Yanga imeipiga tena Simba kwenye mshono kwa kuifunga bao 1-0 na kutwaa taji la Ngao ya Jamii katika ‘derby’ iliyochezwa katika Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar.
Klabu ya Yanga SC imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ngao ya Jamii baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Simba SC katika mchezo wa kuwania taji hilo uliopigwa leo, Agosti 12, 2026, visiwani Zanzibar.