Tech & Science
The latest in technology and scientific discoveries
What's Happening
TAKUKURU yasaidia huduma Watoto Njiti Iringa
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imekabidhi vifaa tiba kwa Kitengo cha Watoto Wachanga Wanaozaliwa Kabla ya Wakati (Neonatal Unit) katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa shughuli za uwajibikaji kwa jamii (CSR). Akizungumz…
DCEA yatoa wito wanahabari kutoa elimu dawa za kulevya
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imetoa wito kwa waandishi wa habari nchini kuandika habari zenye mlengo wa kuelimisha na kuunga mkono ajenda ya taifa katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya. Wito huo umetolewa jijini Dar es Salaam na Kamishna wa King…
Tanzania mwenyeji Mkutano wa COP12
Tanzania imechaguliwa kuwa mwenyeji wa Mkutano wa 12 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Nairobi (COP12), utakaofanyika kuanzia tarehe 6 hadi 9 Oktoba 2026. Mkutano huo utafanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC), jijini Dar es Salaam.Mkutano huo una…
China to promote forging of widely-accepted global AI governance system: vice president
China will use the World Artificial Intelligence (AI) Conference and High-Level Meeting on Global AI Governance as an opportunity to strengthen exchanges and cooperation with all parties to build a global AI governance system based on broad consensus, Chinese Vice President Han Z…
Vodacom yaonyesha dhamira kulinda taarifa binafsi za wateja
Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania PLC imeendelea kudhihirisha dhamira yake ya kuimarisha ulinzi wa taarifa binafsi za wateja na kuchangia ujenzi wa uchumi wa kidijitali unaoaminika kupitia ushiriki wake katika Mkutano wa Kwanza wa Mwaka wa Ulinzi wa Taarifa Binafsi uliof…
Wizara Afya yatoa mafunzo utayari kukabiliana magonjwa ya mlipuko
Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) imetoa mafunzo ya utayari wa kukabiliana na magonjwa ya mlipuko kwa wahudumu wa afya 104 wa Mkoa wa Dar es Salaam. Mkufunzi kutoka MSF, Oveness Isojic, amesema mafunzo hayo yanalenga kuongeza uwezo wa w…
Dk. Kaguo: Si kila uvimbe ni saratani na wengi hupona
Hospitali ya Taifa Muhimbili inaendelea kutoa huduma za upasuaji kwa wagonjwa wenye uvimbe mbalimbali katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), kupitia chumba cha upasuaji kinachotembea (mobile theatre). Akizungumza mara baada ya kumfanyia upasua…
MNH-Mloganzila enriches modern skin grafting, reconstructive surgery services
MUHIMBILI National Hospital (MNH)–Mloganzila has announced significant improvements in its reconstructive surgery services, including the expansion of modern skin grafting procedures designed to treat patients suffering from severe trauma such as burns, road traffic accidents, di…
US provides $3.1bn in health sector ventures
THE United States has agreed to a five-year Memorandum of Understanding (MoU) to disburse $3.1bn to strengthen health cooperation, where the Tanzanian government commits $1.8bn for the same programmes. Health minister Mohamed Mchengerwa witnessed the signing along with Jeanne Cla…
Cancer patients: MNH initiating ‘breast renewal’ surgical method
MUHIMBILI National Hospital (MNH) experts have introduced a new autologous breast reconstruction service aimed at restoring the physical form, dignity and confidence of women who have undergone mastectomy due to breast cancer or other medical conditions. The procedure, which uses…
Pillars
Chagua nguzo (pillar) ili kuona habari kwa undani kama ilivyo “leagues” kwenye Michezo.
Maendeleo makubwa Tanzania
Orodha fupi ya miradi/assembly na ubunifu unaoendelea kwenye sayansi na teknolojia.