Gundua
4003 mada zilizoaindeksiHabari mpya, uchambuzi wa kina, na maarifa kutoka Nukta
Maelezo ya Ziada
Parents and students have been pleased with the exhibition of Malaysian universities that have provided them with various study and scholarship opportunities during the exhibition held yesterday. Speaking at the exhibition, the exhibition coordinator, who is the Director General …
ippmedia.co.tz ↗WAZAZI na wanafunzi nchini wamefurahishwa na maonesho ya vyuo vikuu Malaysia ambavyo vimewapa fursa mbalimbali za masomo nchini humo kwenye maonesho yaliyofanyika jana.Akizungumza kwenye maonesho hayo, Mratibu wa maonesho, ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Elimu Vyuo Vikuu, Global Education Link (GEL), Abdulmalik Mollel, alisema maonesho yametoa fursa nyingi kwa vijana.Mollel alisema vijana k
michuzi.co.tz ↗Na Mwandishi Wetu, Michuzi TVTANZANIA na Malaysia zimefungua ukurasa mpya wa ushirikiano katika elimu ya juu kupitia ubia wa vyuo vikuu, tafiti za pamoja, ubadilishanaji wa wanafunzi na wahadhiri, ufadhili wa masomo pamoja na ushirikiano katika sayansi na teknolojia.Vyuo Vikuu tisa vimeanza maonesho ya elimu katika Hoteli ya Serena kwa kutoa elimu na fursa ya watanzania kupata elimu katika nchi h
michuzi.co.tz ↗
Maelezo ya Ziada
NAMTUMBO: THE Mkuju River Uranium Project located in Namtumbo District, Ruvuma Region is expected to make Tanzania one of the largest producers of uranium in the world, with an estimated contribution of about 4 percent of the world’s uranium production once it reaches the production stage. Speaking about the progress of the project, the Mkuju …
dailynews.co.tz ↗Tanzania’s ambitious quest to join the ranks of uranium-producing nations has entered a defining phase, as the long-delayed Mkuju River project edges closer to industrial production amid growing pressure to secure financing and meet critical regulatory milestones.
thecitizen.co.tz ↗
Maelezo ya Ziada
Ridhiwani Awataka Wanafunzi wa Sheria Kujenga Nidhamu na Uzalendo
michuzi.co.tz ↗Na Mwandishi Wetu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, amewataka wanafunzi wa sheria nchini kujenga taaluma zao katika misingi ya nidhamu, ubunifu na uzalendo ili waweze kushindana katika soko la ajira la kimataifa linalozidi kuwa na ushindani mkubwa. Ridhiwani alitoa wito, wakati akizungumza katika hafla […]
mzalendo.co.tz ↗
AGRICULTURE
2
2
2
Tanzania Invited to Host the 2028 Africa Bee Expo
Maelezo ya Ziada
Na Mwandishi Wetu.TAASISI ya Maonesho ya Ufugaji wa Nyuki barani Afrika ya Africa Bee Expo, imeialika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa mwenyeji wa Maonesho ya Tano ya Ufugaji wa Nyuki Afrika yatakayofanyika mwaka 2028 na kujumuisha wafugaji wa nyuki kutoka nchi 50.Mwaliko huo umetolewa Juni 4, 2026 na Mwenyekiti wa taasisi hiyo, Bw. Fatah Ben Chouia wa Algeria, alipokutana na kuzungumza na Balozi wa Tanzania nchini Algeria Mobhare
michuzi.co.tz ↗Taasisi ya Maonesho ya Ufugaji wa Nyuki barani Afrika ya Africa Bee Expo, imeialika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa mwenyeji wa Maonesho ya…
fullshangweblog.co.tz ↗
ENVIRONMENT
2
2
2
Temeke District Plants Over 500 Trees for World Environment Week 2026
Maelezo ya Ziada
DAR ES SALAAM: TEMEKE District, in collaboration with Ever Green Landscaping Co. Ltd, has planted more than 500 trees as part of the 2026 World Environment Week commemorations, aimed at promoting environmental conservation and awareness in Dar es Salaam. In addition to the tree-planting exercise conducted along Mandela Road in Kurasini Ward, the partners also …
dailynews.co.tz ↗Temeke District, in collaboration with Ever Green Landscaping Co. Ltd, has planted more than 500 trees as part of the 2026 World Environment Week commemorations, aimed at promoting environmental conservation and awareness in Dar es Salaam. In addition to the tree-planting exercis…
ippmedia.co.tz ↗
Maelezo ya Ziada
Kwa miaka mingi, chapa nyingi nchini Tanzania zipo kila mahali lakini ni ngumu mtu kuzikumbuka. Nembo kubwa jukwaani, DJ’s maarufu, vinywaji kwa bei nafuu, na watengeneza maudhui wa mitandoni wakituma video zisizofikisha ujumbe kamili kwenye mitandao ya kijamii ( Instagram). Baada ya hapo, kila mtu anarudi nyumbani kwake, hadi kufikia jumatatu tukio lote limesahaulika. Huo umekuwa ni ukweli mchungu kwa chapa nyingi zaidi barani Afrika. Kampuni inat
michuzi.co.tz ↗Kwa miaka mingi, chapa nyingi nchini Tanzania zipo kila mahali lakini ni ngumu mtu kuzikumbuka. Nembo kubwa jukwaani, DJ’s maarufu,…
globalpublishers.co.tz ↗
Maelezo ya Ziada
Na Janeth Raphael MichuziTv - Bungeni Dodoma Serikali imeendelea kuimarisha hatua za kudhibiti na kutokomeza tatizo la mbegu feki nchini kupitia mifumo ya kisasa ya uthibitishaji wa ubora, ukaguzi wa mara kwa mara na utoaji wa elimu kwa wakulima.Akijibu swali la Mbunge wa Mbozi, Onesmo Merdson Mnkondya, kuhusu mpango wa Serikali wa kukomesha mbegu feki nchini, Naibu Waziri wa Kilimo, David Silind
michuzi.co.tz ↗MOROGORO: CHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kimelekeza nguvu kuwekeza katika tafiti, ubunifu na teknolojia za uzalishaji wa mbegu bora ili kuongeza tija katika sekta ya kilimo na kuimarisha usalama wa chakula nchini. Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaalam, Profesa Maulid Mwatawala amesema hayo kwa niaba ya Makamu Mkuu …
