Gundua

404 habari
Nukta Publish

Habari mpya, uchambuzi wa kina, na maarifa kutoka Nukta

Unaona habari zinazohusishwa na Mwananchi chini (pamoja na mengine ya Gundua).

246 Areas Identified for Urgent Reform in Tanzania's Blueprint II · 246 Suspected Ebola Cases and 80 Reported Deaths in DRC Ebola

Kwa mujibu wa WHO, hadi Mei 16, jumla ya wagonjwa wanane waliothibitishwa maabara na wagonjwa 246 wanaoshukiwa kuwa na Ebola walikuwa wameripotiwa katika Mkoa wa Ituri, mashariki mwa DRC.

Mwananchi
Spotlight Hanta virus

Soma zaidi hapa...

Mwananchi
Spotlight Bajeti ya Serikali Tanzania yapaa h…

Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zimewasilisha bajeti zao za Serikali kwa mwaka wa fedha 2026/27 huku baadhi zikiweka nguvu kwenye mapato ya ndani kwa kutumia rasilimali walizonazo.

Mwananchi
Spotlight Tanesco yazindua kituo cha kuchajia…

Katika kile kinachoonekana kama hatua kubwa ya mageuzi ya sekta ya nishati nchini, Tanzania imezindua rasmi miundombinu ya kuchaji magari ya umeme pamoja na mpango wa ufadhili wa majiko ya umeme, hatua inayolenga kuharakisha matumizi ya nishati safi katika usafiri na upishi.

Mwananchi
Spotlight Nchimbi mgeni rasmi siku ya mazingi…

Mjadala huo unatarajiwa kuwa kiini cha Jukwaa la Mwaka la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGOs) 2026 litakalofanyika Oktoba 20 hadi 22, 2026 katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma.

Mwananchi
Spotlight Waziri mkuu: fedha za maji, barabar…

Profesa Muhongo ametoa ombi hilo leo, Jumamosi, Julai 4, 2026, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kijiji cha Suguti na kuhudhuriwa na Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba.

Mwananchi
Spotlight Watuhumiwa mauaji ya Mchina wadakwa

Soma hapa...

Mwananchi
Spotlight Waziri mchengerwa afungua mafunzo k…

Mafunzo hayo ya siku moja yamefanyika leo Juni 13, 2026 Wilayani Kibaha ambapo mgeni rasmi alikuwa Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa.

Mwananchi
Spotlight Benki ya Exim Tanzania yaendesha zo…

Serikali imewahimiza Watanzania kujitokeza kwa wingi na mara kwa mara kuchangia damu ili kusaidia kuokoa maisha ya maelfu ya wagonjwa, hususan akina mama wajawazito, watoto wenye upungufu wa damu, wagonjwa wa saratani na wenye ugonjwa wa selimundu.

Mwananchi
Spotlight Trump: Makubaliano ya Amani Iran na…

Makubaliano mapya kati ya Marekani na Iran yaliyolenga kusitisha vita, kufungua tena Mlango wa Bahari wa Hormuz na kurejesha mazungumzo ya kisiasa, yanakabiliwa na sintofahamu mpya.

Mwananchi
Spotlight Mawakili walivyochuana kesi ya ubun…

Soma hapa...

Mwananchi
Spotlight Rais wa Namibia kuwasili Tanzania z…

Ziara hiyo ya kipekee imevuta hisia za kihistoria, ikionyesha kwa vitendo mshikamano wa damu uliopo kati ya Tanzania na Namibia tangu enzi za harakati za ukombozi wa Kusini mwa Afrika.

Mwananchi
Spotlight Mikopo ya mifugo NMB yavuka Sh180 b…

Zaidi ya Sh180 bilioni zimetolewa na NMB Bank Plc kufadhili wafugaji na biashara katika mnyororo wa thamani wa mifugo, hatua inayolenga kuongeza uzalishaji wa kibiashara, ajira na upatikanaji wa masoko nchini.

Mwananchi
Spotlight Kamanda wa Polisi Tabora SACP Richa…

Ilikuwa kama ndoto pale taarifa za majonzi zilipoifikia familia ya George Abwao, Juni 20, 2026, baada ya aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Richard Abwao, kufariki dunia.

