Rais Trump aliksema mwishoni mwa Jumamosi kuwa shambulizi kubwa la kijeshi dhidi ya Iran lilikuwa limepangwa, lakini baadaye akatangaza kwamba Marekani na Israel zitasitisha kwa sasa hatua hiyo.
RIPOTI ya Marekani inaonesha kuwa Rais wa Marekani, Donald Trump, ameamua kutochukua hatua itakayoongeza ukubwa wa shambulio la kijeshi la Marekani dhidi ya Iran.