Ridhiwani Kikwete Urges Law Students to Build Discipline and Patriotism for Global Job Market Competitiveness
Vyanzo: michuzi.co.tz, mzalendo.co.tz
Maelezo na vyanzo
Ridhiwani Awataka Wanafunzi wa Sheria Kujenga Nidhamu na Uzalendo
michuzi.co.tz โNa Mwandishi Wetu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, amewataka wanafunzi wa sheria nchini kujenga taaluma zao katika misingi ya nidhamu, ubunifu na uzalendo ili waweze kushindana katika soko la ajira la kimataifa linalozidi kuwa na ushindani mkubwa. Ridhiwani alitoa wito, wakati akizungumza katika hafla [โฆ]
mzalendo.co.tz โ