


DAR ES SLAAM: TANZANIA is becoming more digital every day. Mobile phones are increasingly used to send money, pay bills, access government services, run businesses and support education and healthcare. Companies are moving data and operations to the cloud, while Artificial Intelligence (AI) is beginning to influence h…

ALAF Limited kwa mara nyingine imeibuka mshindi katika Tuzo za Rais za mzalishaji Bora wa Mwaka (PMAYA), toleo la 19 hii ikiwa ni mara ya 17 mfulululizo tangu ianze kushiriki katika tuzo hizi..Tuzo hii ya mshindi wa kwanza katika kipengele cha chuma na Bidhaa za chuma, ilikabidhiwa na Makamu wa Rais Mh. Deogratias Nde…

By Our Correspondent, MusomaThe Ministry of Health has intensified efforts to strengthen emergency and critical care services in Mara Region, with health experts preparing to train frontline workers on rapid response to medical emergencies and disease outbreaks.The initiative is being implemented by the Ministry’s Eme…

MOROGORO: CHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA),kupitia Ndaki ya Tiba ya Wanyama na Sayansi za Afya kimeendelea kutoa watafiti bora na bobezi wanaofanya mambo makubwa katika kulisaidia taifa na nchi nyingine barani Afrika kwenye kudhibiti magonjwa ya wanyama na yale yatokayo kwa wanyama kwenda kwa binadamu. Rasi wa …

Naibu Waziri wa Nishati, Mhe.Salome Makamba,akipata maelezo mara baada ya kutembelea banda la Mamlaka ya Udhibiti Huduma za Nishati na Maji (EWURA) katika Maonesho ya Kizimkazi yanayoendelea katika Viwanja vya Dimbani, Kizimkazi, Zanzibar. Na Mwandishi Wetu Naibu Waziri wa Nishati, Mheshimiwa Salome Makamba, amehimiza…

Rais wa Marekani, Donald Trump, ametishia kuchukua hatua kali dhidi ya Iran baada ya nchi hizo mbili kubadilishana mashambulizi ya…

JERUSALEM, Israel WAZIRI Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amesema wamkataa ombi la Rais wa Marekani, Donald Trump, kuhusu mgogoro wa Gaza. Kwa mujibu wa Netanyahu, hawakubaliani na ombi la Trump kutaka Israel iondoshe wanajeshi wake katika Ukanda huo. Katika maelezo yake, Netanyahu amesisitiza kuwa wanajeshi wa Isr…

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky amesema amekuwa na mazungumzo yenye mafanikio na Rais wa Marekani, Donald Trump, ambapo Marekani imekubali…

DAR ES SALAAM: THE drums are already beating for AFCON 2027. Beyond the kidedea chants and stadium excitement, there have been whispers suggesting the tournament could leave East Africa. That is why the message from Gerson Msigwa in Morogoro this week mattered. His assurance was clear: AFCON is coming to Tanzania, Ken…

NATIONAL Assembly Speaker Mussa Azzan Zungu has appealed to the government to rein in unnecessary expenditure, particularly on luxury vehicles. In remarks during debate on the Finance Bill 2026i yesterday, he asked the parliamentary standing committee on the Budget to closely mon…

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu, ameipongeza Serikali inayoongozwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kukubali kufanya marekebisho ya baadhi ya tozo na kodi zilizopendekezwa katika Muswada wa Sheria ya Fedha wa mwaka 2026, hatua aliyosema ime…

MEXICO CITY, Mexico FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zinaendelea kuchanja mbuga, huku baadhi ya timu zikiwa zimeshatinga hatua ya 16 Bora. Baadhi ya mechi kali za hatua hiyo ni ile itakayozikutanisha England ‘Three Lions’ na Mexico ‘El Tri’, ambao ni wenyeji wa michuano kwa kushirikiana na Marekani na Can…

Tanzania’s 2026/27 Budget is more than the Government’s annual plan for collecting and spending public money. It sets out how national resources will be allocated across development, public services, infrastructure and the economy as a whole, with decisions that reach into almost every part of the country. At TZS 62.3…

Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO) imekamilisha ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme wa msongo wa…

Tunisia vs Netherlands FIFA Kombe la Dunia 2026 unayakutanisha mataifa yenye historia tofauti, Juni 26, 2026 saa 8:00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki. Mchezo huu utachezwa Uwanja wa Kansas City huku Tunisia wakiwa na kibarua kusaka ushindi kwa mara ya kwanza.Tunisia hawajashinda mechi yoyote katika michezo mitano il…

Utabiri wa New Zealand vs Egypt: Kombe la Dunia – Kundi G Utabiri wetu: Egypt kushinda. New Zealand vs Egypt, mechi ya pili ya Kombe la Dunia 2026 kwenye Kundi G. Mpaka sasa kwenye msimamo timu zote mbili zina pointi moja baada ya sare, katika Mechi zao za Ufunguzi. Mechi hii itapigwa Uwanja wa BC […]

Mashindano ya 23 ya Shirikisho la Michezo ya Shule za Sekondari Afrika Mashariki (FEASSA) yamepata msukumo mkubwa baada ya Benki ya Maendeleo ya Afrika Mashariki (EADB) kutoa udhamini wa Dola za Marekani 90,000, (takribani mil 240) katika kuunga mkono maandalizi na uendeshaji wa mashindano ya shirikisho hilo yanayoend…

Na Mwandishi WetuMAMLAKA ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) na Vodacom Tanzania PLC zimesaini makubaliano ya ushirikiano yenye lengo la kuharakisha mageuzi ya kidijitali katika mfumo wa uwekezaji nchini na kuboresha huduma kwa wawekezaji wa ndani na nje ya Tanzania.Ushirikiano huo wa miaka miw…

KUNA mengi yanaendelea katika fainali za Kombe la Dunia 2026 ambako kuna rekodi kibao zinavunjwa na zingine hazijavunja hadi sasa. Lakini, wakati nchi zilizofuzu mtoano wa hatua ya 32 bora zikijifua kwa ajili ya michuano hiyo, kuna jambo jingine limeibuka. Nalo ni namna mpira unavyochezwa sasa licha ya maendeleo makub…

Meneja wa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) Kanda ya Ziwa, Mhandisi Juma Mkobya, amesema halmashauri za Mkoa wa Mara zimetoa zabuni…

IRINGA: KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi amewataka Watanzania kutowasikiliza wanasiasa wanaotumia majukwaa ya siasa kubeza na kupunguza thamani ya maendeleo yaliyofanya ya serikali. Kihongosi amesema hayo Juni 20,2026 alipokuwa akizungumza na wananchi katik…

Soma hapa...

Na Victor Masangu,KibitiMwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi Taifa Ndg. Fadhili Maganya ameridhishwa na utekelezaji wa mradi wa maji ambao unatakelezwa na Wakala wa maji na usafi wa mazingira vijijini (RUWASA) Wilaya ya Kibiti ambapo amesema kwamba mradi huo ni mkombozi mkubwa katika kuwahudumia kwa kiasi kikubwa wananchi …

IRINGA: MBUNGE wa Jimbo la Isimani, Emmanuela Mtatifikolo, ametoa Sh milioni moja kwa kikundi cha wanawake cha Mwangaza Food Point katika Kijiji cha Mboliboli, Tarafa ya Pawaga, jimboni kwake Isimani, ikiwa ni sehemu ya kuwaunga mkono kuongeza mtaji na kukuza shughuli zao za kiuchumi. Pamoja na mchango huo, Mtatifikol…

Uswisi vs Algeria FIFA Kombe la Dunia 2026 wanakutana katika hatua ya 32 bora ya Kombe la Dunia 2026. Mchezo huu utachezwa kwenye Uwanja wa BC Place, Vancouver. Timu zote mbili zinatafuta tiketi ya kufuzu hatua ya 16 boraJulai 3, 2026. Shinda mamilioni na Twenzetu Duniani ya SportPesa kwenye mechi Kombe la Dunia 2026 …

Kama unatafuta sababu mpya ya kuongeza msisimko kwenye michezo ya kasino, Meridianbet imekuja na jibu kupitia Pragmatic Play Drops & Wins 2026. Hii ni promosheni inayokualika kuzungusha, kukusanya na kujaribu bahati yako katika safari ya zawadi zinazoweza kufikia kiwango kikubwa. Unachohitaji ni kucheza michezo inayos…

DODOMA: THE Ministry of Natural Resources and Tourism has called on tourism stakeholders to strengthen collaboration with the government to achieve the target of attracting eight million international tourists by 2030. The ministry said achieving the target is critical to increasing national income and accelerating ec…

ZAIDI ya watumishi wapya 100 wa afya na ustawi wa jamii kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi na Halmashauri ya Mji wa Mafinga, wamepatiwa mafunzo maalumu kuhusu maadili ya taaluma, viwango vya utoaji huduma na huduma jumuishi, kwa watu wenye ulemavu Mpango huo, ni sehemu ya ju…
.jpeg)
Na Karama Kenyunko Michuzi TvSERIKALI imesema itaendelea kuimarisha huduma za afya ya uzazi nchini ili kupunguza vifo vya kina mama vinavyotokana na utoaji mimba usio salama.Naibu Waziri wa Afya, Dk Florence Samizi alisema bungeni kuwa asilimia 10 ya vifo vya wajawazito nchini vinahusishwa na utoaji mimba usio salama,…

DAR ES SALAAM: AS Tanzania begins turning Vision 2050 from a long-term aspiration into a national development agenda, industry and trade are increasingly taking centre stage in the country’s economic transformation plans. The vision is ambitious. By 2050, Tanzania aims to become an industrialised, knowledge-based uppe…
Na MUKSINI NAKUVAMBA – Mahakama, Mbeya Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Mbeya, Mhe. Fahamu Mtulya, ameanza ziara ya ukaguzi katika maeneo mbalimbali ya Masjala hiyo kwa lengo la kutathmini utendaji wa kazi ili kubaini mafanikio na changamoto katika utoaji wa huduma, mazingira ya kazi na miundombinu ya M…

Colombia vs Ghana ni karata nyingine ya wawakilishi wa Afrika na Amerika Kusini, katika jukwaa kubwa zaidi la soka Duniani. Mchezo huu unatarajiwa kupigwa kwenye Uwanja wa Kansas City nchini USA, saa kumi na nusu kwa saa za Afrika Mashariki. Mshindi wa jumla wa mchezo huu atakuwa amefuzu moja kwa moja hatua ya 16, bor…

Kocha wa Ufaransa, Didier Deschamps, amejibu vikali ukosoaji uliomkumba kutokana na maamuzi aliyofanya katika nusu fainali ya Taji la Dunia dhidi ya Hispania, akisisitiza kuwa kiungo wa AC Milan, Adrien …

DAR ES SALAAM: THE government’s decision to abolish or reduce 374 fees and levies is expected to stimulate business growth, attract investment, create jobs and widen Tanzania’s tax base, economists and analysts have said. They said the reforms will encourage business formalisation, expand trade and investment, improve…

Na Mwandishi Wetu – Dodoma Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma ya mwaka 2026 yameonesha kwa vitendo namna taasisi za umma zinavyoendelea kusogeza huduma karibu na wananchi kwa kutumia majukwaa mbalimbali ya utoaji huduma, elimu na utatuzi wa changamoto. Kupitia maonesho hayo, maelfu ya wananchi walipata huduma mba…

Tanzania imepiga hatua nyingine kimataifa baada ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IFC) kuorodhesha hatifungani yake ya kwanza ya kimataifa kwa Shilingi ya Tanzania katika Soko la Hisa la London (LSE). Hatifungani hiyo, yenye thamani ya Dola za Marekani milioni 100 (Shilingi bilioni 262.5), itaipatia Benki ya NMB ikiwa…

DAR ES SALAAM: TANZANIA is strengthening its position as one of East Africa’s influential countries, supported by political stability, improving governance performance, strategic geography and growing economic opportunities that continue to attract regional and global investors. The latest Ibrahim Index of African Gov…

A dam Julius Nyerere dreamt of fifty years ago now supplies half the nation’s electricity — and Tanzania paid for it alone.

Hapa tumekuletea taarifa za usajili Ligi Kuu Uingereza 2026 mara baada ya kufunguliwa. Diirisha la usajili majira ya joto lilifunguliwa Juni 15,2026 litafungwa Septemba Mosi saa 5 usiku. Kuna orodha ya wachezaji ambao wamehama na timu ambazo watakuwa katika Ligi Kuu ya Uingereza, (Premier League). Arsenal ambao ni mab…

Spain vs Saudi Arabia: Kombe la Dunia 2026 — Kundi E Spain vs Saudi Arabia ni mechi ya kufa na kupona ndani ya Kundi E la Kombe la Dunia 2026, timu hizi zitavaana uso kwa uso katika Uwanja wa Atlanta, 21 June 2026. Mchezo huo utapigwa saa 3 usiku muda wa afrika mashariki (EAT). Katika […]

TEHRAN: Jeshi la Marekani limefanya mashambulizi makubwa dhidi ya Iran siku ya Alhamisi, likisema ni hatua ya kulipiza kisasi kufuatia…

· Wafundishwa jinsi ya kupakua Nakala za Hukumu na mienendo ya mashauri kupitia mfumo huo· Wasisitizwa juu ya matumizi ya TEHAMA Na PAUL PASCHAL, Mahakama-Moshi Wadau wa Mahakama Kuu Masjala Ndogo Moshi wamepatiwa Mafunzo ya matumizi ya Mfumo wa Ki-elektroniki wa Usimamizi wa Mashauri (e-CMS) yaliyolenga kuwaelekeza j…
SINGIDA YAANZA SAFARI YA SINGLE DIGITS, RC DENDEGO ATAKA KASI YA DIRA YA 2050 IONGEZWE
VIONGOZI WATAKIWA KUWA MSTARI WA MBELE KUIKANILI RUSHWA

Na Janeth Raphael MichuziTv Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Namibia zimejipanga kuimarisha zaidi ushirikiano wa kiuchumi kwa lengo la kuongeza kiwango cha biashara na uwekezaji kati ya mataifa hayo mawili. Amesema hatua hiyo inalenga kufungua fursa mpya za ma…

MTWARA: MBUNGE wa Jimbo la Nanyamba Mkoani Mtwara Abdallah Chikota amesema uwepo wa ujenzi wa kongani ya viwanda ya korosho iliyopo kijiji cha Maranje Halmashauri ya Mji Nanyamba mkoani Mtwara ni faida kubwa kwa wananchi wa maeneo hayo hasa suala la ajira kwa vijana. Hayo yamejiri leo Septemba 7,2026 wakati mbunge wa …

Soma hapa...

Na Janeth Raphael MichuziTv RAIS wa Namibia, Netumbo Nandi-Ndaitwah, ametembelea Kituo cha Kumbukumbu cha Wapigania Uhuru wa Afrika pamoja na Makaburi ya Mashujaa wa Namibia yaliyopo wilayani Kongwa mkoani Dodoma, katika ziara maalum ya kuenzi mchango wa Tanzania katika harakati za ukombozi wa bara la Afrika.Katika zi…

Leaders and staff of the Tanzania Revenue Authority (TRA) observed a one-minute standing ovation during the Authority’s 2025/2026 financial year performance review meeting to…
Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. George Masaju, leo tarehe 15 Julai, 2026 amepokea ugeni wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Dkt. Seif Abdallah Shekalaghe, aliyefika ofisini kwake Makao Makuu ya Mahakama jijini Dodoma kwa ajili ya kujitambulisha.Dkt. Shekalaghe amesema kuwa lengo la kukutan…

Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Mipango wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Needpeace Wambuya, amepongeza kasi ya utekelezaji wa majukumu ya Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB), hususan hatua ya kuanzisha mpango wa kuuza mifugo kupitia Mfumo wa Stakabadhi za Ghala. Akizungumza alipotembelea banda la WRRB kati…

Tanzania’s Finance Bill 2026, presented to Parliament on 24 June 2026 by Finance Minister Ambassador Khamis Mussa Omar, takes effect on 1 July 2026 and amends 26 laws to implement the 2026/27 budget tax measures. The Parliamentary Budget Committee dropped the proposed 1% withholding tax on agricultural produce, the pr…

DAR ES SALAAM: Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetoa maagizo saba ya haraka kwa wananchi na taasisi nchini ili kuzuia mvua za El Niño kusababisha mafuriko, vifo na uharibifu wa mali unaoweza kuepukika. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Meneja wa Kitengo cha Uhu…

DODOMA: The Office of the Chief Parliamentary Draftsman (OCPD) has pledged to simplify laws by translating them into easy-to-understand Kiswahili and providing legal education accessible to ordinary citizens, including farmers, pastoralists, and fishermen. OCPD’s Parliamentary Draftsman Joseph Shoo made the remarks at…

Jina langu ni Joshua, na mimi ni mjasiriamali. Kwa muda mrefu, nilikuwa nikikabiliana na changamoto kubwa katika biashara yangu. Ilikuwa ni biashara ndogo ya…

Na Benny Mwaipaja, DURBANNchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zimeazimia kuharakisha mageuzi ya kiviwanda katika kanda, baada ya kuhitimisha Wiki ya Tisa ya Viwanda ya SADC (SIW 2026) iliyofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Durban, jimbo la KwaZulu-Natal, Afrika Kusini.Zimes…

Benki ya NMB imewataka wafanyabiashara wa Mwanza, Mara na Geita kutumia malipo ya kidijitali na akaunti mahsusi za biashara ili kufikia masoko mapya na…

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala,Ridhiwani Kikwete amesema Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) kina nafasi ya kipekee katika kujenga na kuendeleza uwezo wa kiutendaji wa watumishi wa umma ambao ndio watekelezaji wa majukumu ya serikali kila siku. Kikwete al…

CRISTIANO Ronaldo ametoa kauli nzito kuhusu mustakabali wake wa soka, akisema msimu huu huenda ukawa mwaka wake wa mwisho kucheza soka la ushindani baada ya zaidi ya miaka 25 ya safari yenye mafanikio makubwa. Ronaldo mwenye umri wa miaka 41 amesema anataka kuhitimisha kazi yake …
Na ARAPHA RUSHEKE -Mahakama, Dodoma Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Dkt. Mustapher Mohamed Siyani, jana tarehe 10 Agosti, 2026, alifanya ziara katika jengo la zamani la Mahakama Kuu Dodoma, linalotarajiwa kutumika kwa ajili ya Mahakama inayoshughulikia masuala ya familia. Akiwa ameambatana na Viongozi …
.jpeg)
Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo, ameiagiza Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) kuongeza elimu kwa umma kuhusu matumizi ya teknolojia ya nyuklia, ili Watanzania waelewe manufaa yake na matumizi chanya katika maisha na maendeleo ya taifa.Prof. Nombo ametoa agizo hilo Agosti 20…

Wakiwa na pointi 1 tu, katika michezo yao miwili ya kwanza, kikosi cha South Africa kinajiandaa kucheza mechi ya kufa na kupona dhidi ya South Korea. Ni mechi ya South Africa vs South Korea Kombe la Dunia 2026 itakayopigwa 25 June 2026 saa 10 alfajiri, kwa saa za Afrika Mashariki. Mechi hii itapigwa kwenye Uwanja […]

Dodoma Waziri Ofisi ya Rais, Maendeleo ya Vijana, Mhe. Joel Nanauka ameipongeza Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa utekelezaji wa Mpango wa Matengenezo ya Barabara kwa Kutumia Vikundi vya Kijamii (CBRM) akieleza kuwa ni fursa muhimu ya kuwawezesha wananchi hususan vijana kushiriki katika shughul…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Dkt, Netumbo Nandi-Ndaitwah baada ya Rais huyo wa Namibia kuhitimisha Ziara yake ya Kitaifa ya siku 4 katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 22 Juni, 2026.Rais wa Jamhur…

DAR ES SALAAM: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan yesterday bid farewell to Namibian President Dr Netumbo Nandi-Ndaitwah following her historic three day State Visit to Tanzania. The colourful farewell ceremony, held at the State House in Dar es Salaam, featured a guard of honour and the playing of the national anthems of …

Kamanda wa Polisi Mkoa wa kipolisi Temeke Kamishna Msaidizi mwandamizi wa Polisi SACP Kungu John Malulu Julai 28,2026 katika Kata ya Kilungule iliyopo Mbagala Dar es Salaam amemtembelea Ndugu Mustafa aliepoteza watoto watatu kwenye ajali ya Moto iliyotokea Aprili 7,2026 Kabla ya hapo Kamanda Malulu alimshika mkono Mwa…

Je unajua kuwa leo huenda ikawa ni siku yako ya bahati?. Kama hujajua basi mimi ndio nakujuza, ingia kwenye akaunti yako na uweke dau lako dogo tuu kisha ubashiri mechi za leo. Tukianza na Uholanzi Ligi kuu (Eredivisie) inaanza kwa mechi ambayo inawapa mabingwa watetezi PSV Eindhoven nafasi za kuanza kutetea taji lao …

DAR ES SALAAM: THE Dar es Salaam Port handled a record 138,000 containers last month, up from between 50,000 and 60,000 containers per month in 2021, reflecting improved efficiency and increased capacity. The performance reflects the impact of continued government investment aimed at expanding the port and strengtheni…

HALMASHAURI ya Wilaya Mkuranga ni kati ya Halmashauri tisa za mkoa wa Pwani ambayo inajivunia kujiimarisha kwenye kuwekeza kwenye ujenzi wa vituo vya huduma za afya kusogeza karibu na wananchi. Mkuranga kwasasa ina vituo vya Serikali vya kutolea huduma za afya 71 kati ya hivyo Ho…

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe, amesema huduma zinazotolewa na Wizara ya Katiba na Sheria zimekuwa na mchango mkubwa katika kuwawezesha wananchi kupata haki, ushauri wa kisheria na utatuzi wa changamoto mbalimbali kwa urahisi na kwa wakati. Prof. S…

Soma zaidi...

Tahadhari kwa wapenzi wa burudani za kasino, kuna mchezo mpya unaokuja na ladha tofauti kabisa. Mystic Guardians, mchezo mpya kutoka Expanse, umeingia Meridianbet ukiwa umebeba ulimwengu wa walinzi wa kale, nguvu za ajabu na mafumbo yanayoweza kufanya kila raundi kuwa tukio la kusubiriwa. Hii ni safari inayokualika ku…

Na Victor Masangu, Pwani Serikali mkoani Pwani imeipongeza Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Pwani kwa kuweza kuwa na mipango madhubuti katika kuweka…

DODOMA: TANZANIA’S public service reforms have drawn regional attention, with Somalia seeking to learn from the country’s experience in digital governance and citizen-centred service delivery. The development emerged in Dodoma at the weekend when the Minister of State in the President’s Office (Public Service Manageme…

Raia wa Oman, Mohammed Abdallah Al-Habsy na familia yake wakiangalia chumba chenye mashine ya Linear Accelerator (LINAC) kinachotumika kutoa matibabu ya saratani kwa tiba…

DODOMA: THE National e-Procurement System of Tanzania (NeST) has issued 397,395 tenders worth 40.4tri/- in three years, boosting transparency, efficiency and access in public procurement. The system has also widened access for local suppliers, particularly women, youths and people with disabilities (PwDs), strengtheni…

Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kimewahimiza vijana, hususan mabinti, kuchangamkia fursa za masomo katika sekta ya bahari, kikieleza kuwa wahitimu wa chuo hicho wana nafasi kubwa ya kupata ajira ndani na nje ya nchi kutokana na mahitaji makubwa ya wataalamu wa sekta hiyo.Akizungumza na waandishi wa habari katika b…

DAR ES SALAAM: THE success of the 50th Dar es Salaam International Trade Fair (DITF) is strengthening Tanzania’s ambition to become East Africa’s leading trade and investment hub. Rising exports, stronger business activity and investor confidence are reinforcing that momentum. The week-long exhibition, Tanzania’s flag…

Na.Mwandishi Wetu-DODOMA BODI ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imesema itaendelea kushirikiana kwa karibu na Sekretarieti za Mikoa na Halmashauri nchini ili kuimarisha utekelezaji wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRS), kuongeza tija kwa wakulima na kuchangia utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Mk…

Colombia wakiwa tayari wamefuzu hatua ya 32 bora watavaana na Portugal, ambayo situ kwamba wanaisaka tiketi Ya Robo hatua ya 32 bora, bali wanataka kuongoza Kundi. Staa wa Ureno, Cristiano Ronaldo alituma ujumbe wa “I’m back” akimaanisha amerudi baada ya kufunga mabao 2 katika ushindi wa kishindo wa mabao 5-0 dhidi ya…

Kocha wa Ufaransa, Didier Deschamps, anatabiri kuwa nusu fainali ya Taji la Dunia dhidi ya Hispania itakuwa mechi ya “kusisimua sana” wakati mataifa hayo mawili makubwa yatakapokutana jijini Dallas siku …
.jpeg)
Na Janeth Raphael - MichuziTv Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) inaendelea kuthibitisha ubora wake kama moja ya vituo vinavyoongoza kutoa huduma za kibingwa barani Afrika, baada ya kufanikiwa kuwapatia matibabu ya upasuaji wa moyo watoto kutoka Nchini Burundi, ambao kwa sasa wanaendelea vizuri na wanatarajiwa kurejea …

DODOMA: THE Benjamin Mkapa Hospital (BMH) is set to become a Medical Tourism Village within the next decade as the government intensifies efforts to position Tanzania as a leading destination for specialised healthcare in Africa. The ambitious vision is expected to attract patients from across Africa and beyond, gener…

DAR ES SALAAM: TANZANIA is increasingly looking to energy as the engine that will power its next phase of development. As the country begins implementing Vision 2050, the government is accelerating investment in electricity generation, natural gas infrastructure, transmission networks and renewable energy. The objecti…

Kombe la Dunia la FIFA 2026, litaendelea kukumbukwa kwa muda mrefu kutokana na kuvunja rekodi nyingi na kushuhudia matukio ya kipekee ambayo hayajawahi kutokea katika historia ya mashindano hayo. Mashindano hayo yalishuhudia timu ya Taifa ya Hispania ikiibuka bingwa wa dunia, kwa mara ya pili katika historia yake. Hii…

Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. George Masaju leo tarehe 26 Juni, 2026 amemuapisha Dkt. John Antony Jingu, Mtendaji Mkuu wa Mahakama kuwa Katibu wa Tume ya Utumishi wa Mahakama. Dkt. Jingu anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Mtangulizi wake Mtendaji Mkuu Mstaafu wa Mahakama, Prof. Elisante Ole Gabri…

Soma hapa...
Na MUKSINI NAKUVAMBA – Mahakama, Mbeya Majaji, Naibu Wasajili na Mahakimu wa Mahakama Masjala Ndogo ya Mbeya wametakiwa kutambua, kudhibiti na kukabiliana na msongo wa mawazo kwa wakati, wakizingatia kuwa afya njema ya akili ni msingi muhimu wa kufanya maamuzi yenye umakini, weledi na ya haki katika utekelezaji wa maj…

WAZIRI CHONGOLO APONGEZA UWEKEZAJI UWANJA WA AFCON ARUSHA, AHIMIZA WANANCHI KUTUMIA FURSA ZA AFCON 2027

MKUU wa Wilaya ya Arusha, Joseph Modest Mkude akizungumza kwenye hafla hiyo. ……. Na Happy Lazaro, Arusha Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Joseph Modestin…

Na Mwandishi wetuRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewaapisha Naibu Makatibu Wakuu wawili na kushuhudia viongozi wanne wakila Kiapo cha Uadilifu kwa Viongozi wa Umma, huku akiwataka kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu, ushirikiano, uwajibikaji na kuzingatia maslahi ya wananchi.A…

Na Hassan Mwasha DAKIKA 90 tu za mchezo kati ya Fountain Gate na Singida Black Stars ndizo zilizopeperusha ndoto ya Feisal Salum ‘Fei Toto’ kuwa mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2025-26. Kabla ya mechi za mwisho wa msimu kuchezwa jana Juni 30, 2026, Fei Toto wa Azam ndiye aliyekuwa kinara kwa mabao […]

Serikali imesema itaendelea kuweka mazingira wezeshi ili kuhakikisha wananchi wananufaika na Biashara ya Kaboni kupitia misitu ikiwemo mikoko wanayopanda katika maeneo ya pwani. Naibu…

MEXICO CITY, Mexico KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Argentina, Lionel Scaloni, amethibitisha kuwa atampumzisha nahodha wake, Lionel Messi, katika mchezo wao dhidi ya Jordan. Timu hizo zitakutana kesho Juni 28, 2026, ukiwa ni mchezo wa mwisho wa kundi lao lenye timu zingine mbili, Algeria na Austria. Argentina ikiwa …

ATLANTA, MAREKANI: KATIKA matukio yaliyotikisa mashabiki wa soka duniani, timu tatu za Afrika zimeondolewa kwa maumivu makubwa katika hatua ya 32 bora ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuruhusu mabao ya ushindi katika dakika ya 86. Timu hizo ni Ivory Coast, DR Congo na Senegal, ambazo zote ziliondolewa katika mechi tofa…

MWANG’ONDA AWAPONGEZA WANANCHI WA NTAGACHA, TARIME

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali inaandaa maboresho ya kisera na kisheria yatakayowaondolea vijana wajasiriamali kikwazo cha muda mrefu…

USHINDI mzuri unaanzia Meridianbet siku ya leo kwa kusuka jamvi lako na Meridianbet na kubashiri kwa kutumia Early Payout leo. Ingia kwenye akaunti yako sasa na uanze safari yako ya ushindi.Promosheni hii kubwa kabisa ambayo ipo Meridianbet ina lengo la kuhakikisha kuwa unapiga pesa nyingi kwani endapo ukitumia chaguo…

Na Hassan Mwasha, Gazetini GEITA Gold ina kibarua kigumu mbele ya Yanga katika mchezo ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu wa 2026-27, na hiyo ni kwa mujibu wa rekodi zilizopo. Timu hizo zitakwaana Jumatano ya Septemba 8, 2026, ambapo mabingwa watetezi, Yanga, watakuwa nyumbani katika Uwanja wa KMC, Mwenge jijini …

RC DENDEGO: DIRA YA 2050 IWE AJENDA YA KUDUMU KWENYE SHUGHULI ZA MAENDELEO SINGIDA

Na Mwandishi WetuWANANCHI wanaotembelea Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba 2026) wanaendelea kunufaika na huduma mbalimbali za mawasiliano na ofa maalum zinazotolewa na Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), kupitia banda lake lililopo katika Viwanja vya Mwalimu Julius K. Nyerere.Katik…

Rais wa Marekani Donald Trump amepongeza maendeleo ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Marekani na Iran yaliyofanyika…

Kampuni ya CRDB Insurance Company imezindua huduma ya Smart Mifugo, bima ya mifugo inayotumia teknolojia ya akili mnemba (AI) kuwakinga wafugaji dhidi ya hasara zinazotokana na vifo vya mifugo, magonjwa na athari za ukame. Huduma hiyo imezinduliwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifu…

Na Mwandishi Wetu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw. Lazaro Twange, amesema shirika hilo linaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya kimkakati itakayoongeza…

Chinese President Xi Jinping has urged pooling the strength of overseas Chinese and those who have returned to China to contribute to building China into a strong country and advancing national rejuvenation. Xi, also general secretary of the Communist Party of China (CPC) Central…

Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) unashiriki Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere kuanzia Juni 28 hadi Julai 13, 2026, ukiwahakikishia wanachama na wananchi huduma mbalimb…

Brazil imeaga fainali za Kombe la Dunia 2026 baada ya kufungwa mabao 2-1 na Norway katika mchezo wa hatua ya 16 bora uliochezwa kwenye Uwanja wa New York/New Jersey, Marekani. Baada ya kipindi cha kwanza kumalizika bila kufungana, straika wa Norway, Erling Haaland aliibuka shujaa wa mchezo kwa kufunga mabao mawili kat…

AFYA bora ni mtaji wa maisha, lakini kwa baadhi ya makundi katika jamii, kupata mahitaji muhimu ya kila siku bado ni changamoto kubwa. Kwa kutambua hilo, Meridianbet imeendelea kuonyesha kuwa mchezo hauishii uwanjani pekee, bali pia una nafasi kubwa ya kugusa maisha ya watu nje ya uwanja. Safari hii, kampuni hiyo imep…

Na mwandishi wetuMakamu wa Rais Deogratius Ndejembi akimkabidhi tuzo Msemaji wa Kampuni ya Alliance One Wakili John Magoti(kulia), ambaye kampuni yake imetwaa nafasi ya Mshindi wa Pili wa Jumla wa Tuzo za Rais za Mzalishaji Bora wa mwaka pamoja na mshindi wa Kwanza wa Sekta ya Uchakataji Tumbaku, huku Waziri wa Viwand…

Soma hapa...

Na Mwandishi Wetu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa miongoni mwa viongozi wa Afrika walioamini kuwa uhuru wa Tanzania usingekuwa na maana ikiwa mataifa mengine…

NAIBU Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhandisi Maryprisca Mahundi, amewataka wazazi na walezi kuimarisha malezi ya watoto na kushiriki kikamilifu kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia vinavyoathiri wanawake na watoto.

NA DENIS MLOWE, IRINGA WANANCHI wa vijiji vya Mwambao, Welu, Lupalama na Kibebe katika Kata ya Ulanda, Jimbo la Kalenga, wamemweleza Mbunge wao, Jackson…

Na. Mwandishi Wetu – Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mhe. Balozi Dkt. Batilda Burian ametoa wito kwa wananchi kuendelea kujitokeza kupata…

DAR ES SALAAM: RUSSIA has expressed its commitment to expanding investment and trade with Tanzania, as both countries deepen cooperation in strategic sectors including healthcare, science, industrial development and technology. Russia’s Ambassador to Tanzania, Mr Andrey Avetisyan, said Russian investors are increasing…

Ratiba ya FIFA Kombe la Dunia 2026 hatua ya 16 bora itaanza kutimua vumbi rasmi siku ya Jumamosi 4 July 2026. Ikumbukwe haya ni mashindano makubwa zaidi ya soka duniani, ambayo hufanyika kila baada ya miaka 4, mwaka huu Kombe la Dunia litafanyika kwa ushirikiano wa maandalizi ya nchi 3, ambazo ni; Marekani (USA), Cana…

• Aitaka kamati iliyoshiriki majadiliano ya awali kujadiliana tena Na OWM – TAMISEMI, Kibaigwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa…

Mapasheni ni miongoni mwa matunda yanayopendwa na watu wengi kutokana na ladha yake ya kipekee, harufu nzuri na uwezo wa…
Na MUKSINI NAKUVAMBA – Mahakama, Mbeya Mahakama ya Rufani ya Tanzania hivi karibuni imefanya kikao cha tathmini ya utekelezaji wa shughuli za usikilizaji wa mashauri ya rufaa za madai na jinai katika Masjala Ndogo ya Mbeya, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kuhitimisha rasmi kikao cha Mahakama hiyo kilichoanza tarehe 3…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mheshimiwa Daniel Francisco Chapo baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa Ziara ya Kikazi, tarehe 03 Julai, 2026. Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mheshimiwa Daniel Francisco Chapo akisain…

Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mheshimiwa Daniel Francisco Chapo akihutubia kwenye Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) katika…

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) yameendelea kuwa daraja…

Na Janeth Raphael – MichuziTv - Bungeni Dodoma SERIKALI imesema maandalizi ya Tanzania kuwa mwenyeji wa Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027 yanaendelea kwa kasi, huku ikihakikisha miundombinu muhimu ya michezo na huduma wezeshi inakamilishwa kwa wakati.Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema hayo …

SHAHIDI WA TATU wa upande wa utetezi katika kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu,…

PRETORIA, SA: As Kiswahili’s popularity grows, connecting more than 200 million people, Tanzania’s High Commissioner to South Africa, James Bwana, says its significance extends far beyond the number of speakers, reaffirming that an African language can also serve as a powerful vehicle for diplomacy, regional integrati…

Banda la Vodacom lilipata heshima ya kutembelewa na Rais wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, pamoja na Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Daniel Chapo.

