SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limeibuka kinara katika utoaji wa huduma bora za mawasiliano nchini, huku likieleza kuwa litaendelea kuwekeza katika miundombinu na mifumo ya huduma kwa wateja ili kuongeza ufanisi.
SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limeibuka kinara katika utoaji wa huduma bora za mawasiliano nchini, huku likieleza kuwa litaendelea kuwekeza katika miundombinu na mifumo ya huduma kwa wateja ili kuongeza ufanisi.