania’s most important platforms for promoting trade, attracting investment and strengthening economic diplomacy. Today…

SPORT
Prediction Paraguay vs Australia FI…
Ratiba ya FIFA Kombe la Dunia 2026 hatua ya 16 bora itaanza kutimua vumbi rasmi siku ya Jumamosi 4 July 2026. Ikumbukwe haya ni mashindano makubwa zaidi ya soka duniani, ambayo hufanyika kila baada ya miaka 4, mwaka huu Kombe la Dunia litafanyika kwa ushirikiano wa maandalizi ya nchi 3, ambazo ni; Marekani (USA), Cana…

Mchanganyiko
Prof. shemdoe: elimu ndiyo msingi w…
• Aitaka kamati iliyoshiriki majadiliano ya awali kujadiliana tena Na OWM – TAMISEMI, Kibaigwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa…

Afya
Fahamu Jinsi Stoberi Inavyosaidia K…
Mlenda ni mboga inayopatikana kwa urahisi sokoni na majumbani, lakini watu wengi hawajui kuwa ni dawa asilia yenye virutubisho vingi…

Spotlight
‘usalama na afya mahali pa kazi; ms…
Na MARY GWERA, Mahakama-Dodoma Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. George Masaju amewasihi Majaji wa Mahakama ya Rufani wapya kuwa huru kutoa maoni au misimamo ya kisheria wanayoamini ni sahihi bila hofu yoyote, kwani kwa kufanya hivyo, watakuwa wanaboresha maamuzi ya Mahakama ya Rufani ambayo ndiyo ina…

Spotlight
Rais wa msumbiji kuanza ziara ya ki…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mheshimiwa Daniel Francisco Chapo baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa Ziara ya Kikazi, tarehe 03 Julai, 2026. Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mheshimiwa Daniel Francisco Chapo akisain…

Mchanganyiko
Miaka 50 ya sabasaba: rais samia ae…
ASISITIZA DHAMIRA YA SERIKALI YA KUJENGA UCHUMI SHINDANI WA VIWANDA ILI KUFIKISHA NCHI UCHUMI WA KIPATO CHA KATI CHA JUU Makamu wa Rais wa…

Habari
Balozi omar: sabasaba ni fursa ya k…
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) yameendelea kuwa daraja…

Michezo
Dk. Yonazi: AFCON 2027 ni fursa ya …
TANZANIA IPO TAYARI KUELEKEA AFCON 2027.

Nipashe
Mwili wa Dereva wa Heche Wasafirish…
Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa CHADEMA Kanda ya Kati (Mikoa ya Morogoro, Dodoma na Singida), Aquline Claud, amemuomba Katibu Mkuu wa chama hicho, John Mnyika, kuunda tume huru kuchunguza tuhuma juu ya Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho, John Heche. Akizungumza na Waandishi wa hab…

World
Paris ready for global Kiswahili fo…
PARIS: THE Chairperson of the African Group at the United Nations Educational, Scientific and Cultural Organisation (UNESCO) and Senegal’s Permanent Delegate to UNESCO, Mr Pierre Faye, has called for greater global efforts to promote Kiswahili as a powerful tool for strengthening unity, cultural identity, peace and de…

Mchanganyiko
Vodacom Tanzania yang’ara kwenye uz…
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati (Umeme na Nishati Jadidifu) Mhandisi Felchesmi Mramba (wa kwanza kulia) akisaini kitabu Cha wageni leo, Julai 13, 2026,…

SPORT
Yanga Yatwaa Ubingwa wa 32 Ligi Kuu…
Ni Yanga SC vs Simba SC, Ngao ya Jamii Agosti 12, 2026 wababe hawa watakutana ikiwa ni Kariakoo Dabi. Mchezo huu ni kiashiria cha ufunguzi wa msimu mpya wa 2026/27. Mabingwa wa NBC Premier League 2025/26 Yanga SC watamenyana na mabingwa wa CRDB Federation Cup Simba SC. Ligi inatarajiwa kuanza rasmi Agosti 14,2026. Azi…

Featured
Ujerumani Yafanya Comeback Ya Kusis…
MIAMI, Ujerumani NUKSI ya timu ya soka ya Taifa ya Ujerumani katika fainali za Kombe la Dunia imeendelea. Safari hii, waliishia hatua ya 32 Bora. Ni kwa msimu wa tatu mfululizo, Ujerumani imeshindwa kuingia hatua ya 16 Bora ya michuano hiyo ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA). Mara yao ya mwisho kuvuka hatua ya …

Spotlight
Waziri akwilapo: wanunuzi wa viwanj…
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Leonard Akwilapo amekabidhi jumla ya hati za kimila 1,195 katika vijiji vya Solwe Kata ya Nyambiti wilayani Kwimba na Lubuga, Kata ya Mabuki wilayani Misungwi mkoani Mwanza, akiwataka wananchi kumiliki ardhi kisheria ili kuondokana na migogoro pamoja na kuzuia kunyany…

Featured
NSSF yahimiza waajiri kuchangamkia …
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu akiwa katika picha ya pamoja na Wafanyakazi Madereva wa Kitanzania wanaofanya kazi katika kampuni ya MOWASALAT iliyopo nchini Qatar alipofanya ziara katika kampuni hiyo. Na: OWM (KAM) – Doha, Qatar Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – K…

Spotlight
Dkt. munisi asisitiza utekelezaji w…
Na. Mwandishi Wetu - Dar es SalaamSERIKALI imewataka Watanzania kuendelea kulinda na kudumisha amani ya nchi kwa kutambua kuwa ndiyo msingi wa maendeleo ya taifa, huku ikisisitiza kuwa jukumu hilo linamhusu kila mwananchi bila kujali dini, kabila au itikadi za kisiasa.Wito huo umetolewa na Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nc…

Spotlight
M/kiti UWT alivyowaliza waombolezaj…
Soma hapa...

