What happened?
>> It was a big mess.
Yaani kutoka hiyo 750 the time ambayo nimetoka nimetoka daa nafikia Nairobi na kama iku kilikuwa kiko heated kwa sababu that time rais alikuwa Magufuli [muziki] mpaka yaani yeye ndio alikiongea na akampa maagizo that time alikuwa Paondo ndio ikaanza ile sasa kuuzauza magari na nini.
So the thing ni kwamba tulivyoanza kuuza magari ah investors kwamba this guy saasa hivi hana hela ameanza kuuza magari kwa hiyo frustration zikaanza kwa wale investors ndio mtu anakuja okay basi bana m naomba tu hela yangu biashara iishie tu hapa kama the other guy aliniambia yaani ilitakiwa yaani nikikuona nimefanya kitu kibaya sana lakini nimekuona anuonea huruma Nafikiri kuna the other day niliendanga benki huyo meneja akawa ameniita akaniambia kwamba tulikuwa tumeona kwenye akaunti yako kuna kama transaction zinaingia na kutoka kama nafikiri ilikuwa kama 1.7 7 billion vitu gani ambavyo ulivifanya unasema ah hivi ilikuwa sio mimi hizi zilikuwa ni pesa hizi Najiona kama narudi lakini it's it's [muziki] a way down yaani it keeps going down.
Karibu kwenye another season ya Let's Impact Millions Podcast.
Seoni hii itakuwa tofauti kidogo.
Season iliyopita mostly ilikuwa imebase kwa upande wa traders.
Lakini sezoni hii tutachanganya traders na wafanyabiashara wengine.
Lengo kubwa la podcasti hii ni ili wewe mtazamaji wetu uweze kujifunza in details biashara zinafanyika vipi.
Uweze kujifunza kwa wafanyabiashara kupitia namna gani wanagenerate ideas.
namna gani wanaanzisha biashara, namna gani wanaweza kuhendle hizo biashara na vitu vingine vingi sana.
Na leo tuna very special guest public figure mtu ambaye anajulikana mtu yeyote anayefanya financial market trading hususan forex markets anamjua huyu mtu.
Sasa singependa kumtambulisha zaidi ningependa aweze kujitambulisha mwenyewe.
Karibu sana brother.
>> Asante kaka.
Mimi kwa wale ambao wananisikia kwa mara ya kwanza kwa majina yanaitwa Francisco Magnetics au Magnetics watu wengi wamekuwa wamenizoea hivo wengine MG.
So nafikiri ah Francisco Magnetics ukitaja moja kwa moja linakuwa liko lina mahusiano moja kwa moja na trading trading forex kwa sababu ni collision ya hilo name limekuja kutokana na the industry.
So nimekuwa kwenye industry almost sasa hivi ni mwaka wa 10 toka mwaka 2016.
Yeah.
Nafikiri kwa kifupi huo ndio utambulisha.
>> [muziki] >> Ilikuwa vipi ukaingia kwenye hii biashara ya forex trading na si biashara nyingine yoyote?
Kipindi hiko 2015 haikuwepo kama ambavyo forex iko sasa hivi kwamba unajua [muziki] kuna kipindi tulikuwa tunasema katika kila nyumba 10 ukipita dawa nyumba tatu huwezi kumkosa trader imefika kwa ukubwa huo Lakini kwa kipindi hicho ilikuwa ni biashara mpya kabisa.
Kwa hiyo sio sio publicity au labda anyone ambaye ulikuwa tunamuona kama labda ni sociales ambaye yupo kwenye mitandao ndio tulikuwa tunatuona tulikuwa tunamuona na kusema kwamba tunamwangalia mtu huyu au huyu ndio anatuinspire that time.
So mi ch nimesoma IT na kipindi tunasoma IT tulikuwa tunajaribu vitu mbalimbali applications au [muziki] ah vitu ambavyo tunaweza tukavifanya ambavyo vinaweza nje kwenye kile kitu tunachokisoma [muziki] aswafuta opportunity mbalimbali.
So one of our friend akawa ameshare the forex trading kwa kipindi hiko ambayo ilikuwa ni kubwa sana South Africa 2015.
Kwa hiyo baada ya kushare naye alishare tu kwamba kuna biashara iko hivi ah inafanyika sana na vijana ambao ndio vijana kwenye social media ukiangalia kipindi hicho Instagram unawaona nafikiri mtu ambaye alikuwa ni biggest ana namba kubwa zaidi alikuwa ni Sandel Shaz.
So alikuwa alikuwa yuko featured mpaka fobs at that time.
Kwa hiyo kwenda kusoma historia yake naye alikuwa alikuwa amezungumzia historia yake kwamba ametoka tu kwenye maisha ya kawaida aliifahamu biashara akiwa yuko chuo na nini.
Kwa hiyo tuliona ilikuwa inarelate sana na ile eneo ambayo sisi tulikuwepo at that time.
Kwa hiyo tukasema let's give it a try.
Kitu ambacho kimenijia kilini wakati unazungumza hayo ni kwamba watu wengi wanaenda chuo mpaka wanamaliza hawajakutana na fursa yoyote au kitu ambacho wanasema okay hii ni biashara let's give a try.
kuna utofauti gani mkubwa kati yako na hawa watu wengine wengi yaani kwa kuna advantage gani ambayo ilikupelekea mpaka kwenye that opportunity?
>> Ah nafikiri ah utofauti kwa sisi mfano mimi nimesoma IT ah na tulikuwa tunaamini tulikuwa tunasoma kwamba IT haiwezi kutupa uigo mkubwa wa ajira hata tukitoka pale hasa kwa watu ambao um ah kwa wale watu ambao tulikuwa tunaangalia labda ni mabrother na nini au labda opportunities za nafasi ya AT sio kubwa mfano labda kama mtu ambaye anasomea alimu obvious moja kwa moja huyu anahitaji huwezi ukamaliza digree ya walimu alafu ukasema nafungua shule ndio obvious lazima utaanza kwenye ajira lakini aina ya kozi ambayo tulikuwa tunasoma tulikuwa tumeshaona mwisho wa hapa chuo eh wigo wa sisi kuingia kwenye ajira moja kwa moja ni mdogo sana kwa hiyo ni lazima sisi tu at that time tukiwa tuko chuo tufikirie [muziki] kitu ambacho aidha tutakifanya tukiwa hapo chuo au baada ya kutoka chuo basi tujue tutapita njia fulani.
Ikitokea ajira zimekuja it's [muziki] good lakini sisi pia tuwe tumefight kwa upande fulani nafikiri labda tofauti inaweza ikawa ni hapo.
>> Na unajua mtu ukiwa unafikiria kuanza biashara kuna zile biashara nyingi ambazo zimezoeleka yaani najulikana kabisa labda kuna mtu anauza nguo anauza simu anauza nini kwenye mazingira ambayo mtu upo.
Sasa inakuwa ni ngumu kiasi gani kufanya maamuzi ya kuingia kwenye biashara ambayo hamna mtu anaielewa probably marafiki, wazazi, watu wa karibu inakuwa very challenging.
Hiyo kwa upande wako ilikuwa vipi?
>> Mimi naweza nikasema pia pressure ilinisaidia in positive way.
Ah nakumbuka wakati tuko chuo one of one of my friend alikuwa na anaamini sana kwenye innovatives.
Yaani kwanza alikuwa naem yake anajiita genius kwamba yeye ni mtu ambaye anawaza vitu ambavyo watu wengine hawafikirii.
And then alikuwa anaamini sana katika innovation.
Kwa hiyo hata mkizungumzia opportunity za biashara ukimwambia biashara fulani hii inafanyika sana.
Mim nataka kuja na kitu changu very genius kitu cha [muziki] tofauti na nini.
Kwa hiyo sasa wakati ana huo mtazamo ulikuwa pia unasambaa kwa sisi kwa mfano kwangu mimi sio kitu ambacho nilikuwa nafikiria kwamba nifanye kitu ambacho ni innovative au kitu cha kipekee na nilikuwa najua tu kama biashara nyingine zinazofanyika au ambazo nazijua au tunaita traditional business.
Kwa hiyo ile kuwa kuwa karibu na mtu ambaye alikuwa na mindset ya namna hiyo ikafanya na mimi sasa nianze kuangalia [muziki] business opportunity kwa kitu cha pekee.
And the good thing yeye pia ndio ambaye alikuwa ameleta hiyo hiyo forex kwamba hichi kitu kwanza Tanzania ni kigeni au hakipo kabisa kwa h kama sisi tuna rolling kama watu wa kwanza kabisa ina maana sisi ndio tuna opportunity kabisa ya kuwa at the top nafikiri hata hiyo ilikuwa ni one kitu alikiaf na baadaye kikaja kikatokea >> na kwenye kuona kwamba kuna South Africa wanafanya kama kina Sandile na at that time wanaonyesha maisha kwamba wamekuwa very successful wakiwa vijana wadogo kabisa kabisa inakufanya mtu uweze kuona kwamba okay hii biashara upside potential yake reference ile pale unaona kwa sa huyu alianza kama mimi chuo and everything zile expectation ukiingia kwenye biashara zinakuwaje yaani kwa kweli kuwa vipi >> advantage moja nafikiri at that time wakati tuko chuo kwanza tulikuwa hatuna pressure kwa sababu bado tupo kwenye tunaita ile care ya mzazi kazi bado utapiga simu utaomba hela kitu fulani utafanya nini tofauti na ile ukiwa sasa unajifunza forex huko mtaani unajitegemea kwa hiyo sisi tulikuwa hatupo kwenye presha kwamba lazima tupate hela na approach nafikiri approach nzuri kabisa ambayo sisi tulikuwa tulikuwa tumeifikiria au ambayo tuliingia nayo kwenye trading [muziki] ilikuwa ni kwamba hawa watu wanamiliki Gwagon kama Sandile alikuwa anatembea anatembea na chopa [muziki] very fresh lifestyle.
Sisi hatukwenda focus kabisa na sisi tunataka maisha.
Ilikuwa anafanyaje kupata hivi vitu.
The difference ndio ilikuwa hapo.
Kwa hiyo anafanyaje kufanya hivi vitu?
Ndio tukaja tukajua kwamba you need to learn this business.
Unatakiwa uielewe inafanyikaje.
Kwa hiyo sisi our co approach kabisa ilikuwa ni kwamba we want to [muziki] know the in and out ya hiki kitu.
Kabla hatujaanza kukifanya tujue in and out.
Tunafanyaje?
Huyu jamaa amefikaje hapa alipofanya hii biashara inafanyaje kazi.
Ndio maana uspend almost six months kwa ajili tu ya information.
[muziki] Ah advantage ni kwamba tulikuwa tulifahamu vitu vingi sana na disadvantage ni kwamba ukiwa hauna hauna hauna structure ya kitu ambacho unajifunza obviously pia utakuwa unachukua matakataka mengi.
Kwa hiyo mwisho wa siku in those months tulikuwa tuna vitu vingi sana ninavyovijua.
Kwa hiyo hatujui sasa au kwa which order ndio natakiwa mtu aanze aanze kufanya.
Lakini ah nakumbuka one of a friend alikuanga anatuambia sasa hivi nafikiri hatutaweza kuwa matreder ila tutakuwa wanaharakati ambao tunajua forex kwamba tuna vitu vingi tunavifahamu lakini there is no execution.
ila bahati nzuri nafikiri wakati sisi tukiwa tupo kwenye hiyo process this one guy that time ndio alikuwa naye ndio ameanza sasa kuprovide ah kuprovide training kwa hapa Tanzania kwa hitwa kali academia yake ilikuwa inaitwa da forex kwa hiyo na [muziki] among the first guys ami walikuwa wanafanya hiyo na jamaa walikuwa anafanya kazi benki kwa hiyo nahisi alikuwa amepata information huko kwa sababu tu ya exposure na nini alivyof kufika ndio akawa ameandaa hiyo kozi yake and then cause kwa that time alikuwa anafikiri anafundisha kwa milioni moja or something ambao sasa siku ya maisha ya chuo almost hiyo ndio ada yako ya mwaka kwa hiyo alafu huwezi kwenda kumwambia mzazi kuna kitu fulani nataka kwenda kusoma na nini kwa hiyo sasa sisi the approach mfano mimi baada ya kupata access ya kali nilikuwa ni yule mtu nilivyoseave tu namba yake nikamtext nikamuuliza na namba yangu akaisave.
Kwa hiyo nilivyosav nilikuwa naona status.
Kwa hiyo advantage iliyokuwepo ni kwamba mimi tayari nina taarifa nyingi sana ambazo nazifahamu.
Kwa hiyo akikiongea kitu fulani mimi naenda namuuliza kuna kitu moja mbili tatu hivi hivi hivi hivi na hivi hivi hivi hivi hivi na hivi.
Kwa hiyo akawa ananiona akaniuliza kwani wewe umeijua lini hii biashara?
Akamwambia nina kama miezi kadhaa hivi umeshaanza kutrade?
Nikamwambia bado sijafungua hata akaunti za nini.
akaniambia uko wapi mimi nimesoma chuo ruaa ruko iringa kwa hiyo nikamambia niko iringa akaniambia ah kuna kuna semina fulani nilikuwa nataka kufanya next month naifanya hapa daa ila you are very useful ila [muziki] tatizo upo mkoani unaona na mimi nikasema ya that the challenge niko niko mkoani nikarudi kuwaambia washikaji zangu bana ah nilikuwa naongea na kali hapa akaniambia ana semina fani ila changamoto tuko mkoani akaniambia akaniambia hiyo sio changamoto yaani is opportunity yaani hapa hapa Iringa mpaka daa ni masaa sita tu masaa nane that is not a challenge kwa hiyo wewe mwambie sisi tutakuja uko na washikaji zako tutakuja nikamfuata nikamambia niko na na washikaji zangu ah na tunaweza tukamake kwenye hii akaniambia kama mnaweza mkamake poa kwa sababu nilikuwa naandaa hiyo semina kuna watu ambao nitaka wanisaidie alafu kuna watu ambao nitataka wafanye kama ah the opening the opening ya hiyo ya hiyo seminar.
So kwa insight au kwa hizo information ambazo tayari uko nazo nafikiri utanifaa kwa sababu sina mtu hapa da ambaye najua anaweza akawa anaweza akafanya hiyo opportunity.
Kwa hiyo ah mimi nikamwambia sawa inawezekana lakini nilikuwa namwamini sana mshikaji wangu mwingine.
Kwa hiyo nikamwambia kuna opportunity ya kufika pale ya kuwa kama opening [muziki] speaker kwenye hiyo semina.
Kwa hiyo nafikiri wewe itafaa kama wewe utaenda utafanya.
So the thing ni kwamba wao ndio wakaniambia kwamba wewe ndio utaweza kuongea.
Yaani kati ya sisi wote ndio utaweza kuongea kwa sababu we trust on you.
Kwa hiyo sasa ndio tukaanza kufanya zile practice kwamba ile tumekaa hostel wamekaa vitandani mimi ndio nimesimama pale naanza kufanya practice.
Ndio kama nipo kwenye semina.
Kwa hiyo tukarise nauli na uzuri accommodation.
at that time tuna tuna ndugu wako daa kwa sababu mimi familia that time ilikuwa pia iko Iringa kwa hiyo daa nina ndugu tu labda bro au labda kwa aunti kwa mama [muziki] mkubwa na nini kwa hiyo nikaongea na bro wangu alikuwa anasoma sa joseph nikaje kwa hiyo nilivofika ndio the first time sasa baada ya kukutana [muziki] na kari ah tulikutana na kari kama siku tatu kabla kwa hiyo baada ya kufika sasa ndio akawa ananipa insight kwamba hii vitu vina akatupa ile structure sasa kozi yake jinsi jinsi jinsi ilivyo na ikawa like the good starting point.
>> Uliweza kuwa speaker kwenye that events.
>> Sasa speaker haikuhappen.
Haiko happen kwa sababu [muziki] nafikiri maandalizi ya ile event yake hayakuwa na I don't know pia kwa sababu ilikuwa ni kitu kipya kwa ho kilichotokea ni kwamba few people walikuwa wamekuja kwa hiyo kilichofanyika ni na walikuwa wamekuja kwa sababu wanamfahamu yeye Kari.
Kwa hiyo ikawa ni kama some sort of meeting tu fulani kwamba mnakaa mnaulizana maswali hivi na hivi haikuwa like ni event ile ya speaker to audience.
Ah okay.
