Gundua

349 habari
Nukta Publish

Habari mpya, uchambuzi wa kina, na maarifa kutoka Nukta

Unaona habari zinazohusishwa na The Chanzo Initiative chini (pamoja na mengine ya Gundua).

Op-ed Tanzania Development Vision 2050

Tanzania’s diplomatic balancing act presents a dual-edged path of risks and rewards for its development ambitions.

The Chanzo Initiative
Nishati na Umeme Fuel Prices

The announcement marks a continuation of the crisis that has gripped the country since late February, when the Middle East conflict began disrupting global oil supplies.

The Chanzo Initiative
Kimataifa Palestine Conflict

How a people once persecuted became a regional power accused of genocide.

The Chanzo Initiative
Africa Ukraine Conflict

Far from being a diplomatic shift, the visit signals a continuation of Tanzania’s long-standing tradition of non-alignment and strategic engagement with global powers.

The Chanzo Initiative
News Bajeti ya Serikali Tanzania yapaa h…

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma, Waziri wa Fedha Balozi Khamis Mussa Omar amesema bajeti hiyo ni ya kipekee kwani ndiyo bajeti ya kwanza katika utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, Mpango wa Nne wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano pamoja na Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2025-2030.

The Chanzo Initiative
Africa Tanzania calls for stronger regiona…

Tanzania’s Ebola outbreak announcement highlights the gap between political slogans and true readiness, which demands transparency, resources, and community engagement.

The Chanzo Initiative
News Singapore sees Tanzania as a major …

The European Parliament’s committees have maintained pressure to keep €156 million in EU funding to Tanzania frozen, highlighting growing diplomatic strains between Tanzania and its traditional Western partners following the 2025 election crisis.

The Chanzo Initiative
News TAKUKURU Yawafikisha Mahakamani Wat…

Malipo ya madai hayo yamefanyika kufuata Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU) mkoa wa Mwanza kufanya uchambuzi wa mfumo na halmashauri kutekeleza mapendekezo yaliyotolewa.

The Chanzo Initiative
Digital Rights Tanzania 2026/27 Budget of TZS 62.3…

Tanzania’s 2026/27 budget proposes mandatory digital payments and bank account requirements across key sectors to accelerate the country’s transition to a cash-lite economy.

The Chanzo Initiative
Features Tanzania, Namibia Seal New Economic…

The commitment was made during official talks at State House in Dar es Salaam between Tanzania’s President Samia Suluhu Hassan and Namibia’s President Dr. Netumbo Nandi-Ndaitwah, who is on a three-day state visit to Tanzania after arriving on June 19, 2026.

The Chanzo Initiative
Teknolojia Tanzania Digital Economy

Low data consumption reveals the affordability crisis undermining Vision 2050.

The Chanzo Initiative
Biashara ya Jumla na Rejareja SGR and Rail Infrastructure

In an interview with The Chanzo, Swedish officials outline a new strategic focus on export finance for infrastructure while maintaining diplomatic engagement on governance concerns.

The Chanzo Initiative
News Tanzania Inflation

Domestic debt has more than doubled from TZS 14.73 trillion in 2020, while its share of total government debt has risen from 26.7 percent to 33.6 percent over the same period.

The Chanzo Initiative
Sweden phases out its bilateral development cooperation with Tanzania, marking a transition to a trade-focused partnership.
Biashara ya Jumla na Rejareja Siku 56 zijazo

Sweden phases out its bilateral development cooperation with Tanzania, marking a transition to a trade-focused partnership.

The Chanzo Initiative
Kutoka 31 Ago 2026
Makala kuhusu matukio yaliyopita

Habari nyingine

Tanzanian Army Warns Against Disruption of Peace Amid Heightened Security and Social Media Push for Saba Saba Demonstrations
News

Tanzanian Army Warns Against Disruption of Peace Amid Heightened Security and Social Media Push for Saba Saba Demonstrations

The Chanzo Initiative· Jana
Tanzania, the America First Global Health Strategy and the Question of Data Sovereignty
Africa

Tanzania, the America First Global Health Strategy and the Question of Data Sovereignty

The Chanzo Initiative· Jana
DRC Emerges as Largest Transit Cargo Market for Tanzania Ports
Africa

DRC Emerges as Largest Transit Cargo Market for Tanzania Ports

The Chanzo Initiative· Jana
Tanzania, U.S. Sign Bilateral Health MOU Amid Push to Ease Diplomatic Pressure Following 2025 Election Fallout
News

