Wewe nitajie feki tu si njia wewe huwezi kutengeneza brandi kama ufakeki form nimefeli.
Nilikuwa naipenda shule ila shule mimi ilikuwa hainipendi.
Yaani shule mimi ilikataka sawa.
Hii hela ningeanza biashara ambayo naifanya leo ningeianza mwaka huu milioni 10 m natengeneza ndani ya miezi minne noata iligo ligo hakuna gela ambayo hela hela tu.
Unajua pasta nimepata biashara fulani hataki ikafanye mwanangu [muziki] sioni kabisa uko kama mkita pyramid scheme is bro huwezi ukalipa mshahara sawa na bosi wako kila kitu ni primary schem hata government ni primary schem ndio maana hakuna marais wawili rais ni mmoja alafu watumishi wengine huku chini wengi Mimi namshukuru Mungu ndani ya miezi mitatu nimenunua gari.
Ih >> kama nisingeoa kipindi kile saasa hivi nisingeoa.
Usikate tamaa.
Unakataa tamaa.
Mtoto wa kiume hutakiwi kukata tamaa.
Karibu kwenye episode nyingine ya Let's Impact Millions podcast.
Episode hii ni ya tofauti sana.
Tuko na mtu ambaye kiuhalisia haihitaji any introduction kwa sababu wote mtakuwa mnamfahamu.
King ofedo network marketer lakini pia business ambaye anainspire vijana wengi sana.
Karibu brother.
>> Asante sana mkuu.
>> Kwanza nianze kukuuliza.
>> Mh.
>> Wewe ni tajiri?
>> Ah bado sio tajiri.
Ili ufike steji unasema mimi ni tajiri inabidi wewe umefikia steji gani?
>> Kuna raties raties zipo ambazo kidunia ambazo zinaweza zikamfanya mtu akaona tajiri.
Tunasema mtu anayetengeneza 1500 kushuka chini huyu ni mtu maskini alafu 1500 mpaka 3000 eh anasema mtu wa kipato cha kawaida.
3000 unaenda mpaka 10 pale wanasema mtu mwenye kipato cha kawaida cha katikati najaribu kuitranslate ile ambayo nimeiona alafu mwenye kipato cha el000 eh anayetengeneza el000 10 mpaka 25 wealthy 25 mpaka 85 tajiri alafu kwa mwezi lakini hiyo alafu unakuja kuanzia dola 8,000 na anayetengeneza dola milioni moja ndio milionea alafu kwa mwaka lakini anayetengeneza dola milioni bilioni moja sijui ndio bilionea na mambo mengine sasa kwenye hizo reti ukizileta kibongobongo ah wewe tuishie tu kusema kwamba mimi ni mtu mwenye afadhali [kicheko] >> namshukuru Mungu nina afadhali eh >> okay ukisema una afadhali ukiangalia hapa Aprili 14 2015 >> niliposti picha yako moja hivi Ah ikiwa niseme ulikuwa bado hauna afadhali.
Eh eh of course kwa sababu >> kitu gani ambacho kijana akiona picha kama ile anakuwa inspired kwamba huyu jamaa anasema leo ana afadhali lakini hapa >> alikuwa anekana kabisa kwamba amechoka anataka naye transform kutoka kwenye steji ile kuja kwenye steji ya kwamba naye afike kwenye hatua fulani ambayo anaweza akaulizwa wewe ni tajiri >> m >> anafanyaje >> 2015 hiyo picha leo ni 2020 ngapi 26 >> 26 kuna muda hapo miaka mingapi?
>> 11 >> 11 yes kwa hiyo kijana ambaye anaangalia leo ajue kwamba kila kitu kinahitaji muda.
Eh huwezi kuwapatia wanawake tisa ujauzito leo ukategemea mwezi ujao utapata mtoto.
Ni kitu kisichowezekana.
na kuna mchakato unahitaji kama miezi tisa mingine ili uweze kupata nini?
Uweze kupata mtoto.
Kwa hiyo jambo lolote lalitaji muda.
Kwa hiyo kijana ambaye anatizama picha ya mwaka 2015 alafu akiniona nilivyokuwa na akiniona vile leo ajiamini kwamba inawezekana.
Kikubwa tu tafuta tu vitu sahihi.
Eh develop skills tengeneza vale.
Income ni matokeo.
Alafu lifestyle na freedom ni package ambazo zinakujanga extra.
baadaye utajipata sehemu yako ambayo itakuwa nzuri na itakufurahisha >> huu muda huu kwa sababu naamini wewe una washikaji wengi tu ambao unajuana nao >> m >> toka 2015 lakini leo maisha yao ni yale yale.
mh >> huu muda yaani step by step mtu ambaye anaangalia kwamba nitoke hapa kwenye hii podcast niende nikaimplement hivi vitu >> m >> kwa experience yako inabidi aanzie wapi let ametoka form 6 au amedrop chuo au ndio yupo chuo >> unajua kwenye maisha kunaanza na maamuzi choice unafanya maamuzi gani unataka kuwa nani wewe ni nani unajiona nani baadaye hivyo vitu vyote vinaanza mwanzoni kwa hiyo lazima ufanye maamuzi unataka kuwa nan ukifanya maamuzi na maamuzi yako uliyoyafanya ndio yatakayo destiny yako inakuwaje na mwisho wako utakuwa vipi?
Kwa hiyo leo mtu ananiona leo mimi inategemea na maamuzi ambayo niliyafanya miaka 12 13 nyuma nilifanya maamuzi kwa jambo la kwanza ni kwenye kufanya maamuzi.
Kwa hiyo unapofanya maamuzi sasa pale ndio unatakiwa uwe makini unafanya maamuzi uje kuwa nani?
Kwa nini?
Kwa sababu gani.
Ndio maana mimi mara nyingi napozungumza na watu najaribu kuambia jambo la kwanza kuwa na ndoto wewe unajiona nani?
10 years to come, 20 years to come, 30 years to come, 40 years to come.
Kwa sababu kwenye maisha kama huwezi kujiona miaka 20, huwezi kuproject miaka 20, safari yako inawezekana ikawa haina maana.
Yaani wewe unategemea crud za Mwenyezi Mungu kwamba itakavyokuwa huko.
Na Mungu mwenyewe amesema plan your things.
Sasa shida inakuja kuwa kwako.
Kwa hiyo wewe unajiona nani kwanza?
Hilo ndio jambo la kwanza linamata.
Miaka 20 ijayo unajiona utapoja kwaya.
Miaka 30 ijayo, miaka 40 ijayo ndio maana utaishi au hautaishi sio kazi yako.
Hiyo ni kazi ya Mungela.
Wewe unajionaje kipindi hicho?
Kwa hiyo unapojiview wewe mwenyewe kujiona kwamba okay mimi 50 years to come sasa hivi nikiwa na 35 maanake 50 years nikiwa na 85.
Mbona wapo wazee wa miaka 85 hapo?
Na leo tunawaona.
Sasa wale wa 85 walijiona vipi baada zamani kabla hawajawa hivyo walivyo leo.
Kwa hiyo inategemea na choice.
Hapo ndipo utafanya choice.
Utafanya choice kwamba nini ufanye ah nini usifanye.
Kwa sababu pia kwenda kuishi miaka mingi pia kinahitaji health issues.
Afya yako ulianza kuijali vipi?
Ulikuwa unafanya mazoezi au unakurupuka tu kama kumbikumbi?
Ukiamka ni umeamsha.
Ehe.
ulikuwa unakula nini?
Ulikuwa unatumiaje muda wako?
Haya katika swala la pesa pia ulikuwa unatumiaje pesa zako ndogo ndogo unazozipata?
Kwa sababu pesa wakati fulani ni tabia.
Kwa hiyo inawezekana sio kwamba unapata kikubwa au kidogo hela hainanga ukubwa au ndogo.
Hela ni hela tu na hela nyuma imebeba kitu fulani.
Kwa hiyo inategemeana unaitumia vipi.
Kwa hiyo yote haya unaangalia wewe unajiona vipi baadaye.
Kwa hiyo kujiona kwako ndiko kunakosababisha ufanye maamuzi.
Na maamuzi unayoyafanya ndio yatakayo kesho yako iwe vipi.
Kwa hiyo kijana anayesikiza leo maamuzi anayoyafanya anaamua kuwa [muziki] nani?
Hiyo inabai kuwa kwake.
Ndoto alizonazo ni yeye.
Anataka kuja kuwa vipi baadaye ni yeye mwenyewe.
Kwa hiyo zote ni choice ambazo yeye yuko nazo.
anaweza akazifanya.
Unaweza ukaamua tu uwe mtu yeyote.
Sasa kuamua kuwa mtu yeyote na yenyewe pia unafanya chochote unachojisikia.
Hauna limitation, hauna discipline, haujifunzi vitu vipya.
Unabaki kuwa mtu yule yule, unakaa na watu wale wale, unaishi vile vile na utakuwa mtu yule yule tu siku zijazo.
Kwa hiyo ni maamuzi tu ambayo mtu anayafanya.
>> Tukija kwenye maamuzi hapo kama sasa hivi unakuta kuna karia nyingi ambazo zipo.
>> Mtu akiingia mtandaoni anaona ah kuna chenza anafanya network marketing kafanikiwa.
Kuna huyu anafanya sijui vitu gani kafanikiwa.
Huyu vitu gani kafanikiwa huyu vitu gani mtu kuchagua sasa kwamba hapa inabidi hivi vitu vyote lakini mimi niselect kimoja >> m >> ambacho sa mtu hawezi kuwa master wa kila kitu.
Of course.
>> Kama uliselect vipi ukaona hii njia hii inabidi niende nayo na sio njia nyingine?
>> Ah cha kwanza ndoto nilizokuwa nazo.
Mimi nilikuwa na ndoto za kichizi sana ambazo kiuhalisia ukikaa ukimwambia mtu anaweza asielewe.
Mimi nilikuwa namwambia mamangu vitu vikubwa vikubwa.
Yaani mimi natamani kuwa na vitu vikubwa vikubwa.
Unajua hata maisha ambayo naishi leo ni matokeo ya upuuzi ambao nilikuwa nawaza nikiwa mdogo.
Unajua mimi nafanya vitu vingi vya kipuuzi sana.
Eh katika mtu mwenye akili timamu hawezi kunielewa.
Lakini katika upuuzi huo nilikuwa na uwazi tokea nikiwa nikiwa mdogo.
Sasa katika udogo wangu upuuzi ambao nilikuwa nawaza ni kuwa na vitu vingi matoys.
Unajua eh utoto tunawaza toys.
Ukubwa tunawaza toy za kikubwa.
Ehe unawaza uwe na vitu tofauti tofauti ambavyo wewe vinafurahisha nafsi yako.
Sasa unafikiria kuwa navyo.
Hivyo vitu kuwa navyo vinahitaji uwe na freedom.
Sasa okay fine wapi utapata freedom?
Nini nifanye ambacho kitanipatia uhuru?
Sasa hayo ni maswali ambayo unajiuliza.
Maswali hayo yatakupelekea ufanye choice kwa sababu utakapojiuliza when, how, which, what, whom.
Hayo maswali unapojiuliza yanaanza kukupatia ah indicators kuona kwamba hapa sitakiwi.
Kwa mfano nataka uhuru, uhuru wa nini?
Uhuru wa kifedha.
niwe na access ya kupata pesa hata kama nikiitumia katika namna ambayo watu wengine wataona ya kijinga still niwe na kitu kwa hiyo okay fine nini ambacho kinatakiwa sasa unakuja kuapply kwenye maisha ya kawaida unagundua kwamba okay ukihitaji kuwa na pesa ambazo uwe na uhuru wa matumizi wakati fulani unahitaji kuwa na cash flow okay cash flow ni nini huu ni msamiati ambao unatakiwa uanze kujifunza sasa tafsiri yake ni nini ah cash flow ni kipato ambacho kinaendelea kufanya nini kuingia hata wewe bila kuwa involved kwa m ngapi 100 Okay.
Unajifunza vitu initwa passive income.
Okay.
Nifanye nini sasa ili vitu niweze kuvipata?
Je nikaajiriwe?
Unagundua ah ajira sio sehemu yake.
Tayari unaanza kujishep hapo ndio unaanza kufanya nini?
Choice kwamba kwenye ajira siwezi kutoboa.
Nini natakiwa uifanye?
[muziki] Natakiwa nifanye kitu fulani hapo ndio unaanza kuchagua.
Kwa hiyo katika vingi vinadepend na dreams uliyoayo.
Kwa mfano una dream ya kumiliki baceli do you think baisc unahitaji ujipe stress duniani?
>> Baiskeli lak n used unaipata hata kwa shilingi hata 40 ukiongea na mtu vizuri anita hata 20,000 unafanya nini?
Unaipata >> that means 2014 ulikuwa na options kadhaa ukaamua kuchagua hii moja?
>> Ah kuna wakati maisha yanakunyima option.
Eh yaani kuna wakati maisha yanakunyima option lakini kilichopo kichwani mwako kina dreams ulizonazo uhuru unaoutafuta na aina ya maisha ambayo unatamani kufanya nini?
Kuyaishi ndio yanayoamua kwamba kwenye engo hii nikisema niingie hii siwezi kutoboa.
Lakini kingine baadaye unapoendelea unakuja kukutana na kitu kinaitwa mentors.
Watu ambao unawatamani kuwa kama wao.
Unawatizama unawaangalia.
Sasa wewe kama unatamani kuwa kama mtu fulani fanya anavyofanya yule mtu obvious kwa sababu >> tutaenda hapo kwenye ment.
Eh kwa hiyo unaangalia okay nani mentor wako.
Mentor wako ndio an kudirect kujua.
Unajua mentor ni shortcut of success.
Kwa h unapomwangalia mentor kama yeye ameweza kwenye hii ango maanake na mimi nikienda shida ya watu wengi wanataka wajifanye wao ni mainnoveta.
Yaani wao wanataka wadiscover vitu vipya.
Hoya hii dunia mpaka sasa hivi ina miaka mingapi?
2026.
Hamna jipya ambalo utakuja kulifanya wewe ambalo halijafanyika nyuma.
ila kuna maboresho tu madogo madogo ambayo unatakiwa uyafanye sasa kulingana na nature yako uliyoayo pia vitu ambavyo vipo na wakati uliopo lakini yote ambayo yanafanyika sasa yashafanyika nyuma kwa hiyo hakuna jipya ambalo utakuja kufanya kwa hiyo unapomwangalia mentor unapata nafasi ya kujifunza kutoka kwake unaona okay then i can do this one then unachagua mlima wako unaupanda na uhakikishe mpaka umeumaliza sio unaanza mlima leo unaishia katikati unaachana nao kesho unatafuta mwingine huwezi fika unapotaka kufika nimekuuliza swali hapa nyuma ukazungumza zungumzia kuhusiana [muziki] na swala la kujiona mbali miaka 10 ijayo, >> 20 ijayo.
Sasa hichi ni kitu ambacho >> watu wengi ni kigumu sana kwao.
Na nilikuwa naangalia video yako moja something like the powerful dreaming big >> ya kama miaka tisa iliyopita.
>> It is like ulikuwa unaona kabisa nitakuja kufanya hivi nitakuja kufanya sasa hivi unakuta hiv vitu navifanya.
Mhm.
>> Lakini nikifanya reference kwa mfano video Stepen Jobs wakati anunch iPhone 4 >> m >> aliulizwa swali stjini pale kwamba unaona wapi mbele miaka mitano kwenye vitu ambavyo unavifanya au mtakuja kudevelop kitu gani?
Akasema kwamba kwa teknolojia ambavyo inakuwa it is very hard to predict kwamba miaka mitano nitafanya nini.
Mh >> lakini kitu ambacho nitakisema ni nitakip na speedi ambayo teknolojia itakuja nayo >> m >> sa watu wengi wako wanaishi kwenye hayo maisha ya kukip na spedi ambayo maisha yanawapeleka.
Tips gani sasa ambayo mtu anataka leo?
Mimi nilikuwa sijioni.
>> Nilikuwa sijioni miaka mitano mbele 10 mbele nataka nianze kujiona tips gani ambayo unampa mtu au kitu gani akifanye ambacho ataanza kujiona kwamba miaka 10 mbele miaka mitano mbele naweza nika fika kwenye sehemu hizi.
>> Kwanza kaa chini jifanyie self analysis.
Wewe ni nani?
Unataka nini?
Unajua kwenye tafsiri halisi ya wewe ni nani ndiko unakoenda kuyapata hayo mengine yote.
Usipojipa tafsiri kamili ya wewe ni nani unaweza ukawa unazunguka kwenye hili dunia ukawa unazunguka tu ukawa busy for nothing.
Eh mimi maisha nayachukulia kama mtu al yaani kutonfor kuwa na malengo ni sawasawa na mtu ambaye anajua kabisa anaelekea Morogoro.
Maanake mtu anayejua anaelekea Morogoro kutokea Dar es Salaam kuna option hizi kuna njia mbili.
either apite Bagamoyo Road atakayeenda kuconnect Msata aende kutokea huko Msoga au apite Morogoro Road ambayo ataunganisha moja kwa moja mpaka Chalinzi.
Hizo ndio option mbili za kwenda nini?
Morogoro au utumie SGR.
Sasa umeamua kutumia option nyingine ya SGR ambayo na yenyewe inapita wapi?
Mimi hata sijui ila najua tu utafika Morogoro.
Kwa hiyo lazima uchague njia ambayo unataka kufanya kupita.
Kuchagua njia cha kwanza kabla ya kuchagua njia direction inamata.
Kwa sababu kama unakwenda Morogoro alafu muda huo uko vikindu, uko spedi vibaya mno yawezekana lengo lako ni nzuri ni kuwa safarini ila unakoelekea siku ambako unatakiwa uwepo according [muziki] to destination unayokwenda na wewe unachokihitaji.
Kwa hiyo kujifanyia self analysis ni kujua kwamba mimi Ibrahim nataka niwe mtu fulani.
Nataka watu wakizungumza jina langu wamuone fulani.
Hivyo vitu vyote unaviplani wewe [mikoromo] nataka eh mimi nije kuwa hivyo.
Hivyo vitu unavyoplani wewe ndio destination unavyoichagua kwamba mimi nataka nielekee.
>> Juzi Januari >> ulikuwa ukiangalia hivi kila mtu anazungumzia new goals.
>> Eh new goals >> ana plani this year nitafanya hivi nitafanya hivi.
>> Kwa hiyo kuna sehemu mtu alikuwa anajiona.
Lakini tukija kwenye execution >> vitu vinakuwa tofauti >> vitu tofauti.
>> Sasa hiyo ni changamoto ambayo watu wengi wanayo.
Unajua watu wengi wana malengo lakini watu wengi hawana dreams.
tunarudi pale pale hawana ndoto.
Yaani wewe lengo lako kuu kwenye maisha ni lipi?
Unataka kuja kuwa nani?
Hapo ndio panapoanzia.
Unajua watu wengi leo ukiwaangalia wana malengo ya mwaka miezi lakini hawana malengo ya miaka 30 20 ijayo.
Yaani 20 ijayo sasa itategemeana.
Kwenye maisha kinachotuongoza ni lile lengo kuu.
Haya mengine madogo madogo yanakuwepo kukamilisha lengo.
Kwa hiyo lazima uwe na kuu kwanza kwamba mimi kwenye maisha yangu nikifika hapo nimetoboa.
Hapa pengine bado sijafanya sijatoboa.
Lazima uwe na financial goals.
Financial goals ni kwamba mimi natamani at least niwe na uwezo wa kuwa na asset zinazoniingizia labda kiasi fulani every month as a profit.
Usuri unaelewa?
Hilo ndio lengo.
Kwa hiyo kama utakuwa let's say umejiwekea kwamba mimi nataka niwe na asset ambazo zinaweza zikanitengenezea profit ya 200 million per month.
Hilo ndio nini?
Ndio lengo.
Sasa kama hilo ni lengo lengo lako umelipa labda hii ni goal ambayo nataka niitimize within 30 years from now.
Maybe una miaka kipindi hicho 25.
Oh ukifika 55 ndio uje ufanye nini?
Ulitimize.
Sasa unapoenda unaanza kujua kabisa okay fine nafanya nini ambacho kitanisababisha hicho?
Labda maybe naanza kampuni au naanzisha biashara au naanzisha kitu fulani ambacho hicho kitu unacheza kukifanya taratibu taratibu siku zinavyokwenda unazidi kucountun ukiangalia progress.
Sasa shida kila mwaka tunapanga nini?
Malengo.
Mwaka huu nataka ninunue verosa sasa wewe ndio lengo lako.
Haya utaenda miezi mitatu minne.
Malengo yenyewe unayaweka hayo malengo.
Ukiangalia financial plan au financial kitu ambacho ambacho kipo kwenye action ambacho kinakupatia pesa huna.
Haya unakwenda kufanya nini?
No plan.
Utafanyaje?
Hakuna unachofanya nini?
Unachokiwaza.
Kwa hiyo with time unajikuta umeshajipiga mtama siku zinazidi kufanya nini?
Kwenda miezi mitatu, miezi minne na miezi inakwenda fasta na unapokuwa na malengo ndio miezi inakimbia zaidi.
Unajua mtu ah huu mwaka mbona hauendi?
Huna chochote.
Lakini kama una kitu unakifanya mwaka unakimbianga hata huelewi kwa hiyo kadri zinavyozidi kwenda unashangaa siku zimekwenda baadaye unajikuta kwenye engole ambao unakuja kugundua kwamba okay fine kumbe hapa natakiwa nikimbize zaidi.
Kwa hiyo malengo ya kila mwaka wanaojiwekea ni mazuri lakini lazima yawe yanareflect lengo kuu ulilojwekea kwenye maisha ambalo sasa hilo ndio lo yaloanza haya mengine yanakuwepo kusupport kile cha mwisho.
Kwa hiyo kama kile cha mwisho huna haya mengine yatakuwepo katikati utakuwa unapambana tu kula na kuishi na kulipa kodi Dar es Salaam.
Kwa hiyo Dar es Salaam usipokuwa makini unaweza shangaa ulikuja kulipa kodi na kutafuta hela ya kula na kulipa ada za watoto alafu baada ya hapo basi [kicheko] kwenye hili swala la mtu kuja da kutafuta hela ya kula na kulipa kodi probabisha kwenye nauli >> mtu analipwa mshahara wa milioni >> m >> then anakwenda kazini kila siku hapati muda wa kukaa akaanzisha biashara nyingine akafanya vitu extra >> m >> anatokaje kwenye huo mtego >> ah kuna mitego mingine hutakiwi kutoka kama akili yako haijatoka.
Kwa hiyo akili yako kwanza inatakiwa itoke kwa sababu if you comfortable na situation uliopo hakuna kitu kinaweza kikakutoa.
Cha kwanza ni kuwa uncomfortable.
Sasa kutokuwa uncomfortable ni wewe na na akili yako.
Sasa ndio tunarudi pale kwenye akili yako.
Je are are you happy?
Unafurahia hicho unachokipata?
Uko sawa kabisa?
Unajiona kabisa fresh.
Kama unajiona fresh wewe koma hapo hapo wala usijali.
Dunia hii sio ya kila mtu.
Najua uhuru haupatikani kirahisi.
Uhuru unafanya unapambaniwa.
Yaani kwa vita.
Yaani uhuru ukipata kirahisi rahisi huo sio uhuru mtego.
Kwa hiyo mwingine ameridhika.
Kama ameridhika ni sawa kwake aendelee tu kukapo.
Eh >> lakini kama hajaridhika >> na 99% sio kwamba wameridhika kwa sababu leo ukimfuata ukamwambia >> kuna 30 million hizi hapa.
>> Eh.
>> Eh.
>> Ah.
Sasa unaweza ukawa hujaridhika lakini matendo yako yapo kwa mtu aliyefanya nini?
Kwa sababu kuridhika ni action.
Sio sio namna unavyojiexpress.
Mimi sijaridhika.
Kuna mtu mwingine anajua mwanamke simpendi simwacha sasa yeye amemkomalia yeye yuko naye.
Ahah.
Maanake amefanya nini?
Ameridhika.
Aeridhika naye.
Kwa hiyo the point ni kwamba kutokuridhika na ile situation.
Kwa hiyo kuna mtu ambaye hajaridhika na hiyo situation maana yake anajua kabisa okay kipato nilichoacho hakijitos hakijitoshelezi.
Na kama hakijitoshelezi it means leo kama mimi nina umri wa miaka 30 kuna siku itafika nitashindwa kufanya hii kazi ambayo naifanya sasa hivi.
Kwa hiyo kama kazi yangu inategemea mimi uwepo wangu maanake kuna siku nitakwama kutengeneza pesa kwa sababu ya mimi mwenyewe nitakuwa siwezi kufanya nini?
Kumove au kufanya nini au maradhi au vitu fulani vitatokea nini nifanye?
Maanake pale akili yako inatakiwa ifunguke kuona okay nini naweza nikakifanya ambacho tayari mtu anaanza kuamka usingizini.
Dunia hii taarifa zimejaa nyingi.
Anaingia YouTube anaangalia namna ya kutengeneza pesa ukiwa umelala.
Wapo watu wameelezea namna ya kutafuta pesa ukiwa umelala.
unazungumza ideas mbalimbali kwa hiyo unaanza kuzisikiliza ideas na kwa sababu Mungu haukuumba wewe kama mti alikuumba wewe mwanadamu alikupatia akili ya upembuzi kuchanganua vitu ubongo wako uko fresh unaanza kuutumia ubongo sasa kumsikiliza huyu anasemaje huyu unaanza kumsikiliza unagundua kwamba huyu make sense unamsikiliza mwingine unasema huyu anamake sense ngoja nikutane naye.
Ndio unaanza kupiga hatua unashangaa jumamosi jumamosi kuna watu kibao wanatoa semina huko unaenda unasikiliza kuna semina za kina mama wajasiri ya mali sijui nini unaenda kujifunza kutengeneza sabuni unajif maanake you not comfortable na situation uliop ukienda kule ukisikiliza mtembea bure ni tofauti na mka >> mkaa bure atatembea ataokota na kitu utakipata ukikipata utaconnect na watu utanetwork na watu mbalimbali utakuta okay kumbe kuna wengine wanatengeneza pesa utagundua mle mlefanya ajira kama wewe mwenyewe ni mtu wa kuzunguka utagundua kumbe kuna watu hawategemei ajira pekee Yaani ajira yeye ipo tu kwa sababu anajisikia vizuri kufanya.
Unajua kuna watu wanafanya vitu sio kwa sababu ya hela.
Unajua sio kila mtu anafanya jambo kwa sababu ya nini?
>> Ya pesa.
>> Ya pesa.
Kuna watu wanafanya kwa sababu wanapenda.
Yaani ni karia yake.
Yeye ni masibu.
Anapenda kukagua kagua risiti anapenda.
Kuna jama kuna jamaa yangu mmoja ni auditor amesomea auditing.
Sio kwa sababu amesomea kwa sababu shuleni alikuwa anaperform vizuri.
No ni kitu ambacho anakipenda.
Yaani tokea mdogo yaani by nature yaani ni mbishi.
Unajua ukiwa audit lazima uwe mbishi.
Eh.
Yaani hujui kubishana.
Yaani hii risiti ah hamna tarehe unafuatilia hii tarehe yaani unajua mambo fulani ya kikoloni yaani unafuatilia tarehe muda analinganisha na tarehe nyingine anazipanga lisiti pale anaanza kukague hili siti anaanza kujiuliza maswali kama hili sititi tarehe hii linua mafuta tena hapo ukanunua mafuta tena hapo ukanunua mafuta full tanki gani ulienda wapi unaona maswali ya kuj mimi siwezi kufikiria kama hayo sasa yeye by nature yuko hivyo na kwa sababu yuko hivyo ana biashara zingine ambazo zinamlipa a lot of million Lakini kua kwenye audit wanamlipa hela ndogo sana ambayo utamia lakini yeye success kwake ni kile kitu anakipenda by.
Sasa kuna wengine wako utakutana nao watakuambia ah unafikiri tunafanya kwa sababu ya hii kazi?
Hii kazi tunafanya kwa sababu tunapenda ila mimi nina kitu [muziki] kingine tayari unaanza kuona kwamba okay kumbe mimi ni mjinga kufikiria kwamba wote tuko sawa kumbe tupo kazini pamoja lakini kila mmoja ana misheni zake.
Mwingine anafanya anachokipenda.
Kwa hiyo pale wewe mwenyewe unaweza kubadilisha mindset yako.
Unaweza kuona kumbe vitu vinawezekana.
unawatafuta ambao wamefanya wanakuekeza namna gani wamefanya na wewe unafanya maisha yanaendelea kwa hiyo mtu aliyepo huko asiridhike na kuhisi kwamba amemaliza >> let's take an example kama wewe hapo ulisema kwamba ulianza kutengeneza kama milioni tatu ya kwanza like baada ya miaka minne ya kufanya biashara >> kuna mtu anatizama anaona mimi tayari nimeajiriwa napata labda kiasi hichi kidogo.
