Amefafanua kuwa ili kufanikisha azma hiyo, GST imejikita katika kufanya tafiti za kina za jiosayansi ambazo hutoa taarifa muhimu kuhusu maeneo yenye fursa za madini, hivyo kuongeza uwekezaji na kukuza mchango wa sekta ya madini katika Pato la Taifa.
Amefafanua kuwa ili kufanikisha azma hiyo, GST imejikita katika kufanya tafiti za kina za jiosayansi ambazo hutoa taarifa muhimu kuhusu maeneo yenye fursa za madini, hivyo kuongeza uwekezaji na kukuza mchango wa sekta ya madini katika Pato la Taifa.