Gundua

16093 mada zilizoaindeksi
Nukta Publish

Habari mpya, uchambuzi wa kina, na maarifa kutoka Nukta

POLITICS Jun 25, 2026 7 7 4

Keir Starmer's Resignation as UK Prime Minister

Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na uongozi wa chama tawala cha Labour.

Maelezo ya Ziada
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na uongozi wa chama tawala cha Labour.
swahilitimes.co.tz โ†—
Starmer confirmed that he would step aside and oversee a smooth transfer of power, telling the country that Britain needed fresh leadership to restore stability at a moment of rising political strain inside the Labour Party.
dailynews.co.tz โ†—
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer ametangaza kujiuzulu wadhifa wake na uongozi wa Chama cha Labour.
mwananchi.co.tz โ†—
Kuwasili kwa mwanasiasa huyo mahiri, ambaye hadi wiki iliyopita alikuwa Meya wa Greater Manchester, kunajiri saa chache baada ya Keir Starmer kutangaza kujiuzulu rasmi wadhifa wa Waziri Mkuu kutokana na shinikizo kubwa la kisiasa ndani ya Chama cha Labour.
mwananchi.co.tz โ†—
Kujiuzulu kwa Starmer kunahitimisha safari ya kisiasa iliyokuwa imeanza kwa matumaini makubwa baada ya ushindi wa kihistoria wa Labour katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2024.
mwananchi.co.tz โ†—
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu wadhifa huo, akisema anaheshimu mawazo ya chama chake cha Labour, baada ya mpinzani wake kuibuka kidedea Ijumaa iliyopita.
ippmedia.co.tz โ†—
Starmer anangโ€™oka uwaziri mkuu, zinawadia zama mpya za siasa UK
mwananchi.co.tz โ†—
AGRICULTURE Jun 25, 2026 7 7 4

Implementation of Warehouse Receipt System in Livestock Sector

Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imesema matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za Ghala katika sekta ya mifugo yataimarisha masoko, kuongeza ushindani wa bei na kuwainua wafugaji kiuchumi kuโ€ฆ

Maelezo ya Ziada
Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imesema matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za Ghala katika sekta ya mifugo yataimarisha masoko, kuongeza ushindani wa bei na kuwainua wafugaji kiuchumi kupitia upatikanaji wa huduma za kifedha.
ippmedia.co.tz โ†—
We are in the final stages of establishing the regulatory framework required to operationalize this model.
dailynews.co.tz โ†—
Hatua inayofuata ni kukamilisha miongozo ya utekelezaji kwa kushirikiana na Wizara ya Mifugo ili kuruhusu rasmi mifugo kuingizwa kwenye mfumo wa stakabadhi ghalani.
michuzi.co.tz โ†—
Ushirikiano huo unalenga kuongeza upatikanaji wa mitaji kwa wafugaji, kuimarisha mfumo rasmi wa biashara ya mifugo na kuwezesha upatikanaji wa masoko yenye ushindani, hatua inayotarajiwa kuongeza tija na mapato katika sekta ya mifugo.
michuzi.co.tz โ†—
WAFUGAJI nchini wamefurahishwa na mpango wa matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za Ghala kwenye sekta ya mifugo wakidai kuwa utaleta manufaa makubwa katika masoko na biashara shindani ya mifugo.
mzalendo.co.tz โ†—
WAFUGAJI nchini wamefurahishwa na mpango wa matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za Ghala kwenye sekta ya mifugo wakidai kuwa utaleta manufaa makubwa katika masoko na biashara shindani ya mifugo.
michuzi.co.tz โ†—
WAFUGAJI nchini wamefurahishwa na mpango wa matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za Ghala kwenye sekta ya mifugo wakidai kuwa utaleta manufaa makubwa katika masoko na biashara shindani ya mifugo.
michuzi.co.tz โ†—
PUBLIC-ADMIN Jun 26, 2026 5 5 4

ATE and NSSF MoU to Enhance Collaboration and Efficiency

Waziri Sangu alitoa wito huo jijini Dar es Salaam wakati wa Mkutano Mkuu wa 67 wa Chama cha Waajiri Tanzania (ATE), ambapo pia alishuhudia utiaji saini wa Hati ya Makubaliano (MoU) kati ya NSSF na ATโ€ฆ

Maelezo ya Ziada
Waziri Sangu alitoa wito huo jijini Dar es Salaam wakati wa Mkutano Mkuu wa 67 wa Chama cha Waajiri Tanzania (ATE), ambapo pia alishuhudia utiaji saini wa Hati ya Makubaliano (MoU) kati ya NSSF na ATE, yenye lengo la kuimarisha ushirikiano, kubadilishana taarifa na uzoefu, pamoja na kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa majukumu ya taasisi hizo kwa manufaa ya waajiri, wafanyakazi na taifa.
mzalendo.co.tz โ†—
Waziri Sangu alitoa wito huo jijini Dar es Salaam wakati wa Mkutano Mkuu wa 67 wa Chama cha Waajiri Tanzania (ATE), ambapo pia alishuhudia utiaji saini wa Hati ya Makubaliano (MoU) kati ya NSSF na ATE, yenye lengo la kuimarisha ushirikiano, kubadilishana taarifa na uzoefu, pamoja na kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa majukumu ya taasisi hizo kwa manufaa ya waajiri, wafanyakazi na taifa.
habarileo.co.tz โ†—
Waziri Sangu alishuhudia utiaji saini wa Hati ya Makubaliano (MoU) kati ya NSSF na ATE, yenye lengo la kuimarisha ushirikiano, kubadilishana taarifa na uzoefu, pamoja na kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa majukumu ya taasisi hizo.
michuzi.co.tz โ†—
Waziri Sangu alishuhudia utiaji saini wa Hati ya Makubaliano (MoU) kati ya NSSF na ATE, yenye lengo la kuimarisha ushirikiano, kubadilishana taarifa na uzoefu, pamoja na kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa majukumu ya taasisi hizo.
michuzi.co.tz โ†—
He made the remarks in Dar es Salaam during the 67th Annual General Meeting of the Association of Tanzania Employers (ATE), where he also witnessed the signing of a Memorandum of Understanding (MoU) between NSSF and ATE.
dailynews.co.tz โ†—
PUBLIC-ADMIN Jun 23, 2026 5 5 4

Tanzania Parliament Approves 2026/27 National Budget of Sh62.3 Trillion with 97% Vote

Bunge la Tanzania leo Jumanne, Juni 23, 2026 limeipitisha Bajeti Kuu ya Serikali ya Sh62.3 trilioni ya mwaka 2026/27 kwa kura 385 sawa na asilimia 97 ya kura zote 393.

Maelezo ya Ziada
Bunge la Tanzania leo Jumanne, Juni 23, 2026 limeipitisha Bajeti Kuu ya Serikali ya Sh62.3 trilioni ya mwaka 2026/27 kwa kura 385 sawa na asilimia 97 ya kura zote 393.
mwananchi.co.tz โ†—
Bunge laipitisha Bajeti Kuu ya Serikali 2026/27 kwa asilimia 97.
mwananchi.co.tz โ†—
THE Parliament of Tanzania has approved the Governmentโ€™s General Budget amounting to 62.3tri/- for the 2026/27 financial year after receiving 385 votes in favour, representing 97 percent of all votes cast.
dailynews.co.tz โ†—
The endorsement follows the presentation of the 62.33tri/- 2026/27 National Budget, which prioritises domestic revenue mobilisation, while supporting economic growth, industrialisation and structural transformation.
allafrica.com โ†—
Bunge la Tanzania limepitisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2026/2027 kwa asilimia 97.66 baada ya wabunge 385 kupiga kura ya ndiyo kuunga mkono bajeti hiyo licha ya kuwepo mapendekezo kwa baadhi ya wadau ikiwemo Serikali kupunguza matumizi yasio ya lazima.
nukta.co.tz โ†—
PUBLIC-ADMIN Jun 29, 2026 4 4 4

Appointment of ACP Twaha Lulengelule as Tabora Regional Police Commander

THE Inspector General of Police (IGP) Camilius Wambura has appointed Assistant Commissioner of Police (ACP) Twaha Lulengelule as the new Tabora Regional Police Commander (RPC).

