PPRA recognised public institutions that excelled in compliance audits for the 2024/25 financial year, effective utilisation of the National e-Procurement System (NeST) and implementation of the requirement to allocate 30 per cent of public procurement opportunities to youth, women, elderly people and persons with disabilities.
Katika kongamano hilo, PPRA ilitoa tuzo kwa taasisi zilizofanya vizuri katika ukaguzi wa uzingatiaji wa sheria na thamani ya fedha kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025, matumizi ya Mfumo wa NeST, pamoja na utekelezaji wa takwa la kutenga asilimia 30 ya bajeti ya ununuzi kwa makundi maalum, ambayo ni vijana, wanawake, wazee na watu wenye ulemavu.