Tanzania, U.S. Sign Bilateral Health MOU Amid Push to Ease Diplomatic Pressure Following 2025 Election Fallout

Tanzania and the United States have signed a five-year health partnership as Dodoma steps up engagement with Washington amid diplomatic pressure following the 2

The Chanzo Initiative· Siku 3 zilizopita
Nigeria’s Crisis of Faith: How to Protect Religious Freedom
Africa

Nigeria’s Crisis of Faith: How to Protect Religious Freedom

The Chanzo Initiative· Siku 3 zilizopita
Long-Time Driver of Tanzanian Deputy Opposition Leader Found Dead in Guest House During Work Trip
News

Long-Time Driver of Tanzanian Deputy Opposition Leader Found Dead in Guest House During Work Trip

The Chanzo Initiative· Siku 3 zilizopita
Tanzania’s State-Owned Enterprises Deliver Record Sh1.3 Trillion Dividend
News

Tanzania’s State-Owned Enterprises Deliver Record Sh1.3 Trillion Dividend

The Chanzo Initiative· Siku 4 zilizopita
Tanzania Sees Modest Relief at the Pump as Fuel Prices Decline in July
News

Tanzania Sees Modest Relief at the Pump as Fuel Prices Decline in July

The Chanzo Initiative· Siku 4 zilizopita
When Knowledge Becomes Resistance: Sudan’s Educators Defy War
Africa

When Knowledge Becomes Resistance: Sudan’s Educators Defy War

The Chanzo Initiative· Siku 5 zilizopita
EACOP Construction at 86pc, First Oil Shipment Projected for January 2027
News

EACOP Construction at 86pc, First Oil Shipment Projected for January 2027

The Chanzo Initiative· Siku 5 zilizopita
Wazazi Walalamikia Wanafunzi Kwenda Shule Wakati wa Likizo: ‘Mtoto Ana Maisha Zaidi ya Shule’
News

Wazazi Walalamikia Wanafunzi Kwenda Shule Wakati wa Likizo: ‘Mtoto Ana Maisha Zaidi ya Shule’

Wadau wa elimu wasisitiza ni muhimu mwanafunzi kupumzika ili kuweza kufikia malengo ya ukuaji na elimu

The Chanzo Initiative· Siku 5 zilizopita
Tanzania Forms a Team to Investigate the Cause of Nationwide Blackout
News

Tanzania Forms a Team to Investigate the Cause of Nationwide Blackout

The Chanzo Initiative· Siku 6 zilizopita
Outcry Grows Over Development of Kinondoni’s Biafra Grounds
Features

Outcry Grows Over Development of Kinondoni’s Biafra Grounds

The Chanzo Initiative· Siku 6 zilizopita
Tanzania Reinstates Ban on Political Rallies Amid Security Concerns
Democracy

Tanzania Reinstates Ban on Political Rallies Amid Security Concerns

The Chanzo Initiative· Siku 6 zilizopita
National Power Grid Failure Plunges Nation into Darkness for Hours
News

National Power Grid Failure Plunges Nation into Darkness for Hours

The Chanzo Initiative· 28 Jun 2026
Nini Kilitokea Umeme Kukatika Nchi Nzima? Serikali Yaunda Timu Maalum
News

Nini Kilitokea Umeme Kukatika Nchi Nzima? Serikali Yaunda Timu Maalum

The Chanzo Initiative· 28 Jun 2026
Government Promises Fuel Price Relief From July
News

Government Promises Fuel Price Relief From July

The Chanzo Initiative· 27 Jun 2026
How Foreign Exchange Losses Are Pushing Tanzania’s Debt Servicing Bill Upward
News

How Foreign Exchange Losses Are Pushing Tanzania’s Debt Servicing Bill Upward

Between the 2022/23 and 2024/25 financial years, the country incurred about Tsh 8.5 trillion in foreign exchange losses on debt servicing due to the depreciatio

The Chanzo Initiative· 26 Jun 2026
Digital Savings Surge to Sh 3.1 Trillion as Experts Point to Emerging Cultural Shift in Tanzania
Digital Rights

Digital Savings Surge to Sh 3.1 Trillion as Experts Point to Emerging Cultural Shift in Tanzania

The Chanzo Initiative· 26 Jun 2026
Forging Their Own Path, Youth in Songwe Are Overcoming Broken Mentorship Through Faith and Resilience
News

Forging Their Own Path, Youth in Songwe Are Overcoming Broken Mentorship Through Faith and Resilience

The Chanzo Initiative· 26 Jun 2026
POLITICS Jun 25, 2026 7 7 4

Keir Starmer's Resignation as UK Prime Minister

Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na uongozi wa chama tawala cha Labour.