Maelezo ya Ziada
THE Inspector General of Police (IGP) Camilius Wambura has appointed Assistant Commissioner of Police (ACP) Twaha Lulengelule as the new Tabora Regional Police Commander (RPC).
dailynews.co.tz โ†—
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Camillus Wambura, amemhamisha Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Twaha Juma Lulengelule ambaye alikuwa Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (RCO) Mkoa wa Tabora kuwa Kamanda wa Polisi (RPC) Mkoa wa Tabora.
michuzi.co.tz โ†—
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Camillus Wambura, amemhamisha Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Twaha Juma Lulengelule na kumteua kuwa Kamanda wa Polisi Mkoa (RPC) wa Tabora.
globalpublishers.co.tz โ†—
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Camillus Wambura, amemhamisha Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Twaha Juma Lulengelule ambaye alikuwa Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (RCO) Mkoa wa Tabora kuwa Kamanda wa Polisi (RPC) Mkoa wa Tabora.
mzalendo.co.tz โ†—
PUBLIC-ADMIN Jun 14, 2026 5 5 3

Direct Allocation of Development Funds for Water, Roads, and Electricity Projects

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imewasilisha bungeni mapendekezo yatakayowezesha fedha za miradi ya maendeleo katika sekta za maji, barabara na nishati kupelekwa moja kwa moja kwenโ€ฆ

Maelezo ya Ziada
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imewasilisha bungeni mapendekezo yatakayowezesha fedha za miradi ya maendeleo katika sekta za maji, barabara na nishati kupelekwa moja kwa moja kwenye mifuko husika ili kuongeza kasi ya utekelezaji wa miradi na kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi.
mzalendo.co.tz โ†—
Serikali imewasilisha bungeni mapendekezo yatakayowezesha fedha za miradi ya maendeleo katika sekta za maji, barabara na nishati kupelekwa moja kwa moja kwenye mifuko husika ili kuongeza kasi ya utekelezaji wa miradi na kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi.
michuzi.co.tz โ†—
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imewasilisha bungeni mapendekezo yatakayowezesha fedha za miradi ya maendeleo katika sekta za maji, barabara na nishati kupelekwa moja kwa moja kwenye mifuko husika ili kuongeza kasi ya utekelezaji wa miradi na kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi.
michuzi.co.tz โ†—
All funds allocated for roads, water, and electricity will no longer pass through the Government General Fund. They will be transferred directly to the relevant funds to ensure faster implementation of projects.
dailynews.co.tz โ†—
WAZIRI MKUU: FEDHA ZA MAJI, BARABARA NA UMEME KWENDA MOJA KWA MOJA KWENYE MIFUKO HUSIKA
mzalendo.co.tz โ†—
TRANSPORT Jul 08, 2026 4 4 3

ALSTOM's Commitment to Invest in Rapid Transport Systems in Dar es Salaam

Kampuni hiyo imeonesha utayari wa kuwekeza katika ujenzi wa mifumo ya usafiri wa haraka na miundombinu ya kisasa yenye lengo la kupunguza msongamano wa magari katika Jiji la Dar es Salaam.

Maelezo ya Ziada
Kampuni hiyo imeonesha utayari wa kuwekeza katika ujenzi wa mifumo ya usafiri wa haraka na miundombinu ya kisasa yenye lengo la kupunguza msongamano wa magari katika Jiji la Dar es Salaam.
michuzi.co.tz โ†—
Kampuni hiyo imeonesha utayari wa kuwekeza katika ujenzi wa mifumo ya usafiri wa haraka na miundombinu ya kisasa yenye lengo la kupunguza msongamano wa magari katika Jiji la Dar es Salaam.
michuzi.co.tz โ†—
Kampuni hiyo imeonesha utayari wa kuwekeza katika ujenzi wa mifumo ya usafiri wa haraka na miundombinu ya kisasa yenye lengo la kupunguza msongamano wa magari katika Jiji la Dar es Salaam, huku ikitazama pia fursa za utekelezaji wa miradi kama hiyo katika majiji ya Mwanza, Mbeya na Arusha.
habarileo.co.tz โ†—
Kampuni hiyo imeonesha utayari wa kuwekeza katika ujenzi wa mifumo ya usafiri wa haraka na miundombinu ya kisasa yenye lengo la kupunguza msongamano wa magari katika Jiji la Dar es Salaam.
mzalendo.co.tz โ†—
TOURISM Jul 06, 2026 4 4 3

Khalid Hamed Al Barwani Appointed as Honorary Tourism Ambassador for Tanzania

Mwanautalii na mtangazaji wa vivutio vya utalii kutoka Oman, Khalid Hamed Al Barwani, aliyesaidia kulitangaza kimataifa Shamba la Miti Sao Hill baada ya kuitembelea mwaka 2024, amekabidhiwa rasmi Ubaโ€ฆ

Maelezo ya Ziada
Mwanautalii na mtangazaji wa vivutio vya utalii kutoka Oman, Khalid Hamed Al Barwani, aliyesaidia kulitangaza kimataifa Shamba la Miti Sao Hill baada ya kuitembelea mwaka 2024, amekabidhiwa rasmi Ubalozi wa Hiari wa Utalii wa Tanzania katika hatua inayotarajiwa kuimarisha kampeni za kuitangaza nchi na kuongeza idadi ya watalii.
habarileo.co.tz โ†—
THE Tanzania Tourist Board (TTB) has officially appointed Omani tourism promoter and travel influencer Khalid Hamed Al Barwani as Tanzaniaโ€™s Honorary Tourism Ambassador in recognition of his contribution to promoting the countryโ€™s tourism attractions on the international stage.
dailynews.co.tz โ†—
BODI ya Utalii Tanzania (TTB) imemkabidhi rasmi mwanautalii na mtangazaji wa vivutio vya utalii kutoka Oman, Khalid Hamed Al Barwani, Ubalozi wa Hiari wa Utalii wa Tanzania, ikiwa ni hatua ya kimkakati ya kuimarisha juhudi za kuitangaza Tanzania katika masoko ya kimataifa na kuongeza idadi ya watalii wanaotembelea nchini.
michuzi.co.tz โ†—
BODI ya Utalii Tanzania (TTB) imemkabidhi rasmi mwanautalii na mtangazaji wa vivutio vya utalii kutoka Oman, Khalid Hamed Al Barwani, Ubalozi wa Hiari wa Utalii wa Tanzania, ikiwa ni hatua ya kimkakati ya kuimarisha juhudi za kuitangaza Tanzania katika masoko ya kimataifa na kuongeza idadi ya watalii wanaotembelea nchini.
michuzi.co.tz โ†—
ECONOMY Jul 06, 2026 4 4 3

Budget Allocation for Carbon Trade Registration and Monitoring Systems

Kwa mujibu wa Mhe. Masauni, bajeti ya mwaka wa fedha wa sasa imetenga fedha kwa ajili ya kuanzisha mifumo ya usajili, ukaguzi na ufuatiliaji wa biashara ya kaboni.

Maelezo ya Ziada
Kwa mujibu wa Mhe. Masauni, bajeti ya mwaka wa fedha wa sasa imetenga fedha kwa ajili ya kuanzisha mifumo ya usajili, ukaguzi na ufuatiliaji wa biashara ya kaboni.
michuzi.co.tz โ†—
Kwa mujibu wa Mhe. Masauni, bajeti ya mwaka wa fedha wa sasa imetenga fedha kwa ajili ya kuanzisha mifumo ya usajili, ukaguzi na ufuatiliaji wa biashara ya kaboni.
michuzi.co.tz โ†—
According to Minister Masauni, the current financial year budget has allocated funds to set up systems for registration, auditing, and monitoring of carbon trading activities.
dailynews.co.tz โ†—
Kwa mujibu wa Masauni, bajeti ya mwaka wa fedha wa sasa imetenga fedha kwa ajili ya kuanzisha mifumo ya usajili, ukaguzi na ufuatiliaji wa biashara ya kaboni.
ippmedia.co.tz โ†—
POLITICS Jun 29, 2026 4 4 3

Waziri Katambi's Ban on Political Gatherings for All Parties

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amemuagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) kutotoa vibali vya mikutano ya hadhara ya kisiasa kwa vyama vyovyote, ikiwemo Chama Cha Mapinduzi (CCM) naโ€ฆ

Maelezo ya Ziada
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amemuagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) kutotoa vibali vya mikutano ya hadhara ya kisiasa kwa vyama vyovyote, ikiwemo Chama Cha Mapinduzi (CCM) na vyama vingine, kwa kipindi hiki.
ippmedia.co.tz โ†—
The government has announced a nationwide ban on all political rallies, directing police to withhold permits for public meetings by any political party.
thechanzo.com โ†—
Katambi amesema anashangazwa na wanaodai hana mamlaka ya kuzuia mikutano ya hadhara, akisisitiza hatua aliyoitangaza haihusiani na kutangazwa kwa hali ya hatari, ambayo kikatiba ni mamlaka ya Rais.
mwananchi.co.tz โ†—
tamko la Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi ya kuzuia kwa muda, mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa nchini.
mwananchi.co.tz โ†—
ECONOMY Jun 27, 2026 4 4 3

Launch of TMIC 2026 to Promote Investment in Mining Sector

Alisema TMIC 2026 utakuwa jukwaa la kutangaza fursa za uwekezaji, kuunganisha wawekezaji na miradi ya kimkakati, kukuza uhamishaji wa teknolojia na ubunifu.

