Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza kuwa ameamua kusitisha kwa muda mashambulizi mapya ya kijeshi dhidi ya Iran, akisema hatua hiyo inalenga kutoa nafasi kwa juhudi za kidiplomasia zinazolenga kumaliza vita vilivyoendelea kwa miezi mitano.
VYOMBO vya habari vya Marekani vimeripoti kuwa Rais wa Marekani, Donald Trump, ameahirisha mpango wa kupanua mashambulizi dhidi ya Iran.