Hatimaye ratiba ya Ligi Kuu ya NBC 2026/27 imetangazwa rasmi na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB). Ratiba hiyo inaonyesha vigogo yaani bingwa mtetezi Yanga SC na mshindi wa pili Simba SC kwa msimu uliopita zitaanzia ugenini. Kama ulikuwa unajiuliza kuhusu Mchezo mkubwa wa Dabi ya Kariakoo kati ya Simba SC vs Yanga SC, …

ZEIST, Uholanzi KIUNGO na kocha wa zamani wa Barcelona, Xavi Hernandez, ndiye aliyekabidhiwa benchi la ufundi kwa ajili ya kuinoa timu ya soka ya Taifa ya Uholanzi ‘Oranje’. Xavi ana historia ndefu na Waholanzi. Kocha wa zamani wa Uholanzi, Louis van Gaal, ndiye aliyeibua kipaji chake kwa kumpa nafasi katika kikosi ch…

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Leonard Akwilapo amekabidhi jumla ya hati za kimila 1,195 katika vijiji vya Solwe Kata ya Nyambiti wilayani Kwimba na Lubuga, Kata ya Mabuki wilayani Misungwi mkoani Mwanza, akiwataka wananchi kumiliki ardhi kisheria ili kuondokana na migogoro pamoja na kuzuia kunyany…

Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umetangaza msamaha wa tozo zinazotokana na ucheleweshaji wa michango kwa waajiri wenye malimbikizo ya madeni, ukiwataka kutumia fursa hiyo kupunguza mzigo wa madeni, kuzingatia sheria na kulinda haki za wafanyakazi. Akizungumza na waandis…

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewataka Watanzania kuendelea kuimarisha malezi ya watoto na vijana, kulinda amani, kuheshimu tofauti na kutimiza wajibu wao kwa taifa,…

Soma hapa...

📌Ulega atoa hakikisho la Utekelezaji wa mradi huo Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ametangaza kuanza kwa utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa barabara na…

Na Mwandishi WetuSERIKALI imeiagiza Wizara ya Uchukuzi kuharakisha taratibu za kuwasilisha Waraka wa Baraza la Mawaziri ili kuwezesha kuanzishwa kwa Bodi ya Usajili wa Wataalamu wa Lojistiki na Usafirishaji, hatua inayolenga kuimarisha ubora, weledi na uwajibikaji wa wataalamu wa sekta hiyo nchini.Akifungua Kongamano …

WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Dk. Rhimo Nyansaho, amesema Shirika la Uzalishaji Mali la JKT (SUMAJKT), linaendelea kutoa mchango kwa nchi, hasa kupunguza tatizo la ajira kwa vijana kupitia kampuni zake tanzu. Amesema hayo alipotembelea banda la JKT katika Maon…

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Kikodi Ilala imefanya kikao na Washauri wa Kodi ambapo pande hizo mbili zimeeleza azma ya kuendelea kushirikiana…

Ni baada ya Jeshi la Polisi kufanya ufuatiliaji wa karibu katika mitandao ya kijamii na majukwaa mengine.

Benki ya NMB imesema huduma ya NMB Kikundi Mini App, iliyopo ndani ya NMB Mkononi Super App, imebuniwa kurahisisha usimamizi wa vikundi kwa kuwawezesha wanachama na viongozi kupata huduma za kifedha kidigitali kwa usalama, uwazi na ufanisi zaidi. Akizungumza katika Banda la NMB kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Biashara…

MEXICO CITY, Mexico UWANJA wa Azteca unaopatikana Kusini mwa Mji Mkuu wa Mexico, Mexico City. Ni moja ya viwanja vya soka vyenye historia ya aina yake. Baada ya Mexico kushinda zabuni ya kuandaa Kombe la Dunia mwaka 1970, muhandisi Pedro Ramirez Vazquez alipewa jukumu la kujenga uwanja wenye uwezo wa kupokea mashabiki…

Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imeanza mazungumzo na wazalishaji wa parachichi katika wilaya za Mufindi na Njombe kwa lengo la kuanzisha mfumo wa ubunifu utakaoruhusu shamba kutumika kama ghala la bidhaa hai ili kuongeza ufanisi wa biashara ya zao hilo. Mkurugenz…

A rare reformist appeal from within the ruling party has turned the spotlight on CCM itself, as loyalists move to check Nchimbi

Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Mheshimiwa Salma Rashid Kikwete, tarehe 7 Julai 2026 aliongoza Maadhimisho ya Siku ya Kiswahili yaliyofanyika katika Bunge la Uingereza (House of Lords), jijini London.Maadhimisho hayo yalifanyika kwa mwaliko maalum wa Mheshimiwa Lord Pa…

In the World Cup 2026 top scorers, Kylian Mbappe, the France captain, took the lead with 10 goals. Having emerged as the top scorer, Mbappe made history as the only player to get the Golden Boot twice. Lionel Messi, from Argentina, finished the tournament as the second top scorer with 8 goals. Other World Cup […]

Marekani imeanzisha duru nyingine ya mashambulizi ya anga dhidi ya Iran usiku wa kuamkia leo, ikilenga vituo vya ufuatiliaji eneo la pwani ya Iran na mifumo ya ulinzi wa anga huku wanajeshi wawili wa nchi hiyo wakiuawa. Kituo kikuu cha kuendesha oparesheni za kijeshi cha Marekani…

Na Mwandishi wa OTR Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) Jumanne, Agosti 11, 2026, ilifanya mazungumzo na kampuni ya Fitch Ratings…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameipatia Tanzania Breweries Public Limited Company (TBL)Tuzo ya Rais ya Walipakodi Bora katika Sekta ya Uzalishaji (Manufacturing), ikiwa ni kutambua mchango wa kampuni hiyo katika kukuza uchumi wa Taifa kupitia ulipaji sahihi wa kodi, uzal…

Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imesema ushiriki wake katika Maonesho ya Nanenane 2026 unalenga kutoa elimu kwa wananchi kuhusu matumizi sahihi ya…

MKURUGENZI wa Sayansi wa Taasisi ya Afya Ifakara (IHI), Dk Ally Olotu, amesema taasisi hiyo imeendelea kushiriki katika tafiti na ubunifu mbalimbali unaolenga kufikia lengo la kutokomeza malaria nchini Tanzania kupitia uzalishaji wa ushahidi wa kisayansi na maendeleo ya teknolojia za afya.

Hii ni ratiba ya nusu fainali FIFA Kombe la Dunia 2026 zikisalia timu 4 pekee.Ufaransa, Hispania, England na Argentina hizi zimefuzu kucheza hatua ya nusu fainali. Ni kutoka kwenye mfumo wa hatua ya makundi na ratiba ya safari hii umefanya timu hizi nne zinazoongoza kwa viwango vya ubora duniani kukutana kileleni kati…

Mwenyekiti wa Taifa wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, amesema utekelezaji wa makubaliano ya maridhiano ya kisiasa yaliyofikiwa hivi karibuni kati ya chama hicho…

Soma zaidi...

Mkurugenzi wa Veta Kanda ya Nyanda za Juu Suzan Magani kushoto, akimsikiliza Mwanafunzi wa Chuo cha Ufundi Stadi Veta Songea fani ya umeme wa…

DAR ES SALAAM: FOR many people, trade fairs are synonymous with colourful exhibition booths, product launches and commercial transactions. They are often viewed as platforms where private companies market their products, negotiate deals and expand their customer base. That perception, while valid, tells only part of t…

DODOMA: JESHI la Kujenga Taifa (JKT) limesema litaendelea kuwa shamba darasa la kilimo, mifugo na uvuvi hata baada ya kufungwa kwa Maonesho ya Nanenane 2026, kwa lengo la kuwajengea wananchi uwezo wa kuongeza tija katika uzalishaji. Mkuu wa JKT, Meja Jenerali Rajab Mabele alisema hayo alipotembelea banda la jeshi hilo…

DAR ES SALAAM: AGRICULTURE remains the backbone of Tanzania’s economy, with recent figures showing continued growth in production, food security and exports. However, behind these gains is a persistent challenge: The country remains heavily dependent on imported fertiliser, raising concerns about the cost and sustaina…

BOSTON, Marekani FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zilizochezwa kwa siku 39, kwenye viwanja 16, zikishirikisha wachezaji 1,039 kutoka timu 48, zilishuhudia mabao 308 yakifungwa katika mechi 104. Je, ni nani aliyeongoza kwa mabao, asisti? Ni timu zipo zilizofunga na kuruhusu mabao mengi? Makala fupi haya ya…

TABORA: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) has expressed satisfaction with the implementation of 13 development projects worth 4.5bn/- in Tabora Region, citing quality work and value for money. Presenting a report by the Political Committee on the implementation of the CCM Election Manifesto (2025– 2030), Tabora Regional CCM S…

Serikali imeahidi kuhakikisha washiriki wa mafunzo ya ujasiriamali yanayotolewa na Jukwaa Huru la Wahariri Tanzania (JUWATA) wanayafanyia kazi kwa vitendo kwa kuwawezesha katika mikopo inayotolewa na Halmashauri kupitia utengenezaji wa bidhaa mbalimbali zitakazochangia ukuaji wa uchumi.Kauli hiyo imetolewa mkoani Moro…

MYINGA AONGOZA BARAZA LA BIASHARA TABORA; AAGIZA VIKWAZO VYA UWEKEZAJI NA BIASHARA VIONDOLEWE

Na Pamela Mollel,Mererani SimanjiroSerikali imeendelea kusisitiza umuhimu wa kuwekeza kwa kiwango kikubwa katika teknolojia za kisasa za utafiti wa madini ili kuongeza uzalishaji, kubaini maeneo mapya yenye rasilimali na kuhakikisha Tanzania inanufaika zaidi na utajiri wake wa madiniWaziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavu…

Na Mwandishi Wetu.Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imekutana na kufanya mazungumzo na watangazaji na waandaaji wa kipindi cha Good Morning kinachorushwa na Wasafi FM, ambapo imewakumbusha umuhimu wa kuzingatia sheria, kanuni na maadili ya uandishi wa habari katika utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku.…

DAR ES SALAAM: THE newly completed Kilongawima–Mbezi Beach Road is set to ease traffic congestion along the busy Bagamoyo Road corridor and improve connectivity for thousands of residents in Kinondoni District and surrounding areas. The 1.7-kilometre road, constructed by the Rural and Urban Roads Agency (TARURA) at a …

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Idara ya Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUKI), Ndugu Rabia Abdalla Hamid (MCC), amewasisitiza wananchi wa Mkoa wa Pwani kuendelea kulinda amani, utulivu na mshikamano wa Taifa, akieleza kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitaendelea kusimamia jitihada za kuboresha na kusta…

JESHI la Walinzi wa Mapinduzi (IRGC), limeonya kwamba hakuna meli itakayovuka Mlango Bahari wa Hormuz, huku likitoa taarifa ya meli ya mafuta iliyoshika moto na kusimama baada ya kushambuliwa na makombora miwili ya baharini. Katika taarifa iliyochapishwa na vyombo vya habari vya …

Meneja wa Chama Kikuu cha Ushirika Wilayani Tunduru(Tamcu Ltd)Marcelino Mrope akizungumza na wakulima wa Mbaazi wa Kijiji cha Namiungo. ……………. Na Mwandishi wetu. Tunduru…

Na Mwandishi WetuCHUO cha Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi na Huduma VETA Chang’ombe, Dar es Salaam, kimesema mafunzo ya ubunifu wa mavazi na mitindo yanaendelea kuwa chachu ya kuwawezesha vijana kujiajiri, kuajiri wengine na kuchangia katika kupunguza tatizo la ukosefu wa ajira nchini.Hayo yamesemwa na Mkuu wa Chuo c…

Ni Ufaransa vs Uingereza FIFA Kombe la Dunia 2026 mchezo wa kutafuta mshindi wa 3 kwa timu hizi bora. Ufaransa mabingwa mara mbili wa Kombe la Dunia watakuwa uwanjani tena mbele ya timu pinzani ya muda mrefu kutoka Ulaya. Mechi hii kali itachezwa usiku wa kuamkia Jumapili saa 6:00, Uwanja wa Miami. Fainali imethibitis…

Dar es Salaam, Julai 12, 2026Mbunge wa Jimbo la Ilemela na Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii, Mhe. William Kafiti, amesema Hifadhi Skimu ya Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) imeendelea kuwa mkombozi kwa wananchi waliojiajiri kwa kuwapa fursa ya kujiwekea akiba kwa ajili ya mai…

Kuna ushindi ambao huanza kwa uamuzi mmoja tu wa kucheza mchezo fulani. Meridianbet imeamua kuufanya uamuzi huo uwe na thamani zaidi kupitia mashindano ya Spin for Glory, yanayowapa mashabiki wa Endorphina na Games Global nafasi ya kushindania kitita cha TSh 3,000,000. Katika mashindano haya, kila raundi inayokidhi ma…

Na.Alex Sonna,Mzalendo blog-DODOMA SERIKALI imeendelea kuimarisha miundombinu ya umeme kwa ajili ya kuchochea uwekezaji na kuongeza uzalishaji nchini, baada ya kusainiwa kwa mkataba wa utekelezaji wa Mradi wa Mpomvu–Geita Gold Mining (GGM) wa kusafirisha umeme wa msongo wa kilovolti 220 na ujenzi wa kituo cha kupokea …

Soma hapa...

WAKULIMA NA WAFUGAJI WAHIMIZWA KUTAMBUA SOKO NA KUONGEZA TIJA YA MAZAO

DAR ES SALAAM: FEW bilateral relationships in Africa are as deeply rooted in history as that between Tanzania and Mozambique, where a shared struggle for liberation has evolved into a lasting partnership that continues to shape the future of both nations. While history often explains how nations forge enduring friends…

KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), Bi. Khadija Ngasongwa, amewataka wadau wa sekta ya umma na binafsi kuongeza ushirikiano katika mapambano dhidi…

ZANZIBAR: THE ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) said maintaining peace through dialogue and reconciliation is a key pillar in strengthening national unity among Tanzanians and accelerating the country’s development. Speaking to Daily News Digital, CCM Zanzibar Special Committee of the National Executive Council (NEC) S…

SportPesa inakuletea uchambuzi wa kina wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika 2026/27, tukijikita zaidi kwenye safari ya klabu yetu ya Simba SC na matarajio yao katika mashindano haya makubwa barani Afrika.

Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) imewahimiza wafugaji nchini kupeleka sampuli za mifugo katika vituo vyake vya kanda kwa ajili ya uchunguzi wa magonjwa kabla ya kutumia dawa, ili kubaini chanzo halisi cha ugonjwa na kuhakikisha mifugo inapatiwa tiba sahihi. Rai hiy…

THE last clash of the Super Six stage in the 18th Petrofuel TCA Caravans Anniversary Tournament 2026 (CAT) produced high drama as Aurobindo AKSC defeated Mapito Upanga SC by 43 runs to secure their place in the grand final. With Alliance Caravans already unbeaten and through, the…

Waswahili husema Chanda chema huvikwa pete msemo ambao umedhihirika siku ya mnyama “Simba Day “ baada ya klabu hiyo kumtunuku tuzo Kamishna wa Uhifadhi…

KUTOKA VUNJOMBUNGE wa Jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro, Enock amewahimiza vijana kuendelea kumcha Mungu, kuzingatia maadili mema na kujiepusha na vitendo vinavyoweza kuhatarisha maisha na mustakabali wao.Koola alitoa kauli hiyo leo wakati wa ufunguzi wa bonanza la michezo la vijana wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri …

DAR ES SALAAM: THERE is a familiar temptation whenever a major sporting tournament comes to town: to measure success by packed stadiums, colourful opening ceremonies, television audiences and the final score. For Tanzania, however, the real measure of success at the 2027 Africa Cup of Nations (AFCON) should go much fu…

Kampuni ya huduma za fedha kidijitali Mixx imewataka Watanzania kuendelea kutumia huduma zake huku ikitangaza kuwa droo ya mwisho ya kampeni ya "Ikiingia Tu Goli" itafanyika wiki ijayo, ambapo mshindi mmoja atajishindia Shilingi milioni 50.Akizungumza wakati wa kukabidhi zawadi kwa washindi wa droo ya tisa ya kampeni …

Na Benny Mwaipaja, LondonWaziri wa Fedha, Mheshimiwa Balozi Khamis Mussa Omar (MB), amefanya mkutano wa kimkakati jijini London nchini Uingereza na maafisa wakuu wa Citibank chini ya uongozi wa Bwana Akin Dawodu, Afisa Mkuu Mtendaji anayesimamia eneo la Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara, katika ziara yake rasmi ya ku…

Happy Lazaro, Arusha. Arusha .Serikali imeweka bayana kuwa mafanikio ya utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 yatategemea kwa kiwango kikubwa mchango wa…
[Daily News] Dodoma -- BENJAMIN Mkapa Hospital's (BMH) Royal, International Patients and Master Health Checkup Clinic has treated more than 28,000 patients, including over 200 international clients, within its first year of operation.

NEW DELHI, INDIA, 19 JULAI 2026 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameishukuru Serikali ya India…

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni akiwasilisha maelezo kuhusu azimio la kuridhia Mkataba wa…

DAR ES SALAAM: TANZANIA may attract fewer international tourists than Kenya, but it is generating substantially more tourism revenue, underlining the success of its strategy to attract higher-spending visitors and position itself as one of Africa’s highest-yield destinations. Official tourism data show Kenya welcomed …

ZANZIBAR: ZANZIBAR’S Ministry of Health has held talks with the United States Embassy in Tanzania on the implementation of a health-sector cooperation agreement between Tanzania and the US, valued at approximately 3.1 billion US dollar (about 8.2tri/-). The meeting brought together the ministry’s Permanent Secretary, …

Tanzania recorded 2,294,495 international tourist arrivals in 2025, up 7.1% from 2,141,895, generating tourism earnings of USD 4,410.6 million, up 13% from USD 3,903.1 million, as average expenditure climbed 19.1% to USD 289 per person per night. Zanzibar took 654,880 of those arrivals, up 9%, and USD 1,190.8 million …

SIMBA SC head coach Steve Barker has urged his players to remain alert when they face Pamba Jiji in a Tanzania Mainland Premier League encounter at CCM Kirumba Stadium in Mwanza today. Barker expects another difficult contest against the Mwanza-based side, recalling the tough bat…

Chinese President Xi Jinping has urged pooling the strength of overseas Chinese and those who have returned to China to contribute to building China into a strong country and advancing national rejuvenation. Xi, also general secretary of the Communist Party of China (CPC) Central…

DAR ES SALAAM: THE Tanzanian government has said it is promoting the use of artificial intelligence (AI) not to replace human workers, but to improve efficiency and productivity in the workplace. Deputy Permanent Secretary in the Ministry of Education, Science and Technology responsible for Education, Dr Hussein Moham…

Chinese President Xi Jinping said on Monday that China stands ready to further strengthen bilateral and multilateral strategic coordination with Brazil. Xi made the remarks during a phone call with Brazilian President Luiz Inacio Lula da Silva.Xi said in recent years, the buildin…

Kocha wa Spain, Luis de la Fuente, ametoa kauli kali dhidi ya wachezaji wa Argentina kufuatia vurugu zilizotokea baada ya fainali ya Kombe la Dunia 2026. Hispania walitwaa ubingwa kwa …

PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO AGOSTI 21, 2026

A gradual recovery in global oil supplies is offering Tanzania hope of easing fuel import costs after months of energy market turmoil, but renewed fighting in the Gulf means the country is not yet out of danger. The International Energy Agency (IEA) says global crude production r…

Na Mwandishi Wetu, Dar Waziri wa Ujenzi, Mhe. Abdallah Ulega (Mb.) amefurahishwa na Huduma zinazotolewa na Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA)…

KATIKA mazingira ambayo teknolojia na ubunifu vinazidi kuwa sehemu muhimu ya maisha ya kila siku, Francis Madanganya, mkufunzi wa Chuo cha Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) Chang’ombe jijini Dar es Salaam, ameonyesha kuwa ujuzi unaweza kubadili changamoto kuwa fursa. Madang…

DARAJA LA UHURU KUONDOA CHANGAMOTO YA KUFURIKA MAJI JIJINI MWANZA

Aahidi kudumisha ushirikiano na Mahakama mkoani humoNa AIDAN ROBERT, Mahakama-Kigoma Mwanasheria wa Serikali Mfawidhi wa Mkoa wa Kigoma, Bw. Said Seni amefanya ziara ya heshima ya kumtembelea Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo Kigoma, Mhe. Augustine Karichuba Rwizile lengo likiwa ni kujitambulisha…

Balozi wa Tanzania nchini China, Dkt. Suleiman Haji, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Julai 14, 2026.Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA), Gilead Teri akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Julai 14, 2026.Na Mwandishi…

Adumu katika Utumishi wa Umma kwa miaka 42 Na ABDALLAH SALUM, Mahakama-Njombe Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Njombe imefanya hafla fupi ya kumuaga aliyekuwa Mtumishi wa Mahakama hiyo, wake, Bi. Grace Mtemela, aliyestaafu utumishi wa umma.Hafla ya kumuaga Mtumishi huyo aliyekuwa akihudumu katika Kada ya Msa…

RAIS wa Marekani Donald Trump, amesitisha kwa muda, utoaji wa viza, kwa wanaotaka kusafiri nchini humo kutoka maeneo tofauti duniani. Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Kigeni wa Marekani, amesema kuwa wizara hiyo imeanzisha mpango wa kutoa mafunzo katika balozi zake kote duniani na w…

MOZAMBIQUE: FOR much of Tanzania’s modern history, our position on the western shores of the Indian Ocean has been understood mainly in terms of trade, ports, tourism and regional connectivity. That perspective remains valid, but it is no longer sufficient. The changing global geopolitical and economic environment is …

Na Mwandishi wa OTR Pwani. Serikali imezitaka Taasisi za Umma kuhakikisha zinakuwa chachu ya ukuaji wa uchumi kwa kutengeneza mazingira rafiki ya biashara na…

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema Marekani itaendelea na mashambulizi dhidi ya Iran na kutangaza kuwa moja ya maeneo yanayolengwa…
.jpeg)
Na Mwandishi WetuKATIKA kuunga mkono juhudi za Serikali za kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, Oryx Gas Tanzania imetoa mafunzo ya matumizi salama na sahihi ya gesi ya kupikia kwa makundi ya wajasiriamali mbalimbali yakiwemo mama na baba lishe.Mafunzo hayo yametolewa leo Julai 23,2026 katika Tamasha la Sa…

China’s Zijin Mining launches four ships on Lake Tanganyika to route DR Congo minerals through Tanzania, intensifying the contest with the US-EU-backed Lobito Corridor.

Tanzania and global financial institution Citibank are set to deepen strategic cooperation in capital markets, infrastructure financing and private sector investment mobilisation as the country seeks to accelerate its development ambitions under Tanzania Development Vision 2050. …

BENKI ya Maendeleo ya TIB imeahidi kuongeza juhudi katika kusaidia upatikanaji wa nishati safi ya kupikia katika maeneo ya vijijini na maeneo mengine ambayo bado hayajafikiwa kwa urahisi na huduma hiyo. Ahadi hiyo ilitolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa TIB, Deogratius Kwiyukwa, wakati wa mjadala wa jopo kuhusu nishati sa…

Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) (kushoto), akiwa katika picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Mbeya,…

MOROGORO: WHO will be the first off ramp is a jigsaw puzzle to be solved by thirteen drivers already registered for Mkwawa Leaf Rally of Morogoro this weekend. “Everything is in place and we have already registered 13 cars for the two-day dusty road challenge,” announced Dr Mosi Makau, the event’s chief coordinator fr…

DAR ES SALAAM: THE Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI) has received international recognition after winning a prestigious Global Leadership and Excellence Award, strengthening Tanzania’s position as an emerging destination for specialised healthcare and boosting efforts to promote medical tourism. The award, which…

By Our ReporterThe Tanzania Chess Association (TACA) has congratulated Pasar Nasser and Neema Kisanga for their competitive performances at the inaugural Community of Portuguese Language Countries (CPLP) and Southern African Development Community (SADC) Friends Rapid and Blitz Chess Tournament in Maputo, Mozambique.TA…

For Canadians surveyed in a poll three years ago, the favorability rate gap between the United States and China was exceptionally wide. By this spring, China's favorability rating in Canada had surpassed that of the United States, reaching 44 percent compared to 33 percent. The s…

Dar es Salaam Regional Commissioner Albert Chalamila has given bar and nightclub owners in Kinondoni District one week to comply with government regulations on noise control, safety, licensing and environmental standards or face closure.

Criminalised for their street trades, young entrepreneurs from Tanzania’s tourism hub are forging their own economy from scratch.

DAR ES SALAAM: LAST week, I left readers in a conference room at Kunduchi Hotel where a simple question, “Why are we rushing?” captured the uncertainty surrounding Tanzania’s decision to migrate from analogue to digital television broadcasting. That conversation reminded us that every major national reform begins long…

At Mexico's ancient Maya archaeological site of Chichen Itza, the stone pyramids and temples still tell stories of a remarkable civilization that flourished centuries ago. The historic site, which dates back to the 5th century AD, witnessed a dialogue between civilizations when C…

Na Mwandishi WetuMWENYEKI wa Bodi ya Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST), Yokbeth Festo Myumbilwa, amesema tafiti za jiosayansi zinazofanywa na taasisi hiyo zina mchango mkubwa katika kuibua maeneo yenye rasilimali za madini, kuvutia uwekezaji na kuchochea ukuaji wa uchumi wa Taifa unaolengwa katik…

NEW YORK: TANZANIA has earned international recognition for its progress in implementing the Sustainable Development Goals (SDGs) after presenting its Third Voluntary National Review (VNR) at the United Nations High-Level Political Forum (HLPF) on Sustainable Development in New York. Minister of State in the President…
By John MapepeleWASHINGTON, Sept. 4 — Tanzania and the United States are seeking to deepen strategic cooperation in the health sector, with Dar es Salaam positioning itself as a regional hub for pharmaceutical production and distribution across Africa. The initiative was discussed at a Tanzania-US health partnership s…

WASHINGTON: THE Tanzanian government has assured investors from the United States and other parts of the world that it is continuing to improve the investment climate in the health sector through infrastructure development, policy reforms and stronger regulatory systems aimed at attracting capital, technology and expe…

DODOMA: TANZANIA has paid its full contribution to the East African Community (EAC) for the 2026/27 financial year as the bloc rolls out a new funding framework to boost financial sustainability. The EAC has started implementing the new model, which requires all member states to contribute 50 per cent of their assesse…

Mkurugenzi wa Biashara na Masoko wa Vodacom Tanzania Plc Brigita Shirima (katikati), Mkurugenzi wa Vodacom Business wa kampuni hiyo Nguvu Kamando (kulia), pamoja na…

NA: DK. REUBENI LUMBAGALA Maji safi na salama ni hitaji muhimu la wananchi waishio mijini na vijijini. Serikali inalo jukumu la kuhakikisha wananchi wake…

Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limesema lengo kuu la kukutana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt….

Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) uko kwenye mchakato wa kufanya marekebisho ya Sheria ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, Sura ya 395, kwa lengo la kupanua wigo wa wanachama, kuendana na mahitaji ya sasa ya huduma za afya na kuimarisha uendelevu wa Mfuko.Marekebisho hayo pia yanalenga kuimarisha udhibiti wa matumi…
[Daily News] Mwanza -- ACCESS to clean and safe water in rural areas has increased from 64 per cent to 85.2 per cent under the first phase of the Sustainable Rural Water Supply and Sanitation Programme (SRWSSP), benefiting more than 10.2 million Tanzanians, the government has said.

NEW YORK – Nyota wa muziki duniani Justin Bieber ataungana na Shakira, Madonna na kundi la BTS kutumbuiza kwenye onyesho…

Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Kigoma, imetupilia mbali shauri la kupinga matokeo ya uchaguzi lililokuwa likimkabili Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini, Clayton Chipando, maarufu 'Baba Levo', aliyeshinda kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM). Uamuzi huo uliotolewa na Jaji V…

NA DENIS MLOWE IRINGA TAASISI ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) Kituo cha Kifulilo kimesema ushiriki wake katika Maonesho ya Nanenane yanayofanyika mkoani Iringa kwa mara ya kwanza unalenga kuwafikishia wakulima teknolojia mbalimbali za kisasa zitakazowawezesha kuongeza uzalishaji, thamani ya mazao na kipato.Hayo y…

MWENGE WA UHURU WATEMBELEA MRADI WA MAJI TARIME/ RORYA

DODOMA: THE Minister for Minerals Anthony Mavunde has directed officials from the Geological Survey Tanzania (GST) to leave their offices and work directly with small-scale miners to support their mining activities and provide them with accurate geological information. The directive is part of the government’s strateg…

MWENGE KUTEMBELEA MIRADI YA BILIONI 174 MARA

DAR ES SALAAM: TANZANIA’S growing investment in roads, railways, ports, airports and public transport is creating the physical foundation for a more connected economy. However, as the country looks towards the ambitions of Dira 2050, the bigger challenge may no longer be how much infrastructure it can build, but how e…

CTDCC KUTOKA JAMHURI YA CZECH KUWEKEZA KWENYE SEKTA YA USAFIRI WA ANGA DODOMA
WAKULIMA WATAKIWA KUTUMIA PEMBEJEO NA TEKNOLOJIA ZA KISASA

Dar es Salaam, Tanzania, 2026.VIONGOZI wa Serikali, sekta sekta binafsi na wadau wa teknolojia wametoa wito wa kuongeza uwekezaji kwa vijana katika ubunifu na ujuzi wa kidijitali ili kuiwezesha Afrika kutoka katika utegemezi wa teknolojia na kuwa mzalishaji wa suluhu za kidijitali zinazoendana na changamoto za maendel…

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeeleza kuridhishwa na utendaji wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) na kuwataka kufanya maboresho katika matumizi ya mifumo ya ukusanyaji wa mapato ili kuzuia mianya ya upotevu wa mapato. Akizungumza baada ya Kamat…

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesisitiza umuhimu wa kuendeleza ushirikiano na mawasiliano baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, ili kuimarisha na kuendeleza maslahi ya wananchi. Rais Dkt. Mwinyi ameyasema hayo …

By Our ReporterHealth Minister Mohamed Mchengerwa has urged Tanzanians to step up efforts to prevent non-communicable diseases (NCDs), warning that delayed diagnosis and treatment can turn manageable conditions into life-threatening emergencies.Mr Mchengerwa said regular health checks, early treatment and healthier li…

Mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka sita, mwanafunzi wa shule ya msingi, anadaiwa kulawitiwa na kijana mwenye umri wa miaka 21 baada ya kushawishiwa kwa fedha za kununua maandazi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, SACP Benjamin Kuzaga, amesema tukio hilo lilitokea Agosti 28, 2026 …

Racing Club de Lens, better known as RC Lens, is a French professional football club. The club is located in the northern city of Lens. Lens competes in the top tier of French football, Ligue 1. RC Lens play their home matches at Stade Bollaert-Delelis, a stadium with room for 38,223 fans. The club is […]

DAR ES SALAAM: EXPANDING smartphone base is opening a larger market for digital businesses as rising device ownership and internet use accelerate demand for online services, fintech and digital commerce. The number of smartphones in use rose 5.16 per cent to 31.34 million in the quarter ended June, from 29.8 million i…

The announcement comes a day after a fundraising event aimed at improving treatment services for heart diseases and organ transplant procedures raised more than Sh2.2 billion.

Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa Benki ya NMB, Filbert Mponzi (kulia), Mkuu wa Idara ya Biashara NMB, Deogratias Shirima (kushoto) wakifurahia…

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) inakabiliwa na ongezeko kubwa la maambukizi ya ugonjwa wa Ebola, huku idadi ya wagonjwa…

Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) limemfungia kiungo wa Argentina, Leandro Paredes, mechi 10 kufuatia “matukio” yaliyotokea mwishoni mwa fainali ya Kombe la Dunia ambayo Argentina ilipoteza dhidi ya Hispania. …

Mbunge wa Arusha ambaye pia ni Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Mhe. Paul Makonda akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha leo…

TARIME: THE Minister for Minerals Anthony Mavunde has officially launched the Mining for a Brighter Tomorrow (MBT) Programme, popularly known as “Kesho Iliyo Njema”, describing it as a strategic government initiative aimed at opening up opportunities and empowering youth, women and people with special needs to partici…

DAR ES SALAAM: THE Director General of the Tanzania Tea Board, Beatrice J. Banzi, has called on stakeholders in the agricultural sector to build strong and sustainable agribusiness systems to increase productivity, add value to agricultural products, and enhance Tanzania’s and Africa’s competitiveness in domestic and …

SERIKALI ya Tanzania na Misri zimekubaliana kuimarisha ushirikiano katika sekta ya kilimo, hususan kilimo cha umwagiliaji, kwa lengo la kuongeza uzalishaji wa chakula na kuimarisha usalama wa chakula nchini.