Mchanganyiko
Ulega atoa miezi 3, ataka km 50 za …
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema ujenzi unaoendelea wa barabara za mikoa ya Kusini mwa Tanzania ni ushahidi mwingine wa matumizi mazuri ya fedha…

Habari
Dkt. mwigulu aalika wafanyabiashara…
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amekutana na Makamu wa Rais wa Kampuni ya ALSTOM ya nchini Ufaransa, Philippe Deller ambapo…

Ajira na Kazi
Waziri wa ulinzi na jkt awataka wan…
WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Dk. Rhimo Nyansaho, amesema Shirika la Uzalishaji Mali la JKT (SUMAJKT), linaendelea kutoa mchango kwa nchi, hasa kupunguza tatizo la ajira kwa vijana kupitia kampuni zake tanzu. Amesema hayo alipotembelea banda la JKT katika Maon…

Nipashe
Mwenda afafanua mchango wa ETS, Idr…
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa kushirikiana na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), imeanza mafunzo maalumu kwa wahasibu, wakaguzi, washauri wa kodi na wataalamu wa fedha kuhusu mabadiliko ya sheria za kodi yaliyomo katika Sheria ya Fedha ya mwa…

News
'Serikali haipangiwi tarehe, ipo im…
Ni baada ya Jeshi la Polisi kufanya ufuatiliaji wa karibu katika mitandao ya kijamii na majukwaa mengine.

Chakula na Mapishi
NMB yasogeza bima kidijitali kupiti…
Benki ya NMB imesema huduma ya NMB Kikundi Mini App, iliyopo ndani ya NMB Mkononi Super App, imebuniwa kurahisisha usimamizi wa vikundi kwa kuwawezesha wanachama na viongozi kupata huduma za kifedha kidigitali kwa usalama, uwazi na ufanisi zaidi. Akizungumza katika Banda la NMB kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Biashara…

Featured
Prediction Argentina vs Misri FIFA …
MEXICO CITY, Mexico UWANJA wa Azteca unaopatikana Kusini mwa Mji Mkuu wa Mexico, Mexico City. Ni moja ya viwanja vya soka vyenye historia ya aina yake. Baada ya Mexico kushinda zabuni ya kuandaa Kombe la Dunia mwaka 1970, muhandisi Pedro Ramirez Vazquez alipewa jukumu la kujenga uwanja wenye uwezo wa kupokea mashabiki…

Spotlight
Bangu: Tutaingiza biashara ya mifug…
Afisa Tawala wa Wilaya ya Morogoro, Bi. Janeth Chatta,akizungumza wakati akifunga mafunzo ya wasimamizi wa shughuli za ghala kwa msimu wa biashara wa mbaazi na dengu 2026/2027 yaliyofanyika wilayani humo kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Morogoro. Kaimu Mkurugenzi wa Uratibu na Ubora wa WRRB, Bw. Mwita Thomas,akizungumza…

News
PM's office backs disabled entrepre…
President Samia’s remarks linking some activists’ actions to terrorism have sparked debate among civil society, opposition figures, and democracy stakeholders over the role of activism in Tanzania’s civic space.

Tanzania
Waziri Mkuu Atoa Wito wa Kutafuta N…
BALOZI wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare Matinyi, amesema lugha ya Kiswahili inaendelea kukua duniani, ikiwa sasa inazungumzwa na zaidi ya watu milioni 200 katika nchi 14 na kutumika rasmi katika jumuiya mbalimbali za kikanda na kimataifa.

Football
FIFA World Cup Group A Standings 20…
Will the Argentina 2026 World Cup team defend its 2022 World Cup record? La Albiceleste are already showing great potential to win again. Having played the group stages and the round of 32, winning all their matches, they are likely to win again. The team led by the legendary captain, Leonel Messi, has talented player…

Habari
Mamilioni Wamiminika Kumuaga Kiongo…
Mvutano kati ya Marekani na Iran umeendelea kushika kasi baada ya Marekani kutekeleza duru nyingine ya mashambulizi dhidi ya Iran,…

Nipashe
Serikali yaitaka otr kuendeleza mag…
Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) imejiwekea lengo la kukusanya Sh2 trilioni kama mapato yasiyo ya kodi katika mwaka huu wa fedha 2026/27, ikiwa ni zaidi ya lengo la Sh1.79 trilioni ambalo Serikali imeipa taasisi hiyo. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) imejiwekea lengo la kukusanya…

Habari
Rais Samia Aitunuku TBL Tuzo ya Wal…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameipatia Tanzania Breweries Public Limited Company (TBL)Tuzo ya Rais ya Walipakodi Bora katika Sekta ya Uzalishaji (Manufacturing), ikiwa ni kutambua mchango wa kampuni hiyo katika kukuza uchumi wa Taifa kupitia ulipaji sahihi wa kodi, uzal…
.jpeg)
Spotlight
Wananchi watembelea banda la tmda s…
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Grace Magembe, ametembelea banda la TMDA katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) na kupongeza juhudi za Mamlaka katika kudhibiti bidhaa duni na bandia za afya.Aidha, ameitaka TMDA kuendelea kuimarisha elimu kwa umma kuhusu matumizi salama ya bidhaa…

Afya
Mkenda ataka tiba asilia kuthibitis…
MKURUGENZI wa Sayansi wa Taasisi ya Afya Ifakara (IHI), Dk Ally Olotu, amesema taasisi hiyo imeendelea kushiriki katika tafiti na ubunifu mbalimbali unaolenga kufikia lengo la kutokomeza malaria nchini Tanzania kupitia uzalishaji wa ushahidi wa kisayansi na maendeleo ya teknolojia za afya.

SPORT
Ufaransa yatinga nusu fainali ya ko…
Hii ni ratiba ya nusu fainali FIFA Kombe la Dunia 2026 zikisalia timu 4 pekee.Ufaransa, Hispania, England na Argentina hizi zimefuzu kucheza hatua ya nusu fainali. Ni kutoka kwenye mfumo wa hatua ya makundi na ratiba ya safari hii umefanya timu hizi nne zinazoongoza kwa viwango vya ubora duniani kukutana kileleni kati…

Nipashe Jumapili
Rais Samia Apongeza Hatua ya Maridh…
WAKATI baadhi ya wananchi wakihusisha maridhiano ya kisiasa ya Zanzibar na matarajio ya kugawana madaraka, Mjumbe wa Kamati Kuu ya ACT-Wazalendo, Mansour Yussuf Himid, amesema chama hicho hakikuingia kwenye mazungumzo kwa lengo la kutafuta vyeo, bali kuweka msingi wa amani, haki …

Spotlight
Mgombea udiwani naye adai kutekwa n…
Soma zaidi...

