
Gundua
426 habariHabari mpya, uchambuzi wa kina, na maarifa kutoka Nukta
Unaona habari zinazohusishwa na The Guardian chini (pamoja na mengine ya Gundua).

Shughuli za Fedha na Bima
Tanzania Development Vision 2050

The Guardian
AI
JAPAN has launched a new artificial intelligence-powered drone initiative in Zanzibar aimed at accelerating efforts to eliminate malaria, as the Isles push to achieve global recognition as a malaria-free destination. The project, unveiled over the weekend under the theme ‘Smart D…

The Guardian
Iran Conflict
THE Bank of Tanzania (BoT) is preparing to pull back on money supply as it braces for rising global price pressures. The BoT’s monetary policy statement for June, published yesterday outlines this policy shift, likely to reshape borrowing conditions for businesses and households …

Kimataifa
Ukraine Conflict
President Samia Suluhu Hassan’s three-day (June 3 to 5) State Visit to the Russian Federation is more than a diplomatic engagement between two nations. The event is a strategic statement about Tanzania’s place in the emerging world order. It is a declaration that Tanzania, like m…

Michezo
FIFA World Cup 2026
TANZANIA’s U-17 national team, the Serengeti Boys, are set for a defining moment in their football journey when they take on Egypt in the semi-finals of the 2026 CAF U-17 Africa Cup of Nations (AFCON) this evening at the Moulay El Hassan Stadium in Rabat, Morocco. Kick-off is sch…

Uchumi
Tanzania unveils Sh1.72trn tax shak…
THE government has unveiled comprehensive tax reforms for the 2026/27 financial year aimed at strengthening domestic production, expanding the tax base, protecting local industries, and advancing the digital economy. Presenting the proposed National Budget in Parliament, Finance …

Uchumi
Tanzania budget 2026/27: Taxes, job…
THE government has unveiled an economic agenda for the 2026/27 financial year, placing digital transformation, strategic investments and prudent fiscal management at the centre of efforts to accelerate growth and improve the welfare of Tanzanians. Presenting the proposed national…

Afya na Huduma za Jamii
Tanzania calls for stronger regiona…
PRIME Minister Dr Mwigulu Nchemba has assured the National Assembly that Tanzania remains free of Ebola, stressing that the government has strengthened disease surveillance, border screening and public awareness measures to prevent cross-border transmission. During the weekly dir…

Viwanda na Uzalishaji
Private sector takes driver’s seat:…
THE Confederation of Tanzania Industries (CTI) has commended the 2026/2027 Budget, saying that if implemented properly, it will help protect and nourish local industries. The federation said the government has taken 50 percent of the industrialists' proposals and included them in…

Shughuli za Fedha na Bima
Tax reforms to boost local investme…
On June 11th, 2026, the Minister for Finance, Hon. Ambassador Khamis Mussa Omar (MP), presented the Government's 2026/27 Budget to Parliament. The budget is anchored on the theme “Building a Resilient Economy through Digital Transformation, Strategic Investment, and Sustainable F…

Shughuli za Fedha na Bima
Samia to grace top taxpayers at TRA…
POLICYMAKERS, researchers, tax experts, and development partners are convened in Dar es Salaam on June 19, 2026 to review the Tanzania Revenue Authority’s (TRA) 30-year achievements and map out its future priorities. Speaking to journalists ahead of the event, the Deputy Rector o…

Uchumi
Tanzania, Namibia Seal New Economic…
AFRICA possesses abundant natural resources, a growing consumer market and a youthful population capable of driving innovation and economic transformation, visiting Namibian President Dr Netumbo Nandi-Ndaitwah declared. Addressing the Tanzania–Namibia Business and Investment Foru…

Biashara ya Jumla na Rejareja
Algerian firms seek partners for tr…
ALGERIA firms involved in the production of a range of industrial and agricultural products are seeking partners to collaborate on trade and invest in Tanzania’s expanding manufacturing and agricultural sectors. The Algerian firms interested in collaborating with Tanzania are par…

Afya na Huduma za Jamii
Zanzibar strengthens Ebola prepared…
AS part of Ebola spread surveillance efforts, 64 individuals who exhibited symptoms consistent with Ebola were identified and tested across 21 regions, the government has affirmed. Mohamed Mchengerwa, the Health minister, told journalists here yesterday that all test results retu…

