Michezo
Habari mpya za michezo, uchambuzi wa mechi, na matukio muhimu uwanjani kutoka ligi mbalimbali.
โค๏ธ Vipendwa vyako
Misimu Na Mechi Zinazokuja
Mashindano na mechi zinazokaribia
Misimu ya Sasa
Mashindano yanayoendelea sasa
FAN PREDICTION
Nani atashinda Imbeju Ndondo Cup 2026?
Inapakiaโฆ
Kwa nini uka sema hilo?
Asante!
Habari
Government Readiness to Expand Union League Competitions to Mainland Tanzania
Serikali imeonyesha utayari wa kuangalia uwezekano wa mashindano ya Ligi ya Muungano kuanza kuchezwa pia Tanzania Bara, hatua inayolenga kuimarisha ushiriki wa pande zote mbili za Muungano na kukuza maendeleo ya michezo nchini.
Government's Commitment to Discuss Union League Expansion with Stakeholders
Serikali ipo tayari kuendelea kushirikiana na wadau wa michezo kujadili uwezekano wa mashindano haya kufanyika pia Tanzania Bara endapo kutakuwa na makubaliano ya pamoja.
Proposal to Include Mainland in Union League Competitions for National Unity
Hoja hiyo iliibuliwa bungeni leo na Mbunge wa Jimbo la Mlalo, Rashid Shangazi, ambaye alihoji sababu za mashindano hayo kuendelea kufanyika Zanzibar pekee kwa muda mrefu na kusisitiza umuhimu wa kuyapanua ili yajumuishe Tanzania Bara.
Ecuador's Strong Defense Ahead of Ivory Coast Match
Ecuador inaonekana kuwa na rekodi bora ya hivi karibuni kutokana na uimara wao wa kujilinda.
Ivory Coast vs Ecuador Match on June 15, 2026
MCHEZO kati ya Ivory Coast na Ecuador utakaopigwa leo Juni 15 saa 02:00 usiku unatarajiwa kuwa mmoja wa mechi muhimu zaidi za ufunguzi katika Kundi E.
Ivory Coast's Victory Over France Before Ecuador Match
Ivory Coast wanawasili kwenye mchezo huu wakiwa na morali kubwa baada ya kuifunga Ufaransa mabao 2-1 katika mchezo wa maandalizi ya michuano hii mikubwa.
Daily and Weekly Leaderboard Competitions for Players
Mbali na hilo, kuna msimamo wa siku, wiki na mwezi unaokupa nafasi ya kupanda viwango na kushindana na wachezaji wengine.
Increased Winning Opportunities with Build-Up Drops
Msisimko unaendelea kabla ya mechi kupitia Build-Up Drops, ambapo zawadi maalum hutolewa kwa wachezaji wanaoshiriki mapema.
Launch of Skyward Deluxe Game by Meridianbet
MERIDIANBET inaendelea kuwa karibu na wachezaji wake kwa kukuletea mchezo mpya wa kusisimua wa Skyward Deluxe.
Promotional Opportunities through Sky Drops Every Hour
Kupitia promosheni ya Warm-Up na mashindano ya dunia, wachezaji wana nafasi ya kujinyakulia beti za bure kupitia Sky Drops zinazotolewa kila saa.
Mbeya City yajipiga kifua dhidi ya Simba SC kubaki Ligi Kuu
Timu ya Mbeya City, imetamba kuwa itavuna alama tatu katika mchezo wa ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya kikosi Simba Sc ya jijini Dar es salaam kwenye mchezo unaotarajiwa kuchezwa kesho kutwa katika Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine jijini hapa. Akizungumza na waandishi wa habari kuhโฆ
Uholanzi na Japan Kuoneshana Uwezo Katika Mechi ya Kombe la Dunia
Uholanzi wanaingia wakiwa na faida ya uzoefu mkubwa katika mashindano makubwa na kikosi chenye ubora wa kiufundi, jambo linalowafanya kuwa miongoni mwa timu zinazotegemewa kufanya vizuri katika mashindano haya.