UONGOZI wa Yanga umeendelea kuwapa hamasa kubwa mashabiki wake kuelekea msimu mpya wa mashindano wa 2026/27, huku ukiweka wazi mpango wa kuendelea kukisuka kikosi hicho kwa kufanya usajili wa wachezaji wenye ubora wa hali ya juu. Akizungumza kuelekea msimu mpya, Ofisa Habari wa Yanga, Ali Kamwe, amesema kuwa usajili w…

Chinese President Xi Jinping on Friday urged China and Cambodia to carry forward the ironclad friendship forged by the older generations of leaders of the two countries. Xi made the remarks in his meeting with Cambodian Prime Minister Hun Manet, who is here to attend the 2026 Wor…
RC ARUSHA ASISITIZA USHIRIKIANO NA MTAZAMO WA PAMOJA KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI YA MAENDELEO

Miili ya Hamza Juma Omary na mdogo wake Ally Juma Omary, wanaodaiwa kuuawa na mtoto wa Hamza, Hosam Hamza, imezikwa…

Rasmi Yanga SC imetambulisha jezi ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF) 2026/2027. Ni usiku wa Septemba 2, 2026 jambo hilo lilifanyika. Uzinduzi huo umeongozwa na mwandishi wa habari za michezo kutoka Italia, Fabrizio Romano.Moja ya sababu kubwa inayompa umaarufu Romano ni uandishi wa tetesi ambazo asilimia kubwa hukamilik…

Siku za utambulisho wa nyota wapya katika matukio ya Simba Day na Wiki ya Wananchi zilibeba msisimko mkubwa msimu huu. Hata hivyo, kilichobadili kabisa upepo wa soka nchini ni usajili wa mshambuliaji Selemani Mwalimu, aliyetajwa kujiunga na Simba lakini mwishowe akatua Yanga kwa mkopo. Uhamisho huu kutoka klabu ya Wyd…

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akiwa katika picha ya pamoja na viongozi kutoka Taasisi ya Tiba ya…

DAR ES SALAAM: Ubunifu wa Saratani AI na Dawa Mkononi ni miongoni mwa miradi iliyoanzia katika tukio la Winning Line Academic Event la Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), ambayo sasa imeendelea kutoa suluhisho kwa wananchi ndani na nje ya Tanzania. Ubunifu huo umetajwa kuwa sehemu ya mafanikio…

Fainali ya leo kati ya Argentina na Spain itakuwa mtihani mkubwa wa mifumo miwili tofauti ya kimbinu inayofanya vizuri zaidi…

Kylian Mbappe ameandika historia mpya katika Kombe la Dunia baada ya kumpita Lionel Messi na kuwa mfungaji bora wa muda…

OSLO, Norway SHIRIKISHO la Soka la Norway (NFF) limetangaza nia yake ya kumshitaki Rais Donald Trump kwa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA). Norway wanapeleka barua yao kwa FIFA wakilalamikia Rais Trump kuingilia adhabu ya kadi nyekundu ya mshambuliaji wa timu ya soka ya Taifa ya Marekani, Folarin Balogun, wakati …

Ni suala la muda tu kabla ya Belgrade Arena kufurika shamrashamra za UFC Fight Night Belgrade, moja ya matukio yanayotarajiwa zaidi mwaka huu katika ulimwengu wa michezo ya mapigano. Siku imewadia, na kila saa inayopita inaongeza hamu ya mashabiki kushuhudia mapambano yatakayovuta hisia za dunia nzima. Kwa wapenda uba…

KAGERA: Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2026 zimezindua Barabara ya Kajai–Bwanjai yenye urefu wa kilomita moja iliyojengwa kwa kiwango cha lami, inayowaunganisha wananchi wa Wilaya za Bukoba na Missenyi katika kupata huduma katika Hospitali Teule ya Mugana wilayani Missenyi. Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru K…

Mpaka sasa, vipande viwili vya Dar es Salaam–Morogoro na Morogoro–Makutupora tayari vinatoa huduma, huku vingine vikiendelea na ujenzi

KOCHA wa timu ya taifa ya Marekani, Mauricio Pochettino, amesema atafanya uamuzi kuhusu mustakabali wake wiki ijayo huku akifanya mazungumzo na Shirikisho la Soka la Marekani kwa uwezekano wa kuongeza mkataba wake hadi Kombe la Dunia 2030. Akizungumza na redio ya Cadena Cope nchi…

Pazia la Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2026/27, linatarajiwa kufunguliwa rasmi Agosti 14 mwaka huu na timu mbalimbali zinaendelea kujiimarisha kwa kufanya usajili mkubwa. Mabingwa watetezi Yanga SC nao wameendelea kutangaza nyota wao wapya ambapo mpaka sasa tayari wamekamilisha usajili na kutambulisha wachezaji 10. Miong…

Mwekezaji wa Simba na Rais wa Heshima wa klabu hiyo, Mohammed Dewji, amewataka Wanasimba kuacha migawanyiko na malumbano, akisisitiza kuwa…

Klabu ya Simba SC imeendelea kufanya maboresho ya kikosi chake kuelekea msimu wa 2026/27 baada ya kuachana na winga wa kimataifa wa Kenya, Mohammed Bajabeer, ambaye hatakuwa sehemu ya mipango …

USHIRIKIANO NA UADILIFU NI SILAHA YA KULINDA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO: RC SENYAMULE

RIO, Brazil KWA mujibu wa Shirika la Umoja wa Mataifa kupitia Programu yake ya Ukimwi (UNAIDS), watu zaidi ya milioni tatu watakuwa na maambukizi ya ugonjwa huo kufikia mwaka 2030. Katika ripoti yake ya hivi karibuni, watu milioni 1.2 walipata maambukizi mwaka 2025, huku wengine 570, 000 wakipoteza maisha. UNAIDS imee…

Fainali ya leo kati ya Argentina na Spain si mchezo wa kawaida wa soka ni mkutano wa vizazi viwili tofauti vya mpira wa miguu. Upande mmoja kuna Lionel Messi, mwenye umri wa miaka 38, akicheza huenda michuano ya Dunia yake ya mwisho, akitafuta kuweka muhuri wa mwisho kwenye urithi wake kwa kuwa nahodha wa kwanza […]

Mabingwa wapya wa Kombe la Dunia 2026, Hispania, wamerudi kileleni mwa viwango vya ubora vya FIFA kwa upande wa timu…

Na Cletus Sanga, WAF – Arusha Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Ofisi ya waziri Mkuu – TAMISEMI na CIHEB Tanzania chini ya Mradi…

Ratiba ya Yanga SC mechi 5 zijazo NBC Premier League 2026/27. Mabingwa hawa watetezi watakuwa na mechi 3 mfululizo nyumbani kabla ya kukwea pipa kuelekea Arusha ugenini. Wananchi chini ya Kocha Mkuu, Manqoba Mngqithi wanaendelea na mazoezi kambini Avic kwa mchezo ujao dhidi ya Coastal Union. Usajili mpya Yanga SC: Usa…

Kiungo mshambuliaji na nyota wa kimataifa wa Yanga SC, Stephane Aziz Ki, ameanza rasmi mazoezi na kikosi hicho katika Uwanja wa Avic Town, Kigamboni, tayari kwa maandalizi ya msimu mpya wa mashindano wa 2026/27. Aziz Ki, ambaye alitambulishwa rasmi Jumamosi ya Agosti 15, 2026, alionekana leo akifanya mazoezi ya pamoja…

DODOMA: TANZANIA and Egypt have expressed their commitment to strengthening their longstanding friendship and expanding mutually beneficial cooperation, with President Dr Samia Suluhu Hassan stressing the need to further broaden bilateral ties for the benefit of the two countries’ peoples. President Samia made the rem…

Mchezo wa kasino mtandaoni unaohitaji umakini, msisimko na hamu ya kuona kitakachofuata umeendelea kuwaka Meridianbet. Unaitwa Meridian Bonanza, mchezo uliotengenezwa kwa ubunifu wa hali ya juu na unaolenga kuwapa wapenzi wa kasino mtandaoni uzoefu wenye mvuto kuanzia raundi ya kwanza hadi ya mwisho. Kinachoifanya Mer…

Hatimaye ratiba ya Ligi Kuu ya NBC kwa msimu wa 2026/27, ambapo tayari kikosi cha Simba SC kimechapisha taarifa kuhusu mechi zao 10 za kwanza. Ratiba hiyo inaonyesha kuwa Simba SC wanatarajia kuwa na mechi 10 za moto, ikiwemo mchezo wa Kariakoo Dabi vs Yanga SC unaotarajiwa kupigwa Oktoba 10, 2026. Simba wataanza na m…

Na Mwandishi Wetu, Busan, Korea KusiniKIONGOZI wa jadi wa Kimasai, Isack Lekisongo Meijo, ametoa wito wa kuwepo kwa uwiano endelevu kati ya binadamu, mifugo na wanyamapori katika Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro ili kulinda urithi huo wa dunia na kuhakikisha maendeleo endelevu ya jamii za wafugaji.Meijo alitoa kauli hiyo…

Zanzibar imezindua rasmi huduma ya usafiri wa umma kwa kutumia mabasi ya umeme, ikiwa ni hatua inayolenga kuimarisha mfumo wa usafiri wa kisasa, kupunguza uchafuzi wa mazingira na kuongeza ufanisi wa huduma za usafiri kwa wananchi.

Ligi mbalimbali zimerejea na huu ni msimu wa kutengeneza pesa tuu. Anza safari ya ushindi hapa kwani wengi wametajirika sana….

A reading seminar on the fifth volume of "Xi Jinping: The Governance of China" was held Wednesday here in the capital of Tajikistan. Participants from various sectors of China and Tajikistan shared their reflections on the book and exchanged views on Chinese modernization and Chi…

“WALINIAMBIA sitafika mbali. Wengine walisema bora nipewe mtaji niuze machungwa kuliko kuendelea kuota ndoto za kurudi shule.”

Kipa wa Arsenal na timu ya taifa ya Hispania, David Raya (30), anaendelea kufurahia maisha ya ndoa na mwanamitindo Tatiana Trouboul (27). Ndoa yao, iliyofungwa mwaka uliopita, imebeba kumbukumbu za kipekee zaidi kwao, hususan kutokana na ziara yao ya fungate nchini Tanzania. Tatiana, aliyetoka kuwa mpenzi aliyekuwa ak…

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester United imejiweka kwenye nafasi nzuri ya kuinasa saini ya beki wa Chelsea, Tosin Adarabioyo. Katika dirisha kubwa hili la usajili wa kiangazi, Man United imeelekeza nguvu kubwa katika eneo la kiungo kwa kuwanasas Youri Tielemans, Andrey Santos na Carlos Baleba. Hata hivyo, ziki…

Arsenal wamepiga hatua kubwa kwa kufikia makubaliano ya awali kumsajili kiungo wa Brazil, Bruno Guimaraes, kutoka Newcastle United. Kwa mujibu wa Daily Mail, dili hili linakadiriwa kufikia pauni milioni 77 …

Bianca Andreescu alipokelewa kwa shangwe kwenye Canadian Open, lakini safari yake jijini Toronto haikudumu kwa muda mrefu. Akipewa wildcard ya kushiriki mashindano ya nyumbani, bingwa wa US Open 2019 alifungwa …

ARSENAL inaonekana kuwa katika nafasi nzuri ya kumsajili kiungo wa Brazil, Bruno Guimarães, kutoka Newcastle United kufuatia taarifa za kuondoka kwa kocha Eddie Howe, kwa mujibu wa ESPN. Guimarães ameibuka kuwa mmoja wa malengo makuu ya kocha Mikel Arteta katika dirisha hili la u…

DAR ES SALAAM: TRADING activity on the Dar es Salaam Stock Exchange (DSE) moderated during the week ended August 21st, 2026, with total turnover declining by 22.5 per cent to 23.30bn/-, from 30.05bn/- in the preceding week. The decline in turnover was accompanied by a 13.9 per cent reduction in share volume, from 8.43…

Manchester United imeacha uwezekano wa mshambuliaji Joshua Zirkzee kuondoka klabuni hapo katika saa za mwisho za dirisha la usajili, huku klabu hiyo ikijaribu kutafuta suluhisho la uhamisho wa kudumu kwa …

JESHI la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, linamshikilia mwanafunzi mmoja wa Kidato cha Tatu, mwenye umri wa miaka 17, kwa tuhuma za kumjeruhi kwa kitu chenye ncha kali mwanafunzi mwenzake kifuani na kusababisha kifo chake. Mwanafunzi huyo (jina linahifadhiwa), mwanafunzi wa Shule ya S…

Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya Mbinga Mkoani Ruvuma Joseph Kashushura,akizungumza kwenye kikao cha Boro ya nne cha Baraza la Madiwani. ……………. Na Mwandishi Wetu,…

DUSAN: TANZANIA has joined global conservation stakeholders in advancing discussions on protecting World Heritage sites as the 48th Session of the UNESCO World Heritage Committee concluded in Busan, Republic of Korea. The meeting, which ended on July 29, 2026, brought together representatives from countries that are p…

LONDON, Uingereza SHIRIKISHO la Soka la Italia (FIGC) limeanza mazungumzo na kocha aliyeondoka Manchester City, Pep Guardiola, likijaribu kumshawishi kuchukua nafasi ya Gennaro Gattuso aliyeondoka kwenye benchi la ufundi la timu ya taifa. Gattuso aliachia ngazi Aprili, 2026, baada ya Italia kufungwa na Bosnia katika m…

Tanzania is seeking to attract fresh investment from the Dangote Group in the fertiliser and energy sectors as the country moves to boost agricultural production, reduce dependence on imported inputs and strengthen its position as a regional industrial hub. The push follows a hig…

Nahodha wa Argentina, Lionel Messi, amerejea mazoezini na klabu yake ya Inter Miami siku ya Jumatano, ikiwa ni siku 10 tangu Argentina ipoteze fainali za michuano ya Dunia kwa kufungwa …

Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akizungumza wakati wa Kikao chake na wajumbe wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Mbeya (hawapo pichani), wakati alipotembelea Ofisi za Mkoa za Chama cha Mapinduzi (CCM), jijini Mbeya, wakati wa ziara yake Mkoani humo. Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) (…

Sambamba na agizo hilo, Kanali Mtambi amemtaka Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma kutoa usafiri wa kuihamisha familia hiyo kutoka eneo la machimbo kwenda makazi mapya yaliyotengwa kwa ajili yao.
DAR ES SALAAM: TWIGA Stars may have bowed out of the Women’s Africa Cup of Nations (WAFCON) in Morocco, but Tanzania should not view the campaign as a failure. Their elimination from the group stage is undoubtedly disappointing. After making a strong start by defeating the 2022 champions, South Africa, expectations na…

Arsenal inakabiliwa na siku yenye shughuli nyingi katika siku ya mwisho ya dirisha la usajili, huku ikifanya maamuzi muhimu yatakayoamua sura ya safu yake ya ushambuliaji msimu huu. Kwa mujibu …

Mkuu wa Gereza la Ukonga, ACP Andrew Shaban, amesema hafahamu kama Tundu Lissu aliwahi kuwa Rais wa Chama cha Wanasheria…

Court allows CHADEMA chair to clarify testimony; SG says Jambo TV independently aired the speech.

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amewaapisha viongozi wapya aliowateua katika nafasi mbalimbali za Serikali na kuwataka kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia uadilifu, uwajibikaji, ushirikiano na utoaji wa matokeo yanayogusa maisha ya wananchi. Rais Samia ameeleza hayo leo Jumatatu Julai 27, 2026, Ikulu ya Tun…
ARUSHA DC YAHIMIZA WAKULIMA KUANZIA SOKONI, YAJIPANGA KUNG'ARA MAONESHO YA NANENANE 2026

Serikali wilayani Same, mkoani Kilimanjaro, imemuokoa mtoto mwenye umri wa miaka 10, jina limehifadhiwa, aliyekuwa ameachishwa shule na familia yake na kupelekwa kwa mwanaume…

Waziri wa Madini, Anthony Mavunde akizungumza leo Agosti 24, 2026 kwenye ziara ya kikazi mkoani Manyara Mkurugenzi wa kampuni ya Franone Mining &Gem Co…

ZANZIBAR: PRESIDENT of Zanzibar and Chairman of the Revolutionary Council, Dr Hussein Ali Mwinyi, has said the formation of a Joint Dialogue Committee comprising members from CCM and ACT Wazalendo is an important step towards advancing the reconciliation process and strengthening peace, unity and political stability i…

DAR ES SALAAM: THE decision to prioritise unfinished school projects before embarking on new classroom construction is not merely a matter of construction management. It is a sensible approach to public spending, planning and educational preparedness. Across the country, resources have already been invested in school …

JESHI la Polisi Mkoa wa Ruvuma, kupitia Kitengo cha Usalama Barabarani na Kitengo cha Polisi Jamii, limetembela Hospitali Mkoa wa Ruvuma na kukabidhi mahitaji mbalimbali kwa wazazi waliolazwa. Hatua hiyo ni sehemu ya kuendeleza kutoa matendo ya huruma na kuimarisha mshikamano kat…

Roberto Mancini amerejea kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa ya Italia, miaka minne baada ya kuondoka kwenye nafasi hiyo. Rais wa Shirikisho la Soka la Italia (FIGC), Giovanni Malagò, alitangaza rasmi uteuzi huo jana, akisema Mancini ndiye chaguo bora zaidi kwa wakati huu."Muda ulik…
[Daily News] Zanzibar -- Zanzibar is moving towards a cashless public transport system after digital financial services provider Mixx was selected to manage fare payments for the newly launched ZanBus electric bus project, combining digital payments with the island's push for cleaner and more efficient mobility.

ZANZIBAR: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has directed senior government officials to ensure effective, timely and well-coordinated communication to strengthen public confidence in the government and safeguard national interests. The Head of State issued the directive yesterday while opening a two-day seminar for Minist…

DAR ES SALAAM: Shamrashamra za kuelekea kuadhimisha siku 40 tangu kuzaliwa kwa mtoto wa mastaa wa muziki nchini, Zuhura Othman ‘Zuchu’ na Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’, zimeendelea baada ya kufanyika kwa hafla maalum iitwayo Henna Day. Hafla hiyo iliyofanyika nyumbani kwa mzazi wa Diamond, ilikuwa ya kuvutia na Zuch…

Mbunge wa Jimbo la Bagamoyo, Subira Mgalu, amesema matumizi ya nishati safi ua kupikia inapunguza athari za kiafya zinazotokana na matumizi ya nishati chafu kama kuni na mkaa. Mgalu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge na Nishati na Madini ameyasema hayo leo ka…

Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Aggrey Mwanri, amesema mazungumzo yaliyofanywa na wadau kuhusu hali ya kisiasa nchini yameonyesha mwanga…

UKEREWE: UKEREWE District Council has adopted sustainable and measurable strategies to improve maternal and child health services and prevent avoidable maternal and neonatal deaths. The strategies include improving the quality and efficiency of care during pregnancy, childbirth and the postpartum period, as well as st…
[Daily News] Dar es Salaam -- TANZANIA'S Ambassador to Oman, Ms Maulidah Hassan, has urged Omani traders and investors to learn Kiswahili, saying the language has become a strategic tool for trade, investment and economic diplomacy in East Africa.

By Victoria GodfreyTanzanians have been urged to position themselves early to benefit from the economic and business opportunities expected to accompany the 2027 Africa Cup of Nations (AFCON), with the National Sports Council (NSC) identifying 12 key sectors likely to gain from the tournament.The championship, which T…
Aston Villa wako kwenye mazungumzo ya kumsajili kiungo wa AC Milan, huku Fabrizio Romano akitoa mashaka kwamba kiungo mwingine anaweza kuhamia EPL. The Villans tayari wamemsajili Johan Manzambi kama mbadala …

Kwa mujibu wa mwandishi wa habari za usajili, Fabrizio Romano, Tottenham wako katika mazungumzo ya moja kwa moja na wawakilishi wa winga wa Liverpool, Cody Gakpo. Spurs kwa sasa wanaendelea …

President Samia Suluhu Hassan’s announcement of plans to establish a Reconciliation Commission has triggered wide debate among political and governance stakeholders, with many saying the move could mark the beginning of efforts to build consensus towards a new constitution and strengthen national unity. However, stake…

📍Nzuguni : DodomaWaziri wa Kilimo, Mh.Daniel Chongolo, ameipongeza Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) na kuitaka kuhakikisha pampu za Umwagiliaji zilizotengwa kwa ajili ya wakulima zinagaiwa kuanzia Agosti 30 kwa wanufaika katika mikoa husika ili ziweze kutumika kuongeza uzalishaji wa mazao.Chongolo ametoa maelekezo …

Barcelona wanajiandaa kwa mchezo wao wa pili wa La Liga msimu wa 2026/27. Baada ya kuanza msimu, macho yote yataelekezwa kwenye jinsi watakavyoendeleza kasi yao na kuthibitisha ubora wao kama mabingwa watetezi. Hapa tumekuletea uchambuzi wa kina wa mchezo huu muhimu.

LONDON, Uingereza KOCHA wa Manchester City, Enzo Maresca, amesema kwa sasa wana kikosi chenye uwezo wa kushindana na Arsenal katika mbio za kuwania taji la Ligi Kuu ya England msimu huu wa 2026-27. Maresca ameibuka na kauli hiyo ya kibabe baada ya ushindi wa bao 1-0 walioupata dhidi ya Coventry City jana Septemba 5, 2…

KIGOMA: ECONOMIC empowerment project has been launched in four villages surrounding the Makere South Forest Reserve (Kagera Nkanda) in Kasulu District, Kigoma Region, to provide alternative sources of income for local communities and reduce conflicts over forest resources. The initiative seeks to improve livelihoods w…

DAR ES SALAAM: A RECENT TBC programme celebrating 60 years of the Bank of Tanzania (BoT) covered a range of topics, including gold and its role as a government asset that generates foreign exchange. The interview with the central bank’s top senior management provided insights into the differences between Tanzania’s go…

Na Janeth Raphael - MichuziTv .WAKATI Tanzania ikiendelea kupanua sekta ya usafiri wa anga kupitia ongezeko la ndege mpya, Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kimesema kinaandaa mazungumzo na Serikali ili kuwezesha wanafunzi wanaosomea urubani pamoja na kozi nyingine za anga kupata mikopo ya elimu, hatua inayolenga …

Na HALIMA MNETE, Mahakama-Dodoma Kaimu Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Amir Mruma ametoa rai kwa kila taasisi inayohusika katika mnyororo wa haki kutekeleza majukumu yake kwa kuzingatia Katiba, sheria na maadili ya utumishi wa umma. Mhe. Mruma ametoa rai hiyo leo tarehe 17 Septemba, 2026 alipokuwa akim…

Kundi la Hezbollah linaloungwa mkono na Iran limemkosoa Rais wa Lebanon, Joseph Aoun, likisema ziara yake nchini Marekani haikufanikisha malengo…

Real Madrid wanaweza kuvunja utaratibu wao wa kutofanya usajili wa Januari baada ya miaka kadhaa, huku klabu hiyo ikitajwa kuwa kwenye mpango wa kumsajili kiungo Martin Zubimendi katika dirisha la …

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa…

NEW YORK, Marekani MAPEMA wiki hii, Katibu Mkuu wa Marekani, Marco Rubio, aliijia juu Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), akiita kuwa ni yenye kuendeshwa kwa misingi ya rushwa na siasa. Rubio alienda mbali zaidi na kutangaza hatua ya Marekani kumuwekea vikwazo Rais wa ICC raia wa Japan, Tomoko Akane, na mwanasheri…

DAR ES SALAAM: WHEN a young teacher steps off a bus into an unfamiliar district in rural Geita or Katavi, their primary challenge often isn’t the lesson plan. It is finding a decent place to live, securing reliable meals and earning the respect of a community that too often views teaching as a career of …

DODOMA: Minister for Finance Khamis Mussa Omar has directed the Tanzania Agricultural Development Bank (TADB) to strategically invest in key government priority areas in agriculture to enable the country to achieve its long-term plans for the sector, which employs a large number of Tanzanians. Ambassador Omar issued t…

Separate September 10 court proceedings granted conditional release to a University of Dodoma lecturer and bail to a Muhimbili specialist in unrelated cases.

WAZIRI Mkuu Mwigulu Nchemba amezitaka wizara na taasisi zinazonufaika na fedha za NBC Dodoma Marathon kuhakikisha zinatumika kwa uwazi na kwa kuzingatia thamani ya fedha, ili malengo yaliyokusudiwa yaweze kuleta matokeo yanayopimika. Aidha, amesisitiza kuwa kila shilingi inayowek…

LOS ANGELES, Marekani ALIYEWAHI kuwa bingwa wa dunia kwa ngumi za uzito wa juu, Andy Ruiz Jr, amepoteza pambano lake la kwanza tangu alipopona majeraha. Andy Ruiz amepigwa na bondia wa kimataifa wa Poland, Damian Knyba, katika pambano lililopigwa mjini New Jersey, Marekani. Katika pambano dhidi ya Knyba, majaji wote w…

LONDON, Uingereza MABINGWA wa Ligi Kuu ya England (EPL) msimu wa 2025-26, Arsenal, wameimarisha safu yao ya kiungo kwa kumsajili Bruno Guimaraes kutoka Newcastle United, usajili uliogharimu Pauni milioni 75. Mbrazil huyo amesaini mkataba wa miaka minne, akiungana na Declan Rice, Mikel Merino, Martin Zubimendi na Marti…

Kikosi cha Simba SC, leo Agosti 5, 2026, kimerejea nchini kikitokea Kigali, Rwanda, kilikoshiriki michuano ya CECAFA Kagame Cup pamoja…

DAR ES SALAAM: AS Tanzania advances its economic diplomacy agenda, tourism is emerging as a strategic area for deeper cooperation with neighbouring Mozambique. In the 11th part of this Daily News Diplomatic Bench Interview series, Tanzania’s High Commissioner to Mozambique, CP Hamad Khamis, explains how closer tourism…
.jpeg)
Na MUKSINI NAKUVAMBA – Mahakama, Mbeya Watumishi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Mbeya, wamefanya ziara ya kitalii katika Hifadhi ya Ngorongoro mkoani Arusha, ikiwa ni sehemu ya kuwapa fursa ya kupumzika, kujifunza, kutambua na kuthamini urithi wa asili na utamaduni wa Tanzania. Ziara hiyo ya kitalii kat…

By Our Correspondent, ADDIS ABABATanzania has joined other African countries at the 76th Session of the World Health Organisation (WHO) Regional Committee for Africa, with the country expected to use the meeting to strengthen health cooperation and share approaches to improving healthcare delivery.Permanent Secretary …

Washindi kwa mwaka huu wametangazwa katika vipengele vitatu vya uandishi, huku waandishi kutoka Tanzania na Kenya wakitwaa tuzo hizo.

MUSCAT: TANZANIA and Oman are set to significantly boost trade, tourism and cross-border investment following the launch of direct Air Tanzania Company Limited (ATCL) flights between Dar es Salaam and Muscat. The new route, inaugurated over the weekend at Muscat International Airport, is expected to enhance air connec…

MASHABIKI wa michezo ya kasino mtandaoni sasa wana sababu nyingine ya kuongeza burudani zao baada ya mchezo mpya Wilder icy fruits kutoka Expanse kuwasili ndani ya Meridianbet. Mchezo huu umebeba ladha mpya ya burudani kupitia mandhari yenye rangi zinazovutia, matunda yenye muonekano wa barafu na mshangao unaoweza kuj…

Mkurugenzi wa Ufundi kutoka Chama cha kuogelea Tanzania, Amina Mfaume (kushoto); Mwanzilishi na Mkurugenzi wa Shule ya Kimataifa ya Monti, Fatma Fernandes (wa tatu kutoka kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na Kocha mashuhuri wa kimataifa wa uogeleaji, Ben Lee (wa pili kushoto) ambaye aliwasili jijini Dar es Salaam…

SAFARI ya mapenzi kati ya watu wawili wanaopendana, huanza kwa mmoja kati yao, hasa mwanaume kumtamkia nia yake yule anayempenda…

AFRICA: THE women had gathered under the shade of an old mango tree, their voices blending with the laughter of children playing nearby. While waiting for a community health outreach session to begin, the conversation drifted from household chores to something far more consequential. One woman spoke proudly of how fam…

MWANZA: THE Regional Police Force here has seized 103 motorcycles and detained 30 suspects during a crackdown aimed at curbing violations of road safety laws, regulations, and procedures in Mwanza City. Speaking yesterday at his office in Mwanza, Mwanza Regional Police Commander (DCP) Wilbrod Mutafungwa stated that th…

PARIS, Ufaransa MLINDA mlango wa zamani wa timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa, Fabien Barthez, ameajiriwa kuwa sehemu ya wasaidizi wa kocha mkuu wa kikosi hicho, Zinedine Zidane. Kwa mujibu wa taarifa, Barthez anakwenda kwenye benchi kumsaidia ‘Zizou’ katika majukumu ya kuwanoa makipa wa timu hiyo. Zidane aliajiriwa wi…

Dirisha kubwa la usajili kwa Ligi zilizo chini ya Shirikisho la soka Tanzania (TFF), umefungwa rasmi jana Jumamosi Agosti 15, 2026. Hii ni baada ya kuwa wazi kwa kipindi cha zaidi ya mwezi mmoja, tangu Julai 6, 2026. Uongozi wa Yanga SC umefanya maboresho makubwa ya kikosi chao, kwa kusajili Nyota wapya 13 ambao watat…

Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akimkabidhi Tuzo pamoja na Cheti, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo TIB,…

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limewatangazia wananchi kuwa kuanzia Agosti 11 hadi 17, 2026, kutakuwa na ratiba maalumu ya upatikanaji wa umeme katika baadhi ya mikoa kutokana na kuendelea kwa zoezi la uvutaji wa nyaya katika Mradi wa Kusafirisha Umeme wa Msongo wa Kilovolti…

MKUU wa Kampasi ya Dodoma wa Chuo cha Uhasibu Arusha,Prof. Epaphra Manamba,akizungumza na waandishi wa habari leo Agosti 2,2026 kwenye banda la chuo hicho akimwakilisha Mkuu wa Chuo, Profesa Eliamani Sedoyeka,wakati wa Maonesho ya 49 ya Kilimo ya Nane Nane yanayoendelea katika viwanja vya Dkt. John Samuel Malecela Nzu…

Mataifa ya Mashariki ya Kati yametumbukia tena vitani baada ya jana Marekani na Irani, kushambuliana vikali kwa makombora na ndege zisizo na rubani. Taarifa zinasema vikosi vya Marekani vilishambulia pwani ya kusini ya Iran kwa madai ya kuzuia jeshi la Iran kutega mabomu katika m…

Mbunge wa Jimbo la Namtumbo na Waziri wa Katiba na Sheria Dkt Juma Homera kulia,akikabidhi fedha Kiasi cha Shilingi milioni 5 kwa ajili ya…

FORMER Athletics Tanzania (AT) secretary general Suleiman Nyambui has called on all sports stakeholders to unite and develop a long-term strategy to restore Tanzania's status as a medal-winning nation at major international competitions. Nyambui, who is also a veteran athletics c…

Mahakama ya Wilaya ya Kyela, Mkoa wa Mbeya, imemhukumu Yusuph Mlango (26), mkazi wa Kawetere, Wilaya ya Rungwe, kutumikia kifungo cha miaka 30 jela baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kusafirisha dawa za kulevya aina ya bangi zenye uzito wa kilo 2.9. Mlango amehukumiwa baada ya k…

Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imempa mwanafunzi wa chuo mwenye umri wa miaka 18 adhabu…

Preview ya Kiswahili ya WAFCON 2026 robo fainali kwa Tanzania: ratiba, mechi kubwa, mambo ya kutazama na tahadhari za mhariri kabla ya kuchapisha.

TANZANIA Football Federation (TFF) president Wallace Karia has officially opened a two-day training programme on the Football Video Support (FVS) system at Benjamin Mkapa Stadium in Dar es Salaam, marking another major step towards the introduction of the technology in Tanzanian …

Na mwandishi wetu, Gazetini PAUL Biya wa Cameroon ana umri wa miaka 93. Amekuwa Ikulu tangu mwaka 1982 na sasa anatumikia muhula wake wa nane aliouanza mwaka 2025. Atamaliza Novemba 6, 2032, miezi michache kabla ya kusherehekea ‘birthday’ yake ya 100. Kwa miezi miwili sasa, Biya amekuwa akiongoza nchi akiwa Geneva, Us…

Enzo Fernández amefikia makubaliano ya masharti binafsi na Manchester City, kwa mujibu wa Fabrizio Romano. Kiungo huyo wa Argentina sasa hana uwezekano mkubwa wa kuwa sehemu ya kikosi cha Chelsea …

DAR ES SALAAM: TANZANIA National teams spokesperson Haji Manara has appealed to Taifa Stars captain Mbwana Samatta to continue representing the country until the 2027 Africa Cup of Nations (AFCON), saying his international football experience remains valuable to the development of the national team. The appeal comes a…

Chelsea wamepiga hatua kubwa kwenye harakati za kumsajili kiungo wa AS Roma, Manu Koné, katika dili linaloweza kufungua mlango wa Enzo Fernandez kuhamia Manchester City kabla ya dirisha la usajili …

Kauli hiyo inakuja wiki moja tangu Makamu wa Rais, Dk Emmanuel Nchimbi alipozungumza kuhusu kupata Katiba mpya.

Rais Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali itaendeleza maridhiano ya kisiasa nchini kuelekea hatua za maboresho ya Katiba kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za nchi. Katika kuyatimiza hayo, ameahidi kuendeleza majadiliano na vyama vya siasa ili kujenga mwafaka kuhusu masua…

YOUNG Africans SC (Yanga) have confirmed that Ivorian attacking midfielder Pacome Zouzoua will not be part of the club’s registered squad for the 2026/27 season as he continues his recovery from a serious leg injury. The decision, announced by Young Africans’ head of information …

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limeonyesha mshikamano mkubwa kwa Rais wa Shirikisho la Kimataifa la Soka (FIFA), Gianni Infantino, baada ya Kamati yake ya Utendaji (EXCO) kutangaza kwa kauli moja …

DAR ES SALAAM: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has directed security agencies to strengthen coordination in protecting Tanzania’s waters, ordering them to deploy officers to the National Joint Operations Centre (NJOC) within two weeks. The directive is aimed at ensuring newly acquired high-speed patrol boats are used f…

State House convenes a meeting to address months of strained government-Church relations over the latter’s demands for accountability for the October 2025 election killings.
.jpeg)
Na Janeth Raphael – Michuzi TVWatu wanane wamefariki dunia na wengine 66 kujeruhiwa kufuatia ajali mbaya iliyohusisha mabasi mawili ya abiria yaliyogongana uso kwa uso katika eneo la Ibihwa, Halmashauri ya Wilaya ya Bahi, mkoani Dodoma.Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Rehema Jeremia, amethibitisha kutoke…

Mahakama ya Rufani imekataa ombi la Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, la kuitaka serikali imlipe fidia kwa madai kuwa maombi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) yalichelewesha kwa makusudi mwenendo wa kesi ya uhaini inayomkabili na kumfanya aendelee kushikiliwa mahabusu kwa muda mr…

UWEZO duni wa namna ya kuyatafsiri mawazo yenye ubunifu sokoni ya vijana pamoja na kuyafanya kuwa mitaji na yatumike kutatua changamoto za wananchi, bado kikwazo nchini. Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), Dk. Amos Nungu amesema hayo kwenye uzindu…

DAR ES SALAAM: THE government says it is expanding the use of open-source technology across public institutions to strengthen digital sovereignty, improve service delivery and reduce software costs. Minister for Communication and Information Technology Angellah Kairuki said the move enables the government to own and c…
.jpeg)
Azindua boti mbili za kisasa kufanya doria baharini, maziwa makuuNa Mwandishi Wetu WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa siku 14 kwa wizara na taasisi zinazohusika na Kituo cha Kitaifa cha pamoja cha Oparesheni zipeleke wawakilishi ili kianze kufanya kazi mara moja."Wizara na taasisi zote zinazohusika na utekelezaji…

Na Mwandishi wetu, Mirerani MKUU wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, mwalimu Fakii Raphael Lulandala ameongoza mamia ya wakazi wa eneo hilo kwenye mazoezi…

By The Respondents ReporterTanzania’s founding father, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, has received further recognition for his contribution to Africa’s liberation struggle after Tanzania President Samia Suluhu Hassan and Angola President João Manuel Gonçalves Lourenço inaugurated a specialised referral hospital nam…

Soma hapa...