Maelezo ya Ziada
Alisema TMIC 2026 utakuwa jukwaa la kutangaza fursa za uwekezaji, kuunganisha wawekezaji na miradi ya kimkakati, kukuza uhamishaji wa teknolojia na ubunifu.
habarileo.co.tz โ†—
The 7th Tanzania Mining and Investment Conference 2026 will be held under the theme, 'Value-added minerals: A catalyst for industrial and economic growth.'
dailynews.co.tz โ†—
PREPARATIONS are underway for the Tanzania Mining Investment Conference (TMIC 2026), a major event expected to attract global investors and strengthen the mining sectorโ€™s contribution to Tanzaniaโ€™s economic growth.
dailynews.co.tz โ†—
The Ministry of Minerals has invited mining companies, investors, equipment manufacturers, financial institutions, service providers and researchers to participate in TMIC 2026 and explore emerging opportunities in Tanzaniaโ€™s mining industry.
thecitizen.co.tz โ†—
HEALTH Jun 25, 2026 4 4 3

Importance of Contact Tracing in Ebola Control with Monitoring Levels of 75 to 95 Percent

One of the key pillars in controlling Ebola is the monitoring of people who have come into contact with patients (contact tracing), where its success depends on a high level of monitoring that shouldโ€ฆ

Maelezo ya Ziada
One of the key pillars in controlling Ebola is the monitoring of people who have come into contact with patients (contact tracing), where its success depends on a high level of monitoring that should reach between 75 and 95 percent.
dailynews.co.tz โ†—
Moja ya nguzo muhimu katika udhibiti wa Ebola ni ufuatiliaji wa watu waliokutana na wagonjwa (contact tracing), ambapo mafanikio yake hutegemea kiwango cha juu cha ufuatiliaji kinachopaswa kufikia kati ya asilimia 75 hadi 95.
michuzi.co.tz โ†—
Moja ya nguzo muhimu katika udhibiti wa Ebola ni ufuatiliaji wa watu waliokutana na wagonjwa (contact tracing), ambapo mafanikio yake hutegemea kiwango cha juu cha ufuatiliaji kinachopaswa kufikia kati ya asilimia 75 hadi 95 na katika baadhi ya maeneo kiwango hicho kimekuwa cha chini, hali inayoongeza hatari ya kuendelea kusambaa kwa maambukizi.
michuzi.co.tz โ†—
One of the key pillars in controlling Ebola is the monitoring of people who have come into contact with patients (contact tracing), where its success depends on a high level of monitoring that should reach between 75 and 95 percent.
allafrica.com โ†—
AGRICULTURE Jun 25, 2026 4 4 3

Implementation of Prime Minister's Directives by WRRB

BODI ya Usimamizi wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imeanza rasmi utekelezaji wa maagizo yaliyotolewa na Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, yenye lengo la kuimarisha usimamizi wa mfumo huo na kuhaโ€ฆ

Maelezo ya Ziada
BODI ya Usimamizi wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imeanza rasmi utekelezaji wa maagizo yaliyotolewa na Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, yenye lengo la kuimarisha usimamizi wa mfumo huo na kuhakikisha changamoto zinazojitokeza zinapatiwa ufumbuzi bila kurejea kwenye biashara holela ya mazao.
habarileo.co.tz โ†—
Bodi ya Usimamizi wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imeanza rasmi utekelezaji wa maagizo yaliyotolewa na Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, ya kuimarisha usimamizi wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala na kuhakikisha changamoto zinazojitokeza katika utekelezaji wake zinatatuliwa bila kurudi kwenye biashara holela ya mazao.
mzalendo.co.tz โ†—
WRRB YAANZA KUTEKELEZA MAAGIZO YA WAZIRI MKUU
mzalendo.co.tz โ†—
Bodi ya Usimamizi wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imeanza rasmi kutekeleza maagizo ya Waziri Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba, yanayolenga kuimarisha usimamizi wa mfumo huo na kuhakikisha changamoto zilizopo zinatatuliwa bila kurejea kwenye biashara holela ya mazao.
ippmedia.co.tz โ†—
ECONOMY Jun 24, 2026 4 4 3

Education on Market Price Trends by WRRB

Bangu amesema baadhi ya wananchi wamekuwa wakilinganisha bei za sasa na zile za miaka mitatu iliyopita bila kuzingatia mabadiliko ya soko la dunia, hivyo bodi hiyo imeendelea kutoa elimu kuhusu mweneโ€ฆ

Maelezo ya Ziada
Bangu amesema baadhi ya wananchi wamekuwa wakilinganisha bei za sasa na zile za miaka mitatu iliyopita bila kuzingatia mabadiliko ya soko la dunia, hivyo bodi hiyo imeendelea kutoa elimu kuhusu mwenendo wa bei katika masoko ya kimataifa.
habarileo.co.tz โ†—
Amesema wananchi wamekuwa wakilinganisha bei za sasa na zile za miaka mitatu iliyopita bila kuzingatia mabadiliko ya soko la dunia, hivyo WRRB imeendelea kutoa elimu kuhusu mwenendo wa bei katika masoko ya kimataifa.
mzalendo.co.tz โ†—
Bangu amesema wananchi wamekuwa wakilinganisha bei za sasa na zile za miaka mitatu iliyopita bila kuzingatia mabadiliko ya soko la dunia, hivyo WRRB imeendelea kutoa elimu kuhusu mwenendo wa bei katika masoko ya kimataifa.
michuzi.co.tz โ†—
hivyo WRRB imeendelea kutoa elimu kuhusu mwenendo wa bei katika masoko ya kimataifa.
michuzi.co.tz โ†—
BUSINESS Jun 15, 2026 4 4 3

Recognition of Africa's Top 100 Homegrown Brands to Promote Competition

Londo made the remarks during the Africaโ€™s Top 100 Homegrown Brands recognition event in Dar es Salaam, which brought together manufacturers and brand owners from across the continent.

Maelezo ya Ziada
Londo made the remarks during the Africaโ€™s Top 100 Homegrown Brands recognition event in Dar es Salaam, which brought together manufacturers and brand owners from across the continent.
dailynews.co.tz โ†—
Mhe. Dennis Londo, amesema wazalishaji, wafanyabiashara na watoa huduma nchini ni nguzo muhimu katika maendeleo ya uchumi kutokana na mchango wao katika uzalishaji, biashara na utoaji wa huduma mbalimbali na jitihada zao zinapaswa kutambuliwa ili kuhamasisha utendaji bora na kuongeza ushindani wenye tija.
michuzi.co.tz โ†—
Mhe. Dennis Londo, amesema wazalishaji, wafanyabiashara na watoa huduma nchini ni nguzo muhimu katika maendeleo ya uchumi kutokana na mchango wao katika uzalishaji, biashara na utoaji wa huduma mbalimbali na jitihada zao zinapaswa kutambuliwa ili kuhamasisha utendaji bora na kuongeza ushindani wenye tija.
michuzi.co.tz โ†—
For his part, event coordinator Deogratius Kilawe said the awards aim to promote competition among African companies while encouraging higher standards in products and services.
allafrica.com โ†—
POLITICS Jul 08, 2026 3 3 3

Trump Declares End of Ceasefire Agreement with Iran

Trump amesema makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Marekani na Iran yamefikia mwisho, baada ya nchi hizo mbili kuanza kushambuliana.