Morocco: Tutajikita kuwa mwenyeji Kombe la Dunia sio barani Afrika
MOROCCO imetangaza kuwa haitawasilisha tena maombi ya kuandaa mashindano ya soka ya Afrika kwa sasa, badala yake ikielekeza juhudi zake katika maandalizi ya matukio makubwa ya soka duniani yanayotarajiwa kufanyika katika miaka ijayo. Akizungumza kwenye jukwaa la Al Jazeera 360, Rโฆ
Coca-Cola bring FIFA World Cup 2026 closer to Tanzania fans
Coca-Cola Tanzania has unveiled a nationwide campaign aimed at bringing Tanzanian football fans closer to the excitement of the FIFA World Cup 2026, with a series of fan experiences, retail activations and digital engagements planned across the country. The campaign, which runs fโฆ
๐ FIFA World CupBrazil vs Morocco Utabiri & Preview Kombe la Dunia 2026 | | Live Score | h2h | habari za timu na vikosi | 13 Juni 2026
Mabingwa wa dunia mara tano, Brazil wataanza kampeni yao ya Kundi C katika Kombe la Dunia 2026 kwa kukutana na miamba ya Afrika Morocco.Brazil vs Morocco Utabiri & Preview Kombe la Dunia 2026, unaipa nafasi kubwa Brazili kuibuka na ushindi. Hii ni zaidi ya mechi ya soka, ni vita ya mastaa wakubwa kama Vinicius Jr, [โฆ]
USA vs Paraguay FIFA Kombe la Dunia 2026 | H2H| Vikosi |SportPesa Blog
USA vs Paraguay FIFA Kombe la Dunia 2026 ni ratiba hatua ya makundi kwa wababe hawa wawili. Uwanja wa Los Angeles utapigwa mchezo huu ukiwa ni wa kwanza kutoka kundi D. Saa 04:00 utachezwa. Fuatilia mwenendo wote wa mashindano ya Kombe la Dunia 2026; Ratiba, matokeo, mechi, magoli na habari za papo kwa papo kupitia [โฆ]
Qatar vs Switzerland utabiri Kombe la Dunia 2026 | Preview | Livescore | 13 Juni 2026 | h2h | Habari za Timu na Vikosi Vinavyotarajiwa
Qatar vs Switzerland utabiri Kombe la Dunia 2026 unaipa nafasi kubwa Switzerland kuibuka na ushindi. Huu ni mchezo wa pili wa Kundi B la mashindano hayo, mchezo unaotarajiwa kupigwa jijini Santa Clara siku ya Jumamosi. Mara ya mwisho na ya pekee kwa timu hizo kukutana ilikuwa mwaka 2018, ambapo Qatar walishinda 1-0 katika mchezo wa [โฆ]
Korea Kusini vs Czechia FIFA Kombe la Dunia 2026 | H2H | Msimamo | Vikosi | SportPesa Blog
Korea Kusini vs Czechia FIFA Kombe la Dunia 2026 ni mchezo mkali kwa kundi A unaotarajiwa kuchezwa Juni 12,2026. Uwanja wa Guadalajara utapigwa mchezo huu kwa timu hizi kusaka ushindi. Mara ya mwisho walipokutana ilikuwa Czechia 1 -2 Korea Kusini. Fuatilia mwenendo wa mashindano kupitia Blog ya SportPesa, ratiba, matokeo na habari za hivi punde. [โฆ]
Canada vs Bosnia Preview & Ubashiri | Kombe la Dunia 2026, 12 Juni 2026 | Utabiri, Habari za Timu na Vikosi Vinavyotarajiwa
Timu ya Taifa ya Canada wataanza kampeni yao ya Kombe la Dunia 2026 katika Kundi B kwa kucheza nyumbani dhidi ya Bosnia na Herzegovina. Mchezo huu utapigwa kwenye dimba la BMO Field jijini Toronto siku ya Ijumaa, tarehe 12 Juni 2026. Mchezo huo wa Kundi B unatarajiwa kupigwa majira ya saa 4 usiku kwa saa [โฆ]
Barred World Cup referee Omar Artan to officiate UEFA Super Cup final