The Guardian
Xi calls for solid measures to mode…
Xi Jinping, general secretary of the Communist Party of China (CPC) Central Committee, on Tuesday chaired a meeting of the Political Bureau of the CPC Central Committee to study and arrange work related to flood control and drought relief. Xi Jinping, general secretary of the Com…

Biashara ya Jumla na Rejareja
Tanzania, Indonesia agree to increa…
THE Tanzania Trade Development Authority (TanTrade) has announced that the 50th Dar es Salaam International Trade Fair (DITF) in 2026 will be a special event as it marks 50 years since its establishment. Speaking today in Dar es Salaam, TanTrade Director General Dr. Latifa Mohame…

Kimataifa
Tanzania Mining
PRESIDENT Samia Suluhu Hassan and Russian President Vladimir Putin have reaffirmed their commitment to strengthening bilateral relations, with high-level talks at the Kremlin focused on expanding cooperation in trade, energy, education, technology, defense and investment. The dis…

Uchumi
SGR and Rail Infrastructure
THE government has unveiled an ambitious 86.3trn/- national development plan for the next year, marking the start of the implementation of Vision 2050, with the private sector expected to contribute nearly 70 percent of the required funding. Prof. Kitila Mkumbo, the Planning and …

Uchumi
Tanzania Inflation
On the surface, Tanzania's economic story in 2026 reads like one of Africa's better dispatches. Growth is humming. Inflation is tame. Gold is flowing. Tourists are arriving in numbers not seen in a generation. But dig deeper, and a more complicated picture emerges — impressive ma…

Siasa
Kesho
A cultural ceremony will take place in Nyamongo, requiring residents to suspend activities for 12 hours from 6 a.m. to 6 p.m.
7 Jul 2026

Michezo
Siku 20 zijazo
The NBC Dodoma Marathon expands in 2026, aiming for over 15,000 participants to raise funds for healthcare initiatives in Tanzania.
Kutoka 26 Jul 2026

Michezo
Siku 27 zijazo
Yanga SC's General Election is scheduled for August 2, 2026, where members will vote for new leadership.
Kutoka 2 Ago 2026

The Guardian
Siku 348 zijazo
AFCON 2027, co-hosted by Tanzania, Kenya, and Uganda, kicks off on June 19, 2027, marking a historic football tournament in East Africa.
Kutoka 19 Jun 2027 · Hadi 17 Jul 2027
Habari nyingine

Mazoezi na Siha
TAZARA marks 50 years with charity running event

Elimu
Private schools urged to diversify income beyond fees

Teknolojia
China to promote forging of widely-accepted global AI governance system: vice president

Kimataifa
Xi, Seychelles' president exchange congratulations on 50th anniversary of ties
Chinese President Xi Jinping and Seychelles' President Patrick Herminie on Tuesday exchanged congratulations on the 50th anniversary of diplomatic relations bet

Siasa
Xi's article on excelling as county Party chiefs to be published

Uchumi
BoT raises central bank rate to 6.25 pct to contain inflation

Usafiri na Uhifadhi
Latra rolls out revised regulations to enhance transport efficiency

Viwanda na Uzalishaji
India’s defence production reaches $19 billion milestone

Afya na Huduma za Jamii
MNH-Mloganzila enriches modern skin grafting, reconstructive surgery services

Kimataifa
Tanzania, Comoros reaffirm historic ties, deepen bilateral cooperation

Utawala wa Umma na Ulinzi
Speaker: Parliament to mark 100 years of legislative service 2027
THE Parliament will celebrate the 100th anniversary of its establishment in January next year, marking a historic milestone in the country's legislative history

Utalii na Ukarimu
Chinese visitors top in tourism expenses

Sheria na Mahakama
DCEA in 22.6 tonnes illicit drugs haul after crackdown

Afya na Huduma za Jamii
US provides $3.1bn in health sector ventures

Afya na Huduma za Jamii
Cancer patients: MNH initiating ‘breast renewal’ surgical method

Afya na Huduma za Jamii
US, govt sign 5-year, 7.8trn/- health cooperation agreement

Afya na Huduma za Jamii
BCI technology gathers pace in China, creating new health, well-being possibilities

