Uchunguzi wa Awali Wathibitisha Chanzo cha Ajali ni Dereva Kujaribu Kulipita Gari
Habari mpya za transport Tanzania · maelezo ya Uchunguzi wa Awali Wathibitisha Chanzo cha Ajali ni Der… · imesasishwa 2 Aug 2026 · habari za michezo · mechi · matokeo
Muhtasari
- Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Rehema Jeremia, amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kusema ilihusisha basi la Isamilo lenye namba za usajili T 428 EXP lililokuwa likitoka Mwanza kuelekea Dar es Salaam.