Maana hapo nilikuwa ashaanza kuwaza kwamba ah mtu anaweza kwienda kuzungumza na hajaanza bado kufanya execution kwa bado utakutana na maswali na vitu ambavyo >> vitu mbele >> time pia hata pia matumizi ya platform ilikuwa bado um so the fun thing um kulikuwa kuna baadhi ya magroup ya traders [muziki] telegram kipindi hiko kulikuwa kuna hilo groupu moja linaitwa forex traders [muziki] ambao nafikiri traders wengi sana ambao sasa hivi wameshakuwa mentor wamekuwa nini [muziki] yaani mle ndio tulikuwa tumeanza kama mabigina yaani kama groupu lilikuwa lina mpaka watu 2000 nafikiri yaani nafikiria ndio grupu moja la watu wa mwanzo kabisa lafx triling kukaa na watu 2000 na ah watu wengi sana ambao nawafahamu wakaja kuwa matraders wakubwa ndio mle tulikutana kama mabeginers tu wote [muziki] yaani hivo kwa hiyo unakuta huyu mtu ana kitu fulani amekikuta mahali anakileta mle huyu anakileta mle [muziki] first ilikuwa tu vile kwamba mnajua kitabu hiki sijui kuna kitabu hiki so zile discussion ambazo zilikuwa zinaendelea [muziki] at that time nafikiri pia hata unit ilikuwa ipo kwa sababu kulikuwa hakuna mgongano wa masl kwamba wote mnataka kufahamu hichi kitu ambacho kinafanyika kwa hiyo through that group pia nikawa pia najifunza mambo mengine yanatokea.
ikatokea sasa ah ujuaji wa platform za kutradia.
So kuna mtu akaja akasema kuna platform kama MT4 na MT5 ila kuna mtu anaziuza m >> ambazo hizo ziko ziko up store na na nani na na Play Store.
akasema kuna mtu anaziuza sijui 450 something at that time huyu jamaa alikuwa sijui ni msuth africa kwa hiyo kuna watu walienda walinunua hizo app ah nafikiri hata mimi pia au sisi tungenunua lakini at that time tulikuwa tuna access ya hiyo hela kwa hiyo mara nyingi sana sasa tulichokuwa tunifanya kwenye kile group kama kuna mtu amesha ana access ya kununua au kunani akishakinunua anakuja anashare unaona sasa um yeye alivyoenda kununua ile app akatumiwa kwa sababu alikuwa anatumia Android akatumiwa kwa mfumo APK zile as a file ambayo iko compressed.
Sa alivyotumia ule as a file sisi tume sisi tulikuwa tumesoma IT.
kwa ho alivyoituma one of akasema lakini hii hapa ni compressed file ambayo ni up ah tukajaribu kuinstall kwenye simu ikakaa ilivyokaa kwenye simu ndio yeye akawa anaangalia pia kwenye play store kwani hii inaweza isiwepo kwenda kwenye play store ipo ndio akaja sasa kwenye group hii sio wapi ya ya kununua ipo ipo store na nini kwa hiyo ilikuwa ni new information lakini kuna watu wana insight kwenye sehemu sehemu fulani kwa >> distance ya kutoka kwenye mchakato wa kujifunza mpaka kuona na naanza kuwa profitable trader ilikuwa vipi?
>> Mchakato ni mrefu kidogo ambao una una ups and down.
Lakini at that time sisi tulikuwa resilience kwamba hiki kitu tunatakiwa tukifahamu.
Yaani tulikuwa tumeona ile miezi nane sita ya kujifunza alafu mwisho wa siku hichi kitu uje ukiache tu hivi ni kama wasting of time.
Yaani kwa tunahisi kama unataka kugive up kwenye sehemu ambayo ndio vitu vinaanza kuhappen.
Kwa hiyo tulikuwa tunaamini tayari tuna information za kutosha kuhusu kufanya biashara.
ila tulivyoanza kutrade sasa ndio tukajua kwamba zile information zote zile it's a good starting [muziki] lakini hapo utakavyoanza kutrade little money psychology inavyoanza kuingia that's a big challenges [muziki] kwa sababu pale ndio ilikuwa tunaraise at that time tuko chuo kwa hiyo utampigia [muziki] tu mzazi utampiga kibomu cha aina yoyote moja mbili tatu anaweza akatuma labda huyu akatumia 50,000 huyu akatumia labda 30,000 huyu akatumia 20,000 ikipatikana na tunakupa amriali ya Try i nao sisi tunasubiri feedback tuko na demu kwa hiyo utaenda utaenda unachoma tunarudi tena kwa wazazi vibom vibom ikipatikana hela mimi ndio napewa napewa the try so mimi nafikiri nilikuwa nina ile kitu ambacho kilinisaidia mwanzoni ilikuwa [muziki] ni disciplin ilikuwa ni ile discipline ya ku ya kumake sure kwamba kwanza situmii lot size kubwa kubwa ya kwa sababu kuna kuna kitabu kimoja cha risk reward kwa hiyo kinafundisha kwamba mistake kubwa watu wanaofanya ni kwenye psychology na psychology ni tamaa na grid grid na i mean tamaa na na hofu grid and fear after one losing trade ego yako inashuka after one winning trade ego inapanda kwa hiyo ukiweza kuweka balance ya hivyo vitu tu it will help you.
Kwa hiyo kile ni kitabu ambacho nilikuwa nikishare na washikaji zangu wanaona hichi kiusiki chochote na technical yaani kwa hiyo hizo ni story kwa hiyo hilo ndio ilikuwa imenisaidia kwa hiyo mimi nilivyopewa ile the first 50 deposit ambayo tulikuwa tumedeposit haikutengeneza faida ila ilistay for a very long time like ilikuwa unampa mtu ana siku tatu siku nne ameichoma lakini mimi that 50 ilikuwa napanda profit ya 52 narudi mpaka 47 naanza kuipandisha tena ile 47 kufika mpaka 50 alafu [muziki] natulia kwanza unajua kwa hiyo ilistay for a very long time so nikajanga kujua kwamba kwa mtaji mdogo sio sio mtaji kwa ajili ya kutajirika au 100 200 haiwezi kukubadilishia maisha ila kwa mtu ambaye anaanza hicho kiasi kama kinatumika zaidi kukupa experience ya market like how things going on na ukiweza kusurvive for a very long time.
Kitu ambacho nilijifunza as long as unavyoendelea kusurvive it means si unaexecute unajifunza kwamba hii loss imetokana na hichi hii faida imetokana na kitu hiki ila as long as kile kitu kinaendelea kuhappen consistence wewe pia exposure yako ya market inakuwa kubwa.
mtu akisikia magnetics anasema kwamba hii pesa ndogo haiwezi kukubadilishia maisha alafu akienda anakutana na video magnetics anasema ametoa 200 mpaka milioni 9 hiyo inakuwaje kuwaje kwa sababu mtu anaweza akaona kwamba huyu bana anataka aweze kurise mwenyewe >> kurise mwenyewe so hiyo ni one of the very misconception video ambayo ishawahi kuanga ishawahikuanga YouTube [muziki] ilitokea at that time sasa tumeshaanza kutrade nafikiri hapo tulikuwa nikuwa tushakuja [muziki] daa sasa chuo hatukumaliza wote wote ilikuwa ni dropout baada ya sasa kuanza kuona zile 100 200 kwa hiyo um tukadrop out chuo na it was very easy kwamba tuandike tu barua administration kwamba sisi tutakuja mwaka unaofuata ndio tutakuja kumalizia sasa hivi kuna challenge za kifamilia na nini na nini tukaipeleka kwa dini dini akakubali kwa hiyo kwamba twende da kwa sababu sasa hivi ndio like trading ndio ina inaanza ku inaanza [muziki] kukick up.
So twende da tukawe close na hizo environment alafu mwakani tukishakuwa tumepatapata hela nini tutarudi mwakani kumalizia mwaka uliobaki ambacho hicho kitu hakikutokea.
Kwa hiyo sasa tulivyofika daa nakumbuka tulikuwa tunakaa tu geto na mimi kule geto kwangu Kimara ndio washikaji wanakuja.
Kwa hiyo tukawa tumeweka kama trading camp hapa.
tunakaa tu sebleni hapo tunascreen zile information sasa ndio tunaexecute kwa hiyo mimi nilidepos 200 nilivyodepost 200 nikawa tukawa tunatrade pamoja na wale sasa unajua mkiwa mnatrade ile mwanzoni mpo na washikaji ukipata true profit you share pale kwamba bwana profit ndio hii mimi i don't know where hiyo idea ilikuja nikasema tu mimi i want to raise hii hela nione itafika mpaka kiasi gani kwa ho kila trade ambayo ilikuwa ikiwa iko closed [muziki] tutashare pale some of the trade nilizifanya mimi mwenyewe na some of the trade ilikuwa ni ile kwamba mtu ametoa tu suggestion bwana nimeona opportunity hapa kuna vitu moja mbili tatu criteria zimetiko tunaingia so kuna mtu mwingine anaweza akaona kwamba hii criteria zote nini alafu anakuambia ila mimi nasubiri kitu fulani ndio kitokee alafu wewe si umekaa na simu yako hapa nyuma unaweka tu silence alafu unaingia cho unaifunga kwa hiyo it happen ile 200 with that group ile camping tukawa nimeira ile 200 mpaka kama 4600 ile in two weeks um baada ya ile tu sasa si ndio tunashare pale so kuna this one guy ye that time alikuanga na YouTube channel even YouTube channel that time ilikuanga ni kama ni kitu kikubwa sana back in 2016 wanasema mimi nina YouTube channel tufanye interview yaani kuwaambia watu kwamba hiki kitu kinawezekana nini na nini kwa hiyo tukaarrange pale tukapanga disk na desk na nini m nikakaa mbele ya kamera ndio nikamambia bwana trading sasa I have information kwa sababu nishazisoma sana kwa hoo ilikuwa rahisi zaidi mimi kuelezea kwenye ile video kwamba iko hivi iko hivi iko hivi na hivi lakini kile kitu ni kinafanyika kwa 99% ndani ya miaka yangu 10 kwenye trading ukiniambia nirudie kufanya kile kitu obvious zaidi ya mara 50 nitafeli kufanya kile kitu kilichofanyika kwa hiyo sasa um tukitengeneza probability au tukis Ema definition [muziki] ya strategies tunasema kama tukiwapa watu 100 wakafanya hichi kitu ambacho [muziki] wewe umekifanya alafu watu wangapi ambao wat kwenye mazingira ya sawa watu wangapi watakuwa na uwezo wa kukirudia hichi kitu repetitive one times or two times ikitokea kwamba hata 10% haijafika ina maana kile kitu it's near to impossible au maybe it's not a strategy inakuwa sasa ni la unakuwa sasa ni mchezo wa kubahatisha kwamba unaweza Unaweza ukafanya ila usifanye [muziki] lakini strategy ni kufanya kile kitu repetitative utakifanya leo utakifanya kesho na matokeo pia yanaweza yakawa nearly to the same ndio mnaita strategy.
Kwa hiyo ilikuwa ni misconception video lakini ni watu wengi sasa ndio walitokea pale kwamba niliona ulitengeneza milioni tisa kwa wiki niliona unitengeneza milioni 10 kwa wiki mbili kwa hiyo hi inawezekana watu wengi pia walipata beliefs kwamba inawezekana hasa wale watu ambao sasa tulikuwa nao pale pale at that time kwamba huyu ametengeneza hii hela mbele yetu yaani tunaiona inatoka 200 mpaka inafika 4600 kwa hiyo hiyo sasa ikawa inatengeneza a fearless mindset lakini pia ina disadvantage zake.
Na nowadays imekuwa ni very common.
Yaani kwa sababu kuna hizi trend zinaendelea kwamba watu wanaflip accounts wanawafundisha namna ya kuflip wanasaidia watu kuf.
Hiyo utaizungumziaje kama mtu ambaye umefanya hicho kitu mwanzoni kabisa ambapo ilikuwa hamna watu wengine wanafanya kitu the same?
Kwanza mindset mindset yangu kwenye trading saasa hivi ishabadilika kabisa.
Um kuna sehemu niliwahi kusoma ah kuhusu maswala ya financial [muziki] financial views au hizi financial rules na nini.
Wakasema kwamba milioni [muziki] moja inaweza ikatengeneza laki milioni moja inaweza ikatengeneza l,000.
Yaani hiyo kwenye kwenye equation za business ni kitu ambacho kiko very very common au rules za biashara ziko hiv kwamba milioni moja inavutia lakja, milioni moja inavutia laki au milioni 10 itakusaidia kutengeneza milioni moja milioni 10 itakusaidia kutengeneza milioni mbili lakini at the moment mtu anakuambia kwamba hii lak yako itatuletea milioni au hii milioni moja italeta milioni 10 hapo kwenye question za business unakuwa tayari umeshatoka unazungumzia kitu kingine unazungumzia gambling hicho kitu kinawezekana lakini not in strategical kwamba hakiwezi kuwa repetitive kwamba leo utatoa utatoa lak utaenda milioni kesho utatoa lakija utaenda milioni kesho kutwa utatoa lak utaenda milioni that is nearly to impossible inaweza ikawezekana mara moja mara mbili lakini it's not a strategy lakini kama una milioni unaweza ukatengeneza leo laki ukaenda kulala kesho ukaamka ukatengeneza laki kwenye ile milioni ukaenda hiyo inawezekana that's that's na biashara nyingi ziko hivo kwa hiyo nafikiri tu ah ni mindset ujue wewe unataka kitu gani.
Sio kwamba hicho kinachofanyika cha kuflip hakiwezekani lakini hakiwezi kutokea mara zote.
Na isti yake ni nini kwenye trading?
Kama unaweza kuitoa lakipeleka milioni [muziki] ina maana at that process ile lak umeshairisk yote.
There is no way utasema unaitoa lak kupeleka milioni alafu [muziki] umetumia 10,000.
Yaani obvious ile lak umesha umeshairisk yote.
Kwa hiyo sasa kwenye trading ukirisk 100 ili upate 1000 ukapoteza ile 100 sehemu gani una access ya kwenda kuichukua 100 ili kesho ufanye tena.
Na kesho ukiipoteza siku ya pili siku ya tatu unaenda kuchukua wapi?
Dola 100 ili ufanye tena kile kitu.
Kama una hiyo access sawa inaweza ikawa ni strategy yako.
Lakini unazungumzia huyu mtu ambaye hiyo 100 yenyewe kwanza anaitafuta [muziki] kwanza.
yaani uko kwenye ameungaunga 20,000 30,000 ngapi ndio ikatimia 100 akadeposit akitumia hiyo strategy kufeli ni it's very easy kwa sababu that is not a strategy lakini anaweza akawa na rck ndio amedepost hiyo 100 ikaenda 1000 that is another cas in times ya ile kwamba you want to do it as a business not as a gamboring you have to think in that mindset kwamba kama na na 100 basi wacha nipate tano wacha Acha nipate 10 lakini hii t au M iwe ni consistence at least hata kila siku nitapata mbili market can reward you that thing lakini ukisema kwamba helipata 1000 kila siku >> of course kwa wanachofanya nowadays ni kwamba mtu anatengeneza hiyo mechanism ya kwamba mimi nitakuwa na flip account na nawaaminisha watu kwamba naweza nikaflip account na baada ya kufanya hivyo nikipata watu 1000 kunipa 100 za kuflip kama nita pata bahati kwa watu watano wakinipa profit share itakuwa tayari ni advantage kwangu hata kama zile 95 hazito suuced yes kwa hiyo na statistical sema hapo kwamba ni possible kiasi gani it watu wengi wanaofanya hivy wanajua wanachokifanya na wanajua riski sio kwao riski nikule mtu wa pili.
>> Yes.
Lakini kitu kingine ambacho umekizungumza ni swala la kudrop chuo.
Na wajua umebahatika kuwa kwamba mnaanza forex alafu mko vijana fulani.
Watu wengi hu tulianza tuko wenyewe >> eh na kila mtu ambaye unajaribu kumwambia pembeni anaona kwamba huyu jamaa anataka aanze kitu gani tena hichi.
Yes.
Kwanza kudrop chuo kwako ilikuwa ni personal opinion au ni ile kwamba mko washikaji wote vijana mnasema kwamba hatudrop mwanangu mbona tayari tushapata mchongo kwa nini tunasoma?
Na ni kitu ambacho unaweza ukakirecommend leo kwa mtu kwamba mimi nilidrop na kuna hatua nikaweza kuipiga kwa hiyo na wewe you can do this team.
Yeah.
Okay.
Swala la kudrop chuo kwanza silommend silcommend kwa mtu kufanya.
Ah kuna possibility tu kubwa kama hauna presha na maisha ukavifanya hivi vitu vyote tu ukajifunza mpaka utakavyomaliza chuo ukafanya forex mpaka utakavyomaliza chuo alafu ah [muziki] baadaye ukaamua sasa kuwa free na kitu ambacho unatakiwa kukifane.
Na mimi swala la kudrop chuo haikuwa ni ile kwamba idea yangu idea yangu nidrop chuo nitarudi.
Ilikuwa tu ni ile pia pressure kwamba tushaanza kupata hizi 5050.
Kwa hiyo hii momentum ambayo imeanza tusiipoteze.
Let's go for it.
[muziki] Hichi chuo kipo tu.
Tutarudi hata mwakani tutamalizia huu mwaka uliobaki.
Umenielewa?
Lakini hii opportunity ambayo tuko nayo sasa hivi tukiihold kwa sababu ya kumaliza chuo inawezekana ndio tukawa tumepishana nayo.
Kwa hiyo it was like try to reasoning pale kwa akili ambazo tulikuwa nazo atungience.
Tukaona let's let's take a risk.
Kwa hiyo twende tukanani na bahati nzuri kwa upande wetu it pay off.
