Tech & Science
The latest in technology and scientific discoveries
What's Happening
Ukweli wafichuka kichanga kilichozikwa bila wazazi kuwepo
Majibu ya kitaalamu kutoka maabara ya Sayansi, Jinai, Baiolojia na vinasaba (DNA) yameonyesha mtoto aliyefariki baada ya kuzaliwa na kuzikwa ni wa Filomena Richard na Carlos Kapata. Mei 18, mwaka huu Filomena Richard (36) mkazi wa Gongolamboto jijini Dar es Salam alitoa tuhuma za…
EnDev celebrates 13 years of accelerating clean cooking agenda in rural areas
TANZANIA has made remarkable progress in expanding access to clean cooking energy, with the national access rate increasing from 6.9 percent in 2021 to 28.6 percent in 2025. The more than fourfold increase reflects the impact of targeted government interventions, strong political…
Tanzania must strengthen AI policy to guard sovereignty
FOREIGN and local technology experts have cautioned that weak regulatory structures could trap Tanzania in a permanent state of digital dependency, prompting the government to fast-track its national artificial intelligence policy framework. They made the call in Dar es Salaam ov…
Xinhua releases report on Chinese youth as strivers, global contributors in new era
Xinhua Institute, the think tank arm of Xinhua News Agency, on Monday released a report titled "Chinese Youth: Strivers and Global Contributors in the New Era" at the 2026 World Youth Development Forum in the central Chinese city of Wuhan. The 15,000-character report, structured …
Xi's article on boosting education, sci-tech, talent building to be published
An article by Xi Jinping, general secretary of the Communist Party of China (CPC) Central Committee, on advancing the integrated development of education, science and technology, and talent will be published on Tuesday. The article by Xi, also Chinese president and chairman of th…
Plan International ends 30-year programme after transforming thousands of young lives
PLAN International Tanzania has officially closed its Ifakara office after three decades of operations in Kilombero District, Morogoro Region, bringing to an end one of the longest-running community development programmes in the area. The programme has positively impacted more th…
Uhaba damu salama nchini wazidi
Takwimu za kitaifa za mahitaji ya damu salama kwa mwaka wa fedha 2024/25 zimeonesha kuwa Tanzania imekumbwa na upungufu wa asilimia 29 ya damu inayohitajika, kutokana na kutofikiwa kwa lengo la makusanyo ya damu nchini. Akizungumza na Nipashe Digital Juni 12, 2026 jijini Dar es S…
Mafia waitwa kambi ya matibabu ikianza mwezi huu
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia, Gulam Mohamed, amewahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki katika Kambi ya Uchunguzi na Matibabu ya Kibingwa na Kibobezi itakayofanyika kuanzia Juni 15 hadi 19 wilayani humo. Akizungumza Juni 11, Gulam alisema kambi hiyo ni fu…
Wananchi 700 kunufaika na mradi wa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi
Watu 700 wakiwemo wanawake 570 kutoka nchi za Tanzania, Rwanda na Malawi wanatarajiwa kunufaika na mradi wa wa ustahimilivu dhidi ya maafa yatokanayo na mabadiliko ya tabianchi. Mradi huo unaotekelezwa na shirika la Umoja wa Mtaifa la Usawa wa Jinsia na Uwezeshaji wa Wanawake (Un…
Wananchi 300 wanufaika upimaji afya bure
Zaidi ya wananchi 300 wa Kata ya Viziwaziwa katika Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha wamepatiwa huduma za upimaji wa afya bure kupitia kampeni maalumu inayolenga kuwasogezea wananchi huduma za kibingwa karibu na maeneo wanayoishi. Akizungumza wakati wa zoezi hilo, Mratibu wa Hudu…
Pillars
Chagua nguzo (pillar) ili kuona habari kwa undani kama ilivyo “leagues” kwenye Michezo.
Maendeleo makubwa Tanzania
Orodha fupi ya miradi/assembly na ubunifu unaoendelea kwenye sayansi na teknolojia.