Major stories we follow

Major ongoing stories the Nukta desk tracks — indexed articles on politics, health, sports and more (356 spotlights).

Major stories Nukta follows — 356 curated spotlights with indexed Tanzania news and analysis.

Spotlight Tanzania Development Vision 2050

A nation’s place in the world is determined not only by economic strength or diplomatic presence but by the vision of its leadership at decisive moments. President Samia Suluhu Hassan’s State Visit to the Russian Federation represented such a moment for Tanzania, demonstrating a commitment to increasing international …

Michuzi
AI AI

Dondoo Muhimu Za Makala Hii Umoja wa Ulaya umeiamuru Meta kufungua WhatsApp kwa AI za washindani wake ikiwemo OpenAI. Meta inatuhumiwa kutumia nguvu ya WhatsApp kuipa faida Meta AI huku ikiwazuia washindani. AI chatbots zitarejeshewa ufikiaji wa WhatsApp Business API bila malipo wakati uchunguzi ukiendelea. Meta imepi…

TeknoKona Teknolojia Tanzania
246 Areas Identified for Urgent Reform in Tanzania's Blueprint II · 246 Suspected Ebola Cases and 80 Reported Deaths in DRC Ebola

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh2.63 bilioni ili kusaidia kuimarisha maandalizi na utayari wa Tanzania katika kukabiliana na ugonjwa wa Ebola. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Julai 15, 2026 na Ubalozi wa Marekani nchini Ta…

Nipashe
Afya Hanta virus

MOROGORO: CHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA),kupitia Ndaki ya Tiba ya Wanyama na Sayansi za Afya kimeendelea kutoa watafiti bora na bobezi wanaofanya mambo makubwa katika kulisaidia taifa na nchi nyingine barani Afrika kwenye kudhibiti magonjwa ya wanyama na yale yatokayo kwa wanyama kwenda kwa binadamu. Rasi wa …

Habari Leo
Biashara Fuel Prices

Ni maumivu juu ya maumivu kwa watumiaji wa vyombo vya moto vinavyotumia dizeli baada ya bei ya nishati hiyo kupaa kwa Sh85 mwezi Juni.

Nukta
Editorials Iran Conflict

DAR ES SALAAM: THE International Monetary Fund’s (IMF) approval of a 443.8 million US dollars (about 1.17tri/-) disbursement to Tanzania is welcome news, providing additional external financing and reaffirming confidence in the country’s economic reform programme. Coming at a time of heightened geopolitical tensions a…

Daily News
Africa Palestine Conflict

History shows that overthrowing governments rarely plants democracy—it usually sows chaos.

The Chanzo Initiative
Africa Ukraine Conflict

Far from being a diplomatic shift, the visit signals a continuation of Tanzania’s long-standing tradition of non-alignment and strategic engagement with global powers.

The Chanzo Initiative
Sports & Entertainment FIFA World Cup 2026

DAR ES SALAAM: FOR Tanzania, perhaps, the most important measure of AFCON 2027’s success will be its impact on domestic football. Many countries have successfully hosted major sporting events, only to watch public enthusiasm fade once the tournament ended. Packed stadiums became half-empty again, commercial interest d…

Daily News
Shughuli za Fedha na Bima Tanzania unveils Sh1.72trn tax shak…

NATIONAL Assembly Speaker Mussa Azzan Zungu has appealed to the government to rein in unnecessary expenditure, particularly on luxury vehicles. In remarks during debate on the Finance Bill 2026i yesterday, he asked the parliamentary standing committee on the Budget to closely mon…

The Guardian
Siasa Bajeti ya Serikali Tanzania yapaa h…

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu, ameipongeza Serikali inayoongozwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kukubali kufanya marekebisho ya baadhi ya tozo na kodi zilizopendekezwa katika Muswada wa Sheria ya Fedha wa mwaka 2026, hatua aliyosema ime…

Nipashe
Featured Mexico yaianza kombe la dunia kwa u…

MEXICO CITY, Mexico FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zinaendelea kuchanja mbuga, huku baadhi ya timu zikiwa zimeshatinga hatua ya 16 Bora. Baadhi ya mechi kali za hatua hiyo ni ile itakayozikutanisha England ‘Three Lions’ na Mexico ‘El Tri’, ambao ni wenyeji wa michuano kwa kushirikiana na Marekani na Can…

Gazetini
Uchumi Tanzania budget 2026/27: Taxes, job…

Tanzania's total national debt stock reached 135.33trn/- ($ 51.07billion) at the end of April 2026, marking a modest 0.5 percent increase from the previous month, Bank of Tanzania (BoT) monthly economic review for May has shown. External debt continued to dominate the debt portfo…

The Guardian
Habari Tanesco yazindua kituo cha kuchajia…

Wakazi wa maneo hayo sasa wanaweza kuongeza uzalishaji na kuboresha huduma zinazotegemea nishati ya umeme.

Nukta
SPORT Canada Kuwa na Kibarua Kigumu Dhidi…

Tunisia vs Netherlands FIFA Kombe la Dunia 2026 unayakutanisha mataifa yenye historia tofauti, Juni 26, 2026 saa 8:00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki. Mchezo huu utachezwa Uwanja wa Kansas City huku Tunisia wakiwa na kibarua kusaka ushindi kwa mara ya kwanza.Tunisia hawajashinda mechi yoyote katika michezo mitano il…

SportPesa Blog
SPORT Vikosi vya Kombe la Dunia 2026: HAI…

Utabiri wa New Zealand vs Egypt: Kombe la Dunia – Kundi G Utabiri wetu: Egypt kushinda. New Zealand vs Egypt, mechi ya pili ya Kombe la Dunia 2026 kwenye Kundi G. Mpaka sasa kwenye msimamo timu zote mbili zina pointi moja baada ya sare, katika Mechi zao za Ufunguzi. Mechi hii itapigwa Uwanja wa BC […]

SportPesa Blog
Michezo na Burudani Waziri wa tamisemi profesa riziki s…

MWANZA: MKOA wa Mwanza umeandika historia mpya baada ya kutwaa ubingwa wa jumla wa Mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa Shule za Sekondari Tanzania (UMISETA) 2026, yaliyoshirikisha wanafunzi kutoka mikoa yote 26 ya Tanzania Bara pamoja na Zanzibar. Katika mashindano hayo yaliyohitimishwa leo mjini Iringa, Mwa…

Habari Leo
Spotlight Nchimbi mgeni rasmi siku ya mazingi…

Dar es Salaam, Julai 2026Mkuu wa Chuo na Mtendaji Mkuu wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC), Dkt. Ernest Mabonesho, ametangaza kuwa kilele cha maadhimisho ya miaka 25 tangu kuanzishwa kwa Chuo kitafanyika tarehe 3 Julai 2026 katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC), Dar es Salaam, kuanz…

Michuzi
Habari za michezo Nani Kuibuka Mfungaji Bora Kombe la…

KUNA mengi yanaendelea katika fainali za Kombe la Dunia 2026 ambako kuna rekodi kibao zinavunjwa na zingine hazijavunja hadi sasa. Lakini, wakati nchi zilizofuzu mtoano wa hatua ya 32 bora zikijifua kwa ajili ya michuano hiyo, kuna jambo jingine limeibuka. Nalo ni namna mpira unavyochezwa sasa licha ya maendeleo makub…

Soka La Bongo
Spotlight Waziri mkuu: fedha za maji, barabar…

Na Paul Kayanda, KahamaMWENYEKITI wa Mtaa wa Mwime, Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, Stella Bhayugile, amesema utekelezaji wa miradi ya maendeleo pamoja na mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Serikali inayoongozwa na Rais Dk Samia Suluhu Hassan umeendelea kuleta matumaini mapya kwa wananchi. Huku vijana na wanawa…

Michuzi
Siasa Ccm yadai kuna mipango ya maandaman…

IRINGA: KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi amewataka Watanzania kutowasikiliza wanasiasa wanaotumia majukwaa ya siasa kubeza na kupunguza thamani ya maendeleo yaliyofanya ya serikali. Kihongosi amesema hayo Juni 20,2026 alipokuwa akizungumza na wananchi katik…

Habari Leo
Spotlight Watuhumiwa mauaji ya Mchina wadakwa

Soma hapa...

Mwananchi
Spotlight Waziri mchengerwa afungua mafunzo k…

Na Victor Masangu, KibahaMwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi Taifa Ndg. Fadhili Maganya amewaasa viongozi wa chama cha mapinduzi (CCM) ngazi za Wilaya pamoja na Mkoa wa Pwani kuhakikisha kwamba wanalivalia njuga suala la kero ya migogogoro ya ardhi sambamba na kusikiliza changamoto mbali mbali zinazowakabili wana

Michuzi
Spotlight Wajasiriamali iringa watakiwa kuong…

NA DENIS MLOWE, IRINGA MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Iringa, Nancy Nyalusi, amesema ujenzi wa jengo jipya la Mama na Mtoto ni hatua muhimu katika kuboresha huduma za afya na unatarajiwa kupunguza vifo vya wajawazito na watoto wachanga huku ukiimarisha upatikanaji wa huduma bora kwa wananchi wa Mkoa wa Iringa.Nyalusi a…

Michuzi
SPORT Saudi Arabia vs Uruguay Kombe la Du…

Uswisi vs Algeria FIFA Kombe la Dunia 2026 wanakutana katika hatua ya 32 bora ya Kombe la Dunia 2026. Mchezo huu utachezwa kwenye Uwanja wa BC Place, Vancouver. Timu zote mbili zinatafuta tiketi ya kufuzu hatua ya 16 boraJulai 3, 2026. Shinda mamilioni na Twenzetu Duniani ya SportPesa kwenye mechi Kombe la Dunia 2026 …

SportPesa Blog
Meridianbet Meridianbet Yaleta Zawadi za Zaidi …

Burudani inapokutana na ushindani wa kweli ndipo hadithi za ushindi huanza kuandikwa. Meridianbet imeandaa Expanse Treasure Hunt kwa lengo la kuwapa wachezaji nafasi ya kushindania kitita cha shilingi milioni tano kupitia michezo maalum ya Expanse. Kwa dau la chini la shilingi 500 kwa kila raundi, kila mmoja anaweza k…

Soka La Bongo
Tourism Tanzania calls for stronger regiona…

SEOUL: MINISTER for Natural Resources and Tourism Dr Ashatu Kijaji has urged Tanzania’s Embassy in South Korea to step up efforts to promote the country’s tourism attractions and expand its share of the growing Asian tourism market. Dr Kijaji made the call during a meeting with Tanzania’s Ambassador to South Korea, No…

Daily News
Nipashe Jumapili Suala jumuishi kwa watu wenye ulema…

ZAIDI ya watumishi wapya 100 wa afya na ustawi wa jamii kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi na Halmashauri ya Mji wa Mafinga, wamepatiwa mafunzo maalumu kuhusu maadili ya taaluma, viwango vya utoaji huduma na huduma jumuishi, kwa watu wenye ulemavu Mpango huo, ni sehemu ya ju…

Nipashe Jumapili
Spotlight Benki ya Exim Tanzania yaendesha zo…

Na Karama Kenyunko Michuzi TvSERIKALI imesema itaendelea kuimarisha huduma za afya ya uzazi nchini ili kupunguza vifo vya kina mama vinavyotokana na utoaji mimba usio salama.Naibu Waziri wa Afya, Dk Florence Samizi alisema bungeni kuwa asilimia 10 ya vifo vya wajawazito nchini vinahusishwa na utoaji mimba usio salama,…

Michuzi
Tanzania Private sector takes driver’s seat:…

TANZANIA: THE story of economic development is often told through statistics—growth rates, investment figures and rising incomes. Yet, the most visible signs of progress are often found elsewhere. They can be seen in a new highway that cuts travel time between regions, a bridge that links previously isolated communiti…

Daily News
Spotlight Jaji mfawidhi songwe azindua mahaka…

Na. MUKSINI NAKUVAMBA – Mahakama, Mbeya Watumishi wa Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Mbeya wamehitimisha mafunzo ya siku mbili ya namna bora ya kuandaa kumbukumbu za rufaa za mashauri ya jinai, yaliyofanyika hivi karibuni jijini Mbeya yakilenga kuimarisha ufanisi katika uandaaji wa nyaraka na kumbukumbu za Mahakama ya …

Tanzania Judiciary
SPORT Ghana vs Panama FIFA Kombe la Dunia…

Colombia vs Ghana ni karata nyingine ya wawakilishi wa Afrika na Amerika Kusini, katika jukwaa kubwa zaidi la soka Duniani. Mchezo huu unatarajiwa kupigwa kwenye Uwanja wa Kansas City nchini USA, saa kumi na nusu kwa saa za Afrika Mashariki. Mshindi wa jumla wa mchezo huu atakuwa amefuzu moja kwa moja hatua ya 16, bor…

SportPesa Blog
Daily News Takwimu zinaongea: Brazil v Morocco

Kocha wa Ufaransa, Didier Deschamps, amejibu vikali ukosoaji uliomkumba kutokana na maamuzi aliyofanya katika nusu fainali ya Taji la Dunia dhidi ya Hispania, akisisitiza kuwa kiungo wa AC Milan, Adrien …

MeridianBet Sport
Tax Tax reforms to boost local investme…

DAR ES SALAAM: THE government’s decision to abolish or reduce 374 fees and levies is expected to stimulate business growth, attract investment, create jobs and widen Tanzania’s tax base, economists and analysts have said. They said the reforms will encourage business formalisation, expand trade and investment, improve…

Daily News
Featured Jeshi la magereza lashiriki maadhim…

Na Mwandishi Wetu – Dodoma Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma ya mwaka 2026 yameonesha kwa vitendo namna taasisi za umma zinavyoendelea kusogeza huduma karibu na wananchi kwa kutumia majukwaa mbalimbali ya utoaji huduma, elimu na utatuzi wa changamoto. Kupitia maonesho hayo, maelfu ya wananchi walipata huduma mba…

Mzalendo
Spotlight NMB yaingia katika awamu mpya ya uk…

Tanzania imepiga hatua nyingine kimataifa baada ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IFC) kuorodhesha hatifungani yake ya kwanza ya kimataifa kwa Shilingi ya Tanzania katika Soko la Hisa la London (LSE). Hatifungani hiyo, yenye thamani ya Dola za Marekani milioni 100 (Shilingi bilioni 262.5), itaipatia Benki ya NMB ikiwa…

Michuzi
Analysis Singapore sees Tanzania as a major …

DAR ES SALAAM: TANZANIA is strengthening its position as one of East Africa’s influential countries, supported by political stability, improving governance performance, strategic geography and growing economic opportunities that continue to attract regional and global investors. The latest Ibrahim Index of African Gov…

Daily News
Tanzania TANESCO yakamilisha miradi ya kuima…

TUNDURU: THE Minister for Energy, Deogratius Ndejembi, has directed the Permanent Secretary of the Ministry of Energy not to grant any further extension to the contractor responsible for constructing the 220-kilovolt power transmission line from Songea to Tunduru via Masasi. The project includes the construction of a …

Daily News
SPORT Kombe la Dunia 2026: Hawa hapa viun…

Ratiba ya Ligi Kuu England (EPL) msimu wa 2026/27 imetangazwa rasmi, huku mabingwa watetezi Arsenal wakianza kampeni yao nyumbani dhidi ya Coventry City, Agosti 21, 2026 katika Uwanja wa Emirates. Manchester United wao wataanza msimu kwa mchezo wa ugenini dhidi ya Hull City siku ya Jumamosi, Agosti 22, 2026. Majirani …

SportPesa Blog
SPORT Brazil vs Haiti FIFA Kombe la Dunia…

Spain vs Saudi Arabia: Kombe la Dunia 2026 — Kundi E Spain vs Saudi Arabia ni mechi ya kufa na kupona ndani ya Kundi E la Kombe la Dunia 2026, timu hizi zitavaana uso kwa uso katika Uwanja wa Atlanta, 21 June 2026. Mchezo huo utapigwa saa 3 usiku muda wa afrika mashariki (EAT). Katika […]

SportPesa Blog
Featured Trump: Makubaliano ya Amani Iran na…

Na mwandishi wetu, Gazetini WAKATI dunia ikiwa kwenye sintofahamu juu ya mustakabali wa vita vya Marekani na Iran, Kundi la kigaidi la Houthi nchini Yemen limeendelea kufanya mambo yawe mengi na magumu zaidi. Iko hivi; Marekani na Iran zinaendelea kushambuliana na mgogoro wao juu ya Mlango-Bahari wa Hormuz imesababish…

Gazetini
Nipashe TAKUKURU Yawafikisha Mahakamani Wat…

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Geita imewafikisha mahakamani watumishi saba wa umma kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha za umma zinazokadiriwa kufikia zaidi ya Sh. milioni 89. Kati ya hao watatu wa Halmashauri ya Manispaa ya Geita wanadaiwa kufanya ubadh…

Nipashe
Utawala wa Umma na Ulinzi Kunenge Aitaka Halmashauri Chalinze…

SINGIDA YAANZA SAFARI YA SINGLE DIGITS, RC DENDEGO ATAKA KASI YA DIRA YA 2050 IONGEZWE

Mkoa wa Singida
Siasa Mshikamano kitaifa wapewa kipaumbel…

VIONGOZI WATAKIWA KUWA MSTARI WA MBELE KUIKANILI RUSHWA

Mkoa wa Singida
Spotlight Samia: Tanzania ni kituo muhimu cha…

Na Janeth Raphael MichuziTv Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Namibia zimejipanga kuimarisha zaidi ushirikiano wa kiuchumi kwa lengo la kuongeza kiwango cha biashara na uwekezaji kati ya mataifa hayo mawili. Amesema hatua hiyo inalenga kufungua fursa mpya za ma…

Michuzi
Nipashe Mikopo ya Asilimia 10 Yaendelea Kug…

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhandisi Hamad Masauni, amesema, Muungano na kati ya vitu ambavyo havipaswi kuchezewa inatakiwa kulindwa kwa hali ya juu. Amesema amefurahishwa na shughuli za maendeleo katika wilaya ya Bagamoyo, zinazofanyika ambazo zi…

Nipashe
Spotlight Mawakili walivyochuana kesi ya ubun…

Soma hapa...

