๐Ÿ“˜ How to Get a Tanzanian Passport

Dreaming of travel outside Tanzania? Your first step is a passport. Here is a complete guide to applying through the Immigration Department.

๐Ÿ“‹

Required documents

  • โœ“ Cheti cha Kuzaliwa (cha mwombaji)
  • โœ“ Cheti au Kiapo cha kuzaliwa mzazi wa mwombaji
  • โœ“ Kitambulisho cha Taifa (NIDA)
  • โœ“ Picha moja ya hivi karibuni (kivuli cha rangi ya buluu)
  • โœ“ Ushahidi wa safari au shughuli anayofanya mwombaji
  • โœ“ Barua ya utambulisho kutoka Serikali za Mtaa
๐Ÿ“

Step by step

1

Tembelea Tovuti ya Uhamiaji

Nenda www.immigration.go.tz โ†’ Huduma za Uhamiaji (eService) โ†’ Ombi Jipya

2

Jaza Fomu ya Maombi

Jaza taarifa binafsi, wazazi, dhumuni la safari, na watu wa dharura. Hakikisha taarifa zako zinafanana na NIDA na cheti cha kuzaliwa.

3

Lipa Sh20,000 (Fomu)

Baada ya kuhakiki taarifa, lipa Sh20,000 kupitia namba za kumbukumbu. Kisha pakua na uchapashe fomu.

4

Wadhamini & Wakili

Wadhamini wawili watajaza na kutia sahihi. Peleka kwa Wakili au Mwanasheria kuthibitishwa na kugongwa mhuri.

5

Wasilisha Ofisi ya Uhamiaji

Peleka fomu na viambata vyote (nakala na halisi). Una tiketi ya karibu? Iambatanishe ili ombi lifanyiwe kazi haraka.

6

Lipa Sh130,000 (Pasipoti)

Baada ya mahojiano, lipa Sh130,000. Utapigwa picha na kuchukuliwa alama za vidole.

๐Ÿ’ฐ

Gharama

Fomu ya maombi Sh20,000
Pasipoti Sh130,000
Jumla Sh150,000
โฑ๏ธ

Muda wa Kutoka

Makao Makuu (DSM) Siku 5
Ofisi za Mikoa Siku 10
Nje ya Tanzania Siku 14
โš ๏ธ

Kumbuka: Malipo yote yanafanyika kupitia namba za kumbukumbu โ€” si mkononi. Fuatilia maombi yako mwenyewe bila kutumia vishoka.

Soma makala kamili kwenye Nukta Kelvin Makwinya ยท Januari 2026