Mh.
>> Sasa nikitoka hapa nikaanzisha kitu kingine >> biashara zinahitaji muda.
Itanichukua like three two f years mpaka nianze kupata pesa.
>> Yes.
>> Hiyo inamdraw back kwamba sijui nikarisk hichi kitu nachokifanya.
Chenza tena ni smart.
>> M >> alichukua miaka minne kupata milioni tatu ya kwanza.
M >> mi sija ikanua 10 familia ikafa njaa.
>> Okay.
Ah kwa kawaida ni kwamba unajua nyakati ziko tofauti.
>> M >> mfano mimi kipindi naanza ulikuwa hakuna hata hizi social media za kusema tunauza mitandaoni unaweza kukutana na watu mitandaoni yaani social media kipingine ilikuwanga ni Facebook sana sana.
Instagram hata watu wote hawaelewi.
Yaani unajua vitu vingi vilikuwa vizito.
Sasa nyakati zile ni tofauti na nyakati tulizo sasa hivi [muziki] kwa sababu nyakati pia zinatofautiana.
Kwa hiyo wewe ukiangalia experience yangu mimi ukailinganisha na wewe sasa hivi usichukue kila kitu copy and paste.
Kuna nyakati lazima uziedit kujua nyakati zako.
Kwa mfano mimi leo nikianza ningeanza biashara ambayo naifanya leo ningeianza mwaka huu milioni 10 m natengeneza ndani ya miezi minne.
Ningeanza leo with all facilities namna ambavyo ipo leo.
Mimi naweza kuwa nafanya yaani mimi ningekuwa nafanya hizi nini wanaita hizi wanaita zoom meeting.
Napiga yaani kila saa napiga zoom meeting mpya.
Kila saa mimi nainvite mtandaoni napiga.
Sasa zamani ilikuwa sio hivyo kwa sababu zamani you need to meet people unatakiwa uende mtaani ugawe vipeperushi ualike watu waje na yenyewe watu uwaalike uwape muda kwa hoo unaalika wiki nzima kwa ajili ya kualika juma jumapili ukae.
Sasa ndio maana ilichukua muda mrefu pia kutengeneza pesa.
Lakini pia trust ilikuwa ni ngumu.
Haifahamiki wewe ndio umejitosa umeingia unakuta wewe mwenyewe kwanza mtu anakuangalia hivi.
ukiangalia jinsi ulivyopuka mtu unamwambia ni vitu ambavyo havifanya ni havieleweki kwa hiyo inahitaji muda.
Lakini kwa kipindi hicho na sasa hivi ni tofauti.
Kwa hiyo si lazima lakini unapoangalia opportunity obvious lazima uwe na jicho la kuona kwamba inawezekana au hawezekani usipokuwa ni mtu ambaye una imani hamna utakachokifanya kwa sababu dunia tunaongoza kwa imani na ndio maana tunafanya kazi leo tukiamini kuna kesho lakini hatuna u kesho.
ambayo umezungumza nataka nikuulize kwamba how it was like kuingia kwenye biashara ambayo >> m >> yaani ndio biashara mpya hamna mtu ambaye >> haikuwa mpya watu ambao wamevunja >> eh hamna kipya duniani vitu vinabadilika walikuwepo ambao wameshavunja walikuwepo ambao tulikuwa tunawaangalia lakini walikuwa hawajavunja katika kiwango kikubwa hivy lakini katika level ile ambayo tulikuwa tunaangalia tulikuwa tunamuona mtu ana afadhali unatamani kuwa kama yeye na bado inakuwa ni ngum level ina ina menta wake kila level ina tamaa zake kila level ina devil kwa hiyo new hiyo level the devil kwa hiyo unaangalia unaona wake hapa natamani kufika hapa kwa sababu kwa mtu ambaye hana kipata kabisa hata kuingiza 20,000 kwake nini >> mafanikio >> ni mafaniki atakapotengeneza 20,000 anagundua 20,000 tena sio ins haitoshi anatamani 70 akianza 70 laki laki laki kwa hiyo dunia mwanadamu ndivyo alivyo alivyoumbwa ilimradi tu asikae tu akabweteka akawa yuko satisfied na kila kitu kwa hiyo ilikuwa Hivo >> umezungumzia mara kadhaa hapa swala la mentor >> mara ya kwanza mara ya pili we mentorship ina mchango gani >> kwenye mentorship ni shortcut >> of success hamna kitu kigum hebu ashumu umepewa option mbili kuna mtu ambaye ameshaupanda mlima Kilimanjaro several times ameshaenda juu na amerudi [muziki] anaijua njia kila kitu yuko tayari kukuongoza na wewe tafuta njia mwenyewe itakayokupeleka juu na hatuna uanga kama hiyo njia ni yenyewe au sio yenyewe.
Eh hebu niambie hapo kama ni wewe which is which utachagua we option gani ujitafutie mwenyewe njia au upite njia ambayo wameshapita wenzako?
>> Tatizo ambalo naliona kwa watu wengi ni kwamba >> mtu anatamani kupata mentor.
>> Mhm.
Lakini issue isi unaweza ukaona kama ni mentor lakini kumbe ni mtu ambaye ana interest zake nyingine tofauti na wewe unavyowaza unachaguaje au ulichaguaje chaguaje ukajua huyu ni mentor sahihi kwa sababu issue nyingine ni kwamba hizi biashara za mtandaoni nyingi unakuta kuna a lot of noise kutoka kwa watu ambao hawaelewi >> hata kama wanachokifanya [muziki] stahili kiasi gani >> kwa hiyo napambana kutafuta ment kuna mtu mbona kama huyu anakaribia kutapeliwa una hashauriki at the same same time unakuja unasikia kuna kitu kingine ukilianzishwa watu unakiriletisha kama na cha kwako wenzako washapigwa huko >> m ni kosa kubwa kwenda kuomba ushauri wa mambo ya kindoa kwa mtoto wa darasa la pili >> m >> hilo ni kosa kubwa maana yake nini maana yake ni hii kila jambo lina watu ambao wanalifanya watafute watu sahihi eh shida ni pale ambapo unataka ufanye utafute mentorship kwa mtu ambaye hajui hicho kitu ambacho wewe unakifanya na hakuna general mentor na ndio maana kuna spiritual mentor eh auo ndio tunaangalia spiritual mentor kwenye Bible si tunatumia nani Yesu Kristo Waislamu wanatumia nani Muhammad kwa hiyo hao ni nini ni spiritual mentor kwa hiyo anakumenta kwenye nini alifanyanga nini yeye kipindi alipopata majaribu alifanya nini huyo ndio mentor na ndio huyo ndio anayetakiwa tumfuat ndio kielelezo yaani usilete stori zako zingine za kujifanya kwamba kuna mtu mwingine unamfuata nje na nini na hao the same to the business kuna mentor ambaye yupo kwenye biashara ambaye tayari anafanya.
Sasa biashara ni pana ina vitu vingi kuna biashara zinaenda tofauti tofauti.
Wewe leo unataka uende kujifunza kwa mchimba yaani biashara ya uchimbaji wa visima.
unataka uende kwa mtu mwenye dua kari yako uende kumuomba ushauri yule ndio akument kichwani mwako wewe kwanza wewe ndio tatizo yaani wewe ndio tatizo yaani kutokujua kuchagua mentor wewe ndio tatizo kwa hiyo wewe lazima uju na ndio maana tokea mwanzo nimezungumza kujua unakoelekea ni muhimu zaidi kwa sababu ndio kutakachokufanya ujue nani umsikilize nani usimsikiliz kwa sababu changamoto ya leo ni moja watu wengi wamepoteza opportunity kwa kwenda kuwasikiliza wachungaji wakiamini mchungaji ni mentor wa kila kitu unajua pastor Imepata biashara fulani hataki ikafanywe mwanangu sioni kabisa huko kama mkitaboa bwana hiyo biashara itakuzuia kuja jumatano kwenye maombi aha mchungaji anaona wewe ndio biashara yake alafu usije kwa sababu biashara inukip busy anapoteza hela atakuyumbisha tu atakuleta kwenye sehemu ambayo yeye inambenefit lakini at the end of the day kumbe ulitakiwa upate mentor kwenye kila area uwe unajua na uwe umejiwekea mipaka kwamba okay huyu hapa ananimenta kwenye biashara biashara ambayo mimi naifanya yeye anaifanya.
Kwa hiyo mimi kwenye network marketing at the beginning nilivyoanza nilianza tu kama mtu mwingine wa kawaida.
Sikuwa na mentor.
Mambo ya kuwa na mentor kwamba ni muhimu nilikuwa sijui nimejifunzia humo humo kwenye biashara kwamba okay kwenye biashara hii tunafanya.
Sasa unaenda wapi?
Mtu anakuuliza kwenye train unataka kuja kuwa nani?
Wewe mwenyewe hujui unasema tu unataka mafanikio mafanikio yangu ni nini?
Eh nyie tu na uhuru wa hela nini unaishia hapo?
Ambia una akili wewe?
Sasa tunaanza training pale.
Okay.
Anakwambia no.
Ukitaka kujifunza kuhusu ukitaka mafanikio lazima ujue mafanikio kwako ni nini.
Define mafanikio.
Hebu kila mmoja aandike define mafanikio.
Mafanikio mimi ni kuwa na hela.
Unaishia hapa hujasema shilingi ngapi?
Anakuja kuchallenge.
Lazima usemi shilingi ngapi?
Sio unasema kuwa na hela.
Utajuaje kama umeshazipata unazozitaka?
Ah kuwa na shilingi ngapi?
Hivi shilingi ngapi mimi zinanitosha?
Unaanza kujiuliza swali.
Unakuja kugundua eh eh hivi kumbe hata hujuangi ambacho unakitaka siku zote na uko busy pale un challenge.
Kwa hiyo ni training unajifunza.
Sasa yule anayekufundisha kwa kipindi hicho ndio anakufundisha ndio nikajifunza uke mentor.
Nikaja kupata bahati ya kukutana na mentor three years after starting business.
Lakini nikampata kwenye biashara humu mtu ambaye anatengeneza hela.
Sasa yule nakutana naye kipindi kile anatengeneza milioni 50 kwa mwezi ndio nakuja nakukaa naye sasa naanza kumuuliza maswali.
Sasa unamwambia hebu niambie uliwezaje kutengeneza kiwango hiki cha pesa?
Akaniambia ahitaji muda.
Niliinvest muda mwingi kwenye biashara nikamuuliza swali ambalo mimi nalipitia.
Miaka yako mitatu ya kwanza kwenye biashara ilikuwaje?
Anakwambia miaka mitatu?
Ah ilikuwa ni migumu.
Kwa sababu miaka mitatu niligundua hamna chochote nilichokifanya.
Ah kwa hiyo na mimi nikaanza kupata moyo kwamba eh [muziki] kumbe haya magumu ambayo mimi nayapitia kumbe na huyu naye aliyapitia.
Kwa hiyo inanijenga kuona kwamba okay kumbe naye sio mimi pekee yangu.
Kumbe na yeye alishayapitia.
Kwa hiyo okay ndio maana hata leo tunasimulia kwenye bibilia Yesu alikutana na majaribu aliambiwa ajitupe kwa sababu ya njaa na akavunja akashinda lile jaribu usimjaribu Bwana Mungu wako kwa sababu ya mkate.
Ah kwa hiyo leo wewe mdada nini kinakusabisha uende ukavuevue nguo kwa watu kusa kwa sababu eti umekosa nja nyuma eti nikifa je na mwili ninao wewe mjinga toka hapa mentor wako ni nani?
Kwa hiyo umeelewa muhimu hiyo mentor kwa hiyo mentor is very important kwenye kila kitu unachokifanya.
kwa hata mimi nilipata mentor then mwisho wa siku nikajifunza kutoka kwao na mpaka leo wapo mamenta ambao mimi najifunza kutoka kwao naangalia naona okay m kumbe kuna watu wana akili mbovu kama mimi tunaendana eh kwa hiyo kumbe mimi ninachokifanya hata kama ni cha kijinga kwa watu wengi kina maana kwa sababu watu ambao wapo wamefanya vya kijinga hivyo na vimekuwa na nini na maana baadaye.
Mwisho wa siku unaliamsha >> kwenye kwenye kusema kufanya vitu vya kijinga.
Unaweza vipi kufikiria tofauti na na watu wengi?
Kwa sababu >> mh >> watu wengi wanafikiria in the same way.
>> Wewe umetoka hivi kufikiria kama watu wote alafu uende kufikiria tofauti na watu wengi?
>> Watu hawafikirii the same ila wametengenezwa kuwa hivy.
Unajua dunia inaongozwa kwa mifumo aha unataka au hutaki unajua au >> hujui.
Kuna sehemu kametengenezwa tu ambako kanakutrain na kanakushap unakuwa kule.
Sehemu ya kwanza ambayo inaship watu ni shule.
>> M >> shuleni tunapokwenda tunakwenda saa 2:00 asubuhi saa mo tunawahi namba >> m >> saa m:00 tunaingia darasani tunatoka saa muda fulani.
Ile ni shaping inakushapu kwenye employment system.
Kwa nini kwa nini nisiende sheni saa saba: mchana sasa hujatengenezwa kufikiria hivyo.
Kwa hiyo shule imekufanya na kwa watu wote walioenda shule wote wanawezanga sawa tu.
Wote wanawazanga kwamba nitaenda saa m:00 muda wa chai ni muda fulani.
Saa 4ne00 ndio muda wa nini?
wa chai.
Saa saba: ndio muda wa lunch.
Eh kazini vipi?
Si ndio hivyo?
>> M >> the same eh lazima ukae.
Lazima muda wa kazi.
Sijui unaelewa.
Eh.
Kwa hiyo kuna namna tumekuwa created kuwa hivyo.
Sasa ni mifumo imetengenezwa.
Aidha unajua au hujui unataka hutaki ni mifumo iko hivo.
Sasa kwenda kinyume na mifumo ni lazima uujue kabisa nimo ndani ya mfumo.
Ukishajua humo ndani ya mfumo kutoka kwanza lazima ujue kwamba nimo ndio natoka ndio maana ya kwenda nje ya nini?
Ya box.
ila kama hujui maanake kutoka pia hufanye nini?
Huwezi kwa sababu unaweza ukawa kwenye boki alafu hata hujijui kama uko ndani ya nini?
Ndani ya boksi.
Kwa hiyo kujua cha kwanza kwamba kuna mifumo ambayo ipo imetufanya tuwe hivyo, tufikirie hivyo.
Na ndio maana mtu anafikiria kwamba oh ah siwezi kuacha ajira nikistafuje?
Eh marani yangu wewe unawaza hiyo hela ya kustaafu ambayo ndio tunasema nini?
Retirement kiinunua mgongo mwenzako ukinunua mgongo chako mara tatu anakitengeneza kwa nini?
Kwa mwezi.
>> Mkininua mgongo chako mara ngapi?
Kwa mwezi maanake it's possible.
ukienda kumwambia huyu yeye anayeshubiri ukienda kumwambia kwa mfano mtu ambaye yuko nje ya boki kwa yule nje ya boki anamcheka anasema hivi hii mbuzi na akili kweli lakini sasa ndio huwezi kumwambia inabaki umwache na yeye umuelewe kwenye engo yake kwa hiyo unaweza ukafikiri tofauti kulingana na wewe na ndio maana kuna experience tofauti ambazo tunazipata kuna option nyingi kutana na mentors ukishindwa kukutana na mentors soma vitabu ukisoma vitabu vitabu mbona vimeeleza mifumo tu imeandikwa kwamba hapa huu mfumo umekaa hivi na hivi unaweza kuutoka kwa namna kama hii eh ndio option zingine ziko huko.
Kwa hiyo kama wewe hata kama vitabu ulikuwa hupendi kusoma ukajielekeza ukajidedicate kwamba kuna kitu unakitafuta ndio maana nimesema uhuru hauji.
Uhuru unatafu unatafutwa kwa vita.
Yaani ni vita maanake unapambana na tabia yako mwenyewe unapambana kutoka kwenye mfumo ambao umeshatengenezwa kwa muda mrefu.
Ehe.
hivi mtoto unawezaje kumbadilisha kwa sababu mtoto anapokuwa si anampelekwa shule shuleni anaanza kumuona mwalimu mwalimu ndio menta wake amuuliza unatamani ukiwa nani uje kuwa mwalimu aha tayari tatizo hilo wewe unacontrol vipi ho watoto wako >> watoto wangu >> watoto wangu mimi nawachange mindset najaribu nikisafiri nao >> nawapandikiza m naimpose mbegu mpya kwa sababu ni pambano hilo kumbuka it's not >> hafikirii kuhusu vitu kama homeschooling >> ah dunia hii mifumo sasa home school utampatia mitihani yako mwenyewe wewe utakuwa unafanya kazi ya kutafuta the same time umfundisha mtoto >> kuna msemo mmoja anasemanga kwamba mzazi anampeleka mtoto wake shule >> ili siku moja aweze kupata ajira >> lakini at the same time angeweza kutengeneza mfumo na mazingira ambao hatohitaji kwenda kumuomba mtu mwingine ajira atakuja atamuomba yeye ajira >> ndio tunarudi hapo hapo ndio mpeleke mtoto shuleni kwa sababu elimu pia ni kitu cha nini >> cha muhim alafu wakit kule muda ule mwingine mtoto amekujalikiza usimpeleke tu anza kumfundisha kile unachokifanya wewe na pale tumia muda mwingi kuimpose mifumo yako kwake >> miezi [muziki] sita shule alafu mwezi mmoja >> eh huo huo mdogo inaingia mtoto inaingia itamsaidia baadaye kwa sababu sio kila kitu kwa sababu mimi nikiangalia vitu vingi ambavyo vinanisaidia kwenye maisha ya leo >> ni babangu alinifundishanga vitu aidha alinifundisha kwa kujua au kwa kutokujua >> shule na mzee wako au shule na mambo mengine >> vyote kila kimoja kina mchango wake >> ah kwenye 100% >> ah sasa vyote huwezi kusema kwenye 100% kwamba ukavigawanya kwa sababu kila kitu kina kina impact kwa sababu ukisema uitoe shule nisingejua kiingereza pasipo shule umenielewa nisingejua >> kuna watu unajua nakuuliza hivi kwa sababu >> vijana wengi sasa hivi wako kwenye trendi ya kuacha chuo yes kwamba chuo shule mtu anaona ah kama >> of course kuna baadhi ya kuna baadhi ya vitu vingine wewe shule unatafuta nini unakimbizia kutafuta pepa >> m >> karatasi ili lile pepa ndio ndio likakupatia ajira ukitumia kama justification kwamba ehe nina hiki kichwani hamna kitu ila nina karatasa hiyo ni tatizo lakini at the end of the day kuna age mimi nasema hivi nasuggest kabisa mwaka mmoja mpaka miaka 20 mtu anatakiwa asome.
Shuleni hatusomi tu yale material tunayoingizwa kichwani tunajifunza kuishi na watu.
Mimi nimesoma shule moja sekondari tulikuwa na nimekaa hostel tulikuwa na bweni letu moja inaitwa gorila humo tumekaa watukutu watupu watu [muziki] walioshindikana.
mle mimi nimejifunza mambo mengi sana kwa sababu kwanza nimejifunza kuhusu watu ambao elimu mpaka sasa hivi inanisaidia by the way sio direct education lakini ni indirect ni shule [muziki] nilikawa na jamaa mmoja simtaji jina kwa sababu najua ananifuatilia na sije akapanik ikawa kesi tumekaa naye huyo jamaa kwa asili ni mchoyo yaani yeye si kitoka shuleni yeye alikuwa anaumwa amiba kwa hiyo yeye alikuwa na special diet kwa hiyo chakula wanachokula walimu wanampa yeye kwa hiyo wakimpa yeye shuleni unakuta bweni nzima tumepanga mstari I naomba naenda kuomba wali yaani yaani swala yaani yaani madam naomba yaani wewe nipe jamaa alikuwa hatoi yaani hakupi yaani ndio [muziki] kufanya tunaomba kwa hiyo mwisho wa siku tunamkomesha tunamuibia yaani yule wali amepewa akigeuka tu upande wa pili washamuibia tumekula na no one cares kwa hiyo shuleni imetufundisha kuwa strong emotional hivyo ni vitu ambavyo mtu hawezi kuviona sasa mtoto ukimnyima hiyo opportunity pafu unajua maji haya unaweza ukanywa shuleni hunywi pekee yako wewe anaomba maji mtu anapiga tu juu n yeye anapiga iga na mwingine anapiga anapiga kuomba shuleni ni jambo la nini la kawaida haijitoshelezi yaani shuleni kuna maisha fulani ambayo hauj na ndio maana mtu aliyesoma hostel na ambaye hajasoma kwenye maisha ya kawaida wako tofauti kama umeshaobserve hicho kitu utagundua kabisa huyu wamesoma shing huyu hajasoma huyu wanaume waliosoma uboizini na waliosoma mixa kuna tofa kuna tofauti wa uboizini utawajua tu hawajaligi vitu yaani wenyewe wako kivyao tu wanaweza wakaenda yaani hajali chochote kwa sababu katika kwa hiyo shule ina umuhimu wake katika engo hiyo lakini sasa isimfanye mtu akawa mjinga kwamba asichukue kwamba kuna vitu vingine ambavyo vikujifunza nje kwa sababu shida ya wasomi wengi ujinga wamesoma shule wameshamka makaratasi alafu wana ujinga mwingine wa kuona watu wengine ambao hawajaenda shule hana kitu watakachojifunza kwao kumbe wale watu wana vitu vingine vingi unatakiwa uwe brave kuund kwamba sio tu kwa sababu ya shule kuna vitu vingine pia nje ya nini ya shule watu wana experience bro experience zina mata kwa hiyo unajifunza unakuta mtu yuko kwenye field moja amefanya miaka 10 wewe ndio unaingia wewe lazima ujifunze kwa yule mtu miaka 10 anajua vitu vingi kuliko wewe.
Kwa hiyo utajifunza kwake kama kichwani mwako uko tayari kufanya nini?
Kujifunza.
Lakini kama uko rigid na mambo ya shule kwamba una cheti gani ehe hapo ulipo umesomea nini ah wewe itakuwa mwendaazimu itakuwa ngumu kwako.
Kwa hiyo shule ina umemi wake.
Kwa hiyo hata mimi siwezi kutoa watoto wangu shuleni wache wasome wakutane na vyote lakini mwishoni wakija likizo naimpose baadhi ya vitu ambavyo naamini vitakuja kuwasaidia in the future katika maisha yao.
Tunamuona Chenza wa leo >> mh >> lakini hatupati picha kwamba amefikaje fikaje na steps zake ni steps ambazo mtu anaweza akazireplicate.
>> Oh of course ni ngumu kutress mpaka mpaka uniulize mimi mwenyewe.
Kwa hiyo yawezekana si wewe tu ila mtu yeyote ambaye anaweza asielewe kwamba inakuwaje.
Dunia au nyumba inapojengwa inajengwa na matofari mengi sana lakini sio matofari ya juu tu yale ndio yaliyojenga nini?
Yaliyojenga nyumba.
Kuna makuzi, kuna kuishi na vitu vingi ambavyo vinatokea.
Kuna changamoto za maisha ambazo zinampelekea mtu kufika sehemu [muziki] fulani.
Eh Chenza ambaye yupo leo mtu akiniambia nimwelezee kwa sentensi fupi mimi nitaelezea kwamba amejengwa na changamoto nyingi alizozipitia kipindi cha udogo wake ndio zimekuja kumjenga kuwa nilivyo leo.
Mfana mimi ni mtoto wa kwanza kwenye familia yetu.
Eh katika makuzi yangu nimekuwa mtoto ambaye unajua mzazi anapomzaa mtoto wa kwanza ndio anajifunzia uzazi pale.
Hakuwahi kuwa na elimu ya uzazi kabla.
Yaani ndio amempata ndio anajifunzia hapo.
Kwa hiyo mimi wazazi wangu walikuwa wananitaka niishi kama mtu mzima nikiwa mtoto mdogo.
Kwa hiyo nimekula viboko mzee.
Pigwa sana yaani unajua yaani kidogo tu yaani utafunguliwa yaani mpaka mwenyewe unyoke.
Yaani kwa sababu mzazi anataka uwe perfect.
Alafu anakuja ugundua kwamba ah nilikuwa namwendesha tofauti kwa mtoto watatu.
Yaani sio wewe yaani kwa hiyo madogo zako ndio wanakula bata ila wewe ulinyooshwa.
Kwa hiyo nimekuwa mtu wa kwanza.
Lakini jambo la pili ah nilikuwa naipenda shule ile shule mimi ilikuwa hainipendi.
Yaani shule mimi nilikataa kabisa.
Kwa hiyo katika shule ni kwamba nilikuwa sio kama sina akili.
Akili zipo lakini na michezo mingi.
Unajua sasa sijui yaani hiki ni nature yaani m na vibu.
Yaani vibu muda wote lipo.
Yaani mtoto mdogo nacheza sasa hivi najiona kwa mtoto wangu.
Kwa hiyo nikiletewa ripoti zake shuleni nini huyu ana akili la michezo mingi.
Nawaelewa.
Sasa mtoto wangu mimi ndio namuelewa sio walimu.
Walimu najua hawawezi kuelewa kwa sababu mimi nimepitia kwenye hiyo situation.
Kwa hiyo nilikuwa napenda michezo.
Nacheza nakosa tu umakini mdogo mdogo lakini ndio ubinadamu jinsi ulivyo.
Na binadamu ili akamilike lazima awe na mapungufu.
Hatakiwi kuwa 100%.
ukiwa 100% na wewe bila ulikuwa robot unakuwa sio mwanadamu sasa katika hivo vilikuwa vinanipelekea elimu yangu ya primari nimesoma elimu ya kawaida hizi shule hizi sio za kwenda na mabasi za kukanyaga kwa mguu kilomita tisa unaenda mnatembea kwenye barabara ya reli hivi mnenda mpaka shuleni alafu mnarudi baadaye.
Baiskeli nyumbani zipo ila baba hakupi anataka tu akunyooshe yaani ukanyage yaani kwa nini yaani kwa nini uende na baskeli uende kwa mguu kwa hiyo ndio hiv nimekulia katika mazingira hayo wale watu ambao mkiwa na tvzi zenye ni antena zimekaa hivi yaani nyinyi kweli ndio matajiri kwa hiyo sisi tulikuwa tunenda kwa watu kuangalia na ili muangalie mnapokuchulishwa mahindi kwanza lazima yule mtu ndio mnaingia seb mnaenda kuangalia ITV mnamwangalia yule Simbee kipindi hicho mnamwangalia mko free fresh tuani nyinie maadam mmeona mtu kwenye TV mnajiskia nini ni vizuri.
Kwa hiyo yote hayo yananijenga.
Nasema wewe kwa sababu vyote hivyo vimekuja kunijenga mpaka sasa hivi.
Nimemaliza darasa saba nikafaulu kwenda sekondari ya kata mwaka 2003.
Umefaulu kwenda sekondari ya kata yaani wewe ni mtata mtaani shule nzima kwanza tumefaulu wanne na mimi nimo ndani yao.
Ninanunuliwa soda kabisa.
Yaani mtata nimevunja yaani kwa hiyo hiyo ikanipatia another thing.
Nimefika shuleni nimekutana na watu wengine tofauti sana na wale niliosoma nao primari.
changamoto zingine walimu wengine kutana na walimu wanoko wana maneno mengi hasa wamama katoto nimeiba vitu wakati kweli sijafanya sijaiba nishachapwa mbele ya sembo nzima unajua eh kuhendo ile pressha mbele ya sembo nzima yaani unachapwa kwa kosa ambalo watu haujafanya nini haujafanya >> hujafanya kwa sababu tu ulikuwa haupo sehemu inayotakiwa kuwepo kwa wakati unaambia wewe ni mwizi umeba watu kwa sababu umekutwa darasani wakati wenzako wako assemble kula viboko assembo nzima unaaibishwa unayahendo yote yale maumivu nimeenda nayo hilo nikafukuzwa shule form 2 kwa kosa ambalo hata sikufanya nini sikufanya nazungumzia vitu vilivyonijenga to be who I am today nimeondoka nimehama shule nikapelekwa shule nyingine babangu akaniambia sasa unaenda shule shida yako wewe unafahamika mno jitahidi kuwa roho kei mim sijaumbwa kuwa ro ki mimi nimeumbwa kupiga makelel ndio maana hata leo nikipiga kelele mtu asinishangae ndio nikogo hivo nimeenda shule yaani ile shule nimefika siku ya kwanza ya pili shule nzima wanalijua kuna mgeni kaja anaitwa Chenza.
>> Ulifanya tukio gani?
>> No.
Yaani uniqueness ya jina langu tayari inanibeba.
Chenza.
Eh chenza.
Chenza si unajua ni tunda Chenza.
