REA kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), imefanikiwa kuunganisha jumla ya wateja 1,001 wa majumbani na taasisi kwenye mkuza wa mabomba ya Gesi Asilia katika mikoa ya Lindi na Pwani.
REA kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), imefanikiwa kuunganisha jumla ya wateja 1,001 wa majumbani na taasisi kwenye mkuza wa mabomba ya Gesi Asilia katika mikoa ya Lindi na Pwani.