Tanzania's National Energy Compact Aims for 75% Clean Cooking Energy by 2030
Outlets: ippmedia.co.tz
Supporting excerpts & sources
Ameongeza kuwa Serikali kupitia Mpango wa Taifa wa Nishati ( National Energy Compact) inalenga kuongeza upatikanaji wa umeme, kuimarisha matumizi ya nishati jadidifu na kufikia matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa asilimia 75 ifikapo mwaka 2030 hatua inayofungua zaidi fursa kwa wawekezaji kushiriki katika miradi yenye tija.
ippmedia.co.tz ↗