Eh kakafupi hivi.
Eh.
Kwa hiyo tayari napiga kinanda.
Mimi ni pianistika shule shule ya dini mimi napiga kinanda.
Vinanda vimefungiwa ndani kwa sababu mpigaji hayupo.
Nimefika tu mimi sa mbona vinanda mmevifungia?
Wapigaji hapa mimi napiga leteni nimekigonga.
Ah shule nzima star mpya ameingia.
Nimekuwa star bro.
Mimi nimefukuzwa shule kwa sababu tu ni star shule.
Yaani nimefukuzwa shule kwamba kuna mwalimu mmoja alibeti hapo niko form three huyo ni mwalimu wa hesabu.
Mimi nakuwaje na influence kubwa kuliko walimu?
Aidha yeye aache kazi au mimi nitoke shuleni?
Ushaona mwalimu anabeti kwa ajili yako?
Huyo mzee namkumbuka mpaka leo na jina lake nalijua.
Namshukuru leo kwa sababu asingekuwa huyu mzee leo mimi ningekuwanga boya tu mmoja huko alibeti kabisa kwamba either wewe utoke shule au mimi ni babangu anaambiwa maneno kama haya mzee anajaribu kubembeleza jamani mtoto wangu ataenda wapi hii shule imembadilisha hakuna aidha atoke yeye au kisa influence nikatimuliwa shule nikaenda shule nyingine nimeenda [mikoromo] shule nyingine nimefika tu ile shule na yenyewe nasema basi ngoja nwe ki kuna jamaa alikuwa anasoma shule ile ambayo mimi nili nilikuwepo alikuwa saini mkubwa sasa ameenda kule yuko advance amefika kule ananijua nimefika kule huyu dogo anatakiwa awe kiongozi hapa nikapewa uongozi staa mwingine tena msosi kiongozi wa msosi unajua kiongozi wa msosi hosteli eh >> nikawa nikatrend yaani kipindi hicho ndio tunatrend yaani nishatrendi nishakuwa mkubwa nimekaa bila kosa bro wameenda kukamata nilikuwa naumwa nakunywa dawa niko bwenini siku hiyo no nimeenda sasa kula chakula ili niwe dawa kwa hiyo nina ruksa kabisa na nimepewa permit kabisa kutoka kwa mwalimu wa malezi wameenda kukamata wavuta bangi humo na mimi nikaunganisha kwenye lile kundi nimeenda nimetimu hiyo shule na mimi nilikuwako navuta bangi sijawai vuta bangi ile kesi imeenda kwa mzee wangu mzee wangu mpaka napanik ibu una shida gani huyu mtoto mbona haya mambo haya unafukuzwa shule na hauta ukuwepo kwenye nini sawa unafukuzwa bangi bangi kuvuta mwanangu najua hamna lakini kwa nini unakuwa mtundu naumwa na taarifa zipo taarifa zipo fuatilia lakini hakuna no one unas nikatimuliwa shule nikaondoka nikaenda shule nyingine ba za sekondari unaenda shule ngapi ya nne >> ya nne nimeenda kwenye shule nyingine.
Sawa tumeko.
Haya hiyo changamoto ya kwanza ikaisha tunakuja changamoto kwenye matokeo.
Picha linakuja form F nimefeli.
Crediti unatakiwa hizi?
Mimi nimepata hizi mbili.
Haya nishazingua tayari hapo unaanza kutafuta credit moja.
Zamani hatuamini kwamba unaweza ukaenda kwenye maisha tu hizi mambo ya certificate yalikuwanga hamna.
Lazima form 6 ndio uende chuo unaenda kutafuta credit.
Tafuta credit mwaka wa kwanza te.
Mwaka wa pili te.
hapo ulikuwa unaamini kwamba shule ndio itanipeleka >> kipindi hicho kipindi hicho ndio sasa si ndio perception ambayo umeshatengenezea kwenye familia kwamba lazima usome kila wenzako wamesoma unaambiwa unaona mtoto wa fulani mtoto wa fulani si unajua kwenye familia wanakompa watoto wa kitao unamuona mwenyewe unamuona wewe umebaki pekee yako kwa hiyo naona unaamua ukomaa ilimradi mfurahishe mzee lakini unakomaa nikaenda nimekosa credit mara ya pili nimekosa credit mara ya ngapi >> tatu >> ya tatu nikasema hii ya nne sasa hii nitapata pata ngoja nisome form 5 huku natafuta credit nikachinjwa tena ikabidi nilazimishe babangu akati tamaa mzee wangu yaani yupo na mimi yaani mi naamini wewe unaweza nikasome mwanangu utasoma maisha si wenyewe hatukusoma na wewe tena usisome huyu ndio mtoto wa kwanza kwa hiyo mzee wangu anapambana katikati ya njia mdogo wangu ndio akakata tamaa kabisa shule yeye ndio akagoma kabisa alfu mtu akasema sitaki sitaki sitaki sitaki sitaki shule sitaki akaacha kabisa shule yaani akasema kama kaka mwenyewe anastruggle hivi mimi sitaki sitaki kabisa kusikia habari za shule.
Yeye ndio alitia mgomo mapema lakini nikakomaa nikaenda nikasoma nikapata credit tano nikafanya mtihani wa form 6 kama private candidate nikaenda nikaja chuo chuo mwaka wa kwanza nimedisco so vile vitu ni kweli vilikuwa ni vigumu lakini vile ndio vilivyonijenga kwenye maisha brother mimi kwenye maisha sionangi aibu kwa sababu kuna aibu kubwa ambazo nimekutana nazo nikiwa mdogo huko.
Leo kuna watu they are very weak bro.
Kuna mtu leo unakutana naye anakusimulia mambo ambayo eti yanamkatisha tamaa.
Vitu vya kipuuzi vinamkata tamaa.
Yaani wewe unataka unataka good life alafu unataka soft things.
How comes?
Wala tushakutana na embarrassment in the front of people mzee kila mtu anakuona wewe nini ni takataka na tumesurvive.
Yaani wewe ni nani?
Yaani unataka vitu laini laini.
Kwa hiyo yale mambo yote yamenijenga.
Aibu umekataliwa wewe mtu wa ovyo sijui nini vitu kama hivyo.
Hiyo ni katika engole ya kushindwa na rejection.
kitu gani hapo kikakubadilisha kutoka kuwa unafikiria inabidi nisome nipate credits nifanikiwe nimrizishe mzee nikakubadilisha kwamba hapa sasa nyini msiporizika mkiridhika mimi >> ah sasa imeshafika sasa unajua kwenye maisha si kibongo bongongo tunasoma chuo ndio destination yaani ukifika chuo pale unajiona na wewe umekuwa umekwisha kuwa mkubwa una maamuzi yako mwenyewe huko nyuma tunaenda tunadiscuss na mzee baba anakuambia nitakulipia nenda tena kajaribu tena mimi babangu alikuwa ni mtu try again nenda kajaribu tena jaribu tena unajua na yenyewe nahitaji mzazi ambaye na nani ndio maana mimi mzee wangu namkubali sana jaribu tena anakupa nafasi nyingine jaribu kwa sababu analipa ada jaribu tena sasa vitu vile vimekwenda kilichokuja kunibadilisha baadaye nimeshafika sehemu sasa elimu hapa ndio mwisho kwa sababu digree ndio tunaamini kwamba ndio haya hii na huko kwenye imeshindikana sasa nimedisko sasa ehe unafanya nini sasa >> unaenda chuo kingine >> achana na mambo ah nikaona sasa kwenda vyuo vingine cha kwanza ni kuwaficha wazee wasijue alafu cha pili naachana na mambo ya nini ya shule ngoja niingie duniani.
Sasa katika duniani kuingia ndio unaanza kukutana na nani?
Na zile watu walioshindwa.
Unajua unajua siku zote akili algorithm huwa inaselect vitu ambavyo vinafanana na wewe situation iliyopo.
Yaani watu wengi wanatupanga vitu kwenye taarifa ambazo zinafanana na wao.
Yaani kwa mfano watu ukiingia kwenye sting mtandaoni mtu maswali yanayoulia ni yale ambayo yamemkutia.
Hivi ukimfumania mke unafanyaje?
Ujue amefumania mke?
Ndio anauliza maswali kama haya.
Kwa hiyo unakwenda kuanza kuuliza maswali unaanza kutafuta sasa ndio unaanza kukutana na zile taarifa unakutana na mtu anakuambia mimi shule ilinishinda lakini leo maisha yangu tofauti.
Huyu sasa anakuwa interest kwako.
Unaweza kumsikiliza mle ndio unaanza kuokota baadhi ya vitu ambavyo sasa vinaanza kukujenga kukuonyesha kwamba vitu vingine vinafanya nini?
Vinawezekana.
Kwa hiyo hayo ni mambo ya baadhi ambayo yamenijenga.
Jambo lingine ambalo limenijenga ni elimu ambayo tulipatana kanisani.
Mimi nimekuwa mimi mtoto wa mchungaji.
Kwa hiyo nimekuwa church.
Sisi kanisani kwetu tuna chama kimoja kinaitwa watafuta njia.
Eh mimi ni msabato.
Kwa hiyo kwenye kanisa letu sisi wamewekeza sana kwa watoto wanafanga kama vipolisi hivi vina kama unawafahamu wafabat tutaona wanaje.
Kile chama kile tulipatanga walimu wazuri zamani sijui saa hizi sijui wapo sijui ndio wamesha wamesha ni zamani unajua watu walikuwa wanafanya vitu kwa passion.
They don't need money lakini wanafanya.
kule tulifundishwa mambo mengi mambo mengi uongozi tumefundishwa kule tumefundishwa kuwa wakakamavu tumefundishwa sijui kufanya nini tumefundishwa tabia za watu.
Kwa hiyo kuna vitu vingi ambavyo tulijifunza kule.
Sasa unajua mambo uliyojifunza wakati wa application haajagi eti kwa sababu nilijifunza ngoja nifanye a-ah automatic kwenye application huwa inatokea as long as you know something kwenye application vinakujanga kwa hiyo kuna vitu vingi sana ambavyo nijifunza huko zamani vikawa vinakuja vinaanza kuapply kwenye maisha ya kawaida kwa hiyo vinavyoanza kuapply vinaanza kuja vinaanza kuja ndio vinaanza kuleta kitu ambacho kinakuja kuonekana.
Kwa hiyo baadaye ilipofika sasa kwenye kuchagua sasa mimi ni nani nataka nini hivyo vitu vilinisaidia sana kujua wewe ni nani kujua kusetti magoli malengo zile goal settings zile.
Nimejifunza mimi kwenye chama cha watafuta njia huko sijui nikiwa na miaka sijui tisa sijui 10 unafundishwa kujitaf nani kuseti malengo.
Kwa hiyo unakuja unaanza kusetti malengo.
Kwa hiyo unakuja hapa sasa unakutana na mtu kuna vitu unaanza kuvielewa vizuri kwa sababu ulijifunzanga nyuma vinaanza kuwa applicable.
Kwa hiyo unajiseti unajitafuta unaenda.
Kwa hiyo mpaka hapa ambapo unafika kumuona Chenza huyu kuna a lot of matofari nyuma huko yametumika au kuna nyundo kibao zimegongagonga huko ambazo hazijapasua jiwe siku moja.
Unapokuja kuliona limepasuka papu wewe ndio unaliona lakini sio jiwe la mwisho lilopasua.
Ni vitu vingi ambavyo vimetokea huko nyuma.
Kuwa strong emotional tumejifunza huko nyuma.
Embarrassment huko nyuma.
Wewe ushachapwa uchi.
Eh ushachapwa uchi wewe sasa chapa uchi mbele ya marafiki zako.
Yaani anakuchapa vile ili mradi ujisikie vibaya usirudie tena.
Sasa kumbe yaani embarrassment ya kiwango hicho haya leo nini ambacho kinaweza kikanitisha mimi eti kanza kunifanya eti nijisikie vibaya mimi najisikia vibaya dakika mbili alafu nikitoka pale pili ah potezea huko nimeshika mbele nimeenda kuna watu wengi wanashindwa ile let it go hawawezo kuna watu wanaogopa watu watanionaje watu watakuonaje kwenye maisha yako watakuonaje sasa mimi nishaonekana kituko tokea nikiwa mdogo unakuja kunitishia leo kwenye utu uzima eti watu watanionaje >> kwa mtu ambaye amepitia maisha opposite na ya kwako let's say wewe umefeli shule nini unakuta ushazoea kufeli yaani Yaani huoni kama ni kitu ambacho kitakudistract na kuwa rahisi kujaribu vitu.
Unaona ah mimi naingia kwenye hii biashara kwa nini nikifeli mbona nishafeli sana?
>> Eh nishafeli sana.
>> Mtu mwingine yeye maisha yake shule yalikuwa ni >> soft >> soft anafaulu tu.
>> Sasa hivi anakuja kwenye maisha mambo ni tofauti >> tofauti.
Eh >> anabadilishaje?
>> Ndio anajifunza kutokana na watu ambao wametangulia.
Ukijifunza kwa watu wengi watakuambia unafanya unajaribu tena unajaribu tena.
Ndio hapo sasa lazima uende kuapply.
Kama utakuwa ni mtu wa kufanya tu kimekushinda umeachana nacho umeenda kingine ah wewe kila siku utakuwa unaanza kila siku yaani wewe huendi popote utaishia hivyo hivyo na sio vibaya ukiishia hivyo kwa sababu na wewe ndio fungu lako ulilolichagua >> let's say Chenza iko tayari >> kwamba watu 100 wapo hapa wanaangalia >> m >> alafu yeye awe kwenye side ambayo >> mi sio mia mimi hata mkiwa lakija nawaambia nyini wote mko wrong mimi ndio niko sa hii fresh tu mimi nakuambia m hiyo confidence ninayo >> mtu anatengenezaje hiyo confidence mfany biashara ambaye ndio anaanza ni wewe kujiamini cha kwanza unatokea trust yourself first kabla mtu mwingine huj fikiria kwa mfano hivi unafikiri aliyetengeneza hii simu na sisi tunaonunua simu nani anaiamini hii product kati ya sisi na aliyetengeneza nani nani mwenye imani na hii product >> aliyetengeneza >> sasa wewe wewe ndio unaidia wewe jiamini wewe nenda utakosea utarekebisha mpaka utajipata ukitaka uanze kwenda kwenye opinion za watu bro hutoboi especially wabongo hawa wabongo hawa ambao ni wakriticize kwa kila kitu hapa ah huendi popote.
Yaani wewe unatakiwa ujiamu na ndio maana asema chagua mlima wako upande mimi nimechagua mlima wangu ni huu.
Wewe umetengeneza product hii ndio product yangu.
Mimi I believe in my product.
I trust my product.
I trust my brain.
Alafu mboya nyingine ambayo haijui chochote nakuja kambia ah unajua wejua nini?
Hebu toka hapo.
Kwa hiyo lazima uwe unajiamini.
Level yako ya kujiamini iwe kubwa alafu amsha.
ndio utatumia ushauri wa watu wengine kama maexpert lakini pia wasikutoe kwenye nini?
Kwenye reli kwa sababu kibongo bongongo kutoa kwenye reli ni dakika sufuri.
Wabongo hawa wanaoponda kila kitu.
We tafuta watu wote ambao ni strong bongo hapa.
Utagundua washapondwa sana alafu hawajali nini mpaka wao wenyewe wanafika mahali wameshazoea.
Ah vya kawaida hivi wengine mpaka mtu anamsema vibaya na anamlipa huku anamsema vibaya.
Kwa sababu gani?
Washaelewa kwamba no hamna issue hapa.
Kwa hiyo lazima uwe strong enough.
Ukiwa weak utasombwa.
umesema mtu anasemwa bado analipwa na nini yale mambo ya mitandaoni sasa >> yes tukija kwenye mtandao at that time 2014 we unaanza biashara >> sio sawa na sasa hivi >> m >> at that time kwa bado mambo hayajachangamka >> m >> mitandao imekuwa na faida kiasi gani kwako >> eh >> kubwa mitandao kwanza imenipa credibility watu wengi unajua mimi wananiamini >> watu wengi mimi ukiwaambia kuhusu abc zangu za maisha hawaoni ni maigizo kwa sababu wana uwezo wa kurudi nyuma na wakatres Mimi nakumbuka nilikuwa ni mtu ambaye nimeanza kutumia Instagram kipindi imekuwa introduced tu mapema mapema ile 2012 sijui nakumbuka nimeanza kutumia mimi nilikuwanga natumia blackberry eh nilipambananga sana kupata blackberry yangu kipindi hicho BB nini sijui DM sijui nini vile vitu kwa hiyo hizi WhatsApp zinakuja mimi ni mtu wa kwanza kwanza kutumia Instagram zinakuja >> exposure ulikuwa unapata vipi >> si tu nafikiri miaka hiyo exposure ilikuwa tayari alafu nilikuwa niko Dar es Salaam alafu kipindi hicho hizi fan zilikuwa zishakuwa kubwa kwa hiyo vitu vingi tunavyoona tunaona wakina Shalom wanazungumza nimemtumia BBM eh BBM ndio nini unatakiwa na Black Mary ah ndio nini sehemu eh shilingi ngapi ah unaenda kutafuta hela unanunua kwa hiyo kipindi hicho tulikuwa tumepata hiyo exposure nafikiri ni kwa sababu ya wakati kwa hiyo mimi nilikuwa sina hofu ya kuzungumzia kile ambacho naamini kabla hakijawa kwa nini nyuma nilijifunza iandike njozi yako ukaifanye iwe wazi katika vibao kwa hiyo mimi nilikuwa posti mwaka 2013 nikizungumzia 2026 ambayo bado sijafika.
Okay.
Ah of course tumehama lakini ulikuwa unaelezea kwamba Chenza >> m >> ambaye tunamuona sasa >> hatujazungumzia kwamba hii biashara ambayo ndio tunakujua unafanya uliingia ingia vipi kwenye hiyo biashara unawezaje kuijua kwamba >> kuna potential hapa >> biashara ambayo nimeingia cha kwanza potential ambayo niliiona kwa sababu ilikuwa haihitaji document support ya aina yoyote.
Nakumbuka mimi nilikuwa nimeshapoteza document support.
Kwa hiyo mimi mvuto wa kwanza kwenye hii ilikuwa haihitaji ushaacha chuo tayari >> eh chuo kishanishinda kwa hiyo haihitaji supporting document yoyote haihitaji certificate wala cheti yaani unaweza ukaingia yoyote tu na ukaja ukaonyesha uwezo wako ukatoa potential na mwisho wa siku mambo yakafanya nini yakaj hilo lilikuwa ni jambo la kwanza ambalo lilinivutia kwenye hii biashara jambo la pili mtaji ulikuwa mdogo yaani kianzio ni kidogo mimi nimeanza na mtaji sijui shilingi 34 mwaka 2014 hiyo 3000 34 nimepiga zangu gigi kipindi hicho nimeenda zangu Mombasa no nimeenda Kisumu Kenya alafu nikaenda Nairobi nimelipwa nimelipwa shilingi 3000 ya Kenya alafu unaniambia eti mtaji ni 1700 ya Kenya nashindwa mimi nikatoa tu hela yangu nikaanza kwa sababu mtaji ulikuwa mdogo kipindi hicho mtaji fedha ulikuwa mdogo ikawa rahisi kwangu kuweza kuanza kwa hiyo nilichukua hiyo opportunity kwa sababu hiyo.
Lakini jambo la tatu ni kwa sababu nilikuwa niko tayari kujifunza na kubadilika.
Kwa sababu wanasema hivi mtu anabaki vile vile kama anapata taarifa zile zile watu wale wale na experience zile zile zile you can't change in your life.
Kwa hiyo unahitaji experience mpya, unahitaji watu wapya na unahitaji wewe mwenyewe kuwa mpya kila siku.
Kwa hiyo nikapata mtu mpya, nikapata watu wengine wapya, nikapata uzoefu mwingine, nikakubali kubadilika.
Katika kundi la watu 21 ambao tulikuwa pamoja huko, mimi pekee yangu ndio nilikubali kuwa tofauti na leo nayaona matokeo.
Kwa hiyo hilo lote likanisaidia.
Kwa hiyo nilipokuja nikaanza biashara nikaanza kujifunza.
Haikuwa rahisi pia.
Haimaanishi kwamba nilijifunza ndani ya siku moja nikaielewa.
Kuna kipindi nilifika mahali mimi wengi nikawa nimechanganyikiwa.
Naambiwa unaongea vitu ambavyo havipo.
Yaani unaongea unazungumzia vitu vikubwa mno.
Mimi babangu ashanitafutia mpaka mwana saikolojia [muziki] akae na mimi aongee.
Kwa sababu naongea vitu vikubwa mno mimi nilikuwa nazungumza kumwambia babangu mimi mzee wewe mimi nitakuwa nakupatia milioni tatu.
Yaani kama nani nakususia tu mzee shika tatu hiyo?
Yaani sina habari.
nazungumza na hizo stori mzee akiniangalia tatu wao wanawaza mtoto wapate sehemu wamlipe hata l,000 nusu unaele si alafu wewe unazungumzia mimi nitakuwa nakupatia tatu unaonekana kama babangu mimi alishaidiriki kusema kwamba huyu kama hatumii madawa Dar es Salaam huko haya madawa ndio huo yanawafanya watu wanaotaka ndoto za nini za asubuhi mamangu mimi nilikuwa namwambia mama mimi nitakuja kununulia gari we ni wewe wewe tulia tu mimi nikipata hela ndinga hilo hapo sasa nilikuwa nazungumza vile vitu ambavyo mimi vimeujaza moyo moyo wangu by then alikuwa haamini leo ana testi fulani Namshukuru Mungu anasema daunga unaongea >> nilikuwa nataka nikuulize hapa nilikuwa naangalia picha yako umeposti Oktoba 7 2013 >> caption kwamba mnyamuzi fulani hivi tajiri ambaye sina hela bado >> ila nitakuwa nazo kama zote >> eh kama zote na kipindi hicho sijui nitafanya nini >> ndio nilikuwa nataka nielekea ulikuwa unajua utafanya network marketing na nini hapana siku hiyo nilikuwa nimetoka kuangalia mie moja inaitwa the wf of the wall street kama ushaiangalia hiyo movie hiyo movie inazung zungumzia maisha fulani ya kibilionea jamaa mmoja anatengeneza pesa ametengenezaje yaani nomata iligo ligo hakuna hela ambayo hela hela tu kwa ho kipindi hicho nimeangalia hiyo mie nikasema yes nimetoka sasa siku hiyo yaani mimi najiona yule mwamba kabisa yaani mimi najiona kabisa yule mwamba yaani nimetoka pale nimejazwa nikawa hiyo kofia kwanza ilikuwa sio ya kwangu ya jamaa yangu mmoja anaitwa hasha yupo kigamboni sasa hivi akanipa namuanga usheri alinipanga hiyo kofia nikasema hebu nipe kofia nipige picha alikuwa na simu moja inaitwa HTC simu yenyewe sio yangu yaani nikapiga na ile sengi yake ya IGTC alafu nikalog kwenye kompyuta nikaposti nikaiposti hiyo picha mnyamwezi fulani nini ambaye nafanya nikaposti hiyo picha basi ndio hiyo kwa hiyo nilikuwa najitabiria >> hiyo yote ni kujiona miaka 10 20 >> baadaye >> lakini >> imani >> hapo bado haujui uta >> brother imani ni kuwa na hakika na mambo yatarajiwayo baana ya mambo yasiyoonekana kwenye nini >> yaani wewe kujiona baadaye haijalishi unafanya nini sasa hivi shida wewe wengi wanataka justification yaani kuna kitu unafanya alafu ndio ajione wewe jione tu kabla yaani hicho kitu hakipo vitakuja baadaye vitajisoti vyenyewe unajua when you know what you want the universe sometimes huwa inattend yenyewe automatic bro ukikaa kwenye sehemu hii leo hii watu wengi huwa hawajui hivyo vitu vinahappen accidentally vinahappen yaani automatic kwa mfano umeingia kwenye simu Instagram sasa hivi ukiscroll picha ya kwanza ya pili ya tatu ya nne ukapata kitu cha interest maanake utaweka muda mwingi utakiangalia ukienda posti ya nne ina inakuja inayofanana na ile ukienda posti ya tano unakuta inayofanana na vitu vinakuwa vina shabiana kwenye message moja ukienda saba nane ukakaa ukawa unakaa algorithm inakutrack inakujua kabisa aha wewe aina hii vitu vya nature nature hivi unavichukuanga muda mwingi kuviangalia kuliko vitu vya mpira kuliko vitu vya muziki kuliko vitu vya nini kwa hiyo inakuletea vitu vya nature tupo utakuwa unaviona hivyo tupo na ndio maana mtandaoni tupo wote mtandaoni lakini hatuoni kitu kimoja kila mmoja anaona kulingana na nini na yeye ambacho anainterest nacho the same tu maisha unapokuwa na kitu fulani ambacho unakiona jinsi unavyokuwa Mungu anakuletea automatic vitu sasa ambavyo vinasupport destiny yako.
utaletewa watu sio kama hawakuwepo walikuwepo ila kwa sababu interest zako zilikuwa hazipo kwenye vile vitu taarifa ilipita ila kuizingatia ukaangalia taarifa zile ambazo umezijaza ndani ya nini >> kwenye mambo ya sio media hapa tutarudi kuongelea kiupana sana >> sababu unajua kuna biashara kubwa kuna mambo mengi ambayo yapo >> lakini ikija kwenye wewe kuingia kwenye network marketing >> na ulikuwa ushaona watu fulani hivi kama marole mode unasema ah na mimi nataka kuwa kama huyu >> mimi video ya kwanza iliyonisababisha nianze kuipenda nitoke marketing ya Enos Salema >> m >> hiyo video mpaka leo ninayo amevaa nguo moja ya kimasaa hivi alikuwa anazungumzia jamaa amesafiri kwenda Uingereza mara ngapi ameenda Marekani amechukua gari mwaka 2012 nini discovery bro discovery chana na hizi ndio zimekuwa nyingi 2012 anazungumza amechukua CMC 0 km si taarifa nazisikia mimi nachanganyikiwa mimi ndio maisha nayo natataka haya mimi natamani kuwa kama huyu jamaa mimi ndio naanza kumtafuta yeye naanza kutembea naskia wanafanya sasa mimi na mapambano naenda naenda sina kiingilio nakwama lakini nasikia namuona yule pale namuona yaani nakuwa unajifahamu mtu na admire kabisa unamuona kabisa ah ndio yule eh e gari lenyewe ndio hili sijui unaelewa unawaona wale watu wanafanya nini network marketing okay network marketing nilishindwa kufanya hiyo kampuni yao kwa sababu nilikuwa sina hela ya kufanya lakini nilikuwa nawaelewa mimi nimejifunza kwao nawaelewa nikapata nyingine ambayo ina pesa ndo ndogo lakini nikasema naweza nikafanya kama wao eh nikaanza kufanya basi mtu ukiingia hivi kwenye biashara kuna excitement fulani hivi unakuwa nayo lakini ukienda hivi unashangaa m kumbe uhalisia sio hiv >> eh kuna levels >> lazima ukutane nazo.
Level ya kwanza ni level of excitement.
Chochote unachokianza excitement kinakuwa juu sana.
Unatamani unayona mafanikio fasta.
Ukiingia le ba ukaanza kufanya changamoto zinaanza.
Sasa pale tunabadilisha excitement.
Tunaweka pembeni tunakuja kwenye fact.
Kwa hiyo lazima na wewe akili yako iswitch kutoka kwenye excitement mode kuja kwenye fact mode.
Sasa ukifika kwenye fact mode wengi wanashindwa sasa kubadilika hapo.
Wengi huwa wan giveive upadala ya kuswitch kwamba okay nilikuwa kwenye excitement mode natakiwa niingie kwenye modi nyingine yeye anaanza kukit sasa.
A ah pale ndio level ambayo unatakiwa uanze sasa kujifunza.
Anza kukielewa hicho kitu vizuri.
In and out.
Kijue jua.
Cha kwanza mentality ya kwanza kichwani mwako unatakiwa iwepo.
Nothing is easy kwenye hii dunia.
As long as ni kitu ambacho kina potential hakiwezi kuwa rahisi kikiwa rahisi hicho hakina potential.
Na kingine hawafanyangi watu wengi vitu bora.
Wanafanyanga watu wachache ni just 1% of the total population ndio wanafanyanga vitu vya maana.
The rest wanafanyanga vitu vya kawaida.
Kwa hiyo average people wako wengi wanaofanya vitu vya kawaida ni wengi.
Kwa hiyo wewe usifuate majority.
Fuata watu wachache wanaofanya vitu vichache ambavyo unavitamani hiyo ni mindset ambayo unatakiwa uwe nayo.
>> Nilikuwa nataka nielekee hapo kwa sababu watu wachend wanafanikisha vitu kwamba watu wengi akisikia netic marketing >> akilini moja kwa moja inakuja >> pyramid schem.