Mwananchi
Spotlight Rais wa Namibia kuwasili Tanzania z…

Na Janeth Raphael MichuziTv RAIS wa Namibia, Netumbo Nandi-Ndaitwah, ametembelea Kituo cha Kumbukumbu cha Wapigania Uhuru wa Afrika pamoja na Makaburi ya Mashujaa wa Namibia yaliyopo wilayani Kongwa mkoani Dodoma, katika ziara maalum ya kuenzi mchango wa Tanzania katika harakati za ukombozi wa bara la Afrika.Katika zi…

Michuzi
Spotlight Samia to grace top taxpayers at TRA…

The Commissioner General of the Tanzania Revenue Authority (TRA), Mr. Yusuph Juma Mwenda, has reaffirmed the Authority’s commitment to implementing the directives of the…

TRA
Spotlight Rais samia amuapisha jingu,asisitiz…

Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. George Masaju, leo tarehe 15 Julai, 2026 amepokea ugeni wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Dkt. Seif Abdallah Shekalaghe, aliyefika ofisini kwake Makao Makuu ya Mahakama jijini Dodoma kwa ajili ya kujitambulisha.Dkt. Shekalaghe amesema kuwa lengo la kukutan…

Tanzania Judiciary
Spotlight Wrrb yafungua ukurasa mpya kwa wafu…

Na Mwandishi Wetu Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imesema matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za Ghala katika sekta ya mifugo yataimarisha masoko na kuongeza ushindani wa bei ya bidhaa hiyo nchini. Akizungumza Juni 19, 2026 katika Maonesho ya Mifugo na Mnada wa Kimataifa yanayofanyika katika Shamba la Mbog…

Michuzi
Economy Tanzania 2026/27 Budget of TZS 62.3…

Tanzania’s Finance Bill 2026, presented to Parliament on 24 June 2026 by Finance Minister Ambassador Khamis Mussa Omar, takes effect on 1 July 2026 and amends 26 laws to implement the 2026/27 budget tax measures. The Parliamentary Budget Committee dropped the proposed 1% withholding tax on agricultural produce, the pr…

TanzaniaInvest
Spotlight Ofisi ya waziri mkuu yathibitisha n…

Na.Mwandishi wetu - Dar es SalaamKamati ya Kitaifa ya Wataalamu ya Usimamizi wa Maafa imeidhinisha Mpango wa Taifa wa Dharura wa Kukabiliana na Madhara ya El Niño na kuzielekeza Wizara, Idara, Taasisi, Mikoa na Halmashauri kuongeza kasi ya maandalizi ili kupunguza madhara yanayoweza kujitokeza kutokana na mvua za El N…

Michuzi
Tanzania Mama Samia Legal Aid Campaign retur…

DODOMA:THE government is preparing sweeping amendments to more than 1,000 laws as part of efforts to align Tanzania’s legal framework with the implementation of the Tanzania Development Vision 2050 and create a modern legal environment that supports investment, industrialisation and economic transformation. Minister f…

Daily News
Mchanganyiko Nilivyorejesha bahati yangu baada y…

Jina langu ni Joshua, na mimi ni mjasiriamali. Kwa muda mrefu, nilikuwa nikikabiliana na changamoto kubwa katika biashara yangu. Ilikuwa ni biashara ndogo ya…

Full Shangwe Blog
Spotlight Benki ya Absa Tanzania na WWF wapan…

Na. Saidina Msangi, WF, Abidjan.Nchi za Afrika zimekubaliana kuweka kipaumbele katika ufadhili wa viwanda vinavyotegemea rasilimali za ndani ikiwemo madini na kuhakikisha kuwa zinaongeza thamani ya bidhaa na kuimarisha biashara ya ndani ya bara ili kujenga maendeleo jumuishi, endelevu na yenye tija.Hayo yalibainishwa …

Michuzi
Chakula na Mapishi Mikopo ya mifugo NMB yavuka Sh180 b…

Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa NMB, Filbert Mponzi (kulia), na Mkurugenzi wa Biashara na Uendeshaji wa Mantrac Kanda ya Afrika Mashariki,…

Full Shangwe Blog
Tanzania Serikali kuwainua vijana kupitia ut…

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala,Ridhiwani Kikwete amesema Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) kina nafasi ya kipekee katika kujenga na kuendeleza uwezo wa kiutendaji wa watumishi wa umma ambao ndio watekelezaji wa majukumu ya serikali kila siku. Kikwete al…

Habari Leo
Biashara Nyuma ya Cristiano Ronaldo kuna mre…

Ni pamoja na Cristiano Ronaldo, Messi, Mbappe, Haaland na Vinicius Jr ambao wameendelea kuwa vinara ndani na nje ya uwanja.

Nukta
Spotlight Jaji mfawidhi mpya dodoma atambulis…

Awataka Watumishi kuendelea kufanya kazi kwa uadilifu, kuwajibika na kwa weledi Na FAUSTINE KAPAMA na Noel Daud-Mahakama, Songea Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Dkt. Mustapher Mohamed Siyani, amewataka Watumishi wa Mahakama ya Tanzania kutoa huduma zinazoendana na ubora wa miundombinu ambayo imejengwa …

Tanzania Judiciary
Spotlight Jamii iwe makini na ushauri kisaiko…

Wananchi nchini wametakiwa kuwa waangalifu na taarifa pamoja na ushauri wanaoupata kupitia mitandao ya kijamii, kwani si kila elimu inayotolewa mtandaoni ni sahihi au inatolewa na wataalamu wenye sifa stahiki.Wito huo umetolewa na Mkuu wa Chuo cha Ustawi wa Jamii, Dkt. Joyce Nyoni, alipokuwa akizungumza na waandishi w…

Michuzi
SPORT Scotland vs Brazil FIFA Kombe la Du…

Wakiwa na pointi 1 tu, katika michezo yao miwili ya kwanza, kikosi cha South Africa kinajiandaa kucheza mechi ya kufa na kupona dhidi ya South Korea. Ni mechi ya South Africa vs South Korea Kombe la Dunia 2026 itakayopigwa 25 June 2026 saa 10 alfajiri, kwa saa za Afrika Mashariki. Mechi hii itapigwa kwenye Uwanja […]

SportPesa Blog
Spotlight Wahandisi tanroads, tarura watakiwa…

-Yalenga kurejesha mawasiliano ya barabara kwa muda mfupi wakati wa dharura‎Dar es Salaam‎Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) umeendelea kuimarisha uwezo wa wataalamu wake kwa kuwapatia mafunzo ya matumizi ya teknolojia ya kisasa ya mabomba ya "Weholite" yanayotumika kujenga makalavati ikiwa ni sehemu ya…

Michuzi
Spotlight Rais wa namibia atembelea kiwanja c…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Dkt, Netumbo Nandi-Ndaitwah baada ya Rais huyo wa Namibia kuhitimisha Ziara yake ya Kitaifa ya siku 4 katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 22 Juni, 2026.Rais wa Jamhur…

Michuzi
Tanzania Tanzania, Namibia Seal New Economic…

DAR ES SALAAM: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan yesterday bid farewell to Namibian President Dr Netumbo Nandi-Ndaitwah following her historic three day State Visit to Tanzania. The colourful farewell ceremony, held at the State House in Dar es Salaam, featured a guard of honour and the playing of the national anthems of …

Daily News
Mchanganyiko Kamanda wa Polisi Tabora SACP Richa…

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura, akisaini kitabu cha maombolezo mara baada ya kuwasili Segerea Jijini Dar es salaam, nyumbani…

Full Shangwe Blog
Spotlight Mechi ya Moto: Argentina Kukutana n…

Leo hii mechi za kirafiki zile za kujiandaa na msimu ujao zinakaribia huku nafasi ya wewe kuondoka na mkwanja ikiwa inakungoja. Je nani anaweza kuondoka na ushindi siku hii ya leo?Mechi ya Basel dhidi ya Juventus inatarajiwa ya kuvutia kiaina yake na yenye ushindani mkubwa haswa huku huku kila timu ikitumia fursa hii …

Michuzi
In-Depth Tanzania, Ujerumani wasaini mkataba…

DAR ES SALAAM: AS Tanzania begins implementing Vision 2050, ensuring reliable water supplies is becoming a central part of the country’s long-term development agenda. The national development blueprint sets out an ambitious vision of transforming Tanzania into a prosperous, inclusive and selfreliant nation by 2050. Am…

Daily News
Afya na Huduma za Jamii Wagonjwa 823 kufanyiwa upasuaji mac…

HALMASHAURI ya Wilaya Mkuranga ni kati ya Halmashauri tisa za mkoa wa Pwani ambayo inajivunia kujiimarisha kwenye kuwekeza kwenye ujenzi wa vituo vya huduma za afya kusogeza karibu na wananchi. Mkuranga kwasasa ina vituo vya Serikali vya kutolea huduma za afya 71 kati ya hivyo Ho…

Nipashe
Sheria na Mahakama Wizara ya maliasili na utalii yaibu…

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe, amesema huduma zinazotolewa na Wizara ya Katiba na Sheria zimekuwa na mchango mkubwa katika kuwawezesha wananchi kupata haki, ushauri wa kisheria na utatuzi wa changamoto mbalimbali kwa urahisi na kwa wakati. Prof. S…

Nipashe
Spotlight Msikiti uliojengwa na Gaddafi, Nyer…

Soma zaidi...

Mwananchi
Meridianbet Play’n GO na Meridianbet Waungana K…

Meridianbet inaleta msisimko wa kipekee kupitia Rumble Kong CASHINGO, mchezo wa sloti kutoka Games Global ambao unakuja kwa toleo la awali kabla ya uzinduzi rasmi. Hii ni nafasi ya kipekee kwa mashabiki wa kasino kuingia mapema na kushuhudia sloti kali, bonasi za kuvutia na nafasi za kushinda pesa taslimu. Ni kama tik…

Soka La Bongo
Mchanganyiko Tra yakusanya trilioni 32.3 baada y…

Na Victor Masangu, Pwani Serikali mkoani Pwani imeipongeza Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Pwani kwa kuweza kuwa na mipango madhubuti katika kuweka…

Full Shangwe Blog
Tanzania 225 institutions brighten the Publi…

DAR ES SALAAM: PRIME Minister Dr Mwigulu Nchemba has reaffirmed the government’s commitment to strengthening the private sector, saying sustained reforms will improve Tanzania’s business and investment climate and accelerate the implementation of Vision 2050. Speaking at the 2026 Annual Business and Investment Confere…

Daily News
Featured Rais samia azindua kituo cha tiba y…

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendeleza dhamira yake ya kuwekeza zaidi katika huduma za matibabu ya Saratani katika Mfumo wa Fahamu (neuro-oncology) na kuimarisha mfumo wa afya kwa ujumla. Makamu wa Rais amesema…

Mzalendo
Tanzania CBE equips councils to manage speci…

SHINYANGA: SHINYANGA Regional Commissioner, Ms Mboni Mhita, has requested the Office of the Controller and Auditor General (CAG) to conduct a special audit at Msalala District Council to uncover the root causes of financial management flaws that triggered an unprecedented qualified audit opinion for the 2024/25 financ…

Daily News
Spotlight Mkurugenzi Mkuu TASAC: MV Liemba Ku…

Vijana wa Tanzania wametakiwa kuchangamkia fursa zilizopo katika sekta ya bahari, huku Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kikieleza kuwa wahitimu wake wanaendelea kupata ajira ndani na nje ya nchi, hususan katika mataifa ya Mashariki ya Kati kutokana na mahitaji makubwa ya wataalamu wa ubaharia.Akizungumza na waandis…

Michuzi
Business Algerian firms seek partners for tr…

DAR ES SALAAM: THE success of the 50th Dar es Salaam International Trade Fair (DITF) is strengthening Tanzania’s ambition to become East Africa’s leading trade and investment hub. Rising exports, stronger business activity and investor confidence are reinforcing that momentum. The week-long exhibition, Tanzania’s flag…

Daily News
Spotlight WRRB yatekelezaji maagizo ya Waziri…

Bodi ya Usimamizi wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imeanza rasmi utekelezaji wa maagizo yaliyotolewa na Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, ya kuimarisha usimamizi wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala na kuhakikisha changamoto zinazojitokeza katika utekelezaji wake zinatatuliwa bila kurudi kwenye biashara holela ya ma…

Michuzi
SPORT New Zealand vs Belgium FIFA Kombe l…

Colombia wakiwa tayari wamefuzu hatua ya 32 bora watavaana na Portugal, ambayo situ kwamba wanaisaka tiketi Ya Robo hatua ya 32 bora, bali wanataka kuongoza Kundi. Staa wa Ureno, Cristiano Ronaldo alituma ujumbe wa “I’m back” akimaanisha amerudi baada ya kufunga mabao 2 katika ushindi wa kishindo wa mabao 5-0 dhidi ya…

SportPesa Blog
Daily News Ureno na Uingereza Kuvuta Hisia za …

Kocha wa Ufaransa, Didier Deschamps, anatabiri kuwa nusu fainali ya Taji la Dunia dhidi ya Hispania itakuwa mechi ya “kusisimua sana” wakati mataifa hayo mawili makubwa yatakapokutana jijini Dallas siku …

MeridianBet Sport
Spotlight Bmh yaandika historia kwa upandikiz…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) inaendelea kuthibitisha ubora wake kama moja ya vituo vinavyoongoza kutoa huduma za kibingwa barani Afrika, baada ya kufanikiwa kuwapatia matibabu ya upasuaji wa moyo watoto kutoka Nchini Burundi, ambao kwa sasa wanaendelea vizuri na wanatarajiwa kurejea …

Michuzi
Dodoma Zanzibar strengthens Ebola prepared…

DODOMA: THE Benjamin Mkapa Hospital (BMH) is set to become a Medical Tourism Village within the next decade as the government intensifies efforts to position Tanzania as a leading destination for specialised healthcare in Africa. The ambitious vision is expected to attract patients from across Africa and beyond, gener…

Daily News
Tanzania Zambia Rea Team Visits Chamwino to …

SINGIDA: THE Rural Energy Agency (REA) has urged residents of newly electrified rural hamlets to apply for electricity connections and use the service for income-generating activities as the government continues expanding power access across the country. The appeal was made on Wednesday by the Chairman of the Rural En…

Daily News
SPORT Ufaransa vs Iraq Kombe la Dunia 202…

Kombe la Dunia la FIFA 2026, litaendelea kukumbukwa kwa muda mrefu kutokana na kuvunja rekodi nyingi na kushuhudia matukio ya kipekee ambayo hayajawahi kutokea katika historia ya mashindano hayo. Mashindano hayo yalishuhudia timu ya Taifa ya Hispania ikiibuka bingwa wa dunia, kwa mara ya pili katika historia yake. Hii…

SportPesa Blog
Spotlight Jaji mkuu amuapisha dkt. jingu kuwa…

Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. George Masaju leo tarehe 26 Juni, 2026 amemuapisha Dkt. John Antony Jingu, Mtendaji Mkuu wa Mahakama kuwa Katibu wa Tume ya Utumishi wa Mahakama. Dkt. Jingu anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Mtangulizi wake Mtendaji Mkuu Mstaafu wa Mahakama, Prof. Elisante Ole Gabri…

Tanzania Judiciary
Spotlight Bei ya sukari yapaa, wananchi walal…

Soma hapa...

