He said Albert Lisaliko of Kigamboni was sentenced to life imprisonment by the Kigamboni District Court after being convicted of sodomy, while Medson Mkumbo of Goba was sentenced to life imprisonment by the Ubungo District Court for sodomy.
Miongoni mwa waliotiwa hatiani ni Albert Lisaliko, mkazi wa Kigamboni, ambaye alihukumiwa kifungo cha maisha jela na Mahakama ya Wilaya ya Kigamboni baada ya kupatikana na hatia ya kosa la kulawiti.