Mchanganyiko
Vijana kunufaika mradi wa Dumisha A…
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe. Abdallah Mwaipaya amezitaka taasisi binafsi, za kifedha na Wadau wa Maendeleo nchini kuaendelea kuwaunga mkono wanufaika wa mafunzo…

The Guardian
Tanzania seeks to transform the DIT…
TANZANIA has set an ambitious target of transforming the Dar es Salaam International Trade Fair (DITF) into a global hub for innovation, research, technology and international trade by 2050, Vice-President Dr Emmanuel Nchimbi has said. Speaking during the climax of the Golden Jub…

Nipashe
NACTVET yaonesha mafanikio ya elimu…
Mwenyekiti wa Baraza la Uongozi la Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET), Bernadetta Ndunguru, amesema utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mafunzo 2014 toleo la mwaka 2023 unaendelea kuzaa matunda, jambo linalodhihirishwa na umahiri na ubunifu unaoon…

Economy
Laying fiscal foundations for Visio…
NEW YORK, USA: Tanzania has taken the first concrete step toward its 2050 Development Vision, with the Fourth Five-Year Development Plan (FYDP IV) now officially underway. The milestone was marked at a high-level side event held alongside the 2026 United Nations High-Level Political Forum on Sustainable Development (H…

Featured
Waliostaafu baada ya kung’oka Kombe…
MIAMI, Marekani WAKATI huu fainali za Kombe la Dunia zikiendelea, baadhi ya wanasoka wenye majina makubwa wametangaza kustaafu muda mfupi tu baada ya timu zao za taifa kutolewa. Je, ni nani na nani waliotundika daluga kuzitumikia timu zao za taifa hata kabla ya kumalizika kwa michuano hiyo inayofanyika Marekani, Canad…

Tanzania
Tanzania Tourism Minister tasks Tan…
ARUSHA: MINISTER for Natural Resources and Tourism, Dr Ashatu Kijaji, has directed the Tanzania National Parks Authority (TANAPA) to improve roads and bridges in national parks to ensure year-round accessibility as the country prepares to host major international events. Speaking during the swearing-in of the newly ap…

Uncategorized
Vijana wahimizwa kutumia fursa za s…
Na Happy Lazaro, Arusha . Vijana nchini wametakiwa kuachana na tabia ya kukaa vijiweni na badala yake kujiunga katika vikundi, kuanzisha miradi yenye tija…

Mchanganyiko
Mhe. ridhiwani atinga wilayani siko…
Na. Veronica Mwafisi-Tabora Tarehe 11 Julai, 2026 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete…

Madini
Tanzania,jica kupanua ushirikiano k…
MJIOLOJIA kutoka Ofisi ya Afisa Madini Mkazi Mkoa wa Njombe, Abbas Mruma, amesema Tanzania inaendelea kujijengea nafasi muhimu duniani kutokana na kuwa na hifadhi kubwa ya madini ya kimkakati, yakiwemo graphite, lithium na rare earth elements, yanayotumika katika teknolojia za kisasa na nishati safi.

Spotlight
Waandishi wa habari wananufaika na …
Na Mwandishi Wetu, Dar es SalaamMkurugenzi Mtendaji wa Wasafi Media, Nasib Abdul maarufu Diamond Platnumz, amesema utekelezaji wa Sheria ya Huduma za Habari unaweka mazingira bora ya kukuza uwekezaji katika sekta ya habari kwa kuhakikisha vyombo vya habari vinaendeshwa kwa kuzingatia sheria, weledi na viwango vya taal…

Tanzania
Tarura yaimarisha mpango wa cbrm ku…
DAR ES SALAAM: IN an effort to prevent road deterioration and ensure roads remain passable throughout the year, particularly during the rainy season, the Tanzania Rural and Urban Roads Agency (TARURA) has launched the Community Based Routine Maintenance (CBRM) programme to maintain and improve more than 15,000 kilomet…

Spotlight
Rabia aridhishwa utekelezaji ilani …
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Idara ya Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Ndg Rabia Abdalla Hamid katika muendelezo wa Kusikiliza makundi mbalimbali ya kijamii, leo tarehe 11/07/2026 amesikiliza makundi ya kijamii 52 ndani ya Mkoa wa Songwe.Aidha, Ndg Rabia Abdalla Hamid amesema kuwa ameridhishwa na ute…

Featured
Marekani Yaitaka Iran Kufungua Horm…
TEHRAN, Iran MAMLAKA za Iran zimetangaza rasmi kuufunga Mlango-Bahari wa Hormuz wakati huu jeshi lake likiendelea kushambuliana na Marekani. Hatua hiyo inaweza kuathiri bei ya mafuta, kama ilivyo wakati ule Iran ilipoifunga njia hiyo inayotumika kusafirisha asilimia 20 ya mafuta na gesi duniani. Tangazo la Iran linaku…

Mchanganyiko
Prof. shemdoe awaasa wanafunzi kuen…
Waziri wa Nchi ofisi ya waziri mkuu Tamisemi Prof Riziki Shemdoe wakati akizungumza katika uzinduzi wa mafunzo ya uwezeshaji wananchi kiuchumi yaliyofanyika Sumbawanga Mkoani…

Spotlight
Tet yajipanga kutekeleza dira ya ta…
Na. Mwandishi Wetu, Dar.MKUU wa Wilaya ya Kisarawe Mhe. Petro Magoti ameipongeza Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) kwa namna ilivyofanya maboresho ya Mitaala ya Elimu nchini yenye lengo la kumfanya muhitimu kuweza kujiajiri au kuajiriwa mara anapomaliza masomo yake.Mhe. Magoti ameyasema hayo leo tarehe 12/7/2026 katika …