Benki ya NMB imeendelea kuifanya Nanenane 2026 kuwa zaidi ya maonesho ya kilimo kwa kuendesha kampeni ya utoaji wa elimu ya kifedha, ujasiriamali na usimamizi wa biashara kwa wananchi waliotembelea mabanda yake katika kanda mbalimbali nchini.Katika Banda la Vijana lililopo viwanja vya DK John Mwakangale jijini Dodoma,…

DAR ES SALAAM: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan’s call for African nations to invest in specialised healthcare is timely and a policy recommendation. It is a compelling vision for the continent’s next phase of liberation, one defined not by political sovereignty alone, but by the ability to care for its own people. Speak…

…….. NA DENIS MLOWE, IRINGA WANANCHI wa Kata ya Mkwawa katika Jimbo la Iringa Mjini wamemweleza Mbunge wao, Fadhili Ngajilo, changamoto mbalimbali zinazowakabili katika…

DAR ES SALAAM: FOR millions of Tanzanians, access to a mobile network is no longer just about making calls or browsing the internet. It is increasingly becoming a gateway to education, financial inclusion, business growth and economic opportunities. This was the central message as Vodacom unveiled its new “More Than a…

Standard Chartered Foundation, kupitia Standard Chartered Tanzania, imetoa mchango wa TZS 21,456,431.52 kwa ajili ya kuunga mkono Programu ya Mabinti ya CCBRT, ikiwa ni sehemu ya dhamira ya Benki ya kuendelea kukuza ujumuishaji wa kiuchumi na kuongeza fursa kwa makundi yaliyo kat…

Serikali imesema itaendelea kuimarisha ushirikiano na Kampuni ya Kimataifa ya Ukaguzi na Ushauri wa Kitaalamu ya KPMG katika kuboresha sera za kodi, usimamizi wa mapato na mageuzi ya mfumo wa kodi nchini. Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar, amesema ushirikiano huo utasaidi…

DAR ES SALAAM: TANZANIA has urged African countries to scale up sustained and innovative investment in maternal, child and primary healthcare to strengthen health security and self-reliance across the continent. Health Minister Mohamed Mchengerwa made the call on Tuesday in Dar es Salaam while chairing the Fourth Meet…

DAR ES SALAAM: THE Minister for Communications and Information Technology, Angellah Kairuki, has highlighted the rapid growth of digital technology in Tanzania, saying 47 per cent of Tanzanians now use smartphones as the country moves to expand access to affordable and reliable internet services. Ms Kairuki said the g…

KIGOMA: Vijana mkoani Kigoma wamesema mikopo inayotolewa kupitia mapato ya ndani ya halmashauri imeleta mapinduzi makubwa katika shughuli zao za kiuchumi na maendeleo, huku ikiwasaidia vijana, wanawake na watu wenye ulemavu kujikwamua kiuchumi. Mwenyekiti wa Kikundi cha Madereva wa Bodaboda Makere, George Kagoma, ames…

Lionel Messi ameitwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Argentina kwa ajili ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Benin utakaochezwa Oktoba 6, ambapo anatarajiwa kuaga rasmi soka la kimataifa. …

▪️Awataka watumishi kutimiza wajibu waoWAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewahimiza watendaji wa Serikali kuwahudumia kikamilifu Watanzania ili miradi inayojengwa na Serikali itoe matokeo chanya.“Tunachokijenga hapa, si jengo pekee, bali tunajenga mazingira bora ya utendaji wa mfuko. Kupitia uwekezaji huu tunachochea …

Wapenzi wa michezo na burudani, safari hii Meridianbet imekuja na kitu cha ziada. Kuna simu tatu mpya kabisa za Samsung Galaxy A26 ambazo zinasubiri wachezaji watakaofanikiwa kwenye promosheni maalum. Hii ni nafasi ya kipekee kwa kila anayefurahia kubashiri michezo au kucheza kasino kuingia kwenye kinyang’anyiro cha z…

FARIDA SAID, MOROGORO Ng'ombe 56 waliokuwa mali ya mfugaji Clement Bernad sasa wamebaki kuwa sehemu ya historia yake ya ufugaji, ukame unaochochewa na mabadiliko ya tabianchi na kupungua kwa malisho vimemlazimisha kubadili mfumo wa ufugaji, akipunguza idadi ya mifugo na kuanza kuangalia zaidi uwezo wa kuzalisha malish…

RAIS SAMIA KUSHUHUDIA UAPISHO MUHULA WA PILI WA RAIS MTEULE WA ZAMBIA HAKAINDE HICHILEMA

By Our Reporter, ArushaThe Tanzania Agricultural Development Bank (TADB) has disbursed loans worth Sh1.55 trillion to 862 projects, highlighting the growing role of development finance in Tanzania’s efforts to transform agriculture from subsistence production into a commercially oriented sector.TADB Managing Director …

DAR ES SALAAM: THE Executive Director of the Public-Private Partnership Centre (PPPC), David Kafulila, has begun implementing President Samia Suluhu Hassan’s directive by engaging social media journalists to promote a shared understanding of the implementation of Tanzania’s National Vision 2050. Kafulila made the rema…

10 Years of Transforming African Agriculture – Now Entering a New Growth Era From Tanzania Africa Agri Expo proudly marks its 10th Jubilee Edition in 2026, set against the dynamic and fast-growing agricultural landscape of Africa. Over the past decade, the Expo has become a catalyst for agribusiness transformation, br…

GREATER emphasis should now be placed on direct engagement between businesses in consolidating economic links between Tanzania and South Korea, the resident envoy has declared. Eunju Ahn, the resident ambassador, said at the Tanzania-Korea strategic partnership event in Dar es Sa…

DODOMA: BUSINESS officers across the country have been directed to intensify identification and promotion of investment opportunities, as accurate market information is critical to driving Tanzania’s economic transformation under Development Vision 2050. Deputy Minister for Industry and Trade Denis Londo issued the di…

Soma hapa...
.jpeg)
Na Janeth Raphael - MichuziTv Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ameielekeza Tume ya Maendeleo ya Ushirika kuimarisha ukaguzi wa mara kwa mara katika vyama vya ushirika nchini ili kudhibiti ubadhirifu wa mali, kuongeza uwajibikaji na kuhakikisha vyama hivyo vinatoa huduma bora kw…

Kahawa imeelezwa kuwa miongoni mwa mazao ya kimkakati yanayoweza kuchangia kwa kiasi kikubwa utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050, kupitia kuongeza thamani, ajira, biashara na fursa za uwekezaji katika mnyororo mzima wa zao hilo. Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya y…

Na Mwandishi Wetu, TangaMKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), CPA Anthony Kasore, amesema mamlaka hiyo imeweka mkakati wa kutoa mafunzo ya ufundi na ujuzi kwa vijana ili kuwafungulia fursa za ajira na kujiajiri katika sekta mbalimbali.CPA Kasore ameyasema hayo alipotembelea Banda la VE…

Na Mwandishi WetuMARAIS sita wa Afrika wakiongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, wanatarajiwa kushiriki Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa Africa50 na Jukwaa la Miundombinu Afrika utakaofanyika Agosti 5 na 6, 2026 katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC), jiji…

Shirikisho la Soka la Italia (FIGC) limetoa taarifa rasmi ya kuondoa uungwaji mkono wake kwa Rais wa FIFA, Gianni Infantino, ambaye amekuwa akikabiliwa na shinikizo, likisema: “Tutaendelea kufanya kazi pamoja na …

Siku zinazidi kusonga kuelekea Ligi Kuu Tanzania Bara 2026/27 kabla ya pazia kufunguliwa rasmi.Agosti 12,2026 mchezo wa Ngao ya Jamii utawakutanisha Yanga SC vs Simba SC, Uwanja wa New Amaan Complex. Mwanzo wa Kariakoo Dabi ni ishara kwamba ligi imefunguliwa rasmi. Agosti 14,2026 msimu mpya utaanza kwa mechi kali kuch…

Vodacom Tanzania Plc imeendelea kuonyesha ukuaji imara na kuzalisha thamani kwa wanahisa, wateja na jamii katika mwaka wa fedha uliomalizika Machi 31, 2026, mafanikio yaliyochangiwa kwa kiasi kikubwa na uwekezaji endelevu katika miundombinu ya mawasiliano, huduma za kidijitali na huduma jumuishi za kifedha.Matokeo hay…

Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Dodoma CHUO Kikuu cha Kilimo Sokoine (SUA) kimeendelea kuimarisha na kupanua Shamba la Mafunzo la Chuo kwa lengo la kuwawezesha…

Mkurugenzi wa Kurugenzi ya Tafiti na Uchumi Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dk. Suleiman Misango, ameshangazwa na jinsi Mfumo wa PSSSF Portal, ulivyoweza kutoa taarifa za wanachama wa PSSSF kwa haraka tangu alipoanza ajira hadi hivi sasa. Ameyasema hayo, Agosti 4, 2026 wakati akito…

KLABU ya Manchester City imefikikia muafaka na Liverpool kuhusu mpango wa kumsajili mshambuliaji wa kimataifa wa Uholanzi, Cody Gakpo, kwa mujibu wa vyanzo vya ESPN. Mazungumzo kati ya klabu hizo mbili yalipamba moto tangu Jumamosi, huku Liverpool ikiweka thamani ya Gakpo kuwa pa…

*Mwanafunzi Ibrahim Omary, kutoka Shule ya Msingi Ghana jijini Mwanza, akipokea zawadi kutoka kwa Meneja Mawasiliano wa Wakala wa Vipimo (WMA), Bi. Veronica Simba baada ya kutoa elimu ya vipimo kwa ustadi kwa wananchi waliotembelea banda la WMA katika siku ya pili ya Maonesho ya Biashara ya Afrika Mashariki yanayoende…

Chelsea wamefikia makubaliano ya ada ya euro milioni 21 (takribani pauni milioni 18) kumsajili beki wa kushoto wa Rayo Vallecano, Pep Chavarría, huku nyaraka za uhamisho zikibadilishana na vipimo vya …

NA DENIS MLOWE, IRINGA MKURUGENZI wa Bodi ya Maji Bonde la Rufiji, David Munkyala, amesema Serikali imeanza kuchukua hatua za kudumu katika kukabiliana na…

Vinicius Junior ameendelea kuwa miongoni mwa mastaa wakubwa wa Real Madrid, lakini kiwango chake cha kufunga mabao kimeanza kuzua maswali katika hatua za mwanzo za msimu huu. Nyota huyo wa …

Serikali kupitia Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC) imewahakikishia wakulima nchini upatikanaji wa mbolea ya kutosha kwa msimu wa kilimo wa mwaka huu, ikitangaza kuanza kwa usambazaji wa tani 33,000 za mbolea ya kupandia aina ya DAP zilizowasili nchini kupitia Bandari ya Dar es Salaam. Akizungumza leo Agosti 4,2026 kati…

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) limesema kuongeza thamani ya mazao ya kilimo kupitia usindikaji kunaweza kupunguza…

MBEYA: FINANCE Minister Ambassador Khamis Mussa Omar has said the Southern Highlands Zone has achieved 219 per cent of the national food production target, describing the performance as a major boost to the country’s food security efforts. Speaking at the climax of the 2026 Southern Highlands Nanenane exhibitions at t…

CRICKET stakeholders in Tanzania, last weekend, witnessed a memorable occasion, as the Tanzania Cricket Association (TCA) officially opened the new cricket facility, Tanzania Cricket Arena, in Dar es Salaam. The Chairman of ICC Associate Members, Gurumurthy Palani, ICC Global Pat…

Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), imeendelea kushirikiana na Wizara ya Kilimo katika kuimarisha matumizi ya mifumo ya kidijitali inayorahisisha utoaji wa huduma, kuongeza uwazi na kuboresha usimamizi wa shughuli mbalimbali za kilimo nchini.Akizungumza katika Maonesho ya kitaifa…
[Daily News] Dar es Salaam -- TANZANIA'S infrastructure ambitions are entering a new phase as the country seeks to convert development plans into bankable projects, with the Africa50 General Shareholders' Meeting and Infra for Africa Forum in Dar es Salaam providing a platform to connect national priorities with globa…

By The Respondents Reporter, Dar es SalaamAfrican countries need to deepen domestic capital markets, strengthen regional cooperation and adopt innovative financing models to close the continent’s infrastructure financing gap, Stanbic Bank Tanzania has said.The call was made during the two-day Africa50 Annual General S…

DAR ES SALAAM: UGANDAN President, Yoweri Kaguta Museveni, is expected to arrive in Tanzania today for an official visit at the invitation of President Samia Suluhu Hassan, with the two leaders set to hold talks aimed at strengthening bilateral relations and regional cooperation. A statement issued by the Directorate o…

MWANZA: YOUNG people have been urged to tap government financing and emerging investment opportunities in livestock and fisheries to create jobs, raise incomes and accelerate production. Deputy Minister for Livestock and Fisheries, Ms Ng’wasi Kamani said over the weekend that the government’s loan programmes for boats…

Dodoma Wajumbe wa Bodi yaTaasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) pamoja na Menejimenti ya Taasisi, leo Agosti 28, 2026, wamekutana katika…

MOROGORO: PRIME Minister Dr Mwigulu Nchemba has said Tanzania cannot achieve meaningful transformation in the agriculture, livestock and fisheries sectors without sustained investment in research. He said President Samia Suluhu Hassan has allocated substantial funding to research to boost productivity, expand market a…

DAR ES SALAAM: UNPRECEDENTED political drama took place in the country this week when the Vice-President submitted a letter to the President resigning his post, as well as retiring from politics; and when, subsequently, he was expelled from the ruling party. The Good Citizen (August 27) highlighted this in a front-pag…

DODOMA: THE Tanzanian Ambassador to Italy and Permanent Representative to the UN’s Food and Agriculture Organization (FAO), International Fund for Agricultural Development (IFAD) and World Food Programme (WFP, Mbaruku Nassoro Mbaruku said Italy has significant potential to become a major source of tourists to Tanzania…

Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akizungumza katika Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa Taasisi ya Africa50 (Africa50 General Shareholders’ Meeting-GSM) uliofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC), jijini Dar es Salaam, ambapo pia alikuwa Mwenyekiti Mwenza wa mkutano huo.…

Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali ili kuhakikisha bei za mafuta nchini zinakuwa himilivu na zinalinda maslahi ya wananchi, ikiwa ni pamoja na kuimarisha usimamizi wa soko na kuhakikisha upatikanaji wa mafuta kwa wakati katika maeneo mbalimbali nchini. Hatua hizo zimechangia kupunguza athari za mabadiliko y…

MOROGORO: A delegation of Malawian officials on a study tour of Tanzania has visited the Tanzania Official Seed Certification Institute (TOSCI) headquarters in Morogoro to learn from Tanzania’s experience in managing the seed system and ensuring farmers have access to quality seeds that meet established standards. The…

Na Janeth Raphael - MichuziTv - Bungeni Dodoma.Serikali imesema imeweka mikakati mbalimbali ya kukuza vipaji na ujuzi kwa vijana wenye ulemavu, kuwawezesha kupata ajira zenye staha na kushiriki kikamilifu katika shughuli za kiuchumi.Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa n…

Wanafunzi 573 kutoka shule za msingi na sekondari katika maeneo mbalimbali mkoani Pwani wamebainika kutoripoti shuleni baada ya kufunguliwa kwa shule kutokana na sababu mbalimbali, ikiwemo ujauzito wa utotoni, hali duni ya kiuchumi katika familia na kukosa mahitaji ya msingi. Kam…

DAR ES SALAAM: PUMP prices of petrol and diesel in the country have fallen by about 7 per cent and 10 per cent, respectively, over the past three months, bringing significant relief to consumers. Statistics show that petrol prices declined by 96/- in July compared to June, followed by further reductions of 92/- in Aug…

TANZANIA: YOUNG people are set to play a defining role in delivering Dira 2050 ambitions, with the government rolling out programmes designed to transform the country’s demographic advantage into a powerful engine of growth, innovation and national development. The strategy, outlined in the ministry’s 2026/27 budget s…

Baada ya Mohamed Salah kuondoka, eneo kubwa ambalo Liverpool wamekuwa wakihitaji kuliongezea nguvu kipindi chote cha kiangazi ni upande wa kulia wa safu ya ushambuliaji. Inaonekana Yankuba Minteh alikuwa mlengwa …

RUVUMA YAFUNGA NANENANE KIMKOA, YAZALISHA TANI MILIONI 2.3 ZA MAZAO 2025/26

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amezitaka nchi za Afrika kuongeza uwekezaji katika elimu na maendeleo…

DODOMA: Wakala wa Uagizaji wa Mafuta kwa Pamoja (PBPA) umesema umejizatiti kuhakikisha Tanzania inaendelea kuwa na upatikanaji wa uhakika wa mafuta wakati wote kupitia…

Na Mwandishi Wetu, DodomaMSULUHISHI wa Migogoro ya Bima (TIO) amewataka wakulima waliokata bima za kilimo kupitia benki au mawakala wa bima, kutumia Ofisi ya Msuluhishi wa Migogoro ya Bima pale wanapokumbana na migogoro ya fidia ili kupata haki zao badala ya kukimbilia mahakamani.Akizungumza katika Maonesho ya Kilimo …

Kuna wakati katika uongozi wa nchi ambapo nguvu ya kiongozi haipimwi kwa wingi wa maneno anayoyasema, bali kwa ukubwa wa maono anayoyaacha yakitekelezwa. Hivi…

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Hamad Chande, ametembelea banda la Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Ummy Nderiananga, amewataka wananchi kutumia Maonesho ya Kimataifa ya Wakulima Nanenane 2026 kama fursa ya kujifunza huduma na mipango mbalimbali ya Serikali inayolenga kuboresha maisha yao.Nderiananga ame…

Rais wa Benki ya Maendeleo ya AfriKa (AfDB), Dkt. Sidi Ould Tah, akiagana na Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Laurent Luswetula (Mb) (kushoto), katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, baada ya kuhitimishwa kwa Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa taasisi ya Africa50 na Jukwaa la Miundombinu Afrika (Africa50 Gen…

DAR ES SALAAM: Timu ya maofisa wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) imefanya ziara katika makao makuu ya muda ya Tanzania Bloggers Network (TBN), Kijitonyama jijini Dar es Salaam, kwa lengo la kujenga ushirikiano katika utoaji wa elimu kwa umma kuhusu hifadhi ya jamii, pensheni na uwekezaji. A…

Na Mwandishi Wetu, DodomaWaziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo Pinda, ameshangazwa na kiwango cha ubunifu wa teknolojia zinazobuniwa na kuzalishwa na kampuni ya Mati Technologies baada ya kutembelea banda la kampuni hiyo katika Maonesho ya 33 ya Kitaifa ya Kilimo (Nane Nane 2026) yanayoe…

SAFARI kuelekea uchumi wa kidijitali inapoharakishwa na kurahisishwa, matumizi ya fedha taslimu yanaanza kuwekwa pembeni kutokana na malipo kufanyika kwa simu, benki, kadi na misimbo au code. Hata hivyo, nyuma ya ongezeko la miamala ya kidijitali kwenye miji mikubwa, midogo na ma…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi wawili katika sekta ya uvuvi…
.jpeg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Profesa Gidius Kyaharara akipokea zawadi mfuko kutoka kwa Afisa Uhusiano wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) Nicholas Kinyariri wakati wakati Katibu Mkuu huyo alipotembelea Banda la TASAC Maonesho ya Kilimo Kimataifa yanayoendelea viwanja vya Dkt.John Samwel Malecela Nzugun…

TACAIDS YAPONGEZA SERIKALI KWA KUIMARISHA MFUKO WA UDHAMINJ WA MAPAMBANO DHIDI YA VVU

JAMII YAHIMIZWA KUWAUNGA MKONO AKINA MAMA KUNYONYESHA

NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Dennis Londo,akizungumza wakati wa Mkutano wa Kati ya Wizara na Wakuu wa Sehemu na Idara za Viwanda,Biashara na Uwekezaji katika Sekretariet za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kinachofanyika kuanzia leo Agosti 17 hadi 18 jijini Dodoma. NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Den…

Na: OWM – TAMISEMI, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof.…

Mambo yameiva ndani ya Simba SC, kuelekea tukio kubwa la Simba day 2026. Tamasha hilo kubwa na kongwe zaidi la soka nchini Tanzania linatarajiwa kufanyika kesho Jumamosi ya Agosti 8, 2026. Ikumbukwe huu unakuwa msimu wa 18 wa tamasha hili tangu kuanzishwa kwake, ambapo kwa mwaka huu limebeba dhima ya kuadhimisha miaka…

Na mwandishi wetu, Gazetini VICHOCHEO vya maendeleo ni nyenzo muhimu katika kuongeza kasi ya kufikia malengo ya Dira 2050. Kwa kutambua hilo, Dira hii imebainisha vichocheo vitano vya maendeleo, ambavyo ni usafirishaji fungamanishi, nishati, sayansi na teknolojia, utafiti na maendeleo mageuzi ya kidigitali. Je, nini m…

Taasisi ya Kuthibiti Ubora wa Mbegu Tanzania (TOSCI) imeendelea kutekeleza shughuli za uthibiti wa ubora wa mbegu nchini kwa kutembelea Mkoa wa Manyara, Wilaya…
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Regina Qwaray, amemtaka Mkandarasi wa mradi wa Mikocheni Apartments kuongeza kasi ya ujenzi ili kuhakikisha mradi huo unakamilika ifikapo Oktoba mwaka huu.Mhe. Qwaray ametoa maelekezo hayo leo, Agosti 7, 2026 alipotembelea na kukagua m…

KAGERA: Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Dk. Bashiru Kwakurwa, amevitaka vyama vya ushirika kushirikiana na wakulima wao kutafuta taasisi za kifedha kwa ajili ya kupata elimu ya mikopo ili kuendeleza sekta ya kilimo, kuongeza thamani na ubora wa mazao pamoja na kutafuta masoko ya ndani na nje ya nchi yanayozingatia ubora. A…

By Victoria GodfreyFormer Taifa Stars goalkeeper Steven Nemes believes Simba Day and Yanga Day will offer the clearest early indication of how the two giants have shaped their squads ahead of the Community Shield clash in Zanzibar on August 12.The annual fan events come at a crucial stage of preparations for the 2026/…

SportPesa Tanzania sponsorship backs Rugby Union growth at Dar Rugby Saba 2026Iringa Wild Dogs turned SportPesa Dar Rugby Saba 2026 into a final to remember after edging Dar Leopards 21–20 at Leaders Club in Kinondoni. The result gave the second leg of the SportPesa National Saba Circuit a dramatic finish, but the big…

Halmashauri ya Wilaya ya Mafia imetangaza nafasi mbili (2) za ajira kwa kada ya Nahodha Daraja la II (Skipper) na…

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amesema maonyesho ya Nanenane yanapaswa kutumia ubunifu kutoka kilimo cha mazoea na kuwa cha biashara.

Na: OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amewaasa viongozi katika Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kuepuka migogoro miongoni mwao na baina yao na watumishi wanaowaongoza, akisisitiza kuwa migogo…

Na Mwandishi Wetu, DodomaSERIKALI imesema inaendelea kuimarisha sekta za kilimo, ufugaji pamoja na uvuvi kwa kuongeza thamani ya bidhaa ili ziweze kushindana katika masoko ya ndani na nje ya nchi.Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Denis Londo, wakati akizungumza katika mjadala kuhusu Kilimo, Ufugaj…

Ubao wa Uwanja wa Uhuru umesoma Simba SC 0-1 Police Kenya kilele cha tamasha la Simba Day. Matokeo haya ni mchezo wa kwanza kwa mnyama kupoteza 2026. Kabla ya mechi ya leo ya kirafiki, mnyama alicheza mechi tatu Kagame Cup, Rwanda alishinda moja na sare mbili. Bao la ushindi limefungwa na Elvis Rupia dakika ya […]

Madiwani Manispaa ya Kibaha wamepata fursa ya kujifunza shughuli na mbinu mbalimbali za kilimo hususan teknolojia na njia za kisasa zinazolenga kuongeza tija katika kilimo. Wamepata elimu hiyo walipotembelea Banda la Manispaa ya Kibaha lililopo katika Viwanja vya Mwalimu Julius K…

Mrajis na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Vyama vya Ushirika (TCDC), Dkt. Benson Ndiege (aliyevaa suti nyeusi), akikabidhi funguo za pikipiki ya…

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Serikali itaendelea kutenga rasilimali za kutosha ili kuhakikisha skuli zote zinakuwa na miundombinu ya kisasa, walimu wenye sifa, na vifaa stahiki vya kufundishia na kujifunzia.Makamu wa Rais amesema hayo, wakati wa hafla ya U…
Na Munir Shemweta, ItilimaWAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo, amepongeza hatua iliyofikiwa katika ujenzi wa Shule mpya ya Awali na Msingi Mwankola iliyopo Kijiji cha Lagangabilili, Wilaya ya Itilima mkoani Simiyu, huku akisisitiza kuwa elimu ni msingi muhimu wa maisha na maendel…

Lindi. Wakulima wa mikoa ya Lindi na Mtwara waliotumia huduma za Mixx kupokea malipo ya mazao yao wamekabidhiwa zawadi mbalimbali, zikiwemo guta, pikipiki, simu janja na baiskeli kupitia kampeni ya Vuna na Mixx.Zawadi hizo zilikabidhiwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Ayoub Mohammed Mohammed, wakati wa Maonesho ya …

DODOMA: Farmers have been urged to embrace digital services to access market information, weather updates and business opportunities as technology becomes increasingly important in agricultural production and marketing. Yas Acting Head for the Central Zone, Mr Richard Mmari, said the expansion of mobile connectivity, …

Na Vero Ignatus, Michuzi TV ArushaMaonesho ya siku kuu ya Wakulima Nanenane Kanda ya Kaskazini yamehitimishwa mkoani Arusha, yakihudhuriwa na zaidi ya wananchi 100,000 na kushirikisha waonyeshaji 446 kutoka sekta mbalimbali. Maonesho hayo yaliyojikita katika kuonesha fursa, teknolojia na ubunifu katika kilimo, ufugaji…

KAGERA: Miradi sita yenye thamani ya zaidi ya Sh bilioni 4.8 imepitiwa na Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2026 katika Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba mkoani Kagera, ikiwa na lengo la kuboresha huduma za kijamii na kuongeza fursa za kiuchumi kwa wananchi. Miradi hiyo imejikita katika sekta za elimu, afya, maji, viwanda,…

KIBAHA: THE government is strengthening support for local manufacturers to enhance their competitiveness by increasing production of high-quality goods and reducing dependence on imports. Deputy Minister for Industry and Trade, Mr Dennis Londo, made the remarks during a visit to GF Vehicle Assemblers in Kibaha Municip…

UMEME USIMRUKE MTU - MHE. NDEJEMBI

Wakati wengi wakiona makapi na maganda ya ‘ngazi’ kama takataka zinazopaswa kutupwa, kwa Hassan Kilanoza, hayo ni malighafi inayobadilisha maisha ya mamia ya vijana na baadhi ya wanawake mkoani hapo.

CONSTRUCTION of a 22-kilometre natural gas pipeline linking Kisemvule and Mbagala is accelerating toward a January 2027 completion, promising to expand energy access for Dar es Salaam’s heavy industries and rapid transit fleet. Developed by Rashal Energies Limited, the privately …

Na Munir Shemweta, Bariadi, Simiyu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo, amesema Wizara yake iko tayari kushirikiana na…

KIGOMA: FOR some children, school is no longer simply a place they are required to attend. It is a place where they can sing, perform, laugh, express themselves and discover talents they never knew they had. Across Tanzania, a new generation of creative teachers is demonstrating that learning does not always have to h…
.png)
ILE siku ya kutengeneza pesa ndefu na wakali wa ubashiri imefika, timu kibao kushuka dimbani kusaka ushindi. Je wewe unasaka ushindi wako wapi?. Ingia Meridianbet na ubeti sasa.Yale mashindano ya Carabao Cup Raundi ya 3 kule Uingereza yataendelea ambapo mechi zipo kibao za kukufanya uwe mshindi, Ipswich atamenyana dhi…

DAR ES SALAAM: TANZANIAN football is enjoying one of those beautiful moments when everybody wants to smile, clap and pretend there is no small problem standing quietly in the corner wearing boots. Our clubs are stronger, richer in ambition and increasingly attractive to talented foreign players who arrive in Dar es Sa…

Afrika Mashariki inazidi kujitokeza kuwa daraja la kimkakati linalounganisha Afrika na masoko ya dunia, huku mvutano wa kisiasa na kiusalama duniani, mabadiliko katika minyororo ya ugavi na jitihada za kutafuta njia imara zaidi za biashara vikiendelea kubadilisha mwenendo wa uchumi wa dunia.Hayo yamesemwa na Mkurugenz…

DAR ES SALAAM, Tanzania — KILELE cha tamasha kubwa la Yanga Day 2026 kinatarajiwa kutimua vumbi leo Jumapili kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam, kikihitimishwa kwa mechi kabambe ya kirafiki ya kimataifa kati ya mabingwa hao wa nchi, Yanga SC, dhidi ya Les Aigles Du Congo. Tamasha la mwaka huu linawandikisha h…
[Daily News] Dar es Salaam -- THE government is reshaping its investment laws around artificial intelligence and the digital economy, seeking to attract technology-driven businesses and strengthen its position as a competitive destination for global investors.

Na Mwandishi Wetu.GLOBAL Education Link (GEL) imewakabidhi nyaraka rasmi za safari wanafunzi 387 wa Kitanzania wanaotarajia kwenda kuendelea na masomo ya elimu ya juu nchini China na India, huku wakihimizwa kutumia fursa hiyo kujenga maarifa, ujuzi, teknolojia, mitandao ya kimataifa na uwezo wa kujitengenezea fursa za…

Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) (kulia), akiagana na Waziri wa Fedha, Bajeti na Sekta ya Benki wa Comoro, Mheshimiwa Moussa…

*Na WMA – Mwanza* Banda la Wakala wa Vipimo (WMA) limeendelea kuvutia makundi mbalimbali ya wananchi katika Maonesho ya Biashara ya Afrika Mashariki yanayoendelea katika Viwanja vya Furahisha jijini Mwanza, ikiwa ni siku ya tatu, Agosti 30, 2026. Makundi hayo yameonesha kuvutiwa na elimu ya vipimo tofauti tofauti. Wak…

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Tamasha la Kizimkazi limeendelea kuwa jukwaa muhimu la kutangaza utamaduni, utalii, biashara na fursa za uwekezaji zilizopo Zanzibar, sambamba na kuchochea maendeleo ya wananchi.Rais Dkt. Mwinyi ameyasema hayo leo, tarehe 12 A…

HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH)-Mloganzila, imefanya upandikizaji wa meno kwa kutumia wataalamu wazawa, baada ya kujengewa uwezo kwa vipindi tofauti na wenzao kutoka nchini India. Bingwa wa Upasuaji wa Uso, Mataya, Kinywa na Meno kutoka hospitali hiyo, Dk. Dominicus Kabogo, al…
%20%20Bwana%20Onorious%20John%20Njole.jpg)
Na: Calvin Gwabara – Dodoma. Ofisi ya Mwandishi Mkuu wa Sheria (OCPD) imeendelea kuwekeza katika kuwaendeleza watumishi wake kitaaluma kwa kuwapatia fursa za mafunzo ndani na nje ya nchi, hatua inayolenga kuongeza idadi ya wataalamu wenye weledi, utaalamu wa kisekta na uwezo wa kuandaa sheria bora zinazowezesha utekel…

Rais wa Marekani Donald Trump amesema alilazimika kubadilisha ndege kwa siri nchini Uturuki mwezi uliopita kufuatia maelekezo kutoka kwa Secret…

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, leo Septemba 15, 2026, ameungana na viongozi mbalimbali pamoja na wananchi katika Sala ya Jeneza ya Marehemu Bi. Maryam Shaaban Ramadhan, mama mzazi wa Katibu wa NEC, Idara ya Uchumi na Fedha ya CCM Taifa, Ndg. Jamal Kassim Ali.Sala hiyo i…

Serikali ya Tanzania na Ujumbe wa Mabalozi wa Umoja wa Ulaya wamekubaliana kuimarisha ushirikiano katika kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji nchini.Akiongea baada ya kikao hicho, Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Kitila Mkumbo, amesema pande zote mbili zimejadili hatua zilizofikiwa katika kuboresha masuala …

Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imeanza kuchukua hatua kuhakikisha mabasi ya mikoani yanarejea katika stendi rasmi zilizopangwa na Serikali, kufuatia agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila. Kaimu wa Udhibiti wa Magari ya Abiria na Ofisa wa LATRA Mkoa…

HAMASA KUELEKEA MAONESHO YA MADINI

Na Mwamvua Mwinyi, Chalinze Agosti 13, 2026 Shule ya Chalinze Modern Islamic ,Mkoani Pwani, inawajengea wanafunzi ujuzi wa vitendo katika fani mbalimbali ikiwemo udaktari,…

Muda mchache umebaki kabla ya kushuhudia mechi kubwa ya Kariakoo Dabi ya Ngao ya Jamii Yanga SC vs Simba SC. Huu ni Mchezo wa ufunguzi wa msimu wa Ligi Kuu Bara 2026/27, ambayo inatarajiwa kuanza saa 2:30 kesho Agosti 12, 2026. Mchezo huu unatarajiwa kupigwa kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar ambapo tayari S…

Yanga SC vs Simba SC ni leo Uwanja wa New Amaan Complex saa 2:30 usiku mchezo huu mkali unatarajiwa kuchezwa. Ni mabingwa wa NBC Premier League 2025/26 Yanga SC vs Simba SC, mabingwa wa CRDB Federation Cup 2025/26.Mwanzo wa mchezo huu ni ishara ya ufunguzi pazia la ligi kwa msimu wa 2026/27. Taarifa muhimu kuhusu […]

Liverpool iko tayari kushindana na Chelsea katika kumsajili nyota wa Roma, Manu Koné, huku ikiripotiwa kwamba kikosi cha Andoni Iraola kinajiandaa kufanya juhudi kubwa za kumsajili kiungo huyo. Liverpool na …

Na TAEC Dodoma Kila mwaka tarehe 29 Agosti, dunia huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kupinga Majaribio ya Nyuklia (International Day against Nuclear Tests), ikiwa ni fursa ya kutafakari madhara yaliyosababishwa na majaribio ya silaha za nyuklia na kuendelea kuhimiza juhudi za kujenga dunia yenye amani na usalama. Siku h…
.jpeg)
Na Victor Masangu, KibahaKatika kuunga mkono juhudi za Rais wa awamu ya sita Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuwakomboa wanawake katika kujikwamua kiuchumi Azania bank imeamua kuja na mpango kabambe uliopewa jina la Fanikisha Mwanamke Hodari ambao utaweza kuwasaidia kupata mikopo yenye riba nafuu ambayo itawasaidia ki…

Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umekabidhi majiko janja 10 katika Tamasha la Kizimkazi lililofanyika Wilaya ya Kusini, Mkoa wa Kusini Unguja, kuunga mkono ajenda ya Serikali ya kuhamasisha matumizi ya nishati safi nchini. Majiko hayo yanalenga kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, kulinda mazingir…

DAR ES SALAAM – Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally, ameweka nukta kwenye mijadala inayoendelea akisisitiza kuwa klabu hiyo haihusiki kwa namna yoyote na sakata linalomkabili mshambuliaji Selemani Mwalimu Yanga. Kauli hiyo imekuja kufuatia uvumi uliosambaa kwenye mitandao ya kijamii ukidai…

Kocha Mkuu wa Simba SC, Steve Barker, amekiri kuwa kuna mambo yaliyohitaji kufanyiwa kazi baada ya kikosi chake kupoteza kwa…

ZANZIBAR: ZANZIBAR President, Hussein Ali Mwinyi has urged Zanzibaris to increase seaweed production and invest in value addition to enable farmers to secure better prices and earn more from the crop. The Isles president officially opened the Festival today, August 12, 2026 with a public walk from Mchangamle to Kizimk…

Nahodha wa timu ya taifa ya wanawake ya Malawi (Scorchers), Tabitha Chawinga, ameeleza imani yake kubwa kuwa mshambuliaji wa Kansas City Current, Temwa Chawinga, ana nafasi kubwa ya kutwaa tuzo ya Ballon d’Or ya Wanawake mwaka huu. Kauli hiyo inajiri baada ya Temwa kuwa na msimu wa ajabu, uliotawaliwa na mafanikio mak…

DAR ES SALAAM: DIPLOMACY is evolving rapidly. While political dialogue and bilateral cooperation remain central to international relations, diplomatic missions are increasingly expected to deliver economic results, embrace technology, engage citizens, build partnerships beyond government and respond to emerging challe…

Nchi inasimama! Itakapotimia saa 2:30 usiku wa leo, macho na masikio ya wapenda soka wote yatakuwa katika Uwanja wa Amaan, Zanzibar, ambapo miamba ya soka la Bongo, Yanga SC na Simba SC, itazipiga katika Mchezo wa Dabi ya Kariakoo kuwania taji la Ngao ya Jamii 2026. Mchezo huu wa ufunguzi wa pazia la msimu mpya […]

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akisikiliza maelezo kutoka kwa Mwakilishi wa Idara ya Biashara za Serikali wa Benki…

LOS ANGELES, Marekani MAREKANI imeiondoa Syria katika orodha ya nchi inazoamini zinafadhili vitendo vya kigaidi (SSOT). Hatua hiyo ni mwendelezo wa uhusiano mzuri wa mataifa hayo tangu kuanguka kwa utawala wa Rais Bashar al-Assad nchini humo. Kama itakumbukwa, Al-Assad aliondoshwa madarakani Desemba, 2024, baada ya mi…

Mshambuliaji wa kimataifa wa Angola, Laurindo Dilson “Depu”, ameaga rasmi klabu ya Yanga pamoja na mashabiki wake baada ya kuondoka …
.png)
Meridianbet imefungua mlango wa burudani mpya kupitia 3 Fisher Cats, mchezo kutoka Amigo unaowaweka paka watatu wajanja katikati ya safari ya uvuvi iliyojaa matukio. Badala ya kuvua kwa njia ya kawaida, paka hawa wameingia kwenye mchezo wakiwa na ndoano zao na matumaini ya kupata samaki pamoja na zawadi zinazoweza kuj…

Kylian Mbappé amemaliza misimu yake miwili ya kwanza akiwa Real Madrid bila kushinda taji lolote, lakini ana matumaini kuwa mabao atakayofunga kwenye Kombe la Dunia yataongeza nafasi zake za kushinda …

ZANZIBAR: ZANZIBAR must do more to translate economic growth into tangible opportunities for citizens by expanding access to capital, strengthening entrepreneurship and promoting value addition, President Hussein Ali Mwinyi has said. Dr Mwinyi said the government would continue prioritising economic empowerment by str…

ZANZIBAR: ZANZIBAR President Hussein Ali Mwinyi has positioned the Kizimkazi Festival as more than a celebration of culture, saying the annual event can open up tourism, business and investment opportunities, particularly in the Blue Economy. Mwinyi made the remarks while officially launching the 2026 Kizimkazi Festiv…

Wanunuaji wa sarafu hizo watanunua kwa bei nafuu kulinganisha wiki iliyopita, kadhalika wauzaji watapata faida zaidi.

The East African Community (EAC) has secured €39.8 million (about Sh121.4 billion) in new grant funding from Germany to boost regional trade, expand access to finance for small businesses and accelerate economic integration across the region.