Utamaduni
China Focus: Shanghai breathes new life into early CPC heritage sites
A small light bulb glows in the hand of a teacher dressed in a traditional Chinese scholar's gown, drawing curious students closer for a better look. Behind the

Siasa
World Leaders Celebrate CPC's 105th Founding Anniversary

Afya na Huduma za Jamii
Govt readying cholera curbing strategy, 2030
POLITICS
7
7
4
Keir Starmer's Resignation as UK Prime Minister
Maelezo ya Ziada
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na uongozi wa chama tawala cha Labour.
swahilitimes.co.tz ↗Starmer confirmed that he would step aside and oversee a smooth transfer of power, telling the country that Britain needed fresh leadership to restore stability at a moment of rising political strain inside the Labour Party.
dailynews.co.tz ↗Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer ametangaza kujiuzulu wadhifa wake na uongozi wa Chama cha Labour.
mwananchi.co.tz ↗Kuwasili kwa mwanasiasa huyo mahiri, ambaye hadi wiki iliyopita alikuwa Meya wa Greater Manchester, kunajiri saa chache baada ya Keir Starmer kutangaza kujiuzulu rasmi wadhifa wa Waziri Mkuu kutokana na shinikizo kubwa la kisiasa ndani ya Chama cha Labour.
mwananchi.co.tz ↗Kujiuzulu kwa Starmer kunahitimisha safari ya kisiasa iliyokuwa imeanza kwa matumaini makubwa baada ya ushindi wa kihistoria wa Labour katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2024.
mwananchi.co.tz ↗Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu wadhifa huo, akisema anaheshimu mawazo ya chama chake cha Labour, baada ya mpinzani wake kuibuka kidedea Ijumaa iliyopita.
ippmedia.co.tz ↗Starmer anang’oka uwaziri mkuu, zinawadia zama mpya za siasa UK
mwananchi.co.tz ↗
Maelezo ya Ziada
Vision 2050, which seeks to transform the country into a high-income, industrialled economy valued at 1 trillion US dollars.
dailynews.co.tz ↗Utekelezaji wa DIRA 2050, unaokadiriwa kugharimu takribani dola za Marekani trilioni 1, utategemea kwa kiasi kikubwa uwekezaji wa sekta binafsi unaotarajiwa kuchangia zaidi ya asilimia 70 ya gharama za utekelezaji.
mzalendo.co.tz ↗Tanzania is strengthening its engagement with the African Trade and Investment Development Insurance (ATIDI) to support private sector-led growth, as the country targets a 70% private sector contribution to the economy under its Development Vision 2050.
tanzaniainvest.com ↗Her message comes at a critical time for Tanzania, whose population is projected to grow from about 67 million today to over 120 million by 2050.
thecitizen.co.tz ↗The Tanzanian government has stated that the recommendations contained in the Economic Freedom Audit Report will drive policy reforms, strengthen economic freedom, and significantly contribute to Tanzania’s journey towards a strong and competitive economy by 2050.
dailynews.co.tz ↗Best goal: 'Generate TZS 70 million in revenue, with 8 new clients in Q1–Q2 via content marketing.'
tanzlite.com ↗Lead generation: 90 qualified inquiries per year.
mwananchi.co.tz ↗Retention: 70% repeat business.
bongo5.com ↗Target ARPU of TZS 5 million.
CAC under TZS 300k.
Dk Mwigulu amewataka wakuu wa mikoa kusimamia kikamilifu maandalizi na mapokezi ya wanafunzi wa elimu msingi ya lazima ya miaka 10, watakaojiunga na kidato cha kwanza mwaka 2028 kwa kukamilisha miundombinu na huduma zote muhimu.
Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba ameyabainisha hayo leo Bungeni Dodoma wakati akiwasilisha hotuba ya mapito na mwelekeo wa kazi za Serikali, Makadirio ya mapato na matumizi ya fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka 2026/27 ambapo amesema kuwa utekelezaji wa Dira 2050 unakusudia kuifanya Tanzania kuwa na uchumi wa thamani ya dola za Marekani trilioni moja ifikapo mwaka 2050, huku wastani wa pato la mtu mmoja mmoja ukitarajiwa kufikia dola 7,000 kwa mwaka.
ECONOMY
19
10
7
Tanzania Fuel Prices Surge Over 30% Due to Middle East Conflict
Maelezo ya Ziada
In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.
