Meneja wa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) Kanda ya Ziwa, Mhandisi Juma Mkobya, amesema halmashauri za Mkoa wa Mara zimetoa zabuni zenye thamani ya jumla ya zaidi ya shilingi milioni 224 kupitia Mfumo wa NeST kwa makundi ya vijana, wanawake, wazee na watu wenye ulemavu.
Meneja wa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) Kanda ya Ziwa, Mhandisi Juma Mkobya, amesema halmashauri za Mkoa wa Mara zimetoa zabuni zenye thamani ya jumla ya zaidi ya shilingi milioni 224 kupitia Mfumo wa NeST kwa makundi ya vijana, wanawake, wazee na watu wenye ulemavu.