Mwananchi
Spotlight Jaji mtulya ateta na wadau wa mahak…

Na. MUKSINI NAKUVAMBA – Mahakama, Mbeya Mahakama ya Rufani ya Tanzania imefanya kikao cha tathmini ya utekelezaji wa shughuli za usikilizaji wa mashauri ya Rufaa za madai katika Masjala Ndogo ya Mbeya, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kuhitimisha rasmi kikao cha Mahakama hiyo kilichoanza Juni 18, 2026 na kinachotaraji…

Tanzania Judiciary
Nipashe Ujenzi wa Barabara Kuelekea AFCON 2…

Wataalamu kutoka taasisi mbalimbali za Serikali wameanza kikao kazi cha siku mbili jijini Dar es Salaam kwa lengo la kuimarisha uratibu na ushirikiano katika maandalizi ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027. Kikao hicho, kilichoanza Julai 23, 2026 katika Ukumbi wa…

Nipashe
Spotlight Mbio za miaka 30 ya tra: eliona asi…

Serikali ya Mkoa wa Dodoma imewataka wafanyabiashara, wawekezaji, washauri wa kodi na wananchi kuendelea kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kuzingatia sheria za kodi ili kuongeza mapato ya Serikali na kuchochea maendeleo ya Taifa.Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Chamwino, Mhe. Janeth Mayanja, …

Michuzi
Spotlight Rais samia afanya uteuzi wa viongoz…

Na Mwandishi wetuRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewaapisha Naibu Makatibu Wakuu wawili na kushuhudia viongozi wanne wakila Kiapo cha Uadilifu kwa Viongozi wa Umma, huku akiwataka kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu, ushirikiano, uwajibikaji na kuzingatia maslahi ya wananchi.A…

Michuzi
Featured Yanga yazima jeuri ya Azam, Simba y…

Na Hassan Mwasha DAKIKA 90 tu za mchezo kati ya Fountain Gate na Singida Black Stars ndizo zilizopeperusha ndoto ya Feisal Salum ‘Fei Toto’ kuwa mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2025-26. Kabla ya mechi za mwisho wa msimu kuchezwa jana Juni 30, 2026, Fei Toto wa Azam ndiye aliyekuwa kinara kwa mabao […]

Gazetini
Spotlight Serikali yafafanua upotoshaji kuhus…

TANZANIA inalenga kuongeza ushiriki wake katika soko la kimataifa la kaboni, huku kituo cha Taifa cha Ufuatiliaji wa Kaboni (NCMC) kikipewa jukumu la kuimarisha usimamizi, kuvutia uwekezaji wa kijani na kuongeza manufaa ya rasilimali za asili.Katibu Mkuu katika Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Richard Muyungi, amesema Ta…

Michuzi
Featured Matukio ya kusisimua Kombe la Dunia…

MEXICO CITY, Mexico KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Argentina, Lionel Scaloni, amethibitisha kuwa atampumzisha nahodha wake, Lionel Messi, katika mchezo wao dhidi ya Jordan. Timu hizo zitakutana kesho Juni 28, 2026, ukiwa ni mchezo wa mwisho wa kundi lao lenye timu zingine mbili, Algeria na Austria. Argentina ikiwa …

Gazetini
Habari za michezo Prediction Afrika Kusini vs Canada …

ATLANTA, MAREKANI: KATIKA matukio yaliyotikisa mashabiki wa soka duniani, timu tatu za Afrika zimeondolewa kwa maumivu makubwa katika hatua ya 32 bora ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuruhusu mabao ya ushindi katika dakika ya 86. Timu hizo ni Ivory Coast, DR Congo na Senegal, ambazo zote ziliondolewa katika mechi tofa…

Soka La Bongo
Mchanganyiko Mwenge wa uhuru waridhishwa na mira…

Na John Walter -Mbulu Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara imeupokea rasmi Mwenge wa Uhuru mwaka 2026 katika Kata ya Gehandu, ukitokea Halmashauri ya Mji…

Full Shangwe Blog
Habari Vijana Uchumi Challenge kupewa fursa

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali inaandaa maboresho ya kisera na kisheria yatakayowaondolea vijana wajasiriamali kikwazo cha muda mrefu…

Global Publishers
Spotlight Sio Mizunguko ya Bure Tu, Meridianb…

USHINDI mzuri unaanzia Meridianbet siku ya leo kwa kusuka jamvi lako na Meridianbet na kubashiri kwa kutumia Early Payout leo. Ingia kwenye akaunti yako sasa na uanze safari yako ya ushindi.Promosheni hii kubwa kabisa ambayo ipo Meridianbet ina lengo la kuhakikisha kuwa unapiga pesa nyingi kwani endapo ukitumia chaguo…

Michuzi
Featured TRA, JKT wana vita yao wenyewe Ligi…

Na Hassan Mwasha, Gazetini ACHANA na ishu ya ubingwa. Ni wazi si Yanga wala Simba inayoweza kufikia idadi ya pointi ilizokusanya msimu uliopita (2024-25) wa Ligi Kuu Bara. Kwa sasa, Yanga iko kileleni mwa msimamo lakini imekusanya pointi 72, wakati Simba wao wana pointi 70, huku kila timu ikiwa imebakiza mechi moja ba…

Gazetini
Spotlight Rc makalla aipongeza halmashauri ya…

RC DENDEGO: DIRA YA 2050 IWE AJENDA YA KUDUMU KWENYE SHUGHULI ZA MAENDELEO SINGIDA

Mkoa wa Singida
Spotlight Wizara ya fedha yawakaribisha wanan…

Na Mwandishi WetuWANANCHI wanaotembelea Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba 2026) wanaendelea kunufaika na huduma mbalimbali za mawasiliano na ofa maalum zinazotolewa na Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), kupitia banda lake lililopo katika Viwanja vya Mwalimu Julius K. Nyerere.Katik…

Michuzi
Habari Marekani, Iran sasa kujifungia Doha…

WASHINGTON – Rais wa Marekani Donald Trump ameamuru kusitishwa kwa muda kwa mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran ili kutoa…

Global Publishers
Kilimo, Misitu na Uvuvi Wafugaji wakoshwa na mpango wa stak…

Kampuni ya CRDB Insurance Company imezindua huduma ya Smart Mifugo, bima ya mifugo inayotumia teknolojia ya akili mnemba (AI) kuwakinga wafugaji dhidi ya hasara zinazotokana na vifo vya mifugo, magonjwa na athari za ukame. Huduma hiyo imezinduliwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifu…

Nipashe
Mchanganyiko Kamati ya bunge ya nishati na madin…

Na Mwandishi Wetu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw. Lazaro Twange, amesema shirika hilo linaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya kimkakati itakayoongeza…

Full Shangwe Blog
The Guardian Xi calls for solid measures to mode…

Chinese President Xi Jinping called for advancing high-quality urban renewal on Wednesday during an inspection trip to Shanghai. Xi, also general secretary of the Communist Party of China (CPC) Central Committee and chairman of the Central Military Commission, stressed the need t…

The Guardian
Shughuli za Fedha na Bima Wabunge Waipongeza NSSF na PSSSF kw…

Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) unashiriki Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere kuanzia Juni 28 hadi Julai 13, 2026, ukiwahakikishia wanachama na wananchi huduma mbalimb…

Nipashe
Habari za michezo Norway yaiondosha ivory coast kombe…

Brazil imeaga fainali za Kombe la Dunia 2026 baada ya kufungwa mabao 2-1 na Norway katika mchezo wa hatua ya 16 bora uliochezwa kwenye Uwanja wa New York/New Jersey, Marekani. Baada ya kipindi cha kwanza kumalizika bila kufungana, straika wa Norway, Erling Haaland aliibuka shujaa wa mchezo kwa kufunga mabao mawili kat…

Soka La Bongo
Meridianbet Meridianbet Yageuza Msaada wa Taulo…

Mafanikio ya kampuni hayaonekani tena kupitia huduma zake pekee, bali pia kupitia namna inavyogusa maisha ya watu wanaoizunguka. Hilo ndilo Meridianbet imeendelea kulithibitisha kwa vitendo, ikionesha kuwa nyuma ya jukwaa lake la burudani kuna moyo mkubwa wa kujali jamii. Safari hii kampuni imefanya ziara maalum katik…

Soka La Bongo
Spotlight Waziri kapinga atembelea kiwanda ch…

Serikali kupitia Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) inaendelea kuimarisha uzalishaji na biashara ya zao la kitunguu kwa kukamilisha miongozo ya usimamizi wa zao hilo na kuendeleza miundombinu ya masoko, hatua zinazolenga kuongeza ushindani wa vitunguu vya Tanzania katika masoko ya kikanda na k…

Michuzi
Spotlight Latra yatoa ahueni daladala za Mbag…

Soma hapa...

Mwananchi
Habari Makamu wa rais amwakilisha rais sam…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amehutubia Mkutano Maalum wa Wakuu wa Nchi na Serikali…

Global Publishers
Wanawake Serikali yaendelea kuchukua hatua k…

NAIBU Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhandisi Maryprisca Mahundi, amewataka wazazi na walezi kuimarisha malezi ya watoto na kushiriki kikamilifu kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia vinavyoathiri wanawake na watoto.

Habari Leo
Uncategorized Mkalama yapunguza hoja za CAG kutok…

NA DENIS MLOWE, IRINGA WANANCHI wa vijiji vya Mwambao, Welu, Lupalama na Kibebe katika Kata ya Ulanda, Jimbo la Kalenga, wamemweleza Mbunge wao, Jackson…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko Dkt. munisi: watumishi wa umma dumi…

Na. Mwandishi Wetu – Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mhe. Balozi Dkt. Batilda Burian ametoa wito kwa wananchi kuendelea kujitokeza kupata…

Full Shangwe Blog
Investment Tanzania, Indonesia agree to increa…

DAR ES SALAAM: RUSSIA has expressed its commitment to expanding investment and trade with Tanzania, as both countries deepen cooperation in strategic sectors including healthcare, science, industrial development and technology. Russia’s Ambassador to Tanzania, Mr Andrey Avetisyan, said Russian investors are increasing…

Daily News
SPORT Prediction Paraguay vs Australia FI…

Ratiba ya FIFA Kombe la Dunia 2026 hatua ya 16 bora itaanza kutimua vumbi rasmi siku ya Jumamosi 4 July 2026. Ikumbukwe haya ni mashindano makubwa zaidi ya soka duniani, ambayo hufanyika kila baada ya miaka 4, mwaka huu Kombe la Dunia litafanyika kwa ushirikiano wa maandalizi ya nchi 3, ambazo ni; Marekani (USA), Cana…

SportPesa Blog
Mchanganyiko Prof. shemdoe: elimu ndiyo msingi w…

• Aitaka kamati iliyoshiriki majadiliano ya awali kujadiliana tena Na OWM – TAMISEMI, Kibaigwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa…

Full Shangwe Blog
Afya Fahamu Jinsi Stoberi Inavyosaidia K…

Nanasi ni tunda lenye ladha tamu na maji mengi ambalo linapendwa na wengi duniani. Zaidi ya kuwa tamu, nanasi lina…

Global Publishers
Spotlight ‘usalama na afya mahali pa kazi; ms…

Na MARY GWERA, Mahakama-Dodoma Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. George Masaju amewasihi Majaji wa Mahakama ya Rufani wapya kuwa huru kutoa maoni au misimamo ya kisheria wanayoamini ni sahihi bila hofu yoyote, kwani kwa kufanya hivyo, watakuwa wanaboresha maamuzi ya Mahakama ya Rufani ambayo ndiyo ina…

Tanzania Judiciary
Spotlight Rais wa msumbiji kuanza ziara ya ki…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mheshimiwa Daniel Francisco Chapo baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa Ziara ya Kikazi, tarehe 03 Julai, 2026. Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mheshimiwa Daniel Francisco Chapo akisain…

Michuzi
Mchanganyiko Miaka 50 ya sabasaba: rais samia ae…

ASISITIZA DHAMIRA YA SERIKALI YA KUJENGA UCHUMI SHINDANI WA VIWANDA ILI KUFIKISHA NCHI UCHUMI WA KIPATO CHA KATI CHA JUU Makamu wa Rais wa…

Full Shangwe Blog
Habari Balozi omar: sabasaba ni fursa ya k…

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) yameendelea kuwa daraja…

Global Publishers
Nipashe Dk. Yonazi: AFCON 2027 ni fursa ya …

RAIS wa Zanzibar, Hussein Ali Mwinyi, ametetea uwekezaji unaoendelea katika ujenzi wa Mji wa Michezo wa AFCON unaojengwa Fumba. Amesema mradi huo ni uwekezaji wa kimkakati unaolenga kuifanya Zanzibar kuwa kitovu cha michezo, utalii na uwekezaji, badala ya kuwa maandalizi ya mashi…

Nipashe
Nipashe Jumapili Mwili wa Dereva wa Heche Wasafirish…

MJUMBE wa mkutano Mkuu wa CHADEMA kutoka Mwanza, Joseph Madereke, amesema chama hicho kinapaswa kurudi kwenye meza ya maridhiano, ili kumsaidia Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu. Akizungumza na waandishi wa habari jijini humo, Madereke amesema kama wanachama wanamuhitaji san…

Nipashe Jumapili
World Paris ready for global Kiswahili fo…

PARIS: THE Chairperson of the African Group at the United Nations Educational, Scientific and Cultural Organisation (UNESCO) and Senegal’s Permanent Delegate to UNESCO, Mr Pierre Faye, has called for greater global efforts to promote Kiswahili as a powerful tool for strengthening unity, cultural identity, peace and de…

Daily News
Biashara Vodacom Tanzania yang’ara kwenye uz…

Banda la Vodacom lilipata heshima ya kutembelewa na Rais wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, pamoja na Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Daniel Chapo.

Nukta
SPORT Yanga Yatwaa Ubingwa wa 32 Ligi Kuu…

Hatimaye ratiba ya Ligi Kuu ya NBC 2026/27 imetangazwa rasmi na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB). Ratiba hiyo inaonyesha vigogo yaani bingwa mtetezi Yanga SC na mshindi wa pili Simba SC kwa msimu uliopita zitaanzia ugenini. Kama ulikuwa unajiuliza kuhusu Mchezo mkubwa wa Dabi ya Kariakoo kati ya Simba SC vs Yanga SC, …

SportPesa Blog
Europe Ujerumani Yafanya Comeback Ya Kusis…

MUNICH, Ujerumani WIKI chache zilizopita, alikuwa kwenye meza ya uchambuzi wa mechi za Kombe la Dunia akiishuhudia timu yake ya Taifa ya Ujerumani ikiondoshwa na Paraguay katika hatua ya 32 Bora. Safari hii, Jurgen Klopp amepewa jukumu la kuliongoza benchi la ufundi, akichukua nafasi ya Julian Nagelsmann aliyetimuliwa…

Gazetini
Spotlight Waziri akwilapo: wanunuzi wa viwanj…

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Leonard Akwilapo amekabidhi jumla ya hati za kimila 1,195 katika vijiji vya Solwe Kata ya Nyambiti wilayani Kwimba na Lubuga, Kata ya Mabuki wilayani Misungwi mkoani Mwanza, akiwataka wananchi kumiliki ardhi kisheria ili kuondokana na migogoro pamoja na kuzuia kunyany…

Mwananchi
Nipashe NSSF yahimiza waajiri kuchangamkia …

Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umetangaza msamaha wa tozo zinazotokana na ucheleweshaji wa michango kwa waajiri wenye malimbikizo ya madeni, ukiwataka kutumia fursa hiyo kupunguza mzigo wa madeni, kuzingatia sheria na kulinda haki za wafanyakazi. Akizungumza na waandis…

Nipashe
Spotlight Dkt. munisi asisitiza utekelezaji w…

Na. Mwandishi Wetu - Dar es SalaamSERIKALI imewataka Watanzania kuendelea kulinda na kudumisha amani ya nchi kwa kutambua kuwa ndiyo msingi wa maendeleo ya taifa, huku ikisisitiza kuwa jukumu hilo linamhusu kila mwananchi bila kujali dini, kabila au itikadi za kisiasa.Wito huo umetolewa na Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nc…

Michuzi
Spotlight M/kiti UWT alivyowaliza waombolezaj…

Soma hapa...