Mwananchi
Spotlight Msikiti uliojengwa na Gaddafi, Nyer…

Soma zaidi hapa...

Mwananchi
Spotlight Rais samia azindua kituo cha tiba y…

Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua jengo la huduma ya tiba ya mionzi katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini ya KCMC, lililogharimu zaidi ya Sh17 bilioni.

Mwananchi
Spotlight Bmh yaandika historia kwa upandikiz…

Ili kuongeza wigo wa matibabu kwa wagonjwa wanaohitaji upandikizaji wa figo na uboho kwa watoto wenye ugonjwa wa sikoseli nchini, Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) inahitaji Sh17 bilioni kufanikisha huduma hizo.

Mwananchi
Spotlight Bei ya sukari yapaa, wananchi walal…

Soma hapa...

Mwananchi
Spotlight Marekani, Iran sasa kujifungia Doha…

Mazungumzo mapya ya kidiplomasia kati ya Marekani na Iran yanatarajiwa kufanyika Jumanne mjini Doha, Qatar, katika jaribio jipya la kurejesha mwafaka wa kusitisha mapigano uliokuwa umeanza kuyumba baada ya kuibuka tena mashambulizi ya kijeshi.

Mwananchi
Spotlight Waziri kapinga atembelea kiwanda ch…

Dodoma. Serikali ya Tanzania na Uturuki zimekubaliana kuimarisha ushirikiano katika sekta ya kilimo ili kuongeza tija, kuimarisha usalama wa chakula na kuchochea ukuaji wa uchumi kupitia shughuli za kilimo. Hayo yameelezwa leo, Ijumaa Juni 19, 2026 na Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo, wakati wa mazungumzo na Balozi w…

Mwananchi
Spotlight Latra yatoa ahueni daladala za Mbag…

Soma hapa...

Mwananchi
Spotlight Mwili wa Dereva wa Heche Wasafirish…

Polisi wamesema uchunguzi huo umefanyika mbele ya viongozi wa Chadema na ndugu wa marehemu.

Mwananchi
Makala kuhusu matukio yaliyopita

Habari nyingine

Sintofahamu kujengwa ukuta kuzingira nyumba, kuzibwa barabara

Sintofahamu kujengwa ukuta kuzingira nyumba, kuzibwa barabara

Mwananchi· Jana
Malalamiko ya dhuluma yatawala ziara ya Dk Mwigulu

Malalamiko ya dhuluma yatawala ziara ya Dk Mwigulu

Mwananchi· Jana
Serikali yaonya wasio wataalamu wa afya mitandaoni

Serikali yaonya wasio wataalamu wa afya mitandaoni

Mwananchi· Jana
Fidia zisikwamishe miradi ya barabara Zanzibar - Hemed

Fidia zisikwamishe miradi ya barabara Zanzibar - Hemed

Unguja. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdullah amesema Serikali haipo tayari kuona miradi ya ujenzi wa miundombinu ya barabara ikikwama au

Mwananchi· Jana
Hillary Clinton ataka mfumo wa kumpata Rais Marekani ubadilishwe

Hillary Clinton ataka mfumo wa kumpata Rais Marekani ubadilishwe

Mwananchi· Jana
Maelfu wajitokeza kuuaga  mwili wa Khamenei Tehran

Maelfu wajitokeza kuuaga  mwili wa Khamenei Tehran

Mwananchi· Jana
Mvutano mazishi ya Rais Lungu wahamia kwenye siasa za uchaguzi

Mvutano mazishi ya Rais Lungu wahamia kwenye siasa za uchaguzi

Mwananchi· Jana
Kauli ya Serikali kuhusu Julai 7

Kauli ya Serikali kuhusu Julai 7

Mwananchi· Jana
SUK Zanzibar kimeeleweka

SUK Zanzibar kimeeleweka

Mwananchi· Jana
Profesa Muhongo aomba Musoma Vijijini iwe wilaya kuchochea maendeleo