Maelezo ya Ziada
Trump amesema makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Marekani na Iran yamefikia mwisho, baada ya nchi hizo mbili kuanza kushambuliana.
swahilitimes.co.tz โ†—
To me, I think itโ€™s over. I donโ€™t want to deal with them.
dailynews.co.tz โ†—
Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza kuwa makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Marekani na Iran โ€œyamefikia mwishoโ€ baada ya Iran kushambulia vituo vya kijeshi vya Marekani katika Mashariki ya Kati usiku wa kuamkia Jumatano.
globalpublishers.co.tz โ†—
BUSINESS Jul 07, 2026 3 3 3

Government Vision to Transform DITF into Innovation Hub by 2050

Makamu wa Rais wa Emmanuel Nchimbi amesema maono ya Serikali ni kuona Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF) yakibadilika kutoka eneo la kuonesha bidhaa pekee na kuwa kitovu cha ubโ€ฆ

Maelezo ya Ziada
Makamu wa Rais wa Emmanuel Nchimbi amesema maono ya Serikali ni kuona Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF) yakibadilika kutoka eneo la kuonesha bidhaa pekee na kuwa kitovu cha ubunifu, utafiti, teknolojia na biashara za kimataifa ifikapo mwaka 2050.
habarileo.co.tz โ†—
the government's vision is to transform the Dar es Salaam International Trade Fair (DITF) from a traditional product exhibition into a global hub for innovation, research, technology, and international trade by 2050.
dailynews.co.tz โ†—
the government's vision is to transform the Dar es Salaam International Trade Fair (DITF) from a traditional product exhibition into a global hub for innovation, research, technology, and international trade by 2050.
allafrica.com โ†—
MIGRATION Jul 07, 2026 3 3 3

Nigeria Demands Accountability After Killings of Two Citizens in South Africa

Nigeria has accused South Africa of failing to protect foreign nationals after two Nigerian citizens were killed amid rising anti-migrant sentiment.

Maelezo ya Ziada
Nigeria has accused South Africa of failing to protect foreign nationals after two Nigerian citizens were killed amid rising anti-migrant sentiment.
allafrica.com โ†—
Nigeria says two of its citizens have been killed in South Africa 'at a time when foreigners are being unduly targeted' there.
dailynews.co.tz โ†—
Nigeria imelaani madai ya kuuawa kwa raia wake wawili nchini Afrika Kusini na kuitaka serikali ya nchi hiyo, kufanya uchunguzi wa haraka na kuwawajibisha waliohusika.
ippmedia.co.tz โ†—
FINANCE Jun 30, 2026 3 3 3

Tanzania's Vision 2050 for a $1 Trillion Economy

Waziri wa Fedha wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amesema Tanzania inaiona Benki ya Afrexim kama mshirika wa kimkakati katika safari ya mageuzi ya kiuchumi ya ncโ€ฆ

Maelezo ya Ziada
Waziri wa Fedha wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amesema Tanzania inaiona Benki ya Afrexim kama mshirika wa kimkakati katika safari ya mageuzi ya kiuchumi ya nchi, huku akisisitiza umuhimu wa ushirikiano imara, mitaji ya muda mrefu na mbinu bunifu za ufadhili ili kufikia azma ya kuwa uchumi wa dola trilioni moja ifikapo mwaka 2050.
mzalendo.co.tz โ†—
The blueprint positions efficient SOEs as strategic catalysts for economic expansion, supporting Tanzania's ambition to quadruple its Gross Domestic Product (GDP) to one trillion US dollars by 2050.
dailynews.co.tz โ†—
Tanzania's ambition to build a $1 trillion economy by 2050 will depend not only on expanding digital technologies but also on strengthening personal data protection to build public trust in the country's rapidly growing digital economy, experts have said.
thecitizen.co.tz โ†—
POLITICS Jun 29, 2026 3 3 3

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba's Call to Address Signs of National Security Breaches

Sasa hivi hatupaswi kupuuzia viashiria vya uvunjifu wa amani hapa nchini. Hatutakiwi kuvipuuza kwa sababu vimetuachia doa.

Maelezo ya Ziada
Sasa hivi hatupaswi kupuuzia viashiria vya uvunjifu wa amani hapa nchini. Hatutakiwi kuvipuuza kwa sababu vimetuachia doa.
mzalendo.co.tz โ†—
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania waendelee kuhimizana kuhusu ulinzi wa Taifa na kamwe wasipuuze viashiria vya uvunjifu wa amani.
globalpublishers.co.tz โ†—
Waziri Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba, amewataka watanzania kuendelea kushirikiana katika kulinda amani na usalama wa nchi kwa kutopuuzia viashiria vinavyoweza kuhatarisha utulivu wa Taifa.
ippmedia.co.tz โ†—
HEALTH Jun 26, 2026 3 3 3

907 People Registered for Drug Addiction Treatment at Mount Meru Hospital

Meanwhile, Mount Meru Regional Referral Hospital Mental Health Specialist Margaret Msigwa said 907 people struggling with drug addiction have been registered at the hospitalโ€™s Medication-Assisted Treโ€ฆ

Maelezo ya Ziada
Meanwhile, Mount Meru Regional Referral Hospital Mental Health Specialist Margaret Msigwa said 907 people struggling with drug addiction have been registered at the hospitalโ€™s Medication-Assisted Treatment (MAT) clinic.
dailynews.co.tz โ†—
Mratibu wa Huduma za Methadone (MAT) katika Hospitali ya Mount Meru, Magreth Elias Msigwa amesema kliniki hiyo imesajili wateja 907 tangu kuanzishwa kwake.
mwananchi.co.tz โ†—
907 people struggling with drug addiction have been registered at the hospital's Medication-Assisted Treatment (MAT) clinic.
allafrica.com โ†—
HEALTH Jun 25, 2026 3 3 3

WHO Strategies for Rapid Patient Monitoring and Health System Investment to Control Ebola in Africa

Prof Janabi has stressed the importance of rapid patient monitoring and investment in health systems as key pillars of controlling Ebola in Africa.

Maelezo ya Ziada
Prof Janabi has stressed the importance of rapid patient monitoring and investment in health systems as key pillars of controlling Ebola in Africa.
dailynews.co.tz โ†—
Prof. Janabi amesisitiza umuhimu wa ufuatiliaji wa haraka wa wagonjwa na uwekezaji katika mifumo ya afya kama nguzo muhimu ya kudhibiti ugonjwa wa Ebola barani Afrika.
michuzi.co.tz โ†—
Prof Janabi stressed the importance of rapid patient monitoring and investment in health systems as key pillars of controlling Ebola in Africa.
allafrica.com โ†—
POLITICS Jun 24, 2026 3 3 3

Approval of 62.33 trillion TZS National Budget for 2026/27

THE National Assembly has approved the 62.33 tri/- national budget for the 2026/27 financial year, with the government pledging to strengthen domestic revenue collection, enhance fiscal discipline, aโ€ฆ

Maelezo ya Ziada
THE National Assembly has approved the 62.33 tri/- national budget for the 2026/27 financial year, with the government pledging to strengthen domestic revenue collection, enhance fiscal discipline, and ensure efficient use of every shilling collected to accelerate national development.
dailynews.co.tz โ†—
Tanzaniaโ€™s Parliament approved the TZS 62.33 trillion (ยฑ USD 24 billion) Government Budget for 2026/27 by 385 of 393 votes on 23 June 2026, with the spending plan and its tax measures taking effect on 1 July 2026.
tanzaniainvest.com โ†—
THE National Assembly has approved the 62.33 tri/- national budget for the 2026/27 financial year, with the government pledging to strengthen domestic revenue collection, enhance fiscal discipline, and ensure efficient use of every shilling collected to accelerate national development.
allafrica.com โ†—
CIVIL-SOCIETY Jun 23, 2026 3 3 3

21-Year-Old Juma Ramadhan Confesses to Killing His Father Ramadhan Jaffary

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Juma Ramadhan (21) kwa tuhuma za kumuua baba yake, Ramadhan Jaffary (47), na kisha kumfukia ndani ya nyumba ya marehemu.