thechanzo.com ↗wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864. Kwa upande wa dizeli, lita moja sasa watanunua kwa Sh3,806 kutoka Sh2,858 ikiwa ni ongezeko la Sh948. Kwa upande wa mafuta ya taa, sasa yatanunuliwa kwa Sh3,684 kutoka Sh2,932 iliyokuwa ikitumika Machi mwaka huu ikiwa ni ongezeko la Sh752.
mwananchi.co.tz ↗Ongezeko la bei ya mafuta halipo Tanzania pekee, bali hata katika soko la dunia ambapo bei kikomo kwa Aprili 2026, zimeongezeka kwa asilimia 69.98 kwa mafuta ya petroli, asilimia 114.46 kwa mafuta ya dizeli na asilimia 120.81 kwa mafuta ya taa.
thecitizen.co.tz ↗wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864.
globalpublishers.co.tz ↗Kwa mujibu wa Ewura, ongezeko hilo la bei za mafuta ni janga la kidunia na Tanzania kama sehemu hiyo inachukua hatua mbalimbali kuhakikisha usalama wa upatikanaji wa mafuta nchini na katika bei himilivu ili kupunguza madhara ya kiuchumi na kijamii.
mwananchi.co.tz ↗The Tanzania Revenue Authority (TRA) has introduced a new billing number system for the loading and offloading of fuel at storage depots, aimed at enhancing transparency, boosting government revenue collection and ensuring compliance without disrupting supply.
dailynews.co.tz ↗Kufungwa kwa mlango huu muhimu wa bahari kunasababisha athari kubwa kimataifa, hasa kiuchumi na kiusalama: 1️⃣ Kupanda kwa bei ya mafuta duniani
globalpublishers.co.tz ↗Kufungwa kwake kunasababisha uhaba wa mafuta sokoni. Bei ya mafuta na gesi inapanda haraka, na kuathiri gharama za usafiri, umeme na bidhaa nyingine.
mzalendo.co.tz ↗Kufungwa kunaweza kusababisha mvutano au mapambano kati ya mataifa yenye maslahi ya kiuchumi na kiusalama katika eneo hilo.
mzalendo.co.tz ↗Nchi kama Saudi Arabia, UAE, Kuwait, Qatar na Iraq zinapoteza njia yao kuu ya kuuza mafuta.
bongo5.com ↗Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.
Dk Mwigulu amesema: “Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.”
Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa ghala la kupokea na kuhifadhi mafuta lenye uwezo wa kupokea tani 308,110 katika Bandari ya Dar es Salaam ambao umefikia asilimia 30.
The authority attributed the rise to the ongoing geopolitical tensions in the Middle East, particularly involving the United States, Israel and Iran, which began on February 28, 2026, and have significantly disrupted global oil supply.
Wakati huohuo, athari za vita hivyo zimeanza kuhisiwa na wananchi wa Marekani, ambapo bei ya mafuta imeendelea kupanda na kufikia zaidi ya dola 4 kwa galoni, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 2022.
Hali hiyo inachangiwa na usumbufu katika eneo la Strait of Hormuz, ambalo ni njia muhimu inayopitisha takriban robo ya mafuta yanayotumika duniani.
TANZANIA INA MAFUTA YA KUTOSHA,LICHA YA BEI KUPANDA KUTOKANA NA VITA YA MASHARIKI YA KATI
Kwa mwezi Aprili 2026, gharama za kuagiza mafuta (premiums) katika Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kwa wastani wa asilimia 15.3 kwa mafuta ya petroli na asilimia 10.8 kwa mafuta ya dizeli na hakuna mabadiliko ya gharama kwa mafuta ya taa.
Mabadiliko ya bei za mafuta nchini kwa mwezi Aprili 2026 yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na vita inayoendelea Mashariki ya kati tarehe 28 Februari 2026.
Maelezo ya Ziada
Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.
mwananchi.co.tz ↗William Lukuvi afariki dunia kwa mshituko wa moyo
dailynews.co.tz ↗PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has announced the death of the former Minister of State in the Prime Minister’s Office, (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) William Lukuvi, who passed away this morning, March 25, 2026.
habarileo.co.tz ↗Additionally, the Head of State extended her condolences to the Speaker of Parliament, the bereaved family, residents of Isimani Constituency, and all Tanzanians mourning the loss.
mwananchi.co.tz ↗Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani William Vangimembe Lukuvi amefariki duinia akiwa na umri wa miaka 70.