Somali referee Omar Artan, the World Cup match official refused entry to the United States due to visa issues, has been appointed by UEFA to take charge of the UEFA Super Cup final between Paris Saint-Germain and Aston Villa on Aug. 12. Artan, 34, has returned to Somalia after beโฆ
Mexico vs Afrika Kusini: Mechi ya Ufunguzi wa Kombe la Dunia 2026: Takwimu Muhimu na Historia ya Mechi
Hatimaye kusubiri kumekwisha tunapojiandaa kwa mechi ya ufunguzi waย 2026 FIFA World Cupย ambapo wenyeji wenza Mexico watavaana na Afrika Kusini Alhamisi usiku jijini Mexico City. Kwa mara ya kwanza katika historia ya Kombe la Dunia, mechi ya ufunguzi ni marudio ya mechi iliyotanguliaga. Timu hizi mbili zilitoana sare ya goli moja kwa moja katika mchezo wa [โฆ]
๐ FIFA World CupSimbu kujenga 'sports complex center ya riadha nchini
Bingwa wa dunia wa mbio za riadha, aliyeweka rekodi ya kuwa Mtanzania wa kwanza kushinda medali ya dhahabu katika mbio ndefu za kilomita 42.195 mwaka 2025, Felix Simbu, ameanza rasmi kutimiza ndoto yake ya kujenga kituo maalum cha taifa kitakachoibua na kulea vipaji vya wanamchezโฆ
Mwamnyeto: Every match now a must-win for Yanga
YOUNG Africans SC (Yanga) skipper Bakari Mwamnyeto (Nondo) has acknowledged that the race for the 2025/26 Mainland Premier League title has become increasingly difficult, stressing that every team with ambitions of achieving its goals must win its remaining matches. The defendingโฆ
Barker backs young defenders as Simba build for future
SIMBA SC head coach Steve Barker has highlighted the growing potential within his defensive ranks, singling out young defenders Hussein Mbegu and Vedastus Masinde as key prospects who represent the future of the clubโs backline. Barkerโs comments come at a time when Simba are balโฆ
Young football star Chole receives heroโs welcome
HUNDREDS of residents from Kalemawe Ward in Karamba Village, Same District, gathered in large numbers to welcome home rising football star Issa Chole, a member of Tanzaniaโs U-17 national team, the Serengeti Boys. The reception was led by Same East Member of Parliament Anne Kilanโฆ
Umejipanga kuangalizia wapi mechi Kombe la Dunia zinazoanza leo?
Imekuwa ni utamaduni wa kawaida kwa wadau mbalimbali wa michezo kupanga ratiba yake mapema ya wapi atakapokwenda kuangalia mechi hasa kipindi hiki cha mashindano makubwa ya Kombe la Dunia inayoanza leo. Kuna ambao wanasema wanapenda kuangalizia nyumbani kwakuwa mechi nyingi zitaoโฆ
Argentina kwenye FIFA Kombe la Dunia 2026 | Ratiba | Mechi zote | Tarehe | Muda wa mechi | Uwanja utakaotumika | Lionel Messi, Julian Alvarez watikisa
Mwaka 2022 unabaki kuwa wa kihistoria katika historia ya soka la Argentina, hii ni baada ya timu yao ya Taifa kuibuka na ubinggwa wa Kombe la Dunia. Argentina kwenye FIFA kombe la Dunia 2026, inaonyesha mabingwa hao watetezi, watafungua dimba dhidi ya wawakilishi wa Afrika Algeria. Argentina ni miongoni mwa mataifa ambayo yameshinda ubingwa wa [โฆ]
Ratiba ya Argentina FIFA Kombe la Dunia 2026 | Mabingwa watetezi kikosi | Takwimu | SportPesa Blog
