Amesisitiza kuwa ukaguzi huo ni sehemu ya jitihada za Serikali za kuimarisha uwajibikaji, utawala bora na uzingatiaji wa sheria katika Utumishi wa Umma, hatua ambayo itasaidia kuboresha usimamizi wa rasilimali watu na utoaji wa huduma kwa wananchi.
Amesisitiza kuwa ukaguzi huo ni sehemu ya jitihada za Serikali za kuimarisha uwajibikaji, utawala bora na uzingatiaji wa sheria katika Utumishi wa Umma, hatua ambayo itasaidia kuboresha usimamizi wa rasilimali watu na utoaji wa huduma kwa wananchi.
.jpg)