SPORT
Prediction Ufaransa vs Hispania FIF…
Ufaransa vs Hispania FIFA Kombe la Dunia 2026 zinakutana siku ya Jumanne hatua ya nusu fainali. Mchezo huu mkali utapigwa Uwanja wa Dallas. Julai 14, saa 10:00 usiku saa za Afrika Mashariki wababe hawa watakuwa kazini kusaka tiketi kutinga fainali. Mabingwa watetezi kazini: Prediction | England vs Argentina FIFA Kombe…

Spotlight
Hifadhi skimu ni mkombozi kwa wanan…
Dar es Salaam, Julai 12, 2026Mbunge wa Jimbo la Ilemela na Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii, Mhe. William Kafiti, amesema Hifadhi Skimu ya Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) imeendelea kuwa mkombozi kwa wananchi waliojiajiri kwa kuwapa fursa ya kujiwekea akiba kwa ajili ya mai…

Burudani
Meridianbet Yazindua SmartSoft Spin…
Kila mtu ana ndoto ya siku ambayo bahati itagonga mlango wake, na Meridianbet imeamua kuifanya ndoto hiyo iwe karibu zaidi…

Nipashe
Uwekezaji sekta ya nishati wahitaji…
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Prof. Said Ally Mohamed, ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kwa kuendelea kuhamasisha ushiriki wa wazawa katika miradi ya utafutaji na uendelezaji wa gesi asilia nchini. Akizungumza alipotembe…

Spotlight
Vilio vya wenye magari mfumo mpya w…
Soma zaidi hapa...

Nipashe Jumapili
Wakulima wa korosho mtwara wamshuku…
SERIKALI imeweka msimamo mkali dhidi ya vitendo vya wizi, ubadhirifu na hujuma katika usambazaji wa pembejeo za ruzuku ya korosho, ikionya kuwa mtumishi yeyote atakayehusika atachukuliwa hatua za kisheria. Imesema lengo la hatua hiyo ni ili kuhakikisha wakulima wanapata stahiki z…

The Guardian
UN envoy hails Kiswahili’s role in …
Tanzania's Ambassador to Algeria, Mobhare Matinyi, has said that the Swahili language is growing and spreading around the world. Now, more than 200 million people speak Swahili in 14 countries. The language is also used officially in several groups of countries in Africa and arou…

Mchanganyiko
Elimu ya umma yaendelea kuimarisha …
Na. Mwandishi Wetu TUME ya Ushindani (FCC) imeendelea kutumia Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) kutoa elimu kwa…

Politics
Dr Samia insists on peace, reconcil…
ZANZIBAR: THE political reconciliation agreement signed between Chama Cha Mapinduzi (CCM) and ACT Wazalendo in Zanzibar marks more than the end of a prolonged political impasse. It represents a renewed commitment to dialogue, national unity and inclusive development, reinforcing the belief that lasting peace remains t…
.jpeg)
Spotlight
Kumekucha cdf cup 2026, nmb yaweka …
Na Mwandishi wetuDar es Salaam. Wachezaji wanaoshiriki Ligi ya Mpira wa Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) wanatarajiwa kunufaika na uwekezaji wa mwaka mmoja wenye thamani ya Sh588.9 milioni katika msimu wa 2026.Kwa mujibu wa mkataba uliosainiwa juzi kati ya kampuni ya michezo ya kubashiri ya betPawa kwa ajili ya kuon…

Nipashe Jumapili
Simulizi za waraibu wa dawa za kule…
KAMISHNA Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Rushwa (DCEA), Aretas Lyimo, amesema ushirikiano wanaoufanya na Mamlaka ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA), umekuwa ni nguzo muhimu katika kutekeleza majukumu kwa ufanisi na kuongeza mafanikio kuwezesha wataalamu kutoa usha…

Sports & Entertainment
Karia pushes Stars to impress at AF…
DAR ES SALAAM: THE Petrofuel TCA Caravans T20 Cup 2026 has rapidly cemented its reputation as Tanzania’s premier cricket competitions, providing an elite platform for players to sharpen their skills, teams battle for supremacy with global level players to enable fans to enjoy high-quality, competitive cricket. Now a k…

Mchanganyiko
Ngorongoro yawakumbusha madereva ku…
Bodi ya Wakurugenzi Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro ikiongozwa na makamu Mwenyekiti Dkt. Harriet Mtae jana tarehe 11 julai, 2026 imekagua uboreshaji…

Featured
Mbunge wa kilindi mhe.mhando aendel…
Katika kuonesha ujirani mwema Mbunge wa Kiteto Edward Ole Lekaita na Mbunge wa Kilindi Salehe Mhando wameamua kushirikiana kuhakikisha barabara ya Lengatei- Songe inatengenezwa kwa kiwango cha changarawe na kupitika kwa mwaka mzima. Mbali ya kushirikiana kusimamia Ujenzi wa barabara hiyo pia Wabunge hao wameshiriki sh…

Sports & Entertainment
Mwanza City braces for the 21st Wor…
MWANZA: THE Coordinator of the Rock City 2026 festival, Happiness Remji, has said this year’s festival is expected to be held from August 15 to December 2026 in Mwanza with the aim of highlighting young talents, promoting arts, sports, tourism and stimulating social and economic development in the Lake Zone. Speaking …

Mchanganyiko
Yas yawakabidhi washindi wa mixx su…
Na Mwandishi Wetu Kampuni ya mawasiliano ya Yas imeendelea kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni ya Kombe la Dunia ya MiXX Super, ambapo washindi watatu…

Nipashe
IMF yaipatia Tanzania Dola mil. 444…
Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) limeidhinisha kutolewa mara moja kwa takriban dola za Marekani milioni 443.9 (Sh. trilioni 1.2) kwa Tanzania baada ya kukamilisha tathmini ya programu mbili za kifedha zinazotekelezwa nchini. Programu hizo ni ‘Extended Credit Facility’ (ECF), u…

Mchanganyiko
Rais dkt. samia kufungua mkutano mk…
Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Mlezi wa Chama cha Mawakili wa Serikali Tanzania (TPBA) Mhe. Hamza S. Johari amesema kuwa Chama cha Mawakili wa…
Spotlight
BMH Clinic Treats 28,000 in First Y…
[Daily News] Dodoma -- BENJAMIN Mkapa Hospital's (BMH) Royal, International Patients and Master Health Checkup Clinic has treated more than 28,000 patients, including over 200 international clients, within its first year of operation.