Ratiba ya Argentina FIFA Kombe la Dunia 2026 ipo wazi kwa mabingwa hao watetezi. Katika hatua ya makundi wapo Kundi J na walitwaa taji hilo 2022 nchini Qatar. Ulimwengu utashuhudia nchi tatu zikishirikiana kuandaa mashindano haya makubwa ambazo ni Marekani, (USA), Mexico na Canada. Fuatilia mwenendo wote wa mashindano ya Kombe la Dunia 2026; Ratiba, [โฆ]
Simba SC vs Pamba Jiji FC NBC Premier League Juni 14 2026 |H2H | Wachezaji wakuchungwa | SportPesa Blog
Ni Simba SC vs Pamba Jiji FC NBC Premier League Juni 14, 2026 ni ratiba inayofuata mzunguko wa pili. Mnyama amekutana mara moja na Pamba Jiji FC ndani ya ligi walipofungana 1-1. Wababe hawa wanatarajiwa kukutana Jumapili 16:00 UTC. SOMA HII: Ratiba ya Simba SC mwezi huu wa 6, 2026 | Ligi Kuu NBC na [โฆ]
๐ NBC Premier LeagueSERIKALI ITAENDELEA KUIMARISHA MIUNDOMBINU YA MICHEZO NCHINI-PROF.SHEMDOE
Ratiba ya Portugal FIFA Kombe la Dunia 2026 | Mechi zote | Tarehe | Muda wa mechi | Uwanja utakaotumika | Je, Ronaldo atabeba ubingwa?
Ratiba ya Portugal FIFA Kombe la Dunia 2026 inawaleta pamoja mashabiki wote wa Taifa hilo Duniani. Portugal au Ureno (Tafsiri ya Kiswahili) ni miongoni mwa timu 5, zinazotabiriwa kuwa na nafasi kubwa ya kushinda ubingwa wa Kombe la Dunia mwaka 2026. Ikiwa imesheheni mastaa wenye majina makubwa kama vile; Cristiano Ronaldo, Bruno Fernandes, Vitinha na [โฆ]
FIFA Kombe la Dunia 2026 Ratiba ya Brazil | Mechi zote | Tarehe | Muda wa mechi | Uwanja utakaotumika | Je, Neymar Jr yuko tayari?
Mechi za FIFA Kombe la Dunia 2026 Ratiba ya Brazil, ni miongoni mwa ratiba inazosubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa soka. Hii ni kutokana na ukweli kuwa Brazil ni miongoni mwa timu zenye mashabiki wengi Duniani kote, hii ni kutokana na vipaji na mafanikio makubwa ya kihistoria waliyonayo. Mabingwa hao wa kihistoria wa Kombe [โฆ]
Bajaber shines for Kenya as Simba weigh his future
MOHAMMED Bajaberโs impressive performances for Kenyaโs national team have reignited debate over his future at Simba SC, with the striker continuing to demonstrate his quality on the international stage despite an injury hit season at club level. The Simba forward was one of the sโฆ
Geita Gold and Kagera Sugar seal top-flight promotion
WITH promotion already secured, the focus for Geita Gold FC and Kagera Sugar FC has now shifted from survival and recovery to finishing the season as champions of the Championship. Both clubs confirmed their return to Tanzaniaโs top flight after impressive victories in Round 28, โฆ
A new age dawns for local football
PRECISELY a week ago, the Serengeti Boysโ initially unlikely storybook run in the CAF U-17 AFCON came to a depressing halt in the final of the absorbing feast of continental youth football. Indeed, in that highly consequential football contest last Tuesday, our adversaries were tโฆ
Ratiba ya DR Congo FIFA Kombe la Dunia 2026 | Kikosi | Mechi | Fiston Mayele | SportPesa Blog
Ratiba ya DR Congo FIFA Kombe la Dunia 2026 itaanza Juni 17. Kutoka Afrika timu hii ipo Kundi K. Ni nchi tatu zinashirikiana kuandaa mashindano haya makubwa ambazo ni Marekani, (USA), Canada na Mexico. Kivumbi kinatarajiwa kuanza Juni 11, 2026. SOMA HII: Ratiba FIFA Kombe la Dunia 2026 | Mechi zote 104 | Tarehe | [โฆ]
