Mwenyekiti wa Mtaa wa Mlalakuwa, Suleiman Masare, amesema boksi hilo lilitelekezwa tangu jioni ya Jumatano, Agosti 5, 2026, jambo lililozua hofu miongoni mwa wananchi waliokuwa wakipita na kutumia kituo hicho.
Jeshi la Polisi limetoa tamko kuhusu sanduku lililokutwa limefungwa kwa kufuli na kutelekezwa katika eneo la Mwenge jijini Dar es Salaam, baada ya tukio hilo kuzua taharuki miongoni mwa wananchi.