Kwa hiyo ndio maana mpaka stori zipo.
Lakini kama isingepay off na maana tusingekuwa tuna hizi story tumekaa hapa sasa hivi.
Na tunarudi kule kule tena.
Successful rate yake ni ngapi?
Tukichukua watu 20 tukichukua watu 100 inawezekana watu 20 wasizidi ambao watakuwa successful kwa kile kitu.
Kwa hiyo tulichokifanya sisi ni kama tulichukua all eggs tukaput in one one basket tukarisk hivo.
Lakini kama unasoma ni kama tu umefanya diversify ya [muziki] riski kwamba nasoma hichi kitu cha trading hakiendi popote.
Ila hii hii degree masters inaweza ikanifungulia baadhi ya doors nyingine pengine zikaja kufund [muziki] hata hii biashara yangu hii biashara ya forex ambayo unataka kufanya.
Kwa hiyo kama kuna mtu anatusikiliza na yuko chuo unaweza ukafanya forex lakini pia go for that paper.
You never know opportunity ambazo zitakudia.
Mfano kama mimi sasa baada ya kudrop na sikurudi tena chuo ingawa mzazi ni yule mtoto anamwambia nakudai digree nakudai digree mpaka baadaye ikafika tu sehemu akaacha kuzungumzia hiyo kitu.
Ilisha na hilo ndio swali la watu wengi wanasema kwamba you have been consistency in forex.
Yaani miaka na miaka watu wanaingia wanatoka watu wanaingia wanatoka.
So [muziki] mimi nilivyotoka nilivyoacha chuo ina maana obvious career nje ya trading ndio nilikuwa nimeiacha pale.
Yaani karia yangu ile labda ya kusema nitakuwa IT nitakuwa nitafanya issue ambazo zinahusiana na IT sijui na ndio nilikuwa nimeiacha pale nikaingia kwenye trading kwa obvious sasa trade ndio inatakiwa hii ndio nimeweka eg kwenye bucket zote kwa hiyo inatakiwa tu inilipe.
Yaani sina plan B sina nini ndio niko hapa.
Hicho ndio kitu kinachoenda.
Kwa hiyo plan B zitakujaje sasa?
Hii biashara ifanikiwe ndio nifanye biashara nyingine ambazo hii ndio biashara biashara mama.
Kwa hiyo ni ni nilinarrow the opportunity [muziki] ya mimi kufanya vitu vingine ilikuwa ni advantage na pia ni disadvantage.
Especially kuna ile times ambayo things haziend.
Yaani unapitia losing streak miezi mitatu minne ushaelewa pale ndio unaanza kufikiria labda ningekuanga nilimaliza chuo [muziki] ningejishikiza hata mahali au ningefanya kitu kingine lakini this is the only thing ambayo niko nayo kwa we have to go in this land.
Kabla hatujaendelea naomba nifanyie fva moja tu mimi na timu yangu click subscribe button then turn on notification hiyo itakuwa ni msaada mkubwa sana na kitu kikubwa sana ambacho umekifanya kwetu kwa sababu hicho ndio kitu ambacho kitafanya tuendelee kusonga mbele.
Our mission is to impact millions kama jina la podcast [muziki] inavyoitwa Let's impact millions podcast.
Kwa hiyo kwetu ni faraja kubwa sana tukiona tunawafikia watu wengi na watu wengi wako dedicated kwenye kupata mazungumzo ambayo tunayafanya, kwenye kujifunza kwenye vitu ambavyo tunavifanya, kwenye kupata lessons kutoka kwa wafanyabiashara ambao tutawaleta.
Na kwa wewe kufanya hivyo nitakuahidi kitu kimoja kikubwa sana kuzidi kumaintain quality na hata kuongeza zaidi lakini pia kuleta wale guest wote ambao utakuwa unawarequest hapa kwenye comment section lakini cha zaidi kuweza kutafuta wale guesti ambao tuna uhakika utajifunza vitu [muziki] vingi sana.
Kwa hiyo naomba subscribe notification na itakuwa ni kitu kikubwa even zaidi ukiweza kushare na mtu mwingine aje ajifunze.
What happened mpaka ikatoka kwenye wewe kutrade mwenyewe ukaona sasa I have to start an institution ah nifundishe watu kutrade na mambo mengine mengi ambayo yalikuja kufuata.
>> Sawa.
So I have an old friend nafikiri naye pia anafahamika sana kwenye industry ya forex.
Tulikuwa tunamuita Sukros anaitwa Elisha actually ila watu wengi wanamuita Sucros the manholic.
Ah nafikiri the traders wa miaka 18 2018 19 watakuwa wanamfahamu.
Nafikiri mpaka sasa hivi anafanya pia.
hatujakuwa in touch for a very long time.
Yeye ndio alileta wazo la la la la institution ya kuwa na academy.
Akasema kwamba like umeona sisi ambavyo tulikuwa tumehassle tumemtafuta kari tumefanya nini there is a big number huko nyuma yetu they don't even understand hichi kitu kinafanya kazi.
Kwa hiyo it opportunities.
Hata kama tutakuwa tuko traders tutawasaidia watu wengi lakini kama watu huko wanauza cost 1000 2000 sisi tunaweza tukafundisha watu kwa laki kwa l,000 hawa watu pia sometime yeye alikuwa na kitu kinaitwa um transition kwamba ifike time sio sisi ambao tunatradwe tuna tunaweza tukafanya vitu vingine lakini tuna tuna organization au tuna tuna office ambayo sio lazima sisi tutrade ndio maisha yaende.
kwa kuna watu wengine kwa hiyo if wale ambao watakuwa wamefanya vizuri tunaweza tukawarecruit at that time maybe tutakuwa tuna capital na nini kwa hiyo wenyewe watakavyokuwa wan trade sisi tunaweza tukafanya mambo mengine lakini tunajua kuna watu wako they are very smart wanatutreadia na vitu kama hivyo kwa huzana na idea na again alikuwa wazo lakini m naamini kwenye maisha kuna kuna mtu anayekuja na idea alafu very less kwenye kuexecute na kuna wewe unayeeexecute alafu kuna mtu akaona umexecute akaja akaja kuinvest kwenye ile execution yako au kwenye idea au wanaitwa investors alafu baadaye kuna mtumiaji wa mwisho yaani hao ni watu kwenye biashara hayo ni magroupu ambayo tunategemeana kwa ho since that time sio mtu ambaye naweza nikakaa chini nikawa na nikaumiza kichwa changu kwenye kuema ngoja nifanye kitu fulani kipya I had no talent lakini nilikuwa na ile talent ya kuwa fearless kwenye execution.
Kwa hiyo sasa just imagine tuliplan ile kitu kuanzia 2016 tutafungua academy tutafungua academy tutafungua academ hii ambayo umeanza kujifunza >> yeah tutafungua academy tutafungua academy 2016 ikapita 2017 ikaenda mwishoni saa 2017 m ndio nikasema you know what kwa sababu ilikuwa si unajua mkishakuwa mko group kuna mawazo mnatofautiana mpaka kiwe hiki mpaka kiwe hiki mpaka kiwe hiki mpaka kiwe hiki 2017 mwishoni mimi nikasema unajua nini m naanza mwenyewe alafu whatever will happen nitajua nitasort tu huko kwa hiyo nakumbuka institution yenyewe ambavyo nilifungua nilienda tu nilicreate groupu la telegram nikaliandika pale jina forex man industry nikaanza saa and the only thing that gave me um the mileage at that time kwa sababu kila kitabu tulichokuwa tunasoma kimeandikwa huko kiingereza and wakati sisi pia tunajifunza that was a challenge kwa hiyo mimi nikasema unajua nini mi nateneza soko la Tanzania kwa hiyo nitatafsiri kila information ambayo unaijua ndio nikaleta ile forex kwa kiswahili so forex kwa kiswahili sasa ndio ile watu wameanza ah kumbe kilichokuwa kinazungumziwa ni hichi ukileta kwenye lugha ambayo inaeleweka zaid kwa hiyo nafikiri kwenye academia yangu tobo ndio ilikuwa pale >> ilikuwaje mkatoka kuacha kutrade pamoja kama timu na umeshaona kwamba tumekaa tukatradi pamoja nimetengeneza matokeo fulani nimeanza kuyaona kuna uwezekano ni kwa sababu pia ya watu ambao nimekuwa nipo nao alafu ukaenda kuanzisha kitu mwenyewe probably mliachana labda pia what happened ilikuwaje kuwaje >> nafikiri nilivyoenda kuifungua ile forex mana industry haikupokelewa vizuri na na wenzangu na sababu kubwa ya kutopokelewa vizuri ni kwamba we give out the idea alafu wewe umeenda umeexecute pekee yako.
Lakini mimi wakati naexcute mindset yangu haikuwepo kwenye uselfish ilikuwa ni kwamba tumeshakiongelea hichi kitu sana alafu hatukifanyi.
Mimi naanza kwa sababu a lot of time tulikuwa mpaka jina yaani jina la hiyo academy tumeshaplan.
Tuna tuna mpaka the way ambavyo tumeform tutafanya kwa namna hii mpaka prices tumezieka tumefungua mpaka na website na nini.
Kumbuka tulikuwa tumesoma IT eh kwa hiyo tumefungua website tumefanya yale maswala ya graphics yaani kila kitu tumekiandaa ila ni kama the tuseme the master key ya kile kitu kipo as a group kwa hiyo there is no way kwamba tutaexecute kwamba tunasubiri kitu fulani kikamilike kitu fulani kikamilike tufungue ofisi sijui tufanye yaani yaani wanajua vile vitu nikamwambia mbona sisi tumeshasoma kozi nyingi sana za online tu ofisi hazipo huanza kusubiri mpaka tufungue sijui kampuni tufanye nini at that time pia process za kwenda ba pia zilikuwa tayari zipo kwa hiyo mimi nikasema like hapo kampuni haijasajiliwa academy haijasajili haijafanya ni group tu la telegram nimelifungua and then kulikuwa kuna hilo groupu ambalo ni la forex traders kwa hiyo lilikuwa linaendelea kukua kila siku nafikiri at that time kulikuwa kuna kuna kuna watu kama 12000 hivi kwa hiyo mimi nikaenda tu nikamambia hey guys nimefungua channeli yangu mimi huku tu na mtiririko nimefundisha kwa kwa lugha ya kiswahili kwa mtu ambaye anataka kujifun funza aje aje kwenye hiyo channel.
So na my friend pia alikuwepo kwenye hilo.
Kwa hiyo ndio akaona kwa sababu mimi nilichokifanya baada ya kufungua ile channel niliieka ile nzima like nilitafsiri kila kitu for almost kama two weeks hivi.
Kwa hiyo kila siku nikiamka natafsiri naandika naweka naandika naweka.
Kwa hiyo watu walivyokuwa wanajua na walikuta tayari tayari ile channel ina content zile zote za kujifunza zimetokea pale tayari.
Kwa hiyo mtu sasa anav kumbe hichi kitu hii pips kumbe maana yake kiswahili ni kitu fulani kwamba hii spread ni kitu fulani ile sasa ndio ile mtu sasa ndio anakuja anakufuata private ah kama unaweza kuandika hichi kitu ina maana unaelewa unachokifanya utanitaji shilingi ngapi mkikufundisha at that time nikawa nasema tu ah wewe njoo labda na 50 njoo na laki kulikuwa hakuna ile structure nzima kwa sa wenzangu ile kitu ndio haikupokelewa posto akaona like hii ilikuwa ni idea yetu na nini na nini na nini na ndio hapo sasa maneno yakaanza anza na wenyewe pia wakasema hebu tuachane na hizi issue sijui za kwenda kuopen na nini na nini na yenyewe wakafungua sasa channeli yao >> sawa kama mnacompete >> ikawa competition kwamba wenyewe wanafanya wenyewe wameifungua ile kitu alafu so the difference ilikuwa ni kwamba we have a different type ya kuhold maybe business or conversation or anything kufundisha na vitu kama hivy kwa hiyo mi mtu alikuwa Mimi naweza nikarecommend watu kwamba nendeni na wale jamaa mfano labda kwenye issues za scarping mimi maisha yangu yote trading sijafanya scarping and one of that friend alikuwa yeye anafanya scarping kwa hiyo mtu akiniambia mimi nataka kuscap labda 5 minutes namrecommend kwamba nenda kwa watu fulani.
Ila sasa kule wakienda upande ule wakifanya reference ya kwangu kule walikuwa wananisa kungu ile wananikandia.
kwa sasa mtu akija kwangu anamwambia mbona wale mbona washikaji zako wenyewe wanakuongelea vibaya na nini nikamambia hii tutaenda tu the time tu vitu vita vitakaa cha sasa tulikuwa at this level kwa hiyo the forex man industry ilivyokuwa inakuja ikawa inaenda ikawa inaenda hivi alafu i mean step zao za za academy yao ikawa sio kwa ile speedi ambayo mimi nilikuwa naenda nayo.
previous kadi inavyopanda ndio heart rade pia inazidi kuongezeka lakini I tried a lot yaani kuwacheki kwamba bana tunaweza tukafanya vitu fulani ila kila nikiwacheki ilikuwa inaonekana kama wewe unajiona ushafanikiwa kwa hiyo unataka kutusaidia yaani ile kitu ya kwamba wao nawasaidia ndio ilikuwa inawakata yaani kwamba hata kama kuna kitu ambacho mimi naweza nikasema kwamba let's do this ile kwamba mimi nawasaidia ndio kitu ambacho wenyewe hiyo sentensi walikuwa hawaitaki.
Kwa hiyo ndio ile unakufa na tai shingoni like ila hawawezi kuniomba hawawezi kuniomba msaada >> at that time academies nyingine pia zili kulikuwa kuna academy kama >> ulikuwa labda ni wewe watu ambao walikuwa wanafanya nao previously pamoja na yule mtu ambaye mlienda kujifunza kwake au zilikuwa zishainuka na >> academy pia zilikuwa zime at that time pia gf alikuwepo safario hiyo da forex pia ilikuwepo ingawa yeye alikuwa anafanya kazi benki kwa hiyo alikuwa alikuwa active sana na pia price watu wengi walikuwa hawaiwezi ah zikaja kuna one pia mtu nilimfundisha yaani nilivyomaliza tu kumfundisha akaenda akafungua academy um zilikuwa zimekuja kuja pale academy lakini sasa utofauti sasa ukawa ni kwamba mimi at that time ndio nilikuwa nina numbers nilikuwa na numbers alafu pia ilikuwa very easy kwa mtu kunirich kwa sababu 50 lak ilikuwa ni kitu ambacho watu walikuwa wanaffordable kwa hiyo namba ilikuwa kubwa ya watu ambao walikuwa nafanya nao kazi >> ah natamani kujua zaidi kwamba let's say ukisema kwamba mimi ilikuwa rahisi ulika na ni mtu lak kwa upande wa kurun asani inakuwaje kuwaje kwa sababu tunajua >> nilikuwa sina honest nilikuwa sina structure ya business yaani structure ya kwamba hichi kitu nakiruni hivi na nini at that time yaani kwenye ile structure kabisa ya kwamba nafanya asikuwepo ilikuwa nafanya tu for the vibe kwamba I mean nilikuanga one of the thing ilikuanga ni kwamba nilikuwa natamani sana hii industry ikue hiyo ndio mindset yangu ya kwanza ilikuwa ni kwamba nilikuwa natamani sana industry ya trading iku na industry inakuwa vipi ni kuhakikisha kwamba kuna watu wengi sana wanaware ya hichi kitu ndio maana um mchango wangu mkubwa sana kwenye industry utabaki kwamba it's a person ambaye alimake the forex trading famous yaani hiyo ndio kilikuwa ndio kitu changu kwamba industry ikikuwa sasa tutakuwa tuna traders wengi ambao wanafanya vitu tu yaani ile competition mimi kwangu sio kitu ambacho kilikuwepo ilikuwa ni kwamba trader wengi wafanye nini kwa hiyo sasa tunapush vipi sasa nikuambie tu hawa watu kitu kinawezekana kinawezekana vipi ndio tukaja sasa hapa kwenye let me buy car ngoja leo twende ych leo sijui tuishi tufanye kitu fulani unajua zile vitu vile vitu ambavyo vina quote attention lengo ni nini sio kuslap kwenye uso wa mtu ila ilikuwa ni kwamba hichi kitu nachokifanya kinawezekana sana and hizi ndio fruits zake kwa hiyo na wewe pia unaweza kufanya ingawa sasa hiyo sasa ikaja ikawa imetafsirika tofauti kabisa that flesh life and everything ikawa imetafsirika tofauti kabisa >> hapo hapo nina vitu vingi nitakavyokuuliza kwa lengo la mimi kujifunza lakini na kwa audience kujifunza pia lakini kitu kimoja ambacho wakati unazungumza nilikuwa nakiwaza ni kwamba cha kwanza tunashukuru actually wale watu wote ambao waliingia mwanzoni na wakafanya biashara ikajulikana probably ingekuwa sio hao watu sisi tusingeifahamu hii biashara kama kila mtu angeamua >> aifanyie chumbani >> yes kwa sababu mimi nishakutana na watu wengi sana mtu anakuambia mimi ndio nilikuwa the first guy kufanya forex hapa Tanzania ni vile tu sikuwahi kusema popote.