>> Of course kila kitu ni pid schem.
Hata government ni pid schem ndio maana hakuna marais wawili.
Rais ni mmoja.
Eh imekaa hivi.
Yaani rais ni mmoja alafu watumishi wengine huku chini ni wengi.
Kwa hiyo pyramid scheme watu wengi sijui wanaitranslate vipi.
>> M >> Pyramid scheme ishere bro.
Huwezi ukalipa mshahara sawa na bosi wako.
Mimi nimekaa kwenye industry miaka 13 wewe umeingia leo tulipwe sawa.
Never.
Kwa hizo value umezitafuta lini?
Hiyo thamani umeitafuta lini mpaka uje tuanze kulipwa hela?
Sawa?
Haiwezekani.
Wewe una network ya watu wangapi?
Una uwezo wa kuuza mzigo kiasi gani mtaani?
Mimi tunashindana mimi na wewe kwenye kuuza mzigo mimi nina miaka 13.
Mimi nina watu almost siku 2,000.
Wewe unaingia ndio kwanza mwe mmoja pekee yako alafu tulingane alafu unataka eti iwe iko haiwezi kuwa triangle.
Itakuwa pyramid tu kwa sababu muda uliowekeza na matokeo vinaendana.
No maana kila kitu kina cause and effect.
Kwa hiyo huwezi ukasema siku moja.
Kwa hiyo pyramid ipo tu kwenye kila kitu.
Hakuna sehemu ambako hakuna pyramid.
Kila sehemu ipo hivo hivo.
Wewe leo walioleta Mpesa na wewe unaoingia unafungua kibanda chako mtaani mtalingana.
Sasa kwa nini mtu anataka kuanza kusema hiyo ni pyramid scheme?
Kila kitu ni pyramid.
Government yenyewe ndio pyramid scheme namba one.
Kuna mtu mmoja chini na huku chini kuna wengi.
That's the thing.
Kwa hiyo anapoanza mtu lazima awe na mentality moja.
Shida watu wanaingia na mentality za competition.
unaanza kukompete na watu ambao umewakuta.
Huo ndio ujinga.
Unapofika kwenye kitu chochote ambacho wewe ni mgeni, kuna maexpert, kuna watu wanajua vitu wewe unatakiwa ulay down, jifunze, pambana kuwa bora kuliko ulivyokuwa jana wewe sio kupambana na watu kwa sababu hujui watu wanadabi.
Hii idea ya pyramid inafanya mtu mwingine afikirie >> mhm >> hivi kwa nini kama hawa jamaa wanauza product >> m >> kwa nini mimi nisianzishe duka langu niuze product na sio kuaffiliate >> nenda kaanzishe ni rahisi tu si choice katika maisha ni choicefanya maamuzi ya tofauti mimi nianzishe mwaka 2014 >> capital >> sina capital sina experience sina uzoefu wowote mimi ni mboe hatua ambayo nimetoka sina mtu yeyote sina connection yoyote duniani niende nikaanzishe ya kwangu naanzishia wapi ndio kuanzisha makampuni kama unafungua grupu la whatsapp inawezekana unaenda wapi hivi mimi leo nijihangaishe mimi wakati kuna vitu ambavyo tayari makampuni inatrust ipo kwenye market for so long ina technology imetengeneza mimi niaffiliate tu nifanye nitengeneze changu si rahisi hivyo nafanya tu mimi naondoka zangu ni understanding tu ukishaelewa baadhi ya vitu vingine ukishajua okay hii ilipofika sasa hivi brother unafikiria dunia hii wewe kuna kitu kipya katengeneze simu zako basi na wewe kakae nisitumie simu za watu sasa mimi nitengeneze ya kwangu nenda kaze kupekenyua huko uanze kuchoma uchome nani zile dagia hiyo mpaka uunganishe kitu kitokee kwa sababu wewe unataka kila kitu cha nini bro biashara sense of business is all where money is.
Yaani biashara is all about money is.
Kwa hiyo wewe unapoangalia biashara angalia je hii linaingiza pesa mimi nawezaje kumkutanisha sera na baya pamoja mimi nikae sehemu fulani mimi nitengeneze hela?
That's how business operates.
Kwa hiyo mimi nikiangalia biashara mimi naangalia sio lazima mimi niwe innovator au mimi niwe eh sijui mtu fulani sijui kuna watu wana title brother alafu hela hawana CEO alafu hamna kitu ah ya nini yote hayo kuna vitu mifumo ilishaanzishwa na watu mimi si na nani najiattach tu kwenye mfumo m nachokiangalia ni hela imeingia basi nimeondoka zanga wewe kitambo uje utengeneze vya kwako uje ukae vya kwako wengi wameanzisha mambo yao behind the back stress zimewajaa madeni yameenda sio vibaya kama unayo mapafu nenda Lakini mimi sikuwa na hayo mapafu by then sasa hivi I can.
Lakini why?
It's because kuna kitu nimekifanya kwa muda fulani nimefika sehemu fulani nina uwezo.
Nimeanzisha oviedo saasa hivi inatrend hata kama haina kitu ninachokifanya.
Kwa nini?
Kwa sababu kuna chenza ambaye kuna sehemu fulani ameshajitafuta amejipata.
Inakuwa ni rahisi zaidi.
Lakini kuna mtu mmoja yuko mtaani huko niseme anaitwa Ndala.
No one knows him.
Ndio aanzishe cha kwake.
Ndio utaanzisha kinawezekana kitachukua muda mrefu.
Lakini pia haiwezi kuwa rahisi.
Lakini mimi niliamua kujiattach hapo mimi nina maswali mawili.
Watu wengi wakienda mahali hivi wakaona hapa mbona kama hawa wanafanya hivi alafu kwenye top of the pyramid kuna mtu ananufaika zaidi na nini >> anataka kananzishe cha kwake pembeni baada ya kupata uwezo wa kuanzisha.
>> Nenda kaanzishe.
Yaani inasemea kama wewe steji ambayo upo sasa hivi niseme hivi kwa nini na uwezo wa kufungua mimi BF stuma ya kwangu.
>> Sasa hizo ni tamaa.
>> Alafu swali la pili ni kwamba unasema vitu haviwezi kuwa rahisi >> m >> wewe steji gani ilifika ukasema ah kweli hii ngoma ngumu.
>> Eh 2017 nimefika ngoma 17 nimeupiga mwingi.
Yaani mimi naona kabisa mbona mimi napambana mbona naupiga mwingi alafu ngoma huoni.
Alafu kuna kampuni nyingine unakuta watu wamekuja wiki mbili wanakuambia mimi namshukuru Mungu ndani ya miezi mitatu nimenunua gari.
Mimi nina miaka minne sijanunua gari.
Mtu miezi mitatu amenunua gari.
Unajua inakushekisha eh >> m >> alafu unashangaa timu yako watu wanaanza kuondoka wanaenda kuwafuata wenye magari wale ndio kumbe washikaji wenyewe wanakodi magari huko wanaenda kuwavimbia watu hamna kitu lakini baadaye unaenda kwa mentor unamwambia menta hapa angalia sasa watu wangu mimi timu yangu watu wanne wamehama.
Akakwambia ujinga ni kawaida ni normal.
Hakuna mtu anayekula asiyeenda haja.
Biashara na yenyewe inaenda nini?
Haj wache waende.
Cha kikubwa ni nini?
Sell vision.
Don't sell product au sell mfanye mtu aelewe vision ni nini.
What is the vision of the business?
Biashara hii nini ambacho itaofa baadaye?
Kwa nini umechagua huu mfumo wa biashara?
Kwa nini hujachagua mfumo mwingine?
Unaanza kuwa na z unasema hebu rudia sababu zako.
Uzuri ni kwamba mimi aliniambia andika sababu 10 kwa nini umeanza hii biashara.
Aliniambia mwanzoni kwa hiyo akaniambia haya turudi andika hizo sababu.
Ehe soma hizo sababu ya kwanza.
Eh umekamilisha bado.
Soma ya pili.
[muziki] Ehe haya soma commitment yako.
Ulisemaje?
Nilisema nitafanya bila kuchoka miaka 10.
Eh saa hizi miaka mingapi?
Mitatu.
Kwa nini unakata tamaa?
Acha ujinga nenda kafanye kazi.
>> Unaelewa?
Kwa hiyo unarudi kwenda kufanya kazi.
Miaka ikaenda tumefika 2018 wale ambao walikuwa wanafanya fanya feki feki wakaanza kupotea.
Unajua ubaya wa feki haidumu.
>> M >> wakaenda wakapoteza nuru 2019 flati wote.
Alafu sasa sisi ndio tunarudi sasa kwenye ile tunasema organic way of growing.
Tunakuja kwenye reality.
Mambo ndio hivyo yalivyoenda.
Kwa hiyo kuna kipindi na mimi nilifika mahali nilikuwa nakata.
nimekuuliza hili swala watu kufikiria akafanya cha kwake.
nilikuwa naangalia hapa >> kuna swala moja hivi unakuta unasikia kwamba mshikaji alikuwa anafanya kazi Bugati >> m >> alafu akaona kama kuna vitu fulani hivi naweza nikafanya zaidi yao lakini labda haviwezi kufanikishwa hapa >> m >> akaenda akaanzisha kitu nacho kikawa successful kampuni nyingine ya magari >> naye akaajiri >> akaja mtu naye akasema >> huyu jamaa kuna kitu anamiss alafu mimi kama mwajiriwa siwezi kuperform m >> kwa sababu ya mfumo aliouweka >> akaenda akazisha kampuni nyingine ikaperform >> kwa hiyo mwisho wa siku unakuta kampuni kama >> sita lakini zimetoka >> kwenye source moja >> kwenye s possible hata mimi kuna vitu ambavyo nimefanya kwa sababu sivifanyi tu watu hawavijui lakini sio kama [muziki] havipo vipo ila ni ile namna ya kuona kwamba si lazima uache kile unachokifanya ili ukafanya cha kwako unajua uzuri wa network marketing hii ni biashara ambayo haikulimi Sipangiwi muda na mtu >> mp sina job description kwamba kazi yako ni hii na hii sina sijui muda fulani ripoti kazidi.
Sina nini hakuna mtu anayenipangia muda.
Kinachonipangia mimi nifanye ni malengo niliyoayo mimi kwenye ile biashara ili nipate matokeo gani.
So you get my point?
Hainizui mimi kufanya vitu vyangu vingine.
Na ndio maana nafanya vitu vyangu vingine wala hamna mtu b atakuja kukuambia unafanya nini?
Kwa nini?
Ahah.
Freedom hiyo >> that is very powerful.
ni kwa sababu nikaanza kuwaza au ni kwa sababu kuna mwanzo mgumu fulani nikienda kuanzisha vipo watu wako huru watu mbona wanaanzisha vitu vya kwao wanaanzisha vitu vyao lakini sasa wakati fulani tunasema hivi unapoenda kuanzisha hakikisha kile kile ambacho unakifanya ni kikubwa duniani hapa huwezi kufanya kila kitu duniani hapa nasema hivi kuna kamtego kamoja anasema unatakiwa uwe na multiple source of income >> m >> ni kamtego pia na kenye kama hujakaelewa vizuri unaweza ukajichanganya kila siku ukawa unaanzisha vitu vidogo vidogo vingi tafuta kitu kimoja kikubwa ambacho ambacho kitasimama kama main alafu ile main iweze kufanya vitu vingine ambavyo hata kama ile main usipokuwepo bado inaendelea kuproduce the same au above ile ambayo ulikuwepo wewe then una uwezo wa muda wako mwingine unautumia kufanya vitu vingine na bado una hiyo freedom ya kufanya sasa mtu anafanya hapa hajamaliza hakijakuwa matued hakijakuwa tayari ashaenda kuanzisha kingine hapa kile kile kinamhitaji yeye mwenyewe akili yake ile afanye agawanye afanye nini mwisho wa siku vyote vinapotea kwa sababu hakuna Hakuna kitu kinaitwa competence kwenye jambo lolote inakuwa kama Spana Malaya.
Spanamalaya hainanga ubora kwenye chochote.
The Jack of all trade the master of Nan.
Kabla hatujaendelea naomba nipate f moja tu ndogo kutoka kwako ambayo utatumia just one second kuweza kutupatia mimi na timu yangu.
Sisemi kwamba ni as return to haya mazungumzo lakini hiyo ni f ambayo itafanya tuweze kuprovide values nyingi zaidi kwako na tutaweka kila efforts ambayo inahitajika kuleta guest, kuleta wafanyabiashara, kuleta watu ambao ungependa kujifunza kutoka kwao na actually utajifunza vitu vingi.
Na faa yenyewe ni kuweza tu kusubscribe.
Click subscribe button turn on notification na hii si kwa maslahi yetu tu pekee yake itakufaidisha pia na wewe kwa sababu tuna episode nyingi sana ambazo zinakuja kiuhalisia hutakiwi kumiss hizo episode.
Ni episode ambazo zitakupa mafunzo mengi zitakupa lessons ambazo huwezi kuzipata popote pale.
Na acha zaidi hizo episode zikawa ndio za kukupa taarifa ambazo itakuwa ndio turning point yako au tunasema breakthrough.
Na baada ya kusema hivyo just few seconds take that action then tuweze kuendelea hapo kwenye kuanzisha vitu alafu mtu anaanzisha kingine kingine kingine inabidi mtu achukue time frame gani yaani au ufike stage gani aone kwamba hapa inabidi >> kwa mindset yangu mimi mimi siamini katika kufanya vitu vidogo vidogo mim naamini vitu vikubwa brother nikiamua kumwaga maji namwaga maji kweli >> sina vile mile mentality vidogo vidogo vidogo vidogo vya nini mimi hamna cha kidogo kidogo oh small hakuna cha small business big business hiyo ni mindset sasa mimi mindset yangu hainiambii kwenye vidogo vidogo mimi naniambia kwenye makubwa yaani tukiamua kuondoka tunaondoka kwa ukubwa sio tunaondoka kama tunajaribu ah tunaondoka kama tuko serious umenielewa >> kwa hiyo ilifanye >> najaribu kukaa kwenye siti ya mtazamaji kwamba >> anakuta anakutana na mtu anasema >> mi nilikuwa sijui kama hichi kitu kitakuwa kikubwa hiyo >> alikuwa hajui maanake wewe wewe ho hiyo ilikuwa bahati tarasibu >> lakini kwa mtu anayejua unajua kabisa hiki kitakuja kubwa kwa sababu brother si naanza na imani m naamini kabisa mimi nimeanzisha oviedo najua oviedo itakuja kuwa bonge na dude sasa inahitaji tena tena mimi niseme nianze kama masiara >> hapa naongelea yule mtu ambaye >> eh >> yuko kwenye yaani ndio level ya kwanza >> anatakiwa abadili mtazamo wake na ndio maana >> kwa watu kutokujua vitu vitakuja kuwaje baadaye wanajilimit mwanzoni umenifahamu kwa sababu kuna choice zinaambatana na nini na hayo maamuzi unayoyafanya mwanzoni hebu assume you want a big thing in the future.
Lakini we unasema ah ngoja nianze tu sijui kitakuwaje utaenda kununua eneo dogo kwa sababu ulitaka kufanya kitu kido >> kidogo kipindi umenunua dogo wenzako wataenda kununua pembeni watakuziba kwa sababu ulikuwa unataka kununua nini dogo sio kama eti uwezo wa kununua kubwa ulikuwa huna ila akili yako ilikuambia kinaanza kidogo baadaye kikija kimeshakuwa kikubwa kile cha kwako unataka kutanuka utawatajirisha hawa waliokaa pembeni yako.
nakupa tu huo ni nini?
Ni mfano maana yake nini?
Unapowaza waza kama wakatoliki.
Unafahamu wakatoliki wanavyowazanga?
>> M >> katoliki mwanangu wanaendanga polini hakuna mtu >> m >> wananunua maeneo ma >> makubwa >> wape muda maeneo yanakuwa towuni alafu wao ndio mataikuni eneo kama lile.
Maana yake waliona mbali.
Kwa hiyo mtu yeyote ambaye anawaza jambo usijilimit kwenye kuwaza.
Tanua mawazo yako lione jambo lako likiwa kubwa.
Acha kufikiria vidogo vidogo.
Kwa hiyo wewe badilisha mtazamaji anayenangalia abadilishe mtazamo.
Asifikirie jambo lolote katika udogo.
Alifikirie katika ukubwa.
Ajiulize what if likishakuja kuwa kubwa itakuwaje?
Asianze kusema naanza anza tu.
Ahah.
Yeye sasa mtazamo wake ndio anatakiwa afikirie katika nini?
Katika ukubwa.
Mim nafikiria katika ukubwa.
Sifikiri katika udogo.
>> Okay hapo tuhame kidogo twende kwenye swala letu hili la social media.
mh >> mwanzo kwa mfano 2013 wakati unapost hii picha ilikuwa inaonekana kwamba ni kitu tu ambacho unafurahia kufanya >> m >> baadaye kikabadilika kutoka kuwa kitu unachofurahia kufanya kuwa ni sehemu ambapo niipate ya biashara yako >> m >> mwanzo ilikuwaje na hiyo shift ukaja ukaifanyaje sababu watu wengi leo unakuta hawezi kuanza kufanya kitu basic tu kama labda kupublish mawazo yake mtandaoni mi sifaidiki kitu unajua you know >> eh mimi kwanza napenda privacy Nini?
>> M >> wewe ilikuwaje kuwaje?
>> Mimi nilipoingia mitandaoni nilikuwa najua naingia kwa sababu gani nilikuwa najua ndio ni sehemu ambayo inaburudisha lakini mimi kwangu ilikuwa ni sehemu ambayo inatunza kumbukumbu.
Mimi sihitaji kuandika kitabu brother.
Kitabu changu Instagram ndio maisha yangu ndio kitabu changu.
Kwa hiyo kile ambacho nilikuwa nakiposti nilikuwa napost nikiandika kwa sababu wanasema hivi imani ni kuwa na hakika na mambo yatarajiwayo bayana ya mambo yasionekana kwenye macho.
Unajua maana ya uhakika.
Yaani una uhakika na kitu wakati hakipo.
Sasa mimi Instagram ilikuwa ni sehemu ambayo natumia mimi ni mwenyewe nilikuwa najua kabisa ndio nitafanikiwa.
nilikuwa naamini lakini ni imani ambayo haina action kipindi hicho I'm broke but I believe kwamba one day I will be su successful kwa hiyo hata statement zangu nilizokuwa nikiziandika sio posti moja zipo posti nyingi sana nilikuwa nikiandika >> nilikuwa naandika future yangu itakuja haiji sio kazi yangu ila mimi naamini hivyo basi imani ni kuamini tu yaani hakunanga vingine yaani mimi nilikuwa naamini basi kwa hiyo sikuwa na kitu kingine nafikiri nilijifunza kuhusu imani niliielewa imani maana yake ni nini mapema kwa hilo ndio jambo moja ambalo naweza kasema nilijifunza kuhusu imani na nilielewa maana ya kuwa na imani ni nini ukiona brother unaamini hii rangi ni nyeupe >> 100% >> unaamini ni nyeupe hiyo sasa sio imani hayo ni macho hiyo ni s unajua hii rangi nyeupe kwa sababu umeona imani inakuja kwenye pale pasipoone unaamini rangi ni ya blue >> bado umetumia macho imani ni ndio imani ni kitu ambacho site haifanyi nini haihusik ukiona macho yanahusika hiyo sio iman watu wengi wanataka wafanye vitu tu kinachompatia assurance ya kesho kwa sababu anaona progress.
Ah ah hakuna progress hakuna mchakato hakuna chochote but we believe.
>> Nimefanya video hivi last week nilipost YouTube nikawa naelezea kwamba kwa nini wasomi wengi >> hawafanikiwi.
>> Sasa changamoto kubwa ambayo mimi nimeiobserve ni kwamba >> msomi anafundishwa kufanya vitu kwa facts.
>> Ehe.
Yaani kwamba inabidi nijue kwamba nikipiga hesabu hapa >> eh nataka calculate >> eh zinaenda vipi yaani nitakaje kwenye haya matokeo >> na hiyo ndio changamoto nyingine ya shule >> m >> eh ndio changamoto nyingine ya shule iko hapa wasomi wengi wanashona kutoboa kwa sababu hiyo anataka too much analysis anafanya analysis hapa kwa mfano if i fail nitachomokea wapi ehe nitafanya nini kanuni namba moja ya kufanikiwa risk anayetake risk ni nani ni mtu ambaye hajui kitatokea nini ile amechukua action Eh na hao ndio wanaitwa Boaga.
Wewe unaanza what if?
What if?
Sasa wewe unapoanza kufanya hivyo tayari ushafeli kabla hujaanza.
Lakini imani ni kuwa na hakika mimi najua natinatoboa.
Unatoboaje?
Mimi mwenyewe sijui ila najua natoboa.
Duniani waliofanya yote ya maana ambayo leo tunajifunza tunayaona kwao walitumia imani.
Hawakutumia fact.
>> Tukirudi kwenye upande wa social media sasa hivi ndio msingi wa biashara.
Yaani mtu anaweza akawa na duka >> la a lot of money let's say Sinza mlimani popote >> lakini 90% au 99% ya wateja >> wanatoka mtandaoni.
>> Yes.
>> Mtu anayetaka kuanza kukuza biashara yake mtandaoni from scratch >> m >> unamshauri afanye vitu gani?
>> Biashara ya mtandao au biashara ya mtandaoni?
>> Biashara yoyote mtandaoni.
Tutafika kwenye biashara ya mtandao lakini biashara yoyote mtandao nataka kukuza audience >> anatakiwa awe na consistence.
kila jambo lote unalolifanya unahitaji consistence fanya kwa muda mrefu usifanye kuangalia matokeo wewe fanya tu maadam unafanya unachokiamini ni sahihi endelea kufanya kufanya the time ya kutrendi itakapofika itakuja yenyewe haitakuja kwa sababu wewe umeipush hiyo ni natural huwa inaibuka ye yenyewe.
Mimi kuna mtandaoni hapa nilikuwa naangalia kuna watu wako serious mtandaoni alafu kuna Ankonzala anawakalisha kwenye mambo ya nini >> m >> alafu wala yuko tu kawaida wala hana >> kawaida lakini kama ana strategy >> umep humuoni kama ana strategy >> anaonekana kama ana strategy >> sasa wewe wewe unamuuliza kumona kama ana strategy lakini mwamba ndio hivy na mwamba hajaanza leo kaanza kipindi yaani mimi nilipotea namba zake zimeanza kusoma mpaka watu wanakuja kumshtukia yeye namba zinasoma siku nyingi mno maanake alikuwa anajua kitu fulani alikuwa na ima >> alikuwa na imani >> na imani na kitu anacho kifanye consistence ndio kila kitu wewe endelea kufanya fanya boresha kila siku lakini endelea kufanya nini endelea kufanya yaani huku unaboresha huku unafanya huku unaenda mbele huku unafanya unakosea unarekebisha huku unaendelea kufanya nani >> m >> kufanya at the end of the day utakapokuja kujipata mambo huwa yanaendanga yenyewe lakini kwa sababu ulikuwa unafanya nini unafanya >> mtu ambaye anasikiliza akifikiria kwamba au sim mtandaoni inabidi uwe unafanya aza kujua nifanye nini nat tu nijiposti au nifanye nini kujiposti wewe mwenyewe pia na yenyewe strategy kwa sababu bro siku hizi kuna biashara nyingi wewe mwenyewe ni biashara ukiamua kujitengeneza kib >> kibiashara unakuza brandi yako unakuwa wewe ni nani unakuza brandi yako brandi yako baadaye ikifika hata appearance tu watu wanakulipa >> kwa hiyo ni wewe unavyoamua wewe unajiposition vipi sasa sio unajiposti tu umekaa kao vaa vizuri yaani wewe unataka nini tunarudi pale pale mwanzoni unajiona nani unataka kuwaje unataka kuwa mtu fulani ehe anza kujitengeneza ukiwa hivo vaa hivyo eh wakati fulani chukua miki nenda kakae kwenye maeneo ambayo yanatakiwa >> hiyo ni sawa na fake it until you make it >> of course hiyo ni kanuni fake it fakei tu si njia wewe huwezi kutengeneza brandi kama ufakeki watu wanaondok wanaendanga airport na hamna cha maana wanachokifanya hasafiri anatengeneza brand ingawa sasa hivi kwa sababu ya utandawazi umekuwa mwingi na kudisk umekuwa kwingi watu wengi wanajika unajua bro ukiweza kuidanganya akili yako na ikaamini wewe ndio umewini achana na watu wewe mwenyewe yaani naudanganya ubongo wako mpaka ubongo wako unatakiwa uaccept.
Yaani unajua huna kitu unajiona kabisa mimi nimepak 300 nje hapa.
Yaani kuweza kuudanganya ubongo wako ukaaccept hiyo ndio jambo la muhimu kuliko mengine yote.
Achana na watu wewe sasa shida yako kama unataka kuwadanganya watu sasa hilo ni tatizo lingine.
Ila kama unaudanganya ubongo wako kwa sababu ubongo wako ni kile unachokipandikiza.
Kuna kitu kingine subconscious mind.
cheza na principle yake moja anasema mimi nikolasi ni ile nyasi lakini kweli >> haoni kama mtu akishaingia tu kwenye mtego wa fake it and make it hawezi tena kula nyasi ataanza kufanya vitu vingine >> sasa wewe una feki kwa ajili ya watu hufeki kwa ajili yako wewe >> m >> umenielewa mimi mwenyewe nakula nyasi lakini mimi nim wewe sasa hivi oviedo pale pana uwanja wa helikopta >> m >> na helikopta sina nini maana yake na nimeenda kuisajili ile yaani ukienda katika watu wanaomiliki aipat tanzania na mimi nimo kwa hiyo ni future nani mtu wa kumiliki ndege mtu kwenye aviation nitakuwa mna jina langu kule sina akili yangu mimi nacheza na akili yangu sio watu nyini wengine inawahusu nini mimi inanihusu mimi hili ni la kwangu mimi kwa hiyo mimi nacheza na ubongo na ubongo wangu kwa hiyo nimeweka pale heri pale kila siku nikiangalia nasema kabisa hapa nitakuwa nashuka helikopta hakuna hapa itakuwa inashuka helikopta napozungumza vile akili yangu inaanza kuona nani saa hivi najua mpaka begi za helikopta najua mpaka servis zinafanyika vipi najua hata mapirot Tanzania ukiniambia Tanzania kuna mapot wangapi wa helikopta na kuna baadhi nawajua nakaanga nao napiga nao stori lakini wewe unaweza ukawa huna hizo taarifa kwa sababu hiyo kitu haipo kwenye akili akili yako kwa hiyo unapofake usifake kwa ajili ya watu fake kwa ajili yako mwenyewe ili utengeneze ubongo wako.
Kuna kitu kinaitwa power of attraction.
Yaani unakiattract kitu mpaka kinakuja kutokea kwenye maisha.
Kwa hiyo unapoattract kitu wewe unaweza ukasema unakula nyasi kule kujitaza kwako lakini umesave kitu fulani ili uje ukamilishe lengo lengo fulani.
Mwisho wa siku ndio hivyo mambo yanavyokuja kutokea.
Hakuna kinachotokea kama hakikuanza kwenye akili kwanza.
Kilianza kwenye ubongo.
Na ndio maana kwa mfano siku ulipotaka kununua gari fulani ndio baari unaweza kuyaona mengi >> yaani unayaona i kumbe eh jama unaona eh lakini kabla ubongo namna ndivyo unavyofanya nini?
Unavyofanya kazi.
Okay.
Kwa sababu nikirefer kwenye posti zako hapa >> m >> kuna siku moja uliweza kuandika kwamba hapa mtandaoni inabidi uishi kwa akili sana.
>> Eh >> vitu vingi unavyoviona >> sio vya kweli.
>> Sasa mimi nilivyoona hivi maswali yangu mawili ni kwamba cha kwanza ichozi kwamba kufanya vitu ambavyo sio vya kweli >> kwa chenza hii sio sahihi.
Mhm.
>> Lakini cha pili Chenza anafanya vitu gani ambavyo vinamtofautisha na hawa watu wengine ambao kwa sababu Chenza nifanyabiashara.
Sasa that means >> kama watu wengi sio sahihi mtandaoni yeye kama mfany biashara anaweka biashara yake ionekane >> ni sahihi.
anafanya vitu gani vya kufanya biashara yake mtu asiweze kuona kwamba >> ah cha kwanza usidili na watu sahihi au kutokuwa sahihi sio kazi yako >> m >> interpretation ya mtu ndio inayoamua ameona nini bro unaweza kuwa umejiweka legit kabisa alafu mtu akakuona tapeli.
Yeye kichwani mwake ndio ameona tapeli.
Kwa hiyo wewe usihangaike kwanza kumbadilisha ili uonekane wewe ni safi.