Mchanganyiko
Kongamano la nishati : etdco yasisi…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam,…

Mchanganyiko
GF Trucks Yatwaa Tuzo ya Ubora wa B…
Watumishi Housing Investments (WHI) imeendelea kuthibitisha ubora wake katika sekta ya makazi baada ya kutwaa Tuzo ya Tatu ya Banda Bora kwenye Maonesho ya…
Spotlight
Tanzania eyes Russian tourism boom …
[Daily News] Dar es Salaam -- DUBAI has announced a move to deepen its tourism and travel trade partnership with Tanzania as it steps up efforts to attract more Tanzanian visitors through closer collaboration with tour operators, travel agents, airlines and the media.

The Guardian
Powering Tanzania’s future through …
SUSTAINED development of the energy sector requires greater focus on innovation, technology and investment to expand access to reliable energy services and support economic growth, a consultant has declared. Sayuni Mbwilo, an energy specialist with the United Nations Development …

Tourism
Zanzibar Tourist Arrivals Rise 3.1%…
Zanzibar recorded 69,605 tourist arrivals in June 2026, up 3.1% from 67,496 a year earlier and 73.4% higher than May, with Europe accounting for 61.9% of visitors. Tourism contributes about 29.2% of Zanzibar’s GDP and 80% of its foreign exchange earnings.

The Guardian
Yanga's continental ambitions convi…
NEWLY appointed Young Africans SC (Yanga) head coach Manqoba Mngqithi has revealed that a return to the CAF Champions League was one of the main reasons he agreed to take charge of the Tanzanian champions. The 55-year-old South African, who is set to officially start ahead of the…

The Guardian
Think Tank Report on Xi Jinping Tho…
Li Shulei, a senior official of the Communist Party of China (CPC), said on Friday that a thorough study of Xi Jinping Thought on Socialism with Chinese Characteristics for a New Era is key to understanding contemporary China. Li, a member of the Political Bureau of the CPC Centr…

The Guardian
Samia scholarship students urged to…
The Centre for Artificial Intelligence and Multidisciplinary Solutions in Africa (CAIMSA) has announced its vision to establish a multi-million-dollar Artificial Intelligence Data Centre designed to address one of the continent’s most pressing barriers to AI development: limited …

The Guardian
China aims to boost consumption, jo…
Chinese authorities has announced that the country will fully leverage the role of the retail industry in expanding domestic demand, as the world's second-largest economy seeks to give a boost to consumption and jobs over the next five years by accelerating this sector's innovati…

Michezo
Hispania yaitoa ubelgiji, yatinga n…
Beki wa timu ya taifa ya Ufaransa, Ibrahima Konate, amesema hawana hofu ya kukutana na Hispania katika mchezo wa nusu…

Mchanganyiko
Manispaa ya ubungo yashiriki maones…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB), Godfred Mbanyi, amesema Bodi hiyo imepata mafanikio…

The Guardian
Tanzania Sees Modest Relief at the …
A gradual recovery in global oil supplies is offering Tanzania hope of easing fuel import costs after months of energy market turmoil, but renewed fighting in the Gulf means the country is not yet out of danger. The International Energy Agency (IEA) says global crude production r…

STORY
NBC Premier League
Baada ya miezi kadhaa ya ushindani wa hali ya juu leo Juni 30, 2026, msimu wa Ligi Kuu ya NBC 2025/26 unafikia tamati rasmi kwa kuchezwa kwa michezo yote ya mwisho ya ligi. Mechi zote zitapigwa kwa wakati mmoja kuanzia saa 10:00 alasiri, hatua inayotarajiwa kuleta msisimko mkubwa kwa mashabiki wa soka nchini. […]

Capital Markets
Dar es Salaam Stock Exchange
Dar es Salaam Stock Exchange equity turnover fell -84.94% week-on-week to TZS 27.87 billion across 5,402,287 shares and 18,817 deals in Week 27 of 2026. KA (+9.09%), CRDB (+8.53%), and VODA (+8.05%) topped the gainers, while MCB (-7.61%), MUCOBA (-7.14%), and MBP (-4.19%) led declines. Total market capitalisation stoo…

Op-ed
Tanzania Digital Economy
Tanzania’s startup scene isn’t lagging behind—it’s building its own unique foundation, and judging it by mature-market standards is comparing apples to saplings.

Shughuli za Fedha na Bima
Forex and Dollar Rates
Dola ya Marekani imeendelea kubaki katika viwango vilevile vya kununuliwa kwa Sh2,570 na kuuzwa kwa Sh2,650 katika benki zote mbili.

Extractive
Tanzania Mining
DAR ES SALAAM: THE government has said ongoing reforms in the country’s mining sector under President Samia Suluhu Hassan have strengthened the country’s position as one of Africa’s most attractive investment destinations, while inviting local and foreign investors to explore opportunities across the mining value chai…

Uchumi
SGR and Rail Infrastructure
THE government has unveiled an ambitious 86.3trn/- national development plan for the next year, marking the start of the implementation of Vision 2050, with the private sector expected to contribute nearly 70 percent of the required funding. Prof. Kitila Mkumbo, the Planning and …

In-Depth
Tanzania Inflation
DAR ES SALAAM: FOR years, many Tanzanian farmers have struggled with declining soil fertility, rising fertiliser costs and inconsistent crop yields. While fertiliser remains one of the most important agricultural inputs, experts have often pointed out that using the wrong type of fertiliser on different soils can limi…

Michezo
Siku 11 zijazo
The NBC Dodoma Marathon expands in 2026, aiming for over 15,000 participants to raise funds for healthcare initiatives in Tanzania.
From 26 Jul 2026
Michezo
Siku 11 zijazo
Benki ya NBC imezindua mbio za NBC Dodoma Marathon zitakazofanyika Julai 26, 2026, jijini Dodoma, zikiwa na lengo la kuvutia washiriki 15,000.
From 26 Jul 2026