Profesa Muhongo aomba Musoma Vijijini iwe wilaya kuchochea maendeleo

Mwananchi· Jana
Wanne mbaroni Mtwara kwa tuhuma za uhalifu wa kimtandao

Wanne mbaroni Mtwara kwa tuhuma za uhalifu wa kimtandao

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara kupitia Kitengo cha Makosa ya Kimtandao limewakamata wa-tuhumiwa wanne wanaodaiwa kujihu-sisha na vitendo vya utapeli na uhalifu

Mwananchi· Jana
Wachina wanavyotumia sauti kuondoa mawe kwenye figo

Wachina wanavyotumia sauti kuondoa mawe kwenye figo

Mwananchi· Jana
Polisi yanasa watuhumiwa 239 matukio ya uhalifu, mauaji, ubakaji

Polisi yanasa watuhumiwa 239 matukio ya uhalifu, mauaji, ubakaji

Mwananchi· Siku 2 zilizopita
Esami yazindua kituo cha umahiri kuimarisha mifumo ya afya Afrika

Esami yazindua kituo cha umahiri kuimarisha mifumo ya afya Afrika

Mwananchi· Siku 2 zilizopita
Tanesco yazindua teknolojia mpya ya kupunguza gharama za umeme

Tanesco yazindua teknolojia mpya ya kupunguza gharama za umeme

Mwananchi· Siku 2 zilizopita
Serikali ya Venezuela yajitetea ilivyoratibu uokoaji, vifo vya tetemeko vikifikia 2,295

Serikali ya Venezuela yajitetea ilivyoratibu uokoaji, vifo vya tetemeko vikifikia 2,295

Mwananchi· Siku 2 zilizopita
Tanzania, Msumbiji kuchochea mabadiliko uchumi wa kikanda

Tanzania, Msumbiji kuchochea mabadiliko uchumi wa kikanda

Mwananchi· Siku 2 zilizopita
Taasisi zaalikwa soko la mitaji kuongeza uwekezaji

Taasisi zaalikwa soko la mitaji kuongeza uwekezaji

Serikali ya Tanzania imezitaka taasisi za umma, mashirika ya Serikali na kampuni binafsi ambazo bado hazijajiunga na Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE), kulitu

Mwananchi· Siku 2 zilizopita
Kero maji, barabara zatawala ziara ya Dk Mwigulu

Kero maji, barabara zatawala ziara ya Dk Mwigulu

Mwananchi· Siku 2 zilizopita
Kamati Kuu NLD yaja na maazimio manane

Kamati Kuu NLD yaja na maazimio manane

Mwananchi· Siku 2 zilizopita
POLITICS Jun 25, 2026 7 7 4

Keir Starmer's Resignation as UK Prime Minister

Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na uongozi wa chama tawala cha Labour.

Maelezo ya Ziada
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na uongozi wa chama tawala cha Labour.
swahilitimes.co.tz ↗
Starmer confirmed that he would step aside and oversee a smooth transfer of power, telling the country that Britain needed fresh leadership to restore stability at a moment of rising political strain inside the Labour Party.
dailynews.co.tz ↗
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer ametangaza kujiuzulu wadhifa wake na uongozi wa Chama cha Labour.
mwananchi.co.tz ↗
Kuwasili kwa mwanasiasa huyo mahiri, ambaye hadi wiki iliyopita alikuwa Meya wa Greater Manchester, kunajiri saa chache baada ya Keir Starmer kutangaza kujiuzulu rasmi wadhifa wa Waziri Mkuu kutokana na shinikizo kubwa la kisiasa ndani ya Chama cha Labour.
mwananchi.co.tz ↗
Kujiuzulu kwa Starmer kunahitimisha safari ya kisiasa iliyokuwa imeanza kwa matumaini makubwa baada ya ushindi wa kihistoria wa Labour katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2024.
mwananchi.co.tz ↗
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu wadhifa huo, akisema anaheshimu mawazo ya chama chake cha Labour, baada ya mpinzani wake kuibuka kidedea Ijumaa iliyopita.
ippmedia.co.tz ↗
Starmer anang’oka uwaziri mkuu, zinawadia zama mpya za siasa UK
mwananchi.co.tz ↗
ECONOMY Apr 01, 2026 12 8 7

Tanzania's Vision 2050: Transforming Economy to 1 Trillion USD

Vision 2050, which seeks to transform the country into a high-income, industrialled economy valued at 1 trillion US dollars.