DAR ES SALAAM: For Tanzania’s smallholder coffee farmers, the real significance of a change at the top of a development foundation will not be measured in boardroom decisions. It will be seen in the resilience of farms, the strength of household incomes, the opportunities available to young people and the ability of c…

Ni Yanga SC 1-0 Simba SC Ngao ya Jamii 2026 mchezo wa ufunguzi pazia la NBC Premier League 2026/27. Wababe hawa walikuwa na dakika 90 bora zilizovuta hisia za wengi. Bao la ushindi lilifungwa na nyota Albert Kangwanda dakika ya 32 kipindi cha kwanza. Taarifa kuhusu Seleman Mwalimu: Ngao ya Jamii Yanga SC vs Simba […]

DAR ES SALAAM: THE Tanzanian government has enlisted 33 Miss Universe Tanzania contestants to champion the use of clean cooking energy as part of efforts to accelerate the country’s transition to safer, affordable and environmentally friendly cooking solutions. Speaking during the Miss Universe Tanzania contest held a…

Kikosi cha Azam FC kimeanza msimu huu wa Ligi Kuu Bara kwa kasi ya tofauti na mwamko mpya, huku safu yao ya ushambuliaji ikiongozwa na nyota wawili hatari, Abdul Suleiman ‘Sopu’ na Idd Seleman ‘Nado’. Wawili hawa wamekuwa kivutio kikubwa kwa mashabiki kutokana na viwango vyao vya juu uwanjani. Sopu amejipambanua kama …

Leo saa 2:00 usiku, macho na masikio ya wapenda soka barani Afrika yatakuwa katika Dimba la Moulay El Hassan mjini Rabat, Morocco. Ni hitimisho la siku 21 za msisimko wa Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON), ambapo Cameroon (‘Indomitable Lionesses’) itachuana vikali dhidi ya miamba wapya, Malawi. Huu si mc…

BAADA ya kufanya usafi wa kikosi kwa kuachana na wachezaji 15, klabu ya Mlandege imeanza rasmi mchakato wa kusajili mitambo mipya kuelekea msimu wa 2026/2027, ikilenga kujenga timu yenye mchanganyiko wa damu changa na ushindani wa muda mrefu. Katika usajili wa msimu huu, Mlandege imeweka nguvu kubwa kwa wachezaji weny…

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa…

DODOMA: TANZANIA has stepped up efforts to tackle vitamin and mineral deficiencies after the government handed over 100 litres of Vitamin A premix to the Tanzania Sunflower Processors Association (TASUPA) for use by small-scale edible oil processors. The move is part of the government’s broader strategy to ensure loca…

MADRID, Hispania — Mamilioni ya watu katika maeneo mbalimbali ya Dunia walielekeza macho yao angani Jumatano, Agosti 12, 2026, kushuhudia…

Na. Mwandishi Wetu – Dar es Salaam Serikali kupitia Shirika la Uvuvi Tanzania (TAFICO) imesaini mkataba wa ujenzi wa meli tatu za uvuvi wa…

WANANCHI wa Kata ya Msangamkuu, Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara mkoani Mtwara, wameishukuru Serikali kwa kuwajengea Kituo cha Afya cha Msangamkuu, kilichogharimu zaidi ya Sh milioni 25, wakisema kimewaondolea changamoto ya kusafiri umbali mrefu kufuata huduma za afya. Wakizungumza wakati Waziri wa Viwanda na Biashara,…

ZANZIBAR; Rais wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan, Agosti 14, 2026, amemkabidhi Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Masha Mshomba, Cheti cha shukrani kwa kutambua ushiriki na mchango wa NSSF katika Tamasha la Kizimkazi 2026. Cheti hicho ni ishara ya kutambua mchango wa NSSF katika kuunga mko…

MOROGORO: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has described school sports as a powerful tool for strengthening East African integration and nurturing the region’s future leaders. Nchemba’s remarks were read on his behalf by the Minister for Education, Science and Technology, Adolf Mkenda, during the official opening of the…

Na mwandishi wetu, Gazetini MAGEUZI ya Kidijitali ni kichocheo kingine muhimu cha maendeleo katika karne hii ya 21. Kwa maana nyingine, mageuzi ya kidijitali ni fursa nyingine ya kuharakisha maendeleo katika jamii na taifa kwa ujumla. Kwa kutumia teknolojia hizi kwa ufanisi, Tanzania itaongeza ushindani wake, itapanua…

It is the only telecommunication company in Tanzania that recorded the highest gain of the market share in the quarter ending June 2026.

Mabingwa wa England, Arsenal, wanafuatilia kwa karibu maendeleo ya kiungo mshambuliaji wa Como, Nico Paz (22). Kocha Mikel Arteta yupo kwenye mpango wa kuimarisha kikosi chake kwa kusajili viungo wenye ubora na uwezo wa kudumu kwa muda mrefu. Paz, raia wa Argentina, amekuwa mmoja wa wachezaji wanaong’ara zaidi kwenye …

LINDI: YOUNG Africans Head Coach Manqoba Mngqithi commended his side’s patience after they beat Namungo FC 3-1 at Majaliwa Stadium in Lindi, with all four goals coming in the second half. Mngqithi said Yanga created enough chances to have scored six or seven goals, but admitted he was worried their missed opportunitie…

DAR ES SALAAM: TANZANIA’S ambition to build a US$1 trillion economy by 2050 will depend not only on how much the country invests, but also on where that investment is directed and how effectively it is put to work. Over the years, the country has built a substantial portfolio of public institutions, State-owned enterp…

Soma zaidi...

ASASI Za Kiraia (AZAKI) nchini zinashiriki katika kutekeleza Mpango wa Taifa wa Kutekeleza Agenda ya Wanawake, Amani na Usalama (TNAP 2025/2029), kufikisha ujumbe na kutoa elimu kwa jamii, kuhusu umuhimu wa kulinda amani. Mkutano huo ulishirikisha wadau mbalimbali wakiwamo wa mae…

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imeishauri Serikali kuiongezea wataalam Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) ili Taasisi hiyo iweze kuimarisha afya, usalama na ustawi wa wafanyakazi nchini. Ushauri huo umetolewa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Hawa Chakoma…

ZANZIBAR: THE Zanzibar government has pledged to continue strengthening cooperation with China to improve access to quality healthcare in the isles. Acting Minister for Health, Dr Saada Mkuya Salum, said this during a farewell ceremony for China’s 35th Medical Team and a third team of experts supporting the fight agai…

Na Belinda Joseph – TangaMamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imetajwa kuwa moja ya taasisi muhimu katika utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, kutokana na mchango wake katika kuwaandaa Watanzania wenye ujuzi unaohitajika katika uzalishaji na shughuli mbalimbali za kiuchumi.Akizungumza na Michu…

Na Mwandishi WetuKUNDI lingine la mamia ya wanafunzi wa Kitanzania wameondoka nchini Jumamosi kuelekea vyuo vikuu mbalimbali kuanza masomo ya elimu ya juu.Wanafunzi hao walioondoka kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Terminal 3, jijini Dar es Salaam, wengi wao wamechagua programu zinazohusiana na s…

DAR ES SALAAM: ALGERIA has offered 150 university study opportunities to Tanzanian students under the Samia Scholarship programme, covering their tuition fees while Tanzania meets their living expenses. The beneficiaries are among 1,000 students selected under the programme to pursue Science, Technology, Engineering a…

The Minister for Finance of the United Republic of Tanzania, H.E. Ambassador Khamis Mussa Omar, has laid the foundation stone for the construction of a new Tanzania Revenue…
By The Respondents ReporterFifteen children diagnosed with hearing difficulties during a specialist medical camp in Arusha have received hearing-support devices worth more than TZS37 million.The devices were handed over on Wednesday, September 9, 2026, by Deputy Health Minister Dr Florence Samizi on behalf of Health M…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewataka Watanzania kulinda amani, usalama na utulivu wa nchi,…
.jpeg)
Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) inashiriki katika Maadhimisho ya Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu 2026, yanayofanyika katika viwanja vya Shule ya Sekondari Usagara, mkoani Tanga.Maadhimisho hayo yameanza leo, Agosti 15, 2026, na yanatarajiwa kuhitimishwa Agosti 24, 2026, yakibeba kaulimbiu isemayo: “Elimu, U…

Hapa tunakuletea matokeo ya NBC Premier League mzunguko wa 5 kwa msimu wa 2026/27. Yamefungwa jumla ya mabao 18 ndani ya uwanja. Singida Black Stars 3-2 Namungo FC umekusanya mabao mengi zaidi ambayo ni matano. JKT Tanzania 3-0 Pamba Jiji FC ni rekodi ya timu iliyopata ushindi mkubwa. Ijue ratiba ya ligi: Ratiba ya Li…

DAR ES SALAAM: Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Angellah Kairuki, amesema upanuzi wa huduma za intaneti kupitia mkongo wa Taifa wa fiber optic ni hatua muhimu ya kufungua fursa za elimu, ajira, biashara, ubunifu na huduma bora kwa wananchi Kairuki amesema hayo Leo wakati wa uzinduzi wa awamu ya pili ya m…

DAR ES SALAAM: THE government’s decision to require all upcountry buses to begin their journeys at Magufuli Bus Terminal in Mbezi is reshaping Dar es Salaam’s transport system. While the move has raised concerns among passengers, the government has a strong case for centralising intercity bus operations. The real ques…

ZANZIBAR: ZANZIBAR President, Dr Hussein Mwinyi has commended the Kizimkazi Festival for its key role in promoting and advancing culture, tourism and other economic activities in Tanzania. Dr Mwinyi made the remarks today, August 14, 2026, during the closing ceremony of the Kizimkazi Festival 2026, held in Makunduchi,…

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ally Kamwe, amewataka mashabiki wa klabu hiyo kutoridhika na matokeo mazuri ya mwanzo…

Na mwandishi wetu, Gazetini NI moja ya sekta muhimu yenye fursa kubwa ya kuchangia maendeleo ya nchi. Hii inatokana na utajiri wa rasilimali za madini, zikiwemo dhahabu, almasi, tanzanite, na madini ya kimkakati kama grafiti, lithium, urani, na madini adimu. Madini haya yanazidi kupata umuhimu na thamani kubwa, wakati…

Hatimaye Yanga SC imemtambulisha rasmi kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Burkina Faso, Stephane Aziz Ki, ambaye amerejea Jangwani baada ya…

Hakuna ubishi kuwa rapa Billnass ni miongoni mwa wasanii wa rap waliokuwa na mwendelezo mzuri wa kufanya vizuri katika muziki wa Bongo Fleva kwa zaidi ya miaka 10 iliyopita. Mbali na kazi ya muziki, uhusiano na ndoa yake na msanii Nandy ni kati ya mambo yanayofanya jina la Billnass kuendelea kutajwa na kuzungumzwa kil…

By The Respondents ReporterThe government is reviewing and strengthening the training of health professionals as part of efforts to address changing healthcare needs and improve the quality of services available to Tanzanians.Health Minister Mohamed Omary Mchengerwa said the reforms were intended to ensure graduates e…

NA DENIS MLOWE, IRINGA MWANAFUNZI wa zamani wa Shule ya Sekondari Tosamaganga, Dkt. Greyson Nyamoga, ambaye kwa sasa ni Mhadhiri Mwandamizi katika Chuo Kikuu…

JE unajua kuwa leo hii ndio siku nzuri ya wewe kutengeneza pesa mbazo unazitaka?. Timu nyingi kushuka dimbani leo kusaka ushindi. Je wewe unasubiri nini kusaka ushindi pia?. Beti sasa.Kule Uingereza tutashuhudia mechi ya EPL, kali kabisa ambayo ni Manchester Derby kati ya Manchester United dhidi ya Manchester City amb…

In Bububu, about 10 kilometres north of Zanzibar’s historic Stone Town, a group of 40 women has built a livelihood around preserving and promoting the culture of Zanzibar through tourism.

Na mwandishi wetu, Gazetini SEKTA ya Madini nchini Tanzania imevutia uwekezaji wenye thamani ya Sh trilioni 9 ndani ya kipindi cha miaka minne, hatua ambayo Serikali inasema imeendelea kuiimarisha Tanzania kama miongoni mwa vivutio muhimu vya uwekezaji wa madini barani Afrika. Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, amesem…

Ligi Kuu ya NBC 2026/27 itaingia katika mzunguko wa tatu wikiendi hii, kwa mechi kadhaa kupigwa kwenye viwanja mbalimbali. Miongoni mwa ratiba za mechi kali ni ile ya Singida Black Stars vs Simba SC. Mpaka sasa ndani ya mechi 2 tu, tayari msimamo wa ligi umeanza kuwa na taswira ya aina yake. Makala hii inachambua […]

Na Janeth Raphael -MichuziTv -Bungeni Dodoma SERIKALI imeeleza mikakati mbalimbali inayotekelezwa katika kuendeleza michezo kwa watu wenye ulemavu, ikiwemo kuandaa makocha, kuendesha mashindano na matamasha ya michezo, pamoja na kuwawezesha wanamichezo wenye ulemavu kushiriki mashindano ya kimataifa.Kauli hiyo imetole…

MZUKA wa Mabingwa ndani ya Meridianbet unaendelea kwa kasi, lakini muda wa kusaka zawadi kubwa unazidi kupungua. Zikiwa zimebaki siku 24 pekee kabla ya ofa hii maalum kwa watumiaji wa Airtel Money kufungwa, sasa ni wakati wa kuchangamkia nafasi ya kushinda zawadi zinazovutia, ikiwemo Bajaj, PlayStation 5, Hisense TV, …

Arsenal FC, inayojulikana pia kama Asenali katika mazungumzo ya soka Tanzania, inacheza Premier League na mechi zake za nyumbani kwenye Emirates Stadium, London. Baada ya Matchweek 1 ya 2026/27, Arsenal iko nafasi ya pili kwa pointi 3 baada ya kuifunga Coventry City 3-0. Taarifa hizi zimehakikiwa hadi 25 Agosti 2026. …

Crystal Palace wanajiandaa kuwakaribisha mabingwa watetezi Manchester City katika mchezo wa Ligi Kuu ya Uingereza. Hapa tumekuletea uchambuzi wa kina kuhusu mchezo huu muhimu wa mapema msimu.

By Victoria GodfreyYanga SC have officially unveiled Burkina Faso international Stephane Aziz Ki, marking the return of one of the club’s most familiar and influential attacking players ahead of the new season.The unveiling was held on Saturday, August 15, 2026, at KMC Stadium in Dar es Salaam, where thousands of Yang…

By The Respondents ReporterThe government has renewed its call for Tanzanians to make regular exercise, healthy diets and disease prevention part of their daily lives as the country steps up efforts to tackle non-communicable diseases.Deputy Minister for Health Dr Florence Samizi and the ministry’s Permanent Secretary…

Na Hassan Mwasha, Gazetini ZIPO sababu nyingi za kukufanya uchukue hatua sasa ya kuachana kabisa na mkaa au kuni na kuhamia nishati safi ya kupikia katika matumizi yako ya kila siku hapo nyumbani. Ukiachana na gharama kubwa, uchafuzi wa mazingira na ugumu wa upatikaji wake, matumizi ya mkaa au kuni yamekuwa yakisababi…

Pwani Yazindua Mwezi Wa Maendeleo Ya Jamii Kwa Ushiriki Wa Wananchi Katika Ujenzi Wa Shule ya Sekondari ya Mkupuka.

KOCHA Mkuu wa Yanga, Manqoba Mngqithi, ameanza rasmi maandalizi ya kikosi chake kuelekea mechi za Ligi ya Mabingwa Afrika, huku akisisitiza umuhimu wa kila mshambuliaji kutumia vyema nafasi anazopata ili kupunguza presha na kuongeza ushindani wa namba ndani ya timu. Yanga iliibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Pamb…

THE government plans to integrate digital health systems used by public and private healthcare providers and establish a National Health Data Centre to improve access to health information and strengthen service delivery. The planned Health Data Centre will bring together health …
.jpeg)
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewasili leo Jumatatu, Agosti 24, 2026, katika Uwanja wa Ndege wa Mkoa wa Tanga, ambapo anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu yanayofanyika katika Viwanja vya Shule ya Sekondari Usagara, mkoani Tanga.Amepokelewa na M…

DAR ES SALAAM: BALOZI wa Uturuki nchini Tanzania, Bekir Gezer, amesema uhusiano kati ya Tanzania na Uturuki unaendelea kukua na kuimarika katika maeneo mbalimbali, akisisitiza kuwa ushirikiano huo utaendelea kuleta fursa na manufaa kwa wananchi wa nchi hizo mbili. Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es Salaam baada ya…

Gabriel Martinelli yuko hatua za mwisho kuelekea kuondoka Arsenal baada ya kocha Mikel Arteta kumwelekeza kutafuta klabu mpya, huku Al Hilal ya Saudi Pro League ikitajwa kuwa tayari kumnasa winga …
.jpeg)
Afisa Uratibu wa Ukuzaji Mitaala wa VETA Mhandisi Audiface Tarimo akizungumza na waandishi wa habari katika Banda la VETA kwenye Wiki ya Kitaifa ya Elimu,Ujuzi na Ubunifu linalofanyika Shule ya Sekondari Usagara jijini Tanga.Na Mwandishi Wetu, TangaMAMLAKA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) inatarajia kuzalish…

Klabu ya Manchester United haijaondoa uwezekano wa mshambuliaji wa kimataifa wa England, Marcus Rashford (28), kuondoka klabuni hapo. Hali hii inajiri huku miamba ya soka Arsenal na Barcelona zikiendelea kufuatilia kwa karibu maendeleo ya nyota huyo. Inaarifiwa kuwa Rashford—ambaye katika misimu miwili iliyopita alich…

Tanzania has tightened the legal limit on the government’s ability to obtain temporary financing from the Bank of Tanzania (BoT). This move could reshape how it manages short-term fiscal pressures while reinforcing the separation between monetary and fiscal policy According to th…

The Tanzania Truck Owners Association (TATOA) has commended the Tanzania Revenue Authority (TRA) for measures aimed at creating a more conducive business environment for truck…

By Our Reporter The National Judo Association (JATA)says it plans to honor local Judoka Andrew Mlungu for his outstanding performance at the recent Glasgow ,Commonwealth Games. At the Commonwealth Games,Mlungu made history by becoming the first Tanzanian Judoka to finish in the top ten in the 81 kg plus category. Yoha…

By John Wycliffe Musinguzi Kibuli Secondary School emerged as one of the outstanding performers at the 2026 FEASSA Games in […]

DAR ES SALAAM: TANZANIAN entrepreneurs developing solutions in blockchain, artificial intelligence, fintech and other emerging technologies have been urged to look beyond the domestic market and connect with investors through the newly launched Africa Blockchain Festival (ABF) Fellowship Programme 2026. The fellowship…

Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) imejizatiti kuongeza kasi ya mageuzi ya kitaasisi na kifedha yanayolenga kukuza Mapato yasiyo ya kodi…

GEITA: THE 28 towns water project being implemented at a cost of 53.463 million US dollars in Geita Municipality has reached 80 per cent completion. Geita Urban Water Supply and Sanitation Authority (GEUWASA) Director, Engineer Frank Changawa, revealed this to leaders of the 2026 National Torch Race during their visit…

Na Mandishi WetuMAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeteketeza ekari 603 za mashamba ya bangi na kukamata magunia 49 ya bangi katika operesheni maalum iliyofanyika Wilaya ya Mvomero, mkoani Morogoro, huku watuhumiwa 13 wakikamatwa kuhusisiana na mashamba hayo. Operesheni hiyo iliyofanyika kati…

Mahakama imeeleza kuwa katika hatua ya sasa haiangaalii kiundani uzito wa ushahidi au kuaminika kwa ushahidi bali uhusiano uliyopo kati ya ushahidi uliotolewa na shtaka lililopo na mshtakiwa

Soma hapa...

ZANZIBAR: MINISTER of State in the Vice-President’s Office (Union and Environment), Engineer Hamad Masauni, has urged young people to seize opportunities created by the Union between Tanzania Mainland and Zanzibar, particularly in education, employment and business. Eng Masauni said the government was committed to cre…

▪️Waziri Mavunde na Waziri Kabamba wakubaliana msingi wa ushirikiano, ▪️Ni utekelezaji wa maelekezo ya Rais Samia na Rais Tshisekedi ya ushirikiano baina ya nchi…

DAR ES SALAAM: The League of United Kingdom of Africa (LUKA) has welcomed Tanzania’s decision to involve legal experts and judges from other African countries in the Criminal Inquiry Commission investigating violence and criminal incidents reported during and after the October 29, 2025 General Election. According to a…

ZANZIBAR: Tanzania and the Democratic Republic of Congo (DRC) have agreed to deepen cooperation in mining, trade, investment, infrastructure, peace and security as the two countries seek to strengthen their strategic partnership. President Samia Suluhu Hassan announced the agreement on Tuesday, after holding talks wit…

Apple iko karibu kufungua ukurasa mpya wa historia ya iPhone. Kesho, Septemba 9, kampuni inatarajiwa kuonyesha iPhone yake ya kwanza ya mkunjo, bidhaa ambayo imekuwa ikisubiriwa kwa miaka wakati Samsung, Huawei na wengine wakiendelea kujenga soko hilo. Lakini safari hii macho hayataangalia simu pekee. Zitakuwa pia kwa…

TANGA: Ubunifu wa wanafunzi na wataalamu kutoka Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) umeendelea kuibua matumaini kwa wananchi katika kutafuta suluhisho za changamoto mbalimbali za afya zinazowakabili katika maisha ya kila siku. Kupitia banda la MUHAS katika Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubu…

By Victoria GodfreyFountain Gate FC head into their next league assignment against Namungo FC with renewed confidence after securing a 1-0 victory over Mashujaa FC.The result has provided a timely morale boost for the newly determined side as it seeks to build momentum and collect more points in the ongoing season.Fou…

By Victoria GodfreySimba SC head coach has challenged his players to maintain their winning momentum when they face Pamba Jiji tomorrow, warning that the NBC Premier League encounter will require maximum concentration and commitment.Simba will be looking to secure a second consecutive victory after opening their campa…

Na Munir Shemweta, TangaWaziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo, amesema Wizara yake iko tayari kutoa hati miliki za ardhi kwa maeneo yatakayotumika katika shughuli za utafiti, elimu ya ujuzi na ubunifu nchini.Dkt. Akwilapo ameyasema hayo leo, Agosti 18, 2026, wakati wa uzinduzi wa W…

KAGERA: THE Uhuru Torch Leader, Mr Wazo Michael Mwang’onda, has urged residents in Kagera Region’s eight councils to fully utilise economic opportunities provided by the sixth phase government under President Samia Suluhu Hassan to improve their livelihoods. He also called on wananchi to safeguard peace and unity, str…

The Democratic Republic of the Congo (DRC) has begun preparations to build a dry port in Dar es Salaam that will provide customs, cargo handling, mineral certification, and quality control services for Congolese goods moving through Tanzania, President Félix Tshisekedi announced during a state visit to Tanzania on 18 …

By The Respondents ReporterThe government is stepping up efforts to accelerate the implementation of road and bridge projects by improving access to financing and exploring new ways of funding major infrastructure investments.Finance Minister Ambassador Khamis Mussa Omar held talks with Works Minister Abdallah Ulega a…

Na Shaban Juma, WAF – Dodoma Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Florence Samizi, amesema Serikali inaendelea na mikakati ya kusambaza huduma za matibabu ya…

By Dr. Bravious KahyozaPPP EconomistFor more than six decades, the Tengeru Institute of Community Development (TICD) has trained people to work at the intersection of communities, government and development.Established in 1963, the institution has evolved into a higher-learning centre offering programmes from certific…

The Relief to Development Society (REDESO), in collaboration with the Vocational Education and Training Authority (VETA), has trained 12 instructors from VETA colleges as Trainers of Trainers (ToT) in clean energy technologies. The Relief to Development Society (REDESO), in colla…
.jpeg)
Na Julitha Mlay ,NATCOMKATIBU Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo, ametembelea Banda la Tume ya Taifa ya UNESCO ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika maadhimisho ya Wiki ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu Kitaifa yanayoendelea jijini Tanga.Katika ziara hiyo, Prof. Nombo alipata fursa ya ku…

DODOMA: NAIBU Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (anayeshughulikia afya), Jafar Seif, amesema ugatuzi wa madaraka ni miongoni mwa misingi muhimu ya kufanikisha Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, akisisitiza umuhimu wa kuendelea kuziimarisha Serikali za Mitaa ili ziweze kutoa huduma bora k…

TANGA; Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba ameitaka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia pamoja na taasisi zake kuhakikisha bunifu zinazozalishwa na Watanzania haziishii kuoneshwa kwenye maonesho, bali zinaendelezwa, zinalindwa na kupelekwa sokoni, ili zitoe suluhisho kwa changamoto mbalimbali na kuchangia ukuaji wa uch…

DAR ES SALAAM: TAIFA Stars Head Coach, Miguel Gamondi, has called for stronger cooperation between the national team and domestic clubs to improve player development and Tanzanian football. Gamondi made the call after visiting Simba SC in Dar es Salaam, where he met the club’s technical staff, head coach Steve Barker …

Na Oscar Assenga,TANGATUZO ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu imeendelea ,kuonyesha mafanikio makubwa, ambapo tangu kuanzishwa kwake Watanzania 27 wamefanikiwa kushinda katika nyanja mbalimbali za uandishi bunifu.Hayo yamesema leo na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda wakati akizung…

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga SC, leo wanashuka kwenye Uwanja wa KMC Complex, Mwenge jijini Dar es Salaam kuwakabili Coastal Union ya Tanga, katika mchezo wa raundi ya pili wa msimu wa 2026/27. Baada ya kuanza msimu kwa kishindo kwa kuichapa Namungo FC mabao 3-1, Yanga inasaka ushindi wa pili mful…

Fuatilia kwa undani ratiba kamili, matokeo ya hivi karibuni, na msimamo wa Ligi Kuu Bara 2026/27 kwa klabu ya Simba SC. Hapa tumekuletea uchambuzi wa kina wa safari ya Wekundu wa Msimbazi katika msimu huu.

Nyota wa Inter Miami, Lionel Messi, ameadhibiwa kwa faini na Ligi Kuu ya Soka Marekani (MLS) kufuatia tukio la kumpiga…

Mshambuliaji wa Atlético Madrid, Julián Álvarez, ameamua kuendelea kusalia katika klabu hiyo licha ya kuwepo kwa taarifa za kuhusishwa na…

Fuatilia kwa undani ratiba kamili, matokeo ya hivi karibuni, na msimamo wa Pamba Jiji FC katika Ligi Kuu Bara msimu wa 2026/27. Hapa tumekuletea uchambuzi wa kina kuhusu mwenendo wa timu hii ya Mwanza.

Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Ndg. Abdi Mahmoud Abdi, ameridhishwa na hatua ya ujenzi wa Hospitali ya Nungwi, Mkoa wa Kaskazini ‘A’, akisema mradi huo utasaidia kutatua changamoto mbalimbali za huduma za afya kwa wananchi wa jimbo hilo.Ndg. Abdi amesema ujenzi wa hospitali hiyo ni sehemu ya …

SHINYANGA YAFIKIA LENGO LA 95-95-95 MAPAMBANO DHIDI YA VVU

DAR ES SALAAM: FOUR decades after Tanzania established an institution dedicated to advancing science and technology, the focus is shifting from how much research the country produces to how much economic value that knowledge can create. As the Tanzania Commission for Science and Technology (COSTECH) marks 40 years, mo…

NA DENIS MLOWE, IRINGA MKUU wa Wilaya ya Iringa, Benjamini Sitta, amewataka madiwani wa Manispaa ya Iringa kuongeza juhudi katika ukusanyaji wa mapato ya…

SOUTH AFRICA: SINGIDA Black Stars will look to maintain their strong start to the Mainland Premier League when they face Mashujaa FC at Lake Tanganyika Stadium today, with the encounter also offering coach Papi Kimoto a chance to fine-tune his side ahead of their CAF Confederation Cup return leg. Singida go into the m…

Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma imemwachia huru Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Melkisedek Kitunzi Kaijage, baada ya upande…

By The Respondents ReporterA total of 2,662 young people have been reached with health education through the Jiongeze 360 Bonanza in Tunduru District, Ruvuma Region, in an initiative aimed at addressing challenges including teenage pregnancy, HIV infections and gender-based violence.Of those reached, 804 youths receiv…

DODOMA; Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, ikiongozwa na Mwenyekiti wak, Deodatus Mwanyika, imeipongeza Wizara ya Viwanda na Biashara pamoja na taasisi zake kwa utekelezaji mzuri wa majukumu yake ya udhibiti ubora kwa ufanisi. Mwanyika amesema kuwa juhudi zinazofanywa na TBS kuhakikisha …

The Tanzania Economic Survey 2025 shows that hydropower generated 63.85 percent of electricity from the National Grid in 2025, while natural gas accounted for 31.48 percent. Hydropower had an installed capacity of 2,718.27 megawatts (MW), compared with 1,140.72 MW for natural gas.

The Commissioner General of the Tanzania Revenue Authority (TRA), Mr. Yusuph Juma Mwenda, has said that the Authority will continue listening to and addressing challenges faced…

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi, Dk Bashiru Ally, amefungua Kongamano la Nne la Kimataifa la Uvuvi na Ukuzaji Viumbe Maji (4tFAR4ViBE), huku akisisitiza matumizi ya sayansi, teknolojia na ubunifu katika kuendeleza sekta hizo kwa manufaa ya Taifa. Kongamano hilo la siku tatu limeanza leo, Agosti 24, 2026, kati…

The World Bank is considering financing a second phase of the Dar es Salaam Port upgrade after the first phase, backed by a USD 345 million credit, reached 85% completion and helped raise annual throughput from 14 million tonnes in 2015/16 to 32.8 million tonnes in 2025/26. Regional Vice President Ndiamé Diop signalle…

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo, Mheshimiwa Husna Sekiboko, ametoa wito wa kuimarishwa kwa elimu na mafunzo ya ufundi na ujasiriamali nchini, akisema ujuzi wa vitendo unaweza kuwa silaha muhimu kwa vijana katika kukabiliana na ukosefu wa ajira kwa kujiajiri na kuunda ajira kwa we…

Na Janeth Raphael – MichuziTv Mfumo wa Kielektroniki wa Ununuzi wa Umma (NeST) umeendelea kuimarishwa kwa kuunganishwa na zaidi ya mifumo 30 ya taasisi mbalimbali, hatua inayolenga kurahisisha mchakato wa zabuni za umma, kuongeza ufanisi na kuimarisha uhakiki wa taarifa za wazabuni.Hatua hiyo pia imeongeza uwezo wa Se…

Dar es Salaam. Mahakama Kuu ya Tanzania imemkuta Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu na kesi ya kujibu katika mashtaka ya uhaini yanayomkabili, hatua itakayomfanya aendelee tena kusota mahabusu huku akijitetea kujinasua katika shtaka hilo. Uamuzi huo, uliotolewa na Jaji Dunstan Ndungu…

KOCHA Mkuu wa Simba SC, Steve Barker, ameweka wazi kuwa kikosi chake kipo kwenye hali nzuri ya kimwili na kisaikolojia kuelekea pambano la Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Singida Black Stars kwenye Uwanja wa Airtel, Singida. Mchezo huo unakuwa wa tatu kwa Wekundu wa Msimbazi ndani ya wiki moja tangu kufunguliwa kwa ms…

Kocha Mkuu wa Yanga, Manqoba Mngqithi, ametoa onyo kali kwa watu wanaotafuta madhaifu ya timu hiyo, akisisitiza kuwa wataishia kuvuna majuto kutokana na mafanikio ambayo kikosi chake kimejipanga kuyapata msimu huu. Kauli hiyo imekuja mara baada ya Yanga kuibuka na ushindi mnono wa mabao 4-1 dhidi ya Coastal Union, kat…

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, Yanga SC, wameendeleza kasi yao ya ushindi baada ya kuipa kipigo kizito Coastal Union cha mabao 4-1 katika mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa KMC Complex. Ushindi huo mnono unaifanya Yanga SC kufikisha pointi sita na kurejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara ndani…

Na Fullshangwe, Rufiji RUFJI, PWANI: Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amesema kukamilika na kuzinduliwa kwa Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP) ni…

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA sehemu iliyopita, aliyekuwa Waziri wa Afya katika uongozi wa Idi Amin, Henry Kyemba, alisimulia kupitia Kitabu chake cha ‘State of Blood: The Inside Story of Idi Amin’ cha mwaka 1977, kwamba ukatili wa kiongozi huyo ulitokana na kabila lake la Kkwa. Kyemba akasema kama yalivyo makabi…

Kipenga cha kuanza kwa Mashindano ya Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake kinapulizwa rasmi leo Ijumaa, Agosti 21, jijini Kigali, Rwanda. Miamba ya soka la wanawake kutoka ukanda huu inaanza vita ya kusaka tiketi moja pekee ya kuwakilisha Afrika Mashariki kwenye michu…

Kiungo wa zamani wa Young Africans (Yanga SC), Allan Okello, ametangaza rasmi kuondoka katika klabu hiyo baada ya kuwa na kipindi kifupi ndani ya kikosi hicho. Okello amefikisha uamuzi huo …

Sehemu ya mafanikio hayo imetokana na kubadilisha vifaa vya zamani vya mawasiliano ya redio katika maeneo 1,808 ndani ya miezi saba.

Mameneja wa Kanda na Mikoa wa Taasisi za Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Tume ya Ushindani (FCC) pamoja na Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA) wameagizwa kuhakikisha hakuna bidhaa bandia na duni katika maeneo yao wanayoyasimamia kiutendaji.Maelekezo hayo yametolewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Mhe. …

Party’s mainland vice-chair links Lissu’s address to constitutional and electoral reform push, while acknowledging Lissu vowed to stop and disrupt the 2025 election.

MOROGORO: THE Permanent Secretary in the Ministry of Information, Culture, Arts and Sports and Government Chief Spokesperson, Gerson Msigwa, has urged Tanzanians not to be concerned about preparations for the 2027 Africa Cup of Nations (AFCON), insisting that Tanzania, Kenya and Uganda will remain the host countries f…
.jpeg)
Na Mwandishi wetu, Simanjiro MADIWANI, watumishi na baadhi ya wakazi wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, wamejipanga kikamilifu kuhakikisha wanashiriki kwa wingi mbio za Manyara Tanzanite Marathon 2026 zinazotarajia kufanyika mjini Babati.Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro, Kaleya Melita Mollel akizun…

GAMOND ATAHARUKI: Wazawa Benchi Yanga na Simba Yaibua Hofu Taifa Stars Elekeo AFCON 2027 Kengele ya hatari imealia kwenye benchi la ufundi la Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars)! Kocha Mkuu wa timu hiyo, Gamond, ameeleza wasiwasi mkubwa alionao kutokana na idadi ndogo ya wachezaji wazawa wanaopata nafasi ya kuchez…

Wafanyabiashara tisa wa Mtaa wa Lumumba jijini Mwanza wamepata nafasi ya kujenga upya biashara zao baada ya NMB Bank, kwa kushirikiana na Reliance Insurance, kuwalipa fidia ya Sh1.072 bilioni kufuatia moto ulioteketeza maduka na mali zao Julai 3, 2026. Meneja wa Madai ya Bi…

LONDON, England — Mabingwa wa Ligi Kuu ya England, Arsenal, wamekamilisha usajili wa beki wa kimataifa wa England, Ezri Konsa, kutoka Aston Villa kwa ada ya jumla ya pauni milioni 55. Konsa, mwenye umri wa miaka 28, ametia saini mkataba wa miaka minne kuwatumikia Wanakhasho hao wa London, kukiwa na kipengele cha kuong…

Soma zaidi...

IRINGA: KILIO cha muda mrefu cha wakulima wa kata ya Wasa wilayani Iringa, kuhusu kuuziwa mbegu feki na watu wasio waaminifu kimepata suluhu kufuatia elimu juu ya matumizi ya mbegu bora na njia za kuzipata. Elimu hiyo imefika vijijini siku chache baada ya wananchi wa kata hiyo kumweleza Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Benja…

KIGALI: SIMBA Queens Head Coach Mussa Hassan has admitted his side were not at their best against Top Girls Academy, but insisted securing three points was the priority after their 2-0 victory at Kigali Pelé Stadium in the CAF Women’s Champions League CECAFA qualifying tournament. Simba were made to work for the resul…

PWANI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema kukamilika kwa Mradi wa Kufua Umeme wa…

TANZANIA has medium term electricity supply security projected through to the early 2030s before additional major power sources are required, experts affirm. Top level officials said at the commissioning of the 7.45trn/- Julius Nyerere Hydropower Project (JNHPP), commissioned in …

Soma hapa...

