Amesema zabuni hizo zilitolewa ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Sheria ya Ununuzi wa Umma ya Mwaka 2023, inayozitaka taasisi nunuzi kutenga asilimia 30 ya bajeti zao za ununuzi kwa ajili ya makundi ya vijana, wanawake, wazee na watu wenye ulemavu, ambayo yanatambulika kama makundi maalum.
Amesema zabuni hizo zilitolewa ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Sheria ya Ununuzi wa Umma ya Mwaka 2023, inayozitaka taasisi nunuzi kutenga asilimia 30 ya bajeti zao za ununuzi kwa ajili ya makundi ya vijana, wanawake, wazee na watu wenye ulemavu, ambayo yanatambulika kama makundi maalum.