
Mada kuu tunazofuatilia

The Guardian
AI

246 Areas Identified for Urgent Reform in Tanzania's Blueprint II · 246 Suspected Ebola Cases and 80 Reported Deaths in DRC
Ebola
Ni pamoja na kuimarisha ufuatiliaji wa tetesi katika jamii na uchunguzi wa afya kwa wasafiri wanaoingia nchini kupitia mipaka, bandari na viwanja vya ndege.
Afya na Huduma za Jamii
Hanta virus
Taarifa hiyo ya WHO ilithibitisha watu sita kutoka katika meli hiyo kuambukizwa ugonjwa huo huku watatu tayari wakiripotiwa kupoteza maisha.

Magari na Vyombo vya Moto
Fuel Prices
Suzuki Swift inaweza kutumia lita moja ya mafuta kwa wastani wa kilomita 18 hadi 23.

Habari
Iran Conflict
Rais wa Marekani Donald Trump na Rais wa China Xi Jinping wamekubaliana kwamba njia muhimu ya mafuta duniani ya Strait…
Spotlight
Palestine Conflict
Palestine Conflict
Spotlight
Ukraine Conflict
Ukraine Conflict

Matukio
Siku 2 zijazo
TBS celebrates its 50th anniversary with events including the Viwango Marathon, Business Forum, Gala Dinner, and a CSR Program.
Kutoka 23 Mei 2026 · Hadi 19 Jun 2026

Sports & Entertainment
Siku 2 zijazo
Safari Lager is launching a nationwide campaign and hosting a grand event to celebrate its partnership with the 2026 FIFA World Cup.
Kutoka 23 Mei 2026

Elimu
Siku 9 zijazo
Ruth Zaipuna to speak at the Cambridge Africa Business Conference 2026 on NMB's transformation and impact on Tanzania's economy.
Kutoka 30 Mei 2026

Biashara
Siku 9 zijazo
Ruth Zaipuna will represent Tanzania at the Cambridge Africa Business Conference on banking sector reforms.
Kutoka 30 Mei 2026

Shughuli za Fedha na Bima
Siku 9 zijazo
Mkutano wa Biashara Afrika 2026 utakaofanyika nchini Uingereza ambapo Ruth Zaipuna atatoa hotuba kuhusu mageuzi ya NMB.
Kutoka 30 Mei 2026

Shughuli za Fedha na Bima
Siku 9 zijazo
Ruth Zaipuna will represent Tanzania at the Cambridge Africa Business Conference on May 30, 2026, discussing NMB's impact on the economy.
Kutoka 30 Mei 2026

Utalii na Ukarimu
Siku 9 zijazo
The Sea Cliff Resort Zanzibar will host the May Golf Challenge, featuring an 18-hole Stableford competition for golfers on May 30, 2026.
Kutoka 30 Mei 2026 · Hadi 30 Nov -1

Michezo
Siku 10 zijazo
Wakili Marathon 2026 in Dodoma aims to promote legal aid assistance to the community with participation expected from over 5,000 people.
Kutoka 31 Mei 2026

Shughuli za Fedha na Bima
TRA Innovation Awards competition submission window opens on April 1, 2026, and closes on June 30, 2026.
Kutoka 1 Apr 2026 · Hadi 30 Jun 2026

Biashara ya Jumla na Rejareja
Tanzanian exporters gain duty-free access to China under a new zero-tariff policy effective from May 1, 2026, covering 53 African countries.
Kutoka 1 Mei 2026 · Hadi 30 Apr 2028

Nishati na Umeme
Ndejembi directs immediate removal of project manager and special audit on $20 million payments for the Malagarasi MW 49.5 project in Kigoma.
Kutoka 10 Mei 2026 · Hadi 30 Okt 2027
.jpeg)
Zoezi la Ushirikiano Imara 2026 litafunguliwa rasmi Mei 14, 2026, na linaloshirikisha nchi wanachama wa EAC kwa usalama wa kikanda.
Kutoka 14 Mei 2026 · Hadi 28 Mei 2026

