CHUO cha Uhasibu na Usimamizi wa Fedha (IFM) kimesema kimejipanga kuendelea kutoa elimu inayokwenda sambamba na mahitaji ya sasa ya teknolojia, ikiwa ni sehemu ya kuhakikisha wahitimu wanakuwa na ujuzi unaohitajika katika soko la ajira na uchumi wa kidijitali.
CHUO cha Uhasibu na Usimamizi wa Fedha (IFM) kimesema kimejipanga kuendelea kutoa elimu inayokwenda sambamba na mahitaji ya sasa ya teknolojia, ikiwa ni sehemu ya kuhakikisha wahitimu wanakuwa na ujuzi unaohitajika katika soko la ajira na uchumi wa kidijitali.