Maelezo ya Ziada
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Juma Ramadhan (21) kwa tuhuma za kumuua baba yake, Ramadhan Jaffary (47), na kisha kumfukia ndani ya nyumba ya marehemu.
swahilitimes.co.tz โ†—
Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam imemtia mbaroni Juma Ramadan (21), maarufu Juli, mkazi wa Ubungo, kwa tuhuma za kumuua baba yake mzazi, Ramadan Jafar (47), maarufu Muna, ambaye awali aliripotiwa kupotea.
mwananchi.co.tz โ†—
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia kijana mmoja aitwaye Juma Ramadhan (21), kwa tuhuma za kumuua baba yake mzazi, Ramadhan Jafari (47), kisha kuuficha mwili wake kwa kuufukia ndani ya chumba cha nyumba yao iliyopo eneo la Mbezi Luguruni, jijini Dar es Salaam.
globalpublishers.co.tz โ†—
HEALTH Jun 22, 2026 3 3 3

Official Inauguration of 17bn/- Radiotherapy Unit at KCMC Hospital

PRESIDENT Samia Suluhu Hassan is expected to conduct a working visit to Kilimanjaro Region on June 24, 2026, where she will officially inaugurate the Radiotherapy Building at the Northern Zone Referrโ€ฆ

Maelezo ya Ziada
PRESIDENT Samia Suluhu Hassan is expected to conduct a working visit to Kilimanjaro Region on June 24, 2026, where she will officially inaugurate the Radiotherapy Building at the Northern Zone Referral Hospital (KCMC), valued at 17bn/-.
dailynews.co.tz โ†—
President Samia Suluhu Hassan is expected to inaugurate a new radiotherapy services building at Kilimanjaro Christian Medical Centre (KCMC) Northern Zone Referral Hospital, a Sh17 billion facility aimed at improving cancer care in the region.
thecitizen.co.tz โ†—
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua jengo la huduma ya tiba ya mionzi katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya KCMC, lililogharimu zaidi ya Sh17 bilioni.
mwananchi.co.tz โ†—
POLITICS Jun 22, 2026 3 3 3

Upcoming Labour Leadership Election Following Starmer's Resignation

Chama cha Labour kinatarajiwa kufungua rasmi mchakato wa uchaguzi wa kiongozi mpya, ambapo wagombea wataanza kujitokeza katika wiki zijazo.

Maelezo ya Ziada
Chama cha Labour kinatarajiwa kufungua rasmi mchakato wa uchaguzi wa kiongozi mpya, ambapo wagombea wataanza kujitokeza katika wiki zijazo.
globalpublishers.co.tz โ†—
Reports from within the party indicate that the final phase of his leadership was shaped by quiet but decisive manoeuvring among potential successors, as preparations for a transition gathered pace behind the scenes.
dailynews.co.tz โ†—
Moja ya matukio makubwa yaliyosafisha njia ya Burnham kuelekea kuwa Waziri Mkuu ni uamuzi wa mpinzani wake mkuu wa zamani na aliyekuwa Katibu wa Afya Kivuli, Wes Streeting, kujiondoa katika mbio za kuwania uongozi wa chama.
mwananchi.co.tz โ†—
ENERGY Jun 16, 2026 3 3 3

Promotion of Clean Cooking Energy Usage Targeting 80% by 2034

Eneo lingine lililopatiwa kipaumbele ni uhamasishaji wa matumizi ya nishati safi ya kupikia, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kufanikisha lengo la Taifa la kuhakikisha asilimia 80 ya Watanzania wanatumโ€ฆ

Maelezo ya Ziada
Eneo lingine lililopatiwa kipaumbele ni uhamasishaji wa matumizi ya nishati safi ya kupikia, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kufanikisha lengo la Taifa la kuhakikisha asilimia 80 ya Watanzania wanatumia nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2034.
michuzi.co.tz โ†—
Ameongeza kuwa eneo lingine lililopatiwa kipaumbele ni uhamasishaji wa matumizi ya nishati safi ya kupikia, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kufanikisha lengo la Taifa la kuhakikisha asilimia 80 ya Watanzania wanatumia nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2034.
mzalendo.co.tz โ†—
Ms Mniga said EWURA is also highlighting the importance of clean cooking energy as part of national efforts to increase access to environmentally friendly and affordable energy solutions.
dailynews.co.tz โ†—
ENERGY Jun 16, 2026 3 3 3

10.5bn/- Investment in Electricity Infrastructure Project in Kongwa District

THE government has commissioned a 10.5bn/- electricity infrastructure project in Kongwa District, a move expected to strengthen power supply, spur industrial growth and attract new investments acrossโ€ฆ

Maelezo ya Ziada
THE government has commissioned a 10.5bn/- electricity infrastructure project in Kongwa District, a move expected to strengthen power supply, spur industrial growth and attract new investments across Dodoma Region and neighbouring areas.
dailynews.co.tz โ†—
Serikali yazindua mradi wa Sh10.5 bilioni kuimarisha usambazaji umeme Kongwa
mwananchi.co.tz โ†—
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limekamilisha na kuzindua mradi wa kimkakati wa Kituo cha Kubadilishia Njia za Usambazaji Umeme (Switching Station) pamoja na Transforma ya Kudhibiti Umeme katika eneo la Mbande, Wilaya ya Kongwa, uliogharimu zaidi ya shilingi bilioni 10.5.
mzalendo.co.tz โ†—
PUBLIC-ADMIN Jun 16, 2026 3 3 3

Call for Community Participation in Maintaining Government Infrastructure

Mhe. Babu ametoa wito huo wakati wa ziara ya kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa na iliyokamilika katika Mkoa wa Kilimanjaro.

Maelezo ya Ziada
Mhe. Babu ametoa wito huo wakati wa ziara ya kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa na iliyokamilika katika Mkoa wa Kilimanjaro.
kilimanjaro.go.tz โ†—
Hivyo wananchi wote kwa pamoja wanao wajibu wa kulinda na kutunza miundombinu ya Mahakama hiyo kwasababu ni mali ya umma na imejengwa kwa kodi za wananchi wenyewe.
tanzaniajudiciary.blogspot.com โ†—
Hata hivyo, ametoa wito kwa wananchi pamoja na watumishi wa sekta ya afya kuhakikisha wanalinda miundombinu inayojengwa kwa gharama kubwa za serikali.
arusha.go.tz โ†—
POLITICS Jun 11, 2026 3 3 3

Tax Reform Recommendations with 727 Proposals Submitted for Budget Preparation

Ameeleza pia uandaaji wa bajeti umeshilikisha wadau mbalimbali kupitia Kamati ya Wataalam wa Maboresho ya Kodi (Task Force on Tax Reforms) pamoja na Kamati ya Ushauri ya Ngazi ya Juu ya โ€˜Think Tankโ€™ โ€ฆ

Maelezo ya Ziada
Ameeleza pia uandaaji wa bajeti umeshilikisha wadau mbalimbali kupitia Kamati ya Wataalam wa Maboresho ya Kodi (Task Force on Tax Reforms) pamoja na Kamati ya Ushauri ya Ngazi ya Juu ya โ€˜Think Tankโ€™ ambapo mapendekezo 727 yalitolewa.
thechanzo.com โ†—
the upcoming Budget has been prepared through broad consultations involving government institutions, the private sector, civil society, academia and individual taxpayers, resulting in 727 proposals on tax, legal and administrative reforms.
thecitizen.co.tz โ†—
The consultations sought views on possible reforms to taxes, fees and levies. By the close of the consultation period, the government had received 727 proposals covering tax, legal and administrative reforms.
dailynews.co.tz โ†—
FINANCE Jun 10, 2026 3 3 3

Approval of 10-for-1 Share Split by NMB Bank PLC

wanahisa kuidhinisha mgawiyo wa rekodi na maazimio ya ukuaji wa kimkakati.

Maelezo ya Ziada
wanahisa kuidhinisha mgawiyo wa rekodi na maazimio ya ukuaji wa kimkakati.
michuzi.co.tz โ†—
Wanahisa wa benki ya NMB wamepitisha azimio la kugawanya hisa za benki hiyo kwa uwiano wa 1 kwa 10 hatua inayotarajiwa kuongeza idadi na kupunguza bei ya hisa za benki hiyo sokoni.
nukta.co.tz โ†—
Ili kuhakikisha watu wengi wanapata fursa ya kununua hisa, benki hiyo imependekeza kufanya mgawanyo wa hisa kwa uwiano wa moja kwa kumi (1:10) ili kuongeza ushiriki wa wawekezaji wadogo na kuboresha uuzikaji wa hisa zake katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE).
mwananchi.co.tz โ†—
HEALTH Jun 10, 2026 3 3 3

11-Year Partnership between Exim Bank and NBTS to Promote Blood Donation

Kampeni hii ya kila mwaka iliyodumu kwa miaka kumi na moja, inadhihirisha ushirikiano wa dhati kati ya Benki ya Exim Tanzania na NBTS.

