Changamoto ya Barabara kwa Wakulima wa Meru Iwasilishwa kwa Waziri wa Kilimo
Habari mpya za infrastructure Tanzania · maelezo ya Changamoto ya Barabara kwa Wakulima wa Meru Iwasilishwa… · imesasishwa 4 Aug 2026 · habari mpya · masasisho · maelezo
Muhtasari
- Chongolo ( Mb) ameahidi kuongeza Mita 1000 za mradi wa Skimu ya Umwagiliagi Kipande Nkoavele uliopo Kata ya Nkoanrua, Tarafa ya Poli katika Halmashauri ya Wilaya ya Meru.
- Chongolo ametoa pongezi kwa wananchi wa kijiji cha kipande Nkoavele chenye wakazi wapatao 656 kwa kazi nzuri wanazozifanya za uzalishaji wa mazao ya Kilimo.
- Chongolo kwamba changamoto kubwa ya wananchi wa Meru ni barabara ili kuwasaidia wananchi kuweza kuzalisha zaidi na kusafirisha bidhaa za kilimo pamoja na soko la kisasa linaloweza kuhifadhi mazao katika hali nzuri ili.
- Waziri wa Kilimo wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.