Maelezo ya Ziada
Vision 2050, which seeks to transform the country into a high-income, industrialled economy valued at 1 trillion US dollars.
dailynews.co.tz ↗
Utekelezaji wa DIRA 2050, unaokadiriwa kugharimu takribani dola za Marekani trilioni 1, utategemea kwa kiasi kikubwa uwekezaji wa sekta binafsi unaotarajiwa kuchangia zaidi ya asilimia 70 ya gharama za utekelezaji.
mzalendo.co.tz ↗
Tanzania is strengthening its engagement with the African Trade and Investment Development Insurance (ATIDI) to support private sector-led growth, as the country targets a 70% private sector contribution to the economy under its Development Vision 2050.
tanzaniainvest.com ↗
Her message comes at a critical time for Tanzania, whose population is projected to grow from about 67 million today to over 120 million by 2050.
thecitizen.co.tz ↗
The Tanzanian government has stated that the recommendations contained in the Economic Freedom Audit Report will drive policy reforms, strengthen economic freedom, and significantly contribute to Tanzania’s journey towards a strong and competitive economy by 2050.
dailynews.co.tz ↗
Best goal: 'Generate TZS 70 million in revenue, with 8 new clients in Q1–Q2 via content marketing.'
tanzlite.com ↗
Lead generation: 90 qualified inquiries per year.
mwananchi.co.tz ↗
Retention: 70% repeat business.
bongo5.com ↗
Target ARPU of TZS 5 million.
CAC under TZS 300k.
Dk Mwigulu amewataka wakuu wa mikoa kusimamia kikamilifu maandalizi na mapokezi ya wanafunzi wa elimu msingi ya lazima ya miaka 10, watakaojiunga na kidato cha kwanza mwaka 2028 kwa kukamilisha miundombinu na huduma zote muhimu.
Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba ameyabainisha hayo leo Bungeni Dodoma wakati akiwasilisha hotuba ya mapito na mwelekeo wa kazi za Serikali, Makadirio ya mapato na matumizi ya fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka 2026/27 ambapo amesema kuwa utekelezaji wa Dira 2050 unakusudia kuifanya Tanzania kuwa na uchumi wa thamani ya dola za Marekani trilioni moja ifikapo mwaka 2050, huku wastani wa pato la mtu mmoja mmoja ukitarajiwa kufikia dola 7,000 kwa mwaka.
ECONOMY Apr 01, 2026 19 10 7

Tanzania Fuel Prices Surge Over 30% Due to Middle East Conflict

In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.

