Ujenzi wa shule za ghorofa na mageuzi katika sekta ya elimu
Habari mpya za elimu Tanzania · maelezo ya Ujenzi wa shule za ghorofa na mageuzi katika sekta ya e… · imesasishwa 4 Aug 2026 · habari mpya · masasisho · maelezo
Muhtasari
- Miradi hiyo ni pamoja na ujenzi wa madarasa 20 na matundu 45 ya vyoo katika Shule ya Sekondari Mnazi Mmoja, mradi wa mtambo wa kutibu maji machafu Buguruni, ujenzi wa madarasa, maabara, jengo la TEHAMA na ofisi katika.
- Palamagamba John Aidan Kabudi, ameipongeza Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kwa utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa shule za ghorofa, akieleza kuwa ni hatua muhimu ya kuboresha sekta ya elimu na kuongeza fursa za.
- Samia Suluhu Hassan amewekeza kwa kiwango kikubwa katika sekta ya elimu, na matokeo yake ndiyo haya tunayoyaona kupitia ujenzi wa shule za kisasa zenye ghorofa," amesema Prof.
- Kabudi.Amesema ujenzi wa shule za ghorofa ni mkakati muhimu wa Serikali wa kuongeza nafasi za wanafunzi na kujiandaa na ongezeko la wanafunzi linalotarajiwa kutokana na mfumo wa double cohort, ambapo wanafunzi wengi.