Akizungumzia Kaulimbiu ya Mwaka huu ya 'Tambua Soko, Ongeza Tija, Kutekeleza Dira 2050', Mhe. Mzava amesema utekelezaji wake unapaswa kuanzia kwenye Mbegu na namna wakulima na wafugaji wanavyohudumia mashamba na mifugo.
Kaulimbiu mbiu kwenye maonesho hayo, ni ‘Tambua Soko, Ongeza Tija kutekeleza Dira 2050’.