Teknolojia
Leo
Wafanyakazi zaidi ya 45,000 wa Samsung wanatarajia kuanza mgomo wa siku 18 kuanzia Mei 21, 2026, mkubwa zaidi kuwahi kutokea ndani ya kampuni hiyo.
Kutoka 21 Mei 2026 · Hadi 8 Jun 2026
Habari nyingine

Nishati na Umeme
Tanzania and Rwanda Sign Energy Cooperation Agreement Covering Power Trade, Oil, Gas and LNG

Habari na Mawasiliano
YAS YAONGEZA MINARA MIWILI YA 5G ARUSHA, YAAHIDI HUDUMA ZA VIWANGO

Siasa
MKAMA: MMOMONYOKO WA MAADILI NI KICHOCHEO CHA UHALIFU

Burudani
Ruka na Kindege Cha Aviator, Ushuke Na Zawadi Nzito
MTAA wa sasa unahitaji ujanja, kasi na maamuzi sahihi. Kila mmoja anatafuta njia ya kupiga hatua nyingine. Meridianbet wamekuja kivingine kupitia mchezo wa Avia

Michezo
Je, Bournemouth Wataweza Kumzuia Manchester City Leo

Mazingira na Hali ya Hewa
Wabuni mfumo wa kidijitali kubaini hewa hatarishi katika makazi

Afya na Huduma za Jamii
Sh405 bilioni kutekeleza vipaumbele sita Wizara ya Afya

Utalii na Ukarimu
Maiden Arusha Tourism Marathon sets stage for AFCON 2027 events

Afya na Huduma za Jamii
Sh405 billion allocated for six health sector priorities in Zanzibar

Afya na Huduma za Jamii
Imani za kishirikina zinavyokwaza mapambano dhidi ya fistula

Kilimo, Misitu na Uvuvi
DC awaonya wafanyabiashara Njombe kupandisha bei ya mbolea
Njombe. Wafanyabiashara wa pembejeo za kilimo wilayani Njombe wameonywa dhidi ya kupandisha bei ya mbolea kwa kisingizio cha kuongezeka kwa gharama za mafuta, h

Teknolojia
Wanafunzi wa Veta waunda simu

Utawala wa Umma na Ulinzi
Nyumba yawaka moto, 24 wanusurika

Mazingira na Hali ya Hewa
Mikoa hii ijipange kwa upepo mkali kuanzia kesho

Sheria na Mahakama
Mlinzi ahukumiwa kunyongwa kwa mauaji Karatu

Teknolojia
Serikali kuharakisha sera ya matumizi ya akili unde, yasisitiza maadili

Shughuli za Fedha na Bima
Tanzania PM faults banks over sale of borrowers’ collateral

Nishati na Umeme
Samia: Afrika iunganishe nguvu kwenye nishati ya nyuklia
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Afrika inahitaji mifumo ya nishati iliyo ya uhakika, nafuu na endelevu ili kuendana na kasi ya maendeleo ya uchumi, viwanda na

