Msimamo wa Serikali ni kuhakikisha watoto wote wanapata elimu. Amesema. 'Msimamo wa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan ni lazima watoto waende shule na sisi tutapambana na wazazi wanaokiuka maelekezo ya Serikali.'
Msimamo wa Serikali ni kuhakikisha watoto wote wanapata elimu. Amesema. 'Msimamo wa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan ni lazima watoto waende shule na sisi tutapambana na wazazi wanaokiuka maelekezo ya Serikali.'