Mwananchi
Mchanganyiko Ulega atoa miezi 3, ataka km 50 za …

📌Ulega atoa hakikisho la Utekelezaji wa mradi huo Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ametangaza kuanza kwa utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa barabara na…

Full Shangwe Blog
Spotlight Dkt. mwigulu aalika wafanyabiashara…

Na Mwandishi WetuSERIKALI kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) na Shirika la Reli Tanzania (TRC) inaendelea kutekeleza mpango wa kujenga bandari kavu katika maeneo mbalimbali nchini ili kupunguza msongamano mkubwa wa malori jijini Dar es Salaam.Kauli hiyo ilitolewa na Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa Hud…

Michuzi
Ajira na Kazi Waziri wa ulinzi na jkt awataka wan…

WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Dk. Rhimo Nyansaho, amesema Shirika la Uzalishaji Mali la JKT (SUMAJKT), linaendelea kutoa mchango kwa nchi, hasa kupunguza tatizo la ajira kwa vijana kupitia kampuni zake tanzu. Amesema hayo alipotembelea banda la JKT katika Maon…

Nipashe
Nipashe Mwenda afafanua mchango wa ETS, Idr…

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa kushirikiana na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), imeanza mafunzo maalumu kwa wahasibu, wakaguzi, washauri wa kodi na wataalamu wa fedha kuhusu mabadiliko ya sheria za kodi yaliyomo katika Sheria ya Fedha ya mwa…

Nipashe
News 'Serikali haipangiwi tarehe, ipo im…

Ni baada ya Jeshi la Polisi kufanya ufuatiliaji wa karibu katika mitandao ya kijamii na majukwaa mengine.

Nukta
Chakula na Mapishi NMB yasogeza bima kidijitali kupiti…

Benki ya NMB imesema huduma ya NMB Kikundi Mini App, iliyopo ndani ya NMB Mkononi Super App, imebuniwa kurahisisha usimamizi wa vikundi kwa kuwawezesha wanachama na viongozi kupata huduma za kifedha kidigitali kwa usalama, uwazi na ufanisi zaidi. Akizungumza katika Banda la NMB kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Biashara…

Swahili Times
Featured Prediction Argentina vs Misri FIFA …

MEXICO CITY, Mexico UWANJA wa Azteca unaopatikana Kusini mwa Mji Mkuu wa Mexico, Mexico City. Ni moja ya viwanja vya soka vyenye historia ya aina yake. Baada ya Mexico kushinda zabuni ya kuandaa Kombe la Dunia mwaka 1970, muhandisi Pedro Ramirez Vazquez alipewa jukumu la kujenga uwanja wenye uwezo wa kupokea mashabiki…

Gazetini
Spotlight Bangu: Tutaingiza biashara ya mifug…

Afisa Tawala wa Wilaya ya Morogoro, Bi. Janeth Chatta,akizungumza wakati akifunga mafunzo ya wasimamizi wa shughuli za ghala kwa msimu wa biashara wa mbaazi na dengu 2026/2027 yaliyofanyika wilayani humo kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Morogoro. Kaimu Mkurugenzi wa Uratibu na Ubora wa WRRB, Bw. Mwita Thomas,akizungumza…

Michuzi
News PM's office backs disabled entrepre…

A rare reformist appeal from within the ruling party has turned the spotlight on CCM itself, as loyalists move to check Nchimbi

The Chanzo Initiative
Spotlight Waziri Mkuu Atoa Wito wa Kutafuta N…

Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Mheshimiwa Salma Rashid Kikwete, tarehe 7 Julai 2026 aliongoza Maadhimisho ya Siku ya Kiswahili yaliyofanyika katika Bunge la Uingereza (House of Lords), jijini London.Maadhimisho hayo yalifanyika kwa mwaliko maalum wa Mheshimiwa Lord Pa…

Michuzi
SPORT FIFA World Cup Group A Standings 20…

In the World Cup 2026 top scorers, Kylian Mbappe, the France captain, took the lead with 10 goals. Having emerged as the top scorer, Mbappe made history as the only player to get the Golden Boot twice. Lionel Messi, from Argentina, finished the tournament as the second top scorer with 8 goals. Other World Cup […]

SportPesa Blog
Nipashe Mamilioni Wamiminika Kumuaga Kiongo…

Marekani na Iran zimeendelea kushambuliana huku Rais Donald Trump akisema bado "hajamaliza kazi" ya kuishambulia nchi hiyo ambayo nayo imejibu hujuma za Washington kwa kuyalenga kwa makombora mataifa jirani ya kiarabu. Marekani imesema usiku wa kuamkia leo Jumatano kwamba imefany…

Nipashe
Nipashe Serikali yaitaka otr kuendeleza mag…

Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) imejiwekea lengo la kukusanya Sh2 trilioni kama mapato yasiyo ya kodi katika mwaka huu wa fedha 2026/27, ikiwa ni zaidi ya lengo la Sh1.79 trilioni ambalo Serikali imeipa taasisi hiyo. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) imejiwekea lengo la kukusanya…

Nipashe
Habari Rais Samia Aitunuku TBL Tuzo ya Wal…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameipatia Tanzania Breweries Public Limited Company (TBL)Tuzo ya Rais ya Walipakodi Bora katika Sekta ya Uzalishaji (Manufacturing), ikiwa ni kutambua mchango wa kampuni hiyo katika kukuza uchumi wa Taifa kupitia ulipaji sahihi wa kodi, uzal…

Swahili Times
Spotlight Wananchi watembelea banda la tmda s…

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Grace Magembe, ametembelea banda la TMDA katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) na kupongeza juhudi za Mamlaka katika kudhibiti bidhaa duni na bandia za afya.Aidha, ameitaka TMDA kuendelea kuimarisha elimu kwa umma kuhusu matumizi salama ya bidhaa…

Michuzi
Afya Mkenda ataka tiba asilia kuthibitis…

MKURUGENZI wa Sayansi wa Taasisi ya Afya Ifakara (IHI), Dk Ally Olotu, amesema taasisi hiyo imeendelea kushiriki katika tafiti na ubunifu mbalimbali unaolenga kufikia lengo la kutokomeza malaria nchini Tanzania kupitia uzalishaji wa ushahidi wa kisayansi na maendeleo ya teknolojia za afya.

Habari Leo
SPORT Ufaransa yatinga nusu fainali ya ko…

Hii ni ratiba ya nusu fainali FIFA Kombe la Dunia 2026 zikisalia timu 4 pekee.Ufaransa, Hispania, England na Argentina hizi zimefuzu kucheza hatua ya nusu fainali. Ni kutoka kwenye mfumo wa hatua ya makundi na ratiba ya safari hii umefanya timu hizi nne zinazoongoza kwa viwango vya ubora duniani kukutana kileleni kati…

SportPesa Blog
Tanzania Rais Samia Apongeza Hatua ya Maridh…

CHAMA cha ACT Wazalendo kimesisitiza umuhimu wa kulinda na kuendeleza amani ya Tanzania kwa kutumia mazungumzo na maridhiano, kikieleza kuwa tofauti za kisiasa hazipaswi kuwa chanzo cha migogoro bali fursa ya kutafuta mwafaka kwa maslahi ya taifa. Katibu wa Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma wa ACT Wazalendo Taifa, S…

Habari Leo
Spotlight Mgombea udiwani naye adai kutekwa n…

Soma zaidi...

Mwananchi
Nipashe Jumapili Vijana kunufaika mradi wa Dumisha A…

WAHITIMU wa mafunzo ya ufundi stadi 60, kati yao wanawake 38 wamepatiwa mafunzo katika fani nne, ikiwamo ubunifu wa mitindo na ushonaji wa mavazi na umeme wa majumbani. Hatua hiyo ni utekelezaji wa Mradi wa Dumisha Amani awamu ya pili mkoani Kigoma, kuwawezesha wahitimu hao kweny…

Nipashe Jumapili
Economy Tanzania seeks to transform the DIT…

DAR ES SALAAM: FOR many people, trade fairs are synonymous with colourful exhibition booths, product launches and commercial transactions. They are often viewed as platforms where private companies market their products, negotiate deals and expand their customer base. That perception, while valid, tells only part of t…

Daily News
Spotlight NACTVET yaonesha mafanikio ya elimu…

Jane Mwakyoma - Rukwa.Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga Missana Kwangura amehitimisha mafunzo ya utoaji wa elimu kuhusu fursa za mitaji kupitia mifuko na programu za uwezeshaji wananchi kiuchumi yaliyofanyika wilayani humo mkoani Rukwa.Kwangura aliyemwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga Nyak…

Michuzi
In-Depth Laying fiscal foundations for Visio…

DAR ES SALAAM: A SWEEPING push to expand irrigation, subsidise farm inputs, attract young people into agribusiness and strengthen food storage systems is set to redefine Tanzania’s agricultural landscape as the country pursues its Vision 2050 development agenda. Under Vision 2050, Tanzania aims to move beyond subsiste…

Daily News
Featured Waliostaafu baada ya kung’oka Kombe…

BOSTON, Marekani FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zilizochezwa kwa siku 39, kwenye viwanja 16, zikishirikisha wachezaji 1,039 kutoka timu 48, zilishuhudia mabao 308 yakifungwa katika mechi 104. Je, ni nani aliyeongoza kwa mabao, asisti? Ni timu zipo zilizofunga na kuruhusu mabao mengi? Makala fupi haya ya…

Gazetini
Tanzania Tanzania Tourism Minister tasks Tan…

ARUSHA: MINISTER for Natural Resources and Tourism, Dr Ashatu Kijaji, has directed the Tanzania National Parks Authority (TANAPA) to improve roads and bridges in national parks to ensure year-round accessibility as the country prepares to host major international events. Speaking during the swearing-in of the newly ap…

Daily News
Spotlight Vijana wahimizwa kutumia fursa za s…

Serikali imeahidi kuhakikisha washiriki wa mafunzo ya ujasiriamali yanayotolewa na Jukwaa Huru la Wahariri Tanzania (JUWATA) wanayafanyia kazi kwa vitendo kwa kuwawezesha katika mikopo inayotolewa na Halmashauri kupitia utengenezaji wa bidhaa mbalimbali zitakazochangia ukuaji wa uchumi.Kauli hiyo imetolewa mkoani Moro…

Michuzi
Mchanganyiko Mhe. ridhiwani atinga wilayani siko…

Na. Veronica Mwafisi-Tabora Tarehe 11 Julai, 2026 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete…

Full Shangwe Blog
Madini Tanzania,jica kupanua ushirikiano k…

MJIOLOJIA kutoka Ofisi ya Afisa Madini Mkazi Mkoa wa Njombe, Abbas Mruma, amesema Tanzania inaendelea kujijengea nafasi muhimu duniani kutokana na kuwa na hifadhi kubwa ya madini ya kimkakati, yakiwemo graphite, lithium na rare earth elements, yanayotumika katika teknolojia za kisasa na nishati safi.

Habari Leo
Uncategorized Waandishi wa habari wananufaika na …

Na mwandishi wetu, Gazetini Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeanzisha utaratibu wa kutoa ithibati ya uanachama wa maisha kwa waandishi wa habari waliokuwa na umri wa miaka 50 au zaidi mwaka 2016, hatua inayolenga kutambua mchango wa wanahabari wakongwe waliotumikia taaluma hiyo kwa muda mrefu na wanaoki…

Gazetini
Tanzania Tarura yaimarisha mpango wa cbrm ku…

DAR ES SALAAM: THE newly completed Kilongawima–Mbezi Beach Road is set to ease traffic congestion along the busy Bagamoyo Road corridor and improve connectivity for thousands of residents in Kinondoni District and surrounding areas. The 1.7-kilometre road, constructed by the Rural and Urban Roads Agency (TARURA) at a …

Daily News
Spotlight Rabia aridhishwa utekelezaji ilani …

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Idara ya Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Ndg Rabia Abdalla Hamid katika muendelezo wa Kusikiliza makundi mbalimbali ya kijamii, leo tarehe 11/07/2026 amesikiliza makundi ya kijamii 52 ndani ya Mkoa wa Songwe.Aidha, Ndg Rabia Abdalla Hamid amesema kuwa ameridhishwa na ute…

Michuzi
Featured Marekani Yaitaka Iran Kufungua Horm…

TEHRAN, Iran MAMLAKA za Iran zimetangaza rasmi kuufunga Mlango-Bahari wa Hormuz wakati huu jeshi lake likiendelea kushambuliana na Marekani. Hatua hiyo inaweza kuathiri bei ya mafuta, kama ilivyo wakati ule Iran ilipoifunga njia hiyo inayotumika kusafirisha asilimia 20 ya mafuta na gesi duniani. Tangazo la Iran linaku…

Gazetini
Featured Prof. shemdoe awaasa wanafunzi kuen…

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu akifuatilia maelezo ya Kijana Mnufaika wa Mafunzo ya Uanagenzi Fani ya Ufundi Bomba, Ismail Mbogo alipotembea Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST), kampasi ya Rukwa. Na OWM (KAM), Sumbawanga Serikali ya Awamu ya Sita imeendele…

Mzalendo
Spotlight Tet yajipanga kutekeleza dira ya ta…

Na Seif Mangwangi, Michuzi TV, ArushaSERIKALI imeipongeza Menejimenti na uongozi wa chuo cha ufundi Arusha (ATC), kutokana na bunifu mbalimbali zinazoendelea kufanywa chuoni hapo ikiwemo ujenzi wa karakana ya kisasa kwaajili ya kufundishia na uzalishaji wa bidhaa mbalimbali.Pongezi hizo zimetolewa na Naibu Katibu Mkuu…

Michuzi
SPORT Prediction Ufaransa vs Hispania FIF…

Ni Ufaransa vs Uingereza FIFA Kombe la Dunia 2026 mchezo wa kutafuta mshindi wa 3 kwa timu hizi bora. Ufaransa mabingwa mara mbili wa Kombe la Dunia watakuwa uwanjani tena mbele ya timu pinzani ya muda mrefu kutoka Ulaya. Mechi hii kali itachezwa usiku wa kuamkia Jumapili saa 6:00, Uwanja wa Miami. Fainali imethibitis…

SportPesa Blog
Spotlight Hifadhi skimu ni mkombozi kwa wanan…

Dar es Salaam, Julai 12, 2026Mbunge wa Jimbo la Ilemela na Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii, Mhe. William Kafiti, amesema Hifadhi Skimu ya Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) imeendelea kuwa mkombozi kwa wananchi waliojiajiri kwa kuwapa fursa ya kujiwekea akiba kwa ajili ya mai…

Michuzi
Meridianbet Meridianbet Yazindua SmartSoft Spin…

Kuna nyakati ambazo burudani inakuwa zaidi ya mchezo, inakuwa safari ya kusisimua iliyojaa matarajio, furaha na nafasi ya kuandika historia mpya ya ushindi. Huo ndiyo uzoefu ambao Meridianbet imewaletea wapenzi wa michezo ya kasino kupitia kampeni yake mpya ya SmartSoft Spin & Win Instant Prizes Tournament. Kampeni hi…

Soka La Bongo
Nipashe Uwekezaji sekta ya nishati wahitaji…

Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Prof. Said Ally Mohamed, ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kwa kuendelea kuhamasisha ushiriki wa wazawa katika miradi ya utafutaji na uendelezaji wa gesi asilia nchini. Akizungumza alipotembe…

Nipashe
Spotlight Vilio vya wenye magari mfumo mpya w…

Soma hapa...