Teknolojia
TEKNOLOJIA YA MIZANI JANJA YATAJWA KUWA SULUHISHO KUONDOA UDANGANYIFU KATIKA VIPIMO

Michezo
Taifa Stars Yapangwa na Nigeria Kufuzu Afcon 2027, Makundi Yote Yapo Hapa
Maelezo ya Ziada
Vision 2050, which seeks to transform the country into a high-income, industrialled economy valued at 1 trillion US dollars.
dailynews.co.tz ↗Utekelezaji wa DIRA 2050, unaokadiriwa kugharimu takribani dola za Marekani trilioni 1, utategemea kwa kiasi kikubwa uwekezaji wa sekta binafsi unaotarajiwa kuchangia zaidi ya asilimia 70 ya gharama za utekelezaji.
mzalendo.co.tz ↗Tanzania is strengthening its engagement with the African Trade and Investment Development Insurance (ATIDI) to support private sector-led growth, as the country targets a 70% private sector contribution to the economy under its Development Vision 2050.
tanzaniainvest.com ↗Her message comes at a critical time for Tanzania, whose population is projected to grow from about 67 million today to over 120 million by 2050.
thecitizen.co.tz ↗The Tanzanian government has stated that the recommendations contained in the Economic Freedom Audit Report will drive policy reforms, strengthen economic freedom, and significantly contribute to Tanzania’s journey towards a strong and competitive economy by 2050.
dailynews.co.tz ↗Best goal: 'Generate TZS 70 million in revenue, with 8 new clients in Q1–Q2 via content marketing.'
tanzlite.com ↗Lead generation: 90 qualified inquiries per year.
mwananchi.co.tz ↗Retention: 70% repeat business.
bongo5.com ↗Target ARPU of TZS 5 million.
CAC under TZS 300k.
Dk Mwigulu amewataka wakuu wa mikoa kusimamia kikamilifu maandalizi na mapokezi ya wanafunzi wa elimu msingi ya lazima ya miaka 10, watakaojiunga na kidato cha kwanza mwaka 2028 kwa kukamilisha miundombinu na huduma zote muhimu.
Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba ameyabainisha hayo leo Bungeni Dodoma wakati akiwasilisha hotuba ya mapito na mwelekeo wa kazi za Serikali, Makadirio ya mapato na matumizi ya fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka 2026/27 ambapo amesema kuwa utekelezaji wa Dira 2050 unakusudia kuifanya Tanzania kuwa na uchumi wa thamani ya dola za Marekani trilioni moja ifikapo mwaka 2050, huku wastani wa pato la mtu mmoja mmoja ukitarajiwa kufikia dola 7,000 kwa mwaka.
Maelezo ya Ziada
In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.
thechanzo.com ↗wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864. Kwa upande wa dizeli, lita moja sasa watanunua kwa Sh3,806 kutoka Sh2,858 ikiwa ni ongezeko la Sh948. Kwa upande wa mafuta ya taa, sasa yatanunuliwa kwa Sh3,684 kutoka Sh2,932 iliyokuwa ikitumika Machi mwaka huu ikiwa ni ongezeko la Sh752.
mwananchi.co.tz ↗Ongezeko la bei ya mafuta halipo Tanzania pekee, bali hata katika soko la dunia ambapo bei kikomo kwa Aprili 2026, zimeongezeka kwa asilimia 69.98 kwa mafuta ya petroli, asilimia 114.46 kwa mafuta ya dizeli na asilimia 120.81 kwa mafuta ya taa.
thecitizen.co.tz ↗wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864.
globalpublishers.co.tz ↗Kwa mujibu wa Ewura, ongezeko hilo la bei za mafuta ni janga la kidunia na Tanzania kama sehemu hiyo inachukua hatua mbalimbali kuhakikisha usalama wa upatikanaji wa mafuta nchini na katika bei himilivu ili kupunguza madhara ya kiuchumi na kijamii.
mwananchi.co.tz ↗The Tanzania Revenue Authority (TRA) has introduced a new billing number system for the loading and offloading of fuel at storage depots, aimed at enhancing transparency, boosting government revenue collection and ensuring compliance without disrupting supply.
dailynews.co.tz ↗Kufungwa kwa mlango huu muhimu wa bahari kunasababisha athari kubwa kimataifa, hasa kiuchumi na kiusalama: 1️⃣ Kupanda kwa bei ya mafuta duniani
globalpublishers.co.tz ↗Kufungwa kwake kunasababisha uhaba wa mafuta sokoni. Bei ya mafuta na gesi inapanda haraka, na kuathiri gharama za usafiri, umeme na bidhaa nyingine.
mzalendo.co.tz ↗Kufungwa kunaweza kusababisha mvutano au mapambano kati ya mataifa yenye maslahi ya kiuchumi na kiusalama katika eneo hilo.
mzalendo.co.tz ↗Nchi kama Saudi Arabia, UAE, Kuwait, Qatar na Iraq zinapoteza njia yao kuu ya kuuza mafuta.