Kuna mshikaji mmoja mpaka alituonyesha akaunti yake ya Trading View anasema mimi nimefungua Trading View 2014 yaani time lakini sikuwahi kumwambia mtu yeyote kwa hiyo watu wengi nadhani watakushukuru na kukupongeza kwa hilo lakini swali ambalo nilikuwa nalo ni this thing kwamba bwana mimi kuna mtu nilimfundisha alafu naye two weeks akafungua academy sasa hiyo wewe unajichukulia vipi kwamba mtu bado hajaweza kuwa profitable, hajaweza kuwa competent probably kuna vitu vingi bado hajaviexperience alafu tayari ana academy.
>> Yeah.
Kuna siku mimi nilikuwa naongea na Jeff ya Jeff nikawa naambia kwamba whatever is happening sasa hivi kwenye industry ya forex kuhusishwa na maswala ya utapeli sijui nini na nini yaani sisi kwa namna moja au nyingine we are very responsible.
Yaani hicho kitu yaani yaani hakiwezi hatuwezi kukiepuka.
Yaani hiyo responsibility hatuwezi hatuwezi kuiepuka.
Na sio kwa sababu sisi tulifanya utapeli lakini kama sisi ni watu wa mwanzoni tulitakiwa kutengeneza structure ambayo watu wanaokoja huku nyuma wanaweza wakapita nayo.
Lakini kwa namna sisi ambavyo tulikuwa tumeenda kutokwenda na structure kwa kuhisi kwamba tunafanya hichi kitu ili kitokea hivi kitokea hivi tumeleta hiki kitu ambacho kipo sasa hivi.
Nafikiri kuna time the forex trading industry ilikuwa iko kubwa Tanzania kuzidi hata kuzidi hata Nigeria kuzidi Ghana kuzidi hata Kenya that time 2018 2019 mpaka 2020 ile forex industw at pick kuzidi hayo maeneo lakini sasa hivi it's a big difference zaidi ukiangalia hata Gana na na kwa hiyo sisi watu wa mwanzoni kuna kutokuwa na structure ya ya as a industry inafanyikaje?
Hiyo ilikuwa ni ilikuwa ni big challenge na ni kosa letu hata hata hiyo hiyo lazima tu tulikubali tulimesess up kwenye hiyo eneo kwa ho hata watu waliokuja huku nyuma hakukuwa tena na ile kwamba mimi nataka nijue business inafanyikali m nataka kuna mtu mwingine labda atakuwa alikuwa anaona tu kwamba voex manag nikienda pale kujifunza ni 100 anakuja labda kuomba opportunity ya kujifunza anamwambia tu kwamba mimi kwa wiki na enroll watu 20 tu ushaona kwa sababu ya space and everything kwa hiyo mtu anafikiria kwamba um 100 kwa watu 20 hiyo ni almost 2000 this guy anaiweka hii kila wiki umeshaelewa kwa hiyo this is the opportunity hata kama sitatrade let me create something kama hichi nitakuwa napata hizi 2002 kila wik sasa ile mindset ya kwamba hey guys tunatakiwa tuingie sokoni tuelewe the mechanism of market tuelewe technical analysis hii ndio itutengenezee hela na sio hizi hela ambazo unazitoa sasa tunarudi kwenye traditional business sasa unaprovide services ambao kama kwenye vitu vingine vinatokea kwa hiyo sasa akaja na yale maswala ya investment utachukua hela kwa watu ili uwatradie na nini hiyo ambayo ndio ikaja ikamake everything worse kabisa kwenye industry um kwa hiyo watu wa mwanzoni tuna responsibility ya kufanya fanya industry >> probably ungeanza ungekuwa ndio unaanza sasa hivi kuelewa ambao nao ungefanya tofauti >> ningefanya tofauti kwenye vitu vingi sana kumake sure kwamba watu wanaelewa the mechanism of trading maybe the fresh fresh lifestyle pia is not necessary nafikiri um lakini pia industry ilikuwa au bado >> at that time changamoto ilikuwa ni hamna watu wengi ambao wameshafanya hivi vitu kiasi kwamba wewe ukaona which is the way au labda ulikuwa mdogo yaani changamoto hasa au zile tunaita corasons za kufanya ambao kufanya hivi au kufanya maamuzi haya ilikuwa ni has >> cha kwanza ni me nini yangu kubwa ilikuwa of course ile idea yangu ya kufanya forex iwe the famous iwe famous ile ilifanikiwa ilifanikiwa lakini it comes with a cost na mimi si unajua watu wengi tunavyoweka plan kitu mara nyingi sana hata sasa hivi hata ukiwa unataka kuingia kwenye trade yaani unataka uingie kwenye trade ambayo italeta italeta mafanikio alafu ile option ya kwamba what if hii trade haitaenda sawa hicho kitu ndio sisi huwa hatutaki kukiweka kwenye option kwamba hii inayoingia lazima iende kwenye profit ndio maana sasa ikienda tofauti lazima ishake your ishake your mindset au i shake your confidence kwa sababu sio kitu ambacho ulijiandaa nacho kwamba nataka kufanya kitu hiki kikienda sawa reward yake ni hii lakini in case kama hakijaenda sawa basi riski yake iishie hapa kwa hiyo ile risk itakavyokuja tayari ulishaifahamu beforehand lakini sasa riski risk au loss inavyokuja kukuhit as pale ndio watu wengi ambapo tuanga tunamesa kwa hiyo the frustration au changamoto ambayo ilikuwa imetokea that time mimi nilikuwa nataka iwe famous kwa hiyo tunafanya kitu gani kama leo tutaenda labda Labda yach huku tutachukua labda grupu langu la washikaji watano tutainvite labda wanawake 20 mtaenda hukochi mtapiga picha mtatuma video na nini that thing it goes in Instagram and then inacreates inacreate discussion ni wale madogo wanafanya forex madogo yanafanya kwangu mimi ilikuwa naekokea na forex ndio inaenda mjini umeshaelewa okay so tutafanyaje okay tutanunua tutanunua magari tutakuwa tunatembea kwa convoy tumebandika stika huko uko nyuma and everything kile kitu sasa watu watapita watarekodi ah ni akina nani madogo fulani wanafanya forex kwa hiyo ilikuwa ndio kwamba sasa ina hii forex sasa ndio inakuwa iko iko iko tunafanya hiyo tunanunua expensive car tukishanunua expensive car tunaweka jina letu pale kwele nani ile kitu inafanyaje ilikuwa inaongeza the publicity lakini at what cost watu wakawa wanatoka sasa kwenye kitu gani kinafanyika wakaingia kwenye how this people lives maisha maisha ambayo sasa na maisha ya mtandaoni yako hivi hayana hayana downs yaani maisha ya mtandaoni inatakiwa tu yawe yanaenda hivi itakiwa yanaenda kwa hiyo we only share the winds kwa ho mtu aki mtu akikutana na na down anaanza kujihisi kama yeye yuko wrong au this doesn't work kitakachokuwa kinafanya kazi ni this side ya services au nini ndio maana hichi kitu kinatokea >> okay hapo umezungumza vitu vingi sana kwa pamoja nilikuwa najaribu kufikiria kwamba wana tutaenda step by step actually mimi kuna vitu vingi ambavyo nimekuwa interested ah kuweza kuvijua yes kitu cha kwanza kuhusiana hapo na swala la service flash lifestyle that means pesa za kuweza kufinance hivyo vitu vyote yaani inakuwaje kuwaje so sababu kiuhalisia mlifanya vitu vikubwa >> yes At that time na pia mimi huwanga nawaambia watu I don't know ni kwamba um at that time market ilikuwa haiko kama ambavyo haiko sa hivi kwa sababu 2017 na 18 kuna vitu kibao ambavyo vinaaffect financial market vilikuwa havijahappen kulikuwa hakuna that pandemic 2020 sababu pandemic ilivyokuja watu wakaacha kwenda wakaacha kwenda kufanya kazi hizi physical wakawa wanakaa ndani kwa hiyo the trading ikaja affect yake kwenye market ilikuwa ni kubwa sana 2015 the Brexit ilikuwa bado ile Britain kuexit kwenye European Union ilikuwa bado unazungumzia kama mambo ya Ukraine invasion kulikuwa kuna fakta nyingi sana ambazo zimefanya market ya kipindi kile na sasa hivi iwe na vitu tofauti sana yaani vitu vi tofauti sana market that hata pia the number of the way market ina moves Sasa mim nakumbuka 2018 hata ukirudi kwenye trading view ukienda kwenye daily time frame candlestick ilikuwa ina average ya kumove hata pips 180 mpaka 200 kwa siku USD JPI kwenye USD card inaenda mpaka pipsi 150 per day hiyo ni average kwa ho kuna siku inaweza ikaenda hata pipsi 300 au 200 kama kutakuwa kuna momentum ushaelewa sasa hivi the average mfano labda USD JPI per day kwenye candlestick ni kama PPC 70 au kwa almost half of it imefanyaje imepungua kwa hiyo tukisema tuna trade in terms of numbers m ile trade ambalo labda nilikuwa naiold siku mbili inaniletea 200 sasa hivi mtu tutatakiwa aihold kwa wiki hiyo passions wangapi wanayo meshaelewa so that time ilikuwa unatoka na watu mnasema kwamba like okay washeni gari nimeingia kwenye treni kadhaa mnatoka hapa mnafika Bagamoyo zile trend zimehit take profit Kwa hiyo mna withdraw mnasema like okay wakati tunatoka da nilikuwa labda na hapo nimepata profit labda ya 700 twenzetu tanga and everything hivyo vitu vilikuwa viko kwenye social media kwa hona this guys wikendi leo petita walikuwa wako y leo wameenda tanga sijui alikuwa bagamoyo nini kwa ilikuwa inaongeza numbers ya watu wanaotaka kujifunza lakini pia ilikuwa inatoa kitu ambacho kilikuwa ni misconception >> na ilikuwaje kuwaje mpaka ukafikia maamuzi ya kwamba okay ili nipate capital inabidi nianze kufanya investment kwa sababu tena wanakuja kusema kwamba ilikuwa ndio kitu ambacho kilifanya mambo yakawa worse >> yeah mambo yakawa >> ilifikiaje hayo maamuzi >> so the investment ilikuwa that time nilikuwa na rafiki wa kike ambaye at the time wakati mimi na nafungua forex manenda sasa ndio nairegulize hiyo ni kampuni ah hii tulikuwa tunasaidiana alikuwa ameshasoma maswala ya business administration sijui nini na nini.
Kwa hiyo alikuwa na ile structure nzima ya kampuni inavyofanya kazi na nini na nini na nini.
Mimi nikamwambia sikiliza maswala ya administration nyie atanichanganya tu.
Mimi nitakaa kwenye deski nitatrade for the company lakini wewe utanisaidia upande wa administration kwa hizi services ambazo tunazifanya.
kwa wakati tunafanya hivo mamake akawa ameongea na mamake kwamba tunafanya hivi hivi na mamake pia ananifahamu kwa sababu tulikuwa neighbors amb tunafanya hivi hivi na hivi na hivi na hivi kwa hiyo huyo mamake alitoa tu kama wazo kwa hiyo na mimi kama nataka mnitreie mta mtakuwa mnanipa faida kiasi gan ah mimi nikamwambia tu like ah kwa mwezi kwa mwezi tutakupa 50% yaani ile tu tu land haina calculation ya kwamba sijui nini na nini tunataka tuifanye hii services >> hiyo ni kutokana na matokeo ambayo >> matokeo ambayo yalikuwa yametokea kwa kipindi kile.
Kwa hiyo nilikuwa nasema kama nilikuwa naweza kudabu kwa kwa mwezi au kwa wiki mbili nilikuwa naweza kudou akaunti ya 1000 huyu mtu akitupa hii 250 is not even the big issue.
Kwa hiyo sasa ah yeye alikuwa anafanya kazi kwenye nafikiri kwenye halmashauri moja hivi mkoani huko.
Kwa hiyo alikuwa na ana wale kazi colleagues pale anasha nao kwamba ah mimi wanangu wako daa wanafanya kitu moja mbili tatu wananipatianga hichi.
Nafikiri yeye before tulimpa kama miezi mitatu hivi 50% akaenda akachukua mkopo b chini akatupatia milioni 10.
Kwa hiyo sisi kila mwezi tukawa tunampa milioni tano.
Kwa hiyo sasa akawa anaongea.
Alivyokuwa anaongea ndio akaniambia kuna my colleagues pia wako hapa ofisini walikuwa wanataka na wenyewe muwafanyeje muwatradie.
Tukaona like okay this can be an opportunity.
Kwa hiyo kwa hiyo ilivyoanza ilikuwa ni familia marafiki wa familia na nini na nini.
So baadaye ikawa namba zinakuja zinakuja and for sisi ilikuwa pia ina advantage kwa sababu ilifika kipindi tulikuwa tuna kama kwa at that time unakuta labda umezalisha faida mpaka tukasema ah what if ikaja lak au ikaja l ina maana tulikuwa na uwezo wa kuzalisha laki nyingine laki tukawapa as a profit lak ikawa ni kwa hiyo hapo ndio sasa investment sasa ndio tukawa inatakiwa iwe serious ah kuwa serious sasa ina maana maswala ya legal issue yanakuja yanaingia wale watu ambao tulikuwa tunafanya nao ni familia na kutumia tu hela kwenye akaunti hakuna makubaliano yoyote anajia tu tarehe fulani utam unavyohusisha watu wengine ndio hapo kuna maswala ya agreement sijui lego na nini hivy kwa hiyo na watu kwa sababu akishapata mwezi mmoja miezi miwili anamwambia rafiki yake anamwambia nani kwa hiyo namba zikaja nyingi zikaflo kwa nafikiri kitu kingine ilikuwa I reach to a number ambazo hata mimi at that time akili yangu tu mbili ilikuwa siwezi kuhold alafu bado nipo kwenye yale maisha ya childish >> miaka mingapi at that time >> that time nafikiri nilikuwa na 21 kwa hiyo ah nafikiri kuna the other day niliendanga benki huyo meneja akawa ameniita akaniambia kwamba tulikuwa tumeona kwenye akaunti yako kuna kama transaction hizi zinaingia na kutoka kama nafikiri ilikuwa kama 1.7 7 billion zinaingia na kutoka um na ni na ni akaunti ambayo ni individual kwa hiyo labda unaweza uka kama unafanya biashara za za kama una kampuni una nini tunaweza tukaitransform hii accaunti yako iweze kwenda kwenye nani kwa sababu hayo maswala ya hii accaunti kusoma hivi na ni individual inaweza ikakuletea shida as a suggestion sa yeye alivyoni alivyoni tulivyofanya naye meeting ndio akawa ameniambia kwamba that is ya 1.7 billion ndio pale nikajua kumbe hizi milioni 10 20 zinatoka na kuingia zinatoka na kuingia in general zina namba kubwa huko ambayo mimi hata nilikuwa i don't even notice and ikawa inaleta ile kwamba mimi nina hela kwa hiyo naweza nikafanya kitu chochote.
Um kuna zile sasa mistake za kawaida tu ambazo unazifanya when the man is there kama hauna structure ambazo kuwa young inexperience alafu at that time m nilikuwa sina mtu mkubwa alionizidi yuko around me kwa hiyo mimi kwanza ndio nilikuwa ndio na last say kwa watu wote walionizunguka alafu sasa nina vijana wenzangu wa miaka 20 19 kwa hiyo obvious they have to yaani watakao wanifurahishe ili ili tuendelee kuwa pamoja unajua kwa hiyo hakuna mtu aliyekuwa ananicorrect kwa hiyo kama nafanya any kind of bad decision na nini nafikiri hizo pia ndio ambazo zilisababishe mpaka kucollapse.
>> Ilikuwa mentally uko kwenye state gani pale ambapo unajua muda wote hela zinaingia na kutoka najaribu kuimagine kwamba 1.7 7 billion kwa kijana wa miaka 21 mentally ilikuwa kwenye situation gani?
Wenge lilikuwepo kwanza cha kwanza lazima uwe na wenge ya hela eh wenge ya hela alafu kulikuwa kuna kuna ile too much attention ah too much attention ni kwamba kulikuwa mpaka kuna watu wazima ambao ndio of course watu wazima walikuwa wanainvest lakini kumuona mtu mzima kwamba anakuomba meeting ana yaani anaplan kuonana na yaani anaamini kwamba akikutana na wewe shida zake zitaisha hata the way ambavyo kwenye familia uliotoka kuna namna tofauti wanakutreat kwa sababu mfano wakipiga simu sijui kuna shida fani umetuma hivi unajua zile kwa hiyo um kuna namna sikuwa na maandalizi ya kile kitu ambacho kilikuwa kimetokea kwa hiyo kilikuja tu nilikuwa najua naachokifanya lakini maandalizi ya zile numbers at that time kwa sababu last time naangalia akaunti ilikuwa ina kama 475 ya kutrade trading account na hiyo na yenyewe pia nilijua kwamba it's a big money kwa sababu one mwakilishi wa broker ambaye nilikuwa namtumia that time alikuwa yaani alitoka alitoka London akaja mpaka Tanzania just for a meeting kumbe kuna tumeona numbers the way ambavyo inaactive na nini je unataka vitu gani tukusaidie to make your your trading environment easy na vitu na vitu kama call kujua kwenye academy yako tunaweza tukakuongezea nini na nini na vitu kama hivyo.