Mwananchi
Nipashe Jumapili Wakulima wa korosho mtwara wamshuku…

SERIKALI imeweka msimamo mkali dhidi ya vitendo vya wizi, ubadhirifu na hujuma katika usambazaji wa pembejeo za ruzuku ya korosho, ikionya kuwa mtumishi yeyote atakayehusika atachukuliwa hatua za kisheria. Imesema lengo la hatua hiyo ni ili kuhakikisha wakulima wanapata stahiki z…

Nipashe Jumapili
Spotlight UN envoy hails Kiswahili’s role in …

By TBN Staff Writer, LondonSwahili Ambassador for Africa and former First Lady of Tanzania, Her Excellency Salma Kikwete, has underscored the vital role of the Kiswahili language in promoting unity, preserving culture and advancing social and economic development across Africa and the wider world.She said Kiswahili ha…

Michuzi
Mchanganyiko Elimu ya umma yaendelea kuimarisha …

Na. Mwandishi Wetu TUME ya Ushindani (FCC) imeendelea kutumia Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) kutoa elimu kwa…

Full Shangwe Blog
Politics Dr Samia insists on peace, reconcil…

ZANZIBAR: THE ruling party in Zanzibar, CCM, has called on political stakeholders to put national interests ahead of party differences, saying dialogue and reconciliation remain key to maintaining peace, unity and development in Tanzania. CCM Zanzibar Ideology, Publicity and Training Secretary, Khamis Mbeto Khamis, sa…

Daily News
SPORT Kumekucha cdf cup 2026, nmb yaweka …

Anaitwa Albert Kangwanda mchezaji mpya wa Yanga SC ambaye anacheza nafasi ya ushambuliaji, winga wa kushoto. Ana umri wa miaka 27 ni raia wa Zambia.Ni moja ya usajili ambao umetikisa kutokana na takwimu za mchezaji huyo ambaye anatajwa kuwa na nguvu akiwa uwanjani. Usajili mpya Yanga SC: Usajili mpya Yanga SC 2026/27 …

SportPesa Blog
Nipashe Jumapili Simulizi za waraibu wa dawa za kule…

KAMISHNA Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Rushwa (DCEA), Aretas Lyimo, amesema ushirikiano wanaoufanya na Mamlaka ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA), umekuwa ni nguzo muhimu katika kutekeleza majukumu kwa ufanisi na kuongeza mafanikio kuwezesha wataalamu kutoa usha…

Nipashe Jumapili
Sports & Entertainment Karia pushes Stars to impress at AF…

DAR ES SALAAM: AUROBINDO AKSC and Alliance Caravans have booked their places in the Petrofuel TCA Caravans Cup 2026 final after impressive performances in the Super Six stage, setting up a blockbuster title clash in one of Tanzania’s most competitive domestic cricket tournaments. The championship final will be played …

Daily News
Spotlight Ngorongoro yawakumbusha madereva ku…

Mwambata wa ubalozi wa Oman nchini Tanzania, Abdulrahman Salim Algaad akiwa na familia yake, ametembelea Hifadhi ya Ngorongoro na kushuhudia maajabu ya utalii yaliyopo katika kivutio namba moja cha utalii barani afrikaAkimpokea mwambata huyo, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Uhifadhi anayesimamia Huduma za Utalii na Ma…

Michuzi
Spotlight Mbunge wa kilindi mhe.mhando aendel…

KUTOKA VUNJOMBUNGE wa Jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro, Enock amewahimiza vijana kuendelea kumcha Mungu, kuzingatia maadili mema na kujiepusha na vitendo vinavyoweza kuhatarisha maisha na mustakabali wao.Koola alitoa kauli hiyo leo wakati wa ufunguzi wa bonanza la michezo la vijana wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri …

Michuzi
In-Depth Mwanza City braces for the 21st Wor…

MWANZA: MORE than a sporting spectacle, the 2026 Serengeti Safari Marathon is positioning itself as a transformative development platform aimed at redefining Tanzania’s tourism landscape by connecting the globally renowned Serengeti ecosystem with the vast, yet underutilized, tourism potential of the Lake Victoria bas…

Daily News
Spotlight Yas yawakabidhi washindi wa mixx su…

Kampuni ya huduma za fedha kidijitali Mixx imewataka Watanzania kuendelea kutumia huduma zake huku ikitangaza kuwa droo ya mwisho ya kampeni ya "Ikiingia Tu Goli" itafanyika wiki ijayo, ambapo mshindi mmoja atajishindia Shilingi milioni 50.Akizungumza wakati wa kukabidhi zawadi kwa washindi wa droo ya tisa ya kampeni …

Michuzi
Spotlight IMF yaipatia Tanzania Dola mil. 444…

Na Benny Mwaipaja, London.Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amewakaribisha wawekezaji kutoka jumuiya ya kimataifa, kuchangamia fursa za uwekezaji nchini Tanzania katika sekta mbalimbali zikiwemo miundombinu, nishati, viwanda, kilimo, madini na huduma za kifedha.Mhe. Balozi Omar ametoa wito huo jijin…

Michuzi
Mchanganyiko Rais dkt. samia kufungua mkutano mk…

Happy Lazaro, Arusha. Arusha .Serikali imeweka bayana kuwa mafanikio ya utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 yatategemea kwa kiwango kikubwa mchango wa…

Full Shangwe Blog
Spotlight BMH Clinic Treats 28,000 in First Y…

[Daily News] Dodoma -- BENJAMIN Mkapa Hospital's (BMH) Royal, International Patients and Master Health Checkup Clinic has treated more than 28,000 patients, including over 200 international clients, within its first year of operation.

AllAfrica News (Tanzania)
Siasa Kongamano la nishati : etdco yasisi…

NEW DELHI, INDIA, 19 JULAI 2026 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameishukuru Serikali ya India…

Full Shangwe Blog
Mchanganyiko GF Trucks Yatwaa Tuzo ya Ubora wa B…

Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi Anthony Sanga akiwa katika katika Mkutano wa Ngazi ya Juu wa Shirika la…

Full Shangwe Blog
Tourism Tanzania eyes Russian tourism boom …

DAR ES SALAAM: TANZANIA may attract fewer international tourists than Kenya, but it is generating substantially more tourism revenue, underlining the success of its strategy to attract higher-spending visitors and position itself as one of Africa’s highest-yield destinations. Official tourism data show Kenya welcomed …

Daily News
The Guardian Powering Tanzania’s future through …

SUSTAINED development of the energy sector requires greater focus on innovation, technology and investment to expand access to reliable energy services and support economic growth, a consultant has declared. Sayuni Mbwilo, an energy specialist with the United Nations Development …

The Guardian
Tourism Zanzibar Tourist Arrivals Rise 3.1%…

Tanzania recorded 2,294,495 international tourist arrivals in 2025, up 7.1% from 2,141,895, generating tourism earnings of USD 4,410.6 million, up 13% from USD 3,903.1 million, as average expenditure climbed 19.1% to USD 289 per person per night. Zanzibar took 654,880 of those arrivals, up 9%, and USD 1,190.8 million …

TanzaniaInvest
The Guardian Yanga's continental ambitions convi…

SIMBA SC head coach Steve Barker remained positive despite his side being held to a 0-0 draw by Somalia's Mogadishu City Club in their opening Group B match of the 2026 CECAFA Kagame Cup, insisting the result reflected where his team currently stands in its pre-season preparation…

The Guardian
The Guardian Think Tank Report on Xi Jinping Tho…

Li Shulei, a senior official of the Communist Party of China (CPC), said on Friday that a thorough study of Xi Jinping Thought on Socialism with Chinese Characteristics for a New Era is key to understanding contemporary China. Li, a member of the Political Bureau of the CPC Centr…

The Guardian
Artificial intelligence Samia scholarship students urged to…

DAR ES SALAAM: AFRICA must build its own artificial intelligence (AI) systems or risk becoming a consumer of technologies developed elsewhere, Minister for Education, Science and Technology Professor Adolf Mkenda have warned. He said investing in digital infrastructure, research and skills development is critical to e…

Daily News
The Guardian China aims to boost consumption, jo…

Chinese President Xi Jinping said on Monday that China stands ready to further strengthen bilateral and multilateral strategic coordination with Brazil. Xi made the remarks during a phone call with Brazilian President Luiz Inacio Lula da Silva.Xi said in recent years, the buildin…

The Guardian
Football Hispania yaitoa ubelgiji, yatinga n…

Kocha wa Spain, Luis de la Fuente, ametoa kauli kali dhidi ya wachezaji wa Argentina kufuatia vurugu zilizotokea baada ya fainali ya Kombe la Dunia 2026. Hispania walitwaa ubingwa kwa …

MeridianBet Sport
Magazeti Manispaa ya ubungo yashiriki maones…

PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO JULAI 15, 2026

Full Shangwe Blog
The Guardian Tanzania Sees Modest Relief at the …

A gradual recovery in global oil supplies is offering Tanzania hope of easing fuel import costs after months of energy market turmoil, but renewed fighting in the Gulf means the country is not yet out of danger. The International Energy Agency (IEA) says global crude production r…

The Guardian
Spotlight GENEVA: NeST YATWAA TUZO, MIONGONI …

Na Mwandishi WetuMAMLAKA ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) imeibuka mshindi wa kwanza katika kundi la Taasisi za Udhibiti kutokana na utoaji bora wa elimu kwa wananchi katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) 2026.Akizungumza mara baada ya kupokea tuzo hiyo, Meneja wa PPRA Kanda y…

Michuzi
Spotlight Akili unde iwe mshirika wa vijana, …

Vijana wa Tanzania wamehimizwa kujifunza na kutumia teknolojia ya akili unde (AI) ili kujenga ubunifu, kuanzisha biashara na kuongeza ushindani wa nchi katika uchumi wa kidijitali unaokua kwa kasi duniani.

Mwananchi
Mchanganyiko Kiongozi wa mwenge ampongeza chusa …

Na Mwandishi wetu, Mirerani MWENGE wa uhuru umetembelea na kukagua mradi wa maji wa thamani ya shilingi bilioni 4.3 utakaonufaisha watu 57000 wa Tarafa…

Full Shangwe Blog
Infographics Serikali yatenga bilioni 1 ukarabat…

KIGOMA: Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, MaryPrisca Mahundi ameitaka jamii kuwatenga watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja, ubakaji na ulawiti. Naibu Waziri Mahundi amesema hayo wakati wa kongamano la wadau wa kupinga ukatili mkoani Kigoma akijibu tuhuma na malalamiko yal…

Habari Leo
Spotlight Tanzania yatajwa kuwa na nafasi mau…

Balozi wa Tanzania nchini China, Dkt. Suleiman Haji, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Julai 14, 2026.Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA), Gilead Teri akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Julai 14, 2026.Na Mwandishi…

Michuzi
Spotlight Homera ataja sababu kutotekelezwa m…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Wizara ya Katiba na Sheria imeendelea kuimarisha huduma za upatikanaji wa haki kwa wananchi kupitia programu ya "Sema na Waziri", ambapo jumla ya malalamiko 29 yamepokelewa na kuanza kufanyiwa kazi, hatua inayotoa matumaini kwa wananchi wanaokabiliwa na changamoto mbalimbali za kisheria.H…

Michuzi
Nipashe Dada wa mshirika wa Trump ateuliwa …

Rais wa Marekani Donald Trump amebariki uteuzi wa Darline Graham Nordone, dada wa aliyekuwa Seneta wa Marekani Lindsey Graham, kuchukua nafasi yake baada ya mwanasiasa huyo wa jimbo la South Carolina kufariki dunia Julai 11, 2026. Gavana wa South Carolina, Henry McMaster, alitang…

Nipashe
The Guardian India, Japan Sign AI, Defence and E…

With an official visit to New Zealand from July 10-11, Narendra Modi became the first Indian prime minister to visit the country in 40 years. Before Modi, the last Indian prime minister to visit the country was Rajiv Gandhi. Modi’s visit followed New Zealand Prime Minister Christ…

The Guardian
Spotlight Prof.nombo ataka elimu izalishe uju…

Watendaji Wakuu wa Taasisi, Mashirika ya Umma na Wakala za Serikali wameagizwa kuhakikisha utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 unakuwa sehemu ya majukumu yao ya kila siku kwa kuoanisha mipango, bajeti na maamuzi ya Taasisi wanazoziongoza na malengo ya maendeleo ya Taifa.Agizo hilo limetolewa Julai 24, 2026 …

Michuzi
Featured Trump Aonya Kuishambulia Iran, Ataj…

TEHRAN, Iran VITA vinaendelea. Si Marekani wala Iran, kila upande umekiuka makubaliano ya kusitisha vita yaliyoingiwa na pande mbili hizo wiki chache zilizopita. Wakati vita vinaanza Februari 28,2026, Wamarekani na washirika wao, Israel, waliamini na hata kudai kuwa ingewachukua muda mfupi tu kumaliza kazi. Ni miezi m…

Gazetini
Spotlight Oryx gasi , skauti tanzania waungan…

Na Mwandishi WetuKATIKA kuunga mkono juhudi za Serikali za kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, Oryx Gas Tanzania imetoa mafunzo ya matumizi salama na sahihi ya gesi ya kupikia kwa makundi ya wajasiriamali mbalimbali yakiwemo mama na baba lishe.Mafunzo hayo yametolewa leo Julai 23,2026 katika Tamasha la Sa…

Michuzi
Africa TAZARA revival targets regional tra…

China’s Zijin Mining launches four ships on Lake Tanganyika to route DR Congo minerals through Tanzania, intensifying the contest with the US-EU-backed Lobito Corridor.

The Chanzo Initiative
The Guardian Digital mobility gains ground as Do…

A RANGE of foreign investors sought updates on the proposed $42bn liquefied natural gas (LNG) project, one of Tanzania’s largest planned investments. Responding to the concerns, Finance minister Khamis Mussa Omar said at the Tanzania strategic investment and partnership forum in …

The Guardian
Spotlight Serikali yataka wanahabari kuhamasi…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Waandishi wa habari na Maafisa Mawasiliano wa Serikali wametakiwa kutumia nafasi yao ya kuelimisha na kuhamasisha jamii kuhusu matumizi ya nishati safi ya kupikia ili kuunga mkono juhudi za Serikali za kufikia lengo la asilimia 80 ya Watanzania kutumia nishati hiyo ifikapo mwaka 2034.Wito…

Michuzi
Spotlight Eac kuendelea kuimarisha mfumo wa k…

Na Oscar Assenga,MKINGAJUMUIYA ya Afrika Mashariki (EAC) imeeleza itaendelea kuimarisha utekelezaji wa Mfumo Rahisi wa Biashara (Simplified Trade Regime-STR) ili kurahisisha biashara za mipakani, kuwawezesha wafanyabiashara wadogo kuongeza uzalishaji, kupanua masoko ya bidhaa zinazozalishwa ndani ya ukanda na kupunguz…

Michuzi
Sports & Entertainment Asas Rally team joins Mkwawa team i…

DAR ES SALAAM: HEADING to Kisarawe Rally this weekend, Mkwawa Rally team driver Samir Shanto has pledged to dedicate his victory to his family, most notably his daughter, Bint Shanto, who tied knots over the weekend. Shanto, who has been actively participating in the motor rally since early 1990s, said in Dar es Salaa…

Daily News
Health Public service week brings governme…

DAR ES SALAAM: THE Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI) has received international recognition after winning a prestigious Global Leadership and Excellence Award, strengthening Tanzania’s position as an emerging destination for specialised healthcare and boosting efforts to promote medical tourism. The award, which…

Daily News
Sports & Entertainment Young chess player Aditya returns h…

ARUSHA: THE Tanzania Chess Association (TACA) will distribute chessboards to five schools in every region as part of a nationwide initiative to expand the game and identify young talent. The announcement was made by TACA representative Louis Paaka during the International Chess Tournament Open 2026, organised by Elimu…

Daily News
The Guardian Xinhua Commentary: Cooling the heat…

Fast-growing new growth drivers, including AI-related industries, are fueling sustained growth in China's industrial profits, as the country's shift toward innovation-driven development gathers momentum. Profits at China's major industrial enterprises rose 18.7 percent year on ye…

The Guardian
Spotlight Dar RC instructs Kinondoni District…

Dar es Salaam Regional Commissioner Albert Chalamila has given bar and nightclub owners in Kinondoni District one week to comply with government regulations on noise control, safety, licensing and environmental standards or face closure.

The Citizen
News How SBL Is Investing in Tanzania's …

Tunduma’s youth dodge red tape and predatory loans, building businesses on sheer resilience without government backup

The Chanzo Initiative
Science & Technology Free Health Services Today, Stronge…

DAR ES SALAAM: ARTIFICIAL Intelligence (AI) has once again captured the world’s attention. In recent months, advanced AI systems have demonstrated an impressive ability to solve difficult mathematical problems, generate computer code, assist scientists in proving mathematical theorems and even perform exceptionally we…

Daily News
The Guardian How Xi Jinping's Chinese Dream Stre…

A speech delivered by Xi Jinping, general secretary of the Communist Party of China (CPC) Central Committee, at a gathering marking the CPC's 105th founding anniversary will be published on Thursday. The speech by Xi, also Chinese president and chairman of the Central Military Co…

The Guardian
Nipashe Serikali yaanza ujenzi wa maabara y…

Waziri wa Madini, Antony Mavunde, amewataka wakandarasi wanaojenga maabara mpya ya kisasa ya Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) kuhakikisha mradi huo unakamilika kwa wakati na kwa kuzingatia viwango vilivyowekwa. Amesema serikali itaendelea kuwekeza katika mi…

Nipashe
World Mkumbo: Vision 2050 to accelerate S…

NEW YORK: TANZANIA has earned international recognition for its progress in implementing the Sustainable Development Goals (SDGs) after presenting its Third Voluntary National Review (VNR) at the United Nations High-Level Political Forum (HLPF) on Sustainable Development in New York. Minister of State in the President…

Daily News
The Guardian Hakielimu Launches Safe Learning As…

AFRICAN countries have been urged to increase domestic investment in healthcare systems as part of efforts to build resilient, sustainable and self-reliant medical services across the continent. President Samia Suluhu Hassan issues this advice in addressing an extraordinary Afric…

The Guardian
Featured Vision 2050: Experts list health ca…

DAR ES SALAAM: TANZANIANS yesterday marked the sixth anniversary of the passing of Third Phase President Benjamin William Mkapa, as national leaders reflected on his enduring legacy of institutional reform, infrastructure expansion, and human capital development. Leaders and development stakeholders highlighted how th…

Daily News
Tanzania Tanzania holds preparatory talks he…

SALIMA: THE 28th Ministerial Committee Meeting of the Southern African Development Community (SADC) Organ on Politics, Defence and Security Cooperation concluded today, July 18, 2026, with member states urged to implement the resolutions adopted to strengthen peace, security and stability across the SADC region. The m…

Daily News
Nipashe TLGU Yazindua Dira ya 2026–2030, Ku…

Vodacom Tanzania PLC imezindua rasmi mashindano ya Gofu ya Vodacom Corporate Masters 2026 kwa kushirikiana na Oakwood Holdings Limited yatayofanyika Lugalo Golf Club, ikiwa ni sehemu ya dhamira yake ya kuimarisha uhusiano wa kibiashara, kukuza ushirikiano na kuleta fursa zenye ti…

Nipashe
Tanzania WS4H Yaweka Msingi wa Huduma Endele…

TANGA: WIZARA ya Maji imetangaza mikakati ya kuanzisha mfumo mpya wa upatikanaji wa fedha ujulikanao kama Alternative Financing, ikiwa ni jitihada za makusudi za kuharakisha ukamilishaji wa miradi mikubwa ya maji nchini na kuwaondolea wananchi kero ya ukosefu wa huduma safi na salama kwa wakati. Hayo yamebainishwa na …

Habari Leo
Spotlight Rais Samia Aongoza Kikao cha Baraza…

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma, tarehe 16 Julai, 2026.

