MBIFACU's Revenue from Coffee Sales Exceeds 282 Billion Shillings
Habari mpya za kilimo Tanzania · maelezo ya MBIFACU's Revenue from Coffee Sales Exceeds 282 Billion… · imesasishwa 4 Aug 2026 · habari za kilimo · wakulima · mazao
Muhtasari
- Na Belinda Joseph-Dodoma.Chama Kikuu cha Ushirika cha Wilaya ya Mbinga (MBIFACU) mkoani Ruvuma kinatarajia kukusanya tani 27,000 za kahawa katika msimu wa mwaka 2026/2027, ikiwa ni ongezeko kutoka tani 24,000.