Maelezo ya Ziada
In April 2026, Tanzanian fuel prices soared over 30 per cent in one month due to the Middle East conflict, despite government assurances of adequate reserves.
thechanzo.com ↗
wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864. Kwa upande wa dizeli, lita moja sasa watanunua kwa Sh3,806 kutoka Sh2,858 ikiwa ni ongezeko la Sh948. Kwa upande wa mafuta ya taa, sasa yatanunuliwa kwa Sh3,684 kutoka Sh2,932 iliyokuwa ikitumika Machi mwaka huu ikiwa ni ongezeko la Sh752.
mwananchi.co.tz ↗
Ongezeko la bei ya mafuta halipo Tanzania pekee, bali hata katika soko la dunia ambapo bei kikomo kwa Aprili 2026, zimeongezeka kwa asilimia 69.98 kwa mafuta ya petroli, asilimia 114.46 kwa mafuta ya dizeli na asilimia 120.81 kwa mafuta ya taa.
thecitizen.co.tz ↗
wanunuaji wa mafuta kwa bei ra rejareja yanayopitia Bandari ya Dar es Salaam watalazimika kuongeza Sh956 katika kila lita moja ya mafuta baada ya bei kufikia Sh3,820 kutoka Sh2864.
globalpublishers.co.tz ↗
Kwa mujibu wa Ewura, ongezeko hilo la bei za mafuta ni janga la kidunia na Tanzania kama sehemu hiyo inachukua hatua mbalimbali kuhakikisha usalama wa upatikanaji wa mafuta nchini na katika bei himilivu ili kupunguza madhara ya kiuchumi na kijamii.
mwananchi.co.tz ↗
The Tanzania Revenue Authority (TRA) has introduced a new billing number system for the loading and offloading of fuel at storage depots, aimed at enhancing transparency, boosting government revenue collection and ensuring compliance without disrupting supply.
dailynews.co.tz ↗
Kufungwa kwa mlango huu muhimu wa bahari kunasababisha athari kubwa kimataifa, hasa kiuchumi na kiusalama: 1️⃣ Kupanda kwa bei ya mafuta duniani
globalpublishers.co.tz ↗
Kufungwa kwake kunasababisha uhaba wa mafuta sokoni. Bei ya mafuta na gesi inapanda haraka, na kuathiri gharama za usafiri, umeme na bidhaa nyingine.
mzalendo.co.tz ↗
Kufungwa kunaweza kusababisha mvutano au mapambano kati ya mataifa yenye maslahi ya kiuchumi na kiusalama katika eneo hilo.
mzalendo.co.tz ↗
Nchi kama Saudi Arabia, UAE, Kuwait, Qatar na Iraq zinapoteza njia yao kuu ya kuuza mafuta.
bongo5.com ↗
Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.
Dk Mwigulu amesema: “Tumeona bei zimeshaanza kupanda, tutakaa ndani ya Serikali kuhakikisha tunakabiliana nalo vipi suala hili ili wananchi waendelee kupata mafuta kwa bei nzuri na kudhibiti kupanda kwa gharama za maisha.”
Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa ghala la kupokea na kuhifadhi mafuta lenye uwezo wa kupokea tani 308,110 katika Bandari ya Dar es Salaam ambao umefikia asilimia 30.
The authority attributed the rise to the ongoing geopolitical tensions in the Middle East, particularly involving the United States, Israel and Iran, which began on February 28, 2026, and have significantly disrupted global oil supply.
Wakati huohuo, athari za vita hivyo zimeanza kuhisiwa na wananchi wa Marekani, ambapo bei ya mafuta imeendelea kupanda na kufikia zaidi ya dola 4 kwa galoni, kiwango cha juu zaidi tangu mwaka 2022.
Hali hiyo inachangiwa na usumbufu katika eneo la Strait of Hormuz, ambalo ni njia muhimu inayopitisha takriban robo ya mafuta yanayotumika duniani.
TANZANIA INA MAFUTA YA KUTOSHA,LICHA YA BEI KUPANDA KUTOKANA NA VITA YA MASHARIKI YA KATI
Kwa mwezi Aprili 2026, gharama za kuagiza mafuta (premiums) katika Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kwa wastani wa asilimia 15.3 kwa mafuta ya petroli na asilimia 10.8​ kwa mafuta ya dizeli na hakuna mabadiliko ya gharama kwa mafuta ya taa.
Mabadiliko ya bei za mafuta nchini kwa mwezi Aprili 2026 yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na vita inayoendelea Mashariki ya kati tarehe 28 Februari 2026.
NATIONAL Mar 28, 2026 28 15 7

William Lukuvi's Death Announced by President Samia Suluhu Hassan on March 25, 2026

Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.