Ratiba ya Afrika Kusini FIFA Kombe la Dunia 2026 | Uwanja | Tarehe| Kikosi | Kundi A | SportPesa Blog
Hii hapa ni ratiba ya Afrika Kusini FIFA Kombe la Dunia 2026. Zimebaki siku 4 kabla ya pazia la mashindano haya makubwa duniani kuanza. Ni wazi kila baada ya miaka 4 mashindano haya hufanyika, 2022 ilikuwa Qatar. 2026 nchi tatu zinashirikiana Marekani, (USA), Canada na Mexico. SOMA HII: Ratiba FIFA Kombe la Dunia 2026 | [โฆ]
Perez aula tena Urais wa Madrid
FLORENTINO Pรฉrez ameshinda tena urais wa Real Madrid katika uchaguzi wa kwanza wenye upinzani wa kupiga kura tangu mwaka 2006. Pรฉrez alitangazwa mshindi hapo juzi katika hoteli karibu na Uwanja wa Bernabรฉu, huku mpinzani wake, Enrique Riquelme, akikubali kushindwa."Tumepata matokโฆ
Simba suffer goalkeeping blow as Yakoub undergoes operation
SIMBA SC have been dealt another major setback in their goalkeeping department after Tanzania international Yakoub Suleiman underwent knee surgery, a procedure expected to keep him out of action until at least the halfway stage of next season. The injury-plagued goalkeeper has alโฆ
Yanga begin transfer drive as focus shifts to next campaign
YOUNG Africans SC (Yanga) have stepped up their transfer plans ahead of the 2026/27 season as the club seeks to strengthen its squad and build a team capable of competing more effectively in both domestic and continental competitions. While the Tanzanian champions remain focused โฆ
"Ni wazi serikali iko Tayari kuukuza mchezo wa Rugby Tanzania" - Anthony Dawa
Anthony Dawa, Katibu Mkuu wa Tanzania Rugby Union (TRU), akizungumza kwenye kipindi cha SPORTS KIJIJI "michezo kiganjani mwako" ndani ya Mtawala Radio.
๐ Rugby Premier LeagueJe Rugby ni mchezo wa aina gani?
Katibu wa Tanzania Rugby Union (TRU) akifafanua kuhusu mchezo wa Rugby kwenye kipindi cha 2Dimbani.
๐ Rugby Premier LeagueDodoma Rugby Week Preview
Dodoma Rugby Week litafanyika Mei,2026 huku mataifa mbalimbali yakijitokeza kushiriki.
๐ Rugby Premier LeagueUpcoming Nanauka CRDB Jimbo Cup to involve all Mtwara Urban wards
Nanauka revealed that a larger competition, the Nanauka CRDB Jimbo Cup, is set to start in June and will involve teams from all wards in Mtwara Urban constituency.
Young Africans SC leads Tanzania Mainland Premier League with 38 points from 16 matches
Defending champions Young Africans (Yanga) sit top with 38 points from 16 matches, maintaining an unbeaten run of 11 wins and five draws.
SPORTS KIJIJI: Tunakuza vipi mchezo wa Rugby kuwa maarufu Tanzania?
Katibu Mkuu wa Tanzania Rugby Union (TRU), Anthony Dawa, akizungumzia mikakati ya kukuza rugby nchini Tanzania kupitia kipindi cha SPORTS KIJIJI ndani ya Mtawala Radio.
Mchuano wa ubingwa: Yanga na Simba Wanaelekea Kwenye Hatua ya Maamuzi
Yanga SC na Simba SC zimejiandaa kwa mchuano wa kuamua bingwa wa Ligi Kuu Tanzania. Mechi hii inatarajiwa kuwa ya kihistoria na yenye mvutano mkubwa.
Hakuna habari zinazolingana na utafutaji wako.