Maelezo ya Ziada
Kampeni hii ya kila mwaka iliyodumu kwa miaka kumi na moja, inadhihirisha ushirikiano wa dhati kati ya Benki ya Exim Tanzania na NBTS.
michuzi.co.tz โ†—
Kampeni hii ya kila mwaka iliyodumu kwa miaka kumi na moja, inadhihirisha ushirikiano wa dhati kati ya Benki ya Exim Tanzania na NBTS, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kukuza utamaduni wa uchangiaji damu wa hiari nchini Tanzania.
globalpublishers.co.tz โ†—
Kampeni hii ya kila mwaka iliyodumu kwa miaka kumi na moja, inadhihirisha ushirikiano wa dhati kati ya Benki ya Exim Tanzania na NBTS, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kukuza utamaduni wa uchangiaji damu wa hiari nchini Tanzania.
swahilitimes.co.tz โ†—
POLITICS Jul 06, 2026 5 5 2

Rashid Jumbe's Political Shift from Chadema to CCM Influenced by Government Development Projects

Jumbe, ambaye kwa muda mrefu alikuwa mmoja wa viongozi mashuhuri wa Chadema mkoani Tanga, amesema uamuzi wake umetokana na kuridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo pamoja na juhudi za Serikaโ€ฆ

Maelezo ya Ziada
Jumbe, ambaye kwa muda mrefu alikuwa mmoja wa viongozi mashuhuri wa Chadema mkoani Tanga, amesema uamuzi wake umetokana na kuridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo pamoja na juhudi za Serikali ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan katika kuimarisha amani, umoja na ustawi wa wananchi.
michuzi.co.tz โ†—
Jumbe, ambaye kwa muda mrefu alikuwa mmoja wa viongozi mashuhuri wa Chadema mkoani Tanga, amesema uamuzi wake umetokana na kuridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo pamoja na juhudi za Serikali ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan katika kuimarisha amani, umoja na ustawi wa wananchi.
michuzi.co.tz โ†—
Kilichonishawishi zaidi ni kazi kubwa inayofanywa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea Watanzania maendeleo na kuhakikisha amani ya nchi inalindwa.
michuzi.co.tz โ†—
Jumbe, ambaye kwa muda mrefu alikuwa mmoja wa viongozi mashuhuri wa Chadema mkoani Tanga, amesema uamuzi wake umetokana na kuridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo pamoja na juhudi za Serikali ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan katika kuimarisha amani, umoja na ustawi wa wananchi.
michuzi.co.tz โ†—
Akizungumza mbele ya wanachama na umma wakati wa hafla hiyo, Rashid Jumbe alieleza kuwa uamuzi wake wa kuhamia CCM umetokana na kuridhishwa kwake na kasi ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayofanywa na Serikali chini ya uongozi wa Rais Dk Samia Suluhu Hassan.
habarileo.co.tz โ†—
BUSINESS Jun 28, 2026 5 5 2

Meeting between President Samia and Businessman Alhaji Aliko Dangote on June 28, 2026

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mfanyabiashara kutoka nchini Nigeria ambaye pia ni Mwanzilishi na Mmiliki wa Dangote Group, Alhaji Aliko Dangote,โ€ฆ

Maelezo ya Ziada
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mfanyabiashara kutoka nchini Nigeria ambaye pia ni Mwanzilishi na Mmiliki wa Dangote Group, Alhaji Aliko Dangote, Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 28 Juni, 2026.
michuzi.co.tz โ†—
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mfanyabiashara kutoka nchini Nigeria ambaye pia ni Mwanzilishi na Mmiliki wa Dangote Group, Alhaji Aliko Dangote, Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 28 Juni, 2026.
michuzi.co.tz โ†—
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Juni 28, 2026 amekutana na kufanya mazungumzo na Mfanyabiashara kutoka nchini Nigeria ambaye pia ni Mwanzilishi na Mmiliki wa Dangote Group, Alhaji Aliko Dangote pamoja na Ujumbe wake, Ikulu Jijini Dar es Salaam.
globalpublishers.co.tz โ†—
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mfanyabiashara kutoka nchini Nigeria ambaye pia ni Mwanzilishi na Mmiliki wa Dangote Group, Alhaji Aliko Dangote, Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 28 Juni, 2026.
michuzi.co.tz โ†—
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mfanyabiashara kutoka nchini Nigeria ambaye pia ni Mwanzilishi na Mmiliki wa Dangote Group, Alhaji Aliko Dangote, Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 28 Juni, 2026.
michuzi.co.tz โ†—
BUSINESS Jul 07, 2026 4 4 2

Government Directive for All Producers to Use 'Made in Tanzania' Label

Serikali imewaagiza wazalishaji wote nchini kutumia alama ya โ€˜Made in Tanzaniaโ€™ ili kuongeza imani kwa bidhaa zinazozalishwa nchini na kuimarisha ushindani wake katika masoko ya kimataifa.

Maelezo ya Ziada
Serikali imewaagiza wazalishaji wote nchini kutumia alama ya โ€˜Made in Tanzaniaโ€™ ili kuongeza imani kwa bidhaa zinazozalishwa nchini na kuimarisha ushindani wake katika masoko ya kimataifa.
mzalendo.co.tz โ†—
Serikali imewaagiza wazalishaji wote nchini kutumia alama ya 'Made in Tanzania' ili kuongeza imani kwa bidhaa zinazozalishwa nchini na kuimarisha ushindani wake katika masoko ya kimataifa.
michuzi.co.tz โ†—
Serikali imewaagiza wazalishaji wote nchini kutumia alama ya 'Made in Tanzania' ili kuongeza imani kwa bidhaa zinazozalishwa nchini na kuimarisha ushindani wake katika masoko ya kimataifa.
michuzi.co.tz โ†—
WAZALISHAJI KUTUMIA ALAMA YA โ€˜MADE IN TANZANIAโ€™...
mzalendo.co.tz โ†—
POLITICS Jun 15, 2026 4 4 2

Warning Against Prostitution and Brothel Activities in Tanzania

Katambi also issued a warning to individuals who operate or benefit from prostitution and brothel-related activities, noting that Tanzanian law prohibits such practices and imposes strict penalties oโ€ฆ

Maelezo ya Ziada
Katambi also issued a warning to individuals who operate or benefit from prostitution and brothel-related activities, noting that Tanzanian law prohibits such practices and imposes strict penalties on those found responsible.
dailynews.co.tz โ†—
Waziri Katambi ametoa onyo kwa watu wanaojihusisha na uendeshaji wa madanguro na shughuli za ukahaba, akibainisha kuwa sheria inakataza kumiliki au kunufaika na mapato yatokanayo na biashara hiyo pamoja na kushiriki kwa namna yoyote ile.
michuzi.co.tz โ†—
Amesema sheria inakataza kumiliki au kunufaika na mapato yatokanayo na biashara hiyo pamoja na kushiriki kwa namna yoyote ile.
michuzi.co.tz โ†—
Katambi said Gender Desks within law enforcement agencies should take firm action against anyone found engaging in such activities in order to safeguard the moral and social foundations of Tanzanian society.
dailynews.co.tz โ†—
AGRICULTURE Jun 12, 2026 4 4 2

Tanzania's Annual Milk Production Estimated at 4.1 Billion Liters Against a National Demand of 13 Billion Liters

Aidha, alisema Tanzania kwa sasa inazalisha takribani lita bilioni 4.1 za maziwa kwa mwaka huku mahitaji ya taifa yakikadiriwa kufikia lita bilioni 13 kwa mwaka.

Maelezo ya Ziada
Aidha, alisema Tanzania kwa sasa inazalisha takribani lita bilioni 4.1 za maziwa kwa mwaka huku mahitaji ya taifa yakikadiriwa kufikia lita bilioni 13 kwa mwaka.
michuzi.co.tz โ†—
Aidha, alisema Tanzania kwa sasa inazalisha takribani lita bilioni 4.1 za maziwa kwa mwaka huku mahitaji ya taifa yakikadiriwa kufikia lita bilioni 13 kwa mwaka.
michuzi.co.tz โ†—
Tanzania kwa sasa inazalisha takribani lita bilioni 4.1 za maziwa kwa mwaka, wakati mahitaji ya taifa yanakadiriwa kufikia lita bilioni 13 kwa mwaka.
michuzi.co.tz โ†—
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Dk Fabian Madele, amesema licha ya Tanzania kuzalisha takribani lita bilioni 4.1 za maziwa kwa mwaka, bado kiwango hicho hakitoshelezi mahitaji ya taifa yanayofikia lita bilioni 13 kwa mwaka.
mwananchi.co.tz โ†—
ECONOMY Jun 12, 2026 4 4 2

Poverty Rate Declines to 25.1% in 2025

The 2025 Household Income and Expenditure Survey shows that basic needs poverty in Mainland Tanzania declined to 25.1 percent, from 26.4 percent in 2018.