Mtandaoni kuna mambo mengi na ndio maana usijinyime furaha mtandaoni kwa kuangalia watu mtandaoni usiowajua.
Kuna watu leo mitandao imekuwa sababu ya kuwakatisha tamaa badala ya kuwamotivate ili waweze kufanya vitu.
Kwa sababu the moment tumeingia leo kesho unashangaa mtu amepiga picha la gari amenunua 300 GP amesimama juu lina namba za jana yaani anakuambia my new toy in town.
Wewe umepata sasa hujui yule mtu amesave muda kwa muda gani na yawezekana umemfahamia mtandaoni hujui behind the back has zake ni zipi.
Kwa hiyo unaweza ukaondoka na mawili.
Ah hawa ndio wale hawa wauza madawa ya kulevya kichwani mwako ndio umeinterpret hivyo inaanza kukupatia pressha wewe sasa kuanza kuona sasa mimi nafanya nini hamna naachokifanya?
Ahah.
Sasa mtandaoni hutakiwi kwenda ukiwa hivyo.
Mtandaoni wewe kiwe feki kisiwe feki don't count.
Ila tengeneza akili yako.
Be positive in everything you see.
Lakini wewe ukijiposition kwamba mimi I want this direction.
kama direction fulani naitaka mimi nitakuwa motivated na kila kitu brother unaweza ukutana na mtu ambaye ana fake yeye hajagrow lakini wewe akakusaidia ukafanya nini >> wewe unataka nini ndio cha muhimu sana yaani wewe mwisho wa siku watu wanafanya nini wewe visikuhusu ila wewe unataka nini kwenye hivyo vitu ambavyo vinaendana ndio jipatie kipao mbele kwenye hicho kwa hiyo mimi mtandaoni nimefanya hivi mimi mtandaoni kwangu ulivyonikuta mtandaoni ndivyo utakavyonikuta hakuna mabadilik yaani hutokuta Hata sijui nimejipanga niko tofauti huku na huku hamna hivyo leo unaweza kuta nimependeza kesho nikakuta niko sieleweki kesho ndio nakuwanga hivyo yaani ndio maisha yangu leo unaweza ukakuta niko na gari kesho ukakuta nimepanda boda boda yaani wewe usishtuke ndio mimi huyo huyo sinanga cha tofauti na mimi wala sinanga cha tofauti kwa hiyo mimi sifeki mtandaoni naishi katika uhalisia lakini kwa mtu ambaye yeye anaona feki ataona feki ni yeye sasa sio mim >> na wewe unadeal vipi na aina ya mtu ambaye kila siku unakuta anaweka labda negative negative >> mimi hao ndio nawapenda sasa mimi watu wenye negative mimi ndio nawapenda kuliko wenye positive >> lakini ukiangalia unasema status yako umeblock kama watu buku hivi >> ahah sasa kublock ni issue nyingine kublock mimi mimi naavoid negative energy >> umefahamu mimi naavoid negative energy mimi huwezi kunetea negative energy nikaikubali m naiondoa yaani mimi watu ambao nawapunguza ni wenye negative nawawekanga pemben negative things ambazo ziko mtandaoni watu wananiattack hao mimi sina tatizo nao mimi kuna watu ambao wewe mimi watu wengi ambao nawablock ni wale watu wanaoniletea matatizo wakati hatuna mawasiliano.
Yaani wewe tulisoma primari wote tumekutana leo.
Wewe umepata namba yangu tu mtandaoni kwa sababu nimeiweka brother mimi naoa wiki ijayo mimi ni fulani.
Yaani mimi pale pale siumizi kichwani twin tofari liko wapi?
Nimekuondoa.
Jifunze tabia nzuri.
Ujifunze kusalimia tengeneza mahusiano na mtu kwanza jitambulishe vizuri mtu akufahamu ndio uje uulize shida zako.
Usiniletee shida zako.
Mimi I'm not Jesus.
Siwezi kusolve matatizo ya kila ya kila mtu.
Kwa hiyo mimi naukatilia mbali.
Watu kama hao mimi nawapunguza fasta sana wala sihitaji kitu kingine.
Yaani hiyo sihitaji maelezo niamini nimeshaamua watu wa hivi nawaweka pembeni napiga blok.
Lakini kingine usiamini block zangu pia.
m >> kwa sababu yawezekana sio mimi ni mtu mwingine anablock huko alafu ananitumianga screenshot na mimi nachukua na posti unaona sasa mitandao jinsi mb >> kwa sababu hapo penye nilikuwa nataka nikuulize kwamba kuna principle moja kwenye biashara anasema mtu anaweza akawa sio mwenye energy nzuri kwako anaweza akawa hater >> anaweza akawa hakupendi lakini akatumia solution zako >> na akakulipa na akawa mteja wako >> kwamba huoni kama ukimpunguza mtu inwezekana umepunguza mteja >> mimi mtu anayekuja kuniomba mchango dunia ina watu wengi Mzee bilioni ngapi duniani wapo?
>> M >> yaani shida yako wewe unafikiri mtu mmoja yule ni wa muhimu sana dunia ina watu hivi yaani huyu akiondoka kuna mwingine atakuja.
Kwa hiyo wewe usijali yaani kuhusu kupoteza watu hawa wacha waende.
Kuna wengine watafanya nini brother?
Watu wanakufa kila siku na watu wanazaliwa kila >> kila siku.
Kicho kuna watu wapya kila siku.
Kuna mtu mwingine akiingia mtandaoni leo ndio anakutana na akaunti yako yeye kwako wewe ni mpya.
Umefahamu?
Eh.
Na kuna mwingine alikublock >> jana.
>> Jana.
Umenielewa?
Kwa kila mtu namna anavyoona.
Kwa hiyo wewe usiogope kupoteza watu kwa sababu watu wataisha.
Watu hawawezi kuisha wako wengi na huwezi kuwamaliza wote >> hapo kwenye mtu from now way anakuletea mzigo pa anataka umchangie harusi.
>> Eh moo nawapunguza hiyo ni pati ya finance ambayo ni very sensitive.
Eh >> finance zako we unazimage katika mfumo gani?
>> Mimi hela yangu kwanza haipatikani kirahisi kwa sababu hata mimi mwenyewe sijaipata kirahisi.
Yaani mimi usije na matatizo yakoifakia nitakupatia hela kirahisi.
Hamna hiyo ni ngumu.
Yaani mpaka wewe umeniwini moyo wangu wanasema nishike moyo kabla ya kuniletea mkono.
Kwa hiyo kama haukuwepo kwenye pik yangu kwa namna yoyote ile mimi hela yangu hiyo ndio kanuni ambayo mimi nimejikia.
Mimi hela naiheshimu hii hela yaani angalia hapa mfukoni nafikiri nina buku.
Mhm.
Hii hela hii kwa nasomanga hapa yameandikwa hivi fedha halali kwa malipo ya shilingi 1000.
Bro hii hela ili nikupatie wewe kuna uhalali lazima utangulie.
Uha >> uhalali.
>> Uhalali.
Haya ni uhalali upi ambao unafanya mimi nikupatie wewe shilingi 1000 yangu kwa sababu wewe ni chawa.
Ahah.
Hiyo michongo hiyo sina.
Yaani mimi tena ukiwa chawa sikupi hata shilingi 10.
umenielewa?
Uhalali upi?
Kwa hiyo kumpatia mtu hela bila kazi kufanya ni kuhujumu uchumi.
Ukienda kusoma kwenye nani sababu za uhujumu uchumi ni pamoja na kuwapatia watu hela bila fanya nini?
Hela lazima itoke pakiwa na value.
Sasa value gani ambayo inasababisha wewe upate pesa?
Umenielewa?
Tuko hapa tunatumia umeme.
Tesco wanapata value.
Yaani hapa wametupatia thamani alafu sisi alafu baadaye kuna mtu atafanya nini?
Atalipa.
Hiyo ndio hela namna inavyotakiwa ifanye nini?
Itumike.
Brother nitoe basi.
Huwezi nitoe bwana.
Huyo mtu ni nani kwako?
Alishawahi solovu jambo gani kwako nyuma?
Maybe mnafahamiana naye vipi?
Au kuna kitu gani ambacho kinaconnect kinaweza kikasababisha pesa itoke?
Lakini sio kienye nyenyeji tu.
Mtu anakuja tu eh na wewe unatoa.
>> Watu wengi kitu ambacho wanastruggle ni ile path mtu anayekuja nayo >> hakuna.
Huruma sio malezi.
>> Yes.
Mtu anaelezewa mpaka anaona huyu si msaidie.
Mtu anaweza hivi kujitransform.
Yaani >> mimi hamna.
Mimi hamna.
No lazima uwe bandidu.
Cha kwanza ili hela lazima uwe bandidu tu.
Wewe ukijifanya na roho nyepesi ah alafu dunia hii huwezi kumsaidia kila mtu.
Huwezi kumsaidia kila >> m >> kila mtu.
Utamsaidia huyu tena hao unaowasaidia ndio wanatoka baadaye tena kukusimanga huko kushoto wewe kuwa bandidu.
Haina maana kwamba mimi sina watu ambao nawasaidia.
Wapo ambao na mimi nawasaidiaga.
Lakini hao ambao wanasaidia kuna sehemu tuliconnect.
Kuna sehemu kuna connection tunayo.
Kuna sehemu tuligusana moyo kabla ya nini?
Ya mikono.
Umenielewa?
Kuna sehemu mimi kuna mtu nilipata msiba sikuamini amefunga safari kutoka Rwanda amekuja msi >> msibi.
>> Hivi unaelewa huyo mtu?
Yaani huyo mtu mimi mwenyewe nakaa tension kila siku nikisikia hata an tatizo mimi mwenyewe lazima nifanye nini?
Nijiongeze.
Ni aibu kwangu kuona eh hivi mtu amechukuliaje jambo langu?
Yaani uzito aliouchukua mpaka mtu unamuuliza anasema yes nilipopata nilitransfer kwa ajili yako tu kuja kukupa pole.
Unaelewa eh hii sio kitoto.
Yule mtu ameniambia anaoa brother hivi nafikiri mimi nahitaji kujiuliza?
Eh >> hauwezi kujiuliza.
>> Huwezi kujiuliza.
Unawajibika lakini ile mentality kwamba vitu vitatoka tu kwa sababu yaani kienyeji yenyeji tu kwamba mtu anaweza akatoka from hamna.
Mimi hapana labda wajaribu kwa watu wengine.
Tumeumbwa tofauti.
Mimi mimi nina ile uwezo wa kumwambia mtu hapana alafu sihitaji utoa maelezo.
>> M >> kuna wengine hawana huo uwezo >> kwa hiyo kila mtu kulingana na shetani aliyepewa na majaribu anayopatana nayo lakini mimi jaribu hilo naliweza.
Mimi kukuambia hapana alafu sithitaji maelezo m nakwambia tu hapana.
Mimi majibu yangu huko Instagram yamenyooka.
Mtu namwambia hapana alafu kwa nini?
Sihitaji kuj nimekwambia hapana ya nini?
Yaani kwa nini yaani m nijieleze are you my boss?
>> Kama hamna mukatalia.
kwa sababu of course mimi hiyo kitu ambacho nakiweza 100% >> ila nakutana na watu wengi sana ambao anakuambia ah yaani m tena nikishapata tu hela >> ndio watu sasa kama vile wanakuwa wamepigiwa simu na ndivyo inavyokuanga >> eh >> na siku unapopata hela ndio ndugu matatizo yanakuwa mengi shangazi alimeza panga mjomba anaumwa amelazwa nani sijui matatizo yanakuwa mengi na wewe unataka usolve yote duniani huko huwezi kuyamaliza wewe wewe siku akaushia alafu uone kama matatizo yatasoviwa kausha tu matatizo yatasoviwa tu matatizo ni sehemu ya maisha yapo wewe unakutana nayo mimi nakutana nayo kila mtu atakutana nayo.
Uwezo wa kuyasovu Mungu ametupatia tunaishi kwenye dunia ili tusolve matatizo na ndio maana hutakiwi kuyaogopa nini matatizo.
Yaani kuna vitu hutakiwi kuviogopa hutakiwi kuogopa kupoteza kwa sababu hata ukiogopa utapoteza kwa lazima.
Yaani kuna siku hata uhai wako utaupoteza tu hata kama hutaki hutakiwi kuogopa.
>> Kwenye haya mambo ya finance unakuta kitu kingine ni mtu ukishakuwa tena kama hivi maarufu >> unapost maisha yako fulani unaomba hela.
>> Yes.
Lakini pia kuna ambao wanaleta proposal za biashara >> nyingi mno.
>> Unap vipi kwamba hii ni proposal sahihi?
Lakini >> mimi nataka sipotizi.
Muda.
Mimi nasikiliza tu alafu mwisho wa siku.
Mimi unajua unajua ukweli ni kwamba mimi >> kwenye maisha yangu nina ramani yangu nzima.
Mimi najua kabisa sitafanya kila kitu.
M >> kuna vitu ambavyo navijua nitavifanya.
Siwezi kufanya kila kitu.
Kwa hiyo ukija kuniapproach kwenye kile kitu ambacho unaniletea mimi najua yaani statement zako mbili za kwanza najua kabisa hiki nafanya sifani.
Unaweza ukap present ukamaliza nikamwambia hicho siwezi kufanya hiv basi nimemaliza.
Sihitaji maelezo mengine kukupotezea muda kwamba nipe nikakae nayo nif.
Ah kwa sababu watu wengine ni wasumbufu.
Anajua kabisa hawezi kufanya na anabaki anakupotezea nini?
>> Anakupotezea >> kipo nje ya mzunguko wangu mimi ambao mimi naamini nafanya.
Mimi najua kabisa nina product zangu mbili ninazozifanya au tatu nazozifanya.
Kuna hiki, kuna hiki, kuna hiki basi.
Kwa hiyo mtu akiniletea a hiki najua huyo ndio anaweza akakichukulia nini kada.
Sasa kuna mtu mwingine anapelekewa mapropos weakusanya anavyojaza nyumbani nafuatilia mdogo wangu.
Eh huo ni uongo.
Unampotezea mtu nini?
Muda na kumpatia mtu matumaini hewa.
mwambie hamna kitu hapa mimi hamna siwezi nimekuelewa jambo lako ni nzuri lakini kwangu mimi haliingii popote asante kwa siku yako basi unampunguzia mtoto mzigo na stressi vijana wana stressi mtaani wamepeleka mapropos wanabaki wanalalamika tu unajua fulani nimempelekea na fulani nimempelekea ameniambia nisubiri ananiambia nisubiri lakini anapiga changa lakini yule mtu ukweli ni kwamba hajaona kitu pale ila hataki kukuambia ukweli anakwambia bwana huyo projekti lakoandikia ni vumbi mj mi nakuambia kabisa we ulichoni mwanangu mimi sijakielewa yaani hicho mimi sijioni kabisa naweza nika yangu zaidi huaga unavielewa kwa mtu ambaye anaangalia.
No mim sielewi yaani mimi cha kwanza uje kwenye engo yangu mimi njo na network marketing nataka product zangu hapo tutaelewana unakuja na product zingine mimi sikuelewi tayari mimi hapo nisharuzi interest sasa mimi niko nimenyoka tu kama lula njoo oviedo unajua kabisa kuna kitu gani kinatakiwa kiwekwe pale ndio ukiniletea interest kama hapo mimi naweza nikaweka interest hazipo mimi nakupiga chini ukija niulize kabla hujaanza kuonclude kwa sababu kuna tatizo lingine la kuoverthink kuna mtu anakuja yeye ashaconclude yaani yeye ashakuwazia wewe unataka anaka kufanya kitu fulani alafu kumbe amepiga nje ya kile ambacho anakiwaza yeye alafu anakuja kukuelezea unajua brother hapa ungefanya hivi na hivi hivi wewe mwenda waazimu mimi mpaka naanza hichi kitu hivi ulikuwa unafikiri mimi sijui ninachonitaka yaani wewe mpaka unakuja kukiona unafikiri mimi tokea naanza siku ya kwanza naenda mpaka mpaka wewe unakuja kukiona nilikuwa sijui unachokit nini >> m anasema ah yaani wewe ungekuwa mbali zaidi yaani kuna hivi >> wewe nenda huko mbali alafu mimi nitafuata mfano wako rahisi tu mimi mimi majibu yangu yamenyooka ah mbali wapi okay nenda wewe mbali huko ambako unataka kwenda wewe nenda wanaoongea wengi hamnanga wanachokifanya bro wanaofanya vitu wanishimugi michakato hata namna anavyoongea kuna namna anaongea unaonyesha kabisa huyo mtu anaongea kuna respect nyuma yake yaani anaheshimu mchakato.
Unajua wasioheshimu mchakato ni watu ambao hawajapitia mchakato.
Hakuna mtu aliyepitia mchakato anashindwa kuheshimu mchakato.
Anaelewa how it become kufanya kitu kile ambacho umekifanya.
Hivyo vitu vyote ni kulinda pesa ambayo inaingia kwenye mfuko wako.
>> Yes.
>> Vitu gani unavweka kama sheria tano ambazo unasema yaani hizi mimi mtu hawezi kuzivunja au ili apate chochote kutoka kwangu?
>> M >> ni sheria za kuwe kulinda pesa yako.
>> Soro wako gumu.
Sheria ya kulinda pesa.
>> Mh.
>> Pesa inalindwa kwa tabia.
Tabia zako ndio zinazoamua pesa yako iweje.
Ukipenda sifa watakusifia utakuwa unatoa hela kwa sababu hamna kitu kinakuja bure.
Hata sifa na zenyewe zinafanya >> zinak >> zinalipiwa.
Utakutana na watu wakina Doto Magari watakujaza gesi we ukijaa unatakiwa umtoe.
Kwa hiyo kama na wewe unapenda vile vitu hela zako zitaenda.
Kama sio interest yako hamna.
kwa h mimi sina sina kanuni nyingi lakini situmii hela kwenye vitu ambavyo havina haviadi chochote kwangu situmii kama ni msaada basi nijitengeneze kabisa kwamba huu ni nini ni msaada na wenyewe lazima uwe na mfumo ma >> maalum hauwezi kuwa tu msaada kwamba nagawagawa hela barabaran hapana lazima uwe na mfumo maalum lakini pia m naamini kwenye misaada ile ambayo ni endelevu yaani sio lazima umsaidie mtu pesa ila unaweza ukamsaidia mtu mawazo na yale mawazo yaka akampelekea mtu kubadilika kuwa mtu bora zaidi na yeye mwenyewe kesho akawa mtu tofauti na akasaidia familia yake.
Hayo nayaamini zaidi kulio kumpatia mtu buku buku mbili sijui 5,000 10,000 ambayo leo ikienda ameitumia imeisha kesho anahitaji kitu kingine.
>> Kwa hiyo mimi na sina kanuni nyingi yaani tano nashindwa niziweke vipi lakini ni ile tu kwamba hiki naamini hiki siamini basi ambacho siamini sikifanyi.
kwenye mambo ya finance watu wengi kupata pesa sio tatizo >> ila baada ya kuzipata mtu anazitumia vipi >> hapo ndio tatizo kubwa sana la watu wengi m >> sasa unakuta watu wengi wanatamani maisha fulani hivi >> kwamba bwana mimi inabidi nipate gari fulani hivi na nini mtu akipata tu pesa breki ya kwanza yad >> mhm >> wewe kwa kweli kuwaje >> mh M mimi cha kwanza eh mimi ni pesa unajua tofauti ni kwamba sasa sijui pesa ambayo watu tunapata kwa njia tofauti tofauti mimi pesa nayoipata naipata katika kidogo kidogo naikusanya mpaka nipate hicho kitu ambacho nakitaka naikusanya kwa muda mrefu umeelewa kwa hiyo kwangu mimi nakuwa na kamchakato sijui wengine wanapat yaani pa yaani unaenda kununua gari fu unaenda kununua mimi siwezi m hata gari kwenda kununua inahitaji miezi kadhaa nikusani yaani nikusaniye yaani nimeweka huko kuna Unaskia mdogo wako anaumwa hutoi hela kama ilikuwa ina malengo mengine unaweka nyingine unaambiwa jamani mjomba wako yule unamfahamu yule mjomba wako yule mdogo wake yule shangazi yake anaoa kuna harusi siendi naweka lengo langu likishakamilika naenda kufanya kile kitu ambacho nimefanya nini nimejiwekea sasa watu wanakimbia mim sijui labda kama mtu umepata pesa ya papo kwa papo inaweza ikakupatia kihoro mimi sijawai kukutana na hela za hivy mi hela zangu nazozipatanga ni za mdogo mdogo najichanga najichanga hata simu yenyewe nikitaka kwenda kununua Lazima miezi kadhaa niweke hela chini kwamba nanunua simu miezi minne mitano nakusanya hela na yenyewe nanunua simu kwa sababu nyingine labda imejaa.
Kwa hiyo nakuwa nina maandalizi kwamba ukinatanga nunue simu nyingine kwa sababu hii imefanya imejaa storage.
Kwa hiyo napunguza punguza vitu natamani vingine viendelee kuwepo.
Kwa hiyo najichanga naenda kununua ile ya ni chakula tu ndio naweza nikanunua papo kwa papo mgawani lakini vingine hivi vinahitaji makusanyo ya muda fulani ndipo niweze kununua.
Kwa hiyo yule anayepata papa nafikiri ndio anaweza akapata kiholo.
Lakini kwa mtu ambaye hela yake anaikusanya kidogo kidogo anakuwa na maleno sidhani kama huwa inaweza ikampa pressure kwa sababu tayari ashahandle anajua anataka nini anasport kitu fulani anahitaji kitu fulani anahitaji muda anaenda kwa ngoa >> kwenye kupata pa watu wengi unakuta let ni mfanyakazi wa serikali >> m >> kwa hiyo ameajiriwa tu hivi msharaka ni wa kawaida kwa hiyo hapati pesa nyingi na hawezi kuzikusanya kwa sababu ya malengo mengi >> m >> lakini ana access ya pa sio ah amepata mkopo >> sasa usichukue mkopo kama huna malengo >> ukichukua mkopo kanun ununue gari sasa na wewe ndio basi ndio hapo hapo hapo lazima upate nani sasa kwa mkopo of course inakuwanga hivo kwa watu wa mikopo mimi sijawai kutana na hiyo experience lakini mimi experience zangu nikitaka kitu na lazima nijichange kwa yule wa papa ah huyo lazima imvurug mwenyewe ningepata hivyo navurugwa kichwa nachanganyikiwa hujui ununue nini leo unataka ununue area kesho unasema labda subaru hivi inweza kesho kutab hivi si inatosha hii hela unaenda kuuliza kuna nishakutana na mtu kama ashaniulizanga hela kulingana na hela aliyopata ananiuliza hivi Brother kwa mfano una milioni 20 >> naweza nikapata >> unaweza ukapata nyumba naambia nyumba unaweza ukapata nikitaka nyumba na gari milioni hiyo unambia kuna hela nyingine hiyo 20 hiyo hiyo 20 gari la shilingi ngapi hivi kwa mfano kama gari subalu ile hamna subalu lakini wewe si unafiki zako unauza masubaru unaweza kapata subalu kwa milioni tano.
Eh kwa hiyo anataka nyumba na gari kwa hio unakisa huyu mtu ashachanganyikiwa kwa sababu ya kipato ambacho amekipata si mazoea yake kwa hiyo ndio maana anatakiwa atulize kichwa alichukua mkopo kwa sababu gani na mwisho wa siku ataishia kupata stressi tu >> hili swala la kutokutaka kukopa ili kufanya kitu wewe ni umejifunza mahali au imekuwa hivyo automatic tu >> nafikiri na ya kazi ambayo nafanya pia nimejifunza mimi nimejifunza mimi nimejifunza mikopo ni mizuri lakini unapokuwa na sababu ya msingi ya kukopa kama huna sababu kuna watu wanakopa tu kwa sababu wanakopesheka >> m wengi >> yaani yeye sababu ni kwa sababu anakopesheka anaamua kukopa >> m >> sasa kumbuka mkopo ni biashara ya watu yaani ile kitendo cha kukopesha wewe ni biashara yaani mkopo unaporudi na ndio maana wanaokuja kukopesha ni wadada wa asbri wanaokuja kuda ina mabouncersa wana sura kama baba zao kwa wanakujanga wamekaza kwa hiyo wewe lazima ujue mkopo ni biashara ya mtu kwa hiyo unapokopeshwa jua unatakiwa ulipe Na unapolipa unalipa zaidi ya kile ulichofanya na lazima ulipe ili wale watengeneze nini?
Faida.
Wawalipe hata wale wanaodai nini?
Mikopo.
Kwa hiyo ni mtazamo lakini mimi nakopa pale inapokuwa necessary.
Siwezi kukopa kwa sababu ninajifunza kitu kinaitwa timing muda na nyakati.
naweza nikataka jambo langu nilifanye lakini jambo langu nikalipatia kwamba hili jambo nitalifanya mwezi wa 11 mwakani.
Ningeweza kukopa sasa hivi nikalifanya lakini siwezi kukopa ila nitalifanya mwezi wa 11.
Kwa hiyo kila mwezi nina set some amount ambayo itafanya ikifika mwezi wa 11 leo limeshafanya nini?
Leo limeshakamilika.
Kwa hiyo hasa ni kukopa na kuspend.
Unajua kuna kukopa na kuspend na kukopa kuinvest.
Hivyo ni vitu viwili >> tofauti >> tofauti.
Kama unakopa unainvest maanake hilo ni jambo la akili.
Lakini kama unakopa na kuspend ah mimi kukopa na kuspend siwezi ila naweza nikakopa kwenda kuinvest.
Sawa?
Lakini kukopa kwa sababu ya spending nina uwezo wa kuwa yaani nina tabia ya kujilimit ili nifikisha jambo nalolitaka baada ya muda fulani.
>> Umesema mwanzo kwamba kila level huwa inakuwa ina mentor wake?
>> Of course.
>> Kwenye level ambayo upo sasa hivi >> ushauri gani mkubwa sana wa kuhusiana na finance >> umeshawahi kupata kutoka comment yako?
>> Comment yangu >> m >> aliniambia niwekeze kwenye real estate.
>> Mh.
>> Ho.
Baada ya kuona unawekeza sana kwenye magari nini?
>> Hapana mimi magari siwekezi.
>> Mh.
>> Aliniambia kwamba kwa level uliyofika sasa hivi wekza kwenye real estate na akaniambia mfumo wa kuwekeza kwenye real estate.
Akaniambia usifanye hivi fanya hivi fanya hivi.
Siwezi kutoa hapa kwa sababu natakiwa nilipewe kwanza liliseme akaniambia basi na mimi nikamsikiliza na nikaanza kufanya.
>> Eh aliniambia aliniambia kwa wewe unahitaji kitu fulani unahitaji hivi na hivi.
Basi aliniambia hivyo vitu.
Kwa hiyo menta wangu yuko vizuri na aliambia kitu ambacho yeye mwenyewe pia anafanya >> anafanya.
unavyofanya.
>> Ah tuna neno letu hili hapa ah kwamba possible alafu ile impossible tumeikata.
>> M >> sawa wanasema kuamini inawezekana ni ngumu kufanya vitu viwezekane.
Unasemaje hiyo?
>> Nasema kwenye impossible >> m >> kuwa possible.
Yeah of course kwa kawaida ni kwamba kuamini kwamba yaani ni kazi sana kuamini kwamba wewe ndio utaweza kutatengeneza milioni 100 kwa mwezi kuliko kutengeneza milioni 100 >> m >> the moment umeweza kuamini kwamba naweza nikatengeneza milioni 100 inakuwa ni ngumu hiyo moment kuliko kutengeneza milioni 100.
Ah labda nikupe mfano mdogo binafsi vinakupa kutokana na experience yangu mimi binafsi.
Mwaka 2021 nilienda Marekani nimeenda kule kuna vitu vingi nilikuwa natamani kwenda kuvifanya lakini moja ya kitu naitembelea kampuni ya Ford.
kampuni ya Ford iko Marekani.
Nilienda kampuni ya Ford nikafika kiwandani.
Sasa wakati natoka nilikuwa nasema hivi mimi naweza nikaenda kweli mle nikajitambulisha nimetoka Tanzania nitaenda kuwaambia nini?
Nikawa maswali mengi ambayo najitia hofu lakini baadaye nikajicourage nikasema ngoja niende.
Nikaenda nikachukua Uberipeleka mpaka Ford ambayo ilikuwa nearby nikaenda pale kwa sababu nilikuwa na facility ambayo anatengeneza.
Nikafika pale nikaomba kuonana na general manager.