Michuzi
Spotlight Rais dkt. mwinyi: kuwawezesha vijan…

Na Mwandishi WetuKAMPUNI ya Yas Tanzania imesema itaendelea kuenzi urithi wa Hayati Rais wa Awamu ya Tatu, Benjamin William Mkapa, kwa kuwekeza katika teknolojia za kidijitali na kuimarisha ushirikiano unaolenga kuboresha upatikanaji wa huduma za afya kwa Watanzania.Akizungumza katika hafla ya kuadhimisha urithi wa Ha…

Michuzi
Spotlight Investing in rural water is investi…

[Daily News] Mwanza -- ACCESS to clean and safe water in rural areas has increased from 64 per cent to 85.2 per cent under the first phase of the Sustainable Rural Water Supply and Sanitation Programme (SRWSSP), benefiting more than 10.2 million Tanzanians, the government has said.

AllAfrica News (Tanzania)
Habari Justin Bieber, Shakira, Madonna na …

NEW YORK – Nyota wa muziki duniani Justin Bieber ataungana na Shakira, Madonna na kundi la BTS kutumbuiza kwenye onyesho…

Global Publishers
Nipashe Kesi dhidi ya Baba Levo yaunguruma …

Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Kigoma, imetupilia mbali shauri la kupinga matokeo ya uchaguzi lililokuwa likimkabili Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini, Clayton Chipando, maarufu 'Baba Levo', aliyeshinda kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM). ​Uamuzi huo uliotolewa na Jaji V…

Nipashe
Spotlight Teknolojia za tari kifulilo zawavut…

NA DENIS MLOWE IRINGA TAASISI ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) Kituo cha Kifulilo kimesema ushiriki wake katika Maonesho ya Nanenane yanayofanyika mkoani Iringa kwa mara ya kwanza unalenga kuwafikishia wakulima teknolojia mbalimbali za kisasa zitakazowawezesha kuongeza uzalishaji, thamani ya mazao na kipato.Hayo y…

Michuzi
Spotlight Wananchi 1,986 wanufaika na mradi w…

MAMLAKA ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi (MUWSA) imeendelea na jitihada zake za kuhakikisha upatikanaji wa maji katika kata ya Marangu Mashariki wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro unakuwa ni wa uhakika ambapo wameendelea kuboresha miundombinu kwa kununua mabomba mapya ya kulaza umbali wa kilomita 13.Akizu…

Michuzi
Extractive Govt reinvests mining revenue to bo…

DODOMA: THE country’s mineral testing capacity is expected to improve significantly with the completion of the Geological Survey of Tanzania (GST)’s state-of the-art mineral testing laboratory, which is scheduled to be ready by September next year. The 690-day project, worth 14.3bn/-, aims to improve mineral sample te…

Daily News
Nipashe Mwenge wa uhuru 2026 wawasili wilay…

Mwenge wa Uhuru 2026 umeingia siku ya tano ya mbio zake mkoani Singida ambapo unatarajiwa kuzindua na kuweka mawe ya msingi kwenye miradi mbalimbali ya maendeleo yenye thamani ya Sh. bilioni 9.683 katika Halmashauri ya Manispaa ya Singida. Mkuu wa Wilaya ya Singida, Godwin Gondwe…

Nipashe
In-Depth DRC Emerges as Largest Transit Carg…

DAR ES SALAAM: ECONOMIC transformation is often assessed through indicators such as growth rates, export earnings, investment inflows and rising incomes. While these metrics offer an important measure of progress, they tell only part of the story. Sustained economic growth depends not only on what a country produces o…

Daily News
Mchanganyiko Uwanja wa ndege wa msalato wabadili…

■ Utekelezaji wake mbioni kukamilika ■ Wafanyabiashara wausubiri kwa hamu Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO Ule msemo wa Kiswahili unaosema “Mgeni njoo, mwenyeji apone”…

Full Shangwe Blog
Nipashe Maonesho ya nanenane iringa yalenga…

Maonesho ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi (Nanenane) ya Mkoa wa Iringa yamebeba ujumbe mmoja mkubwa kwa wakulima na wafugaji wakati wa kilimo cha kujikimu unafikia mwisho, sasa ni wakati wa kuwekeza katika kilimo cha biashara kinachozingatia teknolojia, masoko na uongezaji thamani wa m…

Nipashe
Spotlight Airtel Tanzania Yawajengea Vijana U…

Airtel Tanzania inaendelea kutekeleza dhamira yake ya kuwawezesha vijana kupitia ujuzi wa kidijitali unaozingatia utunzaji wa mazingira. Hii imefanyika kupitia mafunzo ya urejeshaji na ukarabati wa vifaa vya kielektroniki yaliyotolewa wakati wa warsha ya ReFab Dar 2, iliyofanyika jijini Dar es Salaam kuadhimisha Siku …

Michuzi
Spotlight TFS yapongezwa kurejesha hekta mili…

Na Mwandishi Wetu, Dar es SalaamWAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) umesema usimamizi endelevu wa misitu na rasilimali za nyuki ni nguzo muhimu katika kuimarisha usalama wa mazingira, kukuza uchumi na kujenga jamii zenye ustahimilivu dhidi ya athari za mabadiliko ya tabianchi barani Afrika.Kauli hiyo imetolewa J…

Michuzi
Siasa Rais dkt. mwinyi: elimu, maarifa na…

NEW DELHI, INDIA, 19 JULAI 2026 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema uhusiano wa kihistoria…

Full Shangwe Blog
Health Tanzania seeks NGOs’ support in imp…

DAR ES SALAAM: THE growing burden of noncommunicable diseases (NCDs) has become one of Tanzania’s most pressing public health challenges, with obesity emerging as a major risk factor behind the rising number of people diagnosed with diabetes, hypertension, heart disease and certain types of cancer. Health experts say …

Daily News
Mchanganyiko Watuhumiwa 239 wa uhalifu ikiwemo m…

Na Oscar Assenga, Tanga Operesheni zilizoendeshwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga kwa kipindi cha Juni 1 hadi Julai 16, 2026 zimewezesha…

Full Shangwe Blog
Football MELBET: INTO THE QUARTER-FINALS. Ma…

Founded in 1904, the French National Football Team is one of the great teams in the World with the most titles. The wins include two World Cups, one CONMEBOL-UEFA Cup, two UEFA European Championships, two FIFA Confederations Cups and one UEFA Nations League title. Les Bleus also qualified for the 2026 FIFA World Cup b…

SportPesa Blog
The Guardian Brazil, Poland back Dar’s push for …

INNOVATORS and technology designers need to develop artificial intelligence (AI) solutions that are safe, fair, practical and focused on improving human development, the government has appealed. Prof. Adolf Mkenda, the Education, Science and Technology minister, issued this appea…

The Guardian
Spotlight TZ’s hospitals perform heart surger…

The announcement comes a day after a fundraising event aimed at improving treatment services for heart diseases and organ transplant procedures raised more than Sh2.2 billion.

The Citizen
Habari NMB yang’ara London, yatwaa Tuzo ya…

-Mkopo wa dola milioni 100 waimarisha utekelezaji wa Agenda 2030 na Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 Benki ya…

Global Publishers
Africa Mlipuko wa Ebola 2026: Visa vyafiki…

KINSHASA, DRC WATU zaidi ya 1,000 wameshapoteza maisha ndani ya miezi miwili ya ugonjwa wa Ebola nchini DRC, idadi kubwa zaidi, ikilinganishwa na mlipuko wa mwaka 2014 na 2016. Katika ripoti ya Wizara ya Afya ya DRC, visa 2,536 na vifo 1,033 vimejitokeza tangu maambukizi ya Ebola y’all kuripotiwa Mei 15, 2026. Ni tofa…

Gazetini
Spotlight Hispania vs Argentina: Tazama Faina…

SUBIRA IMEKWISHA! 😱⚽Fainali ya FIFA WORLD CUP 2026 inakuja na Oryx Energies tuko tayari kuitazama pamoja nawe! Tukutane Mbagala ZakhemJumapili | 19 July 2026 Tunayo kwa ajili yako: 🎉 Screen kubwa 🎧 Live DJ & Burudani 🍔 Vyakula na vinywaji 💯 Hakuna kiingilio Wacha mpira unoge! Tujaze uwanja tucheke, tupige kelele na t…

Michuzi
Afya Wagonjwa 9,500+ wanufaika matibabu …

ARUSHA: Wagonjwa 258 waliobainika kuhitaji upasuaji mkubwa katika Kambi ya Matibabu ya Bure iliyoratibiwa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, ambaye pia ni Mbunge wa Arusha Mjini, Paul Makonda, wanatarajiwa kuanza kupatiwa matibabu ya kibingwa wiki ijayo katika hospitali mbalimbali za rufaa nchini. Akizu…

Habari Leo
Tanzania Youth to benefit from Dumisha Amani…

GEITA: THE Tanzanian government is shifting its focus from development plans on paper to the delivery of tangible projects, as it accelerates infrastructure investment to improve livelihoods and stimulate economic growth, Minerals Minister Anthony Mavunde has said. Speaking during a public rally in Lugunga Village, Mb…

Daily News
Business New tobacco technology strengthens …

KAGERA: COFFEE farmers in Kagera Region have earned more than 29bn/- through Tanzania Coffee Board (TCB) auctions held between July 9 and 16 this year, buoyed by strong demand and favourable prices in local and international markets. TCB Director General Primus Kimaryo said that on July 9, farmers sold 3.75 million ki…

Daily News
Diplomasia Rais samia: tanzania na misri kuung…

SERIKALI ya Tanzania na Misri zimekubaliana kuimarisha ushirikiano katika sekta ya kilimo, hususan kilimo cha umwagiliaji, kwa lengo la kuongeza uzalishaji wa chakula na kuimarisha usalama wa chakula nchini.

Habari Leo
Habari za michezo Yanga Waanze Kujipanga, Beki Simba …

SAN FRANCISCO, MAREKANI – Nyota wa mpira wa kikapu, Seth Curry, ameweka wazi kuwa yuko tayari kuongeza mkataba na kuendelea kuitumikia klabu ya Golden State Warriors, mradi tu pande zote mbili zifikie makubaliano katika kipindi hiki cha usajili wa wachezaji huru (free agency). Seth, ambaye ni mdogo wake na nguli wa Wa…

Soka La Bongo
The Guardian China supports new Thai administrat…

Chinese President Xi Jinping on Friday urged China and Cambodia to carry forward the ironclad friendship forged by the older generations of leaders of the two countries. Xi made the remarks in his meeting with Cambodian Prime Minister Hun Manet, who is here to attend the 2026 Wor…

The Guardian
Spotlight Ras arusha asisitiza ushirikiano ba…

DKT. NGUVILA AMSHUKURU RAIS SAMIA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO ARUSHA

Mkoa wa Arusha
Global TV Online Video: Maopena Akamatwa kwa Tuhuma …

Miili ya Hamza Juma Omary na mdogo wake Ally Juma Omary, wanaodaiwa kuuawa na mtoto wa Hamza, Hosam Hamza, imezikwa…

Global Publishers
SPORT Kocha Mngqithi Ndiye Aliyesuka Kiko…

Zikiwa zimebaki siku chache kuelekea kufunguliwa kwa pazia la Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2026/27, uongozi wa Yanga SC umeendelea kufanya usajili wa maboresho ya kikosi chao. Miongoni mwa taarifa kubwa kwa timu hiyo ni mabadiliko ya benchi la ufundi, ambalo kwa sasa linaongozwa na kocha raia Manqoba Mngqithi. Lakini ta…

SportPesa Blog
Simba SC Baada Ya kuwindwa Na Simba, Yona Ac…

KATIKA kuendelea kujiimarisha kuelekea msimu mpya wa 2026/27, Singida Black Stars imekamilisha usajili wa winga hatari raia wa Ivory Coast, Aubin Kramo. Usajili huu ni sehemu ya mkakati mzito wa klabu hiyo katika kuunda kikosi chenye ushindani mkubwa kwenye mashindano ya ndani na yale ya kimataifa. Kramo anarejea tena…

Soka La Bongo
Spotlight Makonda: uwekezaji wa teknolojia za…

Na Mwandishi WetuWAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, ambaye pia ni Mbunge wa Arusha, Paul Makonda, ameridhishwa na maboresho yanayoendelea katika Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Center inayotoa huduma kwa ushirikiano na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete, ALMC–JKCI Arusha.Maboresho hayo yanafanyika kwa uwe…

Michuzi
Afya Bunifu MUHAS zaanza kutoa majibu ch…

DAR ES SALAAM: Ubunifu wa Saratani AI na Dawa Mkononi ni miongoni mwa miradi iliyoanzia katika tukio la Winning Line Academic Event la Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), ambayo sasa imeendelea kutoa suluhisho kwa wananchi ndani na nje ya Tanzania. Ubunifu huo umetajwa kuwa sehemu ya mafanikio…

Habari Leo
Michezo Messi Afunguka Baada ya Argentina K…

Fainali ya leo kati ya Argentina na Spain itakuwa mtihani mkubwa wa mifumo miwili tofauti ya kimbinu inayofanya vizuri zaidi…

Global Publishers
Michezo Mbappe Ampita Messi Kuwa Mfungaji B…

Kylian Mbappe ameandika historia mpya katika Kombe la Dunia baada ya kumpita Lionel Messi na kuwa mfungaji bora wa muda…

Global Publishers
Europe Trump kuhudhuria fainali ya kombe l…

OSLO, Norway SHIRIKISHO la Soka la Norway (NFF) limetangaza nia yake ya kumshitaki Rais Donald Trump kwa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA). Norway wanapeleka barua yao kwa FIFA wakilalamikia Rais Trump kuingilia adhabu ya kadi nyekundu ya mshambuliaji wa timu ya soka ya Taifa ya Marekani, Folarin Balogun, wakati …

Gazetini
Spotlight UFC Fight Night Serbia: Meridianbet…

Meridianbet inatimiza miaka 25 kwa kishindo kikubwa, kudhamini pambano la kwanza la UFC kufanyika Serbia, UFC Fight Night Belgrade, tarehe 01 mwezi wa 08. Hii ni zawadi kwa vijana na mashabiki wa michezo, tukio la kihistoria linaloleta msisimko wa dunia moja kwa wapenzi wa burudani.Kwa udhamini huu, Meridianbet imewek…

Michuzi
Nipashe Jumapili Mwenge wa uhuru waweka jiwe la msin…

KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Wazo Mwang'onda, amewataka wananchi kuendelea kulinda amani na utulivu nchini, ili kuwezesha serikali kuendelea kuwaletea maendeleo makubwa zaidi. Akizungumza leo, Julai 19, 2026 wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi la mradi wa ujenzi w…

Nipashe Jumapili
News Trc yatoa rai kwa wasafirishaji wa …

Mpaka sasa, vipande viwili vya Dar es Salaam–Morogoro na Morogoro–Makutupora tayari vinatoa huduma, huku vingine vikiendelea na ujenzi

Nukta
Nipashe Pochettino Afurahia Balogun Kuruhus…

KOCHA wa timu ya taifa ya Marekani, Mauricio Pochettino, amesema atafanya uamuzi kuhusu mustakabali wake wiki ijayo huku akifanya mazungumzo na Shirikisho la Soka la Marekani kwa uwezekano wa kuongeza mkataba wake hadi Kombe la Dunia 2030. Akizungumza na redio ya Cadena Cope nchi…

Nipashe
SPORT Yanga Princess Kukamilisha Usajili …

Zimebaki siku chache kuelekea kufunguliwa kwa pazia la Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2026/27, ambapo uongozi wa Yanga SC umeendelea kushusha vyuma kufanya maboresho ya kikosi chao. Miongoni mwa Sajili kubwa ambazo zimekamilika na kutangazwa ni ya straika wa kimataifa, Cheikh Ibrahima Toure ambaye ana uraia pacha wa Seneg…

SportPesa Blog
Michezo na Burudani Simba Day 2026: Simba SC Kuvaana Na…

DAR ES SALAAM: Simba SC wametanga kumnasa mshambuliaji, Ibrahim Doumbia kutoka QS Korofina ya Mali kwa mkataba wa miaka miwili. Simba SC wanaendelea kutambulisha wachezaji wapya kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu. Hadi sasa wamewatambulisha wachezaji wanne. Wachezaji hao ni Bakari Msimu, Kelvin Nashon, Nathaniel Chilambo…

Habari Leo
Nipashe Simba Yashinda Vita Ya Mwalimu, Aza…

KLABU ya Azam FC imechafukwa, kwani juzi usiku imemtambulisha beki wa kati, Lupini Dieumerci akitokea AS Maniema ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo. Azam imemtambulisha beki huyo siku mbili tu baada ya kumleta beki mwingine wa kati, raia wa Ubelgiji, Henri Stanic kutoka Stellenbo…

Nipashe
Spotlight Wananchi sale washirikiana na serik…

USHIRIKIANO NA UADILIFU NI SILAHA YA KULINDA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO: RC SENYAMULE

Mkoa wa Dodoma
Spotlight Waliofariki dunia kwa tetemeko Vene…

Idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na matetemeko mawili makubwa ya ardhi yaliyotikisa Pwani ya Karibiani nchini Venezuela mwezi uliopita imefikia 5,119, huku shughuli za uokoaji zikiendelea na mamlaka zikiendelea kuopoa miili kutoka kwenye vifusi vya majengo yaliyoporomoka.