Kwa hiyo hapo sasa nikajua like the ego went up the confidence alafu ile ndio ukienda kwenye magroupu huko wanatumia reference yaani wewe kama wewe kama kweli trader ishi maisha kama ya yule jamaa umeshaona kwa hiyo mimi nilikuwa na kama benchmark ya traders wengine ah jamaa ana x6 jamaa ana range jamaa ana nini kwa hiyo ule ukubwa sio kitu ambacho nilikuwa nimejiandaa nacho at that >> vitu gani ambavyo ulimifanya unasema ah hivi ilikuwa sio mimi hizi zilikuwa ni pesa hizi >> I think um nishatoka nafikiri pale ambapo nilianza kugundua kwamba ile nadharia yangu ya kutaka kufanya hivi vitu ili industry iwe iwe famous hiyo hiyo idea ilivyoanza kutoka sasa na nikaingia kwenye ile idea let me show them kwa sababu unajua unavyofanya kuna baadhi ya vitu unavyofanya kuna watu labda unasleep unawa unawakosea mnakoseana lakini muda wa kushuka unakuwa haupo kwa sababu utaniambia nini ushaelewa alafu women pia wanakuja ah unamkosea anakuandikia message ya laana na nini unambia wewe ataniambia nini na nini kwa hiyo at the time ambayo enemies wanaanza kuja according to that life na mimi kile kiburi cha kwamba I'm untouchable yaani hamwezi kunifanyia kitu au kitu fulani kikitokea nataka nikukomeshe kwa sababu ya ile place ambayo niko nayo nafikiri that was the beginning of the the end niku >> ilikuwa ukikawa unetasa hivi niko 1.7 au kwenye akaunti nina 4000 inabidi nifike labda 8000i nifike 1.2 tu target ya kwanza that time ilikuwa kwanza kuhakikisha kwamba nasustain ile biashara ya biashara ya investors.
Hiyo ndio kilikuwa ni kitu changu kikubwa kwa sababu biashara ya investors ni kama ilikuwa inajisellani kadeliver numbers kwa watu ndivyo ambavyo watu walikuwa wanakuja.
Kwa hiyo focus yangu kubwa ilikuwa ni kwamba when the tarehe husika ikifika ya mtu kuchukua hela yake anachukua hela yake.
Yaani hiyo haina sijui haina excuses haina nini au ile sometimes hata mtu huwasiliane naye kwa sababu tayari ana information zake unadeposit moja kwa moja ndio anakuja anakupigia mimi nilikuwa nataka hii hela ikae ibaki huko ili iongeze capital utambia basi utaenda utadeposit tena na nini kwa hiyo ndio ilikuwa focus yangu kubwa sasa unaweza kuta from tarehe moja mpaka tarehe 30 ushamaliza mwezi husika kuwapa investorso kuna surplus maybe ya L l li 9000 labda 80,000 kwa hiyo unajua sasa hii sasa ndio faida yangu mimi >> na hapo ulikuwa na timu tayari ya watu labda unawapa capital mnatrade wote au kila kitu wewe ndio ulikuwa under control >> haikuwepo mimi ndio nilikuwa like the last say matumizi ya kila kitu yanatoka kwangu kwamba kinatakiwa kitu fulani home sijui nini na nini ah washikaji zangu kwa Wewe utapoa kwenye alteza wewe utapoa kwenye crown wewe utapoa sijui kwenye gari gani ilikuwa hivy enda ile moving ya kama konvoi washikaji zangu sita wako mbele kila mtu na gari yake wengine wako minip hapo katikati so that kind of >> ile kutoa 50% ililast kwa kama muda muda gani mwaka mmoja alikuwa kila mwezi back to back unagenerate.
>> Ilikuwa inagenerate.
Sasa nafikiri pia kwa sababu kulikuwa hakuna kitu ambacho nikuja kudiscover baadaye kwa sababu kulikuwa hakuna the proper the proper accounting ya kwamba kitu gani kimeingia, kitu gani kimetoka, watu gani wamelipwa.
Kuna wale watu ambao walikuwa wanataka kuraise yaani mtu kama ameanza na 10 million anataka at least afikishe maybe 50 million.
Kwa hio unaweza ukifanya ukimpa labda mwezi huu milioni tano anakuambia hiyo ibaki kwa sababu mwezi ujao afya ya milioni 15 itakuwa milioni saba.
Ikibaki na hiyo ina maana capital itaenda mpaka milioni 20 na kitu afya yake itakuwa ni milioni 10 na kitu.
Kwa hiyo sasa wale watu ambao walikuwa they don't withdraw yaani ile ikifika payout haichukui anaiweka alikuwa anaendelea walikuwa wanaendelea kufanya kwamba namba zionekane ziko sawa.
ila sasa ikifika ile moment kama ikitokea ile moment ambayo sasa watu wote inatakiwa wapewe nafikiri hapo ndio tungeliona gap na that time kulikuwa hakuna tarehe husika letiinvest tarehe mbili alikuwa yeye kila tarehe mbili anachukua kama kuna mtu aliinvest tarehe 10 kila tarehe 10 anachukua kwa hiyo the withdrawing ilikuwa pia iko randomly kulingana na namba ambazo mtu anatakiwa kuzichukua lakini pengine kama tungekuwa tunaofisha kwamba kama ni tarehe 25 ndio investors wote analipwa tarehe 25 pengine ingekuwa ilikuwa ni rahisi zaidi kujua kwamba either we are learning in profit or in loss lakini as long tu pale namba unaiona pale ju hela mtu akija investor mpya akiiweka hela pale ina maana the equity na the bance inaendelea kuonekana ipo juu kwa hiyo nafikiri we mess up na mat >> upande wa trading inakuwa sasa ukipata stop loss ni very huge sound of money na umetoka kutrade 500 10,000 unaweza vipi kuhendle kwamba nipate loss naajua hizi ni pesa za watu sio za kwangu na najua kwamba ikitokea asfunga huu mwezi na hasara probably sitaweza kulipa watu the pressure >> that time nilikuwa na mindset ambayo ni mbaya lakini ni nzuri was kinda fearless kwa hiyo tayari nina nina history ya profit nyingi kwa loss ilikuwa sio kitu ambayo ilikuwa ina nini kwanza one of my friends walikuwanga walikuwanga mpaka sometimes like kwa sababu wenyewe si wanatrade hela ndogo kwa hiyo unakuta mtu akiwa amefunga loss anabadilika kabisa mpaka yaani unamuona anabadilika kabisa mpaka appearance na nini amefunga loss lakini mimi naweza tu nikaangalia tu updates nikaona hapa nimepata loss nikacose simu na maisha mengine yanaendelea kama kawaida kwa hiyo i was that kinda kwamba psychology nilikuwa nishaimas in that kwa sababu nilikuwa najua nimeifunga hii loss lakini kuna trade nyingine ina na mimi kwenye MT4 nilikuwa na kitu kimoja kwa sababu nilikuwa nafanya holding trades kwa hiyo kuna trade imeenda imeit stop loss labda lakini kuna ambayo ina lana za equity za profit pale juu kwa trade ambazo bado ziko op kwa hiyo ile unajua tu kabisa kwamba hii loss iliyotokea kuna trade hapa zinaenda zina cover kwa hiyo ilikuwanga hai tofauti na ile kwamba umeshacose kwa rosona kabisa na mtaji umefanyaje umeshuka hakuna hii qu pale juu inayosoma kwa hiyo nafikiri hiyo that type of trading pia ilikuwa hainipi pressha kwenda inapanda how much to close the loss >> ah presha kutoka kwa watu wengine let's say umepata loss kama ulivyosema 10,000 alafu mtu anaona hii 10,000 ingekuwa ni yangu hii hapa ingekuwa tunazungumzia naenda kufuata crow mlimwani prure kutoka kwa watu wengine >> that old fund ambaye alikuwa kwenye upande wa administration ndio mtu pekee nilikuwa nashare naye trade zikifunga kwenye profit au loss na one of the thing ambayo nafikiri ilikuwa ni quality yake kubwa sio sio mtu ambaye yuko over excited na pia sio mtu ambaye ananic kwa ho kila information akiichukua anajaribu kuevaluate tu kwamba okay from here ni kitu gani ambacho tunakifanya next from here ni kitu gani kwa ho watu wengine tulikuwa wanakuwa wanajua tu kwamba huyu jamaa anatrade hata kiasi ambacho natrade pengine walikuwa hawafahamu kwa hiyo ilikuwa ni between mimi na huyo partner wangu >> na najaribu kuimagine kwa sababu what I know ni kwamba watu wengi wakikupa pesa wajua bwana fulani ah kuna pesa zangu zipo kwake yaani wanatamani kukumonitor yaani hata siku unaweza ukaenda sehemu hivi akaona yule akanunua shampeni sio hela yangu ile yes hiyo ilikuwaje kuwaje sababu najua lazima tu >> yeah kuna investors walikuwa kuna investors nafikiri kwenye sasa zile kind of lovish lifestyle kama ile mfano na umetoka benki umidhraw labda ukaeka hapa kwenye gari ukarecod video umeweka status kuna yeye ndio anakuja anakuambia okay this is not safe kama utatengeneza haya mazoea kuna watu tu watajua wewe unatembea na na hela kwenye gari kwa hiyo kiusalama si nzuri na vitu vingine tu vingi tu vya kitototo ambavyo vilikuwa vinafanyika mtu anakuja tu ana not ile of course yeye anakuwa anaijali hela yake kwa sababu ndio ipo kwako lakini correcting yake ilikuwa sio kwa sababu ana wasiwasi na hela yaani ni usalama wako wewe ambaye ndio hela zetu zipo it's very tulikuwa kuna baadhi yaani kama kuna kuna kuna investor mmoja yeye alikuwa ana alikuwa anapinga kabisa mimi eti ile kufanya zile road trip naendesha gari mambia too big now tafuta dereva au hapa na hapa chukua tu flight kwa sababu the cost ya ajali za barabarani na nini chukua tu flight hapo una so that time nilikuwa niko very young napenda road trip niendeshe mwenyewe umenunua labda x6 alafu unataka leo ukae pembe aendeshe mtu mwingine ndio you very young kwa no mimi ndio nataka nikae pale au naenda dodoma nichukue ndege wakati na x6 hapo 260 speed limit ah no nilikuwa nataka kufanya kwa hiyo kuna investors pia walikuwa wanakuja wana kuna baadhi ya vitu wanacomment na of course sasa unaangalia sometimes mtu unavyoheshimiana naye unaona tu okay hichi nisikifanyi >> na kitu gani kama kwenye nafasi ya kufanya tofauti hususan kwenye mambo ya investment ungekifanya >> cha kwanza ni percentage the 50% was a lot of with a lot of pay kwa sababu benki yenyewe anakupa 8% mpaka 12 kwa mwaka kumpa mtu kwa mwezi uh that is impossible again it's just too lucky ilitokea that year kwamba things zilienda zilienda vizuri Kwa hiyo cha kwanza iko maybe ni percentage sasa hivi labda mtu akifanya kama kuna mtu anafanya investment lakini mi sifanyi actually kwa h kama kuna mtu anafanya eh itakuwa ni ni just give small number ambazo zitakupa pressure 3 t kwa mwezi inar it's a very achievable na kitu kingine nafikiri pia ningekuwa a little bit too calm eh sasa hicho kitu huwezi uka unajua kuna vitu vingine mpaka vitokee ndio vinakupa the other vision of you kwa hiyo nafikiri kwa taarifa au na uelewa ambao niliko nao sasa hivi kuna pia the kind of lifestyle it was not necessary au hata kama ilitakiwa kufanya hivyo vitu lakini sio kwa ile level ambayo tuliifanya i think pia ningekuwa more humble zaidi >> upande wa mzazi akisikia Francisco saa hivi hivi huku mjini kuna maisha haya anayo yeye?
>> Ah sasa >> sasa mimi mamangu ni mimi ni mtoto wa kwanza kwa mamangu and tumepishana age ndogo sana age ndio almost tumepishana kama miaka 20 hivi ambayo mimi ndio yule mtoto wa usichana kwa hiyo ah nafikiri sasa kutoka kwenye the way ambavyo tumekuwa na mamangu nilivyof yaani nilivyofika katika umri fulani zile restriction nyingi sana zilitoka.
And of course kama watu ambao walikuwa wamenufaika kidogo sana na na mafanikio yangu ya kipindi kile ni mamangu kwa sababu every time ambayo utataka kumfanyia kitu atakuambia ndio kwanza umeanza kwa hiyo jijenge kwanza yaani mimi mimi I'm okay.
juzi ile au sometimes naweza kakupigia labda umelala ndio unaumwa au biashara hazijaenda sawa naweza labda nikakutumia hela ya kule unajua zile yaani tofauti sasa na watu wengine mtu mwingine tu yaani anakupiga tu kibomu cha hela yoyote lakini mamangu ni yule mtu tu ambaye alikuwa and mafanikio yangu ilikuwa tu kweni tu makini kwen na kuwa pia kwenye social medias kwa hiyo labda ni mtu labda ampe taarifa kwamba mwanao ana hivi ana hivi au ukienda pale kumsalimia na gari jipya kwani hilo la zamani lina shida gani lakini Ah na ndugu wengine sijakuwa nao karibu sana hata wakati nakuwa.
Kwa hiyo hata ile approach ya kwamba unafanya kitu sahihi au nini ni watu tu waliokuwa wanaangalia from far.
Na what happened?
>> So it happened bana um kuna mwezi kuna something happened one of my guy walifanyanga kitu and then kile kitu kikatan out kuwa kikaenda mpaka polisi huko and staff and kilivyoenda kuwa police and I had to fight for those guys to watoke polisi na I took almost kama month hivi and kipindi hicho polisi ilikuwa ni kitu kigeni sana kwangu.
>> Walichukua pesa invest au?
>> Ah no some some other issues ambazo kwa sababu zinahusisha watu wengine sitapenda kwenda in detail sana lakini it was a big mess.
Kwa hiyo na kitu kilikuwa kiko heated kwa sababu that time Rais alikuwa Magufuli mpaka yaani yeye ndio alikiongea na akampa maagizo that time alikuwa Paul Makondwe ndio akampa maagizo.
Kwa hiyo sasa ikuwa tukienda pale polisi anakuambia kwamba haya ni maagizo ya mkuu wa mkoa.
Kwa hiyo kulikuwa kuna uzito fulani na nikatumia hela nyingi sana ambazo zilikuwa haziko documented.
pia at that time pia kwa sababu ni kama ndio wale watu ambao ndio walikuwa kama ndio creu yangu almost kama watu saba hiv walikuwa wako ndani kwa hiyo umutrade pia ilivofika sasa mistake ambayo nilifanya nikasema kwamba I'll pay these people yaani hiyo kitu isitokee ni nini isitokee kwamba ilikuwa ni challenge yaani mwezi mzima sikutrade kwa hiyo hakuna kitu ambacho nimekiingiza lakini pia nilikuwa na spend money ambazo ambazo zilikuwa tu ni hela zangu ambazo zipo kwenye different account.
Lakini sasa mwezi wa pili ilikuwa ni kwamba investors they don't have to know anything ambayo ilikuwa inaendelea.
Kwa hiyo nitawalipa 50% alafu hela ambayo inabaki ile ndio nitaendelea kufanyaje?
Kutrade.
Kwa hiyo sasa kama capital ilikuwa ni LI na maana kwenye ule mwezi ambao ndio nimeanza kutrade lak yote nikaitoa kwanza ambayo ndio 50% ya investors.
Kwa hiyo iliyobakia nikawa sasa nina ile kwamba last month nimetumia hela nyingi sana alafu pia kwenye capital nimeshapunguza nusu kwa ajili ya kuwalipa watu.
Hichi kilichobaki sasa kinatakiwa kikave the equit.
kinatakiwa kicove ile lifestyle ionekane nimeshake na vitu kama hivy alafu inatakiwa pia nitengeneze the profit pia kwa ajili ya kuwapa investors for next month kwa hiyo pressure ya trading ndio ikatokea pale alafu pia ikawa imekutana na vitu vitu vingine kodi ya ofisi kwenye apartment ambayo tulikuwa tunakaa pia kodi yake pia ikawa imekuja kwa sababu nilikuwa nalipa kwa mwaka mwaka nini kwa hiyo nikajikuta pressure imekuwa kubwa ya external pressure ambayo haahusiani kabisa na maswala swala ya trading alafu nitakiwa pia niendelee kudeliver kwenye kazi.
Kwa hiyo it reached to a next month.
Nimewalipa watu mpaka kwenye tarehe nane hivi nikaona kabisa na collapse.