Maelezo ya Ziada
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na uongozi wa chama tawala cha Labour.
swahilitimes.co.tz ↗
Starmer confirmed that he would step aside and oversee a smooth transfer of power, telling the country that Britain needed fresh leadership to restore stability at a moment of rising political strain inside the Labour Party.
dailynews.co.tz ↗
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer ametangaza kujiuzulu wadhifa wake na uongozi wa Chama cha Labour.
mwananchi.co.tz ↗
Kuwasili kwa mwanasiasa huyo mahiri, ambaye hadi wiki iliyopita alikuwa Meya wa Greater Manchester, kunajiri saa chache baada ya Keir Starmer kutangaza kujiuzulu rasmi wadhifa wa Waziri Mkuu kutokana na shinikizo kubwa la kisiasa ndani ya Chama cha Labour.
mwananchi.co.tz ↗
Kujiuzulu kwa Starmer kunahitimisha safari ya kisiasa iliyokuwa imeanza kwa matumaini makubwa baada ya ushindi wa kihistoria wa Labour katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2024.
mwananchi.co.tz ↗
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu wadhifa huo, akisema anaheshimu mawazo ya chama chake cha Labour, baada ya mpinzani wake kuibuka kidedea Ijumaa iliyopita.
ippmedia.co.tz ↗
Starmer anang’oka uwaziri mkuu, zinawadia zama mpya za siasa UK
mwananchi.co.tz ↗
ECONOMY Apr 01, 2026 12 8 7

Tanzania's Vision 2050: Transforming Economy to 1 Trillion USD

Vision 2050, which seeks to transform the country into a high-income, industrialled economy valued at 1 trillion US dollars.

Maelezo ya Ziada
Vision 2050, which seeks to transform the country into a high-income, industrialled economy valued at 1 trillion US dollars.
dailynews.co.tz ↗
Utekelezaji wa DIRA 2050, unaokadiriwa kugharimu takribani dola za Marekani trilioni 1, utategemea kwa kiasi kikubwa uwekezaji wa sekta binafsi unaotarajiwa kuchangia zaidi ya asilimia 70 ya gharama za utekelezaji.
mzalendo.co.tz ↗
Tanzania is strengthening its engagement with the African Trade and Investment Development Insurance (ATIDI) to support private sector-led growth, as the country targets a 70% private sector contribution to the economy under its Development Vision 2050.
tanzaniainvest.com ↗
Her message comes at a critical time for Tanzania, whose population is projected to grow from about 67 million today to over 120 million by 2050.
thecitizen.co.tz ↗
The Tanzanian government has stated that the recommendations contained in the Economic Freedom Audit Report will drive policy reforms, strengthen economic freedom, and significantly contribute to Tanzania’s journey towards a strong and competitive economy by 2050.
dailynews.co.tz ↗
Best goal: 'Generate TZS 70 million in revenue, with 8 new clients in Q1–Q2 via content marketing.'
tanzlite.com ↗
Lead generation: 90 qualified inquiries per year.
mwananchi.co.tz ↗
Retention: 70% repeat business.
bongo5.com ↗
Target ARPU of TZS 5 million.
CAC under TZS 300k.
Dk Mwigulu amewataka wakuu wa mikoa kusimamia kikamilifu maandalizi na mapokezi ya wanafunzi wa elimu msingi ya lazima ya miaka 10, watakaojiunga na kidato cha kwanza mwaka 2028 kwa kukamilisha miundombinu na huduma zote muhimu.
Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba ameyabainisha hayo leo Bungeni Dodoma wakati akiwasilisha hotuba ya mapito na mwelekeo wa kazi za Serikali, Makadirio ya mapato na matumizi ya fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka 2026/27 ambapo amesema kuwa utekelezaji wa Dira 2050 unakusudia kuifanya Tanzania kuwa na uchumi wa thamani ya dola za Marekani trilioni moja ifikapo mwaka 2050, huku wastani wa pato la mtu mmoja mmoja ukitarajiwa kufikia dola 7,000 kwa mwaka.
ECONOMY Apr 01, 2026 19 10 7

Tanzania Fuel Prices Surge Over 30% Due to Middle East Conflict

In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.