Ehe unajua sasa watu unajua wenzetu tofauti na sisi sisi tunaweza kaweza kumkariria mtu namna alivyovaa lakini ukanipeleka nikakutana naye akaniambia bwana nimekuja na niangalie producctti zenu nahitaji kununua gari aina ya Ford nataka ninunue lakini sasa mimi nina changamoto moja nataka Ford ambayo iko mkono wa nini stering yake iko kulia kwa sababu kwetu sisi tunatumia right hand side nani driver anakaa huko basi wakaniambia okay hii gari akanipea kwa specialist ambaye anade na yale mambo ambaye bwana tuna new product ambayo inakuja new product ambayo hiyo new product utapata itakuwa hivi na hivi na hivi nikapewa vitu vingi lakini nikamambia hii gari haziji Afrika hizi zinazokuja Afrika zinatengenezwa Thailand labda tuonnect na watu wanne wa Thailand pale pale ikanyanyuliwa simu kapigiwa mtu wa Thailand nikapewa namba yake ya simu nikapewa na emaili yake kwa hiyo tukaanza kuwasiliana na watu wa Thailand Thailand tumewasiliana ndio mawasiliano yaliyosababisha baadaye katika hicho ambacho mtu mwingine anaweza asema hakiwezekanikawezekana mimi nikawa Mtanzania wa kwanza kuleta Ford New Generation Tanzania mwaka 2022 gari ya mwaka 2024.
Kwa hiyo kuamini kwamba inawezekana ni muhimu zaidi kuliko kufanya kuwezekana.
Lakini kama ningeanza kujipatia doubt mimi mwenyewe hivi naweza mimi mimi ndio nikawa mtu sikujua hata kama nitakuwa mtu wa kwanza lakini baadaye ndio nikaja kuwa mtu wa kwanza kuileta.
Kwa hiyo kila kitu kinawezekana.
>> Kwenye ha watu ambao unawafundisha unamuona kabisa huyu imani yake >> ni haba.
mh >> yuko kwenye mentorship yako >> m >> unafanya nini ili aweze kupata imani zaidi kwamba yaani inawezekana >> mimi wanawatake through affirmation pamoja na nani na hii tunasema mtu anafanya meditation kwa sababu watu wengi kwa kawaida ni kwamba katika mazingira ambayo tunakulia tunaishi tunaishi kwenye mazingira ambayo watu wengi watakuambia huwezi yaani watu wa nje wanakuwa na nguvu kuliko wewe mwenyewe na wewe unatakiwa uwe na nguvu kuliko watu wa nini?
>> Wa nje.
Ukishakuwa na hofu kwamba hii kitu haiwezekani hautaweza kufanya trut kwa hiyo lazima uwe kwenye circumfer yaani katika situation ambayo kila mtu anakuambia huwezi alafu wewe unasema mimi nafanya nini?
Naweza.
Utakapojipatia ninaweza mara nyingi.
Sasa mara nyingi mimi watu huwa nawapitisha through affirmation wanajisemea nini.
Kwa hiyo anatakiwa aseme kwa nguvu yale maneno kila siku.
kila siku anayasema na anatakiwa ayaseme asubuhi mchana na jioni na anayasema kwa nguvu ile sauti anapojisikia mara nyingi inampatia kujiamini inampatia confidence unamuona kabisa anavyoanza kubadilika baadaye unamkuta kitu amefanya ukimwambia haya si umefanya aambia yaani mwanzoni nilikuwa siwezi kabisa lakini saasa hivi imewezekana kwa hiyo hamna kinachoshindikana kila kitu kinawezekana >> hiyo kwa watu wengi sana ipo mtu anakaa anafikiria kwamba kama kuna hichi kitu nilikuwa sikiwezi lakini nimekiweza >> au kama kuna nilijaribu nililipitia Mh >> na nikalishinda.
Hamna kitu kitakachonishinda.
>> M >> wewe kitu gani ambacho umekipitia ambacho ukikaa hivi unasema ah kama hiki mi nimekipitia nikakishinda >> m >> hamna kitu ambacho kinaweza kikanishinda?
>> Mwaka 2 na 20 na mo 2020 kuja 21.
Yes.
Kipindi cha covidokea kipindi ambacho mzazi wangu alikuwa anaumwa.
Babangu alikuwa anaumwa ghafla ameua tukiwa hatujui sababu ni >> ni nini >> ni nini.
Lakini mimi nikaamua kujichallenge ilituje tu mawazo ah kwamba watu wanapeka India wakila wanaumwa kule kuna matibabu mazuri ngoja nijaribu kumpeka mzee wangu kwenye mia.
Bro huelewi hela unatoa wapi lakini nimeshajiwekea kwamba mimi lazima nimtibie mzazi wangu kwenye a standard hospital in the world nampeleka India.
Nikarudi nakumbuka nimeondoka Dar es Salaam nimeenda Mbeya nimefika Mbeya naenda kumwangalia hivi hali yake nikamwambia we have to go.
Yaani siku hiyo hiyo nilikata tiketi ya ndege mimi baba na mama tukaondoka kurudi Dar es Salaam.
Tumerudi Dar es Salaam nikaanza procedure tafuta passport.
hawajawai kuwa na passport tafuta pasiport ikapatikana tafuta passport imepatikana nikaenda nikafanya arrangement namna within a week mzee wangu alikuwa kwenye ndege tayari anakwenda nini anakwenda India ameenda akaenda bengaluru huko akapata matibabu na matibabu yake watu wengi unajua India mimi naona kwenye magroupu tumechangishwa jamaa ni mtu fulani anaenda mimi nikasema mimi siwezi kuchangisha kuna kipindi unafika mahali unasema hivi nitaweza kweli unakuwa na hofu yaani kwamba hivi natoboa kweli haya nikawa nimeyabeba na maamuzi kumbuka nimefanya pekee >> pekee yangu >> pekee yangu kwa hiyo unaweza ukashangaa ukapeleka kwa ndugu ndugu akwambia si ulijifanya una hela hapana >> m >> itafika mahali nitashindwa lakini nikaamua nikomae nilikomae mpaka nukta ya mwisho nachokuja kushangaa baadaye ile hofu ambayo nilikuwa nayo baadaye nikajikuta kwamba mambo kumbe yanafanya nini >> yanawezekana babangu alitibiwa miaka almost miwili na hakuna siku kilipungukiwa juu chochote mpaka waliokuwa kule wanatibiwa watanzania wengine wakasema hivi we huyu mtoto wako anfanya kazi gani yaani wakawa surprise kwa sababu hakuna hitaji ambalo lilihitajika ambalo nilishindwa kufanya nini kulisolve mpaka mimi naenda kumtembelea mzee kule nafika kule kila mtu anashangaa ndio huyu we ndio huyu mtoto wako ndio huyu kwa hiyo mwanzoni jambo lolote ambalo mtu analiona linawezekana likaonekana ni bumu kabla hujalianza ukishalianza njia huwa inatokea katikati kwa sababu ni hofu tu ambayo inakuwepo kukuambia hicho kitu sio halisi Lakini once umeanza baadaye unakuja kuona yes everything is possible.
>> Kwa hiyo watu wengi huanga tunafanya vitu >> kikitokea hivi kitu mtu anakuwa na pressure kubwa.
Yes.
>> Lakini ukija miaka miwili mbele ukaanza kuangalia unasema ah >> yuko vitu ya kawaida ambayo vinikwa swala la kawaida tu.
Eh >> ndio maana unatakiwa ufanye wewe usiwe muoga kufanya jambo we anza kufanya njia itafanyika mbele mbele ya safari.
Maadam tu umeamini nafanya nini?
>> Inawezekana.
>> Itawezekana.
>> Brother Chenza.
>> Naam.
Vijana wengi >> wanaogopa kitu kinaitwa kuoa.
>> Mh.
>> Sababu kubwa ni mambo ya kiuchumi.
Lakini sababu ya pili ni kutokupata namna sahihi ya kuchagua watu kwamba watu ni very unpredictable.
mh >> wewe umeweza vipi kuovercome hiyo?
>> Unajuaje kama nimeweza [kicheko] >> sababu naona ni family man umeoa >> ya ah swala la sasa hivi ni changamoto.
Ni changamoto lakini >> haimaanishi kwamba haliwezekani.
Linawezekana wanasema kila zama zina >> nabii wake.
>> Nabii wake.
>> Eh.
>> Eh.
Kwa hiyo changamoto ni kwamba tukiishi kwenye ndoa kwa kufuata mawaidha ya wazee sana tunaweza tukapanik >> kwa sababu wazee wana dunia yao >> na sisi tuna dunia >> tuna dunia yetu.
Lakini kubwa ah kupata mke sahihi au mwanamke kupata mume sahihi ni neema ya Mungu tu ikuangukie.
Maanake ukikutana na balaa linakuwa balaa kweli >> kweli kweli >> kweli kweli na litakupasua kichwa.
M >> eh mimi namshukuru Mungu nimeoa nina miaka mingapi saasa hivi ndoa huu 2026 >> tokea 2018 >> nimekaa >> eh miaka nane >> m >> kuna watu miaka miwili haikuisha na jamaa zangu na jamaa yangu mmoja miezi minne washashindwana kwa mimi mpaka hapa nimeupiga mwingi >> lakini kubwa nafikiri ni neema tu ya Mungu mengine haya tunaweza tukaongea hapa lakini >> nafikiri ni jambo ambalo linawezekana ukipata neema basi wewe pita nayo.
Ukikosa neema basi pambana na hali yako usife na tai shingoni.
>> Kuna mambo ambayo yalibadilika >> unaona kwamba ah baadaye ya kuoa kuna vitu vingi sana kwenye maisha yangu vikabadilika.
>> Eh vingi vilibadilika.
Zamani nilikuwa na uwezo wa kuondoka nikaenda nikalala huko nikapotea hamna mtu anayeniuliza umeenda wapi na umekuwa wapi?
Sasa hivi naulizwa.
Eh lazima utaulizwa ulikuwa wapi lakini zamani nilikuwa na uwezo wa kufanya mambo pekee yangu bila maamuzi.
Sasa hivi uhuru wa kufanya mambo pekee yako unafanya nini?
>> Unapungua kwa sababu kuna mtu atakuuliza ehe mbona hukunishirikisha?
>> Unaweza ukatumia ubabe tu lakini mwisho wa siku ni kwamba naye ana haki ya kufanya nini?
Ya >> kujua.
>> Ya kujua.
ni kubwa ni transformation tu kwamba ulivyokuwa unaishi pekee yako ni tofauti na unavyoishi na na mwenzio.
Kama mwenzio ana tabia za kwake na wewe una tabia za kwenu wewe unatakiwa uvumilie na kama vile wewe unavyovumiliwa vile vile.
Kwa hiyo mwisho wa siku mnatengeneza familia kwa kuishi pamoja na kuendelea kuzoeana kila siku lakini inachukua muda kuweza ku catch up na mwisho wa siku mambo yanaenda.
Kikubwa ni kwamba ukishaingia hamna kutoka we koma >> impact financially kwa sababu watu wengi sababu kubwa ni hapo >> kwenye financial.
Yes.
Kwamba mimi bado mpaka nikijipata kwa namna fulani >> mimi mimi nilipoanza kuoa ndio hela zijaanza kuja kuwa nyingi.
Sasa sijui kuna mcanisim gani hapa zilipo nilipooa tu pale ndio flo ikaanza kuwa >> inaanza kuongezeka.
Nafikiri ni wakati pia na wenyewe lakini kama nisingeoa kipindi kile saa hivi nisingeoa.
>> Kwa nini?
>> Ah sijui.
Naona kama kijana ukipata uhuru wa kutokuoa usichezee tumia.
[kicheko] Eh kama umepata nafasi hiyo fanya mambo yako.
Sio kila mtu.
Kwangu mimi hainisumbuii.
Mimi namshukuru Mungu nimepata mke ambaye nimwelewa ila ninawaona watu ambao wamepata wake ambao sio nini?
>> Sio >> sio waelewa.
Hapo ni changamoto ipo.
Eh unapata mke unaongea naye anaongea mnakuwa na majibizano hamuelewani maugomvi yanakuwa mengi lakini mkipata ambaye mnaelewana vizuri ambaye anaelewa kikubwa yeye aelewe unachokifanya.
>> M >> mimi kwangu imenisaidia mke wangu alielewa.
mwanzoni alikuwa haelewi na mwanzoni mimi na mke wangu tulikuwa tunapishana vitu vichache mimi si mzee wa kuposti mitandaoni unaposti mipango yeye hataki uposti mipango wewe subiri matokeo sasa baadaye nikamwambia no mimi namna ninavyofanya kazi mimi sioperate kama hivyo ambavyo wewe unafikiri nisiposema jambo sifanyi >> m >> nikisema ndio na uwezo wa kufanya nini >> wa kulifanya kwa hiyo namna mimi ninavyo operate ni kwamba nikisema kwa mfano nikaweka malengo kwamba mimi hapa mwakani nataka ninunue 300 rend cruiser nikikaa nalo moyoni ni simple eh sinunue kwa sababu nitaona kama siko accountable kwa hiyo mimi nikikuambia kwamba nataka ninunue kitu fulani wewe nisupport wewe nisupport nisupport twende mimi mpaka nitimize mwaka 2019 nilikuwa nanunua hari ya hybrid nilimshirikisha nilikuwa nishaoa nikamshirikisha ile gari mpaka leo inamuuma nilivyoiuza inamuuma kwamba hii gari yaani hii gari mimi inaniuma mpaka leo umeuza gari ile na umeipata kwa mateso Kwa sababu nilikuwa nashare everything strategy ambazo nafanya nini?
Napitia vile ninavyojiminia anamwambia sasa unajua nimepata hela hii mbona sasa unaweka hela nyingi kuliko hela tunayobaki nayo kwenye maisha ya kawaida sasa nashare naye >> kwa hiyo baadaye ikaanza kumsumbua siku nilipokuja kuuza alimind sana bwana hiyo gari wewe ungeiacha tu mimi inaniuma kwa sababu ya ule mchakato jinsi kwa sababu naye ameexperience kwa hiyo wakati fulani ni kupata mtu ambaye mnaweza mkaelewana mkielewana mambo yanakuwa si magumu.
Kwa hiyo labda kama wewe ni mwanaume inabidi upate mwanamke ambaye kiukweli yuko tayari kukusikiliza na asiwe anayeta vipingamizi sana au kujifanya naye mjuaji kwa sababu mkishakuwa wajuaji wawili ndani hamtoboi.
Mimi ni zuzuri namshukuru Mungu mke wangu ni msikilizaji yeye mara nyingi ananisikiliza na ananisupport hata kama naongea vumbi ananisupport kwenye vumbi anasema tutaenda na hiyo hiyo uliyowaza wewe alafu baadaye tutakuja kujua mbeleni.
Ukishakuwa kwenye ndoa kwa hivyo muda mrefu utaona ah huyu jamaa anawezaje wezaje >> wakipata matatizo nini wanakuja kwamba hebu brother tupe ushauri wa ndoa.
>> Ah mimi ukweli sitangi ushauri wa ndoa.
Mimi namwambia mtu pambana na ulichokiamua ulipokuwa unachagua ulikuwa pekee yako.
Usije kuniletea mimi nianze kukushauri baadaye nikakuingiza chaka alafu ukaenda kufanya maamuzi kwa kufuata akili zangu.
Kumbe mke wako ni tofauti na nani?
>> Mimi nishamshauri jamaa yangu mmoja namna mimi ninavyoo mambo yangu nyumbani kwangu.
nikamshauri yeye alienda wewe kilinuka alifungiwa mlango wiki mbili hafunguliwi mlango na mke ndani sasa mimi nikamwambia mwanamke anakufungia mlango ndani nikataka niact mimi jamaa akashindwa na yeye akafuata ushauri wangu akapotea kwa hiyo kiukweli ni kwamba kila mtu aendeshe ndoa kulingana na mke wake au mume aliye naye.
Ukichukua experience za wenzako ukaenda kuendeshea kwako yatakushinda alafu hakuna mtu atakaye kutetea.
umezungumza swala hapa la kwamba mtu ukiposti vitu vyako public unakuta kila mtu ana imani yake >> watu wengine unakuta mtu anakuambia unajua macho ya watu >> m >> sio mazuri hautimiza hivi vitu >> alafu unakuja unaprove kwamba >> watu wanaona na ninafanyafanya eh >> yaani unahisi hiyo imani inaweza ikawa inaweka au ni uvivu wa mtu binafsi au kwamba angeshare asingeshare isingetimia kama kutimiza >> ah watu wengi nafikiri wana everything wanaambatanisha na mambo ya nguvu za giza sijui mimi siwaelewi mim siwaelewi kim ki ukweli kwangu mimi haioperate kama hivyo mimi na uwezo wa kusema kwamba bwana na mpango wa kununua 300 hiyo ndio gari ambayo naipenda itakuwa rangi nyeusi itakuwa na mataili makubwa ya nchi 22 itakuwa inatakiwa iwe na chrome kwenye ex nyuma inatakiwa iwe hivi inatakiwa ndani iwe black inatakiwa zile ventilation ziwe zinatoa upepo inatakiwa inre and mimi naweza nikazungumza every details kwa kuzungumza kwangu kunanipatia accountabil ability ya kuona natakiwa nifanye nini nitafute alafu nikija kukamilisha si niliza nyoa najisikia vizuri mno yaani najisikia vizuri kuliko hata gari yenyewe ambayo unaiendesha najisikia vizuri kwa kile ambacho nilikisema before and after lakini wengi hawana hiyo courage na wengi wamekaa kimya na wengi wamekufa huko kwa sababu hakuna sehemu alikuwa accountable no one knows kwamba anaplani nini na hakuna alichokifanya na hakuna atakayemuuliza alafu ikaishia huko ikapotelea huko.
Kwa hiyo kuna wengine wanaamini hivyo ila mimi kwangu >> mimi mojawapo ya watu ambao watu wananiambianga sana kwamba usike vitu vyako hivyo public unawekaje?
>> Eh >> ila mi nawaambia tu kitu kimoja kwamba kama mtu ana uwezo wa kuzuia kitu nachokiweka public >> m >> basi ingekuwa ni hivy angeweza kuzuia hata ambacho nakiweka private.
>> Exact.
kama naweza ukifanya kitu mtu akiwa anaona >> eh >> ni the same tu kama nikifanya hicho kitu ikiwa mafichoni unless kwamba nimekaa hapa natumia laptop yangu nitakuja kuizima >> kuizima yes >> lakini kama ni nje hapo >> ni ngumu >> ni ngum ile tabia unajua mianya ya riziki watu watakuzibia watu wachawi wengi mimi wengi nikiwaangalia wanaongea waliozali mwaka wa 72 kurudi nyuma huko ndio wanawazo mawazo hayo sana lakini kwa jenz hivi unafikiria vitu vinaoperate jenzie anasema na anafanya na vitu vinatokea yaani kwa hiyo tufanye transformation pia nyakati zimebadi >> zimebadilika tuko kwenye nyakati zingine nyakati za sasa hivi tunasema tunajimotivate alafu tunaenda tunaexecute tunaleta matokeo tukileta matokeo tunafeel proud pia tunakuja tena mtandaoni tunavimba kwamba kile nilisema nimefanya ona sasa furaha inafanya nini inakuwepo lakini nafikiri kuna wanyakati mimi siishi kwa ajili yangu pekee yangu naishi mimi pia ni kwa ajili ya watu wengine maisha yangu pia yanakuwa ni kujifunza kwa watu wengine unapomwambia ambia mtu na plani ya kufanya hiki alafu baadaye unapoja kukifanya anaona ah kumbe inafanya nini inawezekana na yeye anatengeneza confidence ya kujiamini lakini ninaamini pia watu tumetofautiana kuna watu wa aina nne melancol plagmatic choleric na sanguin mimi ni sang there is no way ukanifumba mdom ukinifumba mdomo ni sawasawa na samaki umemtoa ndani ya maji umemleta aje apande miti ni kitu ambacho hakifany nini >> hakiwezekan mimi ninaongea tu yaani yaani hata kama sitaongea kwako nitatafuta sehemu niende nikafanya wewe ndio yaani wewe ndio utakuwa umejizuia usipate taarifa zangu ila kuna mtu nitampa taarifa yaani siwezi kukaa na siri moyoni yaani lazima nimwambie bwana kuna hili na hili na hili na hili na hili na hili naweza nikaenda kuomba ushauri nimsikie anasemaje lakini haimaanishi atabadilisha nini >> mtizamo >> mtizamo wangu au mawazo yangu ambayo mimi ni ninayo na kama ananijua yeye ha ananitia moyo tu ndio najisikia vizuri akinikatisha tamaa mimi namprove wrong kwa kwenda kufanya alafu nakuja mwambie ulinikatisha tamaa ila nimefanya >> tukija kwenye mambo ya familia mh >> mtu unakuwa na watoto >> mh >> ulisema mwanzo kwamba kuna namna unafanya kuinstall vitu fulani kwa watoto >> m >> ni kuaminisha kwamba vitu vinawezekana au vitu gani specific kabisa?
>> Ah mimi watoto kwenye mambo nayoimpose philosophy zangu kwao cha kwanza sitamani kuwabadilisha walivyo.
Nataka wabaki vile vile walivyo namna walivyozaliwa na strength zao na weakness zao.
I accept weakness za mtu kwa sababu that's why we are human being.
Lakini ninatamani ile try and error kukosea si jambo baya ni sehemu ya maisha.
nataka hiyo likae kichwani mwa nini mwa watoto kwamba no matter ameko >> amekosea yeye ni mwanadamu ni kawaida kukosea tunakosea lakini katika makosa ambayo nimefanya umejifunza nini nini unachoondoka nacho katika kosa uliloli alafu hilo ndio likuwezeshe kufanya maamuzi mapya ya jambo lingine linalofanya nini linalokuja hicho hilo ndio jambo ambalo natamani watoto wajifunze >> nimekuuliza kwa sababu wazee wetu walikuwa wana ndoto zao >> alafu wanataka >> wewe ndio uchukue ndoto zako eh wanavalisha ndoto zao kwa watoto >> ukimwangalia huyu unaona aia >> sasa watu wengi hatukipendi hicho kitu lakini senyewe hupata watoto na sisi >> tunaanza kutaka kwamba huu unatakiwa uelewe dunia inaelekea huku >> sasa ukitaka kumbadilisha mtoto mbadilishie taarifa mbadilishie experience mbadilishie na watu waliofanya nini waliomzunguka siku moja nilisafiri na binti yangu nilika naye nik kata business class ile ndege akaniuliza mbona hatukai kule >> m >> nikambadilisha taarifa kichwani nikamwambia kule wanakaanga walimu nikamtajia zile vitu ambavyo sitamani awe yeye awe ambazo hizo philosophy sasa siwezi kuzitaja hapo unaweza wakanipanikisha maanake wanapaniki sana nikamtajia vile vitu ambavyo sivitaki alafu nikamwambia huku wanakaa wafany biashara watu wanaomiliki makampuni wawekezaji ndio wanaokaa huko ah ile kitu imemkaa nini >> kichwanani >> kichwanani Baada ya muda nanya mwiz unataka kuja kuwa nani?
Nataka kuja kuwa mfany biashara kama wewe?
Ah nikaelewa imeingia hiyo philosop namna nilivyoibadilisha tu kuielezea kwake ili iwe rahisi kufanya nini?
Kunielewa.
Kwa hiyo tayari kile kitu kimeanza kukaa nini?
Kichwani kwa wanaelewa kumbe tunapoenda kwenye ndege kumbe wanaoenda kukaa kule nyuma yeye hataki kule nyuma kwa sababu kule nyuma ashaikaa na hapa mbele amekaa amepapenda mbele zaidi kuliko nini?
Kuliko nyuma.
tayari philosophy nimefanya nimembadilisha kwa hiyo nambadilisha katika action za namna hiyo lakini pia nabadilisha taarifa ambazo anazisikiliza kuna baadhi ya vitu nimevrohibit nyumbani huwezi kuvisikiliza kuna aina ya taarifa ambazo nawapa ambazo nataka ziwajengeke huko.
Kwa hiyo kuna aina ya miziki nyumbani huwezi kuikuta ila kuna baadhi ya miziki utaikuta inafanya nini?
Ipo tu.
na ukikuta hiyo mingine nishaiweka kabisa nimewekea listi kabisa kwamba hii kiplay hapa haiplay kwa hiyo itakayoplay ni aina fulani na mlengo fulani nimewaweke sitaki katuni sitaki kwa kuna vitu ambavyo nimeviweka kwa hiyo sio kama watakuwa vile exactly lakini ukishambadilishia mtu taarifa watu na experience umembadilisha ukamwacha hivyo vitu vikampeleka hivyo ndivyo vinavyowahamisha watu kuwapeleka kwenye mtazamo fulani na taarifa fulani na kuwa watu fulani baadaye >> unafanya hivyo kucontrol sana kwa sababu ya hii mindset ambayo watu wanayo kwamba watoto wa kishua wengi ah walikuwanga sufuri.
Kuna mzee mmoja nilikuwa nasikiliza anasema ah kuna mtu alikuwa anamwambia mi sikimbilii kununua nyumba au viwanja mjini >> m >> sababu unajua hawa watu watoto wao wanakuja kuzunguuzia tu >> eh kwamba urithi unaishia kwenye generation ya tatu >> eh >> generation ya kwanza mafighter ya pili maspend ya nne wamalizaji wale >> m >> ah mimi ambacho natengeneza ni kwamba hakuna kinachokuja kirahis yaani hiyo mindset lazima nimtengenezee kwamba you need to earn to get something yaani unahitaji hii nini hela unatakiwa uend kwa hiyo nitakupa kazi tu hata ya kwenda kusafisha viatu ambavyo ni visafi yaani kichwani mwako tu ionekane kwamba haipatikani kira >> kirahisi >> kirahisi.
Tuna tuna generation ambayo ipo sasa hivi ni generation ambayo inataka ipate tu bila kazi ya aina yo >> yoyote >> yoyote.
hawa watoto wa 2000 hawa hao 2002 kuja hivi hawa yaani anatamani tu yaani umnunulie tu iPhone 17 umpe yaani hata bila chochote yaani bila sababu ya msingi yaani kwa sababu yeye aliangalia mie aliona kuna mtu aliongwa na boyfriend yake nini iPhone 17 kumbe ile ni movie ile simu inawezekana ilikuwa na director waliitumia wanavyoshooot na yeye anataka mane maisha yawe nini halisi.
Kwa hiyo akiona hapati vile vitu anapata frustration kwenye maisha ya nini ya kawaida.
Maisha hayaendi hivyo.
Kwa hiyo lazima aambiwe.
Kwa hiyo mwisho wa siku sasa ni kumweka mbali na hivyo vitu katika age fulani.
Ikifika age ya factelekeze nini?
Fact.
Ukiona kwenye video humu ikiwezekana omba hata nafasi ya wanavyoigiza nenda naye akaone kumbe ala kumbe haya maigizo ndio yanatengenezwanga hivi.
Kumbe kumbe ni wanaigiza sio reality.
Kwa sababu once umekaa kwenye TV wewe unaconsume everything.
Unaweza ukaona kama nini ni fact mbona kwenye TV mle hivi?
Ahah.
Maisha kwenye TV ni maisha mengine.
Uhalisia ni huu.
Kwa hiyo mtu akielewa uhalisia inakuwa hivy.
Kwa hiyo sijafanikiwa sana kwenye hilo lakini na I'm trying yaani that's how I think kichwani mwangu najitahidi nitengeneze hivyo ili baadaye waje kuwa ni watu fulani ambao watakuja kuwa hivi.
Nina mawazo ya kipritive kidogo.
Kwa hiyo bado nawazanga nyuma walivyokuwa na nini.
Naamini kwenye ile misingi.
Mimi kuna vitu siamini.
Kwa hiyo natamani hata watotu wangu wasiamini hivyo vitu.
Lakini ili waweze kuamini nahitaji niwashawishi na wenyewe wasiamini kwa kutumia akili zao kwa kuona uadilisia ila wasiende kulingana na mitandao ya kijamii au namna influence za jam nani TV zinapopeleka watu.
hiyo ni kutokana pia na wewe ulipoelewa kwa sababu kule mwanzo anasema ah yaani kwenye biashara nimestruggle nilikuwa sina mtaji >> lakini at the same time mtu anakuja kusikia wanasema nimenunua gari alik anatumia mzee wangu >> m >> an ah huyu jamaa amestruggle alafu mzee wake tayari alikuwa ananunua gari pikipiki nini >> hiyo ni kutokana na sababu hiyo.
Ah unajua babangu mimi alikuwa faita sana.
Babangu mimi ameacha kazi nikiwa darasa la tano mwaka 2000 babangu mimi ameacha kazi.
Babangu alikuwa mchungaji na namshukuru kwa sababu alikuwa anashare na mimi katika umri wangu mdogo alikuwa anashare vitu vingi alivyokuwa anafanya nini?
Anapitia sijui kwa sababu alikuwa mtoto wake kiume alikuwa anaamini kwamba lazima ashawe na mimi.
Mzee wangu mimi alikuwa ni mchungaji mara tatu amehamishwa eneo sio kwa sababu ya nini ila ni kwa sababu unataka kumkomoa.