habarileo.co.tz ↗
Maelezo ya Ziada
DAR ES SALAAM: THE Dar es Salaam Stock Exchange (DSE), closed the latest trading session on a steady footing, with active trading, strong local investor participation, and a market that adjusted gradually as two dividend announcements prompted temporary widening of price movement limits. Market capitalization ended at about Sh34.18 trillion, easing 0.7 per cent. Locally …
dailynews.co.tz ↗During Week 23 of 2026 (June 1-5), DSE equity turnover surged +51.19% to TZS 20.71 billion on volume of 6,557,479 shares across 19,464 deals. MUCOBA (+38.20%), TOL (+22.65%) and MCB (+12.50%) led gainers, while NMG (-3.77%), TBL (-3.36%) and EABL (-3.01%) topped losers. Total market capitalisation closed at TZS 34,178.81 billion with the DSEI essentially flat at -0.04%, and Commercial Services (+3.06%) was the standout index. Foreign investors were net sellers at USD -1,690,466. Bond turnover to
tanzaniainvest.com ↗
Maelezo ya Ziada
Na Farida Mangube Morogoro Wakazi wa Kitongoji cha Kichangani, Kijiji cha Mamboya katika Kata ya Gairo, Wilaya ya Gairo, wameondokana na changamoto ya muda mrefu ya mafuriko na kukatika kwa mawasiliano baada ya kukamilika kwa mradi wa ujenzi wa daraja na mtaro wa maji wenye thamani ya zaidi ya Shilingi milioni 455.Mradi huo uliotekelezwa na wakala ya Barabara za vijjini na mjini TARURA umezin
michuzi.co.tz ↗DODOMA: Mwanzilishi na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni za WAZOHURU MEDIA na WAZOHURU APPARTMENTS, Mathias Canal, ametunukiwa Tuzo ya Ushiriki Bora wa Kazi za Jamii 2026, ikiwa ni kutambua mchango wake mkubwa katika kuhamasisha maendeleo ya jamii kupitia shughuli mbalimbali za kijamii na misaada ya kijamii. Tuzo hiyo iliyotolewa usiku wa Juni 5, 2026 […]
mzalendo.co.tz ↗
Maelezo ya Ziada
ZANZIBAR: THE Zanzibar government has announced plans to facilitate the creation of 70,000 decent jobs for youths and economically empower 28,339 citizens through soft loans worth 47.3bn/- in the 2026/2027 financial year. The initiative is part of the Ministry of Youth, Employment and Economic Empowerment’s broader strategy to strengthen youth development and increase their participation …
dailynews.co.tz ↗Ministry of Youth, Employment, and Empowerment has introduced eight priorities including coordinating access to 70,000 decent jobs for all in coordination with stakeholders within and outside Zanzibar.
thecitizen.co.tz ↗
Maelezo ya Ziada
P0RT LOUIS: Tanzanian swimmer Lorita Borega has been acknowledged after reaching in the semi-finals of the African Aquatics Open Swimming Championship held over the weekend in Mauritius. She was among the four athletes who represented Tanzania at the contest, definitely competing with other swimmers from different countries. The Tanzania team was captained by Adil Abdulrahman …
dailynews.co.tz ↗[Daily News] Mauritius -- TANZANIA opened its campaign at the Africa Region IV Men's Team Championship with a fifth-place finish after the first round at Tamarina Golf Club in Mauritius on Thursday and will conclude tomorrow.
allafrica.com ↗
Maelezo ya Ziada
TAMISEMI imetangaza nafasi 400 za walimu wa kujitolea (mkataba) kwa somo la Elimu ya Biashara katika shule za sekondari zenye uhitaji mkubwa wa walimu.
globalpublishers.co.tz ↗TAMISEMI imetangaza nafasi 400 za walimu wa kujitolea (mkataba) kwa somo la Elimu ya Biashara katika shule za sekondari zenye uhitaji mkubwa wa walimu.
globalpublishers.co.tz ↗
ENVIRONMENT
1
1
1
Electric Catfish's Ability to Generate 300 Volts for Hunting and Defense
Maelezo ya Ziada
Electric Catfish anaweza kutoa mshtuko wa hadi volt 300 au zaidi kutegemeana na ukubwa wake, jambo linalomfanya kuwa mmoja wa samaki hatari zaidi kwenye maji ya mito na maziwa barani Afrika.
globalpublishers.co.tz ↗
HEALTH
1
1
1
Mlenda's Benefits for Skin and Hair Health
Maelezo ya Ziada
Virutubisho vyake husaidia: ngozi kung’aa, kupunguza chunusi, nywele kuwa imara na zenye afya.
globalpublishers.co.tz ↗
HEALTH
1
1
1
7 Health Benefits of Consuming Mlenda Regularly
Maelezo ya Ziada
Mlenda ni mboga inayopatikana kwa urahisi sokoni na majumbani, lakini watu wengi hawajui kuwa ni dawa asilia yenye virutubisho vingi sana. Licha ya ute wake, mlenda una faida kubwa kiafya na unashauriwa kuingizwa mara kwa mara kwenye mlo.
globalpublishers.co.tz ↗
Maelezo ya Ziada
Mlenda husaidia: kupunguza lehemu (cholesterol) mbaya, kuboresha mzunguko wa damu, kupunguza hatari ya presha na magonjwa ya moyo.
globalpublishers.co.tz ↗
Maelezo ya Ziada
Kwa sababu una: kalori chache, nyuzi nyingi zinazoshikisha tumbo. Unasaidia kushiba kwa muda mrefu na kupunguza kula kupita kiasi.
globalpublishers.co.tz ↗
Maelezo ya Ziada
Kwa watu wenye kisukari (diabetes) au wanaotaka kuzuia, mlenda husaidia: kudhibiti kiwango cha sukari, kupunguza ufyonzwaji wa sukari mwilini.
globalpublishers.co.tz ↗
MANUFACTURING
1
1
1
Emphasis on Industrial Growth in 2026/27 Budget
Maelezo ya Ziada
Pia, amesema bajeti hiyo ielekeze nguvu katika kukuza uchumi wa viwanda kwa kuimarisha ushindani wa viwanda vya ndani, kuongeza thamani ya bidhaa zinazozalishwa nchini na kupanua mauzo katika masoko ya kikanda na kimataifa.