Mwananchi
Meridianbet Fainali Ya Argentina vs Spain: Vita…

Fainali ya leo kati ya Argentina na Spain si mchezo wa kawaida wa soka ni mkutano wa vizazi viwili tofauti vya mpira wa miguu. Upande mmoja kuna Lionel Messi, mwenye umri wa miaka 38, akicheza huenda michuano ya Dunia yake ya mwisho, akitafuta kuweka muhuri wa mwisho kwenye urithi wake kwa kuwa nahodha wa kwanza […]

Soka La Bongo
Michezo Hispania yatwaa kombe la dunia 2026

Mabingwa wapya wa Kombe la Dunia 2026, Hispania, wamerudi kileleni mwa viwango vya ubora vya FIFA kwa upande wa timu…

Global Publishers
Spotlight Serikali yaimarisha utayari wa kuka…

Serikali kupitia Wizara ya Afya imeendelea kuimarisha utayari wa kukabiliana na ugonjwa wa Ebola kwa kuendesha mafunzo kwa vitendo kwa wataalamu wa afya, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuendelea kuimarisha uwezo wa mfumo wa afya katika kuzuia, kugundua na kutoa mwitikio wa haraka dhidi ya magonjwa ya mlipuko.Hayo yamese…

Michuzi
Michezo Yanga Yamtambulisha Chuga Boy Kutok…

Klabu ya Yanga imemtambulisha rasmi mshambuliaji chipukizi Juma Issa Abushuri, maarufu kama Chuga Boy, kuwa mchezaji mpya wa timu hiyo…

Global Publishers
Yanga SC Mwamnyeto Mguu Nje Mguu Ndani Yanga

Nahodha na beki tegemeo wa Yanga SC, Bakari Mwamnyeto, amefikia makubaliano ya maslahi binafsi na uongozi wa klabu hiyo kwa ajili ya kusaini mkataba mpya wa miaka miwili. Hatua hii inadhihirisha wazi dhamira ya mabingwa hao wa nchi kuendelea kubaki na safu yao imara ya ulinzi. Taarifa za ndani kutoka ndani ya klabu ya…

Soka La Bongo
Diplomacy Egypt Pledges to Fast-Track Joint S…

DAR ES SALAAM: TANZANIA and Egypt have reaffirmed their commitment to strengthening their strategic partnership, with renewed focus on advancing the African Continental Free Trade Area (AfCFTA), the African Union’s Agenda 2063 and efforts to build a peaceful, united and prosperous Africa. Deputy Minister for Foreign A…

Daily News
Spotlight Gates of Olympia Yawazawadia Watanz…

Katika kipindi cha tarehe 01 hadi 15 Julai, mchezo wa kasino wa Monopoly Big Baller umeibuka kama mfalme wa malipo kwa wachezaji ndani ya Meridianbet. Zaidi ya Tsh. 11,700,000/= zimetolewa kwa washindi, jambo linalothibitisha kuwa huu si mchezo wa kawaida bali ni chanzo cha furaha na ushindi halisi.Wachezaji wengi wam…

Michuzi
SPORT Ratiba ya Simba SC mechi 10 za msim…

Hatimaye ratiba ya Ligi Kuu ya NBC kwa msimu wa 2026/27, ambapo tayari kikosi cha Simba SC kimechapisha taarifa kuhusu mechi zao 10 za kwanza. Ratiba hiyo inaonyesha kuwa Simba SC wanatarajia kuwa na mechi 10 za moto, ikiwemo mchezo wa Kariakoo Dabi vs Yanga SC unaotarajiwa kupigwa Oktoba 10, 2026. Simba wataanza na m…

SportPesa Blog
Nipashe Balozi Mndeme awataka Watanzania ku…

Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Swahiba Mndeme, amewataka Watanzania wanaoishi nje ya nchi kutumia lugha ya Kiswahili kama fursa ya kiuchumi, akisema lugha hiyo imeendelea kuenea na kutumika katika mataifa mbalimbali duniani. Akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Kiswahili …

Nipashe
Spotlight Mixx, serikali ya zanzibar kushirik…

Zanzibar imezindua rasmi huduma ya usafiri wa umma kwa kutumia mabasi ya umeme, ikiwa ni hatua inayolenga kuimarisha mfumo wa usafiri wa kisasa, kupunguza uchafuzi wa mazingira na kuongeza ufanisi wa huduma za usafiri kwa wananchi.

Mwananchi
Spotlight Sporting dhidi ya Strasbourg: Mechi…

Usiku wa leo Sporting CP watakutana na klabu ya Kifaransa RC Strasbourg katika mechi ya kirafiki ya maandalizi ya msimu mpya wa 2026/27. Mechi hii itachezwa katika Uwanja wa Estádio do Algarve, na itakuwa ni hatua ya mwisho ya kambi ya mafunzo ya Sporting huko Algarve, ambayo ilianza tarehe 11 Julai. Mechi hii inakami…

Michuzi
The Guardian China-proposed global initiatives o…

The global initiatives proposed by China chart a course toward a more just and equitable international order characterized by multilateralism and greater representation for developing countries, Egyptian experts said at a seminar in Cairo on Saturday. Organized by the Cairo-based…

The Guardian
Spotlight Tanzania yaenzi urithi wa nelson ma…

Na Janeth Raphael - MichuziTv Serikali imepanga kuwaweka kambini wanafunzi 1,050 waliofanya vizuri zaidi katika Mtihani wa Kidato cha Sita mwaka 2026 na kuchaguliwa kunufaika na mpango wa Samia Scholarship, ambapo watapatiwa mafunzo maalumu ya kuwaandaa kabla ya kuanza masomo yao ya elimu ya juu.Kambi hiyo itafanyika …

Michuzi
Habari Mastaa 5 wa Kombe la Dunia Waliooa …

Nyota wa Hispania na Barcelona, Lamine Yamal, amekuwa aking’ara duniani akiwa mmoja wa wachezaji bora wa kizazi chake, huku wazazi…

Global Publishers
Football Real Madrid Wajiondoa Kwenye Mbio z…

Chelsea wako mbioni kukamilisha moja ya usajili wao wa kuvutia zaidi msimu huu wa kiangazi, usajili wa Maxence Lacroix. Beki huyo wa Kifaransa mwenye umri wa miaka 26 amepangiwa kufanyiwa …

MeridianBet Sport
Habari Aston Villa Yamnasa Johan Manzambi,…

Vilabu vikubwa barani Ulaya vinaendelea kujipanga kuelekea msimu mpya huku tetesi za usajili zikizidi kushika kasi. Arsenal na Liverpool zimeonyesha…

Global Publishers
Basketball Wilson Aanza Kuwa Tishio Huko Vegas

Kwa muda mrefu, Giannis Antetokounmpo alikuwa nguvu mjini Milwaukee, akiwa MVP mara mbili, bingwa wa NBA mwaka 2021, na moyo wa mashabiki wa Bucks. Lakini baada ya dili kubwa lililompeleka …

MeridianBet Sport
Daily News Barcelona Iko Tayari Kumuuza Jules …

Arsenal wamekamilisha usajili wa Christos Tzolis kutoka Club Brugge kwa ada ya pauni milioni 34 baada ya nyota huyo kuwa na msimu bora uliomshuhudia akifunga mabao 22 na kutoa pasi …

MeridianBet Sport
Business Building African Financial Markets …

DAR ES SALAAM: BANKING and industrial stocks are poised to lead the next phase of gains on the Dar es Salaam Stock Exchange (DSE), as abundant liquidity, easing bond yields and rising investor confidence reinforce demand for equities despite continued foreign selling. Market analysts say improving corporate earnings, …

Daily News
Football Marcus Rashford Ajiunga na Kambi ya…

Hali ya Marcus Rashford na Manchester United imeingia tena kwenye sintofahamu. Baada ya mkopo wenye mafanikio Barcelona msimu uliopita, United walitarajia sana kwamba Barça wangechukua chaguo lao la kumnunua kwa …

MeridianBet Sport
Nipashe Mlinzi wa shule akutwa amefariki da…

Majonzi yamegubika Kijiji cha Chemchem, Kata ya Arusha Chini, Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, baada ya watu watano wa familia moja kufariki dunia kufuatia ajali ya mtumbwi katika Bwawa la Nyumba ya Mungu. Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Kilimanjaro, Jere…

Nipashe
Spotlight Prof Kabudi aisifu Ubungo kwa kunun…

Dar es Salaam‎‎Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Prof. Palamagamba Kabudi amesisitiza umuhimu wa kuhakikisha miradi inayotekelezwa kupitia mradi wa Uboreshaji Jiji la Dar es Salaam (DMDP) inazingatia ubora, kasi ya utekelezaji na matumizi sahihi ya fedha za umma.‎Prof. Kabud…

Michuzi
Tourism Tanzania, Japan affirm cooperation …

BUSAN: THE Tanzanian government has outlined a series of measures it is implementing, in collaboration with UNESCO, the International Union for Conservation of Nature (IUCN), the International Council on Monuments and Sites (ICOMOS) and other international partners, to ensure the Ngorongoro Conservation Area retains i…

Daily News
Europe Guardiola atarejesha ufalme wa Ital…

LONDON, Uingereza SHIRIKISHO la Soka la Italia (FIGC) limeanza mazungumzo na kocha aliyeondoka Manchester City, Pep Guardiola, likijaribu kumshawishi kuchukua nafasi ya Gennaro Gattuso aliyeondoka kwenye benchi la ufundi la timu ya taifa. Gattuso aliachia ngazi Aprili, 2026, baada ya Italia kufungwa na Bosnia katika m…

Gazetini
Business How the Tanzanian finance minister’…

LONDON: TANZANIA and global financial giant Citibank have renewed discussions on expanding access to international capital markets, financing strategic infrastructure projects and attracting private sector investment as the country accelerates implementation of its long-term development agenda. The discussions were he…

Daily News
Featured Argentina Yarejea Nyumbani Bila Mes…

BUENOS AIRES, Argentina HIVI unafahamu kuwa marais wa Argentina wamekuwa makini kuhudhuria viwanjani na wengine hubaki nyumbani pindi timu yao ya soka ya Taifa inapocheza mechi muhimu? Ndiyo, kwa utamaduni wa muda mrefu nchini humo, rais anaweza kuipa ‘gundu’ timu ya taifa endapo atakuwa jukwaani. Hii ilianzia wakati …

Gazetini
Spotlight Waziri wa Fedha ashiriki Mkutano wa…

Na Benny Mwaipaja, London.Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (MB), ameanza ziara ya kikazi ya siku sita jijini London, Uingereza, ambapo atashiriki katika matukio mbalimbali ikiwemo kuwa Mgeni Rasmi katika uzinduzi wa hatifungani ya kwanza ya nje yenye sarafu ya Shilingi ya Tanzania inayotolewa na Shirika …

Michuzi
Spotlight RC Mtambi atoa siku moja kwa kampun…

Sambamba na agizo hilo, Kanali Mtambi amemtaka Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma kutoa usafiri wa kuihamisha familia hiyo kutoka eneo la machimbo kwenda makazi mapya yaliyotengwa kwa ajili yao.

Mwananchi
Sports & Entertainment Twiga Stars put finishing touches o…

MOROCCO:TANZANIA Women’s national team head coach, Bakari Shime, says a victory over South Africa in today’s opening match of the 2026 Women’s Africa Cup of Nations (WAFCON) would provide the confidence and momentum needed for Twiga Stars to enjoy a successful tournament. Speaking ahead of the encounter, Shime acknowl…

Daily News
Nipashe Aston Villa Yaanza Mazungumzo Kumsa…

CHELSEA inavutiwa kumsajili mlinzi wa England, John Stones, kwa uhamisho wa bure baada ya kuondoka Manchester City, kwa mujibu wa ESPN. Timu hiyo ya magharibi mwa London imejiunga na Inter Milan katika kuwania saini ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 32, ambaye amekuwa mchezaj…

Nipashe
Habari Lissu Afikishwa Mahakama Kuu Kesi y…

Mkuu wa Gereza la Ukonga, ACP Andrew Shaban, amesema hafahamu kama Tundu Lissu aliwahi kuwa Rais wa Chama cha Wanasheria…

Global Publishers
Spotlight Detained Udom lecturer Kaijage gran…

The legal saga involving University of Dodoma (Udom) lecturer Melkisedeki Kaijage has taken a new turn after prosecutors upgraded his charge to terrorism.

The Citizen
Spotlight Katibu mkuu wa oacps awasili nchini…

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amewaapisha viongozi wapya aliowateua katika nafasi mbalimbali za Serikali na kuwataka kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia uadilifu, uwajibikaji, ushirikiano na utoaji wa matokeo yanayogusa maisha ya wananchi. Rais Samia ameeleza hayo leo Jumatatu Julai 27, 2026, Ikulu ya Tun…

Mwananchi
Spotlight Waziri wa kilimo agiza kukamilisha …

SERIKALI imewaahidi wakazi wa kijiji cha Endashangwet, Wilayani Karatu katika Mkoa wa Arusha kuwa ujenzi wa soko la vitunguu ukikamilika kwa awamu zote litakuwa soko la kuuza vitunguu masoko ya kimataifa zaidi ya soko la Kenya.Ametoa ahadi hiyo Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo (Mb) akiwa ziarani Arusha kukagua u…

Michuzi
Spotlight Wananchi watakiwa kufanya ulinzi kw…

Wananchi wa Kata ya Chang'ombe na Totowe, Wilaya Songwe Mkoa wa Songwe, wametakiwa kuendelea kushirikiana na Jeshi la Polisi katika kupambana na uhalifu, hususan vitendo vya ukatili dhidi ya watoto, kwa kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu ili hatua za kisheria zichukuliwe kwa wakati.Kauli hiyo ilitolewa na Mkuu wa Mk…

Michuzi
Spotlight Tume ya madini yajipanga kuongeza u…

-Dkt. Numbi atoa somo kutoka Ghana kuhusu usimamizi wa ushirikishwaji wa wazawa katika Sekta ya Madini📍MWANZATume ya Madini imejipanga kuimarisha usimamizi wa ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini kwa kuhakikisha watoa huduma na wazalishaji wa bidhaa wanakidhi vigezo na viwango vya ubora vinavyohitajika,…

Michuzi
Tanzania President dr. mwinyi: zanzibar and …

ZANZIBAR: ZANZIBAR President Dr Hussein Mwinyi on Friday swore in newly appointed High Court judges and the Chairperson of the Public Leaders’ Ethics Commission, who vowed to uphold justice, integrity and accountability in serving the public. The officials made the commitment shortly after taking their oaths at a cere…

Daily News
Health Govt targets irrigation, markets to…

ARUSHA: AGRICULTURE Minister Daniel Chongolo has pledged to spearhead efforts to secure an X-ray machine for Lowassa Sepeko Health Centre in Monduli District, saying the equipment will strengthen emergency medical services for residents, travellers and tourists using the Arusha–Dodoma highway. The highway also serves …

Daily News
Spotlight Polisi ngara wawafikia watoto yatim…

Jeshi la Polisi Wilaya ya Ngara, Mkoa wa Kagera, limeendelea kuwafikia wananchi na makundi mbalimbali yenye uhitaji katika jamii kwa lengo la kuimarisha ushirikiano na jamii, kutoa elimu pamoja na kuwajulia hali wananchi wanaolitegemea Jeshi hilo katika ulinzi wao na mali.Katika mwendelezo wa shughuli hizo, Jeshi la P…

Michuzi
Europe Italia Yapambana Kufanya Mapinduzi …

MILAN, Italia ANDREA Pirlo amesema hawezi tena kupewa kibarua cha kuinoa timu ya soka ya Taifa ya Italia. Hiyo imesababishwa na wanasiasa. Iko hivi; Pirlo ni miongoni mwa makocha wanahusishwa na kazi hiyo na hivi karibuni imeelezwa kuwa ndiye anayepewa nafasi kubwa. Hata hivyo, wanasiasa nchini Italia wamesema mkongwe…

Gazetini
Spotlight Mixx powers cashless payments for Z…

[Daily News] Zanzibar -- Zanzibar is moving towards a cashless public transport system after digital financial services provider Mixx was selected to manage fare payments for the newly launched ZanBus electric bus project, combining digital payments with the island's push for cleaner and more efficient mobility.