Unaelewa?
Ana influence ana mvuto akienda kuhubiri.
Sasa akienda kuhubiri na mabosi wake anakuta yeye anakuwa na vibu kubwa kuliko mabosi.
Sasa obvious mmeenda sehemu wewe na mkubwa wako wewe umepiga son hapa na mkubwa wako naye alipiga alafu anashangaa watu wote wamejaa kwako wanakuja kuomba wewe uwasaidie maombi nini sijui nini wanakuja kwako wanakuletea zawadi alafu bosi wako amekaa pale yuko idol kwa sababu hana influence mabosi wakawa wanakawa wanampeleka vijijini mara ya kwanza alihamishwa kutoka mbea akapelekwa sehemu moja initwa rudewa njombe ndani huko porini amepelekwa kule mzee wangu akaenda kuona fursa kule akapeleka kinyozi cha kunyolea sola M >> kwa hiyo yeye akawa mtu wa kwanza kupeleka sasa kule ndio alipiga hela vibaya mno.
Sasa ameenda kule hela nyingi tena wakaona mh huyu anazingua.
Wakamtoa kule wakampeleka sehemu nyingine inaitwa ile wanampeleka wanamkomoa.
Sasa ile kitu mzee wangu ikawa imdistract akasema ah mimi hii kitu siwezi kufanya.
Akaacha uchungaji at the moment anaacha uchungaji mimi aliniambia kwamba mimi naacha kazi nilokuwa nafanya.
Naacha kazi kwa sababu sina furaha.
kazi yangu nafanya kwa upendo naipenda lakini mabosi wangu wanakuwa kama hawafurahishwi na kile nachofanya nachokifanya kwa hiyo wamenihamisha wamenipeleka huku wamenihamisha wamenipeleka huku sasa siwezi kuwa baba ambaye kila siku nyinyi mnahama shule ni kitu ambacho haki akifanya hakiwezekana hebu fikiria darasa la kwanza mpaka la tatu umesoma shule nyingine la ngapi umesoma shule nyingine sa hii tena ukasoma shule nyingine tena uje kusoma shule nyingine mimi siwezi kukubali kwa hiyo naamua kuacha kwa hiyo maisha yatabadilika lakini kuwa tayari kufanya nini kuvumilia tukahamishwa ndio mzee akaamua kuacha kazi tukarudi mbea ambako ndiko alikuwa ame nyuma tumekaa hapo babangu namuona akiwa anachomelea unajua mimi ni fundi welding mzuri hapa nilipo lakini nimejifunza kwenye babangu kipindi anachomelea anachomelea baiskeli za watu wanaungaunga mzee wangu mimi mwaka 2002 2003 anatengeneza madishi haya ya satelite yale zamani ilikuwa kama maungo hivi meusi yale babangu alikuwa anatengeneza yale yale ndio yakampatia breakthrough ya kubadilisha maisha at least hela ikaanza kufanya nini kuingia amekuja amenunua gari babangu mimi mwaka 2005 ananunua gari yaani unajua huko nyuma tumetoka kwenye hamna kitu yaani mzee anastruggle anaenda hapa amekuja amenunua nini amenunua gari amenunua gari ndio akanunua ile gari ile ya kwanza ile >> ambayo na yenyewe baadaye mambo akafanya nini >> akaiuza >> akaiuza akaja akanunua nyingine halax kwa hiyo nimeenda katika ile stration yote ya mzee wangu nimekuwa nikiangalia ile namna alivyokuwa anapita na alikuwa akishare na mimi kwa hiyo amekuwa akishare na mimi gumu ngumu na baya na mara nyingi alikuwa akinicourage kuniambia no kuna kipindi the moment m nafeli shule mzee wangu he was there ananiambia no usikate tamaa unakataa tamaa mtoto wa kiume hutakiwi kukata tamaa mambo yanakuwa magumu ni kweli unapitia magumu lakini mtoto wa kiume lazima unyanyuke uangalie jambo mpaka uhakikishe umelitekeleza kwa hiyo kitu chochote kama mwanaume ni lazima kama ulijiwekea lazima ukamilishe hakikisha mpaka unaikamilisha bila kuikamilisha wewe unakuwa sio mwanaum hiyo ni mindset ambayo alikuwa akifanya nini alikuwa akiniambia kwa hiyo haya yalinijenga kunif nione okay kumbe hivi vitu vinakwenda hivi kwa hiyo ups and down yule mzee alikuwepo na nimekuja kuanza kumuelewa vizuri baada ya kufariki unajua wakati fulani ukiwa una chance ya kuwa na mzazi kuna vitu vingi unaweza usivielewe ila unakuja kuvielewa baadaye kwamba da kumbe mzee unakuja kumuelewa kwamba okay kipindi kile mzee naenda shuleni uwezo wa kunipatia pesa nyingi ulikuwepo kama wazazi wengine lakini alikuwa hanipatii nyingi kwa sababu kuna kitu alikuwa anaamua kunitengeneza niwe mtu wa namna fulani.
Kuna kipindi mzee alikuwa anasema kabisa usipofagia uwanja usipoenda ukamua ng'ombe sikupi nini?
>> Pesa.
>> Pesa ya matumizi shuleni hupewi.
Kumbe shida yake ilikuwa sio pesa.
Ananifundisha kufanya manual work.
kazi lazima ufanye nini?
Ufanye.
Sasa katika kipindi hicho nilikuwa sioni leo namuelewa vizuri kwamba okay kumbe alikuwa anafanya hivi kwa sababu hii kumbe alikuwa anafanya hivi kwa sababu hii.
Kuna pikipiki moja ninayo mpaka leo.
Ile pikipiki ndio ilikuwa pikipiki yake alikuwa anaitumia kipindi alikuwa mchungaji ile pikipiki kipindi anaumwa mwishoni aliniambia hii pikipiki itunze sijui ukaiuza itunze mimi nataka tu ukae nayo wewe itunze kwa sababu ile pikipiki na wewe mna umri.
Sawa?
Mpaka leo ninao nimeichukua nimeifanyia restoration hii pavy naitumia tu siku moja naiendesha nazunguka hapa na pale na sitaki mtu aiguse.
Maanake mara ya kwanza niliwapa wakaiharibu.
Kwa hiyo bado vinanikumbusha vinanim kwamba okay baba ni muhimu kwa hiyo na mimi kama baba kwenye familia naanza kuona kwamba okay kuna kodi natakiwa nianze kuzitransform mapema.
Weha wananielewa sasa hivi au watakuja kunielewa >> baadaye.
Lakini kama baba lazima nifanye vitu fulani sasa hivi ambavyo baadaye waje wanielewe ili siku nikiwa sipo wabaki na ligas kwamba da kuna mwamba tuliishi naye alituambianga hivi na hivi alafu vile vitu vinaishi kama saa hivi ambavyo mimi naishi na philosophy za mzee wangu.
>> Ni the same kwamba ukiwa pia unafikiria kufanya vitu unafanya kwa ajili ya familia kwamba siku nikiwa sipo nitawaachia hiki.
muhimu sana ukishakuwa kama mwanaume ni muhimu sana kufikiria kipindi ambapo haupo kwa sababu wanasema dunia hii utapoteza tu unataka au >> hamna siku kwamba utaishi milele wewe sio mti kuna siku mti wenyewe unakatika wewe sio jiwe kuna muda tu utaondok lazima utengeneze misingi ambayo wakati haupo itaendelea kuwepo na mafanikio ya mtu yanapimwa kipindi haipo kipindi upo si vitu vinaenda ila haupo vikiendelea ndio tunadiscover kwamba okay fulani alifanikiwa ndio maana kuna watu mpaka leo tunaishi nao Nyerere tunaishi naye.
Kuna watu kama wakina Mandela tunaishi nao mpaka leo wapo.
Tunasikia stori zao wakina Robert Mugabe wapo.
Kwa sababu kuna vitu walifanya nini?
Waliacha liigas.
Kwa hiyo na wewe pia lazima uache Legas.
>> Kwenye kwenye kuacha legasi unakuta kwenye familia wewe una mawazo yako kwamba bana mimi nataka nijenge Oviedo iwe hivi na hivi na hivi lakini unakuta ni kutokana na matamanio yako binafsi.
M >> sio kitu ambacho labda familia nini wana interest >> m >> kwamba wao wanaweza wakawa na mitizamo yao ambayo ni tofauti kabisa >> na ambao unawaza yaani namaanisha leo ukaenda ukamwambia shemeji yetu kwamba nafikiria tujenge nyumba >> mh >> kuna picha yake fulani hivi >> anayo >> anay >> mh >> unawezaje kutengeneza kitu anajua hiki sio tu kwa ajili yangu >> m >> kuna watu wengi sana ambao hiki kitu kinawahusu >> m >> lakini nitakijenga kwenye vision zangu mimi >> na sio za kuwa >> ni ngumu mwanzoni kuwaeleza wakakuelewa mimi nilipoanza oviedo unajua uviedo nimeanza mwaka 2023 >> m >> mwezi wa tano yes mwezi wa tano yes nilianza yaani nimeanza kama leo after three days babangu akawa anafariki nilipokuwa nimeianza oviedo nilianza kipindi hicho lakini vision ilikuwepo tokea 2014 kuna video ipo YouTube inaitwa Power of Dream by Ibrahim Jens.
>> Ukienda kuiangalia ile video nimeizungumzia kwamba nataka kuishi kwenye nyumba ambayo iko isolated na kuwe na nini na nini na nini ambacho nimekielezea ambacho mimi nakitaka.
So nilipokuwa nawaza hicho kitu nilikuwa na eneo Kigamboni like two ilikuwa sehemu ya beach kabisa plot.
Lakini kila nikitaka nifanye nikawa napata ugumu wa kuweza kujenga.
Yaani unajua kuna mambo tu hayaendi.
Leo unapanga kuanza ukienda na mafundi mnafika na engineia pale mnabishana.
hupati kile kitu ambacho exact fan unakihitaji.
Siku moja katika matembezi ya hapa na pale nikaangukia Rufiji huko angukia Rufiji huko nikapata exact eneo ambalo sasa pale moyo wangu ukawa umefanya nini?
Uidhika kwamba yes I need something like this.
Sasa hapo ndipo nikaanza nikamchukua engineia wa kwanza kwenda kumdiscuss naye engineeria alianza kunitetea stori zake nikamtimua nikaleta engineia mwingine architecture mmoja anaitwa Amani Nyalando saa hii ni mwehu kama mimi akili zake naye sio nzuri kwa hiyo ni watu ambao ile IM tunaitoanga tunawekanga possible kwenye kila kitu >> m >> tukatengeneza possibility yetu pale tukaona inawezekana tukaamua kufanya nini kuanza kwa hiyo nilipoanza kutengeneza nikamwambia wife mimi nilibidi nimdanganye nilimpatia tu process tofauti nikamwambia unajua nataka nikatengeneze kitu tofauti kabisa na kile ambacho nafanya nakifanya ambayo kwa level yake niliona atanielewa kila hisi na akaaccept.
>> Kwa hiyo alipoaccept mimi nikatake ile advantage ya mimi kumdanganya kwa kile ambacho nakiona mimi nikaenda kufanya.
Lakini sasa hivi amefika mahali amesema mimi chochote ninachotaka kufanya mimi niko tayari mimi nafuata wewe unafanya nini mimi nafuata nyuma kwa sababu nimegundua mimi nawaza vitu vidogo alafu wewe unawaza vitu vi >> vikubwa.
Kwa hiyo mimi nitakukwamisha wewe nikikuambia vya kwangu.
Kwa hiyo mimi nafuata vya kwako.
Kwa hiyo wewe tangulia mimi niko nyuma na kusupport.
Kwa hiyo mwisho wa siku aliamua kukubali kwa sababu kwenye vitu vingi ambavyo nimekuwa nikifanya nilikuwa nafanya katika ukubwa ambayo baadaye yeye alikuwa anaona anachokiwaza yeye ni kidogo kuliko kile ninachokifikia mimi.
Baadaye akaamua kukubali kubuy into my vision kwamba vision yako wewe ni ya kwangu mimi mimi naingia kwenye ya kwako automatic.
Kwa hiyo wakati fulani wewe mbeba maono na kama wewe ni mwanaume wewe ndio mkiongo ongoza njia twende wanaelewa hawaelewi wapeleke mkuku mkuku wataelewa mbele ya nini ya safari ila ukitaka uanze kudiscuss kila kitu mwanzoni alafu muanze kuweka mikakati mezana yawezekana ukapata mke ambaye naye ubongo wake ni nini mkubwa kwa sababu vitu vingi vinategemeana na experience na exposure umenifahamu eh >> wewe umeenda kuoa mke tandaimba amesoma primari Momba mbili sijui primari sekondari amesoma hapo hapo sijui chuo ndio amehama mkoa wewe umeshasafiri nchi kama 18 tofauti duniani alafu you are coming to the table mnadiscuss mfanye jambo moja kwa pamoja bro uko serious na maisha au unaleta utani kwa hiyo unaweza ukajikuta kwamba mnazungumza wewe unazungumzia mawazo ya hapa mwenzako anazungumzia mawazo ya >> chini >> mnashindwa kumeet kwenye pointi ambako mtafika aidha mtabishana mtakwazana kwa hiyo mwisho wa siku wewe inatakiwa utape charge kwamba no kwenye hili uta utanisikiliza tutaionele mbele ya nini?
>> Mbele ya safari.
>> Mbele ya safari >> hapo napata kitu kwamba >> unaweza ukachagua mtu sio according to experience zake kwamba ziendane na za kwako >> m >> lakini ukasema hizi hizi experience zake mim sitozitumia.
>> M >> eh hutozitumia lakini pia lazima uheshimu mawazo >> mawazo yako.
>> Mawazo yake.
Yaani swala sio swala ni kuzitumia au kutokuzitumia.
Unatakiwa uwe na akili.
Kwa hiyo wakati fulani unatakiwa umdanganye kwamba nazitumia alafu huzitumii ndio kuishi kwa akili.
Siambia uishi nao kwa akili kwa sababu ukizipuuza kabisa hiyo ni vita ya ngapi?
Ya tatu ya dunia.
Kwa hiyo unatakiwa usipuuze kabisa.
Uwe kama umezielewa kumbe hujazielewa kwenye application fanya unachokiapply.
Lakini ukisema kweli mwende inategemeana.
Ndio maanaasema hivi hivi vitu haviko constant kwa kila >> kwa kila mtu.
Vinatofautiana.
kama mtu uliyekutana naye na wewe unachokiwaza experience tofauti tofauti ni vitu tofauti kuna wakati mnaweza mkafanya mkabishana alafu mkashangaa kwa sababu ya kubishana kwenu mnashindwa kufika conclusion tukija kwenye swala la oviedo kama oviedo juu yako wewe au vision >> ni nini na kitu kingine ambacho natamani sana mtu anayesikiliza ajue ni kwamba >> m >> kila kitu ambacho nakifanya >> kilikuwa ni full formed from the beginning kwamba idea yangu ni hivi na hivi au unafanya vitu alafu unaona Mbona hapa mbona kama naweza nikaweka kitu fulani hapa?
Ah >> okay.
Ah vision ambayo nilikuwa nayo tookea mwanzo ni kuwa na nyumba ya kuishi pekee yangu maisha ambayo nitaishi mwenyewe.
I don't need neighborhood I need nature.
Hilo ndio jambo la kwanza ambalo mimi nilikuwa nalitamani kwenye maisha yangu.
Kwa hiyo cha kwanza kilikuwa ni hicho.
Alafu structure ya plan inaenda kufanya nini inategemeana na vitu ambavyo unazidi kuviona kila siku.
Oviedo ina underground.
Underground ya Oviedo haikuja kwa sababu ilikuja kwa sababu nilienda sehemu mwaka 2 201 2010 n 1819 I think nilienda Marekani sasa sehemu moja New Jersey kuna nyumba.
Sasa zile nyumba unaweza ukaiona juu kadogo ila chini kuna nini?
>> Kuna under kuna underground.
Sasa mimi nilifika kwa jamaa yangu nilikuwa nalala chini kwenye underground.
Kwa hiyo pale I get the concept kwamba okay kwamba hivi unaweza ukatengeneza nyumba alafu ukaweka underground ukawa unastay huku alafu maisha yanaenda vizuri.
Kwa hiyo nikapata idea.
Kwa hiyo nilipokuja kwenye application ya kujenga uviedo nilipofika pale nikaanza kuwadirect wale maoperator wa excavator.
Haiko kwenye mchoro.
Unajua ile nyumba mpaka saa hizi sina kwenye >> kwenye mchoro.
Ukiniambia hebu lete nyumba mchoro hamna mchoro.
Nilikuja nikafikiria hivi hapa siwezi kuweka hiki kinawezekana.
anamuita engineia yangu tunadiscuss na uweu wetu anasema inawezekana tuanzie chini tukaanzia chini tukaenda tukasukia udongo tukaja tukanyanyua juu kwa hiyo mtu akiangalia kwa jio unakiona kidubasha fulani kimekaa kama mkate kimoja na kingine kiko pembeni mkate mkubwa na mdogo asichokijua chini kuna muunganikile ni nyumba nini ni nyumba moja imeconnect kwa hiyo baada ya hiyo idea ikaja ndio nikaunganisha kwa hiyo vingine vinakuja kulingana na unavyokiona nini kinakuja baadaye nimeenda nikaangalia eneo fulani ambalo lilikuwa Ilikuwa haliko potential walikuwa wanachimba udongo.
Baadaye nikasema hivi hapa sijui tuteza stable ya farasi nikaona inawezekana nikamwita engineeria wangu tukaona linawezekana leta excavator tukasafisha saa hii tumetengeneza stable ya farasi.
Kwa hiyo idea zingine zinakuja with time lakini plani ilikuwepo tokea mwanzo kwamba nahitaji niwe isolated, niwe pekee yangu, niwe hivi na hivi, vingine vinaibuka kulingana na mood na wakati, unaona nini na nini, natamani nini nifanye vingine unavifanya baadaye >> kwenye generation ya idea tuki hama kwenye maisha ya kawaida na kutengeneza idea kama nyumba nani dream life tunasema tukija kwenye upande wa biashara ukiachana na network marketing biashara gani nyingine ambayo sasa hivi hivi unafanya na unapata vipi idea?
>> Aha mimi biashara ambayo nilikuwa yaani cha kwanza biashara ambayo napenda ni kufanya biashara ambayo itanipatia passive income ambayo sitakuwa sitohitajiwa kuwa involved kwa m ngapi?
>> 100 >> 100 kwa hiyo out of network marketing biashara nyingine ambayo unafanya ni real estate na kitu kingine ambacho nafanya ni kwenda kuweka hela kwa watu ambao wana idea zao na wana vitu vyao alafu tunagawana nini faida Kwa hiyo wewe una biashara yako ambayo unaona inalipa ila uwe kwenye field tayari unafanya na nimeiona nimeistud nimeona kweli ila unakosa tu some amount of money ambayo utaifanya iwe kubwa zaidi.
Tunakaa mezani tunaweka mim naweka mpunga wewe unafanya tunagawana faida kwa mambo mengine yanafanya yanaenda.
Lakini zote hio ni kukwepa tu kwa kitu kadogo tu kwamba ah nataka muda wangu mwingi niutumie kufanya network marketing then hii vitu vingine visinichukulie muda wangu kwa sababu Nitoking biashara ambayo you build people.
You a leader.
You have to be there for people.
Unapowasaidia watu wengi kupata wanachokipata na wewe unapata unachofanya nini?
Unachokitaka.
Kwa hiyo ni biashara ambayo haifanyiki alafu ikaisha.
ni biashara ambayo you do it every day.
Unakaa unawasaidia watu unasolve matatizo yao unawakuza unawajenga mtu from the scratch unamleta mpaka anakuja kuwa mtu mkubwa.
Kwa hiyo kwa sababu ni biashara ya kujenga watu kila siku.
Kwa hiyo tunaifanya kama maisha yakawa ya kawaida ambayo tunaifanya kimasi.
nikusikiliza nakuelewa lakini nafikiria yule mtu ambaye >> yaani ndio first time anasikia hapa mambo ya network marketing >> ni nini hasa >> network marketing ni structure ni mfumo wa usambazaji wa bidhaa au huduma kutoka kwa mtengenezaji kwenda kwa mtumiaji.
Unajua mifumo ya kibiashara ipo ya aina nyingi.
Kuna mfumo wa franchise ambapo mtu mwenye mtaji mkubwa anakwenda kwenye kampuni ambayo ina jina, ina masoko tayari na ina watu ambao wanaiamini.
Anakwenda anafungua some branch kutokea kwa wale watu kwa kufuata logo, utendaji kazi na product za wale watu anafanya anatengeneza faida.
Uzuri wa hizi biashara ni kwamba tayari zinakuwa na trust kwenye kituo kinachofanyika.
Hiyo ni biashara ambazo zinaitwa za franchise.
Kuna biashara ambayo inaitwa traditional business ambapo kunakuwa na mtengenezaji, kunakuwa na mtu wa husela.
Kunakuwa na mtu wa retailer mpaka inaenda kumfikia mtumiaji wa nini?
Wa mwisho inakuwa na watu wengi katikati ambazo hizo ndio nyingi sana kwenye jamii yetu.
Alafu kuna biashara ya mtandao.
Biashara ya mtandao kwa jina lingine inaitwa direct sales ambayo hii inaondoa hawa madalali wa katikati.
Yaani yenyewe inapofanyika ni kwamba kampuni inayotengeneza bidhaa haijihusishi na matangazo, haijihusishi na kutoa elimu, haijihusishi na supply, haijihusishi na haya mambo yote.
Yenyewe inajihusisha na jambo moja tu utengenezaji wa bidhaa na uletaji wa bidhaa eneo husika.
alafu usambazaji unamtegemea mtu yeyote.
Kwa hiyo mtu yeyote ambaye anaona anaweza akafanya anaenda anajiattach na hii kampuni anatumia bidhaa zao anatumia brandi yao anatumia trust yao anatumia kila kitu walicho nacho kwenda kutangaza hizo bidhaa na kwenda kuziuza na yeye anapata commission.
Sasa uuzaji wake ni either ameuza moja kwa moja yeye au ametengeneza timu ya wauzaji wengine na yeye amepata.
Huu mfumo ndio unaitwa network marketing.
Uzuri wa huu mfumo hauhitaji education background ya mtu kwamba alikuwanga nani.
Hauna cha connection kwamba lazima wewe unafahamiana na nani ndio uweze kufanya.
hauna cha mambo mengi ambazo biashara zingine zinafanya nini?
Zinahitaji.
Mtu anaweza akaanza kwa mtaji mdogo akaanzisha biashara yake akaijenga.
Yeye anachokifanya ni kusimamia timu ya wauzaji wengine na kuwatengeneza kama kiongozi hawa watu waweze kuwa wakubwa na atapata malipo kulingana na nini?
Na ukubwa wa timu yake kazi unayofanya na yeye atapata kamishion.
Hivyo ndivyo network marketing jinsi inavyooperate.
Watu wengi wakisikia mambo ya network marketing yaani kuna kitu tu mtu anarelate ashawahi kualikwa mahali >> m >> ah kama mimi tayari nishapata experience kama mbili mwaka 2018 m >> na jamaa wangu mmoja akash kunialika kwenye network marketing moja >> m >> pale Sinza >> m >> eh kwanza nilikuwa najaribu kumuuliza hivi biashara gani hasa ndio yaani mnafanya >> m >> ili nije hivi unavyonialika >> m >> wewe usijali wewe ukifika kufika eh nitakuelezea wewe njoo tu yaani hii haina haja ya nianze kukuelezea hapa hapa yes >> unafika pale ni asubuhi ni mchana growing nini come next billionea unaasema mbona nimeingia katika ulimwengu wa tofauti kabisa tofauti eh >> kwa hiyo nilifika pale nikapewa plani moja >> mkachanganyikiwa >> nikaona ah hii maisha yanaweza kawa ni marahisi hivi >> eh >> yaani ukipiga hapa ta ta taisita hapa >> hela hizi hapa hapa >> m >> lakini nani yangu ya pili experience yangu ya pili na jamaa wangu mmoja ashaenda kwenye kampuni moja anauza madawa >> m >> ah inaitwa Global Something >> m >> sasa wakati anaenda alialikwa nini akapewa experience kwenda kujiunga alikuwa tumekaa naye geto ilikuwa Morogoro >> m >> akaanza kutuelezea kwamba nitafanya hivi hivi alafu mwisho wa siku kuna hela zinakuja na nini alitoa kama laki hivi akaenda akajiunga akaja na vitu majani chaa hii >> ah kiukweli kilishakuvinywa geto >> eh >> hakuweza kuviuza sababu unakuta >> kumpata mtu wa kumuuzia majeni ya chai 3,000 >> m ni ngumu >> ni little to impossible >> m >> nyinie mnawezaje wezaje >> ah okay cha kwanza ukiona watu wanazungumzia possibility ni watu wa muhimu sana network mimi nawapenda no matterata haijalishi wanavyoviongea au experience ambazo watu wamekutana nazo ni watu wanaozungumzia possibility kuna kule imani lazima iwe namba imani yako lazima iwe kubwa kuliko circumstance.
Nini ambacho kinatokea?
Kinachotokea ni hiki.
Kwa nini watu hawapewi taarifa nyumbani?
Kwa sababu ya miss understanding.
Unaweza ukajudge tofa tofauti.
Leo hii ninapoanza kukuambia kuhusu kitu fulani wewe utaanza kurelate na mazingira uli uliopo.
Obvious kichwani kunakuwa na mental picture inatengenezwa ambayo unaweza ukajudge tofauti.
Unapojudge tofauti unawezekana usipate picha ka kamili ukaona haiwezekani.
Kwa hiyo wanamwambia mtu njoo utakuja kusikia huku ili usipate taarifa tofauti.
Na yawezekana mtu anayekuambia naye ameanza hivi karibuni anataka ukapate taarifa kutoka kwa maexpert watu ambao wamekuwepo kwa muda mrefu ili uweze kununua ili uweze kupata imani kwa kupitia wale ambao umewasikia.
Hiyo ndio kanuni ambayo inafanya nini?
Inatumika.
ila kama uko fiti una uwezo wa kuexpress na ukaelezea unaweza ukamuelezea mtu popote.
Lakini jambo la pili jambo la pili hizi biashara zilisha tofauti tofauti na makampuni mengi yanatumia mfumo wa network marketing.
Lakini si makampuni yote ni legit.
Kuna wengine kuna features sasa unaweza ukatambua kama hii biashara ni halisi au haina uhalisi.
Ficha mbili nikupatie.
moja lazima kuwe na product ambayo value ya product iendane na thamani ya pay ambayo unalipia.
Hiyo ni kitu muhimu sana yaani isiuse a product kwamba njoo utarani saa milioni milioni milioni nne sasa bro saa milioni nne saa utaenda kumuuzia nani mwingine ukija kuangalia je demandi ipo ya hiyo product kwenye market ya kawaida kama hakuna maanake huo ni mchezo sasa wewe sasa unatakiwa utumie akili tu ya kujiongeza lakini mara nyingi inatakiwa hivyo vitu ambavyo vinauzwa viwe kweli vinahitajika kwenye society hu husika kweli kuna demandi na inahitajika kwa sababu mapato ya biashara yanatokana na generation ya sales zinazofanyika kila siku na tunajua lengo la biashara yoyote ni sales leo wherever unafanya biashara gani unauza either ni digital product au tangible product lakini mwisho wa siku lazima itoke kwa mtu mmoja iende kwa mtu mwingine na itengeneze nini value ili ilete nini ilete pesa kwa hiyo lazima uangalie je zile product zinahitajika kwenye market hilo ni jambo la kwanza ya pili je zinauzika sio product ununue wewe wewe ndio mte mteja alafu wewe huwezi kwenda kumuuzia mtu mwingine yeyote.
Hilo ni jambo la pili.
Though kuna aina ya watu wengine ambao wanaingia kwenye hizo biashara hataki kutenga muda wa kujifunza.
Kila kitu unajifunza.
Utajifunza kuhusu sales.
Utajifunza kuhusu mauzo.
Utajifunza kuhusu kuongea na watu.
Utajifunza kuhusu kupresent opportunity.
Utajifunza kuhusu kuongoza watu.
Utajifunza kuhusu kuongea na watu wengine.
Hivyo vitu vyote vinakwenda.
Hata mimi kipindi naanza biashara mara ya kwanza nilikutana na hizo changamoto.
Changamoto yangu ya kwanza sijui kuelezea biashara.
ilinichukua miezi kama sita ndani ya biashara kuweza kumwelezea mtu mwingine na yeye anielewe.