mwananchi.co.tz ↗
CONSTRUCTION
1
1
1
Call for Infrastructure Improvement in 2026/27 Budget
Maelezo ya Ziada
Amesema ni vyema bajeti hii ikatoa kipaumbele katika utengenezaji wa ukarabati wa miundombinu ili kusaidia kuchochea ukuaji wa uchumi.
mwananchi.co.tz ↗
BUSINESS
1
1
1
Proposal for Simplified Business Regulations for MSMEs
Maelezo ya Ziada
Amesema ni vyema kuimarisha urasimishaji wa biashara ndogo na za kati (MSMEs) ambazo zinaendelea kuwa mhimili wa uchumi wa Taifa kupitia sheria rahisi hasa kwa wafanyabiashara wasiowasilisha ritani.
mwananchi.co.tz ↗
BUSINESS
1
1
1
Impact of Increased Fees and Charges on Small Businesses
Maelezo ya Ziada
Amesema ongezeko la tozo na ada kutoka taasisi mbalimbali limekuwa likipunguza mtaji wa biashara na kuathiri uwezo wa wafanyabiashara kupanua shughuli zao.
mwananchi.co.tz ↗
TRANSPORT
1
1
1
Call for Reduction of Regulatory Authorities in 2026/27 Budget
Maelezo ya Ziada
Chama cha Wamiliki wa Malori ya Kati na Madogo Tanzania (Tamstoa) na Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (Taboa) wanatamani bajeti ipunguze mamlaka za udhibiti pamoja na kuboresha miundombinu ili kuwezesha usafirishaji kuwa rafiki.
mwananchi.co.tz ↗
Maelezo ya Ziada
Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2026/27 inatarajiwa kuwa Sh 61.93 trilioni, huku ikilenga kuongeza makusanyo ya ndani hadi kufikia Sh46.69 trilioni ili kupunguza utegemezi wa misaada na mikopo kutoka nje.
mwananchi.co.tz ↗
Maelezo ya Ziada
Sekta binafsi imeainisha maeneo matano muhimu inayotaka yawekwe mbele ili kuchochea ukuaji wa uchumi, kuongeza ajira na kuimarisha ushindani wa biashara nchini.
mwananchi.co.tz ↗
Maelezo ya Ziada
Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.
mwananchi.co.tz ↗William Lukuvi afariki dunia kwa mshituko wa moyo
dailynews.co.tz ↗PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has announced the death of the former Minister of State in the Prime Minister’s Office, (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) William Lukuvi, who passed away this morning, March 25, 2026.
habarileo.co.tz ↗Additionally, the Head of State extended her condolences to the Speaker of Parliament, the bereaved family, residents of Isimani Constituency, and all Tanzanians mourning the loss.
mwananchi.co.tz ↗Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani William Vangimembe Lukuvi amefariki duinia akiwa na umri wa miaka 70.
thecitizen.co.tz ↗Mbunge wa Isiman, William Lukuvi amefariki dunia, huku aliyekuwa mshindani wake katika mchakato wa ndani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa ubunge wa Isimani, Festo Kiswaga, akifunguka mambo atakayoyakumbuka.
dailynews.co.tz ↗Kiswaga, amesema anamkumbuka kiongozi huyo kwa utendaji wake Isimani, kwani aliingia likiwa jipya na halikuwa na hata shule moja ya sekondari, lakini sasa zimefika zaidi ya 10.
habarileo.co.tz ↗Taarifa ya kifo chake imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kisuluka, akimnukuu Rais Samia Suluhu Hassan, aliyesema amesikitishwa na anatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki.
habarileo.co.tz ↗Lema ametumia kurasa zake za mitandao ya kijamii kuzungumzia kifo cha Lukuvi akisema: “Tunazaliwa bila kitu, na tunaondoka bila kitu, kifo hutukumbusha unyenyekevu wa maisha.
globalpublishers.co.tz ↗According to a statement issued by the Parliament’s Communications and Public Relations Unit, Mr Zungu invoked Rule 176 of the Standing Orders of the National Assembly (August 2025 edition) to suspend the sittings.
globalpublishers.co.tz ↗Reports of the death of the Isimani Constituency MP in Iringa Region, who had served in Parliament since 1995, began circulating earlier in the day before being confirmed by the Chief Secretary, Ambassador Dr Moses Kusiluka.
mzalendo.co.tz ↗Ambassador Kusiluka conveyed condolences from President Samia Suluhu Hassan, who announced the death and sent her sympathies to the people of Isimani and to the Speaker of the National Assembly.
swahilitimes.co.tz ↗Mr Lukuvi’s death brings to three the number of MPs who have died during the 13th Parliament since its inauguration by President Hassan.
mwananchi.co.tz ↗All Parliamentary Standing Committee meetings have been suspended today, March 25, 2026, following the death of Isimani MP and Minister of State in the Prime Minister’s Office, William Lukuvi.
dailynews.co.tz ↗Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri na mzalendo kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi.
dailynews.co.tz ↗SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Azzan Zungu leo Machi 25, 2026, ameongoza kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uongozi kilichofanyika katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma, kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Ismani, William Vangimembe Lukuvi.
Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi kilichotokea leo Machi 25, 2026.
Rais Mwinyi amesema taifa limepoteza kiongozi muhimu ambaye amelitumikia kwa uadilifu na kujitolea katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa muda mrefu.
WAZIRI LUKUVI AFARIKI DUNIA
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa.
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa. Ametumikia nafasi mbalimbali za uongozi serikalini na kujijengea sifa ya uongozi thabiti kupitia utumishi wa muda mrefu serikalini na uwakilishi wake bungeni.
Mpina ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi akizungumza na Mwananchi amesimulia sababu iliyotaka kumfanya kuikataa bajeti hiyo, kwamba Mpango wa Maendeleo ulikuwa unaeleza Serikali itatenga asilimia 35 ya bajeti kutelekezwa kwenye maendeleo lakini yenyewe ikatenga asilimia 22.
Mdee amesema Lukuvi alikuwa akichukua ushauri na mapendekezo ya hotuba za kambi ya upinzani bungeni na kwenda kuvifanyia kazi kwa vitendo.
William Lukuvi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) akiagwa bungeni Dodoma.
Speaker of the National Assembly, Mussa Zungu, has described the death of Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) and Isimani MP William Lukuvi as a major blow not only to his family, but also to the Parliament, government, and Tanzanians at large.
PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.
President Samia Suluhu Hassan is expected to join thousands of mourners in Iringa next Tuesday to honour the late Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities), who passed away on Wednesday at Benjamin Mkapa Hospital in Dodoma Region.
DODOMA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.
ECONOMY
19
10
7
Tanzania Fuel Prices Surge Over 30% Due to Middle East Conflict
Maelezo ya Ziada
In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.
thechanzo.com ↗wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864. Kwa upande wa dizeli, lita moja sasa watanunua kwa Sh3,806 kutoka Sh2,858 ikiwa ni ongezeko la Sh948. Kwa upande wa mafuta ya taa, sasa yatanunuliwa kwa Sh3,684 kutoka Sh2,932 iliyokuwa ikitumika Machi mwaka huu ikiwa ni ongezeko la Sh752.
mwananchi.co.tz ↗Ongezeko la bei ya mafuta halipo Tanzania pekee, bali hata katika soko la dunia ambapo bei kikomo kwa Aprili 2026, zimeongezeka kwa asilimia 69.98 kwa mafuta ya petroli, asilimia 114.46 kwa mafuta ya dizeli na asilimia 120.81 kwa mafuta ya taa.
thecitizen.co.tz ↗wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864.
globalpublishers.co.tz ↗Kwa mujibu wa Ewura, ongezeko hilo la bei za mafuta ni janga la kidunia na Tanzania kama sehemu hiyo inachukua hatua mbalimbali kuhakikisha usalama wa upatikanaji wa mafuta nchini na katika bei himilivu ili kupunguza madhara ya kiuchumi na kijamii.
mwananchi.co.tz ↗The Tanzania Revenue Authority (TRA) has introduced a new billing number system for the loading and offloading of fuel at storage depots, aimed at enhancing transparency, boosting government revenue collection and ensuring compliance without disrupting supply.
dailynews.co.tz ↗Kufungwa kwa mlango huu muhimu wa bahari kunasababisha athari kubwa kimataifa, hasa kiuchumi na kiusalama: 1️⃣ Kupanda kwa bei ya mafuta duniani
globalpublishers.co.tz ↗Kufungwa kwake kunasababisha uhaba wa mafuta sokoni. Bei ya mafuta na gesi inapanda haraka, na kuathiri gharama za usafiri, umeme na bidhaa nyingine.
mzalendo.co.tz ↗Kufungwa kunaweza kusababisha mvutano au mapambano kati ya mataifa yenye maslahi ya kiuchumi na kiusalama katika eneo hilo.
mzalendo.co.tz ↗Nchi kama Saudi Arabia, UAE, Kuwait, Qatar na Iraq zinapoteza njia yao kuu ya kuuza mafuta.
bongo5.com ↗Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.
Dk Mwigulu amesema: “Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.”
Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa ghala la kupokea na kuhifadhi mafuta lenye uwezo wa kupokea tani 308,110 katika Bandari ya Dar es Salaam ambao umefikia asilimia 30.
The authority attributed the rise to the ongoing geopolitical tensions in the Middle East, particularly involving the United States, Israel and Iran, which began on February 28, 2026, and have significantly disrupted global oil supply.
Wakati huohuo, athari za vita hivyo zimeanza kuhisiwa na wananchi wa Marekani, ambapo bei ya mafuta imeendelea kupanda na kufikia zaidi ya dola 4 kwa galoni, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 2022.
Hali hiyo inachangiwa na usumbufu katika eneo la Strait of Hormuz, ambalo ni njia muhimu inayopitisha takriban robo ya mafuta yanayotumika duniani.
TANZANIA INA MAFUTA YA KUTOSHA,LICHA YA BEI KUPANDA KUTOKANA NA VITA YA MASHARIKI YA KATI
Kwa mwezi Aprili 2026, gharama za kuagiza mafuta (premiums) katika Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kwa wastani wa asilimia 15.3 kwa mafuta ya petroli na asilimia 10.8 kwa mafuta ya dizeli na hakuna mabadiliko ya gharama kwa mafuta ya taa.
Mabadiliko ya bei za mafuta nchini kwa mwezi Aprili 2026 yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na vita inayoendelea Mashariki ya kati tarehe 28 Februari 2026.
Maelezo ya Ziada
Vision 2050, which seeks to transform the country into a high-income, industrialled economy valued at 1 trillion US dollars.
dailynews.co.tz ↗Utekelezaji wa DIRA 2050, unaokadiriwa kugharimu takribani dola za Marekani trilioni 1, utategemea kwa kiasi kikubwa uwekezaji wa sekta binafsi unaotarajiwa kuchangia zaidi ya asilimia 70 ya gharama za utekelezaji.
mzalendo.co.tz ↗Tanzania is strengthening its engagement with the African Trade and Investment Development Insurance (ATIDI) to support private sector-led growth, as the country targets a 70% private sector contribution to the economy under its Development Vision 2050.
tanzaniainvest.com ↗Her message comes at a critical time for Tanzania, whose population is projected to grow from about 67 million today to over 120 million by 2050.
thecitizen.co.tz ↗The Tanzanian government has stated that the recommendations contained in the Economic Freedom Audit Report will drive policy reforms, strengthen economic freedom, and significantly contribute to Tanzania’s journey towards a strong and competitive economy by 2050.
dailynews.co.tz ↗Best goal: 'Generate TZS 70 million in revenue, with 8 new clients in Q1–Q2 via content marketing.'
tanzlite.com ↗Lead generation: 90 qualified inquiries per year.
mwananchi.co.tz ↗Retention: 70% repeat business.
bongo5.com ↗Target ARPU of TZS 5 million.
CAC under TZS 300k.
Dk Mwigulu amewataka wakuu wa mikoa kusimamia kikamilifu maandalizi na mapokezi ya wanafunzi wa elimu msingi ya lazima ya miaka 10, watakaojiunga na kidato cha kwanza mwaka 2028 kwa kukamilisha miundombinu na huduma zote muhimu.
Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba ameyabainisha hayo leo Bungeni Dodoma wakati akiwasilisha hotuba ya mapito na mwelekeo wa kazi za Serikali, Makadirio ya mapato na matumizi ya fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka 2026/27 ambapo amesema kuwa utekelezaji wa Dira 2050 unakusudia kuifanya Tanzania kuwa na uchumi wa thamani ya dola za Marekani trilioni moja ifikapo mwaka 2050, huku wastani wa pato la mtu mmoja mmoja ukitarajiwa kufikia dola 7,000 kwa mwaka.