Mashindano
Kombe la Mataifa la Afrika (AFCON) โ mashindano makubwa ya soka barani Afrika. Msimu wa 2027 (PAMOJA 2027) unaandaliwa kwa pamoja na Kenya, Tanzania, na Uganda (19 Juni โ 17 Julai 2027) โ mara ya kwanza mashindano kuandaliwa na nchi tatu, na kurudi Afrika Mashariki kwa mara ya kwanza tangu miaka 51. Timu 24 zitashindana; Kenya, Tanzania, na Uganda zimepata nafasi moja kwa moja kama wenyeji. The 2027 Africa Cup of Nations is co-hosted by Kenya, Tanzania, and Uganda (19 June โ 17 July 2027) โ the first three-nation AFCON and East Africa's first in 51 years. Twenty-four nations compete; the three hosts qualify automatically. CAF qualifying runs across FIFA windows in SeptemberโOctober 2026, November 2026, and March 2027 (48 teams, 12 groups).
Mashindano ya ngumi Afrika Zone III Aprili 26, 2026 Dar es Salaam. Timu za Tanzania, Kenya, Uganda.
Makao ya mbio, kurusha, kuruka na kutembea. Pata habari za wanariadha bora duniani na mashindano ya uwanjani.
Mashindano ya umbo bora nchini Tanzania. Vikundi tofauti kutoka vijana hadi wazima.
Ligi ya mabingwa Afrika inayoshirikisha timu bora. Simba SC na Yanga SC ni washiriki wa kudumu.
Kombe la Shirikisho Afrika. Yanga ilifika fainali 2023, ikionyesha ubora wa soka la Tanzania.
Mashindano ya kitaifa ya chess chini ya Tanzania Chess Federation. Wachezaji bora kutoka mikoa yote.
Mashindano makuu ya mtoano nchini Tanzania yanayoshirikisha timu za madaraja yote.
Ligi ya darts Dar es Salaam yenye mashindano ya baa na vilabu. Mchezo wa ustadi na burudani.
Mchuano wa kuondoa timu za ligi zote Tanzania Bara. Historia ndefu tangu 1967.
The 2026 FIFA World Cup is the first 48-team edition, co-hosted by the United States, Mexico, and Canada (11 June โ 19 July 2026).
Safari ya kuelekea Kombe la Dunia 2026. Taifa Stars inapambana kuandika historia.
Mashindano maarufu ya mtaani (grassroots) yanayodhihirisha vipaji halisi na mshikamano wa jamii. The Ndondo Cup is a prominent grassroots football tournament in Tanzania, primarily based in Dar es Salaam. Since its inception in 2014, it has grown into one of the most popular community sports events in the country, often used as a platform for health advocacy and talent scouting. Seasons and finals (winners and runners-up where recorded): โข 1st (2014, August): Abajalo FC โ Temeke Market โข 2nd (2015, August): Far Jeuri โ Kauzu FC โข 3rd (2016, 31 July): Temeke Market FC โ Kauzu FC โข 4th (2017, 13 August): Misosi FC โ Goms United โข 5th (2018, 5 August): Manzese United โ Kivule United โข 6th (2019, August): Umoja wa Vijana (UVT) โ runner-up not listed โข 7th (2020, October): Kibangu Rangers โ runner-up not listed โข 8th (2021, 28 August): Vifundo FC โ Tabata All Stars โข 9th (2022, September): Bullet Force โ Vifundo FC โข 10th (2023, 3 September): Madenge FC โ Sinza Stars โข 11th (2024, 31 August): Azimio FC โ Soccer City The tournament typically features 32 teams in the main group stages, drawn from neighbourhoods in Dar es Salaam and occasionally other regions (e.g. Dodoma, Iringa, Mwanza). Notable teams by season (examples): 2024 (Dodoma & Dar es Salaam): winner Azimio FC (Buguruni), finalist Soccer City (Kigamboni); others include Tan-Zebras FC, Goms United, Faru Jeuri, and community sides from Dodoma, Iringa, and Mwanza. 2023: Madenge FC (winner), Sinza Stars (finalist); Mabibo Market, Kibangu Rangers, Tandika City, Friends Rangers among participants. 2021: Vifundo FC (winner), Tabata All Stars (finalist); Kinondoni Utd, Kampala International, Bandari FC, Tandika FC among participants. 2016 group stage examples โ Group A: Faru Jeuri, TMK Market, Kinondoni FC, Vijana Rangers. Group B: Boom FC, Temeke Squad, Abajalo FC, Kijiji FC. Group C: Tabata United, Keko Furniture, Stakishari, Mjivuni. Group D: Makumba FC, Kiluvya United, Aggrey SC, Broken Chain. Group E: Goms United, Wauza Matairi, Mtoni City, Urafiki Shooting. Group F: Misosi FC, Buguruni United, Jaki Pro, Friends Rangers. Group G: Kibada One FC, Mlalakuwa Rangers, Burudani FC, Ndanda FC. Group H: Kauzu FC, Madiba FC, Black Six, Keko Machungwa.