Kwa I have to call a meeting kwamba tumekuwa tuna a man.
Ah kwa hiyo kwa mwezi huu kuna watu kadhaa tumwalipa lakini tulikuwa tunalipa kutoka kwenye capital.
Kwa hiyo ili tusimalize capital itabidi tu hold on.
Kwa hiyo itabidi tu hold on mpaka tarehe fulani.
Kwenye meeting watu wakaniambia sawa sawa muda gani?
Nikamambia mimi nipeni miezi miwili.
Nikasema sawa.
hii ilikuwa kama ilikuwa kama Oktoba hivi kwa hiyo ilikuwa ni wananipa Novemba na disemba alafu Januari payment zinaendelea kama kawaida.
So kwenye trading pia that is a low season ndio tunaingia holiday as well kwa ho na hapo ndio kama ndio tumetimiza mwaka na hiyo services so last year namba ilikuwa ndogo kwa hiyo kulikuwa hakuna hiyo pressure kwa ho the next day imekutana na law season kuna hizo kuna hizo ah kuna hizo loss loss na hayo matukio yametokea alafu pia nipo kwenye pressure ya kumake sure kwamba natakiwa kurudi pia na mwezi ule unavyoenda kuna wale investors sasa wanakufuata tu private bana sikiliza mimi hii hela ilikuwa ni mkopwa kwa hiyo hata kama hutanipa 50% naomba tua asilimia fulani nikafanya marejesho alafu tutakavyokuwa sawa kuna mwingine anakuja bwana mimi nilikuwa nategemea payment ya mwezi huu nilipe kodi na nini na mtoto anaumwa unajua wale watu sasa kutengeneza yale mazingira unaendelea tena kutoa hela lakini pia theestyle pia inaendelea ile ile kwamba mkitaka kutoka mnaenda Mlimani City mtaenda na gari saba gari nane.
Kwa hiyo the next month pia hakuna hakuna kitu kikubwa nilichokifanya.
Yaani of course hakuna production kubwa ilofanyika ila nikawa j bado nina mwezi mmoja kwa hiyo nitafanya.
kwa issue ikaenda ikaenda with everything that happened nakumbuka mpaka ikabaki kama 7 um around tarehe 16 mwezi wa 12 2018 and pale ndio na watu kuanzia tarehe mbili tarehe ilikuwa ni tarehe tano ya mwezi wa kwanza ndio inatakiwa nirudi na feedback kwenye meeting kwamba hii miezi miwili vitu vimeendaje and what do you guys be expecting Ilikuwa kuna like group of investors labda WhatsApp >> tulikuwa tunawasiliana nao kwa emails na tulikuwa tuna ile like broadcast.
Yeah.
Kwa hiyo nikamfuata partner wangu nikamambia kuna vitu moja mbili tatu nini na nini na nini umiko hivi hivi hivi na hivi na hivi na sioni kama tunaweza kurudi kwenye kutoka 7 mpaka mpaka almosti 750 kwa that time.
Yaani ni kama tuna 10% ya kitu ambacho tunatakiwa tutakiwa kuwa nacho.
ndio pale nikamambia like let's try to change the the assets ambazo tayari zipo kama zinaweza zikatu zik zikatusaidia maybe turaise certain cap tuko hapo ndio ikaanza ile sasa kuuza uza magari na nini so the thing ni kwamba tulivyoanza kuuza magari ah investors kwamba this guy saasa hivi hana hela ameanza kuuza magari kwa hiyo frustration zikaanza kwa wale investors ndio mtu anakuja okay basi bana m naomba tu hela yang biashara iishie tu hap.
Kwa hiyo ukimpa hela maana kwenye ile 75 na yenyewe unafanyaje?
Unaipunguza.
Kwa hiyo baadaye nikamtafuta roya nikamambia watu hawawezi kuithraw hela.
Kwa hiyo shida ndio ikaanza hapa.
Ah bana mimi nipe hela yangu.
Hivyo kwa hiyo akaenda maswala ya kupelekana polisi na nini.
Ile ilivyoanza mpaka kufika Januariwa sina kitu.
And hapo nitakawa nikakutana na investors.
So of course nikawafuata investors nikawaambia kila kitu kilichotokea.
Nikawaambia bana kinipa muda nitaraise capital kwa vitu ambavyo nipo mpaka mwezi wa nne tarehe moja nitakuwa nina hiyo saa 2019 mpaka tarehe nne mwezi mwezi wa kwanza nitakuwa nina nina kitu cha cha kukileta.
akaniambia like yaani kwenye meeting pale mpo wote watu wanakubaliana ila sasa baada ya meeting sasa ndio kuna mtu tu anakufuata anakuambia bwana mpaka mpaka mwezi wa nne sitaweza kusurvive nilikuwa na hela ya mkopo nina kitu hichi nina mambo fulani na nini sasa kuna mtu mwingine anakuona bado unatuambia huna hela alafu umekuja kwenye kikao na reni kwambia huna hela umekuja tumekuona sijui sehemu na ex6 like kwa hiyo nipe nipe yaani we hela unayo ile umeamua tu umeamua kukaa nayo kwa hiyo pale akaja maswala ya polisi na nini so one investors nafikiri yeye ndio aliyekuwa ameinest hela nyingi zaidi kuliko kuliko watu wengine ndio wakaniambia kwamba like hautaweza kusurvive na hizi chaos kwa ho maybe go somewhere nikatulie kwanza kwa sababu kwenye meetinguambia kwamba tarehe 4ne mwezi wa kwanza utakuwa sawa obvious we don't care kwamba hizo siku wewe utakuwa wapi ila sisi labda tarehe moja mwezi wa nne ndio tutajua umekuja na kitu gani kwa hiyo kama haya mazingira they are not safe na nini mimi akaniambia mimi I have a friend yuko Nairobi kwa hiyo naweza nikaorganize ukaenda ukapumzika ukafanya vitu vyako kama unavyovifanya kama ni trading pale utakutana tu na mazingira utafanya trading and then vitu vitakaa sawa kwenye mind yangu ikawa ah sasa nakimbia mim siwezi kukimbia unajua mi nitabaki nikakaa zile mwezi wa kwanza so zikawa >> hapo labda watu wanakuja ofisini >> eh watu wanakuja ofisini wanakuja nyumbani wanapiga simu simu ilikuwa ya moto yaani haushiki um ile sasa mwezi wa kwanza ukawa uko very heated watu wanatakiwa wapeleke watoto shule sijui nini na nini unajua vitu ni vingi yaani kila mtu anakwambia mimi nipe tu hata milioni tano mimi nipe tu hata kiasi fulan kwa hiyo sasa hapo ndio nikaanza kuona ah ile suggestion ilikuwa ina maana hii kwa hiyo nikaja nikamtafuta nikamwambia bwana niko tayari.
Sasa unajua kwenye um kwenye situation vitu vikianza kuharibika usipoaccept mapema utakuwa unahisi unafikia hichi kumbe ndio unazidi kumake things worse yaani itak bwana vitu vimesharibika bwana unaaccept bwana vitu vimeharibika hivi kwa ile kutry kufix vitu ndio ilikuwa inazidi kuongeza matatizo zaidi kwa h reach to a time mimi wakati na yaani kutoka hiyo 750 the time ambayo nimetoka nimetoka daa nafika Nairobi na kama tu for that time ambayo sasa hiyo ndio ilitakiwa mpaka tarehe 1 m wa nne nimapata 750 ni tu impossible of course it was impossible think kwa sasa pale ndio ile jina la tapeli lilipokuja amekimbia nchi sijui nini na nini na nini lakini wale watu ambao nilikuwa naweza kuwaro situation jinsi ya hivyo nilikuwa nawaweza lakini understanding na frustuation ya amane kila mtu ipo kivyake na mwingine tu anaona umenifanyia makusudi nini kweli >> wakati unaondoka wale marafiki ambao ulikuwa nao ulikuwa unawaaga kwamba mimi sasa naondoka na nini >> hapana kwa sababu nilimfuata that guy nikamwambia kwamba nafikiri saasa hivi things zimekuwa ziko heated kwa sababu nilikuwa naripoti kama osay police naripoti almost mara saba kwa siku kwa sababu kuna watu wako tofauti tofauti mpaka kuna mtu mwingine akienda kupeleka kesi kuna mtu fulani namdai anambia huyu anakuja saa 4ne00 hapa anakuja kuja kuripoti kwa hiyo nikaenda pale nakutana na kesi nyingine kwamba kuna mtu anakudai hivi watu wengine wakaanza kujua maybe labda polisi pale bay tayari nimeshakuwa niko common labda kuna polisi labda nimewalipa kwa hiyo hakuna kitu wananifanya wakazipeleka case central kwa ho central pia ikawa naenda na ripoti central na vitu kama hivy kwa hiyo um baadaye sasa nikaona like ah this is getting wors kwa hiyo nikamfuata yule jamaa nikamwelekeza na nini nikamwambia basi mimi nitakavyokuwa tayari kuondoka nitaondoka akaniambia yaani hapo bado unataka ujipange kwamba unataka uende ukawaage watu nini na niniambia wewe mwanaume bana tuanze tu hapo Nairobi hatuhitaji hata visa au nini kwa hiyo yaani yaani vile ambavyo nilikuwa nimeenda kumuona ndio ambavyo tulitoka tukaondoka na kwenda Nairobi kwa hiyo na akaniambia tu kabisa tu ziache tu simu zako na nini hilo >> najaribu kufikiria kwamba kama watu walikuwa wanahisi huyu pesa bado anazo itakuwa tu anatutrick.
That means tumekuuliza swali la marafiki kwa sababu bado pia hata watakuwa wanaamini kwamba huyu hawa marafiki zake itakuwa wanajua yuko wapi.
>> Yeah.
Of course na wenyewe wali hiyo issue ikawa na na lengo la yeye kutokuambia usimwambie mtu ni kwa sababu obvious watu wataenda tu kwa marafiki zangu huyu jamaa yuko wapi?
Kwa hiyo kuondoka bila kuwaambia kitu chochote kwao ilikuwa pia ni advantage kwa sababu mtu hapo hana cha kudanganya bwana mim sijui nimeona naye tu asubuhi alitoka sijui alielekea wapi.
Kwa hiyo hiyo ndio pia ilikuwa ni advantage kwao.
Hata watu wengine bado mnajua huyu anakuwanga na mtu fulani na nini kila akiitwa bana mimi huyu mtu kama mnavyoona hapa nimeongea naye maana mwisho meseji zetu za mwisho ni hizi hapatikani hivo kwa hiyo na ile ndio ikaongeza sasa frustration jamaa amekimbia upo social media tena na nini >> ukiwa faa ukiangalia labda frustrations to media na nini kwako unakuwa unafikiria nini kwamba labda nitafanya comeback au nitafanya nini yaani at this time ili kustabilize situation kuwatafuta wale watu ambao wanaleta frustration kuongea nao au action gani ulikuwa unaona hapa nikiichukua >> itawk so at that time pia na mimi nilikuwa niko kwenye mindset haikuwa sawa kwa hiyo nikikutana na nikikutana na bad comments au hivi hivi na hivi nataka kuwaonyesha kwamba hivo si hiv ila the only way ya kufanya hivyo ni kurudi na numbers kudeliver tena kwa hiyo nilikuwa naona tu like okay kama nimezungumziwa hivo ngoja sasa nirudi kwenye MT4 alafu niflip nifanye nini?
So nikaanza kufanya trading ambayo hata si yaani nikatoka kwenye ule mfumo wangu wa kutrade wa kurelax wa kuwa nini ikawa sasa ndio kwenye kutaka sasa nirudi kuapprove wrong na nini which was made even the situation was kwa sababu hakuna kitu nilitengenezwa mpaka ile kuja kuc sasa kwamba you know what take it maana hata kama itachukua 10 years 11 years kufanya tena hivo just take it lakini hicho unachoenda enda kufanya hakiwezi ku yaani [muziki] just give you frustuation na nini ilikuwa tayari nimeshaess up sana yaani sana almost two years three years mpaka kuja kuc hiyo kwamba like nataka tu kutake vitu hizi na nini >> na unakuta unajua kuna watu labda walikuwa wameona tayari vile vitu ambavyo vilikuwa unavifanya alafu wakaona mtu anaweka malengo yake kwamba hapa lazima mimi nikainvest pia sema tu sa sasa hivi sina pesa.
Sasa unakuta kuna vitu vikisharibika yule mtu bado hajui anza kama kutafuta bado anafikiria kwamba nataka niinvest.
Na kuna watu wengine wanakuanga na ile tunaita shabiki kindakindaki.
Hata kama umefanya kitu gani still atakuja ku mi naamini unaweza.
Yaani yes take my money.
>> Yeah.
Nafikiri mpaka kama na 21 hivi 22 ah nilikuwa napata approach kama hizo kwamba let's do it again.
Yaani tufanye hivi tufanye hivi tufanye hivi.
Lakini ah kuna ile fear ya kwamba what if it happens again and like what if it happens again?
Kwa sababu mara ya kwanza mtu anaweza akaelewa ni mistake.
Yaani ikitokea mara ya pili wewe unajua unachokifanya.
Kwa hiyo na mimi nilikuwa nasema tu my worse and my wor wor wor wor worst decision ambayo niliifanya kwenye trading career yangu ni kutake investment.
Kwa hiyo first of all investment it's a no kwa yaani hata mtu aje kuniambia developer yaani I can take someone money kabisa na hiyo ni kwa sababu pia bado I have unfinished business na watu kwa hiyo wewe ukinipa leo hela yako nisipo deliver ukaiongea mahali kuna watu wa miaka saba nane nyuma watasema mb alikifanya hichi kitu miaka saba nyuma na anaendelea kukifanya tena kwa hiyo inaonekana hiyo ndio njia ambayo mimi nitakuwa nime kunani which is not correct.
Kwa hiyo nikasema the challenge ilikuwa ni kwamba umetrade li 4000 3000 kuja kurudi kutrade 1000.
>> Nilikuwa nataka nikuulize hilo hilo swali.
It was a big challenge.
Alafu ukipata loss ya 200 unaanza kuiona sio loss mpaka unavyoish to that life ambayo hiyo 200 ndio unaona like yes hii hii ni hela nimepoteza.
Kwa hiyo it was like very very rough load very rough load with a lot of bumps.
kwa upande wa kufikia mpaka kuc kitu gani hasa unaona kili kupelekea ukaona okay this have already happened na inabidi nianze upi ulikuwa una psychologist shift physotherapy nini au ilikuwa ni wewe mwenyewe tu >> i think tu life ina namna ya kukumake in a corner ambayo you have just to accept things kwamba no this hii sio mi sijawai kwenda kwa therapist sijawai kwenda kwa nani lakini nafikiri tu life ilikuwa inanikona kila ukifanya evaluation unaona najiona kama narudi lakini it's it's a way down yaani it keeps going down na the approach ambazo unataka kuzitumia ndio zinakuonyesha kwamba wewe bado hujaaccept situation kwa hiyo you have to accept completely kuna muda ulikuwa naaccept kwamba okay hichi kitu hakitokei hivi maisha yameshabadilika hivi hivi hivi na hivi unajua sio lakini nafikiri one of the corner ambayo maisha ilikuwa yameniweka I reach to that time ambayo kuna watu nilikuwa na nilikuwa naamini ananiamini the guy ni mpambanaji na nini kwa hiyo ilipofika to the moment mpaka aina ile ya watu wakawa wamegive upamba like no is this this guy is completely done now pale ndio like the life gave me accept ile power ya kwamba sasa you have to accept things have >> probably hawa watu ni wale ambao pia walikuwa nao >> eh nilikuwa nao niko karibu sana kwa hiyo nika sio karibu tu lakini pia unajua kwamba huyu mtu alikuwa yaani huyu mtu nahisi kama mimi ningekuwa nimesha nimeshaacha kujiamini this is the last person ambaye ingeniamini kwamba ningekuwa nafanya kitu lakini baada ya kuona sasa nao they have accepted ndio nikaona like okay na yeah hapa sasa hii ndio rock bottom yenyewe na uzuri wa rock bottom ni moja tu huaga nawaambia tu watu wote utakapo ikitokea umefika the lock bottom pale ndio mwisho Yaani the only way ambayo imebaki pale ni kwenda tu juu ni kurudi tu juu.
Yaani hakuna tena sehemu ya kwenda ukishafika lock bottom.
That's the positive thing about lock bottom.
Kwa hiyo nikasema tu kwamba okay shafika sasa kwenye hii.
Kwa hiyo nafikiri tu hapa tu ni kumake to a good strategies za kuona ni kwa namna gani sasa unatoka kwenye rock bottom kwa sababu that the only otherwise labda ukiamua sasa wewe kuishi kwenye rock bottom ambayo atina familia sina majukumu sina nini ilikuwa ni >> tutakuja huko kwenye strategy za kurudi kutoka kwenye rock bottom kurudi juu lakini kitu ambacho nilikuwa nakifikiria pia ni mali ambazo ulikuwa nazo sidhani kama ulikuwa umeuza zote wakati unaenda Nairobi.
>> Yeah.