AllAfrica News (Tanzania)
The Guardian Govt Backs Arbitration to Drive Vis…

THE government has called on public entities to position themselves as drivers of economic growth by creating a business-friendly environment through efficient systems. Ridhiwani Kikwete, the Public Service Management and Good Governance state minister in the President's Office, …

The Guardian
Burudani Mbosso, Bonge La Dada Kazi Inaongea!

Staa wa muziki wa Bongo Fleva, Harmonize, ameachia rasmi wimbo wake mpya unaoitwa “Love Design” akimshirikisha rapa Darassa, Julai 24,…

Global Publishers
Nipashe Oryx Yagawa Mitungi 600 Ya Gesi Kuh…

Mbunge wa Jimbo la Bagamoyo, Subira Mgalu, amesema matumizi ya nishati safi ua kupikia inapunguza athari za kiafya zinazotokana na matumizi ya nishati chafu kama kuni na mkaa. ‎ Mgalu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge na Nishati na Madini ameyasema hayo leo ka…

Nipashe
Spotlight Katibu mkuu ccm azungumza na wabung…

DODOMA | 24 Julai 2026Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, amekutana na Wabunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) kutoka Tanzania Makao Makuu ya CCM, Dodoma, na kuwapongeza kwa dhamana ya kuiwakilisha nchi katika chombo hicho cha kikanda.Katika mazungumzo hayo yaliyofany…

Michuzi
Spotlight Maternal Deaths Fall Sharply in Kon…

[Daily News] Dodoma -- MATERNAL deaths in Kongwa and Mpwapwa Districts have fallen significantly following a five-year health initiative that strengthened emergency obstetric and newborn care services, improved health infrastructure and increased access to essential medical supplies.

AllAfrica News (Tanzania)
Spotlight Kiswahili Drives Tanzania-Oman Trade

[Daily News] Dar es Salaam -- TANZANIA'S Ambassador to Oman, Ms Maulidah Hassan, has urged Omani traders and investors to learn Kiswahili, saying the language has become a strategic tool for trade, investment and economic diplomacy in East Africa.

AllAfrica News (Tanzania)
Society AFCON 2027 offers Tanzania chance t…

DAR ES SALAAM: THE government is upgrading recreational facilities at Pande game reserve to attract tourists and football fans expected to visit Tanzania during the 2027 Africa Cup of Nations (AFCON). The improvements include a swimming pool, children’s playground, mini football pitch and beach volleyball court, Perma…

Daily News
Daily News PSG Yamfuata Ferran Torres Huku Bar…

Juventus imeboresha ofa yake kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji Randal Kolo Muani, lakini Paris Saint-Germain (PSG) bado inasisitiza kutaka ada ya kati ya euro milioni 40 hadi 45. Hata hivyo, …

MeridianBet Sport
Daily News Tottenham Yakabiliwa na Nia ya Kums…

Inter Milan imeanza mawasiliano na Tottenham Hotspur pamoja na wawakilishi wa beki Cristian Romero kuhusu uwezekano wa uhamisho, huku Spurs wakifika New Zealand kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya …

MeridianBet Sport
The Guardian Vice President Nchimbi urges Tanzan…

Vice President Dr Emmanuel Nchimbi has said that President Samia Suluhu Hassan is committed to ensuring that the process of enacting a new Constitution is carried forward. Speaking in Dar es Salaam yesterday, Dr Nchimbi said the issue of a new Constitution also emerged during the…

The Guardian
Spotlight Wakulima wa kipande-nkoavele kuonge…

WAKULIMA zaidi ya 650 katika kijiji cha Kipande-Nkoavele, Halmashauri ya Meru katika Mkoa wa Arusha kunufaika na mita 1000 za mifereji ya umwagiliaji kwa gharama ya Shilingi Milioni 200 ili kuendeleza matumizi ya kilimo cha umwagiliaji cha mazao ya mboga mboga na matunda.Amesema hayo Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chon…

Michuzi
Spotlight Gateshead FC dhidi ya Newcastle Uni…

KABLA ya kuanza: Kumbuka kuwa tarehe 25 Julai 2026 ni Jumamosi, si Ijumaa. Mechi hii itapigwa Jumamosi, saa 6:30 mchana (12:30pm) kwa saa za huko.Gateshead FC watawakaribisha Newcastle United katika uwanja wao wa Gateshead International Stadium katika mechi ya maandalizi ya msimu mpya wa 2026/27. Hii ni fursa kwa mash…

Michuzi
Europe Wachambuzi wa soka wanaolipwa zaidi…

LONDON, Uingereza WAKATI Alex Ferguson akiwa ndiye kocha aliyehudumu kwa muda mrefu mrefu Ligi Kuu ya England (EPL), Sam Allardyce naye ana historia yake kwenye michuano hiyo. Iko hivi; Ferguson aliajiriwa na Manchester United mwaka 1986 hadi alipojiuzulu mwaka 2023 akiwa amefanya kazi siku 9,704. Hata hivyo, Allardyc…

Gazetini
Tanzania Climate project targets 30,000 Kasu…

KIGOMA: ECONOMIC empowerment project has been launched in four villages surrounding the Makere South Forest Reserve (Kagera Nkanda) in Kasulu District, Kigoma Region, to provide alternative sources of income for local communities and reduce conflicts over forest resources. The initiative seeks to improve livelihoods w…

Daily News
Featured GCLA urges use of accredited labora…

DAR ES SALAAM: THE Government Chemist Laboratory Authority (GCLA) has stepped up efforts to strengthen compliance with safety regulations in the importation, storage and transportation of hazardous chemicals following 62 sulphur-related accidents recorded between 2024 and 2026. The authority said it was working closel…

Daily News
Asia ‘Mende’ wa India wanavyompasua kich…

NEW DELHI, India MAANDAMANO makubwa ya vijana wa Gen-Z nchini India yamemlazimisha Waziri wa Elimu, Dharmendra Pradhan, kuachia ngazi. Hatua ya vijana, wengi wao wakiwa ni wanafunzi, kuingia barabarani ilikuja baada ya Wizara ya Elimu kufuta mitihani kwa kigezo cha maswali kuvuja. Katika ujumbe wao kwa Serikali, vijan…

Gazetini
Spotlight Dkt. Josephine Kimaro Aapishwa Kuwa…

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewaapisha viongozi wanne aliowateua hivikaribuni, wakiwemo majaji wawili wa Mahakama Kuu ya Zanzibar.Rais Dkt. Mwinyi amewaapisha viongozi hao leo, tarehe 24 Julai 2026, katika hafla iliyofanyika IkuluZanzibar.Viongozi waliokula kia…

Michuzi
Habari Hezbollah Yamshambulia Rais wa Leba…

Kundi la Hezbollah linaloungwa mkono na Iran limemkosoa Rais wa Lebanon, Joseph Aoun, likisema ziara yake nchini Marekani haikufanikisha malengo…

Global Publishers
Daily News Madrid, PSG, Liver kazi ipo kwa Dio…

Arsenal wamefanya mawasiliano ya awali (“calls”) kwa ajili ya kumsajili Yan Diomande, huku mwandishi wa masuala ya usajili Fabrizio Romano akifichua kila kilichojiri kuhusu winga huyo wa RB Leipzig baada …

MeridianBet Sport
Habari Habari kubwa za Magazeti ya Tanzani…

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa…

Global Publishers
Europe Rubio azindua kampeni ya kupinga Ma…

Na mwandishi wetu, Gazetini HATIMAYE Karim Khan ameondoshwa katika kiti cha Mwendesha Mashitaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC). Kashfa ya unyanyasaji wa kingono ndiyo iliyomng’oa kwenye kiti hicho. Kwamba Khan alimnyanyasa kingono, ikiwamo kumshika bila ridhaa yake mfanyakazi wa kike, ambaye alikuwa ms…

Gazetini
Sports & Entertainment Tanzania to celebrate Global Week o…

DAR ES SALAAM: TANZANIA has successfully concluded Special Olympics Global Week of Inclusion (GWI) in a fascinating fashion after hosting series of Inclusive Sporting activities in different parts of the country. The last chapter of GWI was officially closed on Saturday, July 25, 2026 at Azam Complex in Dar es Salaam …

Daily News
Spotlight Nanenane set to attract investment,…

The upcoming Nanenane agricultural exhibition in Zanzibar is set to take a new direction, focusing heavily on training women and youth to encourage agribusiness and reduce reliance on food imports. Attracting investment into farming and livestock forms a core part of the archipelago’s strategic plan to achieve food se…

The Citizen
News Over 20 opposition figures, Udom le…

Academics warn that freedom of thought in Tanzania is under serious threat as the lecturer remain in remand

The Chanzo Initiative
Nipashe Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba Kuongoz…

WAZIRI Mkuu Mwigulu Nchemba amezitaka wizara na taasisi zinazonufaika na fedha za NBC Dodoma Marathon kuhakikisha zinatumika kwa uwazi na kwa kuzingatia thamani ya fedha, ili malengo yaliyokusudiwa yaweze kuleta matokeo yanayopimika. Aidha, amesisitiza kuwa kila shilingi inayowek…

Nipashe
Nipashe Joshua Arejea Ulingoni ‘Kumvaa’ Pre…

BONDIA wa uzito wa juu duniani kutoka England, Anthony Joshua, alionesha ustahimilivu wa kipekee baada ya kuangushwa mara mbili kabla ya kurejea kwa nguvu na kumchapa Kristian Prenga kwa TKO katika raundi ya pili kwenye pambano lake la kurejea lililofanyika Jeddah, nchini Saudi A…

Nipashe
Europe Chelsea yashusha kiungo, asaini min…

LONDON, Uingereza KLABU ya Arsenal imekamilisha usajili wa kiungo wa Cardiff City, Axel Donczew, ambaye ni ‘bwana mdogo’ mwenye umri wa miaka 16. Kwa mujibu wa ripoti mpya kutoka Italia, Donczew amefanya vipimo na dili lake litatangazwa siku chache zijazo. Aliyefichua uwepo wa dili hilo ni mwandishi wa habari za miche…

Gazetini
Nipashe Barker Aizidi Kete Yanga Kwa Makgal…

LICHA ya kulazimishwa suluhu dhidi ya Mogadishu City Club ya Somalia, Kocha Mkuu wa Simba, Steve Barker amesema ana imani kikosi chake kitatwaa ubingwa wa Kombe la Kagame linaloendelea nchini Rwanda. Akizungumza mara baada ya mchezo huo wa Kundi B uliochezwa, Uwanja wa Kigali Pel…

Nipashe
Economy Tanzania backs push to boost Africa…

ABIDJAN: TANZANIA has called on African countries to adopt strategies that promote debt sustainability and reduce reliance on external financing, saying stronger domestic resource mobilisation is critical for achieving sustainable economic transformation. The call was made by Deputy Minister for Finance, Eng Mshamu Al…

Daily News
Spotlight Tanzania yashiriki mkutano wa 48 wa…

Na Mwendishi Wetu,KoreaMWENYEKITI wa Kundi la Afrika katika Kikao cha 48 cha Kamati ya Urithi wa Dunia, Balozi Pierre Faye, ameipongeza Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuandaa kikao cha pembeni kilicholenga kujadili mustakabali wa uhifadhi wa Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro na maeneo mengine ya Urithi wa Dunia.Akizu…

Michuzi
Health Invest in medical manufacturing, he…

DAR ES SALAAM: AFRICAN countries have pledged to strengthen regional cooperation in tackling newborn deaths and tuberculosis by sharing proven health innovations and practical implementation experience, rather than relying solely on solutions developed outside the continent. Speaking at the opening of the Regional Sou…

Daily News
Spotlight Waandishi wa tanzu za Kiswahili wat…

Washindi kwa mwaka huu wametangazwa katika vipengele vitatu vya uandishi, huku waandishi kutoka Tanzania na Kenya wakitwaa tuzo hizo.

Mwananchi
Tanzania ATCL ordered to act tough on its un…

DAR ES SALAAM: THE Deputy Minister for Transport, David Kihenzile, has directed the Director General of Air Tanzania Company Limited (ATCL) to take disciplinary action against employees who fail to provide quality services to the public. Kihenzile issued the directive while addressing ATCL employees, stressing the imp…

Daily News
Spotlight Muundo Rahisi na Ubunifu wa Kisasa …

Meridian Icy Fruits ni mchezo wa sloti wa kidijitali ulioundwa kwa lengo la kutoa muundo rahisi lakini wenye ubunifu wa kisasa. Mchezo huu unapatikana ndani ya jukwaa la Meridianbet kama sehemu ya burudani ya mtandaoni inayotumia teknolojia ya kisasa ya uhuishaji na michoro ya kuvutia.Alama zinazotumika kwenye mchezo …

Michuzi
STORY NBC Premier League

Baada ya miezi kadhaa ya ushindani wa hali ya juu leo Juni 30, 2026, msimu wa Ligi Kuu ya NBC 2025/26 unafikia tamati rasmi kwa kuchezwa kwa michezo yote ya mwisho ya ligi. Mechi zote zitapigwa kwa wakati mmoja kuanzia saa 10:00 alasiri, hatua inayotarajiwa kuleta msisimko mkubwa kwa mashabiki wa soka nchini. […]

Ligi Kuu
Capital Markets Dar es Salaam Stock Exchange

Dar es Salaam Stock Exchange equity turnover plunged -85.73% week-on-week to TZS 25.25 billion across 7,226,602 shares and 13,398 deals during the five trading sessions spanning July 20th to July 24th. KA (+56.52%), USL (+20.00%), and TTP (+5.62%) ranked as the week’s top gainers, while MCB (-20.48%), PAL (-7.69%), an…

TanzaniaInvest
Op-ed Tanzania Digital Economy

Tanzania’s startup scene isn’t lagging behind—it’s building its own unique foundation, and judging it by mature-market standards is comparing apples to saplings.

The Chanzo Initiative
Shughuli za Fedha na Bima Forex and Dollar Rates

Dola ya Marekani imeendelea kubaki katika viwango vilevile vya kununuliwa kwa Sh2,570 na kuuzwa kwa Sh2,650 katika benki zote mbili.

Nukta
Tanzania Tanzania Mining

MWANZA: GHANA has outlined the key strategies behind its successful implementation of local content policies in the mining sector, urging African countries to strengthen legislation, promote value addition and deepen stakeholder collaboration to maximise benefits from mineral resources. Speaking at the Fifth Local Con…

Daily News
Uchumi SGR and Rail Infrastructure

THE government has unveiled an ambitious 86.3trn/- national development plan for the next year, marking the start of the implementation of Vision 2050, with the private sector expected to contribute nearly 70 percent of the required funding. Prof. Kitila Mkumbo, the Planning and …

The Guardian
Business Tanzania Inflation

DAR ES SALAAM: THE country fertiliser demand is expected to reach 1.2 million tonnes by mid next year, with regulators moving to strengthen supply chains, build reserves and attract investment into the agricultural inputs market. The Tanzania Fertiliser Regulatory Authority (TFRA) said the country currently has more t…

Daily News