Mashindano ya taifa ya judo yanayochagua bingwa na timu za kimataifa.
Mashindano ya karate kitaifa, shotokan na aina zingine chini ya shirikisho.
Mbio za kimataifa zinazofanyika chini ya mlima mrefu zaidi Afrika, zikivutia maelfu ya wakimbiaji.
Ligi mpya ya mpira wa wavu 2026 yenye timu 19. Michezo mikali kutoka mikoa mbalimbali.
Daraja la nne la soka, mikoa minne yenye makundi 7 kila moja. Msingi wa vipaji vya chini.
Muungano Cup 2026 โ mashindano ya soka yanayoadhimisha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Msimu huu una mechi 7 (robo fainali 4, nusu fainali 2, fainali 1) kwenye New Amaan Complex, Zanzibar (21โ29 Aprili 2026). Timu 8: Yanga SC, Muembe Makumbi City, KVZ FC, Azam FC, Mlandege FC, Singida BS, Simba SC, na Mafunzo SC. Muungano Cup 2026 commemorates the Union of Tanganyika and Zanzibar. This edition is a single-elimination knockout (4 quarter-finals, 2 semi-finals, 1 final) at New Amaan Complex, Zanzibar (21โ29 April 2026). Eight teams: Yanga SC, Muembe Makumbi City, KVZ FC, Azam FC, Mlandege FC, Singida BS, Simba SC, and Mafunzo SC.
Ligi kuu ya mpira wa kikapu nchini Tanzania inayoshirikisha timu bora za kiume na kike.
Mashindano ya uogeleaji kitaifa yanayofanyika katika viwanja vya Dar es Salaam na Arusha.
NBC Premier League (Ligi Kuu) โ msimu wa 2024/2025 na michezo ya Relegation / Promotion Playoff na Relegation Playoff.
Mikoa ya Kaskazini: mashindano ya mpira wa wavu yanayochangia ligi kuu ya taifa.
Mapambano ya masumbwi yenye msisimko mkubwa, yakishirikisha mabingwa kama Mandonga na Kiduku.
Ligi kuu ya rugby chini ya Tanzania Rugby Union. Michezo migumu barani.
Ligi kuu ya soka la wanawake Tanzania inayozalisha vipaji vikubwa vinavyoiwakilisha nchi kimataifa.
Mashindano ya taifa ya taekwondo yanayochagua timu kwa kimataifa kutoka vijana hadi wazima.
Daraja la kwanza nchini Tanzania. Safari ya kuelekea Ligi Kuu Tanzania Bara.
Mashindano ya kriketi yanayowaleta pamoja wachezaji bora wa ndani na nje ya nchi.
Mashindano makuu ya gofu nchini yanayoshirikisha wachezaji wa kulipwa na ridhaa.
Ligi kuu ya mpira wa wavu nchini, timu bora za kiume na kike kutoka nchi nzima.