Michezo
Siku 11 zijazo
The NBC Dodoma Marathon will take place on July 26, 2026, aiming to raise funds for healthcare initiatives while attracting over 15,000 participants.
From 26 Jul 2026

Siku 17 zijazo
TAWA is organizing 'Pande Marathon' on August 1, 2026, aimed at promoting health and connecting citizens with tourism and conservation activities.
From 1 Aug 2026

Ujenzi na Miundombinu
Siku 18 zijazo
Young Africans SC aims to begin construction of the long-awaited Jangwani Stadium by August 2, 2026, marking a significant milestone for the club.
From 2 Aug 2026

Siasa
Siku 18 zijazo
Yanga SC will hold its General Election on August 2, 2026, where members will vote for new leaders of the club.
From 2 Aug 2026

Biashara ya Jumla na Rejareja
Siku 47 zijazo
Sweden phases out its bilateral development cooperation with Tanzania, marking a transition to a trade-focused partnership.
From 31 Aug 2026

Elimu
Siku 70 zijazo
A special event will be held on September 23, 2026, to kick off the GPE fundraising campaign during the UNGA.
From 23 Sep 2026
.jpeg)
Leo
Maadhimisho ya miaka 10 ya Hospitali ya Benjamin Mkapa yanatarajiwa kufanyika Julai 15, 2026.
From 15 Jul 2026
Mahakama ya Rufani ya Tanzania itasimamia usikilizaji wa mashauri 48 ya rufaa za madai kuanzia tarehe 18 Juni hadi 17 Julai 2026.
From 18 Jun 2026 · To 17 Jul 2026

Kombe la Dunia la FIFA 2026, kuanzia Juni 11 hadi Julai 19, litarushwa mubashara na TBC bila malipo.
From 11 Jun 2026 · To 19 Jul 2026

Featured
Mchezo wa ufunguzi wa fainali za Kombe la Dunia 2026 utafanyika Mexico, wenyeji wakivaana na Afrika Kusini.
From 11 Jun 2026 · To 19 Jul 2026

SportPesa Tanzania hosts 'Twenzetu Duniani' campaign, offering fans chances to win during the World Cup from June 16 to July 20, 2026.
From 16 Jun 2026 · To 20 Jul 2026

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba laid the foundation stone for the Tanzania Institute of Accountancy building in Singida.
From 27 Jun 2026 · To 30 Sep 2026

Nishati na Umeme
Ndejembi directs immediate removal of project manager and special audit on $20 million payments for the Malagarasi MW 49.5 project in Kigoma.
From 10 May 2026 · To 30 Oct 2027

Biashara ya Jumla na Rejareja
Tanzanian exporters gain duty-free access to China on all tariff lines, enhancing trade and competitiveness.
From 1 May 2026 · To 30 Apr 2028
More stories
FAN PULSE • LIVE
Are you going to AFCON 2027?
Stadiums across Kenya · Tanzania · Uganda
You're going!!
Thanks for letting us know.
Are you going to AFCON 2027?

Habari
Trump: Tutachukua Usimamizi wa Mlango wa Hormuz na Kulipwa Mabilioni

Magazeti
PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO JULAI 14, 2026

SERIKALI YAAHIDI KUTUMIA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI YA JUWATA KUTENGENEZA BIDHAA MBALIMBALI

PROF. NOMBO ATAKA MAGEUZI YA ELIMU, ATOA MAAGIZO MATANO YA KUANDAA TAIFA KWA DIRA YA 2050
Na Janeth Raphael - MichuziTv Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Carolyne Nombo, ametoa maagizo matano kwa viongozi na watumish

Biashara ya Sh3.89 bilioni yafanyika Sabasaba, Rais Mwinyi atoa maagizo

WAZIRI DKT. BASHIRU AIAGIZA BODI MPYA YA TAFICO KUIGEUZA TAFICO KUWA INJINI YA UCHUMI SEKTA YA UVUVI

Ufadhili wa maendeleo utakavyobeba utekelezaji wa Dira ya Maendeleo 2050

Bweni la wavulana sekondari ya Kalangalala lanusurika kuteketea

Siasa
NAIBU WAZIRI WA MADINI AONYA DHIDI YA UTOROSHAJI WA MADINI KAGERA

Mchanganyiko
PROF. SHEMDOE AHIMIZA UTOAJI WA MIKOPO YA ASILIMIA 10 KWA USAWA

Baraza la Famasi lashusha rungu maduka ya dawa yanayotoa tiba
Makosa yaliyobainika ni pamoja na kufanya udanganyifu katika utekelezaji wa majukumu ya kitaaluma kwa kuingia mikataba ya usimamizi na utoaji wa huduma za dawa

Mchanganyiko
DG RUWASA AWAELEKEZA MAMENEJA WA MIKOA NA WILAYA KUZISHIRIKISHA CBWSOs KATIKA PROGRAMU ZOTE ILI KUIMARISHA HUDUMA ZA MAJI VIJIJINI

Mchanganyiko
WAZIRI NYANSAHO ASISITIZA UADILIFU, HAKI NA USHINDANI WA KWELI CDF CUP 2026

Habari
Trump Adai Viongozi Wakuu wa Iran Wameuawa, Asema Mojtaba Khamenei “Yuko Asilimia 90”

SPORT
Ratiba ya nusu fainali FIFA Kombe la Dunia 2026: Kickoff time, venue, odds

Mchanganyiko
PSPTB YAANZA RASMI MAANDALIZI YA KONGAMANO LA WATAALAMU WA UNUNUZI NA UGAVI 2026

Mchanganyiko
MHE. HAMZA JOHARI: “CHAMA BORA KITAALUMA NI KILE KINACHOSAIDIA SERIKALI KUFIKIA MALENGO YAKE”

Chadema Geita chairperson to appear in court on Tuesday
On July 8, 2026, Chadema, led by Tanganyika Law Society (TLS) advocate Beatus Emmanuel, filed an application No. 15077 of 2026 through an urgent habeas corpus p