MOSHI: TEACHERS should integrate artificial intelligence (AI) and other digital tools into classroom teaching to help students develop skills needed in an increasingly digital economy, education experts have said. The call was made during the 2026 Teaching and Learning with Digital Resources in Serving Training worksh…

KILIMANJARO: TANZANIA’S Ambassador to France and Permanent Delegate to the United Nations Educational, Scientific and Cultural Organisation (UNESCO), Saidi Othman Yakubu has called for the development of new tourism products at Kilimanjaro National Park to attract more French tourists. He also urged intensified promot…

LEO Jumamosi, tarehe 22 Agosti 2026, Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) inaanza rasmi msimu wa 2026/27, na mchezo mkubwa wa kufungua msimu ni ule wa Hull City dhidi ya Manchester United. Mchezo huu utachezwa katika uwanja wa MKM Stadium, jijini Hull, ukianza saa 14:30. Hii ni fursa kubwa kwa Hull City kuonyesha uwezo wao mbe…

Simba SC vs Coastal Union ni leo Uwanja wa Meja Jen.Isahmuyo mchezo wa mzunguko wa 4. Mnyama anacheza mchezo wake wa kwanza nyumbani baada ya kucheza mechi 3 ugenini. Simba SC kwenye msimamo ipo nafasi ya pili inakutana na Coastal Union iliyo nafasi ya 14. Kijue kikosi cha Coastal Union: Coastal Union FC: History, Squ…

Kawempe Muslim Ladies Mabingwa CECAFA: Watavunja Mwiko wa Afrika Au Watakwama Kama Wengine? Kawempe Muslim Ladies imeweka historia mpya baada ya kutwaa ubingwa wa Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) kufuatia ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Kenya Police Bullets katika fainali iliyopigwa jijini Kigali, Rwanda. Bao l…

Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu wa Wizara ya Fedha, Bw. Lusius Mwenda (katikati), akimaliza kwa kishindo mbio za kilomita 21, akiiongoza…

DODOMA: THE Minister for Livestock and Fisheries, Ambassador Dr Bashiru Kakurwa, has warned that he will not tolerate misuse of public resources, abuse of office or negligence within the ministry and its 11 institutions, calling for stronger accountability and good governance. Dr Bashiru issued the warning yesterday i…

Manchester United wameripotiwa kuondoa uwezekano wa kumsajili nyota wa zamani wa Real Madrid, David Alaba, ingawa kuna jambo moja ambalo linaweza kubadilisha msimamo wao. Alaba ni miongoni mwa wachezaji huru …

Mwamvua Mwinyi, Pwani WATOTO 587,509 walio chini ya umri wa miaka 10 mkoani Pwani wanatarajiwa kupatiwa chanjo ya polio ya matone aina ya nOPV2,…

Na Mwandishi WetuTAKRIBANI wiki moja tangu agizo la kuondoa Stendi za Mabasi mitaani lianze kutekelezwa Jijini Dar es Salaam, wadau mbalimbali wamedai kushangazwa na hatua hiyo na kuiomba Serikali kurejesha huduma hiyo ili kuwaondolea usumbufu wananchi.Wamesema hatua hiyo inatokana na ukweli kuwa wananchi wameanza 'ku…

By Our ReporterSimba head coach Steve Barker has challenged his players to improve their finishing after their 1-0 victory over Coastal Union in the NBC Premier League at Major General Isamuhyo Stadium on Thursday night.The victory gave Simba another important three points, but Barker was far from satisfied with the w…

LONDON, Uingereza JUMAPILI ya wiki hii, Septemba 5, 2026, Arsenal watakuwa katika Uwanja wao wa Emirates kumenyana na Chelsea kwenye ‘derby’ ya Jiji la London. Ifahamike kuwa hiyo inakuwa mechi ya tatu kwa kila timu tangu msimu huu wa 2026-27 wa Ligi Kuu ya England. Washika Bunduki wa London wameshinda mechi mbili zil…

NA DENIS MLOWE IRINGA MASHIRIKA yasiyo ya kiserikali yameendelea kuwa nguzo muhimu katika kuchochea maendeleo katika Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, yakishirikiana na…

Soma zaidi...

Mkuu wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Mhe. Omari Issa atunuku shahada za umahiri na uzamivu kwa wahitimi 138…

KIGOMA: MKOA wa Kigoma umefanikiwa kusajili makundi maalumu 1,359 katika Mfumo wa Manunuzi ya Umma (NeST), hatua inayoyawezesha makundi hayo kushiriki katika utekelezaji wa mpango wa manunuzi ya umma katika taasisi za Serikali. Meneja wa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) Kanda ya Kati na Magharibi, Mhandis…

Na DOTTO NKAJA-Mahakama, Geita Katika kuendelea kuimarisha ufanisi wa utendaji kazi na kuboresha utoaji wa haki nchini, watumishi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo Manyara, wamefanya ziara ya mafunzo na kubadilishana uzoefu katika Mahakama Kuu, Masjala Ndogo Geita. Ziara hiyo iliyofanyika Septemba 7 na 8, 202…
[Daily News] Geita -- THE Geita Regional Immigration Office has arrested 41 illegal immigrants during an operation conducted in various parts of the region.

Kiungo mchezaji wa Simba SC, Neo Maema, amefunguka kuhusu roho ya kupambana iliyopo ndani ya kikosi hicho, akieleza kuwa wachezaji wamekuwa wakijitoa kwa hali na mali uwanjani licha ya changamoto za majeruhi na kadi nyekundu mfululizo. Kauli hiyo imekuja mara baada ya Simba kuondoka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Si…

DAR ES SALAAM: THE official commissioning of the 2,115-megawatt Julius Nyerere Hydropower Project (JNHPP) marks a defining moment in Tanzania’s economic transformation. More than a power-generating facility, the project represents a strategic investment in the infrastructure needed to drive industrialisation, attract …

ZAIDI ya Sh. bilioni 7.7 zimepokelewa katika kipindi cha Januari hadi Juni 2026 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Makete mkoani Njombe. Hayo yameelezwa na Mkuu wa Wilaya ya Makete, Kissa Kasongwa wakati akiwasilisha taarifa…

DAR ES SALAAM: WARNINGS about an approaching season of potentially heavy El Niño rains should not be treated as routine weather chatter. The message from climate experts is clear: preparedness must begin before the first torrents arrive. The World Meteorological Organization says El Niño is firmly established and expe…

WASHINGTON: Karoline Leavitt, ambaye anatarajiwa kuondoka katika nafasi yake ya Msemaji wa Ikulu ya Marekani, White House Press Secretary, amefichua…

Draft prepared for SportPesa correspondent review. Verify sources, images, internal links, and market context before publishing.

Klabu ya Simba SC imeanza rasmi maandalizi ya safari yake ya kimataifa kwa kutangaza ratiba kamili ya hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, ambapo inatarajiwa kukutana na Mighty Wanderers ya nchini Malawi mwezi ujao. Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally, amethibitisha kuwa mchezo wa kwanza utapigw…

Ligi Kuu ya England, Premier League, inaendelea wikiendi hii kwa michezo mbalimbali huku timu kubwa zikitarajiwa kushuka dimbani kuwania pointi…

A new FANTA® flavour is adding a burst of deliciousness to the brand’s portfolio in Tanzania with the launch of FANTA® Berry.This bolder, fruitier tasting beverage brings a splash of playfulness, fun, and refreshing enjoyment to fans across the country. Inspired by the vibrant energy of Tanzanian youth culture and the…

Yanga SC leo inashuka kwenye Uwanja wa KMC Complex, Mwenge, Dar es Salaam, ikiwa na azma moja pekee—kuendeleza utawala na ubabe wake dhidi ya Pamba Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Mchezo huu unatarajiwa kuwa kipimo kingine kizito kwa kikosi cha mabingwa hao watetezi chini ya Kocha Manqoba Mngqithi, huku …

KIBAHA: THE government aims to increase local medicine production from the current 10 per cent to 60 per cent by December next year as part of efforts to strengthen health security and reduce dependence on imports. Health Minister Mohamed Mchengerwa said the government had also set a target of increasing domestic prod…

Leo Ijumaa, Agosti 28, 2026, saa 21:45 usiku, AC Milan watawakaribisha Venezia katika uwanja wa San Siro (Giuseppe Meazza) kwa mechi ya pili ya msimu wa Serie A. Hii itakuwa mechi ya kwanza ya Milan nyumbani msimu huu, na wanatarajia kujenga kasi zaidi baada ya kuanza msimu vizuri. Milan wanaingia mechi hii wakiwa na …

TANGA: A YOUNG Tanzanian innovator has pioneered a bee-based cancer detection technology that has now received official registration, marking a major breakthrough in the drive for early diagnosis. Tanga Regional Commissioner Dr Batilda Salha Burian said the innovation developed by a young innovator from Mbeya Universi…

Mkoa wa Dodoma kesho, Agosti 27, 2026, utaanza rasmi awamu ya kwanza ya Kampeni ya Chanjo ya Matone ya Polio (nOPV2 SIA), inayolenga kuwafikia na kuwapatia chanjo watoto 1,003,461 wenye umri chini ya miaka 10 katika Mkoa huu. Kampeni hiyo itakayotekelezwa kwa siku nne, kuanzia Agosti 27 hadi 30, 2026, ni sehemu ya hat…

Kocha wa Leeds United, Daniel Farke, amemkingia kifua kipa Michael Zetterer licha ya kukiri kuwa nyota huyo alikuwa na siku mbaya langoni katika mchezo wa Carabao Cup dhidi ya Chelsea. …

Fitch Ratings revised Tanzania’s outlook to positive from stable while affirming the sovereign rating at ‘B+’, citing strengthening reserves and a gradual decline in government debt, warning, however, that the credit rating remains constrained by weak governance and low government revenue. The agency forecasts real GD…

DODOMA: DODOMA Regional Commissioner, Rosemary Senyamule has directed the region’s stakeholders to determine how much the capital should contribute to the country’s one trillion-dollar economy target by 2050 through a comprehensive economic study. Launching the new Dodoma Regional Business Council yesterday, Ms Senyam…

KOCHA wa JKT Tanzania, Ahmad Ally, ameweka wazi kuwa kikosi chake hakijaingia kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu kama wasindikizaji, bali kina dhumuni la kusalia kwenye nafasi za juu na kuvuruga hesabu za vigogo Simba, Yanga na Azam FC katika mbio za ubingwa. Ingawa JKT Tanzania imeanza msimu kwa matokeo ya kusua…

DAR ES SALAAM: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan’s call for Tanzanians to uphold unity, solidarity, peace and stability during the Maulid celebrations carries a message that goes beyond the religious significance of commemorating the birth of Prophet Muhammad (SAW). It is a timely reminder that Tanzania’s social harmony r…

By Our ReporterTanzania’s National Museum could attract more visitors of African descent from across the world following a special visit by the African Diaspora Development Institute (ADDI), highlighting the growing potential of heritage tourism.The delegation, led by ADDI founder and president Ambassador Dr Arikana C…

Mkuu wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), Prof. Eliamani Sedoyeka amesema IAA itaendelea kuimarisha miundombinu na mazingira ya kujifunzia ili kandaa watalaam mahiri na kuendana na mahitaji ya programu za kisasa hususani programu zinazohusisha matumizi makubwa ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano. Prof. Sedoyeka amesem…

LUSAKA, Zambia — Mawakili wa kiongozi wa upinzani nchini Zambia, Brian Mundubile, wamethibitisha kuwa mteja wao amefikishwa mahakamani na kushtakiwa…

DAR ES SALAAM: MWANASHERIA Mkuu wa Serikali (AG), Hamza Johari, amesema hatua ya Rais Samia Suluhu Hassan kumpendekeza Deogratius Ndejembi kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kukubaliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kisha kupitishwa na Bunge kabla ya Septemba 4, 2026, haina changamoto yoyote ya k…

Na Hassan Kimweri, WAF - Addis AbabaTanzania imeendelea kusisitiza ushirikiano wa Umoja wa Afrika (AU) katika kuimarisha juhudi za kupunguza vifo vya mama na mtoto barani Afrika, hususan kupitia utekelezaji wa mikakati na hatua madhubuti zinazolenga kuboresha afya na ustawi wa makundi hayo.Hayo yameongelewa leo Agosti…

Soma zaidi...

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA sehemu ya tisa, tuliishia pale bi. Madina alipomuomba Yoweri Museveni amruhusu Idi Amin kurudi Uganda. Rais huyo akasema ‘Idi Amin atalipia dhambi zote alizofanya’, akimaanisha kuwa angefunguliwa mashitaka na kufungwa. Endelea … Baada ya muda mrefu wa kuishi kwenye chumba cha wagonjw…

Former Vice President Emmanuel Nchimbi was already facing disciplinary action within CCM before he resigned from Government and retired from active politics, the party’s Ideology, Propaganda and Training Secretary Kenan Kihongosi has revealed. Speaking in an interview with broadcaster Edwin Odemba, popularly known as …

DAR ES SALAAM: YOUNG Africans Head Coach Manqoba Mngqithi has hailed his side’s convincing victory over JKT Tanzania but insists the team remains a work in progress, with significant room for improvement despite another strong attacking display and a clean sheet. Manqoba made the reaction following his side won 4-0 at…

Tumekuletea ratiba ya Ligi Kuu ya NBC 2026/27 Yanga SC vs Pamba Jiji FC. Mchezo huu wa mzunguko wa 4 utapigwa Uwanja wa KMC Complex saa 3:00 usiku. Fountain Gate vs Mbeya City ni saa 10:00 jioni, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid. Ijue ratiba ya ligi 2026/27: Ratiba ya Ligi Kuu ya NBC 2026/27: Mechi […]

By Our ReporterNMB Bank has been recognised as an East Africa Superbrand for the 2026–2028 cycle after securing the highest consumer endorsement in the banking category.The recognition highlights the confidence the bank has built among customers through consistent service delivery and a customer experience tailored to…

DODOMA: THE government plans to train about 10,000 coaches and sports teachers in collaboration with the Ministry of Education and the Prime Minister’s Office responsible for Regional Administration and Local Government (PMORALG) as part of efforts to expand disability sports in the country. Minister for Information, …

Manchester City inatajwa kuwa bado inafuatilia uwezekano wa kumsajili kiungo Enzo Fernández kutoka Chelsea, huku klabu hiyo ikiwa na mipango ya kuongeza angalau mchezaji mmoja au wawili kabla ya dirisha …

TAHADHARI KUHUSU USAMBAZAJI WA TAARIFA ZA UONGO KUMUHUSU MHE. RAIS DKT. SAMIA

DAR ES SALAAM: MINISTER of State in the Prime Minister’s Office responsible for Regional Administration and Local Government (PMO-RALG), Riziki Shemdoe, has commended the progress of road projects linking key Dar es Salaam venues to be used for the 2027 Africa Cup of Nations (AFCON). Shemdoe said the projects, which h…

Tanzania’s Commission of Inquiry into those responsible for violence and alleged violations of the law during and after the October 2025 General Election has begun its 150-day journey, with commissioners starting to collect evidence today in Kigamboni District, Dar es Salaam, before moving to other areas linked to the…

Mwenyekiti wa UVCCM, Mohamed Kawaida ameiambia kuwa Dk Nchimbi anaweza kurejea CCM ikiwa ataiomba msamaha NEC.

From Zanzibar’s sovereignty push to calls for a Tanganyika government, forum debate on the state of the Tanzania union

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Jumatano,…

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, imeendelea leo Agosti 27, 2026 katika…

DODOMA: THE Chairperson of CCM Women’s wing, Mary Chatanda, has described the newly sworn-in Vice-President Deogratius Ndejembi as a capable, principled and patriotic leader who can effectively support President Samia Suluhu Hassan in executing her responsibilities. Speaking in Dodoma, the UWT Chairperson stated that …

ONGEZEKO la wasomi wa sayansi nchini na upeo wao kupanda , sasa wanakuja kuifanya Tanzania, hata wawe na maendeleo lukuki yatokanayo na teknolojia za kisasa, zinazofanya nchi ije na ugunduzi, huku ikiachana na utegemezi kwa baadhi ya mambo ya kizamani. Ndani ya mustakabali huo, n…

The Dodoma Region will officially launch the first phase of the Polio Oral Vaccination Campaign (nOPV2 SIA) tomorrow, August 27, 2026, targeting 1,003,461 children under the age of 10 across the region. The four-day campaign, running from August 27 to 30, 2026, is part of the Government’s efforts to strengthen communi…

DODOMA: DEPUTY Minister for Finance, Mr Laurent Luswetula said the Bank of Tanzania (BoT) is adjusting its Central Bank Rate (CBR) in line with economic conditions to help improve access to affordable credit while keeping inflation within the target range. Mr Luswetula told the National Assembly yesterday that the pol…

ARUSHA: THE government is moving to integrate digital systems across primary healthcare facilities to enhance real-time data sharing, streamline service delivery and automate digital payments for Community Health Workers (CHWs). Speaking in Arusha yesterday, the Director of ICT at the President’s Office–Regional Admin…

Dereva wa basi amefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa kufuatia ajali ya basi la kampuni ya SATCO iliyotokea katika kijiji…

Ferencváros watawapokea Trabzonspor katika uwanja wa Groupama Arena, jijini Budapest, Hungary, Alhamisi Agosti 27, 2026, saa 21:30, katika mechi ya…

Na Janeth Raphael - MichuziTv - Bungeni DodomaSerikali imesema haina mamlaka ya kuzipangia benki za biashara viwango vya riba za mikopo, kwa kuwa gharama hizo huamuliwa na mwenendo wa soko pamoja na sababu mbalimbali za kiuchumi na kiutendaji.Kauli hiyo imetolewa leo, Agosti 26, 2026, na Naibu Waziri wa Fedha, Laurent…

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii ikipata maelezo ya kifaa cha upimaji kutoka kwa mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa…

MIRERANI: THE Tanzanian government has announced plans to conduct an extensive mineral exploration exercise in the Mirerani area of Arusha Region, aimed at improving knowledge of the country’s mineral resources and increasing productivity in the mining sector. Minister for Minerals Anthony Mavunde made the announcemen…

ADDIS ABABA: TANZANIA has called for increased investment in the health sector and stronger domestic financing to improve access to quality healthcare services for citizens. The call was made during a side event held on the sidelines of the 76th World Health Organisation (WHO) Regional Committee for Africa meeting in …

By James Kamala, MalinyiThe Doris Mollel Foundation (DMF) in collaboration with Wote Sawa and other community education stakeholders, has conducted an awareness campaign for children and residents of Malinyi District on the importance of the Gender Desk, reporting acts of violence and protecting children’s rights.The …

Na MWANDISHI WETUWatoto 1,337,079, wanatarajiwa kupata chanjo dhidi ya ugonjwa wa polio mkoani Dar es Salaam.Hayo yameelezwa na Katibu Tawala wa mkoa huo, Abdul Mhite, alipozindua kampeni ya chanjo hiyo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Dares Salaam, Albert Chalamila leo.Mhite amesema kampeni hiyo itamalizika Agosti 30 mwa…

Farida Mangube Morogoro Serikali imewataka watanzania kuitumia vizuri fursa ya Tanzania kuwa mwenyeji wa mashindano ya AFCON 2027 kwa kutangaza tamaduni za makabila mbalimbali kama sehemu ya vivitio adimu vinavyopatikananchini humo sambamba na kufanya vizuri kwenye michezo hiyo.Kauli hiyo Imetolewa na Mkuu wa Mkoa Mor…

Bunge la Tanzania limemthibitisha Deogratius Ndejembi, kuwa Makamu wa Rais mteule kwa asilimia 100, akisema dhamana aliyopewa haitapimwa kwa ujana wake, bali utii kwa Rais Samia Suluhu Hassan na uadilifu kwa Watanzania. Ndejembi, amethibitishwa na Bunge, kwa kupigiwa kura za ndiy…

Na Mwandishi Wetu, PwaniMamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kupitia Idara ya Forodha na Ushuru wa Bidhaa, imetoa elimu kwa wadau wa Forodha mkoani Pwani kuhusu mabadiliko ya Sheria ya Fedha ya mwaka 2026, huku wazalishaji wakihimizwa kutumia fursa za unafuu wa ushuru wa forodha katika malighafi za uzalishaji.Elimu hiyo …

Amsisitiza kuzingatia Maadili, Weledi Na AIDAN ROBERT,Mahakama-Kigoma Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo Kigoma, Mhe. Augustine Rwizile leo tarehe 08 Septemba, 2026, amemuapisha Bw. Machumu Chirya kuwa Muamuzi wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) wa mkoani humo.Uapisho wa Muamuzi huyo uliofanyika…

Napoli na Arsenal wanajiandaa kwa pambano la kusisimua katika mechi yao ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa UEFA msimu wa 2026/27. Hapa tunakuletea uchambuzi kamili wa mchezo huu muhimu.

SINGIDA: SINGIDA Region has expanded its health network by 149 facilities over the past five years, increasing the total from 220 in 2021 to 369, in a move that has brought healthcare services closer to communities. Singida Regional Medical Officer, Dr Jesca Lebba said yesterday the expansion, driven by sustained gove…

Ni baada ya ya TMA kutangaza ujio wa mvua kubwa za El Niño kuanzia Septemba hadi Januari, 2027.

Wakati Serikali ikiwasilisha Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria za Kilimo wa mwaka 2026, wabunge wamependekeza kuimarishwa kwa udhibiti wa uingizaji wa sukari ghafi kutoka nje ya nchi.

Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA) imeendelea kuchukua hatua kuhakikisha viuatilifu vinavyotumika nchini vinakuwa salama kwa wakulima, walaji na mazingira, ikiwemo…

By Our Reporter, MorogoroThe National Sports Council (NSC) is using the fourth edition of the National Cultural Festival in Morogoro to raise public awareness about the role of sports in promoting Tanzania’s culture, developing talent and creating economic opportunities.The NSC pavilion at Jamhuri Grounds has become a…

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema Mamlaka ya Barabara Tanzania (TANROADS) ijenge barabara za mzunguko katika maeneo ya bandari na Bandari Kavu, huku akitaka vituo hivyo kuunganishwa na reli, ili kupunguza foleni ya malori katika jiji hilo. Chalamila ametoa …

A TOTAL of 1.3m tonnes of marketable agricultural produce were saved from destruction during fiscal 2025/26 through intensified efforts to control crop pests. Prof Joseph Ndunguru, the Tanzania Plant Health and Pesticides Authority (TPHPA) director general, said at a press briefi…

Klabu ya Wekundu wa Msimbazi ipo katika mapambazuko ya ukurasa mpya kufuatia mabadiliko Simba SC yaliyoagizwa na Serikali kupitia Baraza la Michezo la Taifa (BMT). Ni ishara ya moshi mweupe unaofuka kutoka makao makuu ya klabu hiyo, ukiashiria mabadiliko makubwa ya kiuendeshaji ambayo hayajawahi kushuhudiwa tangu kuan…

DODOMA: THE Governor of Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba, has held talks with the International Monetary Fund (IMF)’s new Resident Representative in Tanzania, Jana Bricco, at the central bank’s headquarters in Dodoma. During the meeting, Governor Tutuba briefed Bricco on various measures being implemented by the Bank o…

The court says the prosecution—not the defence—had to prove whether alleged threats were felt, while finding that three senior security officials could give relevant evidence.

Wabunge 324 wamepiga kura za “Ndiyo” kumthibitisha Makamu wa Rais Mteule, Deogratius John Ndejembi, kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri…

Kiungo mchezeshaji, Suleiman Juma Kidawa, amewatoa hofu mashabiki na kuweka wazi kuwa kurejea kwake kucheza Ligi Kuu ya Zanzibar si ishara ya kufeli ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara, bali ni uamuzi uliozingatia maslahi yake binafsi na mipango ya kimaisha. Kidawa amejiunga na mabingwa watetezi KVZ akitokea KMC FC ya Dar…

Mashujaa FC wanajiandaa kuvaana na Singida Black Stars katika mchezo wa Ligi Kuu Bara. Hapa tumekuletea uchambuzi wa kina kuhusu mchezo huu muhimu, tukichunguza takwimu za hivi karibuni, hali za vikosi, na utabiri wa kitaalamu.
[Daily News] Dodoma -- THE Tanzania National Roads Agency (TANROADS) has directed its regional managers in all 26 regions to immediately inspect roads, bridges, culverts and other vulnerable infrastructure as part of preparations for the anticipated El Niño rains.

By Our Reporter, Dar es SalaamTanzania is stepping up preparations for the 2027 Africa Cup of Nations (AFCON) with the country’s Local Organising Committee (LOC) focusing on ensuring the tournament delivers lasting economic and social benefits beyond football.The LOC met in Dar es Salaam on Friday, August 28, 2026, to…

DODOMA: THE Deputy Minister for Health, Dr Florence Samizi, said the Tanzanian government is continuing to implement strategies to expand cancer treatment services to different parts of the country in a bid to reduce the distance patients travel to access care and ease congestion at the Ocean Road Cancer Institute (OR…

Soma hapa...

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa kwenye mazungumzo na Mhe. Sherif Ismail, Balozi wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri anayemaliza muda wake nchini Tanzania, Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 28 Agosti, 2026.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan aki…

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Dkt. Jabiri K. Bakari akizungumza wakati wa kikao cha kuhitimisha ujumbe wa timu wataalam kutoka Shirika la Usalama wa Anga la Umoja wa Ulaya (EASA) … Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Dkt. Jabiri K. Bakari, amethibitisha dhami…

Mashabiki wa Simba SC wamepokea habari njema kufuatia kurejea rasmi kwa kiungo wao mahiri, Yusuph Kagoma, ambaye alikuwa nje ya uwanja kwa muda akiuguza jeraha. Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally, amethibitisha kuwa nyota huyo amerejea mazoezini na yupo kwenye hali nzuri ya kusaidia timu …
.jpg)
By Our ReporterTanzanian businesses importing goods from China can now make direct payments to Chinese suppliers from their Tanzanian shilling accounts, a development expected to reduce transaction costs and simplify one of the country’s key trade corridors.The payment arrangement, unveiled by Stanbic Bank Tanzania on…

BARAZA LA MADIWANI UBUNGO LAPONGEZA TIMU YA NETBALL KWA KUTWAA UBINGWA SHIMISEMITA 2026

Ulimwengu wa michezo ya kasino umevuka kiwango kingine baada ya kuwasili kwa Thunder Riches: Fortune Eagle, mchezo mpya kabisa unaopatikana…

By The Respondents ReporterThe government has called for accelerated research, innovation and investment in traditional medicine as part of efforts to bring scientifically proven remedies into Tanzania’s formal healthcare system.The call was made on Friday by the Executive Director of Muhimbili Orthopaedic Institute (…

By Our ReporterThe Ministry of Finance has called for stronger monitoring and evaluation of government programmes and projects, saying timely and credible performance reports are critical to improving public service delivery and ensuring that development plans achieve their intended results.Monitoring and evaluation o…

AFRICA: AFRICA cannot afford to stop at ideas, it must actively pursue pathways that turn the promise of an agricultural revolution into reality. Tanzania, with its strategic advantages, is especially well positioned to take the lead. Our motivation is grounded in real needs: A fast-growing population, ambitious devel…

MBEYA; Kaimu Mkurugenzi Msaidizi kutoka Idara ya Tiba Asili na Tiba Mbadala ya Wizara ya Afya, DK Winfrida Kidima,amesema jamii bado ina uelewa tofauti kuhusu tiba asili, hivyo Wizara ya Afya inaendelea kutoa elimu kuhusu umuhimu wa huduma hizo, hasa katika kuboresha afya ya wananchi. Dk Kidima amesema hayo wakati aki…

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Deogratius Ndejembi, amemshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kumpa dhamana…

Na Mwandishi Wetu, MOROGORO WANANCHI waliotembelea banda la Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) katika Maonesho ya Utamaduni, wameeleza kufurahishwa na elimu wanayoipata kuhusu majukumu ya Wakala katika kuratibu uagizaji wa mafuta kwa pamoja na kuhakikisha upatikanaji wa mafuta nchini. Wananchi hao wamesema ma…

Tanga. Airtel Tanzania imepanga kuanzisha kituo cha Airtel Fursa Lab katika Shule ya Sekondari Magaoni, mkoani Tanga, ikiwa ni hatua…

Soma hapa...

Kama ulikuwa unasubiri ishara ya kuingia kwenye mchuano wa Expanse: Big Wins Start Here, hii ndiyo wiki ya kufanya hivyo. Mashindano yanaelekea kwenye siku zake za mwisho, huku TSh 5,000,000 zikiwa bado kwenye dimba kwa washiriki wanaowania nafasi za juu. Muda uliobaki si mrefu, kwa hiyo kila siku inayopita inafanya m…

DAR ES SALAAM: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has commended Tanzania’s constitutional system for enabling changes in key leadership positions to take place peacefully, saying the smooth transition demonstrates the country’s political stability and commitment to constitutional order. President Samia made the statement w…

Aston Villa wamepata nguvu mpya kwenye kikosi kabla ya safari yao ya kuikabili Hull baada ya Johan Manzambi kurejea mazoezini kufuatia majeraha aliyoyapata ya kuumia goti. Manzambi, ambaye ni usajili …

City ilianza kampeni yake ya hatua ya ligi ya Champions League kwa ushindi wa 2-0 dhidi ya Porto katika uwanja wa Estadio do Dragao jana. Haaland ndiye aliyefungua ukurasa wa …

AC Milan imetangaza kumsajili kwa mkopo mshambuliaji Omari Hutchinson kutoka Nottingham Forest, huku mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22 akijiunga na miamba hiyo ya Italia kwa mkataba wa mwaka …

Paris Saint-Germain inaanza kampeni yake ya kutetea ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa kuikaribisha Slovan Bratislava katika dimba la Parc des Princes. Mchezo huo utapigwa leo Jumatano, Septemba 9, saa 22:00 usiku, ukiwa ni mchezo wa kwanza wa hatua ya ligi. PSG inaingia ikiwa na presha kubwa ya kuanza kwa ushindi …

TANZANIA: ZARA Tanzania Adventures has been named Africa’s Leading Adventure Tour Operator at the 2026 World Travel Awards, securing its sixth consecutive continental title as the locally owned company marks 40 years in the country’s tourism industry. The award was presented at the World Travel Awards Africa & Indian …

Kocha wa Manchester City, Enzo Maresca, alifurahishwa na timu yake baada ya kupata ushindi muhimu wa 2-0 dhidi ya Porto katika Champions League. Enzo Maresca aliwashukuru mabosi wa Manchester City …

SportPesa inakuletea uchambuzi wa kina wa mechi za marudiano za Raundi ya Tatu ya Kufuzu Ligi ya Mabingwa Ulaya. Ni timu zipi zitafanikiwa kutinga hatua ya mtoano na kusonga karibu na ndoto ya UCL?

Real Madrid wameamua kumbakiza Endrick, huku Fabrizio Romano akizitaja taarifa zinazomhusisha Arsenal kama “habari za uongo” (fake news). Wakati huo huo, Kylian Mbappé amefikisha jumla ya mabao na assists 100 …

MANCHESTER, Uingereza KOCHA wa Manchester United, Michael Carrick, amesema kiwango kibovu kilichooneshwa na wachezaji wake kilichangia matokeo ya sare ya mabao 2-2 dhidi ya Everton jana Septemba 6, 2026. Kwa matokeo hayo, sasa Man United imefikisha mechi tatu za Ligi bila ushindi tangu msimu huu wa 2026-27 ulipoanza. …

Chelsea imeendeleza mwanzo wake mzuri katika msimu mpya wa Ligi Kuu England baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-3…

Je unajua kuwa Wikendi hii unaweza ukaokota mkwanja wa maana kwani tayari mechi za kibabe zipo kwaajili yako. Kule Uingereza,…

Msanii wa Bongo Fleva, Maua Sama, ametangaza kujifungua mtoto wa kike, akieleza furaha yake baada ya kuanza ukurasa mpya wa…

A total of thirty Tanzanian students have left the country to pursue studies in science, health and technology-related fields at universities abroad, pledging to return with skills needed to support national development. Speaking at Julius Nyerere International Airport yesterday,…

DODOMA: TANZANIA’S food production exceeded 23 million tonnes in the past financial year, as the country also expanded access to key export markets, the Tanzania Plant Health and Pesticides Authority (TPHPA) has said. TPHPA Director General Professor Joseph Ndunguru, speaking to journalists in Dodoma, said the country…

Mkurugenzi wa shule za Intels pre ,primary na sekondari ,Alexander Samson akizungumza kwenye mahafali hayo jijini Arus Mwandishi mwandamizi wa vitabu mbalimbali ,Joramu Nkumbi…

Mkuu wa Wilaya ya Chato, Mhe. Louis Peter Bura, akikabidhi vifaa kinga vilivyogharamiwa na Serikali kwa mafundi wa uchomeleaji vyuma na useremala katika Kijiji cha Kalebezo, Kata ya Nyamirembe Wilaya ya Chato. Mafundi hao walipatiwa mafunzo ya usalama na afya kazini na OSHA na kisha kukabidhiwa vifaa hivyo ambavyo ni …

Mbarali, Mbeya – Wajawazito wanaopata huduma katika Hospitali ya Wilaya ya Mbarali wanatarajiwa kunufaika na vifaa tiba na vifaa vya kujifungulia vilivyotolewa na Yas…

AUSTRALIA: TANZANIA’S Alphonce Simbu produced a stunning 2:04:57 at the Sydney Marathon yesterday but was cruelly denied a podium spot after finishing fourth by the smallest of margins. The reigning world champion crossed the line in the same time as Lesotho’s Tebello Ramakongoana, who took third, with the official re…

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu taasisi za dini likiwemo kanisa Katoliki katika kuimarisha huduma…

Soma hapa...

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amewataka wasanii na waandaaji wa maudhui kuheshimu utu wa watu, sheria na taratibu za nchi wanapotekeleza shughuli zao. Katambi ametoa kauli hiyo baada ya kukutana na wasanii na waandaaji wa maudhui, ambapo amewapatia elimu kuh…

MBEYA; Picha za matukio mbalimbali ya waganga wa Tiba Asili na Tiba Mbadala wakisajiliwa katika Banda la Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala, kwenye maandimisho ya Wiki ya Tiba ya Asili ya mwafrika yanayofanyika kitaifa Jijini Mbeya Usajili wa watoa huduma hao umeelezwa kuwa miongoni mwa hatua zinazoongeza uaminifu w…

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga SC, wameendeleza wimbi lao la matokeo chanya baada ya kuondoka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Fountain Gate FC, katika mchezo mkali uliopigwa kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha. Ushindi huo umeifanya Yanga kufikisha alama 15 kamili katika michezo mitan…

BELGRADE: TANZANIA and Serbia have agreed to establish a Joint Economic Commission, a key step in efforts to transform their longstanding ties into a strategic partnership anchored in trade, investment and economic cooperation. The move emerged from talks between Tanzania’s Minister for Foreign Affairs and East Africa…

By Our CorrespondentImagine landing in a new country and your internet is already working before you even leave the airport.No hunting for Wi-Fi. No buying a local SIM card. No paying crazy roaming charges.That’s exactly what Kwetu eSIM is bringing to travellers.The new app lets anyone buy travel data before they fly …

DODOMA: THE Vice-President Deogratius Ndejembi has today, September 9, 2026, been given a farewell by the Ministry of Energy in a ceremony held at the Kambarage Hall in Dodoma. The farewell ceremony was hosted by the Ministry of Energy management and institutions under the ministry. Speaking at the ceremony, the VP ur…

YOUNG Africans SC head coach Manqoba Mngqithi has praised Fountain Gate FC for their commitment to developing young Tanzanian players despite the defending champions securing a 2-0 victory in Monday’s Premier League encounter in Arusha. Young Africans maintained their perfect sta…

By Our ReporterNgome JWTZ have successfully defended their National Boxing Club Championship title after finishing top of the standings at the 2026 tournament held in Tanga.Ngome claimed six gold medals to edge their traditional rivals MMJKT, who finished runners-up with five gold medals.The victory saw Ngome retain t…

Na Mwandishi wetu, SimanjiroMKUU wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Fakii Raphael Lulandala ameingilia kati mgogoro wa ardhi kwa kuagiza waliovamia eneo la shule ya serikali ya Saniniu Laizer ya kijiji cha Naepo Kata ya Naisinyai kusitisha ujenzi wake.DC Lulandala ameagiza waliovamia eneo hilo kusitisha shughuli z…

By Our ReporterTanzania and Serbia are looking to unlock new opportunities in trade, investment, tourism, agriculture and the Blue Economy as the two countries seek to deepen their longstanding bilateral relations.The push was highlighted on Monday, August 31, 2026, when Zanzibar President and Chairman of the Revoluti…

Na Joseph Mahumi na Peter Haule, Dodoma.Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amewasilisha Bungeni Muswada wa Sheria ya Mikopo kwa Dhamana za Mali Zinazohamishika wa Mwaka 2026, unaolenga kuweka mfumo bora wa usimamizi wa mikopo inayotolewa kwa kutumia mali zinazohamishika kama dhamana.Akiwasilisha Musw…

By Our ReporterTanzania’s Ambassador to France and Permanent Representative to UNESCO, Saidi Othman Yakubu, has commended the Ministry of Natural Resources and Tourism for its efforts to protect the country’s World Heritage Sites while harnessing their potential to drive tourism and economic growth.Ambassador Yakubu m…
[Daily News] Tabora -- THE government, in collaboration with stakeholders, is strengthening adult and non-formal education programmes in Tabora Region to tackle widespread illiteracy affecting about 1.1 million people.