Kwa hiyo mimi mtu wangu mwingine kuja kumuunganisha ilichukua yaani baada ya kuanza mimi kuna jamaa yangu mwingine ambaye yeye huwa anafuatanga kile anachokifanya alianza alafu kuja kupata mtu mwingine ilinichukua almost miezi saba kuja kumpata mtu mwingine aliyekubali kufanya kuanza kufanya hapa katikati ilikuwa ni changamoto unamwambia mtu hakuelewi kwa hiyo ni mambo ya kawaida ambayo nilikutana nayo lakini baadaye nikajifunza nikaelewa nikaelimishwa nikajifunza namna ya kupeach sales namna ya kuongea na mtu baadaye ninaweza leo nina uwezo wa kuuza kirahisi kwa sababu nina uwezo wa kupresent value.
Mtu akaona value akaamua kununua na akatumia na yeye mwenyewe akanipigia simu akareoda tena na tena na tena kwa sababu product najua namna zinavyooperate kila kitu kinavyofanya.
Kwa hiyo changamoto watu wengi wanashindwa kwa sababu watu wengi wanaingia kwenye hizi biashara wakiwa na mtazamo tu wa kutaka mafanikio ila hawako tayari kujifunza mchakato ambao unaleta mafani mafanikio.
Lakini jambo lingine biashara kama hizi ziliingia nyingi hapo nyuma alafu zikawaliza watu sana.
Kuna watu waliingia na mtego ambao unakuwepo ni mmoja unafanikiwa haraka haraka hapo ndio mtego ulipo bro hakuna cha kufanikiwa haraka haraka haraka ukimuona mtu amefanikiwa haraka haraka wewe ndio haraka haraka tokea ulipoanza kumjua ila nyuma ya pazia kuna muda ameinvest ambao alifanya akaenda akafanya nini akatoboa kwa hiyo hakuna hiyo haraka haraka hicho kitu hakipo ila vipo vitu ambavyo unafanya unajifunza unakuwa expert unakifanya unagrow taratibu baadaye unajikuta unakula expert mwisho wa siku unakuta katika position ambayo ni nzuri kwa hiyo ziliingia nyingi ambazo ziliwaliza watu na wengi walilizwa kwa sababu ya tamaa mtu anataka tu aje aingie aweke hela alafu maroboti yanamfanyia nini kazi anaambiwa kuna maroboti unanunua robot inakwenda kufanyia sales wewe bidhaa huwezi kuuza hufanyi nini sasa ni vitu ambavyo havimake sens wewe unafanya nini sasa wewe unaweka hela yako tu ah basi hapa ndio mnapopigwanga hapa ununua maroboti 10 kila roboti 5000 maroboti 1050 kwa hiyo unaona kwa I napata lak.
Ah ah.
Ukishaweka vile mtandao umezimwa unabaki unaanza kulia lakini tamaa zako ndio ziliponza.
Hukuelewa hata kitu kinachoenda kufanyika ni kitu gani?
Kwa hiyo ndio hivyo.
>> Ikishakuwa hivyo kwamba kuna watu wanalizwa >> m >> kama ni industry tunasema kama vile industry inachafuka.
>> Inachafuka.
Yes.
>> Kwamba ikija ni upande wako sasa mtu anaona tu mbona kama hawa ndio wale wale hawa.
Eh ni kweli wapo wanaotuona ndio wale wale lakini wapo pia ambao wanashuhudia kwamba eh kama wewe chenza mpaka sasa hivi umekuwa hivi hiyo kitu umekomaa nayo sana kwa sababu wanakumbuka mchakato wamekuwa unatokea zamani wanakuja mpaka sasa hivi wanaona inakuwa ni rahisi na ukikutukuta kama sisi ambao tumeanza muda mrefu hata namna tunavyozungumza na watu hamna hamna sehemu utakuta mimi nimezungumza kwamba hiki ni rahisi kufanyika hakuna sehemu utakuta nimezungumza kwamba unaweza tu haraka haraka ndani ya wiki mbili ahah najua sio wiki mbili naajua inahitaji mudahitaji najua inahitaji effor najua inahitaji uwekezaji wa wewe kusoma, unahitaji kujifunza unahitaji kufanya na haiwezi kuwa rahisi.
Kwa hiyo lazima nitakuambia taarifa sahihi na utanielewa tu.
Lakini ukiwakuta wengi wanazungumza vitu vya fasta faster hawana information sahihi wameanza juzi juzi.
Wameongozwa na matamanio hawana fact.
inakuwa ni rahisi lakini kwa mtu ambaye ambaye yupo kwenye biashara amefanikiwa hawezi kuongea vitu hivyo ambavyo ni vya muda mfupi mfupi >> unakuta kwenye sales mtu anaona kwamba nikianza kumwelezea huyu mtu kwamba it can take five years >> eh >> atakimbia mchana kweupe >> mimi huwa nasema network marketing sio ya kila mtu ni ya watu wenye dreams ni ya watu wenye ndoto >> kubwa >> kuna video moja nimeipost mtandaoni nilisema hivi ukiona unachokifanya unaweza ukamwelekeza mamako kirahisi na akakuelewa >> ujue unafanya kitu cha kawaida ida sana tafsiri yake ni hii wazazi wetu sisi ambao tuko sasa hivi maanake ni 70 kurudi >> nyuma >> nyuma mtu wa 70 kurudi nyuma kuna dunia hawezi elewa leo mtu aliyezoelea mwaka wa 70 uanze kumwambia mimi huwa nauza pesa mtandaoni nafanya foreign exchange anaweza akakuelewa >> ni nguvu >> make sense namwambia nafanya network marketing make sense unamwambia mimi ni winga haxambia mimi >> unatajia bidhaa >> mimi ni dalali mimi ni broker haya hayawezi kukuelewa kwa hiyo yeye vitu ambavyo anavielewa unavyomwambia mimi ni daktari ah sa sasa mwanangu kuna kitu anafanya nini >> anakifanya unapomwambia mimi ni mtu hivyo vitu kwao ni vyepesi kufanya nini kuele kueleweka lakini bro nikwambie kitu kuna watu wanatengeneza hela na ni mawinga sasa winga kumwambia mzazi mimi ni winga ho yaani huo msamiati kwake ni mgum kuna vitu ambavyo kwa watu wa nyuma ni ngumu kufanya nini kuelewa ila wa sasa hivi ni rahisi kuelewa kwa hiyo vitu ambavyo unavifanya sasa hivi kuna watu ni ngumu kufanya >> kuna watu wanakuuliza alafu unamwambia tu ah m nafanya tu kitu fulani >> kuna mtu mwingine unaamua kuachana naye ili kuondoa maswali kwa sababu mwingine anataka akuulize ili akupime.
M >> unajua mtu kwa mfano mtu anataka kujua kipato chako wakati fulani anataka akupime ili akupime hivi wewe unapataje hela?
Ila sio lengo yake kwamba anataka kujifunza ah anataka akupimie kwa hiyo kwenye grupu groupu gani?
Sasa kama huyo unamjibu tu namna ambavyo unaweza ukamjibu ili mali mwachane naye kwa sababu ushajua malengo yake lakini kuna mtu unakuta for kuna kitu anakitafuta anatamani kujua kitu fulani unaweza ukafanya nini?
Ukamwambia lakini at the end of the day ni kwamba vitu vipo dunia inabadilika kama vile ambavyo leo wewe lini mara ya mwisho kubandika stempu kwenye barua.
>> Sijawahi hata.
>> Hujawahi hata.
Lakini hayo ndio yalikuwa mawasiliano miaka ya 90 mpaka 2000.
Ah kwako ana address inaenda kusoma kwenye parokia.
Hakuna huo utaratibu leo.
Maana yake mbinu zilizomsababisha mtu afanikiwe mwaka 2 ngapi?
Mwaka mwaka 2002 yawezekana leo 2026 ni vitu tofauti duniani.
Zamani watu walikuwa wanafikiri kwamba mpaka uwe tajiri lazima uwe mzee fulani mpaka mvi zimeanza kuota.
Kwa hiyo leo akiona kijana mdogo unasukuma mpira mkali kama hawaelewi hivi.
M hapana hii haiwezekani sawa.
>> Kuna kitu hakiko sawa.
Hapana dunia imebadilika.
Zamani ilikuwa mpaka umalize shule uende utafute ajira.
Siku hizi mwanafunzi yuko shuleni na anapiga hela.
Mwanafunzi mwalimu darasani yeye alikuwa anadonyaadonya tu hivi pa hapo yuko anauza tu pesa za kidigitali kaka hana muda na hela zinafanyaje?
Zinaingia.
Kwa hiyo dunia ishafanya nini?
Ishabadilika.
Kwa hiyo namna ambavyo jenzia anawaza jenzie haamini habari za kuamka asubuhi kwenda kazini.
yeye anaamka amepiga taulo anapiga mswaki huko anadonyaadonya kwenye simu ndio hivy ndio yuko anatengeneza deal kuna mwingine amekaa yeye yuko ndani tu lakini anaongea na simu muda wote movement za product zinatoka bidhaa inatoka sehemu moja inaenda sehemu nyingin haitaji tena yeye mara achukue aende akabandike na stepla abandike sijui sehemu aandike unaenda Mwanza atoke hapo apande boda boda aende kuusindikiza mbezumiza kichwa anajua tu Mwanza bidhaa ziko sehemu fulani anapiga tu simu naomba bidhaa muifunge weka tagi juu andika kitu fulani alafu delivery inaenda sehemu fulani mpatie boda boda iende mimi boda boda namlipa yeye hela ilishaingia kwenye simu yake muda mrefu anafanya transaction na anatengeneza nini pesa kwa hiyo mtu wa hivi ukimwangalia unaweza ukamuona tu kila siku huyu mbona hashindanga ndani tu hatumuoni akifanya kazi ah wewe ndio uko kwenye dunia ya zamani unataka kuiapply leo wakati dunia imefanya nini imebadilika wewe unawaza habari ya kufungua duka eneo moja mwenzako anaangalia how can i deal na masi ya watu volume anaangalia namna gani nauza Nairobi namna gani nauza Uganda wewe unawaza kuuza kariakua mwenzako anawaza Uganda Kenya tena sio Uganda pointi moja anawaza Uganda labda 15 points Kenya anawaza 30 points Tanzania hapa anawaza 50 points tofauti tofauti zote zinagenerate pesa kwenda kwake hamwezi mkingana katika fikra kwa hiyo dunia imebadilika tunaposema utandawazi utandawazi uko tofauti umekuja na mengi kwa hiyo unampatia mtu access aonekane maeneo mengi atengeneze pesa maeneo mengi wewe unasema wewe unakaa tu mtandaoni unauza sura mwenzako ndio biashara branding hiyo anavyokaa wewe unamuona anauza sura mwenzako ndio Bia biashara imetengenezwa.
aliniambia babangu mdogo haya mambo ya kijinga unakaa unaandika gari jina chenza jina kwanza lenyewe la sio la kwako la familia ulitakiwa utuite kama uko utuombe nikamwambia wewe mzee umezeeka vibaya eti sasa unaandika vile inakusaidia nini nikamwambia wewe tulia hiv huwezi elewa ile ni brand watu wakiangalia chenza waseme huyu chenza ni nani anapotafuta chenza ni nani mwisho wa siku atakapomuona ndio huyu anafanyanga nini swali la pili tayari kwenye kufanya nini utakapojibiwa swali kwamba chenza anauzanga supplement supplement ni nini ni virutubisho lisha ambavo vinawasaidia watu kuondokana na changamoto mbalimbali za kiafya.
Kwa hiyo kama mimi ambaye pingili tayari ushakuja kwenye nini tunavyopataka pingili zina bidhaa nayo okay naweza nikampata vipi namba yake si iko hapa ukiklik naongea chanza mwenyewe eh ndio mimi mimi hapa pingili ah tuna bidhaa nzuri ambayo inasaidia watu kuweza kuondoa matatizo ya pingili ah tayari nishafanya sales nishauza tayari nini kilianza jina lililopo kwenye nini kwenye gari wewe unasema ah mnauza sura kwa kuuza sura dunia sasa hivi anayeonekana sana na anayezungumzwa sana ndio mwenye chanzi kubwa ya kutengeneza hela wewe L kei utakaa lo ki hivyo hivyo na utatengeneza hela low ki hivo hivo.
>> Tukija kwenye ajira >> m >> let's say serikalini taas binafsi wanasema statistically like 1% tu ndio wanafikia mafanikio >> m >> na mafanikio yenyewe ni mshahara wa kuanzia average milioni tano.
Mh >> hiyo ndio wanaconsider kama huyu mtu >> m >> ah mpaka nafikiri kulipwa milioni tano amefanikiwa >> m >> na watu wengi naachukua average miaka 10 nikisema watu wengi kwenye kundi la hiyo 1% >> huyu kwenye biashara ni trick marketing mtu anaanza leo from scratch hajui chochote on average inaweza ikamhitaji kama muda gani >> inategemeana kinachojitamine sio muda kinachojitamine ni ufanyaji kazi wake kwa sababu kwenye network marketing unalipwa kulingana na kazi ulio fanya.
Yaani kwa mfano kama labda wewe na kampuni wamekuambia tutakulipa 10% ya kile ulichokifanya.
Kwa hiyo wewe ukiuzwa shilingi 4000 kwa mwezi utalipwa 10% ya shilingi 4000 ni shilingi ngapi?
4,000 10% 400.
>> Yes.
>> Utalipwa shilingi 400.
Sasa utapandik mbona 400 ndogo?
Ah ah unataka shilingi ngapi?
Nataka milioni 10.
Ah milioni 10% ya milioni 10 maanake milioni 100 >> m >> kafanye sal za milioni 100 ukifanya milioni 100 yako iko pale.
Kwa hiyo hivyo ndivyo jinsi ilivyo.
Kwa hiyo kinachopima sio sio nani?
Si muda ulioutumia ila namna unavyofanya kazi.
Ndio maana mimi leo kwa mfano mimi leo kwa mfano kila kitu kikapotea nikabaki hivi na knowledge nilizo navyo alafu nikaambiwa anza upya kuwa hapa nilipo >> itanichukua si chini ya miaka mingapi?
>> Mitatu.
>> Mitatu.
tena nitazidi zaidi.
Kwa nini?
Kwa sababu ninajua ujenzi wa timu.
Ninajua namna ninavyotengeneza biashara.
Ninajua ninavyojenga biashara.
Nina mtazamo sahihi.
Ninafahamu namna ya kutrain watu.
Ninajua kuwatengenezia watu mtazamo sahihi.
Kwa hiyo ni vitu ambavyo vitakavyokuwa nafanya nafanya with experience.
Kwa hiyo ninakwenda ninaanza ninajenga.
Kwa hiyo wakati mwingine natembea mimi nitakuwa na movement.
Yaani kiasi kwamba ndani ya ule mwezi wa ngapi?
>> M >> wa kwanza tayari nishatengeneza foundation ya kufa mtu.
Nikienda miezi sita ya kwanza nimeshatengeneza foundation ambayo tayari hela inanipa lakini sitaangalia hela.
Nitakuwa naangalia namnavyotengeneza watu sahihi.
Brother miaka mitatu ni hatari kwa ho nimefanya kitu kikubwa sana kwa sababu yaani mimi nitakuwa nashinda.
Yaani si unafahamu ratiba za ndege >> kuna sehemu mikoa ya ndege inaenda mara ngapi?
>> M >> mara mbili basi mimi natembea nazo.
Eh.
Yaani inanipeleka asubuhi mchana ninavyorudi nakuja nayo sehemu nyingine.
Nishamaliza tayari.
Yaani maanake masaa mawili mawili kila sehemu nimepiga itakuwa ni hatari sana.
Nitajipa miaka mitatu nikipiga miaka mitatu nikimaliza sifanyi kazi tena hilo ni hela zinafanya zinaflow hivi.
>> Mnachokifanya sana ni sales of course.
>> Na wanasema kwamba dunia sasa hivi kila kitu ni sales.
>> Kila kitu.
>> Yaani hata kumconvince tu girlfriend akupende inabidi >> ufanye sales ya kutosha.
Lazima uuze >> vitu gani wewe hu unaviangalia pale unapoenda sehemu kufanya sales >> napeleka nauza vali mimi huwa siuzi product mimi nauza value zamani.
Nini utapata ukipata kile kitu?
Watu wengi wanauza vitu na ndio maana watu wengi wamekariri bei kwa bei ya punguzo bei ya chini watu hawanunui kwa sababu vitu vya bei ya chini watu wananunua kwa sababu wameona value.
Kwa hiyo mimi najua namna ya kupeleka nini thamani kwa hiyo mimi nitapresent value nitaeleza value ya kile kitu nitaeleza utapata nini kwenye kile kitu nafanya sales na ndio maana wanasema sales kila mtu anafanya lakini uwezo mzuri wa kufanya sales ndio kitu ambacho dunia nzima inakitafuta ila watu hawapo leo wewe ukiwa na uwezo mkubwa wa kufanya sales ndio una uwezo mkubwa wa kutengeneza nini pesa na ndio maana kuna skills ambayo mtu yeyote anatakiwa awe nazo kwa lazima kama anataka kufanikiwa kwenye hii nini dunia mojawapo ni sales Huwezi kuikwepa hayo mambo sijui najua sijui komputa sijui nini sawa lakini mwisho wa siku ujue nini sales ukijua sales you will never die poa >> skills gani nyingine kwenye kwenye hizo skills ambazo mtu yaani dunia sasa hivi figure huwa lazima awe nayo >> emotional intelligence muhimu sana dunia ya leo ina disappointment nyingi kuna mtu tu anaamua yaani anaamka asubuhi kuna mtu kama mijako yaani yeye ni kukuvuruga tu yaani yeye yeye kuongea positive attack yaani yeye anakuataki negative ya kuvuruga ya kutoa kwenye nini You have to be struggle.
Kwa hiyo unapokuwa strong pale wewe sasa emotional intelligent kujua watu hivyo vitu vya muhimu.
AI dunia sasa hivi huwezi kuishi bila nini?
AI unatakiwa ujue vitu vidogo vidogo kuhusu AI.
Unaweza ukaenda sehemu ukatia aibu kwa sababu ya vitu vidogo huvijui.
Kuna taarifa nyepesi ambazo unatakiwa uwe nazo.
Unaweza ukaulizwa sehemu ukabaki umeumbuka kumbeuliza AI ungepata majibu ya nini?
Ya chapo.
At least ujue basic kutumia nini?
AI.
Lakini soft skills zingine unatakiwa ujue ujue atakuendesha gari.
Usiishi kama nani miaka ishabadilika hii.
Dunia yenyewe ya sasa hivi unaweza ukaenda sehemu tu ukaambiwa uende sehemu unatakiwa uende ukafanye sales sehemu.
Ukifika una haya gari unajiendesha mwenyewe unaenda.
Sasa unakosa hata leseni ndugu yangu wewe na me tofauti yenu ni nini?
We kuna vitu soft skills zile unatakiwa ufanye >> uwe nazo >> uwe nazo ujue namna ya kupresent kueleweka.
Sio unaongea kujibu unaongea unafanya nini ujue kujenga hoja.
Hivyo ni vitu vya kawaida ambavyo kwa dunia ya leo mtu anatakiwa afine awe na communication skills ujue namna ya communication kucommunicate.
Unapokutana na tajiri useme nini sio uanze kuomba hela tena kutana na tajiri unambia sasa mkuu nitoe basi unashusha value unaweza kuona huyu takataka tena mmemtoa wapi huyu kwa hiyo unatakiwa at least ujue namna ya kufanya nini ya kujua hiyo communication ni nini skills.
Hivyo ni vitu vya kawaida ambavyo mtu kwa dunia ya leo anatakiwa afanye nini?
Avijue.
Ujue positioning.
Ujue kujiposition.
ujue baadhi ya vitu vya protocol unapokutana na kiongozi uweje uakti vipi unakutana na kiongozi sasa unaona unataka umfanye sasa kiongozi aonekane kama hamna kitu ila wewe ndio kitu unajua sasa nani kuna sehemu utashindwa kupata deal za maana kwa sababu umekosa adabu unaelewa lazima ujue kutii mamlaka kuna baadhi ya vitu yaani ni soft skills ambazo mtu anatakiwa afanye nini kwa dunia ya leo ni muhimu sana vitu kama hivyo hatupati nafasi ya kuvisoma shule mtu anapata wapi kujifunza kwa sababu kiuhalisia M >> ah let's say kama wewe unatumia messji na watu wengi umesema swala communication skills ndio kutumia tu hello >> mh >> kesho au kukuambia mambo >> mambo >> yaani mtu sasa atajifunza kwa sababu mtu akiwa anafanya hivyo haoni yaani hafanyi ile kwamba okay ngoja sasa nilete myyush hapana yeye anakuona tu kwamba >> hiki nachokifanya ni sawa yaani natakiwa tu >> hivi vitu havifundishwi shuleni lakini vinafundishwa maeneo mengi unajua uzuri wa sasa hivi dunia sasa hivi taarifa ni nyingi mno No ila wewe ndio unachagua upate taarifa zibi jifunze hiyo vitu yaani kwa mfano kama hii podcast tayari inaweza ikawa nini ni shule kwa mikro fulani kuna mtu mwingine vitu ambavyo nimeviment hapa amevichukua pembeni ameenda alafu anaenda kufanya nini fanyia >> ndio transformation tayari iko hapo ndio umeshajifunza hiv kwa hiyo usijui ukafikiri kwamba eti utaenda ukawa sijui utaenda kusoma kozi wapi ndio hivi unajifunza unajifunza kutokana na vitu vingine unaenda kuwatafuta wale watu ambao unatamani ujifunze kutoka kwao unajifunza uzuri wa watu wengi siku hizi wamekuwa sio wachoyo wa maarifa watu wana akaunti zao YouTube wanafundisha kuhusu financial literacy wanafundisha namna sijui ya pesa matumizi unajifunza kwao jifunze tenga muda wa kujifunza hii dunia hautokaa ukae pekee yako tu ufanye hivi rano unajifunza unaapply unajifunza unaapply kwa hiyo ni wewe tu kuwa tayari kujifunza na kuwa open minded ila kama kikombe chako kimejaa kwa kweli hamna kitakachoingia kwa hiyo mwaga tu kilichopo kwenye kikombe uache kikombe kiwe empte uruhusu baadhi ya vitu ambavyo unavihitaji vifanye nini viingie kutoka kwa watu genuine ambao unawaamini >> hiyo unakubaliana na we 100 na hiyo hata ndio sababu tuko hapa tunafanya haya mazungumzo kwa sababu mtu yeyote serious tokea tumeanza haya mazungumzo mpaka sasa hivi lazima umondoka na vitu vingi sana ambavyo anajua hiki nitaenda kukiapply na kwa namna moja au nyingine lazima kinitoe sehemu moja kunipeleka sehemu nyingine.
>> Yeah.
Of course changamoto kubwa ni kwamba watu wengi wanasikiliza vitu kama entertainment >> kwamba nisikie tu nini alafu mwisho wa siku >> naenda kuendelea na maisha yangu kama siku zote which inakuwa ni changamoto kubwa sana lakini mtu akitake serious kuna lot of information ambazo zweza kapata vitu vingi kuliko hata shule kuliko popote >> exactly >> hapa hapa online >> kabisa online ndio darasa ndio mwalimu mkuu siku hizi wa dunia kwa hiyo ni wewe tu kujiposition na kuamua mimi nachukua material hizi unazichukua by the way haviwezi kuwa na watu wengi kwa sababu vitu vyote ambavyo vinajenga watu havinanga mhemko kihisia na watu wengi wanapenda vitu vinavyolisha hisia zaidi.
Haya tunayoyazungumza hapa yanalisha ubongo.
Sasa lazima uwe mtu ambaye tayari uko tayari kulisha nini?
Ubongo.
Lakini kama uko kulisha hisia hapa hakuna entertainment hata moja ambayo inaweza ikakufurahisha.
Ila ina vitu vingi sana ambavyo ni vya kujifunza.
Kwa hiyo wewe ambayo unajifunza utapata vitu vya kujifunza.
Lakini wewe unayetaka burudani hapa burudani hakuna.
ila kwenye burudani huko ndio unakuta mpaka trending pale zinaingia ila vya education hivi haviingiangi trending >> of course na watu wengi unakuta hata wana uwezo wa kufanya vitu vya watu kujifunza ila kutokana tu na the fact kwamba wanajua watu hawataki kujifunza watu wanachokitaka ni burudani >> na wanaamua kwenda huko huko kwenye burudani kwa sababu wanajua ndio >> ndicho watu wanachokipenda >> ndio kitu wanakipenda tukija kwenye kuumalizia >> una kitu gani cha kumwambia mtu ambaye ambaye amesikiliza haya yote kuanzia mwanzo mpaka tulipofika arudi alipokuwa mtoto mtu yeyote arudi alipokuwa mtoto akaandike vile vitu alivyotamani kuvifanya akiwa nini mtoto.
Alafu arudi akiwa sasa alafu aniambie ajiambie naacha ujinga nafanya nilivyokuwa nawaza akavifanya vitu alivyokuwa anawaza akiwa mtoto atakuwa ni untouchable.
Wengi unakuta wakati yuko mtoto na ambapo yupo sasa hivi anaona kabisa wakati niko mtoto nilikuwa naelekea Dodoma >> m >> ila sasa hivi nishafika Vikindu >> mh >> anarudije kwenye mstari?
>> Ah nasema hivyo kwa nini watoto hawananga doubt kwenye belief >> hawananga doubt.
Yaani yeye anachokiamini ni hicho hicho.
Watoto yeyote ana nitakuwa na magari mengi uwanjani nitakuwa na nyumba likubwa lenye vyumba 30 sijui watoto ndivyo wanavyowezanga nitakuwa na wake wanne ndani nitakuwa na wafanyakazi 30 sasa kilichokubadilisha hayo mawazo ni nini?
Ni jamii.
Sasa rudi kwenye akili zako za kitu utafanya hivana kabisa alafu ndio utaenjoy hapo ndio maana ya maisha inafanyaje inakuja.
Kwa hiyo mimi haijalishi uliota nini hayo uliyoyota ukiwa mtoto katika imani ya utoto ya kuamini vitu ambavyo uliviamini kwamba mimi nitakuwa hivi na hivi na hivi kabla dunia haijakukoroga.
Sasa achana na dunia ilivyokoroga rudi kwenye utoto pale alafu pale pale ndio fanya mambo yanawezekana.
Vipo vitu ambavyo utaviaadjust ambavyo utavibadilisha lakini imani yako na ndoto zako zisibadilike kwa sababu ndoto ni final ya vyote vilivyopo ila plani huwa inakuja.
Kwa hiyo watu tunabadilisha plani kuwa ndoto wakati ndoto zinatakiwa ziwepo alafu plani ikupeleke kukamilisha nini?
Ndoto nachokizungumzia sio plani.
Ndoto sio kuwa daktari.
Ndoto ni aina ya maisha unayotaka kufanya kuyaishi.
Ila utapataje sasa plani ndio ulikuwa daktari sasa ndio ulikuwa unawaza wewe.
Sasa turudi kwenye ndoto ambazo ulikuwa unawaza.
Nataka kuwa na lijumba likubwa lenye vyumba 30.
Ehe hilo lijumba kalitafute.
Nataka kuwa na magari 40.
Ehe hapo hapo anyagia.
Nataka kuwa na ng'ombe sijui 300.
Safi twende kwa ho hivyo vitu ambavyo ulikuwa unavyoza ukiwa mtoto vitekeleze sasa hivi inawezekana na hakuna mtu mwingine wa kuvitekeleza na usivovitekeleza ni wewe ndio umeacha kuvitekeleza lakini vilikuwa vinawezekana na Mungu alikupatia kila kitu kinachoweza kutekeleza.
>> Asante sana brother Chinenza.
Umeshare vitu vingi sana vitu ambavyo mimi mwenyewe nimeweza kujifunza.
Naamini kila mtu anayevangalia hii episode atakuwa amejifunza vitu vingi sana.
Asante sana >> kwa ndugu mtazamaji.
Cha kwanza tunashukuru sana kwa kutazama mpaka hapa mwisho.
Hii inaonyesha kwamba namna gani tunachokifanya kimekuwa very meaningful kwa sababu singefika hapa mwisho ungeishia dakika ya kwanza that means tichokifanya kingekuwa sio kitu cha msingi.
We umefika hapa kwa sababu kuna a lot of values mwanzo mpaka mwisho ambazo zimekufanya ukashindwa kuskip na kuendelea na vitu vingine.
Kwa hiyo hicho ni kitu kikubwa na kitu pekee ambacho tutakuahidi kwenye hicho ni kuendelea kuprovide values kwako consistently.
Na kitu ambacho ningependa nikuache nacho ni kwamba juu ya haya yote ambayo tumeyazungumza tupe commenti yako hapa.
Lakini cha zaidi kama una swali lingine ambalo sijaliuliza kwenye haya maswali naomba liweke hapa kwenye comments.
Utaweza kupata nafasi ya kufanya part two kama utarequest na utaweka maswali yako hapa.
na tutaenda kwenye hayo maswali tutapata majibu mengi zaidi.
Asante sana.
See you next Hai