CAMFED's Role in Promoting Girls' Education and Women's Economic Empowerment
Vyanzo: bagamoyodc.go.tz
Maelezo na vyanzo
Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo, Mkurugenzi wa CAMFED, Anna Sawaki, amesema kuwa mafunzo hayo yamelenga kuongeza na kukuza uelewa kwa Maafisa Habari kuhusu majukumu na mafanikio ya shirika hilo katika sekta ya elimu, Afya na kilimo.
bagamoyodc.go.tz โMaafisa Habari walioshiriki mafunzo hayo wamepongeza CAMFED kwa kazi kubwa wanayoifanya, ikiwemo kuhakikisha mtoto wa kike anapata haki yake ya msingi ya elimu pamoja na kuwawezesha wanawake kuinuka kiuchumi.
bagamoyodc.go.tz โ