Bunge limepitisha muswada wa sheria unaopendekeza marekebisho ya sheria 21, ikiwemo Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Utakatishaji wa Fedha Haramu ya mwaka 2006, kwa lengo la kuimarisha udhibiti wa utakatishaji fedha, ufadhili wa ugaidi na usambazaji wa silaha za maangamizi.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Deogratius Ndejembi, amewasalimu wananchi wa Mbuyuni wilayani Moshi, mkoani Kilimanjaro, waliokusanyika…

Leo ikiwa ni siku tisa baada ya maafa, waokoaji nchini Nepal wamefanikiwa kuwatoa watu wawili wakiwa hai kutoka kwenye handaki la kituo cha kuzalisha umeme kwa nguvu za maji kwenye Mto Trishuli nchini Nepal. Maafa hayo yalitokana na ukuta wa barafu, miamba na tope kuvamia bonde h…

Mwanafunzi wa Kidato cha Tatu wa Shule ya Sekondari Kisarika, Vicent Mmari (17), amezikwa leo Septemba 4, 2026, katika makaburi ya nyumbani kwao Kijiji cha Kidia, Kitongoji cha Kimanini, Wilaya ya Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro, huku mamia ya wanafunzi wenzake wakiungana na familia n…
[Daily News] Dar es Salaam -- Tanzania's drive towards a skilled, productive and innovative society by 2050 must begin with children who are still years away from entering a formal classroom. Ubongo is calling for early childhood development to be treated as part of the country's long-term human-capital strategy rathe…

ZANZIBAR: ZANZIBAR President Hussein Mwinyi has urged Serbian investors to explore opportunities in Tanzania as the two countries move towards establishing a Joint Economic Commission to strengthen trade and investment ties. President Mwinyi made the call on Monday during a meeting with the Serbian Chamber of Commerce…

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI) Dkt. Diwani Msemo akiwakaribisha wataalamu wa afya kutoka Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo…

DAR ES SALAAM: SIMBA Head Coach Steve Barker has said his side, after a perfect domestic start to the season, will now turn their attention to the CAF Champions League after a fifth consecutive victory. The Reds have made it five wins from five with a 2-0 victory over Geita Gold, producing another assured display …

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kenneth Kaunda Jijini Lusaka…

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Tanzania iko tayari kuimarisha zaidi ushirikiano na Serbia katika…

DAR ES SALAAM: DIGITAL banking is giving savings groups a new route to formal credit, allowing members to leverage their deposits for collateral-free loans while lowering the cost of selected digital transactions. VisionFund Tanzania Microfinance Bank is betting on that shift with the launch of its VFT Smart Banking A…

By Our Correspondent, Dar es SalaamTanzania’s efforts to strengthen specialised cancer care have received a boost after an Omani visitor praised the Ocean Road Cancer Institute (ORCI), saying the quality of services and modern technology he saw compared favourably with facilities in Oman.Mohammed Abdallah Al-Habsy mad…

By The Respondents ReporterThe Tanzania Medicines and Medical Devices Authority (TMDA) has intercepted 20 bags containing unregistered medicines and medical devices worth an estimated Sh310 million at Julius Nyerere International Airport (JNIA), raising fresh concerns over attempts to smuggle unauthorised medical prod…

ZANZIBAR: ZANZIBAR has intensified preparations for the expected El Niño rains between October and December 2026, with authorities urging communities, institutions and residents in vulnerable areas to take early measures to protect lives and property. Second Vice-President Hemed Suleiman Abdulla, who also chairs the Z…
[Daily News] Dar es Salaam -- The Bank of Tanzania (BoT) is turning to artists and content creators to help promote responsible handling of banknotes and coins, tapping into the creative sector's wide influence to reach and shape public behaviour.
[Daily News] Lusaka -- President Hakainde Hichilema has said the country will remain a sovereign and peaceful nation while strengthening cooperation with neighbouring countries in Africa and the international community in pursuit of lasting peace.

Soma zaidi hapa...

Na Belinda Joseph – DodomaChama cha Walimu Tanzania (CWT) kimesema kinaendelea kuimarisha huduma za utetezi kwa wanachama wake, ikiwemo kuwapatia msaada walimu wanachama wanaokabiliwa na changamoto mbalimbali za kikazi na kisheria.Hayo yameelezwa na Kaimu Katibu Mkuu wa CWT, Protas Magesa, Septemba 2, 2026, jijini Dod…
[Daily News] Dodoma -- THE Tanzanian government has allocated 10bn/- in the 2026/27 financial year to begin the process of constructing a new vessel that will operate between Tanzania and neighbouring countries across the Indian Ocean.

Na John Walter -Babati Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Manyara kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi limewakamata watu watatu kutoka Kitongoji cha…

Na Vero Ignatus Michuzi Tv ArushaTanzania imepiga hatua nyingine katika kujiweka tayari kwa ulinzi na usalama kuelekea Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027, baada ya kufungwa kwa mafunzo maalum ya siku tano mkoani Arusha yaliyolenga kuimarisha usalama wa nyuklia na mionzi.Mafunzo hayo yaliyoandaliwa na …

DAR ES SALAAM: THE Dar es Salaam Stock Exchange (DSE) appears to be gaining stronger footing as the final quarter of the year approaches, with trading activity picking up noticeably during the week ended September 4. What stands out from the latest market performance is not simply the increase in shares traded, but th…
[Daily News] Dar es Salaam -- PEACE for the few? How the UN Security Council's past is shaping global justice CONSIDERING the current state of global affairs, where powerful states can sometimes exert disproportionate influence over weaker ones, the role of the United Nations Security Council in managing global crises…

ZANZIBAR: FUTOPIA Festival has announced the dates for its third edition, with the three-day event set to take place in Fumba Town, Zanzibar, from August 6 to 8, 2027. The festival, which brings together music, art, culture, ideas, wellbeing and sustainable living, is also inviting musicians, dancers, poets, storytell…

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limepitisha Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali (Na. 2) wa Mwaka 2026, unaolenga kufanya maboresho katika sheria kuu saba nchini. Muswada huo, unaojulikana kwa Kiingereza kama The Written Laws (Miscellaneous Amendments) (…

NNa Mwandishi Wetu - DodomaSERIKALI imetoa maelekezo 13 kwa umma, kamati za usimamizi wa maafa, Wizara, Taasisi, Mikoa, Halmashauri na sekta mbalimbali nchini, kwa ajili ya kujiandaa na kukabiliana na madhara yanayoweza kujitokeza kutokana na mvua za El-Nino.Imeelekeza maeneo yote hatarishi yatambuliwe mapema, tathmin…
[Daily News] Mbeya -- THE Tanzanian government says it is continuing efforts to strengthen and formalise the Traditional and Alternative Medicine sector in Tanzania, while urging members of the public to seek services from registered practitioners and facilities.

Klabu ya Liverpool inatarajiwa kurejea tena mezani mwezi Januari kujaribu kumsajili winga wa Crystal Palace, Ismaila Sarr, baada ya dili hilo kukwama katika siku za mwisho za dirisha la usajili lililopita. Liverpool ilikuwa ikimfuatilia kwa karibu mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28, lakini Crystal Palace ilikataa k…

Kocha wa Manchester United, Michael Carrick, amesema anafurahishwa na usajili uliofanywa na klabu hiyo katika dirisha la usajili, licha ya timu hiyo kutumia fedha chache ukilinganisha na baadhi ya wapinzani …

Mtangazaji wa @globaltvonline na @255globalradio, Godfrey Nathan @godmuya ameteuliwa kuwania tuzo za Samia Kalamu Awards 2026. Sasa Godmuya anaomba support…

Vice President Deogratius Ndejembi has directed the Ministry of Industry and Trade to engage cement manufacturers and develop measures to ensure adequate supply of cement while bringing prices down to previous levels. He issued the directive yesterday in Dar es Salaam shortly aft…

DAR ES SALAAM: TANZANIA has conveyed condolences to the government and people of Norway following the death of King Harald V, with the government praising the late monarch for his leadership and contribution to national unity. Deputy Minister for Foreign Affairs and East African Cooperation, Dr Ngwaru Maghembe, signed…

By Our ReporterThe Government has commended the CEO Roundtable of Tanzania (CEOrt) for championing efforts to unlock domestic financial resources and mobilise private-sector capital to accelerate economic growth and support Tanzania’s ambition of becoming a US$1 trillion economy by 2050.Finance Minister, Hon. Amb. Kha…

DAR ES SALAAM: FOR five days, the Julius Nyerere International Convention Centre in Dar es Salaam became a meeting point for an idea that Tanzania can no longer afford to treat as a fashionable development slogan: innovation. Inside the conference halls, exhibition spaces and discussion rooms of Innovation Week Tanzan…

DAR ES SALAAM, Tanzania – Kocha Mkuu wa Yanga SC, Manqoba Mngqithi, amejiweka kwenye presha kubwa kuelekea kampeni za Ligi ya Mabingwa Barani Afrika (CAF Champions League) baada ya kuweka wazi kuwa malengo yake si kufika robo fainali pekee, bali kutwaa taji la Afrika msimu huu. Akizungumza kuhusu mtazamo wa kocha huyo…

Liverpool imeanza vyema enzi mpya chini ya kocha Andoni Iraola baada ya kuifunga Ipswich Town mabao 2-0 katika mchezo wa Ligi Kuu England uliochezwa Portman Road. Ushindi huo umeifanya Ipswich …

DAR ES SALAAM, Tanzania — Kocha Mkuu wa Simba SC, Steve Barker, amewatahadharisha wachezaji wake kutolewa mchezoni au kuridhika na ushindi wa bao 1-0 walioupata ugenini dhidi ya Mighty Wanderers ya Malawi, akisisitiza kuwa vita ya kufuzu hatua inayofuata kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika bado haijamalizika. Mnyama Simba …

DAR ES SALAAM: FROM electronic medical records and digital health platforms to advanced diagnostic equipment and datadriven decision-making, technology is rapidly changing the way healthcare is delivered around the world. What was once largely dependent on paper records, physical files and face-toface consultations is…
[Daily News] Dar es Salaam -- Tanzanite Queens Head Coach Bakari Shime has called for a mental reset as his side prepares for their second FIFA Under-20 Women's World Cup Group B fixture, saying they must put the fear of facing big-name opponents behind them.

*Na WMA – MWANZA* Wakala wa Vipimo (WMA) umesisitiza kuwa ni rafiki wa muuzaji na mnunuzi na kwamba sheria ya vipimo haikuundwa kuwakomoa wafanyabiashara bali kuwasaidia kufanya biashara ya haki. Kauli hiyo imetolewa leo Septemba 4, 2026 katika Siku ya Nane ya Maonesho ya 21 ya Biashara ya Afrika Mashariki yanayoendel…
.jpeg)
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) na Kampuni ya Van Mo zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) yenye lengo la kuimarisha ushirikiano katika kuendeleza ujuzi kwa vijana na kuwaandaa kupata ajira kulingana na mahitaji ya soko.Hati hiyo imesainiwa leo, Septemba 4, 2026, jijini Dodoma na Mkurugenzi Mkuu wa VE…

Soma zaidi...

MWANZA: NEWLY appointed Mwanza Regional Commissioner, Commissioner of Police (CP) Salum Rashid Hamduni, has directed authorities to boost revenue collection, improve city cleanliness and prepare for the expected El Niño rains as part of his immediate priorities for the region. Speaking yesterday during the handover ce…

By Mussa Juma, BabatiChem Chem Safari Lodge has retained the title of Africa’s Best Luxury Safari Lodge for the second consecutive year, strengthening Tanzania’s position in the continent’s competitive high-end tourism market.The lodge, located in the Burunge Wildlife Management Area (WMA) in Babati District, Manyara …

Tanzania is seeking to attract more investment into its energy sector and increase local participation as African countries pursue joint solutions to the continent’s energy security challenges. Ghana’s Minister of Energy, John Jinapor, said African countries need to work together to address energy security while keepi…

Dar es Salaam. Tanzania imepiga hatua katika kuimarisha mifumo ya kukabiliana na utakatishaji fedha haramu, ufadhili wa ugaidi na ufadhili wa silaha za maangamizi. Mafanikio haya yanashuhudiwa wakati ambao serikali imeweka bayana kuwa bado inaendelea kushughulikia maeneo 15 yaliyoainishwa katika tathmini ya kimataifa …

By Our Reporter, DodomaThe Vocational Education and Training Authority (VETA) has urged employers and industrial operators to deepen collaboration with vocational training institutions to help bridge Tanzania’s skills gap and improve employment prospects for young people.VETA Director General CPA Anthony Kasore made t…

By The Respondent Reporter, MwanzaThe Weights and Measures Agency (WMA) has said the law governing measurements is designed to protect both traders and consumers, rather than punish businesses.The agency made the clarification on Friday, September 4, 2026, during the eighth day of the 21st East Africa Trade Exhibition…

Mwamvua Mwinyi, Pwani Septemba 4, 2026 KATIBU Tawala Mkoa wa Pwani, Richard Marcellino Kayombo, amekabidhiwa ofisi na kuanza majukumu yake baada ya kuchukua nafasi…

TANZANIA has entered a decisive phase in preparations for the CAF Africa Cup of Nations Kenya, Tanzania and Uganda (PAMOJA) 2027, following an eight-day inspection of key tournament facilities by a high-level CAF delegation. The inspection across the three host nations comes as t…
[Daily News] Dodoma -- The Parliamentary Standing Committee on Governance, Constitution and Law has commended Attorney General Hamza Johari and Chief Parliamentary Draftsman (CPD) Onorius Njole for promptly preparing the Written Laws (Miscellaneous Amendments) (No. 2) Bill, 2026, after identifying various challenges a…

ARUSHA: TANZANIA’s journey towards a digitally enabled education system is gaining new momentum as teachers are increasingly equipped with the knowledge, skills and confidence needed to integrate technology into teaching, learning and assessment. The direction was vividly demonstrated in Arusha during a four-day ICT t…

- Ushirikiano huu kupitia taasisi zinazosaidia wajasiriamali vyuoni unalenga kuwafikia zaidi ya wajasiriamali 1,000 na kusaidia biashara zaidi ya 40 kukua na kupanukaDar es Salaam, Septemba 4, 2026: Vodacom Tanzania Plc leo imetangaza kuingia katika ubia wa miaka mitatu na Bridge for Billions, mtandao wa kimataifa wa …

DAR ES SALAAM: AS Tanzania’s mining industry expands, the government is stepping up efforts to protect local investors and ensure that the country’s growing mineral wealth translates into stronger Tanzanian businesses and broader economic opportunities. Protecting local mining investors is significant because a strong…

Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), imetangaza kukamilika kwa Awamu ya Kwanza ya udahili wa Shahada ya Kwanza kwa mwaka wa masomo 2026/2027, huku waombaji 117,334 sawa na asilimia 78.4 wakipata nafasi katika vyuo walivyoomba. Taarifa iliyotolewa na Katibu Mtendaji wa TCU, Prof. Ch…

Hatimaye Gaborone United 1-1 Yanga SC ni matokeo rasmi mchezo wa CAF Champions League uliopigwa Botswana National Stadium.Wachezaji bora wa Wananchi wakiwemo Peter Shalulile, Djigui Diarra, Maxi Nzengeli, Bakari Nondo walianza kikosi cha kwanza. Wenyeji Gaborone United walianza na wachezaji tegemeo akiwemo Obrey Amsed…

SERIKALI imesema usimamizi wa taka hususan katika maeneo ya mjini hauridhishi, kwa kuwa ni wastani wa asilimia 37 tu ya taka ngumu zinazozalishwa, ndizo hukusanywa, hivyo kiasi kikubwa kinachosalia huzagaa. Hata hivyo, wito umetolewa kwa Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugen…

Wananchi 6,809 katika mikoa ya Kaskazini Unguja na Mjini Magharibi, wamefikiwa na huduma za uchunguzi na matibabu ya kibingwa ya macho katika kambi maalum ya siku saba.

Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Vicent Mpwaji amewekwa wakfu na kusimikwa rasmi katika nafasi hiyo, huku akiahidi kulitumikia Kanisa kwa hekima, unyenyekevu na moyo wa kichungaji.

Paris Saint-Germain (PSG) chini ya kocha Luis Enrique imeweka wazi dhamira ya kuandika historia mpya katika Ligi ya Mabingwa Ulaya, ikilenga kutwaa taji hilo kwa mara ya tatu mfululizo. Baada …

Kocha wa Real Madrid, José Mourinho, amesema hana shinikizo la ziada la kushinda Ligi ya Mabingwa Ulaya katika kipindi chake cha pili akiwa na klabu hiyo, akisisitiza kuwa wanacholenga ni …

Technology company TCL has filed a lawsuit against Samsung in a federal court in Los Angeles, challenging the use of the term “Mini LED” in advertisements for some of Samsung’s television models. According to a Reuters report published on September 1, 2026, the complaint concerns…

KIGALI: THE Minister of Finance of the United Republic of Tanzania, Hon. Ambassador Khamis Mussa Omar (MP), has stated that the Government has made significant strides in strengthening systems to combat money laundering, terrorism financing, and the financing of weapons of mass destruction. Ambassador Omar said this i…

Valencia vs Barcelona ni mechi ya Matchday 4 ya LaLiga 2026/27, itakayochezwa Jumapili, 6 Septemba 2026 saa 17:15 EAT katika Camp de Mestalla. Barcelona wanaingia wakiwa kileleni mwa msimamo na pointi tisa baada ya ushindi mara tatu, huku Valencia wakiwa na pointi moja baada ya mechi tatu. Valencia vs Barcelona pia in…

Timu za Tanzania zimeanza kwa matokeo mazuri katika mashindano ya klabu Afrika, huku Simba SC na Singida Black Stars zikirejea nyumbani na ushindi katika…

Hafla ya uzinduzi wa majengo ya Wizara, taasisi za Serikali na barabara za lami katika Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma, iliyokuwa ifanyike kesho…

UMOJA wa Ulaya (EU), imetoa Sh. bilioni 1.3 kwa vijana wawekezaji katika ubunifu 14, baada ya kushindanishwa na wengine kupitia maombi yaliyowasilishwa 1,057. Meneja wa Programu, Mpango wa Ubunifu wa FUNGUO, kutoka Shirika la Mpango wa Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Joseph…

MWANZA: THE newly appointed Mwanza Regional Commissioner, CP Salum Rashid Hamduni, has outlined his priorities for Mwanza Region, emphasizing hard work, humility and patriotism as key drivers of development for the people, three days after a the region was hailed for contributing 14.7tri/- to the national GDP CP Hamdu…

KILIMANJARO: THE Tanzania National Parks Authority (TANAPA) plans to acquire a helicopter to strengthen aerial firefighting operations on Mount Kilimanjaro as the government moves to improve emergency response following the recent wildfire. Minister for Natural Resources and Tourism Dr Ashatu Kijaji said yesterday aft…

Chama cha ACT-Wazalendo kimeeleza wasiwasi kuhusu maandalizi ya Serikali kukabiliana na mvua za El Nino zinazotarajiwa, ikitaka hatua za haraka zichukuliwe kulinda maisha na mali za wananchi.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linamshikilia Sabatho Malima Emmanuel, mwenye umri wa miaka 32, mkazi wa Buswelu, Wilaya ya…

IRINGA: MABONANZA ya michezo kwa watumishi wa taasisi mbalimbali yameelezwa kuwa na nafasi muhimu katika kuimarisha afya ya mwili na akili, kupunguza msongo wa mawazo na kujenga mahusiano mazuri kazini. Akizungumza baada ya kuhitimishwa kwa bonanza lililofanyika Septemba 5, 2026 katika viwanja vya Chuo Kikuu Mkwawa (M…
[New Times] African leaders have expressed their condolences to Tanzanian President Samia Suluhu Hassan following the death of her husband, Hafidh Ameir Hassan, on Monday, September 7.

Na Sophia Kingimali, Dar es Salaam WIZARA ya Katiba na Sheria imesema inaendelea kuhakikisha kuwa sera na sheria zinazosimamia utajiri wa asili, maliasili na…

THE Ministry of Constitutional and Legal Affairs is reviewing laws that could be limiting investment in Tanzania’s blue economy, as the government moves to create a more investor-friendly legal framework while safeguarding the country’s natural wealth and resources. Neema Mwanga,…

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Deogratius Ndejembi, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, Waziri Mkuu, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, pamoja na viongozi mbalimbali wa Serikali na vyama vya siasa na wananchi, wakimfariji Rais wa Jamhuri ya Muungano wa …

Mwenyekiti wa Simba SC 🇹🇿, Crestuince Magori, amesisitiza kuwa kikosi chao hakipaswi kuwabeza Mighty Wanderers 🇲🇼 ya Malawi kuelekea mchezo wa marudiano wa raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Magori ameeleza kuwa wapinzani hao ni mabingwa wa nchi yao na wana uwezo mkubwa wa kuleta ushindani mkali. Simba ilire…

Mwenza wa kwanza wa Rais aliyefariki wakati Rais akiwa bado madarakani tangu uhuru.

Soma hapa...
[Daily News] Dar es Salaam -- TANZANIA and Malawi have agreed to strengthen economic cooperation to boost trade and investment between the two countries through enhanced private sector collaboration, value addition to raw materials and greater utilisation of opportunities available in regional markets.

Rais wa Shirikisho la Kimataifa la Soka (FIFA), Gianni Infantino, amethibitisha kuwa atagombea tena nafasi ya urais wa FIFA katika…
.jpg)
By The Respondents ReporterTanzania and Algeria are seeking to deepen cooperation in pharmaceutical manufacturing, with Tanzania positioning itself to become a regional hub for medicines and medical-device production.The push emerged on Monday, September 7, 2026, when Tanzania’s Ambassador to Algeria, Mobhare Matinyi,…

Na Mwandishi wetu Dodoma Wanawake katika Jeshi la Magereza wametakiwa kuongeza ujuzi, maarifa na uwezo wa kutumia teknolojia za kidijitali ili kuendana na mabadiliko ya kiutendaji na kuongeza nafasi yao katika uongozi pamoja na majukumu ya kitaaluma ndani ya Jeshi hilo.Wito huo umetolewa na Naibu Waziri wa Maendeleo y…

Udinese watawakaribisha Lazio nyumbani kwao katika uwanja wa Bluenergy Stadium, katika mchezo unaotarajiwa kuwa na mvuto mkubwa mwanzoni mwa msimu mpya. Timu zote mbili zinaingia kwenye mchezo huu zikiwa na hamu ya kuendelea na mwendo mzuri baada ya matokeo yao ya hivi karibuni. Udinese wanaingia katika mchezo huu wak…

Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA), imeanza kuwaandaa wanafunzi kujiajiri kwa kuwajengea uwezo wa kuanzisha na kuendesha biashara badala ya kusubiri ajira baada ya kuhitimu. Ili kufikia malengo hayo, taasisi hiyo inawaunganisha na Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO), Wakala…

By Victoria GodfreySimba SC will look to finish the job when they host Malawi’s Mighty Wanderers in the return leg of their Caf Champions League first-round tie at Uhuru Stadium on September 13.The match, scheduled for a 4pm kick-off, comes with Simba holding a slender advantage after securing a 1-0 victory in the fir…
Na Emmanuel Massaka, Michuzi TVDAR ES SALAAM: Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imeimarisha ushirikiano na Jeshi la Polisi katika kudhibiti uingizaji, usambazaji na matumizi ya dawa, vifaa tiba, vitendanishi na bidhaa za tumbaku zisizokidhi viwango nchini.Mkurugenzi wa TMDA, Adam Fimbo, amesema ushirikiano huo ni m…

Mshambuliaji wa Real Madrid na nahodha wa Ufaransa, Kylian Mbappé, amesema ana matumaini ya kushinda tuzo ya Ballon d’Or mwaka huu baada ya kufanya vizuri katika Kombe la Dunia la …

Viongozi, wageni mbalimbali, viongozi wa dini, wasanii na watu kutoka kada tofauti wamefika Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar, kumfariji…
[Daily News] Lilongwe -- Simba and Singida Black Stars made a positive start to their CAF inter-club campaigns, with both recording convincing first-leg victories in their respective preliminaryround ties.

LOSC Lille na Real Betis wanajiandaa kwa pambano la kusisimua la Ligi ya Mabingwa Ulaya mnamo Septemba 8, 2026. Mchezo huu muhimu utafanyika Stade Pierre Mauroy, huku timu zote zikilenga kuanza kampeni zao kwa ushindi. Hapa tumekuletea uchambuzi wa kina wa mchezo huu, ikiwemo habari za timu, takwimu za ana kwa ana, na…

TANZANIA is seeking to deepen its economic partnership with Japan by attracting more investment, technology and industrial partnerships as the country embarks on a new phase of economic transformation, Planning and Investment Minister Prof Kitila Mkumbo has said. Prof Mkumbo made…

………….. Watoto 16 wenye magonjwa ya moyo wamefanyiwa upasuaji wa moyo katika kambi maalumu inayoendeshwa na wataalamu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)…

ZANZIBAR: POLITICAL parties in Tanzania have been urged to use their platforms to educate and encourage citizens to enrol in Universal Health Insurance, with health described as a fundamental right for every citizen regardless of political affiliation, age, gender or social status. The call was made by Acting Minister…
[Daily News] Morogoro -- MOROGORO Regional Commissioner, Ms Queen Sendiga has warned that leaders who fuel land conflicts will face legal action, as she announced plans to establish a task force to speed up the resolution of disputes across the region.
[Daily News] Dar es Salaam -- CROSS-BORDER trade is emerging as a bright spot for postal and courier industry, with international items sent abroad rising by 40.8 per cent in the quarter ending June this year as businesses increasingly rely on delivery networks to support regional and global commerce.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Deogratias Ndejembi, ameagwa rasmi na Menejimenti ya Wizara ya Nishati pamoja…

Treason trial accused person, Chadema national chair Tundu Lissu, failed to contain his frustration over how his witness, Ms Brenda Rupia, was cross-examined regarding her profession in relation to her responsibilities within the party.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa shukrani kwa wananchi wa ndani na nje ya…

TCB Chief Executive Officer and Managing Director Adam Charles MihayoBy Issa MichuziThe Tanzania Commercial Bank (TCB) is again footing the bill for the annual gathering of board chairpersons and chief executives from public bodies, signing on as principal sponsor for the third year in a row.The event, hosted by the O…

DAR ES SALAAM: Thirty young women who completed the first cohort of the The Hope Atelier – Fashion for Empowerment programme have received sewing machines and other equipment to enable them to start businesses and become self-employed in the fashion industry. The equipment was handed over to the graduates at a ceremon…

The Tanzania Human Rights Defenders Coalition (THRDC) has called on the police to provide timely information on the whereabouts and condition of Dr Conrad Agonza, a doctor at Mloganzila Hospital, following an incident involving him and a traffic police officer. The incident occurred on September 8, 2026, along Bagamoy…
[CAF] Tanzania and Uganda came out top as the CAF Africa Schools Football Championship CECAFA qualifiers came to conclusion on Saturday in Kigali, Rwanda.

UJENZI wa bomba la gesi asilia lenye urefu wa kilomita 22 kutoka Kisemvule hadi Mbagala umeingia hatua muhimu, huku kampuni ya Rashal Energies Limited ikiongeza kasi ya kazi katika maeneo ya njia yanayoweza kuathiriwa zaidi na mvua kubwa. Kwa mujibu wa Mkurugenzi Mtendaji wa Rashal Energies Limited, Farhiya Warsame, m…

Na Sophia Kingimali, Dar es Salaam CHUO cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kimesisitiza umuhimu wa kuunganisha elimu, utafiti, teknolojia na mahitaji ya sekta…

Kampuni ya michezo ya kubashiri ya Sokabet imetumia jumla ya Sh44, 658,787,637 kuwazawasia washindimbalimbali kwa mwezi Agosti.Hayo yalisemwa na Meneja Msaidizi wa Huduma kwa Wateja wa Sokabet Tanzania, Lazaro Mduma, wakati wa wa zoezi la kumkabidhi fedha mmoja wa washindi, Alisema R. Likwawa ambaye alishindi Sh Sh143…

📍 Dodoma Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) umetakiwa kuongeza ushirikiano na Sekta Binafsi pamoja na wadau wengine ili kupata fedha…

The Zanzibar Ministry of Health, in collaboration with Saifee Hospital and Project Rise, has conducted a free eye screening and treatment camp at Chumbuni Hospital, reaching 150 patients. The camp, held on September 7, focused on diagnosing retinal conditions, which can be associated with long-term illnesses such as d…

DAR ES SALAAM: African countries have been urged to increase investment in primary healthcare to ensure people receive the right services, at the right place and at the right time before illnesses become life-threatening. World Health Organisation (WHO) Regional Director for Africa Prof Mohamed Yakub Janabi made the c…

Na OWM – TAMISEMI, Arusha Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ametambuliwa kuwa kinara katika kuimarisha huduma za afya ya msingi kutokana na mafanikio makubwa yaliyopatikana nchini, hususan katika kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi n…

Benki ya NMB imejiunga kwa mara ya kwanza kuwa mdhamini wa Mbio za Mbuzi za mwaka 2026, zinazolenga kukusanya Sh milioni 200 kwa ajili ya kusaidia vijana 150 kujiunga na vyuo vikuu na mafunzo ya ufundi. Tukio hilo litafanyika Septemba 19 katika Viwanja vya Posta, Kijitonyama jijini Dar es Salaam.Mkuu wa Idara ya Watej…

FC Barcelona iliichakaza Feyenoord kwa mabao 5-1 jana katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya kwenye Uwanja wa Spotify Camp Nou, ikiendeleza mwanzo wake mzuri wa msimu huku Gabriel Jesus …

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, pamoja na Mawaziri wengine, wamefika nyumbani kwa Rais…

Winga wa Ukraine, Mykhailo Mudryk, atalazimika kusubiri kuanza safari yake mpya Tottenham baada ya kupata jeraha wakati wa mazoezi. Mchezaji huyo anatarajiwa kukaa nje ya uwanja kwa kipindi cha wiki …

ARUSHA: TANZANIA is moving to integrate digital systems used in primary healthcare to improve access to timely information and strengthen the delivery of services to citizens, including digital payments to community health workers. Director of Information and Communication Technology (ICT) at the Prime Minister’s Offi…
By The Respondents ReporterMore young Tanzanians could gain access to university and vocational training if a fundraising drive targeting Sh200 million through the 2026 Goat Races succeeds.The NMB has joined the event as a first-time sponsor, with the money expected to support 150 young people facing financial barrier…

Soma zaidi...

Ujio wa mastaa wakongwe wa filamu nchini—Irene Uwoya, Jacqueline Wolper, Aunt Ezekiel na Kajala Masanja—katika ofisi za Bodi ya Filamu Tanzania mnamo Septemba 7, 2026, umeendelea kuibua gumzo kubwa kwenye mitandao ya kijamii kutokana na muonekano wao wa kipekee. Mastaa hao wa kipindi maarufu cha A-List walifika katika…

KIUNGO machachari wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’, ameweka mgomo wa kuzungumzia rumors zinazomhusisha na kurejea au kujiunga na miamba ya soka nchini, Simba SC na Yanga SC, akisisitiza kuwa kwa sasa mawazo yake yote yapo kwenye timu yake ya sasa. Fei Toto amebainisha kuwa bado ni mchezaji halali wa Azam FC na ana …

Mkuu wa Wilaya ya Maswa, Dk Vicent Anney ameitaka Mamlaka ya Mji Mdogo wa Maswa kuendesha shughuli zake kwa kuzingatia sheria na miongozo, badala ya kujikita katika migogoro ya ndani.Akizungumza leo Alhamisi Septemba 10, 2026 katika kikao cha Baraza la Mamlaka hiyo, Dk Anney amesema hatavumilia mpasuko unaodaiwa kuwag…

SEOUL: MINISTER for Finance Ambassador Khamis Mussa Omar has arrived in Seoul, South Korea, to lead the Tanzanian delegation at the eighth Korea-Africa Economic Cooperation (KOAFEC) Conference, held from September 8 to 11, 2026. The four-day conference, organised by the South Korean government in collaboration with th…

Mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Dodoma Jiji FC na Namungo FC unatarajiwa kuwa na upinzani mkali. Timu zote zinahitaji pointi muhimu kuimarisha nafasi zao kwenye msimamo. Hapa tunakuletea uchambuzi wa kina, takwimu za hivi karibuni, na utabiri wa mechi hii.
Kocha wa Liverpool, Andoni Iraola, ametoa taarifa ya hivi karibuni kuhusu hali ya majeraha ya Bradley Barcola na Cody Gakpo kuelekea mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Fulham utakaochezwa Uwanja …

Wakati kampuni za teknolojia zikikimbizana kutengeneza AI yenye uwezo mkubwa zaidi, baadhi ya watafiti wanaohusika moja kwa moja katika kuijenga sasa wanaanza kuuliza kama dunia iko tayari kwa teknolojia hiyo. Watafiti wa Anthropic, akiwemo Evan Hubinger, wameonya kwamba AI yenye uwezo mkubwa inaweza siku moja kusabab…

African League of Legends teams, this is not the moment to watch from the sidelines….

Na mwandishi wetu, Gazetini SERIKALI imesaini mkataba wa Sh bilioni 198.67 kwa ajili ya ujenzi wa njia mpya ya kusafirisha umeme wa msongo wa kilovoti 220 (220kV) kutoka Iganjo mkoani Mbeya hadi Saza mkoani Songwe, pamoja na ujenzi wa Kituo cha Kupokea na Kupoza Umeme cha Saza. Mradi huo, unaotekelezwa na Shirika la U…

SEOUL: TANZANIA and South Korea have agreed to accelerate the implementation of a 2.5bn US dollars commitment to Tanzania to finance key strategic projects across various sectors, including transport infrastructure, technology, culture, industry and health. Tanzania’s Minister for Finance, Ambassador Khamis Mussa Omar…

The homeowners submitted their concerns to the Minister for Lands, Housing and Human Settlements Development, Dr Leonard Akwilapo, several weeks ago.

Wanafunzi 150 waliofanya vizuri katika masomo ya sayansi wamepata fursa ya kusoma nchini Algeria kupitia mpango wa Samia Scholarship, huku Serikali ikisema itaendelea kufungua milango ya elimu ya juu nje ya nchi kwa vijana wenye uwezo, bila kujali hali zao za kiuchumi.

OWM –TAMISEMI, Dar es Salaam Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Deogratius Ndejembi leo Septemba 11, 2026 amezitaka Wizara, Mamlaka…

By Our ReporterThe government has ordered an urgent clean-up of roads and drainage systems ahead of El Niño rains expected from October to December, warning authorities to act before heavy rains expose weaknesses in urban infrastructure.The directive puts local authorities under pressure to clear blocked drains, remov…

Kocha Mkuu wa Yanga, Manqoba Mngqithi, ametuma onyo zito kwa wachezaji na mashabiki wa klabu hiyo akisisitiza kuwa wanapaswa kuwa makini mno kwenye mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone United ya Botswana. Yanga inashuka dimbani kesho Jumamosi, Septemba 12, katika Uwanja wa Azam Complex, Cha…

Kiungo mshambuliaji wa Simba SC, Libasse Gueye, ametangazwa kuwa Mchezaji Bora wa Mwezi Agosti wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kwa msimu wa 2026/27. Wakati huo huo, Kocha Mkuu wa Yanga SC, Manqoba Mngqithi, ameibuka kidedea kama Kocha Bora wa mwezi huo. Gueye Aving’arisha Simba SC Gueye ametwaa tuzo hiyo kufuatia kiwango…

By Victoria GodfreySimba head coach Steve Barker has warned his players against complacency, saying their CAF Champions League preliminary-round tie against Malawi’s Mighty Wanderers is far from over despite their 1-0 victory in the first leg.Simba secured the narrow advantage in Malawi and will now host Mighty Wander…

By Victoria GodfreyFormer Tanzania footballers have warned Simba and Yanga that they must raise their performance and maintain concentration if they are to survive their respective African club competitions this weekend.Yanga face Botswana’s Gaborone United tomorrow at Azam Complex, Chamazi, knowing that victory is cr…

Kama unapenda michezo yenye rangi, matukio ya kushtukiza, ushindi mkubwa na burudani isiyokupa nafasi ya kuchoshwa, basi Wilder Icy Fruits imefika kwa wakati sahihi. Mchezo huu mpya wa kasino kutoka Expanse sasa unapatikana Meridianbet, ukiwaleta wachezaji kwenye safari yenye matunda yenye mwonekano wa barafu na mshan…

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Selemani Mwalimu, amesema anatamani kuibuka mchezaji bora katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone United ya Botswana, huku akisisitiza kuwa jukumu lake ni kuendelea kutoa kiwango bora kwa ajili ya timu. Mwalimu amesema anafurahia nafasi aliyopewa na benchi la ufun…

Mke wa Rais wa zamani wa Venezuela, Cilia Flores de Maduro, ameiomba mahakama kumuachilia kutoka kizuizi cha serikali ya Marekani, akieleza kuwa hali yake ya moyo imezidi kuwa mbaya. Mawakili wake wamesema Flores anahitaji matibabu ya moyo pamoja na mazingira ya kupona, wakidai k…

DAR ES SALAAM, Tanzania — Mkuu wa Benchi la Ufundi la Simba SC, Steve Barker, ameweka wazi kuwa ushindi wa bao 1-0 walioupata ugenini dhidi ya Mighty Wanderers ya Malawi hauwafanyi kubweteka, bali ni chachu ya kutaka ushindi mkubwa zaidi katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba SC inajiandaa kuwaka…

Soma hapa...