thecitizen.co.tz ↗Mbunge wa Isiman, William Lukuvi amefariki dunia, huku aliyekuwa mshindani wake katika mchakato wa ndani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa ubunge wa Isimani, Festo Kiswaga, akifunguka mambo atakayoyakumbuka.
dailynews.co.tz ↗Kiswaga, amesema anamkumbuka kiongozi huyo kwa utendaji wake Isimani, kwani aliingia likiwa jipya na halikuwa na hata shule moja ya sekondari, lakini sasa zimefika zaidi ya 10.
habarileo.co.tz ↗Taarifa ya kifo chake imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kisuluka, akimnukuu Rais Samia Suluhu Hassan, aliyesema amesikitishwa na anatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki.
habarileo.co.tz ↗Lema ametumia kurasa zake za mitandao ya kijamii kuzungumzia kifo cha Lukuvi akisema: “Tunazaliwa bila kitu, na tunaondoka bila kitu, kifo hutukumbusha unyenyekevu wa maisha.
globalpublishers.co.tz ↗According to a statement issued by the Parliament’s Communications and Public Relations Unit, Mr Zungu invoked Rule 176 of the Standing Orders of the National Assembly (August 2025 edition) to suspend the sittings.
globalpublishers.co.tz ↗Reports of the death of the Isimani Constituency MP in Iringa Region, who had served in Parliament since 1995, began circulating earlier in the day before being confirmed by the Chief Secretary, Ambassador Dr Moses Kusiluka.
mzalendo.co.tz ↗Ambassador Kusiluka conveyed condolences from President Samia Suluhu Hassan, who announced the death and sent her sympathies to the people of Isimani and to the Speaker of the National Assembly.
swahilitimes.co.tz ↗Mr Lukuvi’s death brings to three the number of MPs who have died during the 13th Parliament since its inauguration by President Hassan.
mwananchi.co.tz ↗All Parliamentary Standing Committee meetings have been suspended today, March 25, 2026, following the death of Isimani MP and Minister of State in the Prime Minister’s Office, William Lukuvi.
dailynews.co.tz ↗Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri na mzalendo kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi.
dailynews.co.tz ↗SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Azzan Zungu leo Machi 25, 2026, ameongoza kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uongozi kilichofanyika katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma, kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Ismani, William Vangimembe Lukuvi.
Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi kilichotokea leo Machi 25, 2026.
Rais Mwinyi amesema taifa limepoteza kiongozi muhimu ambaye amelitumikia kwa uadilifu na kujitolea katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa muda mrefu.
WAZIRI LUKUVI AFARIKI DUNIA
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa.
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa. Ametumikia nafasi mbalimbali za uongozi serikalini na kujijengea sifa ya uongozi thabiti kupitia utumishi wa muda mrefu serikalini na uwakilishi wake bungeni.
Mpina ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi akizungumza na Mwananchi amesimulia sababu iliyotaka kumfanya kuikataa bajeti hiyo, kwamba Mpango wa Maendeleo ulikuwa unaeleza Serikali itatenga asilimia 35 ya bajeti kutelekezwa kwenye maendeleo lakini yenyewe ikatenga asilimia 22.
Mdee amesema Lukuvi alikuwa akichukua ushauri na mapendekezo ya hotuba za kambi ya upinzani bungeni na kwenda kuvifanyia kazi kwa vitendo.
William Lukuvi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) akiagwa bungeni Dodoma.
Speaker of the National Assembly, Mussa Zungu, has described the death of Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) and Isimani MP William Lukuvi as a major blow not only to his family, but also to the Parliament, government, and Tanzanians at large.
PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.
President Samia Suluhu Hassan is expected to join thousands of mourners in Iringa next Tuesday to honour the late Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities), who passed away on Wednesday at Benjamin Mkapa Hospital in Dodoma Region.
DODOMA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.
