Arsenal imehuisha upya mazungumzo na Newcastle United ili kumnasa kiungo wa kimataifa wa Brazil, Bruno Guimaraes (28).
ARSENAL inaonekana kuwa katika nafasi nzuri ya kumsajili kiungo wa Brazil, Bruno Guimarães, kutoka Newcastle United kufuatia taarifa za kuondoka kwa kocha Eddie Howe, kwa mujibu wa ESPN.