Maelezo ya Ziada
the government’s pledge to fully implement 284 tax reform recommendations initiated under President Samia Suluhu Hassan recently.
thecitizen.co.tz ↗At the centre of the discussions between the Tanzania Revenue Authority (TRA) and the Chinese investors yesterday, was the government’s pledge to fully implement 284 tax reform recommendations initiated under President Samia Suluhu Hassan recently.
tanzaniainvest.com ↗The Presidential Commission has officially submitted a comprehensive report detailing 284 Tanzania tax system reforms to President Samia Suluhu Hassan.
thechanzo.com ↗The Commissioner General outlined the government’s commitment to implementing 284 recommendations proposed by a presidential commission on tax reform.
thecitizen.co.tz ↗Recent policy measures, including enforcing the use of the Tanzanian shilling in domestic transactions and implementing tax reforms, are helping to stabilise the economy and improve fiscal performance.
thecitizen.co.tz ↗Previously, we received two reports at a time, but this year I decided to include the PPRA report alongside CAG and PCCB.
businesstimes.co.tz ↗She praised PPRA’s NEST system for enhancing procurement transparency, urging continued compliance and the 'name and shame' approach to improve performance.
dailynews.co.tz ↗If tax rates rise, business owners may have to reduce expenses, increase prices, or delay investments in growth.
Heavy tax burdens can slow down reinvestment, making it harder for small businesses to scale.
12.28tri/- of the collected funds was channelled into development projects, including the Standard Gauge Railway (SGR), Msalato International Airport in Dodoma, as well as the construction and rehabilitation of health facilities and schools, water projects, energy infrastructure, transport and logistics systems, and irrigation schemes
Maelezo ya Ziada
Nanauka revealed that a larger competition, the Nanauka CRDB Jimbo Cup, is set to start in June and will involve teams from all wards in Mtwara Urban constituency.
thecitizen.co.tz ↗Tutatoa zawadi ya fedha taslimu kwa washindi watatu zenye jumla ya thamani ya Sh60 milioni. Mshindi wa kwanza atapata Sh30 milioni wakati mshindi wa pili atapata Sh20 milioni na wa tatu Sh10 milioni.
mwananchi.co.tz ↗zawadi kubwa zaidi itatolewa kwa washindi watano ambao, Nshekanabo amesema watapelekwa barani Ulaya kufanya ziara katika nchi tatu zitakazotangazwa hapo baadaye.
bongo5.com ↗Matunda ya kampeni hii yanazidi kuongezeka kwani zaidi ya asilimia 95 ya miamala yote inayofanywa ndani ya Benki ya CRDB inatumia majukwaa tofauti ya kidijitali yaliyopo.
dailynews.co.tz ↗NCAA imesema imejipanga kutumia fursa ya mashindano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) kutangaza vivutio vya utalii na historia ya kipekee ya eneo hilo, ikiwemo chimbuko la mwanadamu katika eneo la Laetoli.
dailynews.co.tz ↗Tanzania’s high primary school enrolment rates above 90 per cent in recent years are one sign of this.
habarileo.co.tz ↗the number of tourists visiting national parks rose by 10.73 per cent, from 5,360,247 in 2024 to 5,935,561 in 2025.
the increase in tourist arrivals has also driven up tourism earnings, which grew by 12.82 per cent from 3.9bn US dollars in 2024 to 4.4bn US dollars by December 2025.
Naye Balozi Lančarič amesema Slovakia inapanga kufungua ubalozi nchini Tanzania pamoja na ofisi ndogo Zanzibar ili kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na uwekezaji kati ya pande hizo.
Balozi Lančarič amesema Slovakia inapanga kufungua ubalozi nchini Tanzania pamoja na ofisi ndogo Zanzibar ili kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na uwekezaji kati ya pande hizo.
Maelezo ya Ziada
Tanzania is making a calculated bet: that its universities will produce the expertise needed not only to harness the technology, but also to manage its risks.
thecitizen.co.tz ↗Plans are underway to establish a Centre of Excellence in Artificial Intelligence at CoICT.
tanzlite.com ↗This mandate is being supported by the Higher Education for Economic Transformation (HEET) project, which is investing in modern infrastructure, training and research capacity.
thecitizen.co.tz ↗Tanzania's investment in producing AI expertise through its universities aims to balance innovation with systemic risk management.
bongo5.com ↗At Tanzlite Digital, we’re already helping African SMEs build and deploy their own AI Agents.
tanzlite.com ↗Setup cost: between $200–$900 (depending on complexity).
dailynews.co.tz ↗AI Agents solve this by freeing humans from repetitive tasks.
We designed our AI service tiers specifically for African SMEs.
AI deployment doesn’t need to be all-or-nothing.
The MoU elevates an ongoing scholarship programme into a broader government-to-government framework focused on skills, research and innovation.
A defining feature of the pact is the University of Limerick’s decision to cover 50 percent of tuition fees for Tanzanian students.
Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo, ameshiriki katika hafla ya utiaji saini wa Hati ya Makubaliano (MoU) kati ya Taasisi ya Innopraktika kutoka nchini Urusi yenye muunganiko wa makampuni zaidi ya 142 ya Teknolojia (High Tech companies) na Kampuni ya Gen Z Corporation Limited ya Tanzania.
Sambamba na tukio hilo, Mhe. Waziri ameelezea kufurahishwa na pendekezo la makampuni hayo la kuanzisha ‘Kituo cha Teknolojia – Technology Hub’ nchini Tanzania.
AI-driven travel discovery is already mainstream in East Africa.
In July 2025, Kenya was ranked as the world’s top ChatGPT user, with 42.1% of people over 16 actively using the tool.
TANZANIA has underscored the importance of Artificial Intelligence (AI) as a vital modern tool for advancing regional integration and accelerating development within the East African Community (EAC).