bongo5.com ↗Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.
Dk Mwigulu amesema: “Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.”
Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa ghala la kupokea na kuhifadhi mafuta lenye uwezo wa kupokea tani 308,110 katika Bandari ya Dar es Salaam ambao umefikia asilimia 30.
The authority attributed the rise to the ongoing geopolitical tensions in the Middle East, particularly involving the United States, Israel and Iran, which began on February 28, 2026, and have significantly disrupted global oil supply.
Wakati huohuo, athari za vita hivyo zimeanza kuhisiwa na wananchi wa Marekani, ambapo bei ya mafuta imeendelea kupanda na kufikia zaidi ya dola 4 kwa galoni, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 2022.
Hali hiyo inachangiwa na usumbufu katika eneo la Strait of Hormuz, ambalo ni njia muhimu inayopitisha takriban robo ya mafuta yanayotumika duniani.
TANZANIA INA MAFUTA YA KUTOSHA,LICHA YA BEI KUPANDA KUTOKANA NA VITA YA MASHARIKI YA KATI
Kwa mwezi Aprili 2026, gharama za kuagiza mafuta (premiums) katika Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kwa wastani wa asilimia 15.3 kwa mafuta ya petroli na asilimia 10.8 kwa mafuta ya dizeli na hakuna mabadiliko ya gharama kwa mafuta ya taa.
Mabadiliko ya bei za mafuta nchini kwa mwezi Aprili 2026 yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na vita inayoendelea Mashariki ya kati tarehe 28 Februari 2026.
Maelezo ya Ziada
the government’s pledge to fully implement 284 tax reform recommendations initiated under President Samia Suluhu Hassan recently.
thecitizen.co.tz ↗At the centre of the discussions between the Tanzania Revenue Authority (TRA) and the Chinese investors yesterday, was the government’s pledge to fully implement 284 tax reform recommendations initiated under President Samia Suluhu Hassan recently.
tanzaniainvest.com ↗The Presidential Commission has officially submitted a comprehensive report detailing 284 Tanzania tax system reforms to President Samia Suluhu Hassan.
thechanzo.com ↗The Commissioner General outlined the government’s commitment to implementing 284 recommendations proposed by a presidential commission on tax reform.
thecitizen.co.tz ↗Recent policy measures, including enforcing the use of the Tanzanian shilling in domestic transactions and implementing tax reforms, are helping to stabilise the economy and improve fiscal performance.
thecitizen.co.tz ↗Previously, we received two reports at a time, but this year I decided to include the PPRA report alongside CAG and PCCB.
businesstimes.co.tz ↗She praised PPRA’s NEST system for enhancing procurement transparency, urging continued compliance and the 'name and shame' approach to improve performance.
dailynews.co.tz ↗If tax rates rise, business owners may have to reduce expenses, increase prices, or delay investments in growth.
Heavy tax burdens can slow down reinvestment, making it harder for small businesses to scale.
12.28tri/- of the collected funds was channelled into development projects, including the Standard Gauge Railway (SGR), Msalato International Airport in Dodoma, as well as the construction and rehabilitation of health facilities and schools, water projects, energy infrastructure, transport and logistics systems, and irrigation schemes
Maelezo ya Ziada
Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.
mwananchi.co.tz ↗William Lukuvi afariki dunia kwa mshituko wa moyo
dailynews.co.tz ↗PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has announced the death of the former Minister of State in the Prime Minister’s Office, (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) William Lukuvi, who passed away this morning, March 25, 2026.
habarileo.co.tz ↗Additionally, the Head of State extended her condolences to the Speaker of Parliament, the bereaved family, residents of Isimani Constituency, and all Tanzanians mourning the loss.
mwananchi.co.tz ↗Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani William Vangimembe Lukuvi amefariki duinia akiwa na umri wa miaka 70.
