Burudani
Habari za punde, matukio ya wasanii, na updates kutoka mitandao ya kijamii. 22 influencers
What's Happening
Four Tanzanian artists make history at the 61st Venice Biennale
Four Tanzanian artists - Turakella Editha Gyindo, Amani Abeid, Lazaro Samuel, and Valerie Asiimwe Amani - have taken the world stage at the 61st International Art Exhibition of La Biennale di Venezia, one of the most respected cultural events on the planet. Representing the Unite…
Wasanii wanne wa Tanzania waandika historia Jumba la Sanaa la Venice Biennale
Wasanii wanne wa Tanzania ambao ni Turakella Editha Gyindo, Amani Abeid, Lazaro Samuel na Valerie Asiimwe Amani, wameipeperusha vyema bendera ya Tanzania katika Maonesho ya 61 ya Kimataifa ya Sanaa ya La Biennale di Venezia, moja ya matukio makubwa na yenye heshima zaidi katika u…
Xi Story: Preserving cultural roots for future generations
In the late 1980s, waves of development swept Chinese cities into the throes of a property boom, and the fate of a crumbling compound in the heart of Fuzhou, capital of east China's Fujian Province, seemed all but sealed. A glaring Chinese character meaning "demolish" had been pa…
Tshisekedi amtuza Fally Ipupa
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Félix Tshisekedi amemtunuku mwanamuziki wa Congo Fally Ipupa nishani ya kitaifa kutokana na mafanikio yake ya kufanya maonesho mawili Mei katika Stade de France jijini Paris, Ufaransa. Fally Ipupa amekuwa msanii wa kwanza wa Afrika …
MAELFU WAMIMINIKA MAONESHO YA KARIBU- KILI FAIR MKOANI ARUSHA
WAHADZABE WATUA KWA MKUU WA MKOA WA ARUSHA, KUNOGESHA MAONESHO YA KILIFAIR
Mrembo aliyekaribia kuvunja ndoa ya Jay Z, Beyonce
LOS ANGELES, Marekani RAPA Jay Z na staa wa Malkia wa muziki wa R&B na Pop, Beyonce Knowles, ni moja ya ‘kapo’ za muda mrefu na zenye ushawishi mkubwa kwenye tasnia ya burudani si tu Marekani, bali duniani kwa ujumla wake. Beyonce na Jay Z wamekuwa kwenye ndoa kwa miaka 18, tangu Aprili 4, 2008, […]
Mwanamuziki Zay B afariki dunia
Msanii mkongwe wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Zainab Lipangalile almaarufu Zay B, amefariki Dunia asubuhi ya leo, Mei 31, 2026. Taarifa za awali kutoka kwa wanafamilia na wasanii wenzake, akiwemo Juma Kassim almaarufu Sir Nature zinaeleza kuwa Zay B amefikwa na mauti wakati aki…
Rema afunguka sababu ya kumkimbia mpenzi wake
LAGOS, Nigeria MWANAMUZIKI wa Afrobeats, Divine Ikubor, maarufu kwa jina la Rema, amesema mpenzi wake alikuwa mkorofi na msumbufu, hivyo akaamua kuachana naye na kubaki ‘singo’. Katika mahojiano yake na staa wa YouTube, Korty EO, Rema amesema uhusiano ulikuwa mzuri lakini haukuwa na amani. Amesema wakati mwingine alirudi nyumbani aliamini angekwenda kupumzika lakini aliishia kukutana […]
Eminem; Kutoka maisha magumu mtaani hadi ustaa
LOS ANGELES, Marekani ANAITWA Marshall Bruce Mathers III lakini mashabiki wake wanamfahamu kwa jina la Eminem, ambaye ni mmoja ya mastaa wakubwa na wa muda mrefu katika ‘gemu’ la muziki wa Hip hop duniani. Kabla ya kufikia ukubwa wa jina na utajiri alionao, Eminem, kama ilivyo kwa wasanii wengi wa Marekani, alitokea katika maisha ya […]