WATU wanane wamepoteza maisha na wengine 66 kujeruhiwa baada ya mabasi mawili kugongana uso kwa uso katika eneo la Ibihwa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi, mkoani Dodoma.
Watu wanane wamefariki dunia na wengine 66 kujeruhiwa kufuatia ajali iliyohusisha mabasi mawili kugongana eneo la Ibihwa Wilaya ya Bahi, Mkoa wa Dodoma.
Watu wanane wamefariki dunia na wengine 66 kujeruhiwa kufuatia ajali mbaya iliyohusisha mabasi mawili ya abiria yaliyogongana uso kwa uso katika eneo la Ibihwa, Halmashauri ya Wilaya ya Bahi, mkoani Dodoma.
Katika Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma jana, watu wanane walifariki dunia na wengine 66 kujeruhiwa kutokana na ajali iliyohusisha mabasi mawili yaliyogongana.