Madini ya Sh4.9 bilioni yakamatwa yakitoroshwa

Tanzania plans new 300-metre berth at Tanga Port to increase its cargo capacity
POLITICS
7
7
4
Keir Starmer's Resignation as UK Prime Minister
Maelezo ya Ziada
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na uongozi wa chama tawala cha Labour.
swahilitimes.co.tz ↗Starmer confirmed that he would step aside and oversee a smooth transfer of power, telling the country that Britain needed fresh leadership to restore stability at a moment of rising political strain inside the Labour Party.
dailynews.co.tz ↗Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer ametangaza kujiuzulu wadhifa wake na uongozi wa Chama cha Labour.
mwananchi.co.tz ↗Kuwasili kwa mwanasiasa huyo mahiri, ambaye hadi wiki iliyopita alikuwa Meya wa Greater Manchester, kunajiri saa chache baada ya Keir Starmer kutangaza kujiuzulu rasmi wadhifa wa Waziri Mkuu kutokana na shinikizo kubwa la kisiasa ndani ya Chama cha Labour.
mwananchi.co.tz ↗Kujiuzulu kwa Starmer kunahitimisha safari ya kisiasa iliyokuwa imeanza kwa matumaini makubwa baada ya ushindi wa kihistoria wa Labour katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2024.
mwananchi.co.tz ↗Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu wadhifa huo, akisema anaheshimu mawazo ya chama chake cha Labour, baada ya mpinzani wake kuibuka kidedea Ijumaa iliyopita.
ippmedia.co.tz ↗Starmer anang’oka uwaziri mkuu, zinawadia zama mpya za siasa UK
mwananchi.co.tz ↗
Maelezo ya Ziada
Vision 2050, which seeks to transform the country into a high-income, industrialled economy valued at 1 trillion US dollars.
dailynews.co.tz ↗Utekelezaji wa DIRA 2050, unaokadiriwa kugharimu takribani dola za Marekani trilioni 1, utategemea kwa kiasi kikubwa uwekezaji wa sekta binafsi unaotarajiwa kuchangia zaidi ya asilimia 70 ya gharama za utekelezaji.
mzalendo.co.tz ↗Tanzania is strengthening its engagement with the African Trade and Investment Development Insurance (ATIDI) to support private sector-led growth, as the country targets a 70% private sector contribution to the economy under its Development Vision 2050.
tanzaniainvest.com ↗Her message comes at a critical time for Tanzania, whose population is projected to grow from about 67 million today to over 120 million by 2050.
thecitizen.co.tz ↗The Tanzanian government has stated that the recommendations contained in the Economic Freedom Audit Report will drive policy reforms, strengthen economic freedom, and significantly contribute to Tanzania’s journey towards a strong and competitive economy by 2050.
dailynews.co.tz ↗Best goal: 'Generate TZS 70 million in revenue, with 8 new clients in Q1–Q2 via content marketing.'
tanzlite.com ↗Lead generation: 90 qualified inquiries per year.
mwananchi.co.tz ↗Retention: 70% repeat business.
bongo5.com ↗Target ARPU of TZS 5 million.
CAC under TZS 300k.
Dk Mwigulu amewataka wakuu wa mikoa kusimamia kikamilifu maandalizi na mapokezi ya wanafunzi wa elimu msingi ya lazima ya miaka 10, watakaojiunga na kidato cha kwanza mwaka 2028 kwa kukamilisha miundombinu na huduma zote muhimu.
Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba ameyabainisha hayo leo Bungeni Dodoma wakati akiwasilisha hotuba ya mapito na mwelekeo wa kazi za Serikali, Makadirio ya mapato na matumizi ya fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka 2026/27 ambapo amesema kuwa utekelezaji wa Dira 2050 unakusudia kuifanya Tanzania kuwa na uchumi wa thamani ya dola za Marekani trilioni moja ifikapo mwaka 2050, huku wastani wa pato la mtu mmoja mmoja ukitarajiwa kufikia dola 7,000 kwa mwaka.
ECONOMY
19
10
7
Tanzania Fuel Prices Surge Over 30% Due to Middle East Conflict
Maelezo ya Ziada
In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.
thechanzo.com ↗wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864. Kwa upande wa dizeli, lita moja sasa watanunua kwa Sh3,806 kutoka Sh2,858 ikiwa ni ongezeko la Sh948. Kwa upande wa mafuta ya taa, sasa yatanunuliwa kwa Sh3,684 kutoka Sh2,932 iliyokuwa ikitumika Machi mwaka huu ikiwa ni ongezeko la Sh752.
mwananchi.co.tz ↗Ongezeko la bei ya mafuta halipo Tanzania pekee, bali hata katika soko la dunia ambapo bei kikomo kwa Aprili 2026, zimeongezeka kwa asilimia 69.98 kwa mafuta ya petroli, asilimia 114.46 kwa mafuta ya dizeli na asilimia 120.81 kwa mafuta ya taa.
thecitizen.co.tz ↗wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864.
globalpublishers.co.tz ↗Kwa mujibu wa Ewura, ongezeko hilo la bei za mafuta ni janga la kidunia na Tanzania kama sehemu hiyo inachukua hatua mbalimbali kuhakikisha usalama wa upatikanaji wa mafuta nchini na katika bei himilivu ili kupunguza madhara ya kiuchumi na kijamii.
mwananchi.co.tz ↗The Tanzania Revenue Authority (TRA) has introduced a new billing number system for the loading and offloading of fuel at storage depots, aimed at enhancing transparency, boosting government revenue collection and ensuring compliance without disrupting supply.
dailynews.co.tz ↗Kufungwa kwa mlango huu muhimu wa bahari kunasababisha athari kubwa kimataifa, hasa kiuchumi na kiusalama: 1️⃣ Kupanda kwa bei ya mafuta duniani
globalpublishers.co.tz ↗Kufungwa kwake kunasababisha uhaba wa mafuta sokoni. Bei ya mafuta na gesi inapanda haraka, na kuathiri gharama za usafiri, umeme na bidhaa nyingine.
mzalendo.co.tz ↗Kufungwa kunaweza kusababisha mvutano au mapambano kati ya mataifa yenye maslahi ya kiuchumi na kiusalama katika eneo hilo.
mzalendo.co.tz ↗Nchi kama Saudi Arabia, UAE, Kuwait, Qatar na Iraq zinapoteza njia yao kuu ya kuuza mafuta.
bongo5.com ↗Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.
Dk Mwigulu amesema: “Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.”
Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa ghala la kupokea na kuhifadhi mafuta lenye uwezo wa kupokea tani 308,110 katika Bandari ya Dar es Salaam ambao umefikia asilimia 30.
