Ushindi huo mnono unaifanya Yanga SC kufikisha pointi sita na kurejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara ndani ya saa 24, ikilingana pointi na watani wao Simba SC lakini ikiongoza kwa tofauti ya mabao ya kufunga.
Ushindi walioupata Yanga SC vs Singida Black Stars umewarudisha Yanga SC kileleni mwa msimamo Ligi Kuu NBC 2025/26.