Maelezo ya Ziada
Kifo hicho kimetangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba huo wa Lukuvi aliyezaliwa Agosti 15, 1955.
mwananchi.co.tz ↗
William Lukuvi afariki dunia kwa mshituko wa moyo
dailynews.co.tz ↗
PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has announced the death of the former Minister of State in the Prime Minister’s Office, (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) William Lukuvi, who passed away this morning, March 25, 2026.
habarileo.co.tz ↗
Additionally, the Head of State extended her condolences to the Speaker of Parliament, the bereaved family, residents of Isimani Constituency, and all Tanzanians mourning the loss.
mwananchi.co.tz ↗
Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani William Vangimembe Lukuvi amefariki duinia akiwa na umri wa miaka 70.
thecitizen.co.tz ↗
Mbunge wa Isiman, William Lukuvi amefariki dunia, huku aliyekuwa mshindani wake katika mchakato wa ndani wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa ubunge wa Isimani, Festo Kiswaga, akifunguka mambo atakayoyakumbuka.
dailynews.co.tz ↗
Kiswaga, amesema anamkumbuka kiongozi huyo kwa utendaji wake Isimani, kwani aliingia likiwa jipya na halikuwa na hata shule moja ya sekondari, lakini sasa zimefika zaidi ya 10.
habarileo.co.tz ↗
Taarifa ya kifo chake imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kisuluka, akimnukuu Rais Samia Suluhu Hassan, aliyesema amesikitishwa na anatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki.
habarileo.co.tz ↗
Lema ametumia kurasa zake za mitandao ya kijamii kuzungumzia kifo cha Lukuvi akisema: “Tunazaliwa bila kitu, na tunaondoka bila kitu, kifo hutukumbusha unyenyekevu wa maisha.
globalpublishers.co.tz ↗
According to a statement issued by the Parliament’s Communications and Public Relations Unit, Mr Zungu invoked Rule 176 of the Standing Orders of the National Assembly (August 2025 edition) to suspend the sittings.
globalpublishers.co.tz ↗
Reports of the death of the Isimani Constituency MP in Iringa Region, who had served in Parliament since 1995, began circulating earlier in the day before being confirmed by the Chief Secretary, Ambassador Dr Moses Kusiluka.
mzalendo.co.tz ↗
Ambassador Kusiluka conveyed condolences from President Samia Suluhu Hassan, who announced the death and sent her sympathies to the people of Isimani and to the Speaker of the National Assembly.
swahilitimes.co.tz ↗
Mr Lukuvi’s death brings to three the number of MPs who have died during the 13th Parliament since its inauguration by President Hassan.
mwananchi.co.tz ↗
All Parliamentary Standing Committee meetings have been suspended today, March 25, 2026, following the death of Isimani MP and Minister of State in the Prime Minister’s Office, William Lukuvi.
dailynews.co.tz ↗
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema taifa limepoteza kiongozi shupavu, mahiri na mzalendo kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi.
dailynews.co.tz ↗
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Azzan Zungu leo Machi 25, 2026, ameongoza kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uongozi kilichofanyika katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma, kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Ismani, William Vangimembe Lukuvi.
Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi kilichotokea leo Machi 25, 2026.
Rais Mwinyi amesema taifa limepoteza kiongozi muhimu ambaye amelitumikia kwa uadilifu na kujitolea katika nafasi mbalimbali za uongozi kwa muda mrefu.
WAZIRI LUKUVI AFARIKI DUNIA
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa.
William Vangimembe Lukuvi ambaye amefariki leo Machi 25, 2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania aliyetoa mchango mkubwa katika siasa za kitaifa. Ametumikia nafasi mbalimbali za uongozi serikalini na kujijengea sifa ya uongozi thabiti kupitia utumishi wa muda mrefu serikalini na uwakilishi wake bungeni.
Mpina ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi akizungumza na Mwananchi amesimulia sababu iliyotaka kumfanya kuikataa bajeti hiyo, kwamba Mpango wa Maendeleo ulikuwa unaeleza Serikali itatenga asilimia 35 ya bajeti kutelekezwa kwenye maendeleo lakini yenyewe ikatenga asilimia 22.
Mdee amesema Lukuvi alikuwa akichukua ushauri na mapendekezo ya hotuba za kambi ya upinzani bungeni na kwenda kuvifanyia kazi kwa vitendo.
William Lukuvi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) akiagwa bungeni Dodoma.
Speaker of the National Assembly, Mussa Zungu, has described the death of Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities) and Isimani MP William Lukuvi as a major blow not only to his family, but also to the Parliament, government, and Tanzanians at large.
PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.
President Samia Suluhu Hassan is expected to join thousands of mourners in Iringa next Tuesday to honour the late Minister of State in the Prime Minister’s Office (Policy, Parliament, Coordination and Persons with Disabilities), who passed away on Wednesday at Benjamin Mkapa Hospital in Dodoma Region.
DODOMA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has paid glowing tribute to the late William Lukuvi, saying he has long benefited from the veteran politician’s wisdom, guidance and selfless dedication to public service, especially since his first appointment as Deputy Minister for Finance.