Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Thomas Chali akifungua mafunzo kuhusu mfumo wa matumizi ya nishati safi kwa wataalamu taasisi na wizara za kisekta. Mafunzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Makamu wa Rais jijini Dodoma Julai 28, 2026.
Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Thomas Chali akifungua mafunzo kuhusu mfumo wa matumizi ya nishati safi kwa wataalamu taasisi na wizara za kisekta. Mafunzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Makamu wa Rais jijini Dodoma Julai 28, 2026.