RAIS wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, amewasili jijini Dar es Salaam kwa ziara rasmi ya siku mbili kuanzia Agosti 5 hadi 6, 2026, kufuatia mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan.
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amewasili jijini Dar es Salaam kwa ziara rasmi ya siku mbili kuanzia leo Jumatano Agosti 5 hadi 6, kufuatia mwaliko wa mwenyeji wake, Rais Samia Suluhu Hassan.