thecitizen.co.tz ↗Mbunge wa Isiman, William Lukuvi amefariki dunia, huku aliyekuwa mshindani wake katika mchakato wa ndani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa ubunge wa Isimani, Festo Kiswaga, akifunguka mambo atakayoyakumbuka.
dailynews.co.tz ↗Kiswaga, amesema anamkumbuka kiongozi huyo kwa utendaji wake Isimani, kwani aliingia likiwa jipya na halikuwa na hata shule moja ya sekondari, lakini sasa zimefika zaidi ya 10.
habarileo.co.tz ↗Taarifa ya kifo chake imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kisuluka, akimnukuu Rais Samia Suluhu Hassan, aliyesema amesikitishwa na anatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki.
habarileo.co.tz ↗Lema ametumia kurasa zake za mitandao ya kijamii kuzungumzia kifo cha Lukuvi akisema: “Tunazaliwa bila kitu, na tunaondoka bila kitu, kifo hutukumbusha unyenyekevu wa maisha.
globalpublishers.co.tz ↗According to a statement issued by the Parliament’s Communications and Public Relations Unit, Mr Zungu invoked Rule 176 of the Standing Orders of the National Assembly (August 2025 edition) to suspend the sittings.
globalpublishers.co.tz ↗Reports of the death of the Isimani Constituency MP in Iringa Region, who had served in Parliament since 1995, began circulating earlier in the day before being confirmed by the Chief Secretary, Ambassador Dr Moses Kusiluka.
mzalendo.co.tz ↗Ambassador Kusiluka conveyed condolences from President Samia Suluhu Hassan, who announced the death and sent her sympathies to the people of Isimani and to the Speaker of the National Assembly.
swahilitimes.co.tz ↗Mr Lukuvi’s death brings to three the number of MPs who have died during the 13th Parliament since its inauguration by President Hassan.
mwananchi.co.tz ↗All Parliamentary Standing Committee meetings have been suspended today, March 25, 2026, following the death of Isimani MP and Minister of State in the Prime Minister’s Office, William Lukuvi.
dailynews.co.tz ↗Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri na mzalendo kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi.
dailynews.co.tz ↗SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Azzan Zungu leo Machi 25, 2026, ameongoza kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uongozi kilichofanyika katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma, kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Ismani, William Vangimembe Lukuvi.
Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi kilichotokea leo Machi 25, 2026.
Rais Mwinyi amesema taifa limepoteza kiongozi muhimu ambaye amelitumikia kwa uadilifu na kujitolea katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa muda mrefu.
WAZIRI LUKUVI AFARIKI DUNIA
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa.
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa. Ametumikia nafasi mbalimbali za uongozi serikalini na kujijengea sifa ya uongozi thabiti kupitia utumishi wa muda mrefu serikalini na uwakilishi wake bungeni.
Mpina ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi akizungumza na Mwananchi amesimulia sababu iliyotaka kumfanya kuikataa bajeti hiyo, kwamba Mpango wa Maendeleo ulikuwa unaeleza Serikali itatenga asilimia 35 ya bajeti kutelekezwa kwenye maendeleo lakini yenyewe ikatenga asilimia 22.
Mdee amesema Lukuvi alikuwa akichukua ushauri na mapendekezo ya hotuba za kambi ya upinzani bungeni na kwenda kuvifanyia kazi kwa vitendo.
William Lukuvi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) akiagwa bungeni Dodoma.
Speaker of the National Assembly, Mussa Zungu, has described the death of Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) and Isimani MP William Lukuvi as a major blow not only to his family, but also to the Parliament, government, and Tanzanians at large.
PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.
President Samia Suluhu Hassan is expected to join thousands of mourners in Iringa next Tuesday to honour the late Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities), who passed away on Wednesday at Benjamin Mkapa Hospital in Dodoma Region.
DODOMA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.