Maelezo ya Ziada
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo imepitisha randama ya mpango na makadirio ya bajeti ya matumizi ya kawaida pamoja na mpango wa maendeleo kwa mwaka wa fedha 2026/2027 wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia.
mzalendo.co.tz ↗Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amewashukuru wajumbe wa Kamati hiyo kwa kupokea na kupitisha randama ya bajeti ya Wizara na ameahidi kuwa wizara itaendelea kuboresha mifumo na mazingira ya utoaji elimu.
globalpublishers.co.tz ↗Mhe. Prof. Shemdoe amewasilisha randama hiyo yenye mafungu 37 kwa niaba ya Waziri Mkuu, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba ambaye anatarajia kusoma rasmi makadirio hayo leo Aprili, 01,2026 katika kikao cha pili cha mkutano wa tatu wa Bunge la Bajeti, ambapo Wabunge watapata fursa ya kujadili mipango na matumizi ya fedha ya ofisi hiyo.
globalpublishers.co.tz ↗Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwigulu Nchemba, leo amewasilisha rasmi Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na Ofisi ya Bunge kwa mwaka wa fedha 2026/27 katika kikao cha Bunge kilichofanyika jijini Dodoma.
mwananchi.co.tz ↗Waziri Mkuu wa Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba ameliomba Bunge kumuidhinishia Sh12.5 trilioni kwa mwaka 2026/27 huku akitoa maelekezo 11 likiwemo la kuanza kwa utekelezaji wa Dira ya Taifa ya 2050.
dailynews.co.tz ↗Dk Mwigulu ameliomba Bunge kumuidhinishia Sh12.5 trilioni kwa mwaka 2026/27 huku akitoa maelekezo 11 likiwemo la kuanza kwa utekelezaji wa Dira ya Taifa ya 2050.
Dk Mwigulu amewataka makandarasi wote wanaotekeleza miradi ya Serikali kutimiza wajibu wao kwa mujibu wa mikataba waliyoingia ikiwa ni pamoja na kuwalipa watoa huduma walioshiriki kwenye utekelezaji wa mradi husika.
Wakuu wa mikoa, ndani ya miezi sita baada ya kuanza utekelezaji wa bajeti ya mwaka 2026/27 kuhakikishe shule zote katika halmashauri zina matundu ya vyoo.
THE Office of the Prime Minister and its institutions have requested Parliament to approve a total of 12.5tri/- for the 2026/2027 financial year.
According to the PM, the proposed funds are aimed at financing government operations and development programmes.
Elaborating, the Premier told lawmakers that out of the total budget, 8.7tri/- are for recurrent expenditure, while 3.7tri/- will go towards development spending.
BUSINESS
7
5
5
TRA's Commitment to Implement Tax Reforms in Phases
Maelezo ya Ziada
TRA Commissioner General Yusuph Mwenda said the reforms would be implemented in phases- short, medium and long term, but stressed that the direction was clear.
thecitizen.co.tz ↗Amesema licha ya maudhui ya Kiswahili, hasa kutoka Tanzania, kuwa na ubora na kuvutia watazamaji wengi, watengeneza maudhui wamekuwa wakilipwa kiasi kidogo kutokana na lugha hiyo kutotambuliwa rasmi na majukwaa makubwa ya mitandao ya kijamii ikilinganishwa na Kiingereza.
habarileo.co.tz ↗The Tanzania Revenue Authority (TRA) has held a high-level meeting with Chinese traders and diplomats in Dar es Salaam, aiming to ease tensions over tax compliance and foreign business practices.
thechanzo.com ↗favorable tax incentives or deductions can free up capital that businesses can reinvest in operations, technology, or employee development.
businesstimes.co.tz ↗Heavy tax burdens can slow down reinvestment, making it harder for small businesses to scale.
mwananchi.co.tz ↗Smart tax planning can help small businesses thrive despite challenges.
Kuimarisha usimamizi wa makusanyo ya mapato kwa kutumia mfumo wa kielektroniki na mashine za POS, kupunguza matumizi yasiyo ya lazima, kuziba mianya ya uvujaji wa fedha za umma na kuendeleza rasilimali fedha katika miradi ya kimkakati na kielelezo.
JOBS-CAREERS
4
4
1
Recruitment of Experienced Procurement Officers for Construction Company
Maelezo ya Ziada
Kampuni yenye sifa nzuri inayojihusisha na shughuli za ujenzi inatafuta Maafisa Ununuzi wenye sifa na ari ya kazi kujiunga na timu yake jijini Dar es Salaam.
globalpublishers.co.tz ↗
Maelezo ya Ziada
As Acting Head of the Northern Zone at the Cereal and Other Produce Regulatory Authority (Copra), Fahmia oversees a vast operational area spanning seven zones and 14 regions.
thecitizen.co.tz ↗Colleagues describe her as a meticulous regulator and an advocate for systemic reform—qualities that have come to define her 15-year career across agricultural education, academia and regulatory management.
thechanzo.com ↗My role is to catalyse growth, resilience and food security by facilitating efficient production, processing and marketing services that promote competitiveness and innovation in the cereal and produce industry.
mwananchi.co.tz ↗Through mentorship initiatives and succession planning within Copra, she supports capacity-building programmes that equip young professionals with both technical skills and leadership competencies.
bongo5.com ↗He built a formidable reputation as a fearless voice for the marginalised, particularly advocating for fishermen’s rights and coastal communities.
Amefafanua lengo kuu ni kuongeza uzalishaji, kuimarisha usalama wa chakula na lishe, kukuza kilimo biashara na kuongeza mchango wa sekta ya kilimo katika ukuaji wa uchumi.
Jitihada zilizochukuliwa ni pamoja na kuendelea na utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa karantini ya Kwala mkoani Pwani yenye thamani ya Sh997.99 milioni ambapo umefikia asilimia 45.
Taarifa zinaonesha kuwa tani 23,783,128 za mazao zilizalishwa katika msimu wa 2024/2025, kiwango kinachozidi mahitaji ya tani 18,279,054 kwa mwaka 2025/2026, hivyo kuifanya nchi kuwa na uhakika wa chakula kwa asilimia 130.
