Aidha, taarifa ya fedha ya kampuni kwa robo ya mwaka iliyoishia Juni 2026 inaonesha kuwa Vodacom imeongeza uwekezaji wake hadi Sh bilioni 123.2, karibu mara mbili ya kiwango kilichowekezwa katika kipindi kama hicho mwaka uliopita.
Aidha, taarifa ya fedha ya Vodacom kwa robo ya mwaka iliyoishia Juni 2026 inaonyesha kampuni imeongeza uwekezaji wake hadi kufikia shilingi bilioni 123.2, karibu mara mbili ya kiwango kilichowekezwa katika kipindi kama hicho mwaka uliopita.