Waziri Chongolo Aagiza Kuongeza Kasi ya Ukarabati wa Barabara ya Arusha-KIA
Habari mpya za transport Tanzania · maelezo ya Waziri Chongolo Aagiza Kuongeza Kasi ya Ukarabati wa Ba… · imesasishwa 4 Aug 2026 · habari za michezo · mechi · matokeo
Muhtasari
- Daniel Godfrey Chongolo amewaagiza wakandarasi wanaotekeleza mradi wa ukarabati wa barabara ya Arusha- KIA kuongeza kasi ya kufanya kazi ili iweze kukamilika kwa wakati na kuondoa adha ya usafiri wanayokutana nayo.
- Waziri wa Kilimo ambaye na mlezi wa shughuli za Serikali wa Mkoa wa Arusha Mhe.