Maelezo ya Ziada
In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.
thechanzo.com ↗
wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864. Kwa upande wa dizeli, lita moja sasa watanunua kwa Sh3,806 kutoka Sh2,858 ikiwa ni ongezeko la Sh948. Kwa upande wa mafuta ya taa, sasa yatanunuliwa kwa Sh3,684 kutoka Sh2,932 iliyokuwa ikitumika Machi mwaka huu ikiwa ni ongezeko la Sh752.
mwananchi.co.tz ↗
Ongezeko la bei ya mafuta halipo Tanzania pekee, bali hata katika soko la dunia ambapo bei kikomo kwa Aprili 2026, zimeongezeka kwa asilimia 69.98 kwa mafuta ya petroli, asilimia 114.46 kwa mafuta ya dizeli na asilimia 120.81 kwa mafuta ya taa.
thecitizen.co.tz ↗
wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864.
globalpublishers.co.tz ↗
Kwa mujibu wa Ewura, ongezeko hilo la bei za mafuta ni janga la kidunia na Tanzania kama sehemu hiyo inachukua hatua mbalimbali kuhakikisha usalama wa upatikanaji wa mafuta nchini na katika bei himilivu ili kupunguza madhara ya kiuchumi na kijamii.
mwananchi.co.tz ↗
The Tanzania Revenue Authority (TRA) has introduced a new billing number system for the loading and offloading of fuel at storage depots, aimed at enhancing transparency, boosting government revenue collection and ensuring compliance without disrupting supply.
dailynews.co.tz ↗
Kufungwa kwa mlango huu muhimu wa bahari kunasababisha athari kubwa kimataifa, hasa kiuchumi na kiusalama: 1️⃣ Kupanda kwa bei ya mafuta duniani
globalpublishers.co.tz ↗
Kufungwa kwake kunasababisha uhaba wa mafuta sokoni. Bei ya mafuta na gesi inapanda haraka, na kuathiri gharama za usafiri, umeme na bidhaa nyingine.
mzalendo.co.tz ↗
Kufungwa kunaweza kusababisha mvutano au mapambano kati ya mataifa yenye maslahi ya kiuchumi na kiusalama katika eneo hilo.
mzalendo.co.tz ↗
Nchi kama Saudi Arabia, UAE, Kuwait, Qatar na Iraq zinapoteza njia yao kuu ya kuuza mafuta.
bongo5.com ↗
Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.
Dk Mwigulu amesema: “Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.”
Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa ghala la kupokea na kuhifadhi mafuta lenye uwezo wa kupokea tani 308,110 katika Bandari ya Dar es Salaam ambao umefikia asilimia 30.
The authority attributed the rise to the ongoing geopolitical tensions in the Middle East, particularly involving the United States, Israel and Iran, which began on February 28, 2026, and have significantly disrupted global oil supply.
Wakati huohuo, athari za vita hivyo zimeanza kuhisiwa na wananchi wa Marekani, ambapo bei ya mafuta imeendelea kupanda na kufikia zaidi ya dola 4 kwa galoni, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 2022.
Hali hiyo inachangiwa na usumbufu katika eneo la Strait of Hormuz, ambalo ni njia muhimu inayopitisha takriban robo ya mafuta yanayotumika duniani.
TANZANIA INA MAFUTA YA KUTOSHA,LICHA YA BEI KUPANDA KUTOKANA NA VITA YA MASHARIKI YA KATI
Kwa mwezi Aprili 2026, gharama za kuagiza mafuta (premiums) katika Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kwa wastani wa asilimia 15.3 kwa mafuta ya petroli na asilimia 10.8​ kwa mafuta ya dizeli na hakuna mabadiliko ya gharama kwa mafuta ya taa.
Mabadiliko ya bei za mafuta nchini kwa mwezi Aprili 2026 yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na vita inayoendelea Mashariki ya kati tarehe 28 Februari 2026.
NATIONAL Mar 28, 2026 28 15 7

William Lukuvi's Death Announced by President Samia Suluhu Hassan on March 25, 2026

Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.