Maelezo ya Ziada
The 2025 Household Income and Expenditure Survey shows that basic needs poverty in Mainland Tanzania declined to 25.1 percent, from 26.4 percent in 2018.
dailynews.co.tz โ†—
Results from the 2025 Household Budget Survey showed that 25.1 percent of Tanzania Mainland still live below the basic needs poverty line, although the figure has steadily declined from 34.4 percent in 2007 and 26.4 percent in 2018.
dailynews.co.tz โ†—
basic needs poverty in Mainland Tanzania declined to 25.1 percent, from 26.4 percent in 2018
allafrica.com โ†—
The findings indicate that basic needs poverty in Mainland Tanzania continued to decline, with the proportion of the population living below the basic needs poverty line falling to 25.1 per cent in 2025, down from 34.4 per cent in 2007.
dailynews.co.tz โ†—
TECHNOLOGY Jul 08, 2026 3 3 2

Showcasing of Electric and Hybrid Vehicles at 2026 Trade Fair

Waziri Kapinga amesema maonesho ya mwaka 2026 yamebeba teknolojia mbalimbali za kisasa, ikiwemo magari yanayotumia umeme, magari ya mseto (hybrid), magari yanayotumia gesi asilia (CNG) kwa asilimia 1โ€ฆ

Maelezo ya Ziada
Waziri Kapinga amesema maonesho ya mwaka 2026 yamebeba teknolojia mbalimbali za kisasa, ikiwemo magari yanayotumia umeme, magari ya mseto (hybrid), magari yanayotumia gesi asilia (CNG) kwa asilimia 100 pamoja na mitambo ya kisasa inayotumia umeme, hatua inayoonesha ukuaji wa sekta ya viwanda na matumizi ya teknolojia rafiki kwa mazingira.
mzalendo.co.tz โ†—
Waziri Kapinga amesema maonesho ya mwaka 2026 yamebeba teknolojia mbalimbali za kisasa, ikiwemo magari yanayotumia umeme, magari ya mseto (hybrid), magari yanayotumia gesi asilia (CNG) kwa asilimia 100 pamoja na mitambo ya kisasa inayotumia umeme, hatua inayoonesha ukuaji wa sekta ya viwanda na matumizi ya teknolojia rafiki kwa mazingira.
michuzi.co.tz โ†—
Waziri Kapinga amesema maonesho ya mwaka 2026 yamebeba teknolojia mbalimbali za kisasa, ikiwemo magari yanayotumia umeme, magari ya mseto (hybrid), magari yanayotumia gesi asilia (CNG) kwa asilimia 100 pamoja na mitambo ya kisasa inayotumia umeme, hatua inayoonesha ukuaji wa sekta ya viwanda na matumizi ya teknolojia rafiki kwa mazingira.
michuzi.co.tz โ†—
BUSINESS Jul 08, 2026 3 3 2

Judith Kapinga's Call for Increased Attendance at 2026 Dar es Salaam International Trade Fair

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga (Mb), amewataka Watanzania kuendelea kutembelea Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), akisema maonesho ya mwaka huu 2โ€ฆ

Maelezo ya Ziada
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga (Mb), amewataka Watanzania kuendelea kutembelea Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), akisema maonesho ya mwaka huu 2026 yameonesha mafanikio makubwa ya maendeleo ya viwanda, ubunifu wa teknolojia na ubora wa bidhaa zinazozalishwa nchini.
mzalendo.co.tz โ†—
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga (Mb), amewataka Watanzania kuendelea kutembelea Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), akisema maonesho ya mwaka huu 2026 yameonesha mafanikio makubwa ya maendeleo ya viwanda, ubunifu wa teknolojia na ubora wa bidhaa zinazozalishwa nchini.
michuzi.co.tz โ†—
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga (Mb), amewataka Watanzania kuendelea kutembelea Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), akisema maonesho ya mwaka huu 2026 yameonesha mafanikio makubwa ya maendeleo ya viwanda, ubunifu wa teknolojia na ubora wa bidhaa zinazozalishwa nchini.
michuzi.co.tz โ†—
TRADE Jul 08, 2026 3 3 2

Support for African Continental Free Trade Area (AfCFTA) Implementation

Aidha, juhudi hizo zinaunga mkono utekelezaji wa Eneo Huru la Biashara la Afrika (AfCFTA), kwa lengo la kuimarisha biashara ya kikanda, kuvutia mitaji mipya na kufungua fursa zaidi za maendeleo ya ucโ€ฆ

Maelezo ya Ziada
Aidha, juhudi hizo zinaunga mkono utekelezaji wa Eneo Huru la Biashara la Afrika (AfCFTA), kwa lengo la kuimarisha biashara ya kikanda, kuvutia mitaji mipya na kufungua fursa zaidi za maendeleo ya uchumi endelevu nchini Tanzania na barani Afrika.
ippmedia.co.tz โ†—
Aidha, juhudi hizo zinaunga mkono utekelezaji wa Eneo Huru la Biashara la Afrika (AfCFTA), kwa lengo la kuimarisha biashara ya kikanda, kuvutia mitaji mipya na kufungua fursa zaidi za maendeleo ya uchumi endelevu nchini Tanzania na barani Afrika.
michuzi.co.tz โ†—
Aidha, juhudi hizo zinaunga mkono utekelezaji wa Eneo Huru la Biashara la Afrika (AfCFTA), kwa lengo la kuimarisha biashara ya kikanda, kuvutia mitaji mipya na kufungua fursa zaidi za maendeleo ya uchumi endelevu nchini Tanzania na barani Afrika.
michuzi.co.tz โ†—
CONSTRUCTION Jul 08, 2026 3 3 2

Launch of Multiple Development Projects at Kizimkazi Festival 2026

Katika tamasha hilo miradi mbalimbali ya maendeleo itazinduliwa.

Maelezo ya Ziada
Katika tamasha hilo miradi mbalimbali ya maendeleo itazinduliwa.
michuzi.co.tz โ†—
Katika tamasha hilo miradi mbalimbali ya maendeleo itazinduliwa.
michuzi.co.tz โ†—
Mahfodh alisema tamasha la mwaka huu litaambatana na uzinduzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayolenga kuboresha maisha ya wananchi wa Kizimkazi.
globalpublishers.co.tz โ†—
ECONOMY Jul 08, 2026 3 3 2

Potential Global Oil and Gas Supply Disruptions Due to Hormuz Tensions

Endapo hali itaendelea kuwa tete katika Mlango wa Hormuz, wachambuzi wanaonya kuwa usafirishaji wa mafuta na gesi duniani unaweza kuathirika, jambo litakaloongeza shinikizo kwa uchumi wa kimataifa.

