Launch of K4 Sugar Factory by Kilombero Sugar
Latest Tanzania agriculture news · Launch of K4 Sugar Factory by Kilombero Sugar explained · updated Aug 4, 2026 · agriculture news · farmers · crops
TLDR
- Katika ziara hiyo, Waziri Kapinga alipatiwa taarifa kuhusu uwekezaji wa kimkakati unaofanywa na Kilombero Sugar, ikiwemo kiwanda kipya cha kisasa cha K4 ambacho sasa kimeanza kufanya kazi rasmi.Taarifa hiyo ilieleza.
- Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, ametembelea banda la Kilombero Sugar mjini Morogoro wakati wa ufunguzi wa Maonesho ya Nane Nane Kanda ya Mashariki yaliyofanyika mkoani humo.
- Taarifa hiyo iliwasilishwa na Meneja wa Mawasiliano na Mahusiano kwa Wadau wa Kilombero Sugar, Victor Byemelwa.Kilombero Sugar imeeleza kuwa itaendelea kujizatiti katika kuchochea ukuaji endelevu kupitia uwekezaji wa.