Maelezo ya Ziada
Hatima ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuendelea kuzuiwa kufanya shughuli za kisiasa au kurejea ulingoni sasa ipo mikononi mwa Mahakama ya Rufaa, baada ya zaidi ya siku 283 tangu kilipowekewa zuio hilo.
mwananchi.co.tz ↗The Court of Appeal here began hearing a critical revision application from the main opposition party, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) on Tuesday, which seeks to overturn a High Court injunction that has barred it from conducting any political activities since June 2025.
thechanzo.com ↗In his final political move, Bungara announced his resignation from ACT Wazalendo on February 18, 2026. He formally joined CHADEMA, the nation’s largest opposition party, aligning himself with their boycott of elections they deemed fundamentally unfair.
thechanzo.com ↗Most remarkably, just one week before his death, Bungara launched an operation to strengthen CHADEMA in the southern regions.
mwananchi.co.tz ↗Most remarkably, just one week before his death, Bungara launched an operation to strengthen CHADEMA in the southern regions. He donated his personal vehicle and fuel to party organisers and handed over resources to young CHADEMA activists, resulting in thousands of people switching from other parties to join CHADEMA within that single week.
Mgawanyiko huo umejidhihirisha kupitia makundi mawili yenye mitazamo tofauti kuhusu mustakabali wa chama.
Sifuna alisisitiza kuwa yuko tayari kusimama imara kulinda misingi ya chama, akipinga kile alichodai ni juhudi za kukisogeza karibu na mamlaka ya serikali.
Gachagua ameanza kujijenga kama sauti mbadala ya kisiasa, hasa kwa vijana, akishambulia sera za serikali kwa madai ya kushindwa kuboresha maisha ya wananchi wa kawaida.
Kutokuwepo kwake katika mstari wa mbele wa siasa za uchaguzi wa 2027 kumeacha pengo ambalo sasa linajazwa na makundi yenye mitazamo tofauti.
Maelezo ya Ziada
Thirty-two Tanzanian students under the Samia Extended Scholarship Programme (DS/AI+) have secured admission to pursue undergraduate studies at the University of Limerick in Ireland
thecitizen.co.tz ↗Launched in July 2025 by the Minister for Education, Science and Technology, Prof Adolf Mkenda, the programme is part of Tanzania’s strategy to develop a new generation of scientists and technology specialists capable of driving innovation and supporting economic transformation.
mzalendo.co.tz ↗Before departing abroad, the 2025 cohort underwent a 10-month National Knowledge Camp at the Nelson Mandela African Institution of Science and Technology (NM-AIST) in Arusha.
dailynews.co.tz ↗Amesema kupitia mpango wa Samia Scholarship Extended Data Science and Artificial Intelligence (SSE DS/AI+), wanafunzi 32 kati ya 50 wamechaguliwa kujiunga na chuo hicho, hali inayoonyesha ubora wa programu hiyo na kuongeza uwezekano wa wahitimu kupata ajira mara baada ya kuhitimu.
thecitizen.co.tz ↗The Tanzanian government also expressed its commitment to expanding opportunities for Tanzanian youth benefiting from various scholarship programmes, including the Samia Scholarship.
Already, 32 students are studying in Ireland under the programme, while another 16 are in South Africa.
Maelezo ya Ziada
Mafunzo hayo yanatarajiwa kuimarisha ushirikiano kati ya CAMFED na vyombo vya habari katika kuelimisha na kuhamasisha jamii kuhusu umuhimu wa elimu kwa mtoto wa kike na uwezeshaji wa wanawake.
bagamoyodc.go.tz ↗
Maelezo ya Ziada
Maafisa Habari walioshiriki mafunzo hayo wamepongeza CAMFED kwa kazi kubwa wanayoifanya, ikiwemo kuhakikisha mtoto wa kike anapata haki yake ya msingi ya elimu pamoja na kuwawezesha wanawake kuinuka kiuchumi.
bagamoyodc.go.tz ↗
Maelezo ya Ziada
Mafunzo hayo yamefanyika leo, tarehe 19 Februari 2026, katika ukumbi wa Edema Hotel, mkoani Morogoro.
bagamoyodc.go.tz ↗
Maelezo ya Ziada
Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo, Mkurugenzi wa CAMFED, Anna Sawaki, amesema kuwa mafunzo hayo yamelenga kuongeza na kukuza uelewa kwa Maafisa Habari kuhusu majukumu na mafanikio ya shirika hilo katika sekta ya elimu, Afya na kilimo.
bagamoyodc.go.tz ↗Maafisa Habari walioshiriki mafunzo hayo wamepongeza CAMFED kwa kazi kubwa wanayoifanya, ikiwemo kuhakikisha mtoto wa kike anapata haki yake ya msingi ya elimu pamoja na kuwawezesha wanawake kuinuka kiuchumi.
bagamoyodc.go.tz ↗
Maelezo ya Ziada
Kamati tendaji ya Kanda ya Pemba imeazimia kumfukuza uanachama kuanzia Juni 6, 2026.
mwananchi.co.tz ↗Amesema bado anajiona mwanachama halali wa Chadema kwa kuwa hakuitwa kujibu tuhuma wala kupewa nafasi ya kujitetea.
mwananchi.co.tz ↗Said Issa aliyevuliwa rasmi uanachama Juni 6, 2026, amesema hakuna kikao halali kilichofanyika kabla ya kufikiwa kwa uamuzi huo, wala hajawahi kupewa wito au barua ya kutakiwa kujieleza kuhusu tuhuma zilizokuwa zikimkabili.
mwananchi.co.tz ↗
CIVIL-SOCIETY
3
3
1
Leonard Mususa's Death and Funeral Arrangements on June 2, 2026
Maelezo ya Ziada
Mwenyekiti mstaafu wa Bodi ya Mwananchi Communications Limited (MCL), amefariki Dunia Mei 30, 2026 na anatarajiwa kuzikwa Juni 2, jijini Dar es Salaam.
mwananchi.co.tz ↗Nikamjibu kwamba nitakuteua kuwa mwenyekiti wa kusimamia utekelezaji wa mapendekezo ya tume, lakini kwa bahati mbaya kabla hilo halijatokea, ametuaga.
mwananchi.co.tz ↗
PUBLIC-ADMIN
3
3
2
2025 Legal Actions Resulting in 1,124 Drug-Related Court Cases
Maelezo ya Ziada
mwaka 2025 jumla ya mashauri 1,124 yalifunguliwa mahakamani
mwananchi.co.tz ↗mashauri 1,124 ya dawa za kulevya yalifunguliwa katika mahakama mbalimbali nchini mwaka 2025
mwananchi.co.tz ↗1,124 drug-related cases were filed in courts across the country in 2025.
thecitizen.co.tz ↗
Maelezo ya Ziada
In response, a Presidential Commission of Inquiry was established to investigate these occurrences in depth with expectations to produce an official report.