Maelezo ya Ziada
Endapo hali itaendelea kuwa tete katika Mlango wa Hormuz, wachambuzi wanaonya kuwa usafirishaji wa mafuta na gesi duniani unaweza kuathirika, jambo litakaloongeza shinikizo kwa uchumi wa kimataifa.
globalpublishers.co.tz โ†—
Migogoro au mashambulizi kwenye eneo hili yanaweza kusababisha uhaba wa mafuta, kupanda kwa bei, na kuathiri biashara ya kimataifa.
ippmedia.co.tz โ†—
Mvutano huo pia umeathiri usafirishaji wa nishati duniani baada ya angalau meli nne za mafuta na gesi kubadili njia na kuacha kuvuka Mlango wa Hormuz kutokana na hofu ya usalama.
globalpublishers.co.tz โ†—
HEALTH Jul 08, 2026 3 3 2

Proposal for Digital Archiving of 100-Year Records at Kibong'oto Hospital

Amependekeza hospitali ya Kibong'oto kuweka nyaraka zake yenye zaidi ya miaka 100 katika mfumo wa kidijitali na kuzichambua kisayansi, ili kufungua njia mpya za kuelewa usugu wa dawa na mabadiliko yaโ€ฆ

Maelezo ya Ziada
Amependekeza hospitali ya Kibong'oto kuweka nyaraka zake yenye zaidi ya miaka 100 katika mfumo wa kidijitali na kuzichambua kisayansi, ili kufungua njia mpya za kuelewa usugu wa dawa na mabadiliko ya magonjwa.
ippmedia.co.tz โ†—
Amefafanua Mhe. Mchengerwa Amependekeza hospitali ya Kibong'oto kuweka nyaraka zake yenye zaidi ya miaka 100 katika mfumo wa kidijitali na kuzichambua kisayansi ili kufungua njia mpya za kuelewa usugu wa dawa na mabadiliko ya magonjwa.
michuzi.co.tz โ†—
Amefafanua Mhe. Mchengerwa Amependekeza hospitali ya Kibong'oto kuweka nyaraka zake yenye zaidi ya miaka 100 katika mfumo wa kidijitali na kuzichambua kisayansi ili kufungua njia mpya za kuelewa usugu wa dawa na mabadiliko ya magonjwa.
michuzi.co.tz โ†—
EDUCATION Jul 07, 2026 3 3 2

UNESCO's Support for Kiswahili Language Development

Mapema, Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO, Prof. Khaled El-Enany aliwaeleza washiriki wa maadhimisho hayo kwamba shirika lake limesaidia kufadhili uandaaji wa kamusi ya Kifaransa kwenda Kiswahili.

Maelezo ya Ziada
Mapema, Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO, Prof. Khaled El-Enany aliwaeleza washiriki wa maadhimisho hayo kwamba shirika lake limesaidia kufadhili uandaaji wa kamusi ya Kifaransa kwenda Kiswahili.
habarileo.co.tz โ†—
Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO, Prof. Khaled El-Enany aliwaeleza washiriki wa maadhimisho hayo kwamba shirika lake limesaidia kufadhili uandaaji wa kamusi ya Kifaransa kwenda Kiswahili.
michuzi.co.tz โ†—
Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO, Prof. Khaled El-Enany aliwaeleza washiriki wa maadhimisho hayo kwamba shirika lake limesaidia kufadhili uandaaji wa kamusi ya Kifaransa kwenda Kiswahili.
michuzi.co.tz โ†—
POLITICS Jul 07, 2026 3 3 2

Kiswahili Recognized as Official Language of EAC and SADC

Waziri Mkuu ambaye alikuwa mgeni rasmi kwa niaba ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema sasa hivi Kiswahili kimeshatambulika kuwa lugha rasmi ya EAC na SADC.

Maelezo ya Ziada
Waziri Mkuu ambaye alikuwa mgeni rasmi kwa niaba ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema sasa hivi Kiswahili kimeshatambulika kuwa lugha rasmi ya EAC na SADC.
habarileo.co.tz โ†—
Waziri Mkuu ambaye alikuwa mgeni rasmi kwa niaba ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema sasa hivi Kiswahili kimeshatambulika kuwa lugha rasmi ya EAC na SADC.
michuzi.co.tz โ†—
Waziri Mkuu ambaye alikuwa mgeni rasmi kwa niaba ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema sasa hivi Kiswahili kimeshatambulika kuwa lugha rasmi ya EAC na SADC.
michuzi.co.tz โ†—
HEALTH Jul 07, 2026 3 3 2

Government Commitment to Improve Health Services in Rural Areas

hatua inayoonesha dhamira ya kuboresha upatikanaji wa huduma za afya, hususan katika maeneo ya vijijini.

Maelezo ya Ziada
hatua inayoonesha dhamira ya kuboresha upatikanaji wa huduma za afya, hususan katika maeneo ya vijijini.
michuzi.co.tz โ†—
hatua inayoonesha dhamira ya kuboresha upatikanaji wa huduma za afya, hususan katika maeneo ya vijijini.
michuzi.co.tz โ†—
Amesema Serikali imeendelea kuweka mkazo katika kuboresha sekta ya afya kwa kujenga na kuimarisha miundombinu ya kutolea huduma, hatua inayosaidia kupunguza changamoto ya wananchi kutembea umbali mrefu kufuata matibabu.
habarileo.co.tz โ†—
TECHNOLOGY Jul 07, 2026 3 3 2

Investment in Modern Technology to Boost Production Quality

Amesisitiza kuwa uwekezaji mkubwa katika teknolojia za kisasa una mchango mkubwa katika kuongeza kiwango cha uzalishaji, kuboresha ubora wa bidhaa zinazotengenezwa nchini, kupunguza gharama za uendesโ€ฆ

Maelezo ya Ziada
Amesisitiza kuwa uwekezaji mkubwa katika teknolojia za kisasa una mchango mkubwa katika kuongeza kiwango cha uzalishaji, kuboresha ubora wa bidhaa zinazotengenezwa nchini, kupunguza gharama za uendeshaji, na kuzipa bidhaa za Tanzania uwezo mkubwa wa kushindana katika soko la kimataifa.
mzalendo.co.tz โ†—
Amesisitiza kuwa uwekezaji mkubwa katika teknolojia za kisasa una mchango mkubwa katika kuongeza kiwango cha uzalishaji, kuboresha ubora wa bidhaa zinazotengenezwa nchini.
michuzi.co.tz โ†—
Amesisitiza kuwa uwekezaji mkubwa katika teknolojia za kisasa una mchango mkubwa katika kuongeza kiwango cha uzalishaji, kuboresha ubora wa bidhaa zinazotengenezwa nchini.
michuzi.co.tz โ†—
FINANCE Jul 06, 2026 3 3 2

NMB Kikundi Mini App Launch for Group Management

Benki ya NMB imesema huduma ya NMB Kikundi Mini App, iliyopo ndani ya NMB Mkononi Super App, imebuniwa kurahisisha usimamizi wa vikundi kwa kuwawezesha wanachama na viongozi kupata huduma za kifedha โ€ฆ

Maelezo ya Ziada
Benki ya NMB imesema huduma ya NMB Kikundi Mini App, iliyopo ndani ya NMB Mkononi Super App, imebuniwa kurahisisha usimamizi wa vikundi kwa kuwawezesha wanachama na viongozi kupata huduma za kifedha kidigitali kwa usalama, uwazi na ufanisi zaidi.
michuzi.co.tz โ†—
Benki ya NMB imesema huduma ya NMB Kikundi Mini App, iliyopo ndani ya NMB Mkononi Super App, imebuniwa kurahisisha usimamizi wa vikundi kwa kuwawezesha wanachama na viongozi kupata huduma za kifedha kidigitali kwa usalama, uwazi na ufanisi zaidi.
michuzi.co.tz โ†—
Benki ya NMB imesema huduma ya NMB Kikundi Mini App, iliyopo ndani ya NMB Mkononi Super App, imebuniwa kurahisisha usimamizi wa vikundi kwa kuwawezesha wanachama na viongozi kupata huduma za kifedha kidigitali kwa usalama, uwazi na ufanisi zaidi.
swahilitimes.co.tz โ†—
FINANCE Jul 06, 2026 3 3 2

Reduction of Banking Service Time and Costs through NMB Mini App

Prosper alisema mfumo huo unapunguza muda na gharama za kupata huduma za benki, huku ukiimarisha usalama wa miamala na kurahisisha shughuli za vikundi mbalimbali vya kijamii na kiuchumi.

Maelezo ya Ziada
Prosper alisema mfumo huo unapunguza muda na gharama za kupata huduma za benki, huku ukiimarisha usalama wa miamala na kurahisisha shughuli za vikundi mbalimbali vya kijamii na kiuchumi.
michuzi.co.tz โ†—
Meneja wa Kanda, Huduma za Vikundi na Benki Vijijini wa NMB, Dismas Prosper, alisema mfumo huo unapunguza muda na gharama za kupata huduma za benki, huku ukiimarisha usalama wa miamala na kurahisisha shughuli za vikundi mbalimbali vya kijamii na kiuchumi.
michuzi.co.tz โ†—
Meneja wa Kanda, Huduma za Vikundi na Benki Vijijini wa NMB, Dismas Prosper, alisema mfumo huo unapunguza muda na gharama za kupata huduma za benki, huku ukiimarisha usalama wa miamala na kurahisisha shughuli za vikundi mbalimbali vya kijamii na kiuchumi.
swahilitimes.co.tz โ†—