The authority attributed the rise to the ongoing geopolitical tensions in the Middle East, particularly involving the United States, Israel and Iran, which began on February 28, 2026, and have significantly disrupted global oil supply.
Wakati huohuo, athari za vita hivyo zimeanza kuhisiwa na wananchi wa Marekani, ambapo bei ya mafuta imeendelea kupanda na kufikia zaidi ya dola 4 kwa galoni, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 2022.
Hali hiyo inachangiwa na usumbufu katika eneo la Strait of Hormuz, ambalo ni njia muhimu inayopitisha takriban robo ya mafuta yanayotumika duniani.
TANZANIA INA MAFUTA YA KUTOSHA,LICHA YA BEI KUPANDA KUTOKANA NA VITA YA MASHARIKI YA KATI
Kwa mwezi Aprili 2026, gharama za kuagiza mafuta (premiums) katika Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kwa wastani wa asilimia 15.3 kwa mafuta ya petroli na asilimia 10.8 kwa mafuta ya dizeli na hakuna mabadiliko ya gharama kwa mafuta ya taa.
Mabadiliko ya bei za mafuta nchini kwa mwezi Aprili 2026 yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na vita inayoendelea Mashariki ya kati tarehe 28 Februari 2026.
Maelezo ya Ziada
Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.
mwananchi.co.tz ↗William Lukuvi afariki dunia kwa mshituko wa moyo
dailynews.co.tz ↗PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has announced the death of the former Minister of State in the Prime Minister’s Office, (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) William Lukuvi, who passed away this morning, March 25, 2026.
habarileo.co.tz ↗Additionally, the Head of State extended her condolences to the Speaker of Parliament, the bereaved family, residents of Isimani Constituency, and all Tanzanians mourning the loss.
mwananchi.co.tz ↗Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani William Vangimembe Lukuvi amefariki duinia akiwa na umri wa miaka 70.
thecitizen.co.tz ↗Mbunge wa Isiman, William Lukuvi amefariki dunia, huku aliyekuwa mshindani wake katika mchakato wa ndani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa ubunge wa Isimani, Festo Kiswaga, akifunguka mambo atakayoyakumbuka.
dailynews.co.tz ↗Kiswaga, amesema anamkumbuka kiongozi huyo kwa utendaji wake Isimani, kwani aliingia likiwa jipya na halikuwa na hata shule moja ya sekondari, lakini sasa zimefika zaidi ya 10.
habarileo.co.tz ↗Taarifa ya kifo chake imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kisuluka, akimnukuu Rais Samia Suluhu Hassan, aliyesema amesikitishwa na anatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki.
habarileo.co.tz ↗Lema ametumia kurasa zake za mitandao ya kijamii kuzungumzia kifo cha Lukuvi akisema: “Tunazaliwa bila kitu, na tunaondoka bila kitu, kifo hutukumbusha unyenyekevu wa maisha.
globalpublishers.co.tz ↗According to a statement issued by the Parliament’s Communications and Public Relations Unit, Mr Zungu invoked Rule 176 of the Standing Orders of the National Assembly (August 2025 edition) to suspend the sittings.
globalpublishers.co.tz ↗Reports of the death of the Isimani Constituency MP in Iringa Region, who had served in Parliament since 1995, began circulating earlier in the day before being confirmed by the Chief Secretary, Ambassador Dr Moses Kusiluka.
mzalendo.co.tz ↗Ambassador Kusiluka conveyed condolences from President Samia Suluhu Hassan, who announced the death and sent her sympathies to the people of Isimani and to the Speaker of the National Assembly.
swahilitimes.co.tz ↗Mr Lukuvi’s death brings to three the number of MPs who have died during the 13th Parliament since its inauguration by President Hassan.
mwananchi.co.tz ↗All Parliamentary Standing Committee meetings have been suspended today, March 25, 2026, following the death of Isimani MP and Minister of State in the Prime Minister’s Office, William Lukuvi.
dailynews.co.tz ↗Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri na mzalendo kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi.
dailynews.co.tz ↗SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Azzan Zungu leo Machi 25, 2026, ameongoza kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uongozi kilichofanyika katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma, kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Ismani, William Vangimembe Lukuvi.
Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi kilichotokea leo Machi 25, 2026.
Rais Mwinyi amesema taifa limepoteza kiongozi muhimu ambaye amelitumikia kwa uadilifu na kujitolea katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa muda mrefu.
WAZIRI LUKUVI AFARIKI DUNIA
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa.
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa. Ametumikia nafasi mbalimbali za uongozi serikalini na kujijengea sifa ya uongozi thabiti kupitia utumishi wa muda mrefu serikalini na uwakilishi wake bungeni.
Mpina ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi akizungumza na Mwananchi amesimulia sababu iliyotaka kumfanya kuikataa bajeti hiyo, kwamba Mpango wa Maendeleo ulikuwa unaeleza Serikali itatenga asilimia 35 ya bajeti kutelekezwa kwenye maendeleo lakini yenyewe ikatenga asilimia 22.
Mdee amesema Lukuvi alikuwa akichukua ushauri na mapendekezo ya hotuba za kambi ya upinzani bungeni na kwenda kuvifanyia kazi kwa vitendo.
William Lukuvi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) akiagwa bungeni Dodoma.
Speaker of the National Assembly, Mussa Zungu, has described the death of Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) and Isimani MP William Lukuvi as a major blow not only to his family, but also to the Parliament, government, and Tanzanians at large.
PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.
President Samia Suluhu Hassan is expected to join thousands of mourners in Iringa next Tuesday to honour the late Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities), who passed away on Wednesday at Benjamin Mkapa Hospital in Dodoma Region.
DODOMA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.