dailynews.co.tz ↗In response to mounting domestic and international pressure, President Samia officially launched the commission on November 20, 2025.
thechanzo.com ↗The findings are expected to help address public concern and counter misinformation that emerged during the period of unrest following the elections.
dailynews.co.tz ↗
Maelezo ya Ziada
ZANZIBAR has stepped up efforts to diversify its tourism sector during the first 100 days of the government’s second phase, focusing on new products and international visibility.
dailynews.co.tz ↗tourism remains a key pillar of Zanzibar’s economy, contributing over 30 per cent of Gross Domestic Product (GDP) and supporting more than 65,000 jobs.
tanzlite.com ↗efforts to promote Zanzibar internationally have also been intensified, with participation in major global tourism events such as the International Tourism Fair (FITUR) in Spain and the World Travel Market in London.
habarileo.co.tz ↗Mr Soraga said efforts to promote Zanzibar internationally have also been intensified, with participation in major global tourism events such as the International Tourism Fair (FITUR) in Spain and the World Travel Market in London.
the government has continued to support cultural and tourism-related events, including the Sauti za Busara festival, as part of efforts to promote heritage and attract more visitors.
The government continues to prioritise sustainable tourism, improved service quality and greater community participation to ensure the sector benefits more people.
Mr Soraga said the move is aimed at strengthening the sector’s contribution to the economy while enhancing its resilience. He further said that tourism remains a key pillar of Zanzibar’s economy, contributing over 30 per cent of Gross Domestic Product (GDP) and supporting more than 65,000 jobs.
The government’s strategy includes strengthening infrastructure, improving services and encouraging investment in new tourism products to meet changing global demand.
The new battlefield is not facts. It’s feelings.
Prices are information; offers are persuasion.
Invest in Localized Storytelling.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali inaendelea kuweka mkazo katika uhifadhi na uimarishaji wa maeneo ya kihistoria kwa lengo la kulinda utamaduni na kukuza uchumi wa Zanzibar.
juhudi hizo zinahusisha pia ukarabati wa Sinema ya Majestic unaofanyika kwa ushirikiano na Japan kwa lengo la kuhifadhi hadhi yake ya kihistoria na kuongeza matumizi ya kiutamaduni.
Ameishukuru Uholanzi kwa ushirikiano uliopo na kuwahimiza wawekezaji kutoka nchini humo kuja kuwekeza Zanzibar katika sekta za utalii, uchumi wa buluu, viwanda, uvuvi na kilimo.
Maelezo ya Ziada
Rais Samia alisisitiza umuhimu wa kudumisha amani, mshikamano na heshima miongoni mwa Watanzania.
mwananchi.co.tz ↗Rais Samia Suluhu Hassan, alisisitiza umuhimu wa kudumisha amani, mshikamano na heshima miongoni mwa Watanzania.
thecitizen.co.tz ↗I am honoured to receive reports from the Controller and Auditor General, the Prevention and Combating of Corruption Bureau, and the Public Procurement Regulatory Authority at the same time.
dailynews.co.tz ↗Simai Mohamed Said pledged to promote national unity and foster a culture of non-discrimination among citizens.
Maelezo ya Ziada
Effective April 1, 2026, the Energy and Water Utilities Regulatory Authority (EWURA) has announced a dramatic increase in fuel cap prices across the country.
thechanzo.com ↗Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza ongezeko kubwa la bei za mafuta nchini, ambapo kwa Jiji la Dar es Salaam, bei ya petroli imepanda kwa Sh956 kwa lita kutoka Sh2,864 mwezi Machi hadi kufikia Sh3,820 mwezi Aprili 2026.
globalpublishers.co.tz ↗PUMP prices for petroleum products have increased, with the Energy and Water Utilities Regulatory Authority (EWURA) announcing new indicative rates effective April 1, 2026, in line with monthly adjustments driven by global market trends.
dailynews.co.tz ↗Following the situation, EWURA has directed fuel retailers to adhere strictly to the new price caps and ensure the rates are clearly displayed for consumers.
TRANSPORT
6
3
3
Government's Commitment to Aviation Infrastructure Development
Maelezo ya Ziada
The government is currently completing the construction of several airports, including Msalato International Airport in Dodoma, and upgrading facilities in Mwanza, Iringa, and Mpanda.
thechanzo.com ↗Serikali imeendelea kupiga hatua katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo, ambapo hadi kufikia Machi 2026 jumla ya shilingi trilioni 1.319 tayari zimetolewa kwa ajili ya miradi iliyoidhinishwa katika mwaka wa fedha 2025/2026.
bongo5.com ↗Ulega alibainisha kuwa ujenzi wa madaraja muhimu ikiwemo Pangani, Jangwani, Mbambe, Sukuma, Simiyu, Mirumba na Mitomoni unaendelea katika hatua mbalimbali za utekelezaji.
mwananchi.co.tz ↗Kwa upande wa viwanja vya ndege, alisema kuwa awamu ya kwanza ya uboreshaji wa viwanja vya ndege vya Tabora na Iringa imekamilika.
huku ujenzi wa kiwanja cha ndege cha Msalato ukiwa umefikia asilimia 83.
Pia, amewataka makandarasi wote wanaotekeleza miradi ya Serikali kutimiza wajibu wao kwa mujibu wa mikataba waliyoingia ikiwa ni pamoja na kuwalipa watoa huduma walioshiriki kwenye utekelezaji wa mradi husika.
Maelezo ya Ziada
An average economic growth rate of 6.1 per cent over the past two decades reflects the stability of the investment environment.
dailynews.co.tz ↗Tanzania has retained its B+ credit rating with a stable outlook, signalling an economy that is growing steadily with manageable debt levels
thecitizen.co.tz ↗According to Fitch projections, Tanzania’s economy is expected to grow by around six percent in 2026 and 2027, outperforming many countries within the same rating category.
dailynews.co.tz ↗Fitch Ratings on Friday affirmed Tanzania's Long-Term Foreign-Currency (LTFC) Issuer Default Rating (IDR) at 'B+' with a stable outlook.
With a Global Peace Index score of 1.987 in 2023, it remains among the more stable countries in Africa.
In 2022, Tanzania attracted more than 1.1 billion US dollars in foreign direct investment, according to UNCTAD.
This stability has helped support economic activity, with growth averaging 4.7 per cent in 2022.