So things that happen ni kwamba wale friends ambao nilikuwa naishi nao um ndio nilikuja kuambia like some of the people yaani walivyojua tu wewe umeondoka kuna baadhi ya vitu mtu alikuwa anachukua.
Yeah.
Kuna kuna one of my relatives nilikuwa nafanya naye kazi alienda ofisini yale sijui maskre ya ofisini akayachukua.
Sasa watu kuna wale investors wengine ambao walikuwa wanahitaji kulipa vitu vyao.
Walivyowafuata wale watu ambao sasa siku nikienda polisi naekewa dhamana.
Sa kuna watu walimewekea dhamana like ndugu zangu, mama zangu, wadogo nani kwa hiyo sasa nilivyotoka wao ndio wakawa sasa ina in question.
Kwa hiyo wakasema like kama the guy ameondoka basi tunaweza tuka vitu vichache ambavyo tunajua vipo basi tuvieuze to the money and then tuwalipe hawa watu ambao ilikuwa the case kwa unafika ofisini unakuta maskini hayapo sijui nini kurudi kwenye jengo kwenye CCTV ndio anamkuta huyo mshikaji alivichukua ukienda nyumbani pia watu sijui kuna mtu ametoka na TV amefanya nini hao ndio ambao walikuwa my friend sasa kwa hiyo yeah it was to that mess lakini again vitu sio vitu sio kitu ambacho labda kilikuwa kina nilikuwa niko attack nacho sana ilikuwa tu ni that people ya kwamba kwa nini wanafanya hivi unajua like mimi ningekuwa kwenye position nisingefanya kile kitu kwa nini huyu mtu mwingine amefanya ile ndio kitu ambayo ilikuwa imenikata and then at that time nilikuwa naamini sana kwenye friend yaani some of the girlfriend ambao nilikuwa naadate nao yaani walikuwa wakiongelea sana kitu ha marafiki sijui unaelekeza sana marafiki na nini alafu nikienda kwa washikaji kule nawaambia yule demu fulani hawakubali wala nini [kicheko] kwa hiyo washikaji sasa naanza kuona wewe anajikuta nani amekuja ametukuta alfu anataka atutoe tena unajua zile kwa hiyo huyo dem na yeye mnakaa tu muda fulani haupo naye tena huja tena dem mwingine anaongea kitu kama hicho hivo kwa hiyo sasa at the end of the day sasa nikaelewa kwamba kuna kitu fulano alikuwa unakiongea yeah it makes >> kuna kauli moja hivi unasemanga kwenye mafanikio ya mwanaume kuna mwanamke nyuma yako yako kwako ilikuwa ni hivyo pia >> mfano the partner ambaye nilikuwa nafanya naye kazi of course yeye alifanya vitu vingi sana vitu vingi sana ingawa kuna a lot of people they judging her different when that vile vitu vilivyotokea kwa sababu yeye ndio mtu ambaye alithdraw mapema tu kabisa when things happen lakini mimi ni mtu ambaye ndio nilimwelewa zaidi yaani nilimwenda zaidi kulingana na vitu ambavyo vilifanya na rahisi alifanya kitu sahihi zaidi kwa hiyo ah kwenye moja ya vitu ambavyo ilikuwa ni mchango wangu mkubwa sana ile mpaka Forex man industry ilikuwa inaonekana kwamba maana ila nyuma yake kulikuwa kuna mtu ambaye alikuwa yuko less kuhakikisha kuna baadhi ya vitu vinaenda tu sawa inahappen kwa ho wa mwanamke mchango mchango wa mwanamke kwenye maisha yangu ulikuwa kwake na ni mtu ambaye appreciate mpaka kesho kut yaani yupo na >> anajaribu kuona kwamba let's say vitu mnafanya kama hch part na nini na yeye anakuwa anachukuliaje kwamba ah huko tena kuna wanawake wanaletwa Na the thing ni kwamba tulikuwa tukipata kuna muda tunaingia kwenye deep conversation hivyo vitu anavimtion kwa hiyo kuna part of me understand alafu kuna part of me nilikuwa naona kama you crossing the line yaani acha niishi lakini to be a man kuna vitu ambavyo hata kama unafikiria kitu fulani ila kitu unachokitoa mdomoni ndio kina mata zaidi kwa h unaweza tu ukaambia tu like ah hii haitajudia tena Naamini ingawa mimi najua kwenye akili yangu naanza kitu gani lakini she has a lot of contribution.
Iliofikia mpaka si unaona okay ngoja nirudi Tanzania ulifikiria nini hasa kwa sababu unakuta watu wengi hata kama amekupa pesa yake 20 years ago still atakukumbuka tu yeah na hawa watu bado wapo nakutana nao lakini um at that time ndio kama vile mtu atakukuta atakukuta maybe upo kwenye ex6 na nini kabisa milioni 20 yangu naipata hapa hiyo kama This guy an drive XC6 range nini haipata.
Lakini ah many of them tumekutana kwenye mazingira ambayo kama the other guy aliniambia yaani ilitakiwa yaani nikikuona amefanya kitu kibaya sana lakini nimekuona anakuonea huruma.
Umeona kwa hiyo situation kama hizo kwa hiyo um na usumbufu pia utakuwepo na changamoto nyingine um kulikuwa kuna opportunity ya kufanya comeback kitambo lakini the comeback strategy yake inahusisha the fresh lifestyle again.
Sasa ukiwa na watu ambao uko nao unfinished business hiyo kitu hao hawajui.
Kwa hiyo kuna baadhi ya opportunities unasema okay this is a good one lakini it's not a right one kuif.
Kwa hiyo unaona tu like okay hii hii aache ipite au hichi kitu ache kipite kwa hiyo na it's take courage kwa sababu unaona watu kabisa maybe ndio inaweza ikawa game changer ikanirudisha ikafanya nini lakini ndio zile tunaita temptation opportunity unaweza ukahisi kwamba ni ni game changer alafu ndio ika kama kuna kipindi I had nilipewa that deal na a certain broke and all those stuff nikaona kabisa hii ni certain deal and then I'll mention that kwa sababu it was kwa hiyo nikaongea na and the people they still wale watu walikuwa na trust na nini kwa hiyo watu wakadeposit deposit ikafika mpaka kama 2 hi and then kukawa hamna withdraw yaani withdraw zikawa hazitoki so the people wewe ndio umetuambia kwamba we trade na this blogger kwa hiyo ah na withdraw talk mimi nikiwasiliana na mshikaji ambaye sijui wanafanya marekebisho gani nini mpaka kesho alafu kila mwezi wakuambia sijui kuna akaunti sijui imekaa nini wamekata kiasi fulani percentage sijui ya hiyo akaunti nini so toka 2023 nafikiri mpaka ile capital ya mtu ambayo ilikuwepo yaani inaendelea inakatwa kila mwezi baadaye mpaka >> unakuta wewe ukitadi na broker ukiwthidhdraw anakubali lakini watu >> hata ya kwangu pia ilikuwa withdraw hata hata accounti yangu ilikuwa withdraw kwa Sasa na ile ilikuwa nafikiri maybe nilikuwa nahesabu kama that was my last shot kwa sababu number people zikuwa almost watu sijui 300 na ngapi sasa watu 300 kuwaambia kwamba wewe umewapeleka kwa broker wamedeposit hela zao na hazitoki ndio watu wanarudi 2018 huyu alichukuanga hela za watu hu alafu kama amekuja kuchukua tena kwa hiyo ile ilinikata sana yaani na moja ya kitu ambacho nilik nikifight sana kwa wale jamaa huyu jamaa nilokuwa nawasiliana naye aliyenipa de ni mbongo nikamfuata nikamwambia wewe unaelewa situation ambayo ilitokea mimi yaani unaelewa the thing ambayo ilikuwa imetokea yaani sasa hivi i don't have a room to make mistakes and at least hii sasa mistake inayotokea ni completely yaani kwangu mimi hakuna kitu nanufaika of course hata nyuma hakuna kitu nilinufaika lakini hii hapa sasa yaani inazidi kunitengenezea picha mbaya alafu hakuna kitu mimi ambacho nagain akaniambia tu anaongea na hao watu usha na yeye akaniambia yeye mwenyewe hana access tena na hao sijui watu walikuwa wameniambia I had to accepted so kuna watu ambao wanaamini kwamba maybe niliingia deal na broken all those stuff lakini it's a frustrated industry kwa ho hizo ni changamoto za vitu ambavyo vipo ndani yake >> kama hapo we unokuwa unikia ni kurudi kuwaelezea wale watu au unaona kwamba hata kama nikiwaelezea >> ah nilikuwa natoa updates kwamba nitafanya screen recordi nitaonyeshwa kwamba hii ni akaunti yangu najaribu kutoa ananiambia kitu hichi anaenda na mtu mwingine pia anaambiwa kitu hicho hicho ikaenda hivo kwenye watu 100 wapo watu watakaoelewa lakini there is yaani kama kuna watu 10 watu nane wakielewa watakaa kimya ila watu wawili ambao wataelewa wakiongea negative thing inaenda zaidi kwa hiyo mtu mwingine atarelate na kitu ingine atalelate na kitu ingine kwa hiyo it's becoming kwa hiyo kuna na walioelewa like na watu ambao wanaamini labda it's continuous action kwa hiyo it's a someh frustrating kwenye biashara kuna mambo mengi nilikuwa na maswali mengi sana kwenye upande wa marafiki kwa sababu ukitoa pesa kitu ambacho kinafuata ni aidha marafiki au watu ambao unafanya nao kazi na ningetamani sana watu waweze kujifunza hapo zaidi sababu ni sehemu very sensitive na najua unaele mkubwa sana juu ya hivyo vitu sababu umeexperience vitu vyote umexperience wakati ambao ni kwenye highs na nyakati nyingine marafiki ambao ulikuwa nao this time ile creu yako ilikuwa na watu ambao mmejuana baada ya wewe kupata mafanikio makubwa au ni watu ambao ulikuwa unafahamiana nao toka before >> sasa baada ya kuwa tumeku ile ndio naanza to to be kuwa kwenye pick ah nilikuwa naona tu kwamba like wanasema kama unataka kwenda faster nenda mwenyewe ila kama unataka kwenda mbali naenda na watu kwa hiyo nilichokifanya that time nilikuwa na na marafiki ambao by any means tulishakutana kwenye level fulani ya kimaisha either labda ilikuwa ni shule ilikuwa ni chuo ilikuwa ni high school and then nikawa naambia like man mi nipo nipo nipo town nafanya kitu moja mbili tatu.
Kwa hiyo ah kama hauna issue ya msingi unafanya njoo tupambana unajua ile kitu.
Ila maybe the mystic was hakukuwa kuna ile structure kwamba kama tunapambana wewe accountability yako au wewe utakuwa uko hapa na hapa na hapa na hapa.
So kilichotokea wale marafiki zangu wote ambao almost wengi ambao nilikuwa nimewaita hawakuingia kwenye production moja kwa moja kwamba tunafanya nao trading tunafanya nao nini.
Of course opportunity ya wao kujifunza kutrade au kufanya nini ilikuwepo lakini walikuwa ni watu ambao naishi nao.
Kwa hiyo chochote ambacho nitakifanya nitakifanya huko naokifanya mimi lakini hawa ni watu ambao nitavbe nao kwenye lifestyle.
Tutaenda huku tutaenda huku.
kwa sababu tayari nilikuwa naprovide nilikuwa naprovide nilikuwa na ile rentapokaa ndio kama hiv utanunua magari wewe utaendesha hili utaendesha hili kwa hiyo nafikiri hata ile labda hanga ya wao kufanya kile kitu haikuwepo kwa kiasi hicho ilikuwa tu for life for vibing so of course kwa hiyo when vitu ambavyo vinakuja v haviendi sawa hakuna mtu ambaye utaambia okay basi kama labda huyu angekuwa anafanya kitu hich huyu wanafanya kitu hichi wanafanya kitu hichi ungesema basi huyu angenika labda 10 million angenipa 20 million kwa hiyo the mistake was the idea kwamba njooni tupambane was okay lakini baada ya kufika tunapamb so nikawa ni kama tu yule mtu ambaye niko to the top and then this guy wako tu hapa kunifuata nikienda huku tukienda kuvibe tutaenda kuvibe brief i think nayo pia ilikuwa one of kitu ambacho kikuwa wahi sana >> na wale watu ambao ambao ni tunaita old friends ambao ulianza nao mwanzo at that time uko kwenye pick yao ilikuwa ni vipi kwamba tutakuja si utupe mbinu za unafanyaje fanyaje >> nafikiri tu ile baada tu ya kuanza kuanza kupanda kwenye peck ile livery ile ile kuwa rival ika yaani as na gapu inakuwa kubwa pia the rival pia ndio inakuwa iko kubwa kubwa zaidi na nafikiri na ile mindset yao kwamba you can't help sisi tunajiweza kufanya chochote ambacho tunaweza kujifanya kwa ho I kuona tunaweza tukafanya reconciliation labda kuweka vitu vikae sawa lakini umenity haikutokea.
Kwa hiyo walikuwa tu ni guys tu ambao waapeciate sina any bad feelings na wao lakini kuna ile kitu ndio ilikuwa imetupatia distance kwa hiyo actually at the pick I had completely different people >> na mtu ukishakuwa kwenye peck watu wanakuwa wengi ambao wanatamani kuwa karibu yako hawezi ukawaruhusu watu wote ulikuwa unatumia kama criteria gani kwamba huyu nitamweka karibu huyu nitamweka mbali >> ah nafikiri pia rutini yangu yangu mimi ah routini na the way ambavyo tulikuwa tunafanya mambo ah kwa sababu mfano kama tunaenda let's say ych sio kitu ambacho labda tunakiarrange labda wiki au nini yaani kuna baadhi ya vitu walikuwa tu wanaona tu kama jamaa wamesafiri wameenda road trip jamaa wametoka wameenda yach au jamaa wametoka wameenda kufanya kitu fulani sio ile kitu ambayo mtu anajua naweza tu nikajoin na wale watu nilikuwa naweza kutoka nao ingine kwa sababu like hakuna majukumu wako nayo Kwa hiyo naweza tu nikaamka asubuhi nikamambia wewe tujaze mafuta tunaenda sef tunaenda Arusha au tunaenda Mwanza unaona kwa hiyo watu wanajaza mafuta safari inatokea na at that time nafikiri watu waliokuwa wanaweza kuwa na access na mimi wanaweza tu kuwa walikuwa wanaweza kupata access na mimi lakini sasa ratiba yangu itakuwa ni ile nitaamka nitaenda ofisini nitafanya shughuli zangu nitapita benki nitaenda hapa it's just a few time at the day labda ndio naweza nikasema nasocialize labda kwa siku zile zile za kazi na socialize ndio hizo labda ndio nishafika nyumbani kwa hiyo kuna a lot of people walikuwa wanataka kuwa karibu utakuta wamefika nyumbani na kwenye apartment tulokuwa tunakaa tutakutana nao tutaongea tu kidogo utamuona tu siku ya pili siku ya tatu anaendelea kuwepo pale so ah kwa kitu labda many of people ambayo nilikuwa nafanya nao let's say labda kama tunaprint au labda kama kuna mtu anapiga picha labda sijui anafanya nini kulingana na kitu anachokifanya baada ya kuwa tumeonana onana ndio tunaweza hafu si mtu fulani anafanya kitu fulani kwa Kwa hiyo ikitokea issue ambayo inaendana na ile kitu ambachokifanya yule ndio unakuta tumekuja sasa kukutana nimemtafuta tumefanya kitu kama hili ila I understand ile kwamba kila mtu anaona kwamba nini nikienda nikikaa na magnetics basi mimi ndio nimemaliza au nikikutana naye nikiongea naye hivo which most of the time ilikuwa happen kuna someif tu unatakiwa uzifanye.
Unaweza ukakaa na mimi hata masaa mawili tukaongea tu alafu kama mtu hawezi kwenda kufanya hawezi kwenda kufanya chochote mimi siwezi kukibadilisha hicho kitu.
Lakini I understand ile kwamba watu kutaka ile kwamba nataka niwe karibu na kitu kama >> na ile feeling labda hawa mimi niliwapa hiki na hiki alafu leo wana ni changamoto zimetokea hawana msaada wowote probabenda kusema vibaya au wengine wanasema labda mimi nilijua tu hiki kitaen na hiki kwako umekuwa unahendo vipi?
>> Ah sasa mimi nili ni ni sio mtu ambaye I'm trying ku nikikifanya kitu nimekifanya kwa sababu nilikuwa na uwezo nacho.
Yaani nilikifanya hicho sio kwa sababu next time na nyinyi mje kunifanyie mimi nilikifanya tu kwa sababu nilikuwa kwenye position ya kukifanya na hakipo personal kabisa.
Kwa hiyo wewe ni kwa namna gani utareact vitu vikibadilika mimi pia siwi person.
Wewe ukiamua kwamba like okay the guy saa hivi ashadondoka sitaki kujihusisha naye tena.
I'm not personal kuhusu hiyo decision.
Nafikiri ni kitu ambacho mtu anakuwa tu ameamua.