Maelezo ya Ziada
Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.
mwananchi.co.tz ↗
William Lukuvi afariki dunia kwa mshituko wa moyo
dailynews.co.tz ↗
PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has announced the death of the former Minister of State in the Prime Minister’s Office, (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) William Lukuvi, who passed away this morning, March 25, 2026.
habarileo.co.tz ↗
Additionally, the Head of State extended her condolences to the Speaker of Parliament, the bereaved family, residents of Isimani Constituency, and all Tanzanians mourning the loss.
mwananchi.co.tz ↗
Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani William Vangimembe Lukuvi amefariki duinia akiwa na umri wa miaka 70.
thecitizen.co.tz ↗
Mbunge wa Isiman, William Lukuvi amefariki dunia, huku aliyekuwa mshindani wake katika mchakato wa ndani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa ubunge wa Isimani, Festo Kiswaga, akifunguka mambo atakayoyakumbuka.
dailynews.co.tz ↗
Kiswaga, amesema anamkumbuka kiongozi huyo kwa utendaji wake Isimani, kwani aliingia likiwa jipya na halikuwa na hata shule moja ya sekondari, lakini sasa zimefika zaidi ya 10.
habarileo.co.tz ↗
Taarifa ya kifo chake imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kisuluka, akimnukuu Rais Samia Suluhu Hassan, aliyesema amesikitishwa na anatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki.
habarileo.co.tz ↗
Lema ametumia kurasa zake za mitandao ya kijamii kuzungumzia kifo cha Lukuvi akisema: “Tunazaliwa bila kitu, na tunaondoka bila kitu, kifo hutukumbusha unyenyekevu wa maisha.
globalpublishers.co.tz ↗
According to a statement issued by the Parliament’s Communications and Public Relations Unit, Mr Zungu invoked Rule 176 of the Standing Orders of the National Assembly (August 2025 edition) to suspend the sittings.
globalpublishers.co.tz ↗
Reports of the death of the Isimani Constituency MP in Iringa Region, who had served in Parliament since 1995, began circulating earlier in the day before being confirmed by the Chief Secretary, Ambassador Dr Moses Kusiluka.
mzalendo.co.tz ↗
Ambassador Kusiluka conveyed condolences from President Samia Suluhu Hassan, who announced the death and sent her sympathies to the people of Isimani and to the Speaker of the National Assembly.
swahilitimes.co.tz ↗
Mr Lukuvi’s death brings to three the number of MPs who have died during the 13th Parliament since its inauguration by President Hassan.
mwananchi.co.tz ↗
All Parliamentary Standing Committee meetings have been suspended today, March 25, 2026, following the death of Isimani MP and Minister of State in the Prime Minister’s Office, William Lukuvi.
dailynews.co.tz ↗
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri na mzalendo kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi.
dailynews.co.tz ↗
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Azzan Zungu leo Machi 25, 2026, ameongoza kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uongozi kilichofanyika katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma, kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Ismani, William Vangimembe Lukuvi.
Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi kilichotokea leo Machi 25, 2026.
Rais Mwinyi amesema taifa limepoteza kiongozi muhimu ambaye amelitumikia kwa uadilifu na kujitolea katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa muda mrefu.
WAZIRI LUKUVI AFARIKI DUNIA
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa.
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa. Ametumikia nafasi mbalimbali za uongozi serikalini na kujijengea sifa ya uongozi thabiti kupitia utumishi wa muda mrefu serikalini na uwakilishi wake bungeni.
Mpina ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi akizungumza na Mwananchi amesimulia sababu iliyotaka kumfanya kuikataa bajeti hiyo, kwamba Mpango wa Maendeleo ulikuwa unaeleza Serikali itatenga asilimia 35 ya bajeti kutelekezwa kwenye maendeleo lakini yenyewe ikatenga asilimia 22.
Mdee amesema Lukuvi alikuwa akichukua ushauri na mapendekezo ya hotuba za kambi ya upinzani bungeni na kwenda kuvifanyia kazi kwa vitendo.
William Lukuvi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) akiagwa bungeni Dodoma.
Speaker of the National Assembly, Mussa Zungu, has described the death of Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) and Isimani MP William Lukuvi as a major blow not only to his family, but also to the Parliament, government, and Tanzanians at large.
PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.
President Samia Suluhu Hassan is expected to join thousands of mourners in Iringa next Tuesday to honour the late Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities), who passed away on Wednesday at Benjamin Mkapa Hospital in Dodoma Region.
DODOMA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.