Women and young people must participate in leadership and economic development. Our work includes supporting female university student leaders and helping women in small-scale mining strengthen their businesses.
Akiwa Wilayani Mvomero, Mhe. Mariam amewashukuru wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) pamoja na wananchi kwa kukiamini chama na kukipa ushindi mkubwa katika Uchaguzi Mkuu.