ZANZIBAR: THE Zanzibar Law Society (ZLS) has conveyed its condolences to Tanzania’s President, Dr Samia Suluhu Hassan, following the death of her husband, the late Maalim Hafidh Ameir Hassan. The condolences were delivered today, September 12, at President Samia’s private residence in Kizimkazi, South Unguja Region, Z…

Soma hapa...

Soma hapa...

Sunderland wanajiandaa kuwakaribisha Arsenal katika mchezo wa Ligi Kuu ya Uingereza msimu wa 2026/27. Hapa tumekuletea uchambuzi wa kina, habari za timu, na utabiri wa mchezo huu muhimu.

Coastal Union na JKT Tanzania wanajiandaa kwa pambano la Ligi Kuu Bara. Hapa tumekuletea uchambuzi wa kina, takwimu za hivi karibuni, na utabiri wa mchezo huu muhimu utakaofanyika Uwanja wa Mkwakwani.

MASHABIKI wa michezo ya kasino mtandaoni sasa wana sababu nyingine ya kuongeza burudani zao baada ya mchezo mpya Wilder icy fruits kutoka Expanse kuwasili ndani ya Meridianbet. Mchezo huu umebeba ladha mpya ya burudani kupitia mandhari yenye rangi zinazovutia, matunda yenye muonekano wa barafu na mshangao unaoweza kuj…

DODOMA: Deputy Minister for Livestock and Fisheries, Ms Ng’wasi Damas Kamani, has said the AgResults Tanzania Climate-Smart Dairy Prize Competition will transform investments and services into measurable improvements for smallholder farmers. Speaking at the launch of the AgResults Tanzania Climate-Smart Dairy Prize Co…

KIZIMKAZI, ZANZIBAR: Viongozi mbalimbali wa dini, taasisi za umma na binafsi pamoja na makundi mbalimbali wameendelea kumfariji Rais wa Jamhuri…

Borussia Dortmund itakuwa mwenyeji wa SC Paderborn katika mchezo wa Bundesliga utakaopigwa leo Jumamosi, Septemba 12, 2026, katika Uwanja wa Signal Iduna Park. Mchezo huo utaanza saa 16:30 jioni, huku Dortmund ikilenga kuendelea na mwanzo wake mzuri wa msimu huu. Dortmund imeanza msimu kwa ushindi katika michezo yake …
.jpeg)
By Respondents ReporterTanzania has invited investors to explore opportunities in the health sector, with the government saying predictable policies and a secure investment environment provide a basis for increased private sector participation.Deputy Finance Minister Laurent Luswetula said Tanzania had significant inv…

Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) (kushoto), Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) (wa pili kulia),…

By Victoria GodfreyYanga have booked their place in the next round of the Caf Champions League after defeating Botswana’s Gaborone United 2-1 in the second leg at Azam Complex, Chamazi, on Saturday.The victory saw the Tanzanian champions progress 3-2 on aggregate, having drawn 1-1 with Gaborone United in the first leg…

SERIKALI Mkoa wa Pwani imetoa wito kwa wataalamu wa maafa kuongeza kasi ya kutoa elimu kwa jamii, hususan wakulima, wafugaji na wananchi wanaoishi maeneo ya mabondeni, kuhusu tahadhari na hatua za kuchukua kukabiliana na athari zinazoweza kusababishwa na mvua za El Niño.Wito huo umetolewa na Katibu Tawala wa Mkoa wa P…

Ngoma imeisha Simba SC 6-1 Mighty Wanderers ni matokeo rasmi katika mchezo wa hatua ya awali CAF Champions League. Mabao yamefungwa na Clatous Chama dakika ya 7 na 34, Libase Gueye dakika ya 26 na 69, Keletso Makgalwa dakika ya 88 na Morice Abraham dakika ya 90. Bao pekee la Mighty Wanderers limefungwa na IIsaac […]

Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Ndg. Abdi Mahmoud Abdi, amesema ziara zake katika majimbo 50 na matawi yake zinalenga kuimarisha uhai wa Chama, kusikiliza changamoto zinazowakabili wanachama na kuhamasisha utekelezaji wa Ilani ya CCM.Ndg. Abdi ameyasema hayo leo, Septemba 13, 2026, wakati akie…

SONGWE: THE Tanzania Electric Supply Company (TANESCO) and China-based TBEA Company have signed a 198.67bn/- contract for construction of a 220kV electricity transmission line from Iganjo in Mbeya Region to Saza in Songwe Region, alongside construction of a substation at Saza. The 18-month project is expected to impro…

Abdul ni mwanzilishi na mwenyekiti wa kikundi cha Taka Dampo, ambacho kilianza kutokana na wazo alilolibeba tangu akiwa mwanafunzi wa chuo.

Na. Vero Ignatus, Michuzi TV – ArushaTanzania imesisitiza umuhimu wa kuimarisha huduma za afya ya msingi ili kufikia huduma bora za afya kwa wote huku ikiweka mkazo katika uwekezaji, upatikanaji wa fedha, matumizi ya teknolojia, na kuhakikisha usawa katika utoaji wa huduma hizo nchini.Akifunga Mkutano wa Pili wa Kim…

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete, akiongea na uongozi wa Tabora baada ya kuwasili mkoani humo jana Septemba 12, 2026…

By Our Reporter, ZanzibarThe Tanzania Trade Development Authority (TanTrade) has used the Zanzibar Fahari trade fair to promote locally manufactured products and help businesses connect with domestic and international markets.The authority participated in the closing ceremony of the ninth Fahari ya Zanzibar Exhibition…

*Ujenzi wafikia zaidi ya 60% Arusha Bodi ya Ushauri ya Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imefanya ziara ya kukagua ujenzi wa…

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa…

Mchezaji wa Yanga, Mohamed Hussein, amesema timu hiyo inaendelea vizuri na ipo tayari kwa mchezo wa kesho dhidi ya Geita…

Geita. Serikali wilayani Geita imetangaza operesheni ya siku tano ya usafi wa mazingira kwa ajili ya kuzibua mitaro na njia za maji zilizozibwa na taka, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kukabiliana na tishio la mvua za El Nino. Operesheni hiyo inatarajiwa kufanyika Septemba 19 hadi 23, 2026, katika maeneo mbalimbali y…

Mwili wa wataalamu wa waamuzi Pro Ref umekiri kuwa mwamuzi wa video (VAR) alifanya makosa kuruhusu bao la Erling Haaland katika ushindi wa Manchester City wa 1-0 dhidi ya Manchester …

Steven Kaaya (23), mkazi wa Mtaa wa Relini, Kata ya Bomambuzi, Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, amefariki dunia baada ya kupigwa hadi kufa, akituhumiwa kuiba kiti chenye thamani ya Sh40,000.

MRATIBU wa Jukwaa la Kimataifa la Biashara na Uwekezaji la Kilimo na HortiLogistica Africa, Loveness Adolf, amewakaribisha wakulima, wafanyabiashara, wawekezaji na wadau wengine wa sekta ya kilimo kujisajili mapema kushiriki HortiLogistica Africa 2026, itakayofanyika Novemba 8 hadi 10, 2026 katika Hoteli ya Ngurdoto, …

By Lookman MirajiTanzania Olympic Committee (TOC) president Anthony Mtaka has backed the growth of swimming competitions, saying sport can help keep young people engaged in productive activities while building discipline and confidence.Mr Mtaka said swimming and other sporting activities provide young people with a co…

By Respondents ReporterNatural Resources and Tourism Minister Ashatu Kijaji has demanded faster delivery of development projects in Kondoa, saying residents want tangible services rather than repeated promises from leaders and project managers.Dr Kijaji, who is also the Kondoa MP, said residents were particularly conc…
.png)
JUMATATU imepata sura mpya kwa wachezaji wa kasino mtandaoni baada ya Meridianbet kuendelea na promosheni yake ya Monday Cashback & Bonus Back, inayowapa wachezaji sababu ya kuanza wiki kwa matarajio makubwa. Katika ulimwengu wa burudani za kidijitali ambako kila siku huleta msisimko wake, sasa mwanzo wa wiki nao una …

TIMU nyingi zinakungoja wewe kuweka dau lako la ushindi na uibuke bingwa, kuanzia hapa Afrika mpaka kule Ulaya ni nadnika bandua. Je nani unampa nafasi ya kushinda?. Ingia kwenye akaunti yako na ushinde.EPL itaendelea kwa mechi moja pekee ambapo Leeds United watakuwa nyumbani kumenyana dhidi ya Newcastle United, moja …

Rais wa Zanzibar Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema maridhiano ya kisiasa kati ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na ACT Wazalendo yana nafasi ya kuandika historia mpya ya Zanzibar kwa kuimarisha amani, umoja na utulivu wa kisiasa. Dk. Mwinyi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduz…

Mwanamume anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 30 na 35, ambaye bado hajafahamika jina wala makazi yake, amefariki dunia baada ya kupigwa risasi na polisi kufuatia tukio la kuvamia Benki ya CRDB, Tawi la Rock City Mall, Wilaya ya Ilemela, mkoani Mwanza. Akitoa taarifa hiyo…

MSHAMBULIAJI machachari wa Azam FC, Iddi Seleman ‘Nado’, amewatahadharisha wapinzani wao Simba SC akisisitiza kuwa wamejipanga kuchukua pointi zote tatu kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu ya NBC utakaopigwa kesho Jumatano. Nado ameeleza kuwa mechi hiyo ina uzito mkubwa mno katika mbio za ubingwa, huku ushindi ukitarajiwa k…

Young Africans (Yanga SC) imeendelea kuonyesha umwamba na utawala wake katika Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuibuka na ushindi muhimu wa bao 1-0 dhidi ya Geita Gold FC, katika mchezo mkali uliopigwa kwenye Uwanja wa KMC Complex. Ushindi huo umeifanya miamba hiyo ya Msimbazi/Jangwani kufikisha pointi 18 na kuendelea …

Rais wa FC Barcelona, Joan Laporta, amemtumia salamu za pole Rais Samia Suluhu Hassan kufuatia kifo cha mwenza wake, Mzee Hafidh Ameir Hassan, kilichotokea Septemba 7, 2026. Salamu hizo zimewasilishwa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, aliye nchini Hi…

IRINGA: A total of 873 students and 43 teachers at Kalenga Secondary School in Iringa District Council are set to benefit from a modern Information and Communication Technology (ICT) laboratory launched by Helios Towers. The 30m/- project was launched at the school today, September 15, 2026, as part of the company’s c…

Soma zaidi...

BARIADI: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has urged Tanzanian youth to take advantage of opportunities in the mining sector so they can benefit from the country’s mineral wealth and build large Tanzanian-owned businesses. He said the government aims to support small-scale miners to expand their operations and become maj…

By Our Reporter, BariadiPrime Minister Mwigulu Nchemba has directed the Ministry of Minerals to review mining licences held for years without development and make unused areas available to young Tanzanians seeking to enter the sector.Dr Nchemba said the Government wants small-scale miners to grow into major investors,…

By Our Reporter, NgorongoroThe Chairperson of the Public Service Commission, retired Judge Hamisa Kalombola, has urged employees of the Ngorongoro Conservation Area Authority (NCAA) to uphold integrity, professionalism and accountability in carrying out their duties.She said adherence to public service ethics was esse…
Simba SC CAF Champions League coverage brings together the club’s current fixtures, results, next match, squad, qualification status and key competition dates in one place. Simba have reached the 2026/27 Second Preliminary Round after eliminating Mighty Wanderers 7-1 on aggregate. The Wekundu wa Msimbazi won the first…

Tanzania U20 CECAFA 2026 inaanza ikiwa na Ngorongoro Heroes kama mabingwa watetezi wa ukanda wa CECAFA. Tanzania iko Kundi A pamoja na Rwanda na Ethiopia, huku mechi zote za mashindano zikichezwa Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Mashindano haya pia ni njia ya kufuzu kwa AFCON U20 2027. Timu tisa zimegawanywa katika mak…

Chadema Mainland Vice Chairman John Heche has claimed that the 2015 Tarime Rural parliamentary election that brought him to Parliament was void.

Mhe. Tundu Lissu ameieleza Mahakama kuwa John Heche ndiye shahidi wake wa mwisho ambaye ni raia, akisema anaamini re-examination yake…

Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro limewakamata watu 242 kwa tuhuma za kujihusisha na makosa mbalimbali, yakiwemo utovu wa maadili, kukutwa na nyara za Serikali na usafirishaji wa dawa za kulevya.

Dodoma, Septemba 15, 2026 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Rosemary Senyamule, amepokea vifaa vya uchunguzi wa wanawake wajawazito kwa kutumia teknolojia ya Akili…

Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete, amewataka madiwani na viongozi wa jimbo hilo kuwafikishia wananchi tahadhari za mvua za El Nino zilizotolewa na wataalamu wa hali ya hewa, ili wajipange mapema. Ridhiwani, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi …

Tanzanian secondary school students have developed technology to predict areas at risk of flooding as the country prepares for possible heavy rains associated with El Niño.

Uhusiano wa kikemikali kati ya Malen na Dybala umekuwa msingi muhimu wa mfumo wa mbinu za Gian Piero Gasperini msimu huu. Baada ya ushindi dhidi ya Torino katika Uwanja wa …

Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma, Jaji Mstaafu Hamisa Kalombola, amewataka watumishi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) kuzingatia maadili ya utumishi wa umma, uadilifu, uzalendo na uwajibikaji katika kutekeleza majukumu yao kwa maslahi ya taifa.Jaji Mstaafu Hamisa Kalombola alitoa kauli hiyo wakati wa k…

*Ukosefu wa mawasiliano chanzo cha mgogoro wa wabia katika leseni 33 *Wachimbaji watakiwa kuweka mifumo ya wazi ya ushirikiano na mawasiliano *Serikali yaonya leseni…
[Daily News] Mwanza -- The Chairperson of the Parliamentary Standing Committee on Energy and Minerals, Subira Mgalu, has affirmed that one of the Committee's key priorities is to ensure the successful establishment of the Tanzania Geoscientists' Registration Board.

Na: OWM – TAMISEMI, LindiWaziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amesema hajaridhishwa na kasi ya utekelezaji wa miradi inayotekelezwa na Mkandarasi KIKIM Contractors Limited kwa kushirikiana na mbia wake AMACO Enterprises katika Manispaa ya…

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Stanslaus Nyongo, amesema tayari amewaelekeza Wakuu wa wilaya na Wakurugenzi katika Wilaya zote za mkoa huo, kutenga maeneo kwa ajili ya waathirika wa mvua za El Nino. Amesema maelekezo hayo yanaendelea kufanyiwa kazi kuhakikisha hakuna wananchi watakaokumb…
Katika kundi la Tier 6, linalojumuisha benki zenye mali kati ya Dola bilioni 3 na 10 za Marekani, NMB imechukua nafasi ya tisa, huku CRDB ikiwa ya 41.

Jane Mwakyoma ,Rukwa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Charles Makongoro amewaomba wananchi na wadau mbalimbali kushiriki kikamilifu katika maandalizi ya kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2026, kinachotarajiwa kufanyika mkoani humoAkizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Makongoro amesema kilele hicho kitaf…

KIBAHA: PWANI Region has put in place measures through disaster response teams to ensure that vulnerable groups, including people with disabilities, the elderly and children, receive assistance and protection during the El Niño rains expected in the coming weeks. Speaking to journalists at his office in Kibaha on prep…

Mchezo mkali umekamilika ubao ukisoma Azam FC 0-2 Simba SC Mzizima Dabi, Septemba 16, 2026. Mabao ya Simba SC yamefungwa na Fasika Idumba ambaye alijifunga dakika ya 58 na bao la pili limefungwa na Clatous Chama dakika ya 68. Unakuwa mchezo wa kwanza matajiri wa Dar wanapoteza msimu wa 2026/27. Vuna mamilioni sasa hiv…
.jpeg)
● Awasihi Watanzania kuchukua Vitambulisho vyao vya Uraia.WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali kupitia Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) itaanza kuchukua hatua za kuwasajili na kuwatambua watoto walio chini ya umri wa miaka 18, ikiwa ni sehemu ya kuimarisha mfumo wa utambulisho wa Taifa.Dkt. Mwig…

Deportivo La Coruña itakuwa mwenyeji wa Sevilla katika mchezo wa LaLiga utakaopigwa leo Jumatano, Septemba 16, kwenye Uwanja wa Abanca-Riazor….

Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, leo Jumatano, Septemba 16, 2026, amekutana na kufanya mazungumzo na uongozi wa kampuni ya Barrick kuhusu namna bora…

By Victoria GodfreyYanga head coach Manqoba Mngqithi believes his side’s 1-0 victory over Geita Gold, despite playing for more than an hour with 10 men, has provided valuable lessons as the club prepares for the new season.Yanga secured the narrow win at KMC Complex on Tuesday night after being reduced to 10 players, …

Na Karama Kenyunko Michuzi tvRAIS Mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Mrisho Kikwete, amewataka wanaume kujenga utamaduni wa kupima afya mara kwa mara ili kubaini mapema magonjwa mbalimbali, ikiwemo saratani ya tezi dume.Kikwete amesema hayo wakati wa hafla ya kuhamasisha uelewa kuhusu saratani ya tezi dume iliyofanyika k…

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Septemba 17, 2026, amefanya mazungumzo na Rais wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Dkt….
.jpeg)
Benki ya NMB imejipanga kupanua ufadhili kwa wafanyabiashara na wawekezaji ili kuongeza upatikanaji wa mitaji na kuharakisha utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, inayotegemea sekta binafsi kubeba sehemu kubwa ya uwekezaji unaohitajika kuifikisha Tanzania kwenye uchumi wa dola za Marekani trilioni moja ifika…

Na Mwandishi WetuRAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, amepongezwa kwa kuwezesha Idara ya Uhamiaji kuendelea kuboresha na kuimarisha matumizi ya teknolojia za kisasa katika utoaji wa huduma za Uhamiaji, hatua inayolenga kurahisisha na kuongeza ufanisi katika taratibu za kuingia na kutoka n…
.jpeg)
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila amekutana na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari nchini ikiwa ni mkakati wa Mkoa huo kuimarisha uelewa kwa wananchi kuhusiana na usafi jijini humo, tahadhari ya mvua za Elnino, upangaji wa wafanyabiashara wadogo pamoja na maandalizi ya kupokea wanafunzi wa kidato…

By Victoria GodfreyCAF President Patrice Motsepe has ruled out speculation that the 2027 Africa Cup of Nations (AFCON) could be moved from Tanzania, Kenya and Uganda, saying the three East African countries remain firmly on course to host the continental showpiece.Dr Motsepe gave the assurance yesterday, September 17,…

DAR ES SALAAM: TANZANIA and Germany are seeking to unlock new investment opportunities in Tanzania and the wider East African region, with both sides highlighting the need to address tax, policy, infrastructure and other business barriers. This was reached in talks between the Deputy Minister for Foreign Affairs and E…

By Victoria GodfreyTanzania’s national woodball team has travelled to Kenya for the African Woodball Championships, using the continental tournament as a key test ahead of the World Championships in Taiwan later this year.The competition starts today at Mount Kenya University and runs until September 22, bringing toge…

MICHEZO miwili ya Ligi Kuu ya NBC itaendelea leo, Juni 16 huku timu zikisaka alama muhimu katika hatua za mwisho wa msimu kuhakikisha zinafikia malengo yao ya msimu huu. Mchezo wa mapema utawakutanisha Namungo na TRA United kwenye Uwanja wa Majaliwa, mkoani Lindi kuanzia saa 10:00 alasiri, Namungo ikiingia kwenye mche…

Equity turnover on the Dar es Salaam Stock Exchange surged +64.96% week-on-week to TZS 86.39 billion in Week 36 of 2026, with 35,250,858 shares changing hands across 23,980 deals. NMG advanced +23.64% and KCB gained +11.56% among the top performers, while PAL fell -12.86% and MBP declined -6.94% among the week’s heavi…

Tanzania’s startup scene isn’t lagging behind—it’s building its own unique foundation, and judging it by mature-market standards is comparing apples to saplings.

Dola ya Marekani (USD) imeendelea kununuliwa kwa Sh2,570 na kuuzwa kwa Sh2,650 ikiwa ni sawa na kiwango kilichorekodiwa wiki iliyopita.

MWANZA: GHANA has outlined the key strategies behind its successful implementation of local content policies in the mining sector, urging African countries to strengthen legislation, promote value addition and deepen stakeholder collaboration to maximise benefits from mineral resources. Speaking at the Fifth Local Con…

THE government has unveiled an ambitious 86.3trn/- national development plan for the next year, marking the start of the implementation of Vision 2050, with the private sector expected to contribute nearly 70 percent of the required funding. Prof. Kitila Mkumbo, the Planning and …

DODOMA: THE National Agricultural Extension Services Agency (NAESA) is set to strengthen the delivery of agricultural extension services across the country through a strategic partnership with the Tanzania Fertilizer Regulatory Authority (TFRA), a move expected to boost agricultural productivity and crop yields among …

A special event will be held on September 23, 2026, to kick off the GPE fundraising campaign during the UNGA.

Kikao cha Menejimenti cha Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Geita kinajadili maboresho ya utoaji huduma za haki, kikiweka malengo ya kumaliza taratibu za umiliki wa viwanja.

Maadhiimisho ya jubilee ya miaka 100 ya Shule ya Sekondari Tosamaganga yanatarajiwa kuanza tarehe 8 Oktoba 2026 na kumalizika tarehe 10 Oktoba 2026.
.jpeg)
Kumekuwa na wito kwa wamiliki na waendeshaji wa TEHAMA kukamilisha usajili wa miundombinu muhimu hadi Desemba 19, 2026.

The FISH4CAP programme, aimed at reducing post-harvest losses and improving incomes for fishers, is set to conclude on December 31, 2026.

AFCON 2027, co-hosted by Tanzania, Kenya, and Uganda, kicks off on June 19, 2027, marking a historic football tournament in East Africa.

China's new safety standard for autonomous driving systems takes effect, improving safety measures for vehicles with Level 3 and Level 4 autonomy.

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba laid the foundation stone for the Tanzania Institute of Accountancy building in Singida.

Serengeti Awards 2026 allows stakeholders to showcase contributions in conservation and tourism, with applications open until September 30.

Dirisha la usajili kuwania The Serengeti Awards 2026 litafunguliwa Agosti 20, 2026, na litabaki wazi hadi Septemba 30, 2026.

Dodoma launches a national polio vaccination campaign targeting over one million children to strengthen immunity against poliovirus.

The implementation of community interventions by selected CSOs focusing on child protection, education, and gender equality begins.

Tanzania's Commission of Inquiry into election violence, involving foreign judges, aims to investigate breaches of law from the October 2025 General Election.

Ndejembi directs immediate removal of project manager and special audit on $20 million payments for the Malagarasi MW 49.5 project in Kigoma.

Tanzanian exporters gain duty-free access to China on all tariff lines, enhancing trade and competitiveness.
More stories

PITIAPITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 18, 2026

MsingiTek extends to Shinyanga, targets over 13,000 pupils

JAJI MRUMA AZITAKA TAASISI ZA MNYORORO WA HAKI KUZINGATIA KATIBA, SHERIA NA MAADILI

British Airways to resume Tanzania flights after 15-year absence
BRITISH Airways is set to resume services to Tanzania after a 15-year absence, launching a new seasonal route connecting London Gatwick with Kilimanjaro and Zan
.jpeg)
KAIRUKI AMKABIDHI KOMPYUTA AFISA MTEULE WA JESHI LA AKIBA UBUNGO

Kampuni 30 za Ujerumani zaonesha nia kuwekeza Tanzania

KIKWETE AWATAKA WANAUME KUPIMA AFYA MARA KWA MARA

SANGU: TALGWU ENDELEZENI UMOJA, DEMOKRASIA NA MAJADILIANO KATIKA KUTETEA MASLAHI YA WAFANYAKAZI

TALGWU YAIOMBA SERIKALI KUCHUKUA HATUA HARAKA KUKABILI CHANGAMOTO ZA WATUMISHI

BRELA: VIJANA RASIMISHENI VIKUNDI KUNUFAIKA NA FURSA ZA KIUCHUMI

STRENGTHENING UNESCO–TANZANIA COOPERATION
Dar es Salaam, Tanzania: The Tanzania National Commission for UNESCO and UNESCO continue to strengthen their cooperation in advancing shared priorities in educa

Timu ya Taifa ya Woodball Yaagwa Kwenda Kenya: Tanzania Kusaka Tiketi ya Dunia Taiwan

Yanga Yaanza Mipango Ya Kumfanya Selemani Mwalimu Kuwa Mali Yao Jumla

Wadau wamlilia msanii wa katuni King Kinya

Zanzibar Yaweka Walimu wa Saikolojia Shuleni Kusaidia Wanafunzi Wanaokabiliwa na Changamoto za Afya ya Akili

NYOTA BIGI MSIMU WA PILI YARUDI TENA: SERENGETI LITE NA KUNTA AFRICA WATAFUTA NYOTA MPYA MKUBWA NCHINI TANZANIA

Silaha 17, risasi 19 zasalimishwa Tabora

British Airways yafungua anga la utalii Tanzania
Tanzania inatarajiwa kupata msukumo mpya katika sekta za utalii, biashara na uwekezaji baada ya Shirika la Ndege la British Airways kutangaza kuanza safari za m

Mwandishi wa habari Afrika Kusini aliyedaiwa kutekwa akutwa amefariki

Sera thabiti zitaamua mustakabali wa uwekezaji Afrika Mashariki – Rostam
Importance of Peace for National Development
Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Zungu, amesema nchi haiwezi kujengwa kwa maandamano na kwamba amani ni jambo muhimu kwa maendeleo ya nchi.
Akizungumza leo Juni 1, 2026 jijini Dodoma kuhusu umuhimu wa amani katika jamii, Msita amesema maendeleo yanapatikana katika mazingira yenye utulivu na mshikamano, akisisitiza kuwa sehemu yenye maendeleo ni sehemu inayompendeza Mungu.
Kihongosi amewataka wananchi kuendelea kulinda amani na mshikamano uliopo nchini, akisema Tanzania imeendelea kuwa mfano wa utulivu kutokana na umoja na upendo wa wananchi wake.
Kibadeni ameyasema hayo katika mahojiano maalumu, akisisitiza umuhimu wa vijana kutumia vyema nafasi wanazopewa na kushirikiana katika kulinda amani, akibainisha kuwa ustawi wa taifa lolote unategemea uwepo wa amani.
He called on Christians and the wider community to embrace forgiveness, love and peace as essential pillars for building a united and harmonious society.
Ameeleza kuwa amani ni msingi muhimu wa maendeleo ya Taifa, na kusisitiza kuwa bila amani, jitihada zote za maendeleo haziwezi kufikiwa.
Amani ni zawadi kutoka kwa Mungu na ndiyo msingi wa maendeleo ya taifa. "Mungu ameturuzuku amani, ni kipaji na kipawa. Tuna kila sababu ya kuitunza na kuilinda, kwani bila amani hakuna maendeleo, wananchi hawatakuwa salama, na tutakimbia nchi yetu wenyewe," amesisitiza.
Amesisitiza kuwa Tanzania ni kivutio cha wivu kwa watu wa mataifa mengine, kutokana na amani na utulivu iliyonayo.
Kuhani Baraka pia amewakumbusha waumini na wananchi wote kudumisha amani wakati wa uchaguzi, akisema amani ni nguzo ya maendeleo na msingi wa haki.
Alisema unaweza kudai vitu vyote kama vile barabara za lami, maji, hospital, katiba mpya, mishara mikubwa lakini kukiwa hakuna amani huwezi kuvitumia vitu vyote hivyo kwa kuwa watu watasambatika huko na kule kwa machafuko ya vita.
Tanzania Fuel Prices Surge Over 30% Due to Middle East Conflict
In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.
The Tanzania Revenue Authority (TRA) has introduced a new billing number system for the loading and offloading of fuel at storage depots, aimed at enhancing transparency, boosting government revenue collection and ensuring compliance without disrupting supply.
Nchi kama Saudi Arabia, UAE, Kuwait, Qatar na Iraq zinapoteza njia yao kuu ya kuuza mafuta.
wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864. Kwa upande wa dizeli, lita moja sasa watanunua kwa Sh3,806 kutoka Sh2,858 ikiwa ni ongezeko la Sh948. Kwa upande wa mafuta ya taa, sasa yatanunuliwa kwa Sh3,684 kutoka Sh2,932 iliyokuwa ikitumika Machi mwaka huu ikiwa ni ongezeko la Sh752.
Ongezeko la bei ya mafuta halipo Tanzania pekee, bali hata katika soko la dunia ambapo bei kikomo kwa Aprili 2026, zimeongezeka kwa asilimia 69.98 kwa mafuta ya petroli, asilimia 114.46 kwa mafuta ya dizeli na asilimia 120.81 kwa mafuta ya taa.
wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864.
Kwa mujibu wa Ewura, ongezeko hilo la bei za mafuta ni janga la kidunia na Tanzania kama sehemu hiyo inachukua hatua mbalimbali kuhakikisha usalama wa upatikanaji wa mafuta nchini na katika bei himilivu ili kupunguza madhara ya kiuchumi na kijamii.
Kufungwa kwa mlango huu muhimu wa bahari kunasababisha athari kubwa kimataifa, hasa kiuchumi na kiusalama: 1️⃣ Kupanda kwa bei ya mafuta duniani
Kufungwa kwake kunasababisha uhaba wa mafuta sokoni. Bei ya mafuta na gesi inapanda haraka, na kuathiri gharama za usafiri, umeme na bidhaa nyingine.
Kufungwa kunaweza kusababisha mvutano au mapambano kati ya mataifa yenye maslahi ya kiuchumi na kiusalama katika eneo hilo.
Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.
Dk Mwigulu amesema: “Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.”
Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa ghala la kupokea na kuhifadhi mafuta lenye uwezo wa kupokea tani 308,110 katika Bandari ya Dar es Salaam ambao umefikia asilimia 30.
The authority attributed the rise to the ongoing geopolitical tensions in the Middle East, particularly involving the United States, Israel and Iran, which began on February 28, 2026, and have significantly disrupted global oil supply.
Wakati huohuo, athari za vita hivyo zimeanza kuhisiwa na wananchi wa Marekani, ambapo bei ya mafuta imeendelea kupanda na kufikia zaidi ya dola 4 kwa galoni, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 2022.
Hali hiyo inachangiwa na usumbufu katika eneo la Strait of Hormuz, ambalo ni njia muhimu inayopitisha takriban robo ya mafuta yanayotumika duniani.
TANZANIA INA MAFUTA YA KUTOSHA,LICHA YA BEI KUPANDA KUTOKANA NA VITA YA MASHARIKI YA KATI
Kwa mwezi Aprili 2026, gharama za kuagiza mafuta (premiums) katika Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kwa wastani wa asilimia 15.3 kwa mafuta ya petroli na asilimia 10.8 kwa mafuta ya dizeli na hakuna mabadiliko ya gharama kwa mafuta ya taa.
Mabadiliko ya bei za mafuta nchini kwa mwezi Aprili 2026 yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na vita inayoendelea Mashariki ya kati tarehe 28 Februari 2026.
In his final political move, Bungara announced his resignation from ACT Wazalendo on February 18, 2026. He formally joined CHADEMA, the nation’s largest opposition party, aligning himself with their boycott of elections they deemed fundamentally unfair.
The Court of Appeal here began hearing a critical revision application from the main opposition party, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) on Tuesday, which seeks to overturn a High Court injunction that has barred it from conducting any political activities since June 2025.
Hatima ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuendelea kuzuiwa kufanya shughuli za kisiasa au kurejea ulingoni sasa ipo mikononi mwa Mahakama ya Rufaa, baada ya zaidi ya siku 283 tangu kilipowekewa zuio hilo.
Most remarkably, just one week before his death, Bungara launched an operation to strengthen CHADEMA in the southern regions.
Most remarkably, just one week before his death, Bungara launched an operation to strengthen CHADEMA in the southern regions. He donated his personal vehicle and fuel to party organisers and handed over resources to young CHADEMA activists, resulting in thousands of people switching from other parties to join CHADEMA within that single week.
Mgawanyiko huo umejidhihirisha kupitia makundi mawili yenye mitazamo tofauti kuhusu mustakabali wa chama.
Sifuna alisisitiza kuwa yuko tayari kusimama imara kulinda misingi ya chama, akipinga kile alichodai ni juhudi za kukisogeza karibu na mamlaka ya serikali.
Gachagua ameanza kujijenga kama sauti mbadala ya kisiasa, hasa kwa vijana, akishambulia sera za serikali kwa madai ya kushindwa kuboresha maisha ya wananchi wa kawaida.
Kutokuwepo kwake katika mstari wa mbele wa siasa za uchaguzi wa 2027 kumeacha pengo ambalo sasa linajazwa na makundi yenye mitazamo tofauti.
All Parliamentary Standing Committee meetings have been suspended today, March 25, 2026, following the death of Isimani MP and Minister of State in the Prime Minister’s Office, William Lukuvi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri na mzalendo kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi.
William Lukuvi afariki dunia kwa mshituko wa moyo
PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has announced the death of the former Minister of State in the Prime Minister’s Office, (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) William Lukuvi, who passed away this morning, March 25, 2026.
Mbunge wa Isiman, William Lukuvi amefariki dunia, huku aliyekuwa mshindani wake katika mchakato wa ndani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa ubunge wa Isimani, Festo Kiswaga, akifunguka mambo atakayoyakumbuka.
Kiswaga, amesema anamkumbuka kiongozi huyo kwa utendaji wake Isimani, kwani aliingia likiwa jipya na halikuwa na hata shule moja ya sekondari, lakini sasa zimefika zaidi ya 10.
Taarifa ya kifo chake imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kisuluka, akimnukuu Rais Samia Suluhu Hassan, aliyesema amesikitishwa na anatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki.
Ambassador Kusiluka conveyed condolences from President Samia Suluhu Hassan, who announced the death and sent her sympathies to the people of Isimani and to the Speaker of the National Assembly.
Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.
Additionally, the Head of State extended her condolences to the Speaker of Parliament, the bereaved family, residents of Isimani Constituency, and all Tanzanians mourning the loss.
Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani William Vangimembe Lukuvi amefariki duinia akiwa na umri wa miaka 70.
Lema ametumia kurasa zake za mitandao ya kijamii kuzungumzia kifo cha Lukuvi akisema: “Tunazaliwa bila kitu, na tunaondoka bila kitu, kifo hutukumbusha unyenyekevu wa maisha.
According to a statement issued by the Parliament’s Communications and Public Relations Unit, Mr Zungu invoked Rule 176 of the Standing Orders of the National Assembly (August 2025 edition) to suspend the sittings.
Reports of the death of the Isimani Constituency MP in Iringa Region, who had served in Parliament since 1995, began circulating earlier in the day before being confirmed by the Chief Secretary, Ambassador Dr Moses Kusiluka.
Mr Lukuvi’s death brings to three the number of MPs who have died during the 13th Parliament since its inauguration by President Hassan.
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Azzan Zungu leo Machi 25, 2026, ameongoza kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uongozi kilichofanyika katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma, kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Ismani, William Vangimembe Lukuvi.
Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi kilichotokea leo Machi 25, 2026.
Rais Mwinyi amesema taifa limepoteza kiongozi muhimu ambaye amelitumikia kwa uadilifu na kujitolea katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa muda mrefu.
WAZIRI LUKUVI AFARIKI DUNIA
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa.
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa. Ametumikia nafasi mbalimbali za uongozi serikalini na kujijengea sifa ya uongozi thabiti kupitia utumishi wa muda mrefu serikalini na uwakilishi wake bungeni.
Mpina ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi akizungumza na Mwananchi amesimulia sababu iliyotaka kumfanya kuikataa bajeti hiyo, kwamba Mpango wa Maendeleo ulikuwa unaeleza Serikali itatenga asilimia 35 ya bajeti kutelekezwa kwenye maendeleo lakini yenyewe ikatenga asilimia 22.
Mdee amesema Lukuvi alikuwa akichukua ushauri na mapendekezo ya hotuba za kambi ya upinzani bungeni na kwenda kuvifanyia kazi kwa vitendo.
William Lukuvi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) akiagwa bungeni Dodoma.
Speaker of the National Assembly, Mussa Zungu, has described the death of Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) and Isimani MP William Lukuvi as a major blow not only to his family, but also to the Parliament, government, and Tanzanians at large.
PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.
President Samia Suluhu Hassan is expected to join thousands of mourners in Iringa next Tuesday to honour the late Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities), who passed away on Wednesday at Benjamin Mkapa Hospital in Dodoma Region.
DODOMA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.