Unajua kulikuwa hakuna hiyo agreement kwamba tutakuwa wote kwenye shida na raha.
Unajua eh kulikuwa hakuna hiyo agreement.
Kwa hiyo huaga sichukulii vitu personal ila tu huaga na na na ile unaelewa tu kwamba kumbe huyu mtu ndio yuko hivi basi.
Kwa hiyo next time kama kuna opportunity unajua tu kabisa huyu mtu groupu lake ni hili huyu mtu groupu lake ni hili.
kwa next time kama nina kitu kiko hiv so mimi nina watu wengi sana ambao najua wameongea vitu vya vya ajabu ajabu na tofauti tofauti tukikutana napiga nao tu stori fresh ila mimi sasa naavyopiga nao stori ndio najua huyu mtu anatakiwa afahamu kitu moja mpaka sehemu fulani kulingana na aina ilile lakini sina yule mtu kwamba ushaongianga kitu fulani kwa hiyo sina tena stori na wewe sana tu kawaida lakini ni vile sio mtu wa marafiki tena kwamba utanikuta sijui limehangout sijui na kina nani tumetoka out hapana si s >> ukizungumzia kama hayo mabadiliko sio kwamba sasa ndio kuna watu wanaona kwamba ah mshikaji saa hivi anajitenga na sisi.
>> Ah kingine pia nafikiri ni umri pia unaenda.
Najua kuna vitu ambavyo ulikuwa unavifanya na na majukumu pia yanabadilika na kuna mfumo fulani wa maisha au nini mi sometimes nilikuwa nafikiria labda kwa sababu sina hela ndio maana natulia tu hivy ngoja kuna muda unaona kabisa mimi nina access ya kwenda sehemu fulani au kuna kitu fulani na access ya kufanya hicho kitu lakini unaenda tu pale unakaa dakika mbili unajiona kabisa ah saoma mazingira yangu kabisa unajua zile yeah kwa Kwa hiyo nafikiri pia kwa wale marafiki zangu nafikiri majukumu na maisha jinsi ambavyo tani imeenda kuna majukumu yanatokea sio kitu ambacho mtu anafikiria kwamba labda najitenga na mimi kwenye maisha yangu huaga napenda sana kude na vitu ambavyo naweza kuvicontrol.
Mimi naweza kucontrol action zangu kwako kwamba nikufanyie kitu kibaya aufanyi kitu kizuri.
Namna wewe utarespond, namna wewe utanifanyia mimi, namna wewe utaniongelea mimi hicho kitu siwezi kukicontrol.
Kwa hio as long as kitu fulani siwezi kukicontrol sio kitu ambacho nakipa nafasi.
Kwa hiyo kama naweza kucontrol kitu hicho ndio anakipa nafasi kwamba natakiwa nifanye moja mbili tatu kwa sababu hichi kipo ndani ya my control.
ila mtu mwingine anafikiria ninyi anawaza nini au anasema nini kuhusu mimi some feedback are goods some some hatr zinaweza zikawa zinaongelewa lakini kama criticism ukiziangalia ina positive o unasema like hapa kuna sehemu fulani ya mlagakiwa nikibadilishe hichi kitu ila kuna vitu vingine unajua kabisa huyu bwana anayemzungumzia sio mimi unajua kwa ho you don't take things person >> na kwa sisi wafanyabiashara unakuta tunapata funzo kubwa kwenye vitu fulani mtu akivifanya A kwamba Magnetics alifanya hichi na kuna uwezekano mkubwa ilikuwa ni sawa afanye kwa sababu industry ilikuwa ni mpya.
Alikuwa hana mtu ambaye anaweza akamtizamia lakini sisi bahati nzuri tulipata mtu ambaye unamtizamia mtu mmoja wawili wa tatu unaona kwamba alifanya kitu hichi alafu matokeo yakawa vice versa.
Huyu alifanya hichi.
Kwa hiyo inakuwa like an alert kwamba hautakiwi kufanya hiki, hutakiwi kufanya hiki tofauti na backing 2016 17.
Yes.
Sasa hivi ukiona mtu anafanya vile vitu ambavyo unaona kabisa hivi ndio mimi nilivifanya alafu matokeo yakawa opposite action yako inakuwaje?
Kwa sababu unajua ni watu wachache sana ambao wanaweza kujifunza kwenye pats.
Watu wengine mpaka mtu amshike bega amwambie sikiliza huku unakoenda mimi nishafanya na matokeo yalikuwa sio.
So kitu cha kwanza huwa nakiangalia mimi huaga siofer sitoi msaada sehemu ambayo mtu haitaji msaada au sitoi insert sehemu naweza nikakutana na wewe unafanya kitu wrong lakini as long as naona tu kabisa kukurekebisha hakut wewe hautachukulia kama nakurekebisha kutaleta maana nyingine hizo sehemu huaga si yaani huaga sipai con huaga nabaki na kitu changu kwamba kwa sababu kwa sababu naamini hiyo either kama mimi sio mtu wako wa karibu sana naamini kuna watu kuna kuna familia kuna wazazi, kuna marafiki maybe au kuna mtu wako wa karibu kama hicho kitu sio sawa lazima wanakiona they have lakini kama ni mtu wangu wa karibu sana of course I call them out kwamba hapa umezingua and other time nina madogo yaani wadogo zangu wako wengi sana kwa hiyo kuna ile time nahisi wataanza kuliona kama ah brother ashaanza kuwa boring saasa hivi yaani kuna vitu yaani mbona kama anaku naona sio sahihi na wanajua Kwa hiyo huwa nawacorrect lakini kama mtu anakifanya hicho kitu huaga naangalia position yangu kwake unajua ile kwa hiyo mimi mwenyewe wakati wakati nafanya baadhi ya vitu mtu akiniambia anambia wewe vipi yaani uki wewe unanipa unanipa advice yako wewe kama n unajua zile unajua zile ndio ile kwamba kuna mimi moja inasema kwamba unajua wewe ungekuwa hunyi pombe saasa hivi ungekuwa umeshajenga alafu anakuuliza Wewe unakunywa pombe?
Hamna.
Umeshajenga?
Bado sijajenga.
Sasa wote tuko sawa.
wewe hunywii mimi mimi nakunywa mimi sijajenga na wewe hujajenga sasa kwa nini wewe ushauri usiutumie wewe lakini ah kwenye ile nikiona mtu ameniapproach kuna wale ambao wanakuambia like wewe ulishawahi kufanya kitu moja mbili tatu nilikuwa naomba insight mimi nawezaje kufanya na nini pale huwa naprovide help na naongea sana na watu.
nakumbuka kuna mtu alishawahi kunicheki akaniambia nilikuwa na ah naomba kama 15 15 minutes call na wewe kuna vitu nataka nikuulize na nini utanicharge shilingi ngapi nikamwambia [kusafisha koo] hapana mim sichaji mtu kuombea naye just niambie tu kama kuna kuna kitu gani unahitaji kufahamu kama nitakuwa na insight nacho nitakuambia kama sikifahamu nitasema sikifahamu kama namjua mtu anaweza kukusaidia nitakupa recommendation kwa hiyo iko iko hiv lakini ila tu nimemuona mtu amefanya kitu hata social media nikapita nikakuta mtu amefanya exactly kama kitu nilichokifanya mimi nitike tu kama simfahamu basi nitike tu nitasema kuna muda tu atakuja ataelewa lakini huo pia huwa wanaruhusu watu kufanya kufanya mistakes ah ukiwa kila kitu mtu akikifanya ukimwambia usifanye usifanye usifanye unamnyima exposure ya kupata consequences ya kitu ambacho anakifanya kwa hiyo sometimes hata ile mtoto kila siku akiwa anakaribia moto amwambia usiende usiende yaani haumfundishi wacha siku aende auguse alafu akishaungua kesho utamwambia tena asiende yaani mwenyewe anajua tu pale sigi kwa hiyo sometimes unawapa watu nafasi ya kufanya mistake as long as unajua this one is a safe one kwa hiyo haitamcost big time >> okay na tumegusia hapa swala la industry kwamba zamani nilikuwa tunaona hamna mtu ambaye unaweza ukatizamia kwamba amefanya mistake hii matokeo yakawa hivi lakini sasa hivi hivi tayari industry hatuaswa kuna role models umeona wengine wanaita labda ant models yes kwamba huyu sifati kama alichokifanya lakini namtizamia kama mtu wa muhimu kuangalia yes kwa lengo la kwamba nifanye labda the opposite au kuna makosa nisiyarudie tukiangalelea industry in general wewe unaona utofauti gani mkubwa kati ya that time 2016 171 Na sasa hivi >> cha kwanza ah industry wakati inaanza kulikuwa kuna kale kaunity fulani hivi kwa sababu wote hatujui kitu.
It was it was a very safe space na kulikuwa hakuna mgongano wa masl.
Okay.
Kwa hiyo um ilikuwa ilikuwa iko smooth.
Ilikuwa ina kuna kuna watu fulani unaweza ukamsikiliza, kuna mtu fulani unaweza ukamfuata ukafanya hivi.
So kapitalism inakuja na mambo mengi.
Sasa hivi kila mtu anajua anachokifanya.
anajua kiasi ambacho anaingiza there is no kwamba eti wewe ndio utakuwa the voice ya hicho kitu kinachotokea.
Zamani ilikuwa ni kwamba Jeff anaweza akaandika kitu na kikawa mjadala kwa wiki kwa sababu ya ile ya ile ya ile yeye alikuwa ni kama ni kama mtu fulani hivi unajua eh kwa hiyo like kama Jeffi unajua hivi lakini industry sa hivi imesha imekuwa to the fact opinion ya mtu mmoja ambaye anaweza ikafanya ikabadilisha kitu au ikafanya kitu chochote which is a very good King kwa sababu ah kama leo Magnatics hayupo Amrisali yupo kama sielewi kitu anachokifanya Mrisali au comment ya Mrisari haiendani na kitu naachokifanya comment ya magnetics maybe itaendana na kitu nitakachokifanya.
Kwa hiyo mtu ana option nyingi za kufuata kile kitu ambacho kina kwa sababu watu tunatofautiana.
So obvious kwa huyu kwa huyu kwa huyu unaweza ukapata aina yako personality yako then ukafanya kitu ambacho kiko sahihi zaidi.
Ah kitu ambacho niko um against nature ni kwamba if you have your laptop you have your skills you have your capital na unafanya vitu vyako.
Why would you point someone kitu anachokifanya tofauti?
Hiyo ndio kitu ambayo mara nyingi sana nikiona huwa inanikata.
Mimi sikumbuki kama nishawahi kuwa na any kind of contradiction na traded kwa muda wote wa miaka 10.
ukitoa my old friends ambao tulipishana kwenye vitu vya mwanzoni hajawaitokea mimi nika labda nikarushiana maneno au nikasema twende fanya sijui anafanya kitu fulani nini kwa sababu my focus was on the screen my capital na kitu ambacho nakifanya mimi kitu anachokifanya mrisali kitu wanachokifanya mic ni yaani it's really none of my business ila kama itatokea tumekutana tukataka kushare mawazo na nini sado tunaweza tukafanya hivi tunaweza tukafanya tukafanya hivi kwa Kwa hiyo hii trendi ya traders hivi na nafikiri siwezi kuwaita traders wadogo inaweza ikasema traders ambao they keep the indestructive ile ya kuattack each other ndio kitu ambayo nikiangalia naona >> unahisi sababu ni nini hasa kwa sababu nature ya binadamu ni almost wale wale kila siku yaani kitu gani kimebadilika mpaka watu wanafikia kwenye hiyo staji kuna watu wengine sasa vita hii ni kubwa kiasi kwamba hao wakikutana wanaweza wakapigia akapigana eh inaweza ikawa let's say ni slide kwamba um kama nakuona wewe amri ni threat kwangu um alafu kuna vitu fulani unavifanya ambavyo haviko sawa nikivipoint hivyo vitu kwa watu wale watu wako labda hawajik labda kama wote tunafundisha tunafanya mentorship na kitu kama hicho na which I think pia hiyo sio right approach kwenye kitu kama hicho kwa sababu kama wewe una service zako alafu kuna kitu unakifanya wrong ikikuachilia uendelee kufanya wrong obvious kile kitu kitakudondosha kwa hiyo wale watu wako ndio watakuja tu kwangu kama mimi nafanya kitu right sindio kwa hiyo nafikiri the best way ni just wait tu kama mtu kama unaweza kumapproach like man nafikiri nimeona kitu chako unaweza ukaongeza moja mbili tatu is a good lakini ile kwamba ah wewe wewe hufanye hivi sijui nini na nini like Ukishakuwa kwenye industry muda mrefu ukiangalia baadhi ya maisha ya traders unaweza ukimwangalia tu posti zake ukiangalia lifestyle yake unajua tu kabisa the way ambavyo anapresent social media anajua kabisa huyu atrad na wapo wengi sana kwenye social media huyu atrad lakini ile ni opinion ambayo mimi nabaki nayo ndani tu kwamba hasa nikianza kuwaambia watu wengine huyu atrade yaani m inanisaidie mimi ushaelewa ni ah na hata mtu mwingine akija kuniambia kwamba unamuonaje mtu fulani kuna kipindi fulani alikuwa anakuja sana hayo maswali unamuonaje mtu fulani ameniambia kozi yake kiasi fulani naweza kwenda kusoma unamwambia tu kajaribu right kajaribu utapata matokeo kwa sababu mimi huyo mtu sijawai kukaa naye karibu kozi yake siijui siwezi kusema hivi na hivi lakini ukiangalia kwa nje unasema tu kabisa hapa hapa hapa yaani kuna question mark na doubt kiba eh hivo Sasa ile ndio inafanya sasa huyu anafanya kitu hiki alafu anamuona mtu mwingine anafanya wanaanza tena kuatak naona kwa hiyo natamani hiyo isiwepo na ndio kitu ambacho ukiangalia naona sisi kama industry nguvu yetu kubwa ilikuwa inatakiwa kupambana kupata regulization ku kisheria ile kumake sure kwamba okay hii ni biashara ambayo iko rasmi sasa na biashara ikishakuwa rasmi ina maana ina na inarahisisha baadhi ya mambo.
Meshaelewa?
Um mimi najiulizanga kitu kimoja kwamba kwenye nchi yetu kubet kamali ni kitu ambacho kiko rasmi.
Watu wanaborex trading sio kitu ambacho kiko rasmi.
Kwa hiyo kuna kuna watu wengine pia wangeweza kufanya industry ikawa ina monwonekano mkubwa.
Let's say tukapata broker ya kitanzania na brokerage zikiwa Tanzania ina maana industry inakuwa mpaka watu yaani mpaka watu wa kawaida wanaweza kudeposit let's say kwa akaunti ya Tanzania sharing saa hivi 100 labda brokers wengi unakuta labda minimum deposit 100 ngapi ambayo pia ukianza kuitrade kwa 0 micro lot size unaona kama ah dola moja ni hela ndogo lakini anaweza tunaweza tukapata big investorsanzania wakafungua brokerage za kitanzania Tanzania mtu anadeposit 5,000 anadeposit 10,000 na ikawekwa calculation ya pips maybe um kwenye hiyo 10,000 unaweza ukapata labda 1000 2000 kwa siku kwa hiyo mtu anaweza akawa ni trader anamtaji 20,000 ila anajua tu kabisa okay kama natokea geto nimetrade zangu nimepata leo 2000 hii hapa naenda kula zangu kwanza supu na chapati alafu naendelee tena ku yaani give people that level ya kusurvive kwa hiyo hawa watu watakavyokuwa na trade ambaye anaweza kuafford l ataenda kwenye l,000 anaweza kuafford 20,000 akae hapo lakini sasa hii iliyopo inakuwa pia inatubana pia hata sisi unaofanya kazi na brokerage kwa sababu inakuwa pia kama kamari what if it happened and expected broker akachimba umeshaelewa na vitu kama lakini tukiwa ikiwa ikiwa ni indust ambayo iko rasmi investorsingia watu wakaweka hela kwa sababu saa hivi labda mabosi ambao wana haya makampuni ya betting ni watanzania tu wengi tu ambao ndio wameweka hela zao.
Kwa hiyo inawezekana pia hata kwenye kwenye trading.
[muziki] Kama umetizama mazungumzo haya mpaka hapa mwisho naamini kuna vitu vingi sana ambavyo umeviona ni very interesting.
Naomba tupatie commenti yako hapa chini.
Kama kuna swali lolote pia ambalo umelipata niulize.
Next time tukipata nafasi ya kufanya episode nyingine tutaanza na maswali ambayo mmeyauliza hapa kwenye ah comment section.
Lakini kitu kingine usisahau kushare na ndugu jamaa rafiki kwa sababu lengo kubwa la si kufanya mazungumzo kama haya ni ilweze kujifunza.
Kwa hiyo akijifunza mtu mwingine apart from you anakuwa ni kitu kizuri pia sishie kujifunza mwenyewe.
Then baada ya kusema hayo yote see you next time.
Usisahau kusubscribe sababu episode inayofuata itakuwa pia ni episode kali sana.
Kwa hiyo see >> [muziki]