Mbio za marathon za hatua 220km karibu na Kilimanjaro. Kimataifa zenye mvutio mkubwa.
UMISSETA (Umoja wa Michezo Shule za Sekondari Tanzania) โ mashindano makubwa ya kitaifa ya shule za sekondari pekee. Si sehemu ya UMITASHUMTA (shule za msingi); ni mashindano tofauti kwa wanafunzi wa sekondari, yakiandaliwa na TAMISEMI na Baraza la Michezo Tanzania. Michezo na matukio: mpira wa miguu, mpira wa kikapu, mpira wa wavu, mpira wa mikono, mpira wa meza, riadha, kriketi, bongo fleva, kwaya, ngoma, michezo ya kihistoria na uchoraji (Zanzibar). Ngazi za kuchuana: Wilaya โ Mkoa โ Taifa. Msimu wa 2026: 18โ30 Juni (baada ya UMITASHUMTA). Chagua mchezo hapa chini kuona msimamo, matokeo na ratiba.
UMITASHUMTA (Umoja wa Michezo na Taaluma Shule za Msingi Tanzania) โ mashindano makubwa ya kitaifa ya shule za msingi pekee, kama Olimpiki ya shule za msingi Tanzania. Mashindano haya yana michezo na sanaa nyingi chini ya kifurushi kimoja, yakiandaliwa na TAMISEMI. Michezo na matukio: mpira wa miguu, mpira wa wavu, mpira wa mikono, mpira wa meza, mpira wa pete (goalball), riadha, kwaya na ngoma. Ngazi za kuchuana: Shule โ Kata โ Tarafa โ Wilaya โ Mkoa โ Kanda โ Taifa. Msimu wa 2026: 5โ17 Juni (Iringa). Kumbuka: UMISSETA ni mashindano tofauti kwa shule za sekondari (huendelea 18โ30 Juni). Chagua mchezo hapa chini kuona msimamo, matokeo na ratiba.
Mashindano ya kunyoosha uzito kitaifa yanayotafuta nguvu za Tanzania.
Mashindano ya wushu (kung fu ya Kichina) kitaifa yanayokuza sanaa za mapambano za Asia.
Ligi ya vijana chini ya miaka 20, kuibua vipaji vya kesho kwa Taifa Stars na vilabu vikubwa.
Ligi kuu ya Visiwani. Timu bora huingia Muungano Cup dhidi ya Bara.
Off-Season
Mashindano ya CECAFA Mei-Juni 2026 nchini Tanzania. Vipaji vya soka wanawake vijana.
Mechi za kufuzu CECAFA Agosti 2026 Tanzania. Safari ya Taifa Stars vijana.
Ligi kuu ya netball nchini inayoshirikisha timu kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania.
Mashindano ya michezo shule za Afrika Mashariki 2026 nchini Tanzania. Soka, mpira, riadha na zaidi.
Kombe la vilabu CECAFA. Simba na Yanga mara kwa mara huchanganyikiwa na mabingwa Afrika Mashariki.
Mashindano ya kila mwaka ya kukumbuka Mapinduzi ya Zanzibar yanayoshirikisha timu za Afrika Mashariki.
Mechi ya ufunguzi wa msimu kati ya bingwa wa Ligi Kuu na mshindi wa Kombe la Shirikisho.
Mashindano ya kitaifa ya volleyball yanayofanyika kila mwaka kumuenzi Baba wa Taifa, Mwl. J.K. Nyerere.
Moja ya hatua za mashindano ya mbio za magari Afrika (ARC) inayozivunja mbavu barabara za Tanzania.
Michezo ya Olimpiki ambapo Tanzania imewahi kushinda medali za fedha kupitia riadha (1980).
Ligi kuu ya handball nchini Tanzania, timu bora za kiume na kike kutoka mikoa.
Mbio za baiskeli za kimataifa zinazopita maeneo maarufu kama Arusha na Zanzibar.
Umoja wa Michezo Shule za Sekondari Tanzania. Tanuru la kuibua vipaji vipya kitaifa.