Amesema, hakuna uwekezaji unaoweza kufanyika kwa ufanisi katika mazingira yasiyo na amani, hivyo ni jukumu la wananchi kuendelea kuthamini na kulinda utulivu uliopo Tanzania.
Amesema, hakuna uwekezaji unaoweza kufanyika kwa ufanisi katika mazingira yasiyo na amani, hivyo ni jukumu la wananchi kuendelea kuthamini na kulinda utulivu uliopo Tanzania.